WAJERUMANI NI WATU WAGUMU SANA| TULIWASILIANA WIKI 3 TU AKAPANDA NDEGE KUNIFATA |WENGI NI BIPOLAR

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • Enala ameeleza Safari ya kutumia mtandao kukutana na mume wake na changamoto za mahusiano kutokana na utofauti wa utamaduni.
    Anakwambia alitumia mtandao ndani ya miezi 6 tu na kukutana na mume wake, ambae waliwasiliana kwa Wiki 3 tu na mume kupanda ndege kumfuata.
    Thank you Ena for allowing this to be online
    www.oda.international

Комментарии • 131

  • @zainabsibuma-omary7061
    @zainabsibuma-omary7061 2 месяца назад +1

    Binti mrembo na heshima zake. Kudos kwa wazazi wakali wamelea binti kanyooka na msimamo. Hongereni sana. Asanteni mazungumzo mazuri kama arudi tena tupate muendelezo.
    Lugha inabidi apambane aweze kujichanganya na maisha ya hapo. Nyumbani Mwenyezi mungu akikujalia utarudi hata matembezi. Msikilize mumeo, jengeni maisha yenu hapo, mtarudi Nyumbani Tz panapo majaliwa na uhai.

  • @ashurajuma2024
    @ashurajuma2024 7 месяцев назад +11

    Nimekupenda sana dada ,umenifurahisha kuona unatamani kukaa nyumbani kuwa na mji wako..umekuwa na akili kama zangu 😂😂😂.maisha marefu kwako na mumeo

  • @paulalove1223
    @paulalove1223 7 месяцев назад +10

    Enala nilkua namuona tu TikTok jmn I'm happy to hear her story nilitaman nijue
    Ila ndoa tamu kanenepa😊

  • @dianaleole5383
    @dianaleole5383 7 месяцев назад +7

    Enala anaongoea vizuri sana 😊 pia nawewe mubarikiwe sana

  • @NiceWatson-y7e
    @NiceWatson-y7e 7 месяцев назад +6

    Kabisa my dear usiangalie maisha ya mtu na kuna tofaut kubwa kati ya kuolewa na mzee na kuolewa na kijana

  • @saysophyfarm1780
    @saysophyfarm1780 6 месяцев назад +4

    Enala please ishi huko umtunze mama mkwe wako, she deeply loves you, cherrish her, she is a gem

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 7 месяцев назад +2

    You are so gorgeous girl all the best our sister keep up well our brother in law

  • @josephtwopointoh
    @josephtwopointoh 4 месяца назад +2

    You were raised well, kudos to your parents

  • @hildahillary9586
    @hildahillary9586 7 месяцев назад +9

    Nilikuwa na subiria sana interview na huyu dada she is so beautiful

  • @yunismashoo846
    @yunismashoo846 7 месяцев назад +5

    Nimewapenda wote santeni 😍😍

  • @gracejayne4580
    @gracejayne4580 7 месяцев назад +2

    Official dating assistant I love your look in this video . Wow your well done hair, your beautiful dress... you're so attractive. I wish you give us that look in all your videos .❤

  • @husseinsalimbora3534
    @husseinsalimbora3534 7 месяцев назад +4

    Ahsante dada nipo na wewe daima katka couching zako.

  • @sophiasophia9713
    @sophiasophia9713 7 месяцев назад +4

    She's beautiful na akili nyingi sana❤

  • @linnahmusiba4365
    @linnahmusiba4365 7 месяцев назад +1

    Nana you are the best congratulations

  • @MartinaMsimbe-qk8ug
    @MartinaMsimbe-qk8ug 5 месяцев назад +1

    Binti nimempeda yupo vizuri❤❤❤

  • @maria_mutondioriginal5
    @maria_mutondioriginal5 7 месяцев назад +5

    Nimegundua wajerumani ni wakali ila ni watoaji sana wa pesa wanajua wajibu wao kama vichwa vya familia

  • @emmystephen1518
    @emmystephen1518 28 дней назад +1

    Wapooo

  • @ClaraRuhara
    @ClaraRuhara 4 месяца назад

    Safi sana Enala umeongea vizuri

  • @carolotieno26
    @carolotieno26 7 месяцев назад +3

    Very inspiring

  • @JanethJaneth-b5f
    @JanethJaneth-b5f 7 месяцев назад +1

    Nimewapenda bulee❤❤❤❤

  • @laetitiamathe5779
    @laetitiamathe5779 7 месяцев назад +3

    Amazing story

  • @ElikanaKiheka
    @ElikanaKiheka 5 месяцев назад +1

    Safi sana aiseee

  • @rukiyajama3492
    @rukiyajama3492 7 месяцев назад +1

    Mungu akubariki

  • @estasiashiringa1038
    @estasiashiringa1038 7 месяцев назад +1

    Ilikuwa Nzuri sana 😊

  • @NattiePeter
    @NattiePeter 5 месяцев назад

    Asante shena
    Asante Enala

  • @MadinaAbduKyabazinga
    @MadinaAbduKyabazinga 7 месяцев назад +3

    Shena uwe unauliza maswali ungeuliza reaction yao ilikuaje baada ya wao kumeet for the first day

  • @NiceWatson-y7e
    @NiceWatson-y7e 7 месяцев назад +2

    Agemate big up sana

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 7 месяцев назад +1

    M napenda mzungu na mweusi waki changa dam😊

  • @wemamanikana9791
    @wemamanikana9791 7 месяцев назад

    Asante nimejifunza

  • @jennifersongani2734
    @jennifersongani2734 7 месяцев назад +3

    Wajerumani 🔥

  • @esterkivaria8986
    @esterkivaria8986 7 месяцев назад +7

    Mama zetu wa kiafrika 😅😅

  • @GraceMona-v5b
    @GraceMona-v5b 5 месяцев назад

    Nana mcute jamani hongera😊

  • @zurfapahenge8802
    @zurfapahenge8802 7 месяцев назад +1

    Finally ❤

  • @vailetheanyambilile9749
    @vailetheanyambilile9749 7 месяцев назад +2

    ASANTE SAN enala

  • @SuzanneMyles
    @SuzanneMyles 7 месяцев назад

    Nakupenda ❤❤❤

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 7 месяцев назад +3

    Mama Mjedaa 😂😅

  • @SuzanneMyles
    @SuzanneMyles 7 месяцев назад +1

    Enala babe❤❤❤😊

  • @sasibaluk5758
    @sasibaluk5758 7 месяцев назад +1

    How I can contact you

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 3 месяца назад +1

    Mi nachoamini kila mmoja bwana ma maisha yake,iwe ni kw awazingu au laa!
    Ndo maana ht interview humu story ni tofauti hzifanani
    Kuna ambao wamepata wanaume wazungu ambao wanawatunz vzr wanapewa pesa ,na kuna amabo qamembiwa wafanye kazi
    Jmn kil ammoja kivyake cha mhimu kuzi gati vitu mhimu,focus kwa unachotaka

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 3 месяца назад

    Hakika , mwanamke anaweza badirisha mwanaume Kwa Neema ya Mungu

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 7 месяцев назад +2

    Wasichana wakipindi hiki muwe macho mambo yanabadilika wazungu wazungu watawalaani.mashoga.mengi huyu mwacheni

  • @lucymakendi2728
    @lucymakendi2728 3 месяца назад +1

    ❤❤

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 3 месяца назад

    Mama wa kiafrika ktk ubir wake
    Dadeki mpk raha anafuatilia mpk chuo
    Nimempenda huyo mama

  • @onesmowega85
    @onesmowega85 7 месяцев назад +1

    Msongole❤

  • @monicaqawo459
    @monicaqawo459 5 месяцев назад +1

    Shena natamani tungesikia your exclusive

  • @chayogasperi9783
    @chayogasperi9783 7 месяцев назад +3

    Shennah hilo swali la " unaelezeaje baada ya kuolewa na mzungu wanakuona tajiri " Mama Mzungu , wanajua una hela , tajiri umeshaliuliza sana , limeshajibiwa sana , kuendelea kuliuliza kila siku sioni kama lina faida tena ,
    Watazamaji wako tumeshaelewa .
    Uliza maswali mapya .

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  7 месяцев назад +3

      Nitumie maswali mapya

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 7 месяцев назад +5

      @@OfficialDatingAssistance
      1 . Tungependa kujua baada ya kufika majuu miezi yake ya mwanzo ilikuwa na changamoto gani ??
      Vyombo vya usafiri , supermarkets , grocery stores mwanzoni alipata changamoto gani ??
      2 . Je imechukua muda gani mpaka kaweza kumkaribisha Mama yake au Baba au dada yake ( Kwa wale ambayo wamewahi kualika ndugu zao .
      3 . Je imechukua muda gani kupata makaratasi / vibali. vya kazi na kuishi na changamoto ilikuwa ni nini au kwanini kwake amepata mapema ??
      4 . Je ndoto alizokuwa nazo muda mrefu za kudate au kuolewa na mzungu amekuta ni zile zile au amewakuta wazungu wako tofauti na alivyokuwa anawafikiria ??
      5 . Profile yake huko kwenye mitandao ya kimahusiano alitumia hiyo hiyo kila mtandao au kila mtandao aliweka tofauti ??
      6 . Je familia ya mume au mke ilikupokeaje baada ya kuonana nao ??
      6 . . Kama mgeni wako ni mjasuriamali mwulize ugumu au wepesi wa kuanzisha biashara kwenye nchi husika .
      7 . Mwulize kwenye nchi aliyopo kama binti yuko Africa ana ndoto ya kufika nchi hiyo na angependa kuwa mjasuriamali je atafute ujuzi kwenye kazi zipi ambazo zina soko kwenye nchi husika ??
      8 . Kila mgeni anaekuja mwulize Kwa culture ya mume wake au mke wake ni tabia ipi ambayo hutakiwi kuionyesha , kwetu ni sawa lakini kwao inawakwaza , hii itasaidia wanaotafuta wenza wajifunze .
      9 . N.k

    • @ManyemaCollection
      @ManyemaCollection 7 месяцев назад

      Nimekupenda bure

    • @NiceWatson-y7e
      @NiceWatson-y7e 7 месяцев назад

      😊

  • @KwizeLee
    @KwizeLee 7 месяцев назад

    jamani iyo tinda tunaweza kuyitumiya ni app gani na inaomba pesa?

  • @NiceWatson-y7e
    @NiceWatson-y7e 7 месяцев назад +2

    Ushaur kwa agement Enala kaa ujerumani fanya cha maana usirud bongo myb kwenda kutembea tu

    • @Urembomilele_
      @Urembomilele_ 7 месяцев назад

      Yan ataelewa badae

    • @emmanuelchiza7733
      @emmanuelchiza7733 7 месяцев назад +1

      Acha fikra za kitumwa asirudi wewe
      tz kwanini? unafikiri ulaya ni peponi we bogasi kweli,,

    • @blessedaggie9159
      @blessedaggie9159 6 месяцев назад +1

      Jamani, muacheni afanye anachotaka...maisha sio ulaya tu

    • @janethalley4046
      @janethalley4046 5 месяцев назад

      Huyu dada anajua anachokifanya, my dears nimeishi nje 4 good years sio rahisi kama mnavyofikiria. Maisha ni magumu na hakuna enjoyment kama huku kwetu kwa hiyo mpaka amesema anataka kurudi anajua kitu gani atakuja kufanya huku kwetu

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 5 месяцев назад +1

    Inala ni wa kishua😂

  • @NzeyimanaVéronique
    @NzeyimanaVéronique 4 месяца назад

    Kabisa

  • @MadinaMalk-yd6kp
    @MadinaMalk-yd6kp 7 месяцев назад +2

    Nice interview ❤️

  • @GGgh-dv8pd
    @GGgh-dv8pd 3 месяца назад

    Tupen Namba zenu

  • @DativaVedasto
    @DativaVedasto 4 месяца назад +1

    Dada shena unanifurahisha eti unaoga mahela hahahah

  • @eobardthawne7126
    @eobardthawne7126 7 месяцев назад

    How do I get on the show?

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt 7 месяцев назад

    Safi cana

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 3 месяца назад

    Yuko sahihi ,picha unazoweka ndio zitakuletea mtu unaemtaka

  • @AngelMinga-x6b
    @AngelMinga-x6b 2 месяца назад

    Dada shena mm spo facebok nifanyaje

  • @jossekiswaga9564
    @jossekiswaga9564 7 месяцев назад +1

    Nimekupenda bure dada

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 7 месяцев назад +2

    Jitahid ukae German kidogo Enala

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 3 месяца назад

    😂😂nimecheka majibu ya mama ss

  • @mwaneylushino3389
    @mwaneylushino3389 7 месяцев назад +1

    Natamani kujua profile yake tinder aliiwekaje,aliandikaje na picture zilikuwaje na zilikuwa ngapi

  • @AshaMohamed-ib4le
    @AshaMohamed-ib4le 3 месяца назад +1

    Shena natafuta Ile interview ya yule dada alisimulia mume wake aliondk alipo fika kwao alikuwa anaumwa na yeye anaumwa ndugu zake walimloga niandikaje nimeona amesema amekuta na mume wake

  • @magrethpeter6049
    @magrethpeter6049 7 месяцев назад

    Shena Mrs mzungu😂😂😂

  • @ZawadiJoeli
    @ZawadiJoeli 7 месяцев назад

    🤗❤️

  • @timothykaiza327
    @timothykaiza327 4 месяца назад

    Eti mama anapenda maua, kwa mama wa kibongo gani aache kupenda vtenge.

  • @JaniferMichael
    @JaniferMichael 7 месяцев назад

    Hatusikii

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 5 месяцев назад +1

    Uyu dada bado ajui anataka nn, kwaio anataka kukaa bongo aolewe na mjerumani?? Atakua hamtendei haki uyo mzungu...

  • @ameeranassor1619
    @ameeranassor1619 6 месяцев назад

    Kila mbongo anataka mzungu,unadhani utapata mwanaume wa peke yako, mtashare tu, kama daladala ak😊ishuka huyu anapaanda huyu siku nzima

    • @ephigenianyange711
      @ephigenianyange711 5 месяцев назад

      Sidhanii..na ikitokea akikuacha atakulipa

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 3 месяца назад

      Wala wapo wadada wabongo ambao hawataki na hawana hata Muda n wazungu .
      Na wengi wanatoaka wazungu wamepitwa kwenye matukio sn ya kuumizwa na wanaume wanaamua kuangaia upande wa pili

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl 6 месяцев назад

    Na mimi niko Oman Nikiwa na story nakupataje

  • @abdullahaljabri110
    @abdullahaljabri110 6 месяцев назад

    Tatizo wasichana wa bongo wengi wao wanatama na kutakaa kwa haraka alafu pesa wameweka mbelee sana kuliko utu

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 7 месяцев назад +1

    Dada tuletee wanaume Hawa wanawake wanategemea wanaume kwenye kuaso kwao mwanaume ndo ana stori nzuri ya kwake bila kumtegemea mtu tuletee wanaume Hawa madada story zao za wanaume inawezekana bila wanaume wa kizungu madada wa kiafrika ulaya awapawezi tupe dume

    • @brendajulius2995
      @brendajulius2995 7 месяцев назад +1

      Acha mawazo mgando kuna madada mahustler mbaya na hao wanaume unaowataja wadangaji pia wapo wengi tu km upo nje ndo utaelewa. Usijudge watu

    • @suleimanbalemba3348
      @suleimanbalemba3348 7 месяцев назад +1

      Sijamaanisha ni wadangaji nimesema tunataka motivation ya pande zote mbili Sasa mdada amekalia nimekutana na bwana ndo kanileta na wanaume mnamaanisha wakutane na mabwana tupe story nzuri yaan mabwana wawe wamekutana kwenye safari ya hustling

    • @brendajulius2995
      @brendajulius2995 7 месяцев назад +1

      @@suleimanbalemba3348 ndo nakujuza wanaume kibao wamefika ulaya na us kwa sababu ya wake zao🤣🤣🤣 kutoka Africa kuja huku kwa hustling sio easy kihivyo unavyodhani. Ni wachache sana wanaofika hvyo. Na huko mitandaoni wamejaa wanaume wa kiafrika ambao wako tayari hata kulipia ndoa za makaratasi ili waje sababu njia rahisi zaidi ya kufika nchi za watu ni kupitia ndoa kaka.

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  7 месяцев назад

      Maneno mazuri kabisa

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  7 месяцев назад

      Well said

  • @IreneMsuya-y3r
    @IreneMsuya-y3r 3 месяца назад

    Je wazungu wakiachana huwa wanatembeleana kama mfano wa baba yako mkwe na mama mkwe wako au

  • @Serenawilson11
    @Serenawilson11 7 месяцев назад +2

    Kuishi na wagermany sio kazi ndogo inatakiwa uwe kichaa hahaah arafu niseme hata mm nmepoteza marafiki wote sababu wakiniomba hela nasema sina wananinunia had leo sina rafiki ....

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  7 месяцев назад

      Karibu kwenye kipindi Serena tupate darasa kutoka kwako

    • @Serenawilson11
      @Serenawilson11 7 месяцев назад

      @@OfficialDatingAssistance mambo yangu hayajakaa sawa dear ila takutafuta namba yako ninayo

    • @immaculateakilimali7220
      @immaculateakilimali7220 7 месяцев назад

      Kujiunga na darasa ni kiasi gani

    • @Serenawilson11
      @Serenawilson11 7 месяцев назад

      @@immaculateakilimali7220 umemuelewa kwel dada shena ? Anamaansha nikaribie kutoa darasa

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 3 месяца назад +1

      Wapuuzi ww hela unachuma?
      Wapotezee wajinga sio marafiki hao

  • @PetraBartosova-o6h
    @PetraBartosova-o6h 7 месяцев назад

    Uyu dada tulipanda nae boti ya azam alikuwa na mzungu wake nimemkumbuka toka Zanzibar to dar

  • @estasiashiringa1038
    @estasiashiringa1038 7 месяцев назад +1

    Nipo full white 😂😂😂😂

  • @Nakhtal
    @Nakhtal 7 месяцев назад +1

    huyu dada anaongea ukweli mm hapa nadate na mjerumani chamoto nakipata

    • @MaaneML
      @MaaneML 7 месяцев назад

      Mimi nimeshakula na block kabisa. Niliona red flag nikamuliza ikawa kosa. Mzee miaka 58 ila niliona kama yuko na stress Sana.

    • @ZintanaAhmedy-pe4ou
      @ZintanaAhmedy-pe4ou 5 месяцев назад

      Mhh ndugu yanguu Mimi nakarbia kufa kabisa na stress king'ang'anizi anajali sana kuhusu Mimi lakini Hela hanipi na Kila siku akija kwangu yeye Hana Hela inafika kipindi naona anajitesa hata yeye mwenyewe. Amepungua sas Mimi hata sielewii jamani nachokaaaa😢😢😢

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 3 месяца назад

      ​@@ZintanaAhmedy-pe4ouss SI umuache? Au mumeoana?

  • @annamussa185
    @annamussa185 7 месяцев назад +1

    Jamani hivi Tinder huwa wanalipia or free?

    • @mariamkibindo1741
      @mariamkibindo1741 7 месяцев назад +1

      Za kulipia ni uhakika

    • @victorianambololo5718
      @victorianambololo5718 7 месяцев назад +2

      Mimi nimejaribu kulipia,baada ya kutengeza card,lakini bado sijapata access ya kutuma ama kureply msg.

    • @rosemerryfaustin1900
      @rosemerryfaustin1900 7 месяцев назад

      ​@@victorianambololo5718 umelipia vipi tafadhali

  • @SamiraSalim-w5t
    @SamiraSalim-w5t 6 месяцев назад

    Poa

  • @MadinaMalk-yd6kp
    @MadinaMalk-yd6kp 7 месяцев назад +2

    ❤️❤️❤️

  • @Lizzyktd
    @Lizzyktd 7 месяцев назад +2

    ❤❤❤❤

  • @jennifersongani2734
    @jennifersongani2734 7 месяцев назад +1

    ❤❤❤

  • @JescaSesuni
    @JescaSesuni 7 месяцев назад

    ❤❤

  • @teddyvicky9901
    @teddyvicky9901 7 месяцев назад +1

    ❤❤❤

    • @JessyKalonga
      @JessyKalonga 5 месяцев назад

      Hongera msongole nilihudhuria Arusi yako karibu Tegeta