MAISHA ya DENMARK, unawezaje kwenda na kuishi? WITNESS afunguka jinsi alivyokutana na MUME Mdanish

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Subscribe channel ya Witness Vlogs hapa
    / @witnessvlog
    Unaipenda kazi yetu na ungependa kutuunga mkono? Sasa unaweza kutuchangia kiasi chochote kuanzia shilingi 500. Fuata link hii hiveticket.web...
    Tunashukuru kwa kuwa Mwana SnS unayejali

Комментарии • 177

  • @Witnessvlog
    @Witnessvlog Год назад +19

    Asante sana SNS kwa nafasi mliyonipatia. Nimenyenyekezwa sana. Ubarikiwe sana

    • @pembemussa2804
      @pembemussa2804 Год назад +2

      Dada nipe details zako nikupate private
      Tafadhali.

    • @Boaz22
      @Boaz22 Год назад +1

      Nipo china,nina residence permit, naweza pata visa ya Denmark kutokea china? What's are the requirements??

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад +1

      @@Boaz22 Here are the requirements
      Schengen Visa requirements | Denmark Visa requirements.
      ruclips.net/video/3VzIX077b04/видео.html

    • @lucykristensen7145
      @lucykristensen7145 Год назад +1

      Taste ni sawa. Matoke yanatoka Uganda na ni fresh yanakuja na ndege. Mihogo, viazi vikuu, mzuzu, mawese West Africa. Kikubwa amefahamu vyakula vyetu vyote vinapatika wapi ? Sijaona utofauti wa taste.

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад

      @@lucykristensen7145 Asante

  • @saumusulaiman4742
    @saumusulaiman4742 Год назад +3

    Maashaalah hongera cn wit . Nimekupenda mcheshi pia una moyo wa kujitolea kusaidia watu. Mimi pia nataman kifika denmark .Kikazi nipatie no yako nikuulize kitu Nianze process inshaalah 🙏

  • @milkaboaz1244
    @milkaboaz1244 Год назад

    Nakupenda sana na pia nimsabato mwenzangu nakupenda bule

  • @thomasmwasongwe7790
    @thomasmwasongwe7790 9 месяцев назад

    Dada yangu huyooo witnees nafurahi sana kuona kazi zake

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Год назад +3

    Hongereni saana kwa Mjadala

  • @groliarafaeli7232
    @groliarafaeli7232 2 месяца назад

    Mambo

  • @sirizamwili
    @sirizamwili Год назад

    Woow! Njema sana hii

  • @dadamuebrania1539
    @dadamuebrania1539 Год назад +2

    Mungu wangu nifungulie mlango 🛐

  • @rahabujoram313
    @rahabujoram313 Год назад +2

    Hongera sana dr! .nimependa unavyo jibu comment very positive (Master mind😘)

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад +1

      Asante sana dada yangu kwa comment yako nzuri. Ubarikiwe sana

  • @هشامسلام-ف7س
    @هشامسلام-ف7س Год назад +1

    Hongera sana sana nimefurahia interview Wit mkweli mchesh anajiamini

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад +2

      Asante sana ina maana kubwa sana

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen7145 Год назад +2

    Mtu huwezi kuzungumzia maisha ya nchi nyingine wala kulinganisha na nchi nyingine kabla haujafika, ishi kwa muda wa kutosha, wala kutembelea. Ni upotoshaji.

  • @franciskajessy4468
    @franciskajessy4468 Год назад +1

    Hongera Witness unatoho nzuri sana❤🇺🇸

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад +1

      Asante sana Fransica kwa kuona hilo

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Год назад +7

    Juice ya miwa tafuta kwenye maduka yawa Thailand na Wafiilipino

  • @OmariNkalami-nh6fl
    @OmariNkalami-nh6fl 6 месяцев назад

    Karibu Tanden.dk😂

  • @laetitiamathe5779
    @laetitiamathe5779 Год назад

    ❤❤

  • @kelvinmwesiga-zp8ss
    @kelvinmwesiga-zp8ss Год назад

    Nice meeting,,sema madam wit anaongea haraka haraka sana as sijui why though kwenye channel yao anaongea kawaida,,

  • @kotadapotar5094
    @kotadapotar5094 Год назад +1

    Vizuri sana dada yangu mungu Atakubariki kwa ilo ukifika Danish nishitue nikutembelee 🇹🇿🇬🇷⚓

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад

      Karibu sana. Unaishi wapi?

    • @stephaniabenjamini2848
      @stephaniabenjamini2848 Год назад +1

      With mungu akubariki endelea kuwa na moyo wa upendo huo,me nataka kusaidiwa kijana wangu atafute maisha.

    • @stephaniabenjamini2848
      @stephaniabenjamini2848 Год назад

      Witness wewe ni mkweli kigoma sisi sio matapel

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад

      @@stephaniabenjamini2848 Asante sana

  • @bennychristian5389
    @bennychristian5389 Год назад +1

    wooww good how can contact her sky mi nakaa burundi mzee wangu

  • @erycah
    @erycah Год назад +7

    Kuna watu humu wanamponda uyo dada mara oh anasema uongo mara Bado limbukeni wa ulaya mbona nyie hamtoi izo taarifa ambazo ni sahihi ili watu wajifunze. WaTz ni wabinafsi sisi tujifunze kwa majirani zetu waKenya.

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад

      Karibu Tanzania ndugu
      Ningependa kuwa host pia hata kwa channel yangu uone kama watajitokeza. Keyboard warriors sana

    • @erycah
      @erycah Год назад

      @@Witnessvlog 😂😂 Asante I am a woman though, umeniita kaka.😏

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад

      @@erycah Sorry merekebisha

    • @jescasherem1686
      @jescasherem1686 10 месяцев назад

      ​@@Witnessvloghi

  • @swahiliwithZita
    @swahiliwithZita Год назад +1

    Nice interview 👌 kuna agencies za TZ za aupair ambazo unaweza kuzitaja na kuweka their contacts itakuwa helpful

  • @paternfreeman4745
    @paternfreeman4745 Год назад

    Bravo dada Wit! Nataman sana kufika Denmark, or Sweeden . Nisaidie nianzeje?

  • @Zenny89
    @Zenny89 Год назад +2

    Haya sasa..Mdemu wa kibongo kazi kwenu!!!! Connection ya kuolewa na Ndughu ndo hiyoooo🤣🤣!!! Dada full PIMP🤣

  • @SalwaSalim-z7o
    @SalwaSalim-z7o 7 месяцев назад

    Yah yah yah yah❤❤😂😂😂

  • @zainabwage4658
    @zainabwage4658 Год назад +2

    Good interview

  • @aliyahkhan5562
    @aliyahkhan5562 Год назад +3

    Juice ya miwa iko kwa maduka ya wa Thailand

  • @aliyahkhan5562
    @aliyahkhan5562 Год назад +2

    Mi naishi 10 minutes from copenhagen. Mihogo iko, miguu ya kuku, matoke, vyakula Vingi vyakutoka Afrika. etc iko copenhagen kwa maduka ya wa Thailand, chinese and afghagan shops.

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад +2

      I know . Sikumainisha kwamba sipati
      Unaweza pata ila taste ni tofauti. Tunajua vyakula vingi viko imported. Ko taste ya nyumbani ndio ninayo imiss

    • @aliyahkhan5562
      @aliyahkhan5562 Год назад +1

      @@Witnessvlog agree

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Год назад +1

      Ubaguzi mtupu huko wala sio kwa kukaa kuzuri ni Sweden kwa Scandinavia yote

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад

      @@kabwelasutiviraka4765 Sawa.

  • @peaceisrael8158
    @peaceisrael8158 Год назад

    Makao makuu ya Ubaguzi 🤗😎

  • @safaranilulungu9255
    @safaranilulungu9255 Год назад +1

    Same like USA 🇺🇸 kupata marafiki pia issue

  • @olympiamtenga8761
    @olympiamtenga8761 Год назад +2

    interview nzuri sana,same like Ujerumani yaani kupata marafiki ni issue sana hahahahaa😅😅😅😅

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад

      😂😂 Kazi kweli kweli

    • @peaceisrael8158
      @peaceisrael8158 Год назад

      Mbona tupo tu upo mji gani rafiki ?

    • @olympiamtenga8761
      @olympiamtenga8761 Год назад

      @@peaceisrael8158 Nipo Münster nimemaaanisha wenyeji wazawa dia wwe uko mji gani

  • @denchtv5041
    @denchtv5041 Год назад +5

    Wapi likes za kenya 🇰🇪

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 Год назад +2

    Hakuna tegemezj ulaya kujitegemea mwenyewe jamani tujifunze hapo

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад

      Kabisa hakuna . Hata wazazi hawategemeni watoto. Kila mtu ni anabeba majukumu yake

  • @rachelfredrick7018
    @rachelfredrick7018 Год назад

    Dada witness Instagram unatumia jina gani ?

  • @camillahamis1069
    @camillahamis1069 Год назад

    kwahiyo huyu mdenmark wangu wa buza au

  • @laoiyadi1176
    @laoiyadi1176 Год назад +3

    Kwahyo mm AmBAR Nina form 4 , failure siwez fika huko jamani tunabaguliwa sana😂mtusaidie na SS tujitaftie hata life jamani 🙏

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад +3

      It is difficult but not impossible.
      Hakuna ambacho hakiwezekani ila tu inatakiwa ujiweke sawa kwenye strong ties. Ili uaminiwe utarudi. Dunia ni kubwa kwa kila mtu. Anza kutengeneza cv ambayo itakusaidia kupewa visa muda ukifika. Dunia ni kubwa na ina mkate wa kila mtu naamini . Unaweza usije kwa njia ya elimu . Ukaja kwa vingine . Muhimu kutokata tamaa na kutafuta fursa

    • @laoiyadi1176
      @laoiyadi1176 Год назад +1

      @@Witnessvlog dah Asante sana MUNGU mwema IPO siku na fungu la Kila mmoja

  • @nayadmason6015
    @nayadmason6015 Год назад +1

    Lol I was the first to open this

  • @halimamohammed4108
    @halimamohammed4108 Год назад +4

    Dada mm nina vitu vote vakupandia ndege nataka viza ya kufanya kaz za nyumban mana ninauzoefu wa kiak 6 Omani kupika usafi ivo soo naomba nisaidie Dada

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад +1

      Unaweza omba kuja kama Aupair.

    • @swahiliwithZita
      @swahiliwithZita Год назад +2

      ​@@Witnessvlog kuna agencies ganai za TZ za aupair?

    • @issamathenge4305
      @issamathenge4305 Год назад

      @witness vlog Mimi ni barista.nimefanya kazi Oman for 3 years. Mimi ni mkenya kutoka Mombasa.

    • @issamathenge4305
      @issamathenge4305 Год назад

      ​@@swahiliwithZita how can I reach you please

  • @tommyegan3000
    @tommyegan3000 Год назад +1

    Good interview but healthcare is not 100% free because that is what is coming from the taxes we pay. If we skip the “it’s not free because it’s paid by tax” line as if that’s some huge revelation, then yes, except for dentists and partly drugs. Drugs are only partly paid by the state. That is applicable to Scandinavian countries .

  • @sophiamfikwa7340
    @sophiamfikwa7340 Год назад

    Hapa nimeelewa yaani huko kaka uarabuni tu hakuna urafiki

  • @sharifasaleh5353
    @sharifasaleh5353 Год назад +4

    Mihogo ipo bwana Tena lain Sana

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад

      Sio mitamu sana kama ya coco beach😂. Sio mara zote inakua mitam

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Год назад +1

      @@Witnessvlog na mimi nakuja denmark huko nipe namba nipo italy soon Copenhagen ilee

    • @lucykristensen7145
      @lucykristensen7145 Год назад

      Mihogo mizuri 14:22 kabisa . Kila kitu kinakuja fresh na ndege. Mpaka mchicha na kisamvu tunapata. Mengineyo ni mapishi yako😂mwenyewe. Kaanga mihogo inatoka kama Gogo Beach.

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Год назад

      @@lucykristensen7145 wapi huko lucy

  • @chamimtungwa7309
    @chamimtungwa7309 Год назад +1

    Bravo ma belle 😘

  • @jmwaka9316
    @jmwaka9316 Год назад +1

    Dada uraia ni miaka permanent permanent Hadi uishi miaka 10 na Uwe umefanya kazi miaka 3na niezi 6 ndani ya miaka minne na Uwe na kiwango cha msharavwa 300kr. kwa mwaka.

  • @amour5535
    @amour5535 Год назад +1

    Namba yake jamani au mwisho wa stor nataka niongee nae nina shida na huko

  • @cocorita8367
    @cocorita8367 Год назад +2

    Tuandikie link zake tunampataje awasaidie ndugu zetu

  • @sharifasaleh5353
    @sharifasaleh5353 Год назад +4

    Kuna mpaka kisamvu embe fenesi Dorian na vingi mpaka nyanya chungu

    • @amour5535
      @amour5535 Год назад

      Nipe connection my dada nina shida na huko

    • @zainabwage4658
      @zainabwage4658 Год назад

      Sana tu

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад +1

      Ni kweli vipo ila sio fresh. Huna uhakika wa kula embe tamu au nasasi kama huku. Tanzania chakula ni fresh. Europe vingi wana import kwahio vilishapoteza radha

    • @ongowi5701
      @ongowi5701 Год назад +1

      ​@@Witnessvlog Ni kweli kabisa vitu vinakuwa havina ladha ya km home Tanzania. Mimi nipo Netherlands yaani kuku ni wakubwa lakini hawana taste. Umeelezea ukweli mtupu kuhusiana na jinsi ya kupata visa.

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад

      @@ongowi5701 Asante sana dada yangu. Hua napita Amsterdam mara nyingi

  • @jorammasoro3536
    @jorammasoro3536 Год назад +3

    kama ni MSABATO mwenzangu hakuna uongo kwenye stori na maelekezo atakayotoa. Wacha nifatilie koneksheni. 😆😆😆

  • @Mkombozi255
    @Mkombozi255 Год назад +4

    Milioni Tatu kwa mwezi ni uongo,ukiwa na mtoto unalipwa kama laki 2 na nusu kwa mwezi siyo milion Tatu.hiyo ipo hata Norway na sweden,Dada Bado ana wenge la ulaya😅

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад +6

      Asante kwa kuspot hilo nilichanganya
      wanalipa kila baada ya miezi 3 maana yake mara nne kwa mwaka
      Mtoto wa mwaka 0-2 years analipwa kama 1.5M ko times 4.
      So utajumlisha na idadi ya watoto
      Children 0-2 years old - 4,557 kr. every quarter
      3-6 years old children - 3.609 kr. every quarter
      Children 7-14 years old - 2.838 kr. every quarter
      Ni kweli mimi bado mgeni sana Europe . Bado najifunza na bado nakua. Nyie wakongwe mnatakiwa mshee vingi na sis na kurekebisha with kindness.
      Ubarikiwe mkongwe wa ulaya nitakutafuta utusimulie ya huko. Natumaini una madini mengi na nondo.

    • @alsam4881
      @alsam4881 Год назад +1

      Bado mgeni huyo kuna mambo mengi hajui kuhusu sheria za Denmark .

    • @amanimtasha2584
      @amanimtasha2584 Год назад +1

      Hapa Sweden ukijifungua mtoto kama ulikuwa unafanya kazi unalipwa 80% ya mshahara wako kwamiezi kadhaa then inashuka 75%. Mtoto akifikia 1year anaenda day care.
      Pesa ya mtoto kuanzia anapozaliwa hadi kufikia 16years akiwa mmoja ni 1250kr wakiwa wawili inaongezeka 150 nakuwa 1400 kila mmoja. Kadri idadi ya watoto inavyoongezeka ndio kiwango kinaongezeka.

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад +1

      @@amanimtasha2584 Asante sana kwa comment yako. Nimejifunza

    • @amanimtasha2584
      @amanimtasha2584 Год назад +1

      @@Witnessvlog Usjali dada anytime. Karibu Sweden pia 🙏🏿

  • @lucykristensen7145
    @lucykristensen7145 Год назад +2

    Mihogo, matoke, nyanya chungu, bamia, mzuzu, unga wa ugali, unga wa mhogo, Magimbi. Tembelea Asian shops au maduka ya Waarabu.. Yako kila mji. Hata nyanya chungu unapata..

    • @faith20243
      @faith20243 Год назад +1

      nadhani taste ni tofauti mdau

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад

      Asante sana ntafanya hivo

  • @rosestigeneriksson8387
    @rosestigeneriksson8387 Год назад +1

    Danish sio ngumu pambana misamiati yake sio ngumu kama unaongea English,Niko Sweden naongea na norwegiun pia

  • @mustafadjuma6504
    @mustafadjuma6504 Год назад +1

    Interview ipo poa kweli kwani dada yetu jina lake nani

  • @sakinamwarabu1000
    @sakinamwarabu1000 Год назад

    😁👌anachapia San
    famîlia yen yote nyie mnaongea haraka harak

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад

      Thank you for watching my friend😊.

  • @tanzuaprint
    @tanzuaprint Год назад

    huyu Dada ana ndoto ya kwenda Marekani. Katik maongezi yake nimegundua hilo

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад

      Marekani iko overrated sana . Kwahio sina hizo ndoto

    • @tanzuaprint
      @tanzuaprint Год назад

      @@Witnessvlog iko overrated vipi Sister

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад

      @@tanzuaprint Wamarekani wameweza kuibrand vizuri kwa watu kwamba ndio nchi ya asali na maziwa. But kuna nchi ziko vizuri sana kuliko hata Marekani. Hasa kwenye social walfare.

    • @tanzuaprint
      @tanzuaprint Год назад

      @@Witnessvlog Ishi marekani kwanza ndo uje kucomment.
      Watu si wajinga kusema Marekani ni Dream country, ndomana balozi zinajaa kuomba visa.

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад

      @@tanzuaprint Sawa.

  • @khatibkhatib730
    @khatibkhatib730 Год назад +2

    Good conversation 🔥

  • @caashamacalini3887
    @caashamacalini3887 Год назад +1

    Visa za Scandinavia ni rahisi kulikoni za marekan, uingereza, japani,uswiss, Australia za zingine alafu hiyo kulipwa Kwa mwezi inategemea Una watoto wangapi? Hapo kachemsha huwezi kupewa milioni Kwa mtoto mmoja baridi barafu ulaya zote hivyo vyote ulivyotaja vipo dada hukatembea hapo muongo

    • @homeandaway2811
      @homeandaway2811 Год назад +3

      Usikariri HAKUNA viza rahisi tupo tunafanya kazi na hizo balozi, kama wewe au wenzio wa karibu wengi mlipata ,good but usikariri ulizia ujue wangapi wanakosa na kwanini

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад

      @@homeandaway2811 Umesema vyema ndugu.

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад +2

      Ungesoma comment section ungeona nilirekebisha. Kwenye swala hilo la mtoto kupewa pesa.
      Ila kwakua wew uko so informed si vibaya ukatujuza na wew

  • @mbunah255
    @mbunah255 Год назад

    Huyu ana zoom miguu ya kuku kmmk 😂

  • @caashamacalini3887
    @caashamacalini3887 Год назад +2

    Wewe wacha uwongo dada marekani umeenda kuona maisha au unazungumza Tu nenda kaone eti Denmark vitu expensive kulikoni marekani hivi unaweza hata kununua wigi wewe muongo huyu dada hebu uluzeni watu wanaoishi huko

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад

      Wew umewahi kufika Denmark dada?
      Uzuri sio kazi kupata interview SNS omba uje utwambie ya huko. Ubarikiwe kwa muda wako pia

    • @lizzybahati3739
      @lizzybahati3739 Год назад

      ​@@Witnessvlognaweza pata no yako dada

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 Год назад +1

    Huko Danmark wala sio kwa kwenda ni wabaguzi kupita maelezo na huyo atakuwa anabaguliwa tu na wanasheria ngumu sana , WaTanzania wengi ni waongo Kwa nini asiwaambie kwamba ni wabaguzi kupita kiasi , nakushauri nenda nchi zingine za Scandinavia ila sio Danmark yaani sera za nchi ni ubaguzi tu kuwabagua wahamiaji

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад +1

      Ubaguzi upo kila sehemu. Kama angeniuliza kuna ubaguzi ningesema upo tu sana. Ukija kwenye channel yangu utaona nishaongelea ubaguzi na wanasheria ambazo sio rafiki kwa wahamiaji . Sio kama marekani au Canada.
      Hakuna sehem nimesema haupo. Angalau huku hauwez kuuliwa kama America kisa wew ni mweusi au Muislam.
      Wabaguzi kupita kiasi ni Marekani kama utaniuliza . Italy pia
      Uje utueleze na wew mtazamo wako sasa

    • @amanimtasha2584
      @amanimtasha2584 Год назад +2

      Ubaguzi upo kote hata hapa Sweden naukiwa na mtazamo huo nakuchukulia serious kila unachokutananacho ndugu yangu hakuna sehemu utaweza kuishi.

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Год назад

      @@amanimtasha2584 mkuu naijua Sweden vizuri na ninazijua vizuri nchi za Scandinavia vizuri , ubaguzi wa Denmark huwezi kabisa kulinganisha na Sweden , Denmark kuna ubaguzi sana hata na wana sera za kibaguzi sana kwa wahamiaji

    • @amanimtasha2584
      @amanimtasha2584 Год назад +1

      @@kabwelasutiviraka4765 Inawezekana kilamtu ana experience yake ya mahali anapoishi siwezi kataa unalosema mkuu ila kwa mimi binafsi kulingana na eneo ninalo ishi kwamiaka 13 sasa changamoto nikubwa zaidi yaninavyosikia kuhusu Danmark kwaidadi yawatu wengi wanaoishi huko.

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад +1

      @@amanimtasha2584 Sahihi kabisa. Hakuna sehemu hakuna ubaguzi.

  • @asmahhamis9416
    @asmahhamis9416 Год назад +1

    Ila mwambie atulie kuongea. Kuchapia kwingi

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад +1

      Thank you. Next time itakua bora zaidi. Ubarikiwe kwa kuangalia

    • @saidimwanyiro5147
      @saidimwanyiro5147 Год назад +1

      @@Witnessvlog asant kwa kutujali

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад +1

      @@saidimwanyiro5147 Asante sana