Ukienda Ulaya, USA au Canada, unapenda ustaafu huko huko au urudi Afrika ukizeeka?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 окт 2024
  • Mahojiano na ‪@Witnessvlog‬ kuhusu maisha ya Denmark na Ulaya kwa ujumla
    Tembelea channel ya Witness na Subscribe hapa / @witnessvlog

Комментарии • 45

  • @EBMSWAHILI
    @EBMSWAHILI  Год назад +4

    Tembelea na subscribe RUclips ya Witness Vlogs www.youtube.com/@Witnessvlog

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад +1

      Asante sana EBM kwa sapoti yako. Nimeshukuru. Niwashukuru pia Subscribers wako wameshow love sana.

    • @halimaally23
      @halimaally23 Год назад

      @@Witnessvlog ulipo nipo

  • @thomasmwasongwe7790
    @thomasmwasongwe7790 Год назад

    Nimefurahi sana mr ebm and sister witness leo kuongea pamoja najuwa inter vieyou itakuwa safi sana.

  • @abbtsa3060
    @abbtsa3060 Год назад

    Jamani Nmb sio benki hudumama zao mbovu zipo taratibu sana .huduma zao zinachokua muda mwingi kuhudumiwa apple zao zinasumbua azifanyi kazi vizuri Nmb sio namba one kwa huduma mbovu in tanzania

  • @berthatz
    @berthatz Год назад +2

    Hapana EBM..Mimi niko hapa 17yrs now..na wala singoji kustaafu ,mpango wangu kabla ya 50 nirudi nyumbani..Hapana Isee..Am done..🙌🏾🙏🏾

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад +4

      Home is the best. Yani kama isingekua corruption na ubovu wa system. Nadhani tungekaa hapa kwakweli

    • @zawadix9574
      @zawadix9574 Год назад

      Karibu at !east nyumbani una weza socialize huko ata kuona MTU appointment

  • @255762776968
    @255762776968 Год назад

    Mazungumzo mazuri, na mimi nitaanza kurekodi video za maisha ya Norway na mambo kadhaa👏🏾

  • @pastorimushi8863
    @pastorimushi8863 Год назад +5

    Brother. mm nilikua nasafiri kuja Canada nilikua na visa kila kitu. Niseme tu ukweli walinikera sana pale airport JNIA dar. Yaani walinisimamisha karibia saa Zima eti wanathibitisha documents zangu Huku wazungu walikua wanapita bila usumbufu wowote. Mpaka nilikasirika nikawamind nikawaambia hivi mnanionaje siwezi kusafiri au wakashtuka wakaniambia tulikua tunajiridhisha. Ni nchi yetu Tz ila mifumo yetu mingi ina milolongo mingi .

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад

      Kweli kabisa. Na sijui tutajifunza lini kuthamini vyetu na watu wetu. Kwanini hao wazungu wasikaguliwe documents?😢 Shame

    • @pastorimushi8863
      @pastorimushi8863 Год назад

      @@Witnessvlog Ni aibu mno

  • @Laizer3
    @Laizer3 3 месяца назад

    Sasa hapa dada ni tofauti na sisi wanaume sababu wanayo favour kibao .

  • @witneykato2476
    @witneykato2476 Год назад +2

    kigoma meets kigoma, it was an amazing interview, yan kaka EBM bado unalafudhi ya kigoma kabisa yani asee 🤣🤣, watu wa kigoma tunajuana🤣🤣

  • @zawadix9574
    @zawadix9574 Год назад

    Sio kila mahali una pata hizl kero........some bureau de change are fast hiyo experience yenu of money changing is you !!!!! Don't generalize

  • @genophevagasper5006
    @genophevagasper5006 Год назад +1

    Mko sahihi Tanzania inacheleweshwa,na ukiritimba.

  • @danielsinyo7033
    @danielsinyo7033 Год назад

    Ulaya na America ni nchi za kwenda kutafuta pesa tu ! Ku retire ulaya na America sio ideal kwasababu utakua mgeni tu no matter how many yrsumeishi huko.angalau tz bongo kumechamka na chamuhimu zaidi ni nyumbani home is home lakini ulaya au America ata ukiwa tajiri lakini bado unaonekana na kuitwa foreigner! You ll always be a foreigner , but retiring at home you ll get love n respect from.ur people but in Europe or America they don't like us !

  • @jamesmumbi8424
    @jamesmumbi8424 Год назад +2

    Akiba bank mmejipotezea credit kweny hili

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад

      Kwakweli na dada aliyenuhudumia hakua na customer service nzuri. Yani kweli sio fair ni wizi

  • @mohamedialliy1974
    @mohamedialliy1974 Год назад

    Mkuu naendelea kuuliza event itafanyika

  • @matunzojr4862
    @matunzojr4862 Год назад +2

    sure watz bado tuna ushamba wa dollar

  • @joywambui9330
    @joywambui9330 Год назад

    Love from 🇰🇪

  • @claudeniyondiko5460
    @claudeniyondiko5460 Год назад +1

    Daah interview inanifunza mengi EBM ayo maswala ya dollar yangari yanasumbua weng hata hapa Burundi nihivo

  • @christophenkurunziza7208
    @christophenkurunziza7208 Год назад

    Ninakusalimu sana nimeandika maranyingi sipate jibu paka Sasa ninaitaji nipate kuongeya na wewe in private unielekeze nitakupata jee kama utasoma msg hiyi ujibu

  • @genophevagasper5006
    @genophevagasper5006 Год назад

    Tulipofikia pasport sio bigdeal tena waruhusu watu wawe nazo itaongezea serikali mapato.

  • @azamakulwa4604
    @azamakulwa4604 Год назад +1

    Yan nimecheka sana usiku lazima wazee lzma waje kukucheki yan shida

  • @254interiorkenya5
    @254interiorkenya5 Год назад +4

    First comment

  • @barakaanangisye4812
    @barakaanangisye4812 Год назад +3

    Tanzania aliye turoga alikufaga daah shida sana

    • @ChoroTesla
      @ChoroTesla Год назад +2

      hapana kaka. wengi wanaokaa kiwanja wakimaliza harakati wanarudi bongo maisha ya ulaya ukiwa mzee changamoto sana.

    • @edwardmizambwa237
      @edwardmizambwa237 Год назад

      Hamjielewi au mnashindwa kuelewa maisha ya nchi maskini na tajiri.
      Nchi ambyo inauza bidhaa yeyote nje na kupata pesa za kigeni za kutosha haitakua na shida ya kubadili pesa ya kigeni.
      Maisha ni popote, inategemea wapi umewekeza vya kutosha.
      Mna mawazo ya vijana waliyozaliwa miyaka ya labda 90 historia wa utawala toka kwa mkoloni kati ya Tanzania na Kenya ni tofauti labisa

  • @kyataonline5262
    @kyataonline5262 Год назад

    Bro kaongea zaidi ya muarifiwa wake 😂

  • @khalidbelhasa2137
    @khalidbelhasa2137 Год назад

    Wanacho ogopa, uraia pacha , wanaogopa kukosa madaraka,
    Watu wa Njee wengi ni wasomi, kwaiyo wakija watachukua nafasi

  • @marykennedymarwa1641
    @marykennedymarwa1641 Год назад

    Muongooo weee ,eti atastaafia tz, kama ndio hivyo nenda tz tu na mapema 😂😂😂

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад

      Njoo na wew useme ukweli wako 🤣

  • @mussambonde1024
    @mussambonde1024 Год назад

    jamn mnatonyesha hiz video tuonyeshe bas na njia ni jinsi gani tutafika kirahisi maan tuawaongezee views video zenu pia zitusaidie tunatoka vipi ni njia ipi rahisi ni vipi tunawez hata kumeet na ww kutupa semina tutoboe kimaisha sio tu tuangalie bila faida

    • @Witnessvlog
      @Witnessvlog Год назад

      Hakuna njia rahis kila kitu ni process na wew itakua mgeni kwenye hii channel. Mbona hua anashare fursa. Pitia videos za nyuma

  • @ModextaModexta-on7mi
    @ModextaModexta-on7mi Месяц назад

    😂😂😂😂

  • @Jaydenkulali
    @Jaydenkulali Год назад

    Huyu jamaa ni tapeli mkubwa wa habari za kupotosha!