WAJERUMANI NI WATU WAGUMU SANA| TULIWASILIANA WIKI 3 TU AKAPANDA NDEGE KUNIFATA |WENGI NI BIPOLAR

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 фев 2025

Комментарии • 133

  • @zainabsibuma-omary7061
    @zainabsibuma-omary7061 6 месяцев назад +2

    Binti mrembo na heshima zake. Kudos kwa wazazi wakali wamelea binti kanyooka na msimamo. Hongereni sana. Asanteni mazungumzo mazuri kama arudi tena tupate muendelezo.
    Lugha inabidi apambane aweze kujichanganya na maisha ya hapo. Nyumbani Mwenyezi mungu akikujalia utarudi hata matembezi. Msikilize mumeo, jengeni maisha yenu hapo, mtarudi Nyumbani Tz panapo majaliwa na uhai.

  • @ashurajuma2024
    @ashurajuma2024 11 месяцев назад +12

    Nimekupenda sana dada ,umenifurahisha kuona unatamani kukaa nyumbani kuwa na mji wako..umekuwa na akili kama zangu 😂😂😂.maisha marefu kwako na mumeo

  • @paulalove1223
    @paulalove1223 11 месяцев назад +10

    Enala nilkua namuona tu TikTok jmn I'm happy to hear her story nilitaman nijue
    Ila ndoa tamu kanenepa😊

  • @saysophyfarm1780
    @saysophyfarm1780 10 месяцев назад +5

    Enala please ishi huko umtunze mama mkwe wako, she deeply loves you, cherrish her, she is a gem

  • @josephtwopointoh
    @josephtwopointoh 8 месяцев назад +3

    You were raised well, kudos to your parents

  • @erastosanga1694
    @erastosanga1694 11 месяцев назад +3

    You are so gorgeous girl all the best our sister keep up well our brother in law

  • @yunismashoo846
    @yunismashoo846 11 месяцев назад +6

    Nimewapenda wote santeni 😍😍

  • @gracejayne4580
    @gracejayne4580 11 месяцев назад +3

    Official dating assistant I love your look in this video . Wow your well done hair, your beautiful dress... you're so attractive. I wish you give us that look in all your videos .❤

  • @husseinsalimbora3534
    @husseinsalimbora3534 11 месяцев назад +5

    Ahsante dada nipo na wewe daima katka couching zako.

  • @NiceWatson-y7e
    @NiceWatson-y7e 11 месяцев назад +7

    Kabisa my dear usiangalie maisha ya mtu na kuna tofaut kubwa kati ya kuolewa na mzee na kuolewa na kijana

  • @linnahmusiba4365
    @linnahmusiba4365 10 месяцев назад +1

    Nana you are the best congratulations

  • @MartinaMsimbe-qk8ug
    @MartinaMsimbe-qk8ug 8 месяцев назад +1

    Binti nimempeda yupo vizuri❤❤❤

  • @sophiasophia9713
    @sophiasophia9713 11 месяцев назад +4

    She's beautiful na akili nyingi sana❤

  • @laetitiamathe5779
    @laetitiamathe5779 11 месяцев назад +3

    Amazing story

  • @carolotieno26
    @carolotieno26 11 месяцев назад +3

    Very inspiring

  • @JanethJaneth-b5f
    @JanethJaneth-b5f 11 месяцев назад +1

    Nimewapenda bulee❤❤❤❤

  • @NiceWatson-y7e
    @NiceWatson-y7e 11 месяцев назад +2

    Agemate big up sana

  • @SuzanneMyles
    @SuzanneMyles 11 месяцев назад +1

    Enala babe❤❤❤😊

  • @ClaraRuhara
    @ClaraRuhara 8 месяцев назад

    Safi sana Enala umeongea vizuri

  • @maria_mutondioriginal5
    @maria_mutondioriginal5 10 месяцев назад +6

    Nimegundua wajerumani ni wakali ila ni watoaji sana wa pesa wanajua wajibu wao kama vichwa vya familia

  • @estasiashiringa1038
    @estasiashiringa1038 11 месяцев назад +1

    Ilikuwa Nzuri sana 😊

  • @NattiePeter
    @NattiePeter 9 месяцев назад

    Asante shena
    Asante Enala

  • @hildahillary9586
    @hildahillary9586 11 месяцев назад +9

    Nilikuwa na subiria sana interview na huyu dada she is so beautiful

  • @zurfapahenge8802
    @zurfapahenge8802 11 месяцев назад +1

    Finally ❤

  • @ElikanaKiheka
    @ElikanaKiheka 9 месяцев назад +1

    Safi sana aiseee

  • @jennifersongani2734
    @jennifersongani2734 11 месяцев назад +3

    Wajerumani 🔥

  • @vailetheanyambilile9749
    @vailetheanyambilile9749 11 месяцев назад +2

    ASANTE SAN enala

  • @rukiyajama3492
    @rukiyajama3492 11 месяцев назад +1

    Mungu akubariki

  • @Sidrasidra636
    @Sidrasidra636 11 месяцев назад +1

    M napenda mzungu na mweusi waki changa dam😊

  • @wemamanikana9791
    @wemamanikana9791 11 месяцев назад

    Asante nimejifunza

  • @SuzanneMyles
    @SuzanneMyles 11 месяцев назад

    Nakupenda ❤❤❤

  • @sasibaluk5758
    @sasibaluk5758 11 месяцев назад +1

    How I can contact you

  • @KhalidiBakar
    @KhalidiBakar 2 месяца назад

    Nistori nzuri😂

  • @haikamasoud2982
    @haikamasoud2982 2 месяца назад

    Nakuelewa sana na mm nimepitia hayo

  • @MadinaAbduKyabazinga
    @MadinaAbduKyabazinga 11 месяцев назад +3

    Shena uwe unauliza maswali ungeuliza reaction yao ilikuaje baada ya wao kumeet for the first day

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 11 месяцев назад +3

    Mama Mjedaa 😂😅

  • @emmystephen1518
    @emmystephen1518 4 месяца назад +1

    Wapooo

  • @esterkivaria8986
    @esterkivaria8986 11 месяцев назад +7

    Mama zetu wa kiafrika 😅😅

  • @GraceMona-v5b
    @GraceMona-v5b 9 месяцев назад

    Nana mcute jamani hongera😊

  • @jennifersongani2734
    @jennifersongani2734 11 месяцев назад +1

    ❤❤❤

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 7 месяцев назад +1

    Mi nachoamini kila mmoja bwana ma maisha yake,iwe ni kw awazingu au laa!
    Ndo maana ht interview humu story ni tofauti hzifanani
    Kuna ambao wamepata wanaume wazungu ambao wanawatunz vzr wanapewa pesa ,na kuna amabo qamembiwa wafanye kazi
    Jmn kil ammoja kivyake cha mhimu kuzi gati vitu mhimu,focus kwa unachotaka

  • @onesmowega85
    @onesmowega85 11 месяцев назад +1

    Msongole❤

  • @eobardthawne7126
    @eobardthawne7126 11 месяцев назад

    How do I get on the show?

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 7 месяцев назад

    Hakika , mwanamke anaweza badirisha mwanaume Kwa Neema ya Mungu

  • @ZawadiJoeli
    @ZawadiJoeli 11 месяцев назад

    🤗❤️

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 7 месяцев назад

    Mama wa kiafrika ktk ubir wake
    Dadeki mpk raha anafuatilia mpk chuo
    Nimempenda huyo mama

  • @KwizeLee
    @KwizeLee 10 месяцев назад

    jamani iyo tinda tunaweza kuyitumiya ni app gani na inaomba pesa?

  • @Judy-dy4zt
    @Judy-dy4zt 11 месяцев назад

    Safi cana

  • @NzeyimanaVéronique
    @NzeyimanaVéronique 8 месяцев назад

    Kabisa

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale3919 11 месяцев назад +2

    Wasichana wakipindi hiki muwe macho mambo yanabadilika wazungu wazungu watawalaani.mashoga.mengi huyu mwacheni

  • @chayogasperi9783
    @chayogasperi9783 11 месяцев назад +3

    Shennah hilo swali la " unaelezeaje baada ya kuolewa na mzungu wanakuona tajiri " Mama Mzungu , wanajua una hela , tajiri umeshaliuliza sana , limeshajibiwa sana , kuendelea kuliuliza kila siku sioni kama lina faida tena ,
    Watazamaji wako tumeshaelewa .
    Uliza maswali mapya .

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  11 месяцев назад +3

      Nitumie maswali mapya

    • @chayogasperi9783
      @chayogasperi9783 11 месяцев назад +5

      @@OfficialDatingAssistance
      1 . Tungependa kujua baada ya kufika majuu miezi yake ya mwanzo ilikuwa na changamoto gani ??
      Vyombo vya usafiri , supermarkets , grocery stores mwanzoni alipata changamoto gani ??
      2 . Je imechukua muda gani mpaka kaweza kumkaribisha Mama yake au Baba au dada yake ( Kwa wale ambayo wamewahi kualika ndugu zao .
      3 . Je imechukua muda gani kupata makaratasi / vibali. vya kazi na kuishi na changamoto ilikuwa ni nini au kwanini kwake amepata mapema ??
      4 . Je ndoto alizokuwa nazo muda mrefu za kudate au kuolewa na mzungu amekuta ni zile zile au amewakuta wazungu wako tofauti na alivyokuwa anawafikiria ??
      5 . Profile yake huko kwenye mitandao ya kimahusiano alitumia hiyo hiyo kila mtandao au kila mtandao aliweka tofauti ??
      6 . Je familia ya mume au mke ilikupokeaje baada ya kuonana nao ??
      6 . . Kama mgeni wako ni mjasuriamali mwulize ugumu au wepesi wa kuanzisha biashara kwenye nchi husika .
      7 . Mwulize kwenye nchi aliyopo kama binti yuko Africa ana ndoto ya kufika nchi hiyo na angependa kuwa mjasuriamali je atafute ujuzi kwenye kazi zipi ambazo zina soko kwenye nchi husika ??
      8 . Kila mgeni anaekuja mwulize Kwa culture ya mume wake au mke wake ni tabia ipi ambayo hutakiwi kuionyesha , kwetu ni sawa lakini kwao inawakwaza , hii itasaidia wanaotafuta wenza wajifunze .
      9 . N.k

    • @ManyemaCollection
      @ManyemaCollection 11 месяцев назад

      Nimekupenda bure

    • @NiceWatson-y7e
      @NiceWatson-y7e 11 месяцев назад

      😊

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 9 месяцев назад +1

    Inala ni wa kishua😂

  • @NiceWatson-y7e
    @NiceWatson-y7e 11 месяцев назад +2

    Ushaur kwa agement Enala kaa ujerumani fanya cha maana usirud bongo myb kwenda kutembea tu

    • @Urembomilele_
      @Urembomilele_ 11 месяцев назад

      Yan ataelewa badae

    • @emmanuelchiza7733
      @emmanuelchiza7733 11 месяцев назад +1

      Acha fikra za kitumwa asirudi wewe
      tz kwanini? unafikiri ulaya ni peponi we bogasi kweli,,

    • @blessedaggie9159
      @blessedaggie9159 10 месяцев назад +1

      Jamani, muacheni afanye anachotaka...maisha sio ulaya tu

    • @janethalley4046
      @janethalley4046 8 месяцев назад

      Huyu dada anajua anachokifanya, my dears nimeishi nje 4 good years sio rahisi kama mnavyofikiria. Maisha ni magumu na hakuna enjoyment kama huku kwetu kwa hiyo mpaka amesema anataka kurudi anajua kitu gani atakuja kufanya huku kwetu

  • @monicaqawo459
    @monicaqawo459 9 месяцев назад +1

    Shena natamani tungesikia your exclusive

  • @hellenelias8854
    @hellenelias8854 Месяц назад

    mama mnoko😂😂😂😂

  • @AngelMinga-x6b
    @AngelMinga-x6b 5 месяцев назад

    Dada shena mm spo facebok nifanyaje

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 7 месяцев назад

    😂😂nimecheka majibu ya mama ss

  • @GGgh-dv8pd
    @GGgh-dv8pd 7 месяцев назад

    Tupen Namba zenu

  • @magrethpeter6049
    @magrethpeter6049 11 месяцев назад

    Shena Mrs mzungu😂😂😂

  • @DativaVedasto
    @DativaVedasto 8 месяцев назад +1

    Dada shena unanifurahisha eti unaoga mahela hahahah

  • @AshaMohamed-ib4le
    @AshaMohamed-ib4le 6 месяцев назад +1

    Shena natafuta Ile interview ya yule dada alisimulia mume wake aliondk alipo fika kwao alikuwa anaumwa na yeye anaumwa ndugu zake walimloga niandikaje nimeona amesema amekuta na mume wake

  • @mwaneylushino3389
    @mwaneylushino3389 11 месяцев назад +1

    Natamani kujua profile yake tinder aliiwekaje,aliandikaje na picture zilikuwaje na zilikuwa ngapi

  • @JaniferMichael
    @JaniferMichael 11 месяцев назад

    Hatusikii

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 7 месяцев назад

    Yuko sahihi ,picha unazoweka ndio zitakuletea mtu unaemtaka

  • @MadinaMalk-yd6kp
    @MadinaMalk-yd6kp 11 месяцев назад +2

    Nice interview ❤️

  • @AlAl-sd9pl
    @AlAl-sd9pl 10 месяцев назад

    Na mimi niko Oman Nikiwa na story nakupataje

  • @jasiri25
    @jasiri25 9 месяцев назад +1

    Uyu dada bado ajui anataka nn, kwaio anataka kukaa bongo aolewe na mjerumani?? Atakua hamtendei haki uyo mzungu...

  • @ameeranassor1619
    @ameeranassor1619 9 месяцев назад

    Kila mbongo anataka mzungu,unadhani utapata mwanaume wa peke yako, mtashare tu, kama daladala ak😊ishuka huyu anapaanda huyu siku nzima

    • @ephigenianyange711
      @ephigenianyange711 8 месяцев назад

      Sidhanii..na ikitokea akikuacha atakulipa

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 7 месяцев назад

      Wala wapo wadada wabongo ambao hawataki na hawana hata Muda n wazungu .
      Na wengi wanatoaka wazungu wamepitwa kwenye matukio sn ya kuumizwa na wanaume wanaamua kuangaia upande wa pili

  • @abdullahaljabri110
    @abdullahaljabri110 10 месяцев назад

    Tatizo wasichana wa bongo wengi wao wanatama na kutakaa kwa haraka alafu pesa wameweka mbelee sana kuliko utu

  • @timothykaiza327
    @timothykaiza327 8 месяцев назад

    Eti mama anapenda maua, kwa mama wa kibongo gani aache kupenda vtenge.

  • @Serenawilson11
    @Serenawilson11 11 месяцев назад +2

    Kuishi na wagermany sio kazi ndogo inatakiwa uwe kichaa hahaah arafu niseme hata mm nmepoteza marafiki wote sababu wakiniomba hela nasema sina wananinunia had leo sina rafiki ....

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  11 месяцев назад

      Karibu kwenye kipindi Serena tupate darasa kutoka kwako

    • @Serenawilson11
      @Serenawilson11 11 месяцев назад

      @@OfficialDatingAssistance mambo yangu hayajakaa sawa dear ila takutafuta namba yako ninayo

    • @immaculateakilimali7220
      @immaculateakilimali7220 11 месяцев назад

      Kujiunga na darasa ni kiasi gani

    • @Serenawilson11
      @Serenawilson11 11 месяцев назад

      @@immaculateakilimali7220 umemuelewa kwel dada shena ? Anamaansha nikaribie kutoa darasa

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 7 месяцев назад +1

      Wapuuzi ww hela unachuma?
      Wapotezee wajinga sio marafiki hao

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 11 месяцев назад +1

    Dada tuletee wanaume Hawa wanawake wanategemea wanaume kwenye kuaso kwao mwanaume ndo ana stori nzuri ya kwake bila kumtegemea mtu tuletee wanaume Hawa madada story zao za wanaume inawezekana bila wanaume wa kizungu madada wa kiafrika ulaya awapawezi tupe dume

    • @brendajulius2995
      @brendajulius2995 11 месяцев назад +1

      Acha mawazo mgando kuna madada mahustler mbaya na hao wanaume unaowataja wadangaji pia wapo wengi tu km upo nje ndo utaelewa. Usijudge watu

    • @suleimanbalemba3348
      @suleimanbalemba3348 11 месяцев назад +1

      Sijamaanisha ni wadangaji nimesema tunataka motivation ya pande zote mbili Sasa mdada amekalia nimekutana na bwana ndo kanileta na wanaume mnamaanisha wakutane na mabwana tupe story nzuri yaan mabwana wawe wamekutana kwenye safari ya hustling

    • @brendajulius2995
      @brendajulius2995 11 месяцев назад +1

      @@suleimanbalemba3348 ndo nakujuza wanaume kibao wamefika ulaya na us kwa sababu ya wake zao🤣🤣🤣 kutoka Africa kuja huku kwa hustling sio easy kihivyo unavyodhani. Ni wachache sana wanaofika hvyo. Na huko mitandaoni wamejaa wanaume wa kiafrika ambao wako tayari hata kulipia ndoa za makaratasi ili waje sababu njia rahisi zaidi ya kufika nchi za watu ni kupitia ndoa kaka.

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  11 месяцев назад

      Maneno mazuri kabisa

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  11 месяцев назад

      Well said

  • @jossekiswaga9564
    @jossekiswaga9564 11 месяцев назад +1

    Nimekupenda bure dada

  • @estasiashiringa1038
    @estasiashiringa1038 11 месяцев назад +1

    Nipo full white 😂😂😂😂

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 11 месяцев назад +2

    Jitahid ukae German kidogo Enala

  • @PetraBartosova-o6h
    @PetraBartosova-o6h 11 месяцев назад

    Uyu dada tulipanda nae boti ya azam alikuwa na mzungu wake nimemkumbuka toka Zanzibar to dar

  • @IreneMsuya-y3r
    @IreneMsuya-y3r 7 месяцев назад

    Je wazungu wakiachana huwa wanatembeleana kama mfano wa baba yako mkwe na mama mkwe wako au

  • @Nakhtal
    @Nakhtal 11 месяцев назад +1

    huyu dada anaongea ukweli mm hapa nadate na mjerumani chamoto nakipata

    • @MaaneML
      @MaaneML 11 месяцев назад

      Mimi nimeshakula na block kabisa. Niliona red flag nikamuliza ikawa kosa. Mzee miaka 58 ila niliona kama yuko na stress Sana.

    • @ZintanaAhmedy-pe4ou
      @ZintanaAhmedy-pe4ou 8 месяцев назад

      Mhh ndugu yanguu Mimi nakarbia kufa kabisa na stress king'ang'anizi anajali sana kuhusu Mimi lakini Hela hanipi na Kila siku akija kwangu yeye Hana Hela inafika kipindi naona anajitesa hata yeye mwenyewe. Amepungua sas Mimi hata sielewii jamani nachokaaaa😢😢😢

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 7 месяцев назад

      ​@@ZintanaAhmedy-pe4ouss SI umuache? Au mumeoana?

  • @annamussa185
    @annamussa185 11 месяцев назад +1

    Jamani hivi Tinder huwa wanalipia or free?

    • @mariamkibindo1741
      @mariamkibindo1741 11 месяцев назад +1

      Za kulipia ni uhakika

    • @victorianambololo5718
      @victorianambololo5718 11 месяцев назад +2

      Mimi nimejaribu kulipia,baada ya kutengeza card,lakini bado sijapata access ya kutuma ama kureply msg.

    • @rosemerryfaustin1900
      @rosemerryfaustin1900 11 месяцев назад

      ​@@victorianambololo5718 umelipia vipi tafadhali

  • @SamiraSalim-w5t
    @SamiraSalim-w5t 10 месяцев назад

    Poa

  • @teddyvicky9901
    @teddyvicky9901 11 месяцев назад +1

    ❤❤❤

    • @JessyKalonga
      @JessyKalonga 9 месяцев назад

      Hongera msongole nilihudhuria Arusi yako karibu Tegeta

  • @Lizzyktd
    @Lizzyktd 11 месяцев назад +2

    ❤❤❤❤

  • @MadinaMalk-yd6kp
    @MadinaMalk-yd6kp 11 месяцев назад +2

    ❤️❤️❤️

  • @JescaSesuni
    @JescaSesuni 10 месяцев назад

    ❤❤

  • @lucymakendi2728
    @lucymakendi2728 6 месяцев назад +1

    ❤❤