KUTENGANA KWA MUDA KUNASAIDIA KUJENGA NDOA | MAISHA YA ULAYA YANA DEPRESSION NYINGI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • Carol ametueleza uvumilivu ndio nguzo kuu ya kufikisha miaka 25 na ndoa yake, lakini sio uvumilivu wa kuteswa, ni uvumilivu wa maisha ya kawaida ya ndoa na changamoto zake.
    Maisha ya Ughaibuni yanavyopelekea kupata Depression ( msongo wa mawazo)
    Society pressure kutoka nyumbani Tanzania, malezi ya watoto , waingereza ni watu wa namna gani na maisha kiujumla ya nchini Uingereza.
    Thank you Carol for allowing this to be online
    www.Oda.international

Комментарии • 139

  • @Geeze905
    @Geeze905 Год назад +6

    Huyu wa leo ametoa bonge la Darasa...Kazi nzuri kwenu nyote na Mungu awabariki sana🙏🏾

  • @angellakams8465
    @angellakams8465 Год назад +5

    Weee dada wa ZOZO tafuta kazi ya Terapi advaisor ur the best advisor.......hii kazi itakufaa 👍

  • @sekikigosi8265
    @sekikigosi8265 Год назад +1

    Ma Jesca uko vizuri sana hongera.

  • @Mb0g0z
    @Mb0g0z Год назад +3

    Kweli kabisa,watoto na wanawake Uk wanasikilizwa azidi ya wanaume,na single mothers ndo wamejaa,well said mama J

  • @hassankhamis344
    @hassankhamis344 10 месяцев назад +1

    Hongera dada nakukubali kabisaa

  • @hassankhamis344
    @hassankhamis344 10 месяцев назад

    Asante mama bongo zozo hongera sana kwa kuwazungumzisha kiswahili nakupongeza sana

  • @dollymogosi6899
    @dollymogosi6899 8 месяцев назад

    So glad to finally meet Mama Jessica! You are so sweet with lots of wisdom! I love you😍
    Asante sana Shena kwa kutuletea Mama Bongozozo!

  • @sophiarwehumbiza209
    @sophiarwehumbiza209 Год назад +1

    nashukuru kwa elimu haina mwisho nimefurahi kupata madin💕❣mama Jesca asante kwa madini nimefurahi

  • @saysophyfarm1780
    @saysophyfarm1780 Год назад +2

    Nimekupenda sana mama Jesca umeeleza in a general view yaani hujapersonalize mazungumzo. Huwa sipendi wale watu wanaenda into personal details e.g mtu anasema mimi huyu wangu hajatairi😢....Oohh mara mimi huyu wangu so and so, daah mimi huwa sipendi kwakweli😢 Thanks mama Jesca thank you Shena

  • @AngelaLyimo-d7x
    @AngelaLyimo-d7x 8 месяцев назад

    Asante mama jesca mi kwenye break nimepaelewa

  • @zenajustus5731
    @zenajustus5731 Год назад

    Kweli kabisa umeongea vizuri my dear,majority kwetu Afrika hawapati picha ya huku ulaya,wanadhani tumeoleka na mzungu then hatuna neno.

  • @molenjoseph4879
    @molenjoseph4879 Год назад +2

    I really enjoy nimejifunza vingi ASante sana

  • @doreenchacha7692
    @doreenchacha7692 Год назад +3

    Napenda mwanamke mpole kwa mumewe

  • @AnnaMwailenge-hy3xg
    @AnnaMwailenge-hy3xg Год назад

    Mama jesca uko vizur Sana mungu awalinde kwenye ndoa zenu

  • @vero57
    @vero57 Год назад

    Kumbe ndiyo wewe mama jesca, hongera sana

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 Год назад +9

    Wazungu bhana wapo ambao wana Utu ndani Yao wanaume kwa wanawake, sema sasa kuna wengine wanakuchekea Mdomoni unafiki wanao sanaa

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 Год назад +1

      Watanzania wote malaika????au ww ndie mnafiki

    • @sophsoph4740
      @sophsoph4740 9 месяцев назад

      😂😂jibu bora​@@shifaaal-baity4503

  • @maryntukula8988
    @maryntukula8988 Год назад

    Hongera binti Materu. Umeongea vizuri. Na unajitunza vizuri sana

  • @samniza1763
    @samniza1763 Год назад +1

    You said it all sissy, very educational. Umefika UK 2001 wakati ninapata my baby, una 22yrs now hongera sana. Karibu London bado tupo sio kubaya kiviiile inategemea unakaa wapi pia.

  • @Jessy-f9w
    @Jessy-f9w Год назад +1

    Shena umetisha sana,tunazidi kujifunza

  • @maryamhassan7000
    @maryamhassan7000 Год назад +1

    Asante nimejifuza kitu

  • @doramkolo1745
    @doramkolo1745 Год назад +1

    Wooow hatimaye umempata mama jesca....shena you are spreading you wings so good my dear keep it up ..unatuelimisha,kuburudisha na kujifunza kwakweli

  • @valenakomba9218
    @valenakomba9218 Год назад

    Wanaosumbuwa maranyingi ni marafiki , kuliko hata ndugu. Maana ndugu unakuwa umeshawaekewesha. Kwa kweli wanasumbuwa sanaa.

  • @aikandosa
    @aikandosa Год назад +3

    What a Milestone my nyau 🙌👏👏 Najivunia kuwa rafiki yako ❤️❤️❤️

  • @hassankhamis344
    @hassankhamis344 10 месяцев назад +1

    Kweli kabisa

  • @LucyJoseph-pb4um
    @LucyJoseph-pb4um Год назад

    Nakupenda

  • @THETHIRDTV_
    @THETHIRDTV_ Год назад +1

    I LIKE HER🎉🎉🎉🎉

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 Год назад

    Woww inapendeza sana naipenda sana hii familia

  • @aminamagaji2645
    @aminamagaji2645 Год назад +1

    Nimkupenda sana mama bongo zozo umeleza ukweli

  • @AngelaLyimo-d7x
    @AngelaLyimo-d7x 8 месяцев назад

    Kafanana na Monalisa❤ actress

  • @patricialuande9540
    @patricialuande9540 Год назад +1

    We work so hard for our money!

  • @Mb0g0z
    @Mb0g0z Год назад +6

    Rent na bills ndo killer ya ulaya

  • @janety1933
    @janety1933 Год назад +2

    Umeongea ukweli sana mama jesca ahsant kwa ushauli wako

    • @mussasaid5534
      @mussasaid5534 8 месяцев назад

      Sio ushauli sema ushauri kiswahili fasaha

  • @anithamsoke2329
    @anithamsoke2329 Год назад +1

    Nimefurahi kutuletea mama jesca hapa

  • @rayaalhabsi1725
    @rayaalhabsi1725 Год назад +1

    Kweli kabisa maneno yako dada

  • @NancyMwaibula7634
    @NancyMwaibula7634 Год назад +2

    Mama jeska jamani alikuwa mrembo huyu dada na bado mrembo hongera mmedumu Sana na mumeo

  • @jennifermmanyema6693
    @jennifermmanyema6693 Год назад +1

    Nawapenda sana wewe na mumeo

  • @paulalove1223
    @paulalove1223 Год назад +1

    Yani mama jesca hadi raha anaonekana mtu wa masihara😂wameendana Tunawapenda❤

  • @mohamedmwavuguto8276
    @mohamedmwavuguto8276 Год назад +1

    Mama Jesca amemaliza kutoa maelezo yote ya msingi ambayo mtu yeyote muelewa ameweza kuyapata , kwamba 'maisha ni popote ' Utakavyoyaishi ndivyo yatakavyokupeleka .

  • @BongoZozo
    @BongoZozo Год назад +4

    Mama Jessssaica unatoa siri za chumbani - eti mgeni ataondoka saa ngapi! 😂😂😂😂

  • @ashakisega9866
    @ashakisega9866 Год назад

    My sister 👏🥰

  • @ElizanaBahati
    @ElizanaBahati 6 месяцев назад

    Mama jesca 🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @NeemaAbdon
    @NeemaAbdon Год назад +2

    My dear younger sister mm nimeolewa na mdutch miaka nane sasa Ira kipindi chenu kimenifumbua mengi sana na shukuru kwamdaa wenu make mnasaidia sana

  • @furahayabwana6127
    @furahayabwana6127 Год назад +5

    50/50 Naitoa bila kinyongo maisha huku sio rahisi kabisa.tabia za Kitanzania Achana nazo airport n’a tabia y’a kupenda kupewa Sahau

  • @shifaaal-baity4503
    @shifaaal-baity4503 Год назад

    Mama Jessica 👍👍👍👍👏👏👏💪💪💪💜

  • @hassankhamis344
    @hassankhamis344 10 месяцев назад +2

    Kweli dada hapaa uk maishaa maguu sana kweli kabisa

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 Год назад

    Nampenda sana mama jessica

  • @AnestaJames
    @AnestaJames Год назад

    napenda sana hii family ya mm jesca na bongo zozo

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 Год назад

    Kabisa nami nimehacha kabisa

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed8875 Год назад +7

    maisha mepesi Africa wambieni hapa mimi na savaivu kwa buku 😜😜😜

  • @hassankhamis344
    @hassankhamis344 10 месяцев назад +1

    😂😂😂mama Jessica usisemee hivo ndoskina sisi hapa tupo miaka hiyo 29 hongera

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Год назад +1

    Nikwer Sana watoto wakizungu hawana adabu kabisa,,hawana hofu ya mungu kabisa

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 Год назад +1

    Mwambie hawa wasiotoka nje wabajua watu wa nje usipotumia pesa anakuona mbaya daa 😢

  • @MwalimuShauri
    @MwalimuShauri Год назад +3

    👏🏾👏🏾

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 Год назад +2

    Mzungu ni Binadamu Kama binadamu wengine tuu Sema tu desturi na mila zao ni ngumu

  • @BongoZozo
    @BongoZozo Год назад +1

    Wewe mama jess uko peponi!

  • @glorymasy7687
    @glorymasy7687 Год назад +2

    Mamaaaaa bongo zozoooooo😂

  • @gasparlubaga5866
    @gasparlubaga5866 Год назад

    Fanya interview nae nyingine

  • @anithamsoke2329
    @anithamsoke2329 Год назад +3

    Nimemsikiliza mama jesca hadi hamu ya kuja ulaya imekata

    • @ZainaAlly
      @ZainaAlly 10 месяцев назад

      Hata mimi aisee

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Год назад +1

    Mimi ni Mtanzania ila kiukweli hii ya kujua mtu yupo mpaka lini ni haki kabisa. Siyo unaenda kwa mtu unasimamisha shughuli za wenyeji wako bila utaratibu.

    • @evasonlushaka767
      @evasonlushaka767 Год назад

      Umaskini hauishi sababu ya hayo. Kipato hakiongexeki sababu ya desturi. Na ukiangalia hata walifanikiwa afrika wamekupa na misimamo. Japo ndo wanaonekana wabaya

  • @carolinelawuo9650
    @carolinelawuo9650 Год назад

    Safi sana Mama Jesca Kwa story nzuri tumekuelewa

  • @leahchigugu7313
    @leahchigugu7313 9 месяцев назад

    Mama jeska jamani umetueleza vizuri nno

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed8875 Год назад +7

    unakumbuka nilikwambia wazungu ni wanyanyasaji haswa ukiwa kwao leo dada kaeleza uwazi wanachukuliana mpaka wanaume nikama huku

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 Год назад +1

      Huyu dada kapokelewa vzr sana n family y mumewe mpaka babu n bibi yake mmewe wamempenda .na huku TZ kila siku majanga ktk family sio wazungu tu acha roho mbaya👺👹

  • @deuskusaga8156
    @deuskusaga8156 Год назад +1

    Familia Yao Inavituko sana muda wote wanaznguana😅familia Ina furaha hasa bongo zozo anamambo mengi😂

  • @marykennedymarwa1641
    @marykennedymarwa1641 Год назад

    Shena msichana mzuri ,ulitakiwa kuolewa na mwafrika mwenye pesa akutunze mama , 😂 wazungu watakuzeesha bure na stress .

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 Год назад

      Mwafrika ni malaika? Hapa east Africa upo ukatili mwingi mno kwa wtt na mama zao

    • @marykennedymarwa1641
      @marykennedymarwa1641 Год назад

      @@shifaaal-baity4503 kwani ulaya ndio hakuna ukatili Kwa watoto na mama zao!!!??? Tembea duniani uone majanga mama . Shukuru mungu kama amekupatia mume mwema , sisi sote ni bin adam .

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 Год назад

      ​@@marykennedymarwa1641ndio nashkuru mungu..niko salama. Lkn wewe ndie uliesema ķua huyu dada aolewe na mwafrika amtunze unakusudia mwafrika ni bora zaidi??? Kila jamii duniani kuna wema na wabaya

  • @BongoZozo
    @BongoZozo Год назад +2

    Eti hukutaka kunibadilisha, misuto yote ya nini? 😅😅😅😅

  • @helinahenry2363
    @helinahenry2363 Год назад +1

    😂😂😂jmn hadi raha

  • @yusrasalum
    @yusrasalum Год назад +2

    Mimi pia marafiki sasaiv nimewaweka huko ndugu wanatosha hawaniombi pesa ovyo hapo kwenye 50 /50 utake usitake inakusu tena kuna muda inabidi mwanamke usave la sivyo maji umeme utakatwa 😂😂 nyie ulaya kuzuri kama utapanulia

  • @nkamangi4707
    @nkamangi4707 Год назад +4

    Sometimes naregret kuolewa na mzungu 😅😅nishazoea makelele yangu nimekutana na mtu Sometimes unaambiwa baby I don't wanna talk now I need my time yaani wazungu wana vichaa kwa mbali😂😂

  • @BongoZozo
    @BongoZozo Год назад +1

    Mpaka umetaja zawadi! Tai ama?

  • @maryntukula8988
    @maryntukula8988 Год назад

    Hela watafute. Pia ni jukumu la kila mtu kutumia mbinu kupata hela

  • @winnieakarro5398
    @winnieakarro5398 Год назад

    ❤❤❤❤

  • @ayshasaid1547
    @ayshasaid1547 Год назад

    Mama jesca ondoa mtako wako hapa😂😂😂😂

  • @doreenchacha7692
    @doreenchacha7692 Год назад +2

    Akili mingi ma J

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 Год назад

    Bonge moja ya darasa from mama jesca

  • @MariamIbrahim-wq5re
    @MariamIbrahim-wq5re Год назад

    Lkn situmii dating ya tinder ni dating zingine lkn pia malipo yanafanana ni vile vile kama tinder ila haitaki kufanya muamala

  • @zahramsangi3632
    @zahramsangi3632 8 месяцев назад

    Wakorofi kama wanawake wa machame

  • @calzy8167
    @calzy8167 Год назад

    Ni kweli yote ameongea kisha dada ni mtu mzuri na ni mrembo kabisa

  • @ChrispianoShayo-pb9yp
    @ChrispianoShayo-pb9yp Год назад

    Safl sn dada earo nondo nzur ieo tupige kaz

  • @marijanimohamed8875
    @marijanimohamed8875 Год назад

    kuna mtu yuko marekan akija tuna mchangia nauri ya kurudi😜😜😜

  • @sarahmcharo1548
    @sarahmcharo1548 Год назад

    unakondaje uso mama zozo kwa uchovu!!?!

  • @RuhaymaOmar-fj1jz
    @RuhaymaOmar-fj1jz Год назад

    Da shena naomba nifunfishe kujiunga online dating yako

  • @MariamIbrahim-wq5re
    @MariamIbrahim-wq5re Год назад +1

    Dd kila nikijaribu kulipia online dating inakataa mimi nipo uarabuni na kadi yanga ni Tanzania mastercard lkn hitaki kufanya muamala tatizo ni nn

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  Год назад +1

      Kadi yako haina Access ya kulipia online itakua

    • @MariamIbrahim-wq5re
      @MariamIbrahim-wq5re Год назад +1

      Nieleweshe kvp yaan au nifanye nn ili niweze kulipia online maana kama pesa ipo ktk bank ambayo inaweza kulipa ma ikabaki ni NBM MASTERCARD

    • @MariamIbrahim-wq5re
      @MariamIbrahim-wq5re Год назад

      Yaan pesa iliyopo naweza kulipa hata mara 20 sasa nipe maelezo kamili

  • @mdetetv6050
    @mdetetv6050 Год назад +4

    Kama ulaya nipagumu mbona mkienda hamrudi

  • @maryannaedward7764
    @maryannaedward7764 9 месяцев назад

    Budget 😂

  • @RuhaymaOmar-fj1jz
    @RuhaymaOmar-fj1jz Год назад +1

    Da shena online dating yako inaitwaje

  • @skbonita4117
    @skbonita4117 Год назад +2

    Hata U.S gharama za harusi ni wazazi wa mwanamke

  • @maishaforreal7798
    @maishaforreal7798 Год назад +2

    Filamu ni propaganda kubwa sanaaa waafrika hawajuwi

    • @zenajustus5731
      @zenajustus5731 Год назад

      Na wanachoona kwa filamu wanadhani ndio ivo,mwisho wa siku kuna maisha,tena maisha Ulaya yataka moyo hata na mapesa kama huna moyo unapaondoka haiwi tu weather ukifatia mambo mengine.

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Год назад +1

    Interview nzuri. Lakini mzungu mswahili kama bongo zozo Mungu usinipe😂😂😂😂😂

  • @angellakams8465
    @angellakams8465 Год назад

    Can I get yr email plz ???

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Год назад

    Si wanasemaga wameachana hawa? Confused

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Год назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @calzy8167
    @calzy8167 Год назад +1

    Ni kweli yote ameongea kisha dada ni mtu mzuri na ni mrembo kabisa

  • @RuhaymaOmar-fj1jz
    @RuhaymaOmar-fj1jz Год назад

    Da shena online dating yako inaitwaje

  • @usindemdamo5299
    @usindemdamo5299 Год назад

    ❤❤❤❤❤