WAITALIANO NI KAMA WAZARAMO

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • Pendo anakwambia wewe kama unahitaji kuishi Ulaya basi simamia ndoto yako kwani inawezekana kabisa.
    Utamaduni wa waitaliano na changamoto za kua mrs Mzungu Bongo.
    Thank you Pendo for allowing this to be online.
    www.Oda.international

Комментарии • 72

  • @adolfinaandrea5234
    @adolfinaandrea5234 Год назад +11

    Inatengemea Mme wako anatokea mkoa upi,Wataliano wako tofauti sana,wazuri na wabeya sana pia wapo wazee ni wazuri wanapenda waafrika wengine wanatusema tuko nyani.Nipo Italia nawashauri muwe makini kupata mtaliano Wa uhakika,wanachija wake sana akiwa na hasira anaua wote.Dada salini sana kutafuta mchumba ili kuepuka mateso.

    • @pendoclement6672
      @pendoclement6672 Год назад +4

      Hii dunia kila sehem kuna watu wazur na wabaya ( uamuz wa mtu mwenyewe) huku Tanzania sasa hiv ukianza kuhesabu nani kachinja mkewe utaishia kusema watanzania wabaya tena wanachinjana wenyewe, kuna nchi ina. Kuna nchi ina crime scenes zinahusiana na mahusiano kama America? Je utasema ni wabaya wote ? Tusiwatetee ila tusiwaogepeshe watu wakat sisi tunaowaambia hawa watu wabaya tupo huku hatuondoki 😅....

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  Год назад

      Kama hutojali, naomba siku moja nifanye interview na wewe.. +4367764790884

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  Год назад

      Well said Pendo

    • @regulashine8854
      @regulashine8854 Год назад +2

      Daah ndiyo nasikia mbona Mimì nipo Italia miaka zaidi ya miaka 16 na nimeolewa Italy hayo mambo sijaona. Mauwaji yapo ni kidogo siyo km Tz sheria inabana sana ukimpiga mwanamke unafungwa

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 Год назад

      Makubwa 😊

  • @Veallesgut
    @Veallesgut 6 месяцев назад

    Dada mzuri sana na Interview yako nimeipenda. Hongera sana...

  • @ruuhbakary
    @ruuhbakary Год назад +9

    Dada pend nimempend bure tu amesem ukweli ajatukatisha tamaa km mwengin wanasom ulaya akuna uzur wwt yy amesem ukwl wt Mungu akupe maisha marf ww na family yk ❤️

  • @JosephineMwendwa-my7qc
    @JosephineMwendwa-my7qc Год назад

    Shena unafanya kazi nzuri Sana congrats

  • @burundishallsmile1day109
    @burundishallsmile1day109 8 месяцев назад +1

    Very Smart guest you have🙂👍🏽

  • @elieshishamy9622
    @elieshishamy9622 7 месяцев назад +2

    Shena leo pendo kaongea vizur sana ,me sipendi kuishi ulaya mana kupelekeshwa staki😅 labda waje bongo na uyo rich me simtaki nataka mtu mwenye utu 😅 😂😂

  • @OnlyRuky
    @OnlyRuky Год назад +2

    Good information Thank you Pendo

  • @Witnessvlog
    @Witnessvlog Год назад +2

    Dada yangu umewezaa pendo ❤❤❤. Good to see you here

  • @deuskusaga8156
    @deuskusaga8156 Год назад +2

    Hongera sana endelea kutupa habari 👏👏👏

  • @TamashaKokusiima-re7is
    @TamashaKokusiima-re7is Год назад +3

    Hongera dada zangu

  • @Lizzyktd
    @Lizzyktd Год назад

    Kwel kabisa yaan ❤❤❤

  • @joasitz9559
    @joasitz9559 Год назад +1

    Your doing a wonderful job na huyo dada yupo very openly 😘

  • @edwardouma1630
    @edwardouma1630 Год назад +1

    Am so glad for conversation but i hope I will learn more experience about to get married online am a Tanzanian but am working in Nairobi Kenya am jewelry artisan

  • @dn.n4983
    @dn.n4983 Год назад +3

    Be bless sll

  • @yesuanikumbukejanuary8363
    @yesuanikumbukejanuary8363 Год назад +2

    Kwakweli ulaya ni kuzuri hongereeni tuna ona nyuso zenu zina pendeza saana.

  • @elizabethjohn7177
    @elizabethjohn7177 Год назад +1

    Asante sana tunaedea kujifuza

  • @MauwaKyakimwa
    @MauwaKyakimwa 8 месяцев назад

    Jambo Dada mimi ni mkongo penda siku moja tu zugumzee, ila swahili lenu ngumu

  • @johnkiganga6014
    @johnkiganga6014 Год назад +1

    Uko sawa

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Год назад +1

    Nimempenda huyu. Somo zuri.,hana makuu. Thats me.

  • @rosetumbo6142
    @rosetumbo6142 5 месяцев назад

    Acha kutaja makabira ya watu wengine vibaya acha dharau.

  • @Lizzyktd
    @Lizzyktd Год назад

    Nimeipenda hii 😂😂😂😂😂

  • @istvantoth3682
    @istvantoth3682 Год назад +1

  • @WahidaAlharthi
    @WahidaAlharthi 8 месяцев назад

    WA ITALIAN WENYE UPENDO HALI YA JUU

  • @taturamadhan5940
    @taturamadhan5940 Год назад

    Wataliano hapana

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 Год назад +5

    Story za wataliano sipendi kusikia kabisa hao wanageuza nyuma sorry kama nimekosea kesi nyingi ni hizo 🤲🤲🤲🤲🇹🇿🇦🇹

    • @pendoclement6672
      @pendoclement6672 Год назад +3

      Pole amina nahisi umekutana na upande mmoja wa watu wachache ,hakuna jamii ina watu clean peke yake labda malaika wa mbinguni, Italy iko na watu zaid ya 40' s millions.hizi ni person habits sio country character,kama tukisema hivyo basi kila mtu atakuja na nchi yake ya kwanza hapa.ila Pole kwa experience history mbaya ila 🇮🇹 kuna watu bora sana 😊

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  Год назад +4

      Pole kwa changamoto Amina, Ila hizo ni tabia za watu binafsi hata nyumbani Tanzania kuna watu wa hivyo.. je utasema wanaume wa Tanzania wanapenda kwenda kinyume?

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  Год назад +2

      Well said kabisa

    • @aminakawawa5800
      @aminakawawa5800 Год назад +2

      @@OfficialDatingAssistance hizo kesi nasikia sana kwa rafiki zangu hao ni mila yao 🤲🤲🤲

    • @aminakawawa5800
      @aminakawawa5800 Год назад

      @@pendoclement6672 sijawahi kutana nazo ni rafiki zangu wanaongea simjui umenielewa lv

  • @hassankhamis344
    @hassankhamis344 10 месяцев назад

    Hiyo nikweli washa zoweya kudanganywa hawa watu

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Год назад

    ❤❤❤❤❤😂😂

  • @kanikiommy5167
    @kanikiommy5167 Год назад

    Wazaramo watoto wamjini og awaigi

  • @pendo8082
    @pendo8082 Год назад +3

    Story nzur sana

  • @thegoldenqueentz970
    @thegoldenqueentz970 Год назад

    😂

  • @TamashaKokusiima-re7is
    @TamashaKokusiima-re7is Год назад +1

    Dada naomba namba yako ya wasp kuna kitu nataka unishauri

  • @mohammadumarzavallah9719
    @mohammadumarzavallah9719 Год назад

    Lol

  • @johnkiganga6014
    @johnkiganga6014 Год назад +2

    Find me a white, girl,name nmechoka na black

  • @ruthcharles2074
    @ruthcharles2074 Год назад +1

    Wanapataje mm nimejarbu apps kibao hazina mkwel how can l get the one for me .Ni app gani hio ina watu honestly

    • @OfficialDatingAssistance
      @OfficialDatingAssistance  Год назад +1

      Apps zote zinawatu serious na watu wasioeleweka
      Kikubwa ni kujua mbinu za kufanya mtandaoni

    • @BerthaKihanga-qd5hy
      @BerthaKihanga-qd5hy Год назад +2

      Sitaki umbea, Shennah ni mrembo sana,na tunashukuru kwa madini jaman.

    • @JudithTenga
      @JudithTenga 10 месяцев назад

      Naomba kuukiza ata wanaume wanawekutumia izo ap​@@OfficialDatingAssistance