MIMI NI MWALIMU ALASKA | CHANGAMOTO ZA KUISHI NCHI ILIYOZUNGUKWA NA BARAFU
HTML-код
- Опубликовано: 26 сен 2024
- Pendo Mongi ameeleza safari ya maisha yake kutoka Tanzania mpaka kuingia Alaska Marekani
Aliomba kazi kupitia mtandao wa kazi wa INDEED
Yeye ni mwalimu na anasema Alaska kazi ni nyingi sana na malipo ni mazuri
Watu wengi hawapendelei kufanya kazi Alaska kwasababu ya Baridi
Thank you Pendo for allowing this to be online
www.oda.international
Facebook: Pendo Mongi
RUclips: Pendo Mongi
Instagram: peemo20
Link ya kitabu : pendomongi84.my.canva.site/pendokaibookboutique
Mungu abariki arakati zak mkamilifu nimungu pekee pale unapo kutan nachangamoto ilolikutie moyo
Nimependa hii interview. Alaska is one of places that I am planning to visit. Nasikia kazi zinalipa hela nyingi, kazi nyingi ni za kuchimba mafuta... marafiki zangu wengi kutokea Sudan wamehamia huko kwani maisha ya huko yapo tofauti na lower states. Yes, wamarekan wengi wakikuona unaongea sana, na hasa ukiwa ni mwanamke mweusi, wanakuogopa. Kuna kitu wanaamin women, especially black, are devils... ni kutokana na sheria kuntetea mwanamke zaidi kuliko mwanaume. Ila yes, wamarekani hawathamini elimu kwani hata kama hujasoma na kujitahidi kutojikuta gerezani/mikononi mwa polis, uhakika wa kula na kulala utakuwepo tuu. Hii imanj ndio inasababisha uwepo wa pengp kubwa kati ya masikini na Tajiri. Ukimuona Tajiri ni Tajiri kweli kweli, the opposite is true as well. Thank you for representing Tz out there in the wildness... maisha mazuri marekani yasiyokuwa fujo yapo vijijini. Miji imejengwa kwa ajiri ya masikini. Wenye pesa zao hapa USA wanaishi nje ya mji.
Aisee huyu ni mwalimu bora sana, anatumia mbinu nyingi na nzuri kufundisha🎉❤ hongera sana dada Pendo
Congratulations Pendo
Mnakula chakula gani huko?
I love that yaani kaenda Alaska just imagine unakutana na mwl mwenzake Don ambaye alifanya kazi Arusha Intl school. Kweli milima haikutani binadamu ukutana. Excellent interview, I love the interview Pendo ana madini she is capable to her duties as a teacher.
St Constantine’s International School. People you think that you will never see again. Happen to be the people you see again😂
I have been waiting for this interview for so long. Thank you Dada Shena for bringing Dada Pendo to us.
Kusoma kuzuri jamani. Ubarikiwe sana pendo. Tunakombea upate mchumba huko.
Asante sana shena. Vina wa wanzania nawashauri mchangamkie fursa na.msichoke kusoma.pendo ameeleza anavyota information kwa.nguvu.There is no shortcut in life na msikate tamaa. Nimeijua alaska vzr leo. ❤ ALL
Pendo hongera kubwa sana dadaetu binafs nimependa sana all the way from daresalam mabwepande police department
Tutumie mitandao vizuri jamani,yaani indeed watu wengi wanapata kazi aisee duh
Sana 🥰
Wow...asanteni sana. Interview ina madini mengi sana.
Very educative. Thank u pendo and shaynaa
Dada Shen nimependezwa na history ya Pendo. Mwambie nampenda sana alivyo na chaguzi zake uvumilivu wake nisalinie yy sana.
Hawatoi connection za kufika huko Ila wanaeleza jinsi walivyofika wao tuletee watu wanaofunguka njia zipi tuweze kuja huko???
wow pendo it feels good to see you mwaka jana tu ulikuja the bama ghafla tu alaska wow you are so strong 💪 go girl
Nimeipenda saana hii interview nimempenda Pendo yaani hana woga anauthubutu
Pendo asanteee sana kwa interview nzuri, umetutoa uoga. Maisha ni popote 💪💪
Damn i was waiting for this interview like my life depended on it🔥
Waoooh so good, mungu aendelee kukubariki
MashaAllah Mwalimu anaejielewa
Wooow, I’m excited 🎉 ngoja nikae mkao kula ❤
My dream country Alaska,,, ningependa sana kuizuru hii nchi.
Fyi Alaska sio nchi ni moja ya jimbo la marekani
Very informative interview,
Glad you enjoyed it!
Pendo wewe ni jasiri na mwenye uthubutu. Hakika ualimu ni wito na wewe umeitika vyema. Carry on! Keep inspiring our generation. The future is us! Keep shining
You have said it all my sis. The future is us❤
Jamn nimejikut nimependa hiyo nnchi maisha ni safari ndefu ujasir na kutochagua chakufanya mungu atuongoz na ss inshaallah
Ndo faida ya kwenda shule.
Nikweli lkn kutokusoma akukufanyi ww ama ss tushindwe kufika maleng kam alivo sema daapendo angalia nn unaweza kufanya elimu nimfumo tuu uliowekwa kwaajili ya kututofautisha kiujuz lkn sote tunaweza kufika hapo kila mmoja anawajib wakupigania ndoto zake 😘😘
@@shaniabdala4647Umehongea point sana umetish mdada
Alaska ni jimbo lilopo America si nchi jamn
@@shaniabdala4647 points taken
Natamani saana kwenda ng'ambo lakni ndo siwezi namuomba mungu ajalie hta mmoja wa watto wangu aende
Beautiful interview 🙏🌺✨✨✨👌👌🌹🌹🌹
Hongera sana Pendo, love you mingi mingi ❤❤❤
Thank you sis❤
Duuh dada jasiri sana🙌🏻
Congrats sana Pendo.
I real apreciate
Interview Nzuri mno,
Woow i trully enjoyed this interview, especially that one part akielezea jamii ya huko hawapendi kelele na kuongea ongea😅
Asante sanaaaaa
Nimeipenda mahojiano haya
Smart kids anasoma dogo wangu
Waaaooooh Alksa 😂😂🌹.
I love you pendo and Shena🫂
Wow anaongea kama welu sengo
Asaante saana
❤
Niliambiwa kazi ya Healthcare wanalipa vizuri sana lakini niliogopa tu baridi manake pesa ni nzuri lakini hapana baridi.. Nina rafiki yangu alienda huko anasema pesa ipo...
Jamani wewe uko wapi my dear mm niko arusha
@geturdablatch tupeane connection
Mwarimu muzuri kabisa
Jamani ni mependa Mungu anijalie na mimi
Ameen inshaallah kila kitu kinawezekan kwa nia na iman bila kuacha kutafuta kusudi lakufikia lengo lak
Shoga YANGU, well done
Seal is not fish it is sea mamals
I was not sure about it, thanks for clarifying
Correct the Seal is a mamal but leaves in water like a fish
Madam p@@pendomongi7118
Pendo mwanangu kasomea sheria ya ges na mafuta naomba umsaidi apate kazi uko
Wanafunzi wanakua hawana muamko sababu kila mwezi wanapokea pesa kutoka Serikalini fidia ya kuchukuliwa nchi yao, wana uhakika wa pesa hata kama hafanyi kazi ndio maana hawasumbuki na kusoma tofauti na Tanzania tunasoma ili tupate kazi ulipwe uendeshe maisha yako
Tunataka KAZI ya uvuvi fishing inapatikana?
Naomba kuuliza tulio soma Uhasibu jaman uko mataifa mengine kuna nafasi za kazi mana naona wengi wanaopata ni wauguzi, walimu, mainjinia sasa vipi tuliosoma Uhasibu tu naomba Ushauli mana nindoto yetu
Sio rahisi kiviiiiile,mara nyingi unapaswa kurudi class tena
Ukiwa ughaibuni unaangalia soko la ajira ni lipi,unaingia huko kwa mf ughaibuni soko la ajira liko kwemte mambo ya afya, computer, it na ufundi mbalimbali
@ivankadaudi jaribu Belgium mzazi unatusua
Ulaya laha sana serikali inatoa pesa ya chokleti 😢😢tanzania unawai kuesabu namba usipo esabu unapigwa atari😅
😅😅😅
😅😅😅
Mi ni muuguzi naomba anisaidie nifanye kazi huko
Mimi na shena ni humu tuu ❤❤❤ 🏃🏃🏃🏃
❤❤❤
What is a common food in Alaska
Samaki na wanyama wa pande za baridi. Arctic animals like Mask Ox, Seal and birds example Crane and Willow Ptarmigan.
Tunaomba uongee kiswahili
Ufuuu siwezi malizia naona ushamba mzitoo hatakama une soma na chance umepata 😅 kweli safiri útoe ukungu wa akili na macho aaaiiii
Kwahiyo, kama hujafundisha international school inakaaje?
nmependa hii stor ya dad pendo
Usafiri ni kama Kifaru cha Jeshi lkinavyotembea!
Pendo nakuimba nitumie rink
Na mm ni mwalimu wa chuo
She is smart
Pendo Mongi wow
Nimependa hii interview hata mimi binafsi napata hii changamoto ya kuishi izi nchi za watu na hili baridi lph halizosleki ila sasa tufanyaje
Ongea kiswshiri usituchaganishie atuja soma
……well then, am coming to ALASKA 😂😂😂😂
Red indians ni Wahindi wekundu, ni weupe kama Wahindi wa India nywele nyeusi pua kubwa, wafupi, na ni jamaa na Eskimo wale binadamu wafupi
Sio wahindi kwa muonekano ispokua wazungu waliwahi waona wahindi so soon walipozingia bara la America kitu pekee wangeweza wafananisha hao wenyeji ni kuwaita wahindi wekundu kwa rangi yao na nywele zao nyeusi ila hao jamaa kimuonekano ni kama wachina kwa mbaali kwa muonekano, Bado wengi wapo pale Brazil Amazon na sehemu za Bolivia, au zaidi ni wale wa kwenye movie ya apocalypto, au wale wa Iceland eskimo ni neno baya kwa sku hizi limekaa kibaguzi wanasema
Mh kumbe mnajua history
@@rosiehayatta2619 mbona ni vitu viko wazi sana
@@fahadfaraj6474shukran kwa kudadavua nimeelewa hao watu
Mabaharia tujichange sasa location ikisoma alaska embasy visa uhakika sio mpaka uambiwe imeisha iyo
Daaah kweli mchawi madusko
❤❤❤❤
Alaska ni jimbo la marekani ila wana nchi yao completely kila kitu, tumepata experience nzuri kusikia toka kwa Dada umetupa mengiii ambayo hata walio America hawaijui kinachoendelea.
Moja kati ya Mahojiano Mazuri.Weldone Dada Pendo uko very professional.Mungu akubariki
Hongera Sanaa Pendo leo nimepata picha ya Alaska pamoja na kuwa kuona clips but your story nimepata picha kamili
Asante kwa kusisitiza jambo la kuwa postive mawazo chanya, ujumbe mzito sana kwetu sisi WaTanzania
❤❤