Ukienda Ulaya, USA au Canada, unapenda ustaafu huko huko au urudi Afrika ukizeeka?
HTML-код
- Опубликовано: 15 окт 2024
- Mahojiano na @Witnessvlog kuhusu maisha ya Denmark na Ulaya kwa ujumla
Tembelea channel ya Witness na Subscribe hapa / @witnessvlog
Tembelea na subscribe RUclips ya Witness Vlogs www.youtube.com/@Witnessvlog
Asante sana EBM kwa sapoti yako. Nimeshukuru. Niwashukuru pia Subscribers wako wameshow love sana.
@@Witnessvlog ulipo nipo
Nimefurahi sana mr ebm and sister witness leo kuongea pamoja najuwa inter vieyou itakuwa safi sana.
Jamani Nmb sio benki hudumama zao mbovu zipo taratibu sana .huduma zao zinachokua muda mwingi kuhudumiwa apple zao zinasumbua azifanyi kazi vizuri Nmb sio namba one kwa huduma mbovu in tanzania
Hapana EBM..Mimi niko hapa 17yrs now..na wala singoji kustaafu ,mpango wangu kabla ya 50 nirudi nyumbani..Hapana Isee..Am done..🙌🏾🙏🏾
Home is the best. Yani kama isingekua corruption na ubovu wa system. Nadhani tungekaa hapa kwakweli
Karibu at !east nyumbani una weza socialize huko ata kuona MTU appointment
Mazungumzo mazuri, na mimi nitaanza kurekodi video za maisha ya Norway na mambo kadhaa👏🏾
You should do that my dear
Brother. mm nilikua nasafiri kuja Canada nilikua na visa kila kitu. Niseme tu ukweli walinikera sana pale airport JNIA dar. Yaani walinisimamisha karibia saa Zima eti wanathibitisha documents zangu Huku wazungu walikua wanapita bila usumbufu wowote. Mpaka nilikasirika nikawamind nikawaambia hivi mnanionaje siwezi kusafiri au wakashtuka wakaniambia tulikua tunajiridhisha. Ni nchi yetu Tz ila mifumo yetu mingi ina milolongo mingi .
Kweli kabisa. Na sijui tutajifunza lini kuthamini vyetu na watu wetu. Kwanini hao wazungu wasikaguliwe documents?😢 Shame
@@Witnessvlog Ni aibu mno
Sasa hapa dada ni tofauti na sisi wanaume sababu wanayo favour kibao .
kigoma meets kigoma, it was an amazing interview, yan kaka EBM bado unalafudhi ya kigoma kabisa yani asee 🤣🤣, watu wa kigoma tunajuana🤣🤣
Yeeey...
Sio kila mahali una pata hizl kero........some bureau de change are fast hiyo experience yenu of money changing is you !!!!! Don't generalize
Mko sahihi Tanzania inacheleweshwa,na ukiritimba.
Ulaya na America ni nchi za kwenda kutafuta pesa tu ! Ku retire ulaya na America sio ideal kwasababu utakua mgeni tu no matter how many yrsumeishi huko.angalau tz bongo kumechamka na chamuhimu zaidi ni nyumbani home is home lakini ulaya au America ata ukiwa tajiri lakini bado unaonekana na kuitwa foreigner! You ll always be a foreigner , but retiring at home you ll get love n respect from.ur people but in Europe or America they don't like us !
Akiba bank mmejipotezea credit kweny hili
Kwakweli na dada aliyenuhudumia hakua na customer service nzuri. Yani kweli sio fair ni wizi
Mkuu naendelea kuuliza event itafanyika
sure watz bado tuna ushamba wa dollar
Tatizo sana
Love from 🇰🇪
Daah interview inanifunza mengi EBM ayo maswala ya dollar yangari yanasumbua weng hata hapa Burundi nihivo
🙏🏾🙏🏾
Ninakusalimu sana nimeandika maranyingi sipate jibu paka Sasa ninaitaji nipate kuongeya na wewe in private unielekeze nitakupata jee kama utasoma msg hiyi ujibu
Tulipofikia pasport sio bigdeal tena waruhusu watu wawe nazo itaongezea serikali mapato.
Yan nimecheka sana usiku lazima wazee lzma waje kukucheki yan shida
😅😅
First comment
Tanzania aliye turoga alikufaga daah shida sana
hapana kaka. wengi wanaokaa kiwanja wakimaliza harakati wanarudi bongo maisha ya ulaya ukiwa mzee changamoto sana.
Hamjielewi au mnashindwa kuelewa maisha ya nchi maskini na tajiri.
Nchi ambyo inauza bidhaa yeyote nje na kupata pesa za kigeni za kutosha haitakua na shida ya kubadili pesa ya kigeni.
Maisha ni popote, inategemea wapi umewekeza vya kutosha.
Mna mawazo ya vijana waliyozaliwa miyaka ya labda 90 historia wa utawala toka kwa mkoloni kati ya Tanzania na Kenya ni tofauti labisa
Bro kaongea zaidi ya muarifiwa wake 😂
Wanacho ogopa, uraia pacha , wanaogopa kukosa madaraka,
Watu wa Njee wengi ni wasomi, kwaiyo wakija watachukua nafasi
Very good point kwakweli
Muongooo weee ,eti atastaafia tz, kama ndio hivyo nenda tz tu na mapema 😂😂😂
Njoo na wew useme ukweli wako 🤣
jamn mnatonyesha hiz video tuonyeshe bas na njia ni jinsi gani tutafika kirahisi maan tuawaongezee views video zenu pia zitusaidie tunatoka vipi ni njia ipi rahisi ni vipi tunawez hata kumeet na ww kutupa semina tutoboe kimaisha sio tu tuangalie bila faida
Hakuna njia rahis kila kitu ni process na wew itakua mgeni kwenye hii channel. Mbona hua anashare fursa. Pitia videos za nyuma
😂😂😂😂
Huyu jamaa ni tapeli mkubwa wa habari za kupotosha!
Sasa kwanini unamwangalia