UJERUMANI MPAKA LEO HAWANA TUME YA UCHAGUZI/MWAKA 1958 HATUKUWA NA TUME YA UCHAGUZI..PROF KABUDI..
HTML-код
- Опубликовано: 7 май 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Kabudi geuka nyuma broo angalia wa Tz 🇹🇿 wanavyo teseka ifike mahala mkubali tu mmechemka kuongoza hii nchi acha history za kipuuzi saidia taifa kwa katiba na tume huru watu🇹🇿 tumechoka ....✌️✍️
Mtu ni proff but anaongea pumba tupu Kuna shida kubwa
Kumbe kuna watu wanaishi ili kuleta hasara kwa wengine
Mungu atusaidie watanzania kwa kuwa na viongozi wasiojali ,wasiomcha mungu
Kutetea unga wa ndere ni ngumu sana, Professor Kabudi kuna mahali point zinavepa kabisa anabaki kubwabwaja😅😅
Hivi hamna body za ma Prof ambazo zinasimamia ubora wa hawa ma Prof jmn kwa sababu ktk nchi yetu wamekuwa hawana mchango mkubwa kwenye maendeleo ya nchi yetu! Tunawaheshimu kweli maana wakiamka tunasisimkwa kwa hisia tukijua mbegu bora inaenda kupandwa kwny ardhi yenye rutuba lkn mwisho wake wana tukwaza na kufanya uharibifu mkubwa sana kwa jamii na nchi kwa ujumla!
profesa uchwaraaaaaaaa
Wewe professor uchwara ukimaliza kuongea angalia coments
Profesa ni kweli umetumwa na chama chako kukisemea wala sio kuutetea uma kwa yaliyomo ambayo ufumbuzi wake ni kuikosoa serikali ya chama chako!Ukitupa mifano ya nchi zingine maana yake madai ya wadau hayafai yatupwe! Nini maana ya mijadala kama hatuji pamoja?! Muda mfupi kwa madai ya miaka yote 30!, lakini mwaka mzima hautoshi kufikia 4Rs kisa muda mchache,mpaka 2030! Serikali haiko serious...
Aseee hatuitaji historia bhana there is are lot of literature mzee we need what you have mbele ya taifa hili acha story twende na point
Kwani hapa ni ujerumani CCM haitaki tume huru kwa sababu wanataka waendelee kuiba kura
Ukweli me sijamuelewa asaa huyu ni mtetea ugali tu
Wadau Mim simuelew sijui Ndio Professor hapan hapo
Kabudi niprofesa mzuri sana ...lakini shida tusimlaumu kwasababu Toka zamani ukiisema ccm vibaya unatengwa nakufukuzwa ccm
Nyie ndoo mmeliangusha taifa kwa maamuzi hasi na mnasimamia matumbo yenu tu sio masilahi ya watanzania ila kumbukeni mwisho wa siku mungu anawasubiri kwa kuwasababishia watu wake kuishi maisha magumu.
We mzee unajua kabisa mfumo wa Tz wasimamizi ni makada wa chama cha mapinduzi, na wewe ni mnufaika wa mfumo feki wa kupita bila kupigwa
Huyu mzee nimemsikiliza mpaka mwisho lkn sijaelewa kaongea nini!!
Viongozi wa sasa ni shida wamekosa ubunifu ndo maama wanakuja na mambo ya kale hawana jjipya wanaangalia maslahi Yao tu ili waendelee kukaa madarakani watanzania kuweni makini wanazungumza mambo ya kale tu na hoja ambazo hazina mashiko hadithi zimekuwa nyingi kuliko mambo ya msingi
Comrade
Kutoka Burundi, kuna watu ninawowapenda sisiemu haswa speech ya kabudi na vituko vya kagi rugora kipindi hicho