MIMI NI MWALIMU ALASKA | CHANGAMOTO ZA KUISHI NCHI ILIYOZUNGUKWA NA BARAFU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • Pendo Mongi ameeleza safari ya maisha yake kutoka Tanzania mpaka kuingia Alaska Marekani
    Aliomba kazi kupitia mtandao wa kazi wa INDEED
    Yeye ni mwalimu na anasema Alaska kazi ni nyingi sana na malipo ni mazuri
    Watu wengi hawapendelei kufanya kazi Alaska kwasababu ya Baridi
    Thank you Pendo for allowing this to be online
    www.oda.international

Комментарии • 104

  • @OfficialDatingAssistance
    @OfficialDatingAssistance  4 месяца назад +21

    Facebook: Pendo Mongi
    RUclips: Pendo Mongi
    Instagram: peemo20
    Link ya kitabu : pendomongi84.my.canva.site/pendokaibookboutique

    • @shaniabdala4647
      @shaniabdala4647 4 месяца назад +1

      Mungu abariki arakati zak mkamilifu nimungu pekee pale unapo kutan nachangamoto ilolikutie moyo

  • @BarakaBitariho
    @BarakaBitariho 4 месяца назад +16

    Nimependa hii interview. Alaska is one of places that I am planning to visit. Nasikia kazi zinalipa hela nyingi, kazi nyingi ni za kuchimba mafuta... marafiki zangu wengi kutokea Sudan wamehamia huko kwani maisha ya huko yapo tofauti na lower states. Yes, wamarekan wengi wakikuona unaongea sana, na hasa ukiwa ni mwanamke mweusi, wanakuogopa. Kuna kitu wanaamin women, especially black, are devils... ni kutokana na sheria kuntetea mwanamke zaidi kuliko mwanaume. Ila yes, wamarekani hawathamini elimu kwani hata kama hujasoma na kujitahidi kutojikuta gerezani/mikononi mwa polis, uhakika wa kula na kulala utakuwepo tuu. Hii imanj ndio inasababisha uwepo wa pengp kubwa kati ya masikini na Tajiri. Ukimuona Tajiri ni Tajiri kweli kweli, the opposite is true as well. Thank you for representing Tz out there in the wildness... maisha mazuri marekani yasiyokuwa fujo yapo vijijini. Miji imejengwa kwa ajiri ya masikini. Wenye pesa zao hapa USA wanaishi nje ya mji.

  • @zainabkazige7388
    @zainabkazige7388 4 месяца назад +14

    Aisee huyu ni mwalimu bora sana, anatumia mbinu nyingi na nzuri kufundisha🎉❤ hongera sana dada Pendo

  • @rosiehayatta2619
    @rosiehayatta2619 4 месяца назад +6

    I love that yaani kaenda Alaska just imagine unakutana na mwl mwenzake Don ambaye alifanya kazi Arusha Intl school. Kweli milima haikutani binadamu ukutana. Excellent interview, I love the interview Pendo ana madini she is capable to her duties as a teacher.

    • @pendomongi7118
      @pendomongi7118 4 месяца назад +2

      St Constantine’s International School. People you think that you will never see again. Happen to be the people you see again😂

  • @samnock5555
    @samnock5555 4 месяца назад +6

    I have been waiting for this interview for so long. Thank you Dada Shena for bringing Dada Pendo to us.

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 4 месяца назад +9

    Kusoma kuzuri jamani. Ubarikiwe sana pendo. Tunakombea upate mchumba huko.

  • @lilianmasaki3596
    @lilianmasaki3596 4 месяца назад +3

    Asante sana shena. Vina wa wanzania nawashauri mchangamkie fursa na.msichoke kusoma.pendo ameeleza anavyota information kwa.nguvu.There is no shortcut in life na msikate tamaa. Nimeijua alaska vzr leo. ❤ ALL

  • @jumahassan7190
    @jumahassan7190 4 месяца назад +3

    Pendo hongera kubwa sana dadaetu binafs nimependa sana all the way from daresalam mabwepande police department

  • @JoyceakaJowi
    @JoyceakaJowi 3 месяца назад +2

    Tutumie mitandao vizuri jamani,yaani indeed watu wengi wanapata kazi aisee duh

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 4 месяца назад +4

    Wow...asanteni sana. Interview ina madini mengi sana.

  • @nadiahassan7993
    @nadiahassan7993 4 месяца назад +4

    Very educative. Thank u pendo and shaynaa

  • @nanguniMtaita-hz4zt
    @nanguniMtaita-hz4zt 4 месяца назад +6

    Dada Shen nimependezwa na history ya Pendo. Mwambie nampenda sana alivyo na chaguzi zake uvumilivu wake nisalinie yy sana.

    • @farhannahomary5505
      @farhannahomary5505 4 месяца назад

      Hawatoi connection za kufika huko Ila wanaeleza jinsi walivyofika wao tuletee watu wanaofunguka njia zipi tuweze kuja huko???

  • @willaimkirika4407
    @willaimkirika4407 4 месяца назад +1

    wow pendo it feels good to see you mwaka jana tu ulikuja the bama ghafla tu alaska wow you are so strong 💪 go girl

  • @evampuya-mp9vf
    @evampuya-mp9vf Месяц назад

    Nimeipenda saana hii interview nimempenda Pendo yaani hana woga anauthubutu

  • @omary909
    @omary909 4 месяца назад +1

    Pendo asanteee sana kwa interview nzuri, umetutoa uoga. Maisha ni popote 💪💪

  • @eliasbiya9367
    @eliasbiya9367 4 месяца назад +3

    Damn i was waiting for this interview like my life depended on it🔥

  • @marykennedymarwa1641
    @marykennedymarwa1641 4 месяца назад +1

    Waoooh so good, mungu aendelee kukubariki

  • @fatmahussein1238
    @fatmahussein1238 4 месяца назад +1

    MashaAllah Mwalimu anaejielewa

  • @Selinawangusu
    @Selinawangusu 4 месяца назад +1

    Wooow, I’m excited 🎉 ngoja nikae mkao kula ❤

  • @carolineoyieko4791
    @carolineoyieko4791 4 месяца назад +3

    My dream country Alaska,,, ningependa sana kuizuru hii nchi.

    • @mwenguo3700
      @mwenguo3700 4 месяца назад +2

      Fyi Alaska sio nchi ni moja ya jimbo la marekani

  • @CiscaRecaps2015
    @CiscaRecaps2015 4 месяца назад +4

    Very informative interview,

  • @Zayn_A101
    @Zayn_A101 4 месяца назад +2

    Pendo wewe ni jasiri na mwenye uthubutu. Hakika ualimu ni wito na wewe umeitika vyema. Carry on! Keep inspiring our generation. The future is us! Keep shining

    • @pendomongi7118
      @pendomongi7118 4 месяца назад

      You have said it all my sis. The future is us❤

  • @shaniabdala4647
    @shaniabdala4647 4 месяца назад +5

    Jamn nimejikut nimependa hiyo nnchi maisha ni safari ndefu ujasir na kutochagua chakufanya mungu atuongoz na ss inshaallah

    • @valenakomba7686
      @valenakomba7686 4 месяца назад +1

      Ndo faida ya kwenda shule.

    • @shaniabdala4647
      @shaniabdala4647 4 месяца назад +5

      Nikweli lkn kutokusoma akukufanyi ww ama ss tushindwe kufika maleng kam alivo sema daapendo angalia nn unaweza kufanya elimu nimfumo tuu uliowekwa kwaajili ya kututofautisha kiujuz lkn sote tunaweza kufika hapo kila mmoja anawajib wakupigania ndoto zake 😘😘

    • @Justine_Tz1
      @Justine_Tz1 4 месяца назад

      ​@@shaniabdala4647Umehongea point sana umetish mdada

    • @mathagilbert5843
      @mathagilbert5843 4 месяца назад +1

      Alaska ni jimbo lilopo America si nchi jamn

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 3 месяца назад

      ​@@shaniabdala4647 points taken

  • @evampuya-mp9vf
    @evampuya-mp9vf Месяц назад +1

    Natamani saana kwenda ng'ambo lakni ndo siwezi namuomba mungu ajalie hta mmoja wa watto wangu aende

  • @Alice-Gyunda
    @Alice-Gyunda 2 месяца назад

    Beautiful interview 🙏🌺✨✨✨👌👌🌹🌹🌹

  • @gracefigur9377
    @gracefigur9377 4 месяца назад +1

    Hongera sana Pendo, love you mingi mingi ❤❤❤

  • @annatemu4488
    @annatemu4488 4 месяца назад +1

    Duuh dada jasiri sana🙌🏻

  • @ImeldaIsdory
    @ImeldaIsdory 4 месяца назад +1

    Congrats sana Pendo.

  • @nelsonsilas666
    @nelsonsilas666 13 дней назад

    I real apreciate

  • @margrethkimei6405
    @margrethkimei6405 4 месяца назад +1

    Interview Nzuri mno,

  • @hildazablon3411
    @hildazablon3411 2 месяца назад

    Woow i trully enjoyed this interview, especially that one part akielezea jamii ya huko hawapendi kelele na kuongea ongea😅

  • @esthermachangu4970
    @esthermachangu4970 4 месяца назад +1

    Asante sanaaaaa

  • @JamesLekeni
    @JamesLekeni 4 месяца назад +1

    Nimeipenda mahojiano haya

  • @sabahsalim3306
    @sabahsalim3306 4 месяца назад +1

    Smart kids anasoma dogo wangu

  • @thobiethalibutu1465
    @thobiethalibutu1465 4 месяца назад +1

    Waaaooooh Alksa 😂😂🌹.
    I love you pendo and Shena🫂

  • @lilianwaflotina1288
    @lilianwaflotina1288 4 месяца назад +2

    Wow anaongea kama welu sengo

  • @evampuya-mp9vf
    @evampuya-mp9vf 4 месяца назад +1

    Asaante saana

  • @mariamjacob3094
    @mariamjacob3094 4 месяца назад +3

  • @geturdablatch9706
    @geturdablatch9706 4 месяца назад +3

    Niliambiwa kazi ya Healthcare wanalipa vizuri sana lakini niliogopa tu baridi manake pesa ni nzuri lakini hapana baridi.. Nina rafiki yangu alienda huko anasema pesa ipo...

    • @UpendoJacob
      @UpendoJacob 4 месяца назад

      Jamani wewe uko wapi my dear mm niko arusha

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 3 месяца назад

      @geturdablatch tupeane connection

  • @NzeyimanaVéronique
    @NzeyimanaVéronique 4 месяца назад +1

    Mwarimu muzuri kabisa

  • @DoreenMwanga-dg7xp
    @DoreenMwanga-dg7xp 4 месяца назад +1

    Jamani ni mependa Mungu anijalie na mimi

    • @shaniabdala4647
      @shaniabdala4647 4 месяца назад

      Ameen inshaallah kila kitu kinawezekan kwa nia na iman bila kuacha kutafuta kusudi lakufikia lengo lak

  • @ZKR73
    @ZKR73 4 месяца назад +7

    Shoga YANGU, well done

  • @JuvinariesNyandoto
    @JuvinariesNyandoto 4 месяца назад +6

    Seal is not fish it is sea mamals

    • @pendomongi7118
      @pendomongi7118 4 месяца назад +2

      I was not sure about it, thanks for clarifying

    • @rosiehayatta2619
      @rosiehayatta2619 4 месяца назад +1

      Correct the Seal is a mamal but leaves in water like a fish

    • @klaussteiner94
      @klaussteiner94 4 месяца назад

      Madam p​@@pendomongi7118

  • @SuzanMkeyenge
    @SuzanMkeyenge 3 месяца назад

    Pendo mwanangu kasomea sheria ya ges na mafuta naomba umsaidi apate kazi uko

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 4 месяца назад +3

    Wanafunzi wanakua hawana muamko sababu kila mwezi wanapokea pesa kutoka Serikalini fidia ya kuchukuliwa nchi yao, wana uhakika wa pesa hata kama hafanyi kazi ndio maana hawasumbuki na kusoma tofauti na Tanzania tunasoma ili tupate kazi ulipwe uendeshe maisha yako

  • @AbeidKassim
    @AbeidKassim 4 месяца назад +1

    Tunataka KAZI ya uvuvi fishing inapatikana?

  • @ivankadaudi8161
    @ivankadaudi8161 4 месяца назад +2

    Naomba kuuliza tulio soma Uhasibu jaman uko mataifa mengine kuna nafasi za kazi mana naona wengi wanaopata ni wauguzi, walimu, mainjinia sasa vipi tuliosoma Uhasibu tu naomba Ushauli mana nindoto yetu

    • @abdulnaseermrisho4342
      @abdulnaseermrisho4342 4 месяца назад

      Sio rahisi kiviiiiile,mara nyingi unapaswa kurudi class tena

    • @gracenbarnes5254
      @gracenbarnes5254 4 месяца назад +1

      Ukiwa ughaibuni unaangalia soko la ajira ni lipi,unaingia huko kwa mf ughaibuni soko la ajira liko kwemte mambo ya afya, computer, it na ufundi mbalimbali

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 3 месяца назад

      @ivankadaudi jaribu Belgium mzazi unatusua

  • @tajilimtoto5009
    @tajilimtoto5009 4 месяца назад +3

    Ulaya laha sana serikali inatoa pesa ya chokleti 😢😢tanzania unawai kuesabu namba usipo esabu unapigwa atari😅

  • @salomemongi1246
    @salomemongi1246 2 месяца назад

    Mi ni muuguzi naomba anisaidie nifanye kazi huko

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho4342 4 месяца назад +1

    Mimi na shena ni humu tuu ❤❤❤ 🏃🏃🏃🏃

  • @jaberrabora4757
    @jaberrabora4757 4 месяца назад +1

    ❤❤❤

  • @annadadi3427
    @annadadi3427 4 месяца назад +1

    What is a common food in Alaska

    • @pendomongi7118
      @pendomongi7118 4 месяца назад +1

      Samaki na wanyama wa pande za baridi. Arctic animals like Mask Ox, Seal and birds example Crane and Willow Ptarmigan.

  • @PricusKidasi
    @PricusKidasi 4 месяца назад +1

    Tunaomba uongee kiswahili

  • @zanuraa2468
    @zanuraa2468 4 месяца назад +1

    Ufuuu siwezi malizia naona ushamba mzitoo hatakama une soma na chance umepata 😅 kweli safiri útoe ukungu wa akili na macho aaaiiii

  • @henryshayo7282
    @henryshayo7282 3 месяца назад

    Kwahiyo, kama hujafundisha international school inakaaje?

  • @RukiyaAli-mm4qx
    @RukiyaAli-mm4qx 3 месяца назад

    nmependa hii stor ya dad pendo

  • @ImeldaIsdory
    @ImeldaIsdory 4 месяца назад +1

    Usafiri ni kama Kifaru cha Jeshi lkinavyotembea!

  • @SuzanMkeyenge
    @SuzanMkeyenge 4 месяца назад

    Pendo nakuimba nitumie rink
    Na mm ni mwalimu wa chuo

  • @angelinamachibya-nb8sh
    @angelinamachibya-nb8sh 4 месяца назад +1

    She is smart

  • @jescamongi3583
    @jescamongi3583 4 месяца назад +1

    Pendo Mongi wow

  • @Jehufamily
    @Jehufamily 4 месяца назад

    Nimependa hii interview hata mimi binafsi napata hii changamoto ya kuishi izi nchi za watu na hili baridi lph halizosleki ila sasa tufanyaje

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 3 месяца назад

    Ongea kiswshiri usituchaganishie atuja soma

  • @malaikaangel6429
    @malaikaangel6429 4 месяца назад

    ……well then, am coming to ALASKA 😂😂😂😂

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 4 месяца назад +1

    Red indians ni Wahindi wekundu, ni weupe kama Wahindi wa India nywele nyeusi pua kubwa, wafupi, na ni jamaa na Eskimo wale binadamu wafupi

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 4 месяца назад +2

      Sio wahindi kwa muonekano ispokua wazungu waliwahi waona wahindi so soon walipozingia bara la America kitu pekee wangeweza wafananisha hao wenyeji ni kuwaita wahindi wekundu kwa rangi yao na nywele zao nyeusi ila hao jamaa kimuonekano ni kama wachina kwa mbaali kwa muonekano, Bado wengi wapo pale Brazil Amazon na sehemu za Bolivia, au zaidi ni wale wa kwenye movie ya apocalypto, au wale wa Iceland eskimo ni neno baya kwa sku hizi limekaa kibaguzi wanasema

    • @rosiehayatta2619
      @rosiehayatta2619 4 месяца назад

      Mh kumbe mnajua history

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 4 месяца назад

      @@rosiehayatta2619 mbona ni vitu viko wazi sana

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 3 месяца назад

      ​@@fahadfaraj6474shukran kwa kudadavua nimeelewa hao watu

  • @herbertygeofrey2724
    @herbertygeofrey2724 4 месяца назад +4

    Mabaharia tujichange sasa location ikisoma alaska embasy visa uhakika sio mpaka uambiwe imeisha iyo

    • @jaffjeff6912
      @jaffjeff6912 3 месяца назад

      Daaah kweli mchawi madusko

  • @PureSoul-rf4xd
    @PureSoul-rf4xd 4 месяца назад +1

    ❤❤❤❤

  • @hanswan1
    @hanswan1 4 месяца назад +3

    Alaska ni jimbo la marekani ila wana nchi yao completely kila kitu, tumepata experience nzuri kusikia toka kwa Dada umetupa mengiii ambayo hata walio America hawaijui kinachoendelea.

  • @mohamoudhussein4570
    @mohamoudhussein4570 3 месяца назад

    Moja kati ya Mahojiano Mazuri.Weldone Dada Pendo uko very professional.Mungu akubariki

  • @upendogreutert199
    @upendogreutert199 4 месяца назад

    Hongera Sanaa Pendo leo nimepata picha ya Alaska pamoja na kuwa kuona clips but your story nimepata picha kamili

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 4 месяца назад +2

    Asante kwa kusisitiza jambo la kuwa postive mawazo chanya, ujumbe mzito sana kwetu sisi WaTanzania

  • @chamanchimbi8917
    @chamanchimbi8917 3 месяца назад

    ❤❤