KUTENGANA KWA MUDA KUNASAIDIA KUJENGA NDOA | MAISHA YA ULAYA YANA DEPRESSION NYINGI
HTML-код
- Опубликовано: 7 фев 2025
- Carol ametueleza uvumilivu ndio nguzo kuu ya kufikisha miaka 25 na ndoa yake, lakini sio uvumilivu wa kuteswa, ni uvumilivu wa maisha ya kawaida ya ndoa na changamoto zake.
Maisha ya Ughaibuni yanavyopelekea kupata Depression ( msongo wa mawazo)
Society pressure kutoka nyumbani Tanzania, malezi ya watoto , waingereza ni watu wa namna gani na maisha kiujumla ya nchini Uingereza.
Thank you Carol for allowing this to be online
www.Oda.international
Huyu wa leo ametoa bonge la Darasa...Kazi nzuri kwenu nyote na Mungu awabariki sana🙏🏾
Weee dada wa ZOZO tafuta kazi ya Terapi advaisor ur the best advisor.......hii kazi itakufaa 👍
Sio dada nimke
Ma Jesca uko vizuri sana hongera.
Kweli kabisa,watoto na wanawake Uk wanasikilizwa azidi ya wanaume,na single mothers ndo wamejaa,well said mama J
Hongera dada nakukubali kabisaa
Asante mama bongo zozo hongera sana kwa kuwazungumzisha kiswahili nakupongeza sana
So glad to finally meet Mama Jessica! You are so sweet with lots of wisdom! I love you😍
Asante sana Shena kwa kutuletea Mama Bongozozo!
nashukuru kwa elimu haina mwisho nimefurahi kupata madin💕❣mama Jesca asante kwa madini nimefurahi
Nimekupenda sana mama Jesca umeeleza in a general view yaani hujapersonalize mazungumzo. Huwa sipendi wale watu wanaenda into personal details e.g mtu anasema mimi huyu wangu hajatairi😢....Oohh mara mimi huyu wangu so and so, daah mimi huwa sipendi kwakweli😢 Thanks mama Jesca thank you Shena
Asante mama jesca mi kwenye break nimepaelewa
Kweli kabisa umeongea vizuri my dear,majority kwetu Afrika hawapati picha ya huku ulaya,wanadhani tumeoleka na mzungu then hatuna neno.
I really enjoy nimejifunza vingi ASante sana
Napenda mwanamke mpole kwa mumewe
Mama jesca uko vizur Sana mungu awalinde kwenye ndoa zenu
Kumbe ndiyo wewe mama jesca, hongera sana
Wazungu bhana wapo ambao wana Utu ndani Yao wanaume kwa wanawake, sema sasa kuna wengine wanakuchekea Mdomoni unafiki wanao sanaa
Watanzania wote malaika????au ww ndie mnafiki
😂😂jibu bora@@shifaaal-baity4503
Hongera binti Materu. Umeongea vizuri. Na unajitunza vizuri sana
You said it all sissy, very educational. Umefika UK 2001 wakati ninapata my baby, una 22yrs now hongera sana. Karibu London bado tupo sio kubaya kiviiile inategemea unakaa wapi pia.
Shena umetisha sana,tunazidi kujifunza
Asante nimejifuza kitu
Wooow hatimaye umempata mama jesca....shena you are spreading you wings so good my dear keep it up ..unatuelimisha,kuburudisha na kujifunza kwakweli
Ahsante sana
Nashukuru
Wanaosumbuwa maranyingi ni marafiki , kuliko hata ndugu. Maana ndugu unakuwa umeshawaekewesha. Kwa kweli wanasumbuwa sanaa.
What a Milestone my nyau 🙌👏👏 Najivunia kuwa rafiki yako ❤️❤️❤️
Nakupenda sana mama jeska.Ndo maana unazid kuwa mrembo hutak stress
Nakupenda mama jecka ❤
Kweli kabisa
Nakupenda
I LIKE HER🎉🎉🎉🎉
Woww inapendeza sana naipenda sana hii familia
Nimkupenda sana mama bongo zozo umeleza ukweli
Kafanana na Monalisa❤ actress
We work so hard for our money!
Rent na bills ndo killer ya ulaya
Umeongea ukweli sana mama jesca ahsant kwa ushauli wako
Sio ushauli sema ushauri kiswahili fasaha
Nimefurahi kutuletea mama jesca hapa
Kweli kabisa maneno yako dada
Mama jeska jamani alikuwa mrembo huyu dada na bado mrembo hongera mmedumu Sana na mumeo
Mchaga org❤
Nawapenda sana wewe na mumeo
Yani mama jesca hadi raha anaonekana mtu wa masihara😂wameendana Tunawapenda❤
Mama Jesca amemaliza kutoa maelezo yote ya msingi ambayo mtu yeyote muelewa ameweza kuyapata , kwamba 'maisha ni popote ' Utakavyoyaishi ndivyo yatakavyokupeleka .
Mama Jessssaica unatoa siri za chumbani - eti mgeni ataondoka saa ngapi! 😂😂😂😂
🤣
😂
My sister 👏🥰
Mama jesca 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
My dear younger sister mm nimeolewa na mdutch miaka nane sasa Ira kipindi chenu kimenifumbua mengi sana na shukuru kwamdaa wenu make mnasaidia sana
Ahsante sana Neema, kama hutojali diku moja utupatie experience ya miaka nane 🙏
Usisahau lugha yko...nini maana ya ira???
50/50 Naitoa bila kinyongo maisha huku sio rahisi kabisa.tabia za Kitanzania Achana nazo airport n’a tabia y’a kupenda kupewa Sahau
Mama Jessica 👍👍👍👍👏👏👏💪💪💪💜
Kweli dada hapaa uk maishaa maguu sana kweli kabisa
Nampenda sana mama jessica
napenda sana hii family ya mm jesca na bongo zozo
Kabisa nami nimehacha kabisa
maisha mepesi Africa wambieni hapa mimi na savaivu kwa buku 😜😜😜
😂😂😂mama Jessica usisemee hivo ndoskina sisi hapa tupo miaka hiyo 29 hongera
Nikwer Sana watoto wakizungu hawana adabu kabisa,,hawana hofu ya mungu kabisa
Nikwer????????😂
Mwambie hawa wasiotoka nje wabajua watu wa nje usipotumia pesa anakuona mbaya daa 😢
👏🏾👏🏾
Mzungu ni Binadamu Kama binadamu wengine tuu Sema tu desturi na mila zao ni ngumu
Wewe mama jess uko peponi!
Bongozozo naomba Interview na wewe 🙏 tujifunze ya wazungu sasa 😁
Mamaaaaa bongo zozoooooo😂
Fanya interview nae nyingine
Nimemsikiliza mama jesca hadi hamu ya kuja ulaya imekata
Hata mimi aisee
Mimi ni Mtanzania ila kiukweli hii ya kujua mtu yupo mpaka lini ni haki kabisa. Siyo unaenda kwa mtu unasimamisha shughuli za wenyeji wako bila utaratibu.
Umaskini hauishi sababu ya hayo. Kipato hakiongexeki sababu ya desturi. Na ukiangalia hata walifanikiwa afrika wamekupa na misimamo. Japo ndo wanaonekana wabaya
Safi sana Mama Jesca Kwa story nzuri tumekuelewa
Mama jeska jamani umetueleza vizuri nno
unakumbuka nilikwambia wazungu ni wanyanyasaji haswa ukiwa kwao leo dada kaeleza uwazi wanachukuliana mpaka wanaume nikama huku
Huyu dada kapokelewa vzr sana n family y mumewe mpaka babu n bibi yake mmewe wamempenda .na huku TZ kila siku majanga ktk family sio wazungu tu acha roho mbaya👺👹
Familia Yao Inavituko sana muda wote wanaznguana😅familia Ina furaha hasa bongo zozo anamambo mengi😂
Shena msichana mzuri ,ulitakiwa kuolewa na mwafrika mwenye pesa akutunze mama , 😂 wazungu watakuzeesha bure na stress .
Mwafrika ni malaika? Hapa east Africa upo ukatili mwingi mno kwa wtt na mama zao
@@shifaaal-baity4503 kwani ulaya ndio hakuna ukatili Kwa watoto na mama zao!!!??? Tembea duniani uone majanga mama . Shukuru mungu kama amekupatia mume mwema , sisi sote ni bin adam .
@@marykennedymarwa1641ndio nashkuru mungu..niko salama. Lkn wewe ndie uliesema ķua huyu dada aolewe na mwafrika amtunze unakusudia mwafrika ni bora zaidi??? Kila jamii duniani kuna wema na wabaya
Eti hukutaka kunibadilisha, misuto yote ya nini? 😅😅😅😅
Ila nyinyi 😁😁
😂😂😂jmn hadi raha
Mimi pia marafiki sasaiv nimewaweka huko ndugu wanatosha hawaniombi pesa ovyo hapo kwenye 50 /50 utake usitake inakusu tena kuna muda inabidi mwanamke usave la sivyo maji umeme utakatwa 😂😂 nyie ulaya kuzuri kama utapanulia
Sometimes naregret kuolewa na mzungu 😅😅nishazoea makelele yangu nimekutana na mtu Sometimes unaambiwa baby I don't wanna talk now I need my time yaani wazungu wana vichaa kwa mbali😂😂
That is so rude!!!!
@@aggiemarley5742 very rude
😂😂😅😅 aisee ngumu
@@fettyrashid9042 shidaaa
😆
Mpaka umetaja zawadi! Tai ama?
Hela watafute. Pia ni jukumu la kila mtu kutumia mbinu kupata hela
❤❤❤❤
Mama jesca ondoa mtako wako hapa😂😂😂😂
Akili mingi ma J
Bonge moja ya darasa from mama jesca
Lkn situmii dating ya tinder ni dating zingine lkn pia malipo yanafanana ni vile vile kama tinder ila haitaki kufanya muamala
Wakorofi kama wanawake wa machame
Ni kweli yote ameongea kisha dada ni mtu mzuri na ni mrembo kabisa
Safl sn dada earo nondo nzur ieo tupige kaz
kuna mtu yuko marekan akija tuna mchangia nauri ya kurudi😜😜😜
unakondaje uso mama zozo kwa uchovu!!?!
Da shena naomba nifunfishe kujiunga online dating yako
Dd kila nikijaribu kulipia online dating inakataa mimi nipo uarabuni na kadi yanga ni Tanzania mastercard lkn hitaki kufanya muamala tatizo ni nn
Kadi yako haina Access ya kulipia online itakua
Nieleweshe kvp yaan au nifanye nn ili niweze kulipia online maana kama pesa ipo ktk bank ambayo inaweza kulipa ma ikabaki ni NBM MASTERCARD
Yaan pesa iliyopo naweza kulipa hata mara 20 sasa nipe maelezo kamili
Kama ulaya nipagumu mbona mkienda hamrudi
Nauli
Hapo sasa😅😅😅...usiamini maneno ya kila mtu, wenginr hawataki twende huko
@@Annie_944nenda ukaishi milele huko
Nani kakuzuia usiende kule ??? Au uhasidi TU
@@ilakozasembumende1975 acheni wivu
Budget 😂
Da shena online dating yako inaitwaje
Hata U.S gharama za harusi ni wazazi wa mwanamke
Filamu ni propaganda kubwa sanaaa waafrika hawajuwi
Na wanachoona kwa filamu wanadhani ndio ivo,mwisho wa siku kuna maisha,tena maisha Ulaya yataka moyo hata na mapesa kama huna moyo unapaondoka haiwi tu weather ukifatia mambo mengine.
Interview nzuri. Lakini mzungu mswahili kama bongo zozo Mungu usinipe😂😂😂😂😂
😂
😂😂😂😂😂
@@berthatzmrembo
Can I get yr email plz ???
Si wanasemaga wameachana hawa? Confused
Muhusika ndio huyo
Wanaigizaga Hawa siunamjua baba jesca mambo yake😂
❤❤❤❤❤❤❤
Ni kweli yote ameongea kisha dada ni mtu mzuri na ni mrembo kabisa
Da shena online dating yako inaitwaje
❤❤❤❤❤