KUHUSU KATIBA KABUDI AFUNGUKA MBELE YA LIPUMBA KUVUNJA KATIBA NI NENO ZITO
HTML-код
- Опубликовано: 8 май 2024
- Kampuni ya Mwananchi Communications LTD wasambazaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti Tanzania.
Mbunge wa Kilosa, Profesa Palamagamba Kabudi amesema jina la tume huru halivunji katiba, akidai kuwa neno kuvunja katiba ni neno zito, linatumiwa pale tu linapofifisha haki sio linapo tajirisha haki.
Amesema hayo leo Mei 09,2024 katika mkutano wa siku mbili wa kitaifa wa kutafakari na kujenga uelewa wa pamoja juu ya sheria za uchaguzi zilizopitishwa kuelekea uchaguzi wa Serikali za mitaa mwaka 2024 na uchaguzi mkuu 2025.
kabudi ni mtaalam sana wa sheria ila kwa ccm hata aje malaika atageuka shetani na kupindisha haki
...... professor endeleeni kulisaidia taifaaa, Asante
...... professor endeleeni kulisaidia taifaaa
Hakika huyu ni Profesa kweli.
Wallah najikuta kama mpuuzi kuendelea kumsikiliza huyu mzee napoteza mda tu
Kuna kitu ww msomi hujaelewa. Wanacholalamika neno huru limewekwa kama kupaka mafuta tu. Tume hiyo haina uhuru wowote.
Mbadala na CCM huwezi nufaika
Prof. Kabudi has a rare intelligence. I wish tungekuwa na wasomi wengi kama yeye tungepiga hatua kielimu.
To be a Professor you must be Professional too,
@@jacksonsilaa415, we have a bunch of idiots with big titles and small brains too.
Hakika
Hapo usomi wake umekusaidia nini?
@@Expedito2512, bila usomi wake tungekuwa na wajinga wengi zaidi. Ujinga ndiyo tatizo kubwa nchi hii.
Sisi siyo watu wa India sisi pia tunautamaduni wetu
Maproffesa wa namna hiii bora muwe mnakufa tunawazika tuuu amna maana
JIPUMBAVU KUBWA HILI KABUDI
Prof. huyu ni miongoni mwa wasomi ambao badala ya kuwa tunu kwa taifa kinyume chake anaonyesha kipaji kwa kucheza na maneno pasipo kulisaidia taifa!
Hili profesa pumbavu
Prof wa majalalani
Dhubitisha kwa hoja.
Chawa, alipokuwa kwenye Tume ya Warioba alionekana msaada lakini baada ya kuonjeshwa posho za vikao vya kinafiki akabadilika na kusema "..niliibuliwa kutoka jaani na kuketishwa katika vikao na wakuu.." hivyo akarambishwa asali! Bogus and shame to him and his familly
Yaaani wewe unahitajika upewe pongezi hawa ndioo wanao tufumba maskio wakati macho yanaona halafu pia hawa wanahitaji kupewa nafasi fulani za juu zaidi
SITAMANI KUSIKILIZA TENA HUU UPUMBAVU
UNAHITAJI KUWA MTUPU KABISA KICHWANI KWA KUSHINDWA KUMUELEWA PROF. KABUDI.
Yani wewe mzee natamani sana uzinduke ulipo usingizini ugeuke upande wapili uungane na 🇹🇿 Tz wanyonge but ipo siku utakula fimbo nyingi sana huko mbinguni kwa kutoka saidia kusimama kwenye haki zawa Tz maana mungu amekupa uwezo mkubwa sana ,,,,, one love Tz one love ✌️✌️✌️.
Kwa mahakama vipi mzee, hi ambayo inapewa maagizo kutoka juu au?
😂😂
Hayo no maandishi tu vinywa ndivyo vinatumika vibaya
Kuibadilisha katiba inayowanufaisha CCM ni sawa na kutunga katiba ya kuondoa mamlaka ya wakoloni wakati wakoloni hao hao ndio wanaotalawala mihimili yote ya dola kama bunge, jeshi, mahakama n.k.
Mzee mbona unatulazimisha kuamini kitu ambacho watanzania hatutaki
Yuda huyoo
Mwamba wa magufuli
Kwahiyo unamaanisha wengine mawazo yao yalikuwa feki na isipokuwa ya kibamba
Katiba ya inchi ni scared law nasio canon law. Kwenye katiba za kidini Kuna canon law
Miyeyusho huyu jamaaa tupilia mbali liongo sanaaa
Mzee uongo hiyo katiba imeandikwa directly sio lugha ya thelogy
Huyu mzee huwa anaongea kile mabosi wake wanachotaka kwa wakati huo. Mabosi wake wakigeuka naye anageuka. Kwa hiyo usomi wake hauna maana maana hakai kwenye misingi bali matakwa ya wanaomtuma au wale anaowatumikia
Uhuru jina siyo kimuundo na uhalisia
Huyu ni kati ya wasomi ambao nje ya chuo kikuuu, usomi wake haujawahi kulinufahisha taifa hili arudi akafundishe chuoni huko tutamfaidi lakini huku hapana.
ameacha chuo kikuu na ubongo wake akauacha huko siku hizi anafikiri kwa kutumia tumbo lake kubwa
@@user-fr7jj1bo7yTumbo kama pipa hamna kitu huyu anafagilia ugali wake tu
Hivi hii katiba imeandikwa kwaajili ya wasomi wenye shahada na siyo kwaajili ya wananchi wote! Siamini hivyo!!
Kabudi hautaweza kitu
Kwakweli
Tanzania bara kisheria imekaaje
Prof Kabudi wa Tume ya Jaji Warioba siyo Kabudi wa sasa. Huyu mzee anaona ni haki mambo yaende yalivyo. Kwa akili ya wakaida katiba ya chama kimoja haiwezi kubarika kwa vyama vingi.period.
Profesa mjinga kuwahi kutokea afrika hii na dunia kwa ujumla
Tume huru ni namna inavyopatikana
Je hii tume imeundwa kidemocracy??
Wewe kabudi muongo sana
Walio tunga hizo sheria miongoni mwao ni wazee wa viji sent. Walipiga hela za nchi halafu hawagusiki, profesa acha kugeuza maneno sio iwe ndio, rekebisheni katiba kuna mapungufu yamo hiyo katiba yarekebishwe
One on lissu and kabudi about katiba
BORA KUWA NA DARASA LA SABA KULIKO MAPROFESA KM HAWA WANATUTIA HASARA KM TAIFA..IT'S SHAMEFUL KISA MATUMBO AKILI ZOTE NI ZERO...WE CAN'T MOVE
swali Prof. ni kwamba Tume kweli ni huru haswa? Watu wengi wanakutegemea kusema ukweli bila eoga wala ushabiki wa Chama.Katiba yetu ina matatizo makubwa, na tunategemea Maprof. kama wewe kutusaidia.Lkn naona unazungumza mambo ya darasani ukikwepa mjadala wenyeee. Prof....blablabla hizo zinakushushia hadhi.
Hata mbinguni hakuna tume huru kati ya shetani na Mungu. Marekani kelele za nini wakati ndo number 1 kua na tume huru?
HIVI HII ELIMU YA MJOMBA KABUDI INATUSAIDIA NINI WATANZANIA 🤯
Huyu anataka kurudi kwenye uwaziri. Anaanza kupiga kelelee Sasa hivi utaona teuzi.
Huyu Mzee alisemaga. Mungu magufuli au sio huyuuuuuuuj,
Amesahau Liverpool
Proffesa anazidiwa mpangilio wa mawazo na mtu mwenye degree na diploma hii ndo nchi yetu Tanganyika wasomii walio soma tunategemea watutoe matongoto ndo wanakua machawa wa serikali ya ovyoo
Nyie matapeli tuu..haki mnaijuwa nyie..pumbavuu..
Mzee iyo katiba haikutungwa na wananchi wa Tanzania ilitungwa na watawala wakikopi mambo ya nje ya nchi ndomaana watanzania tunataka Ile ya jaji warioba ambayo tumetoa maoni yetu wewe unaitetea iyo kwakua wewe ni mnufaika unakula unashiba kwauo ujinga unaoomba tukusamehe kwani shibe ni mwana malevya
Amejibu kwamba katiba ilibadilishwa mwaka 1982
Tupeni katika mpya
Profedheha Kabundi kwa kukariri sina hamu. Laiti angekuwa anajitahidi kutafuta maana na maanawia badala ya kukaririkariri. Sasa hizo Latin maxims zinawasaidia nini wasikilizaji na watangazaji. Huyu si ndiye alimuita mwendazake Mungu?
Tatizo ni pale watu wenye platform za kuongelea kama Hawa wanapochukulia kuwa watu wa kawaida ni kama mbuzi kwao na wanatakiwa kufungwa kamba na kuburuzwa tu. Haihitaji elimu ya rocket science kujua kuwa mifumo yetu ya uchaguzi Ina shida kubwa na kama hatua serious zisipochukuliwa kuisahihisha Kuna siku italigharimu taifa na lawama ni Kwa walio madarakani.
Kiingereza cha nini hapa kabudi ndio mama hakumtaka tena ktk swafu ya mawaziri
Waaaaaah mbona tuna watu wanafaa kwa nchi kabsa kwanini asigombee kua Raisi tuu daaaah
Kwa nni zisiitwe mahakama za tanganyika nni mnaliogopa neno tanganyika ikiwa tanganyika ipo na ckuku ya uhuru wa 9 December kila mwaka. Yani hata wwe msomi mkubwa kabisa mzee kabuni unaliogopa neno tanganyika
Kabudi anakwepa jiwe la uso Tanganyika
Kuwa mkweli wewe mtaalamu wa sheria; Kweli tume yetu ya Uchaguzi haiingiliwi na DORA??
Prof:Your so beyond dakika ya 7:30 ila ninachokiona nabii hakubaliki nyumbani, huyo mzee anajenga hoja na sisi watanzania hatuna tamaduni za mijadala nadhani sisi ma layman wa haya maswala ya kisheria ni vizuri kusikiliza zaidi kuliko kujitia ujuaji.
Well spoken
Hakuna hoja hapo huyo alitolewa jalalani na Mwendazake hiyo hoja ataitoa wapi?
Kwa mujibu wa huyu bwana,katiba isivunjwe Kwa kuwa inasimamia haki au nimemwelewa vibaya? Haki iliyopo katika katiba inanufaisha kundi flan la jamii akiwemo yeye..ule uchaguzi wa 2020 ni mfano tu... Kuhusu ardhi je...vipi ule muungano na kero zake na mengine kadha wa kadha...ni Kwa kiasi gani haki inatiririshwa na katiba hii wadau...taaluma ya kabudi ni taaluma kweli lakini haki za wamasai na maeneo yao ziko wapi kikatiba na taaluma yake...
Huyu kabudi ni professor wa nini mbona kila akizungumza anatoa mifano na nchi nyengine kama haeleweki ivi
Mhe Proffesor Kabudi Sisi wenye Katiba(Wananchi)tunashukuru kw Ufafanuzi ambao umetoa Elimu kwetu.Ila Katiba yetu ya sasa Bado mapungufu ni makubwa ambayo inaificha Tanganyika kuwa kwenye kivuli cha Serikali ya Muungano wa Tanzania Tunahitaji sana katiba ya Tume ya Mhe Mpendwa Wetu Jaji Warioba. Zanzibar Mbona ina katiba yake ambayo inasimamia Raslimali zake wakati Tanganyika haina.
Kabudi hana kitu huyo atajibiwa na fundi wa kumjibu hoja. Na huyu ndio aliyemuita Magufuli mungu kamtos jalalani , na hapo anajipendekeza kwa mungu mwanamke Samia.
Shida ni katiba na tume huru wewe ni mtetezi wa upande fulani na ndio mana hukuhusishwa kwenye mikataba ya bandari
Hiyo Sheria inayodhibiti mtekelezaji wa Sheria hiyo kutumia vibaya madaraka yake?
Kwa. Dhuluma vitisho ubaguzi na upendeleo?
Prof majalalani 😂😂😂 hovyo wewe hukifa leo kwa Mungu huta sema nini?wewe ni mongo hulisha potosha sana hatuna himani na CCM...mapoyoyo
Haki ya kuchaguliwa ipo.
Hiyo Sheria kumlinda
Mtu anapodhulumiwa haki ya kuchaguliwa kwa matashi ya watu walioshika mpini?
Ni nani ambaye anataka Prof.Kabudi asiwepo tukose hazina uliyonayo? Jibu ni hakuna .Tunakuomba utayarishe kitabu autobiography,machapisho mbalimbali ya kisheria fafanuzi na historia ya Tanzania tulipotoka tulipo na pengine mwongozo wa tutakapokwenda kwa usalama kama mapendekezo yake binafsi tu.Unaweza shirikisha wanataaluma wenzako kama utaona inafaa ,Ila kwa maoni yangu binafsi kumwacha aende hivi tutachekwa na man Jirani 😅zetu wote,Africa yote na Dunia.Tulikuwa na BABA Taifa Mwalimi Nyerere tumemu enzi tunashukuru Mungu alikuwa mfano mzuri na mwema kwetu sisi hasa maskini alibainisha maadui zetu enzi hizo ambao Ujinga , umaskini na maradhi Prof.Kabudi yeye kazi aliyona ni kutuelimisha namna na jinsi ya kujinasua katika mduara huo.Tafadhali usikatishwe tamaa tupo tunao kupa moyo hima endelea na Mungu akutangulie katika yote
Anatetea maslahi
Siku hizi nawe porojo tu, moja subiri uone kizungumkuti cha CCM, eti huru huru, sasa mbona hao vyama hawa kufanya mikutano ya siasa mpaka mama alipowaonea huruma kwani katiba hiyo hukuwanayo kabatini kwako ukawasomea, eti prof!!!! Ungemwbia Magufuli wa haki kufanya mikutano angekurudisha kilosa. Katiba katiba hiyo mbovu. Znz siku 2, uchaguzi eti wapo wengi sana.
Kuna tofauti kubwa kati ya Katiba yenyewe na kudharauliwa. Tatizo letu ni uadilifu na uaminifu hivyo hata mpya haitasaidi.
Mmoja ya wasomi mizigo na hasara tupu kwa taifa letu
Kabudi🚮
Profesa, tunataka ujipambanue kwa kuchambua umuhimu na udhaifu wa katibu iliyopo. Wasomi na wanasiasa wametubainishia udhaifu mkubwa wa contents za katiba.
Kabudi anadhani watanzania wataendelea kuwa mazuzu. Utamaduni wa watanzania sio kudhilumiwa daima hapana, Sasa tumechoka liwalo na liwe
MUNGU ANAWAONA
Anatumia usomi wake kuwadanganya watanzania
Ccm always goes Rong darection why tokativiv into politics is not leadership professor kabudi has capacity answer tundundulisu but not in darect because under ccm leadership you can't be straight on right point this is the problem he can trying but not deafit tundundulisu explanation the are big challenge crush tundundulisu pin point
Wewe babu usitupumbaze acha ujinga tunataka katiba mpya na tumehuru ya uchaguzi acha ubabaifu
Kwa hali hii nchi lazima ipigwe
Wasitubabaishe hawa wameshindwa kuongoza nchi miaka sitini 60 iliyopita hawajadili kondoa umasikini kwa watanzania wanajadili
SI ndio huyu alisemaga. Magufuli. Mungu
Actually wasomi wetu ni wa mchongo maana wanafundisha vitu ukivi-apply vinakuwa ni invalid
Akili huna kama jina lako kwenye hili taifa wanauvunja katiba ni macm
anayejua kwanini ameitaja Kenya hivo anieleze, maana sikupata hicho kiseemu
Kufananisha India na Tanzania ni sawa na kushindanisha Bito na ndege ya Boeng,,,,,hapa hapahitajiki kuongea kingereza na kuekimisha watu,,,,katiba ni ya wananchi, kinachotakiwa ni katiba ya wananchi,,,,katiba iliyoshiba njaa za wananchi
Kwa munaojua na. Ya Mh. Lisu Mrushien clip hii ili Amjidu aone aibu huyu kabudi ingawa ali kuwa ni Mwalimu wake
Professorial rubbish
Kabudi umelewa gongo la mavi kakojoe ulale sisi tunataka tume iwe huru musiibe kura tena
Tushimu ujinga anasema kabudi
KABUDI NI KICHWA SANA
Atutaki katiba iliyo uwa Tanganyika yetu atudanganyiki tena tunaitaji katiba mpya tunaitaji Tanganyika yetu irudi atutaki tena kutawaliwa na Mzanzibar ndgu zetu wanateseka kwa kukosa ardhi.
Mwamba huyu hapa
Uyooo vipi kazi kutaja majina ya watu tuuuu hao anao wataja wananafasi gani zidi ya haki za watu
Mahakama ya Rufaa hivi Sasa haiaki kutoa neno kuhusu katiba.
Mimi Nina Kesi ya katiba Ina miaka kumi haijatolewa hukumu.
Leonard Maganja wewe pumbavu kabisa unashabikia ujinga kama mpumbavu mwenzako Kabudi
Katiba tulionayo inatokana na itikadi ideology ya kijamaa/ideology which major means of productions such as mines and industries owns by the majority/public wanaotaka kubadili katiba wanataka kutupatia ya itikadi gani? ubepari/in which major means of productions such as mines and industries and lands should be owned by the minority oligarchs and their representatives? Ardhi to ka kigoma hadi dodoma ishikwe na matajiri wa ulaya na vibaraka wao kina lisu na mawaziri wa serikali halafu waweke mashine toka kulima kupanda kupalia mpaka kuvuna na kusaga kwa kutegemea kupewa kazi ipi mashine itasimama nafasi ya watu wangapi ?mtaletewa vyakula bei rahisi madukani kwa kazi mliofanya wapi ndio hapo matajiri walipokuja na depopulation agenda ya kupunguza idadi ya watu wapinzani wametumwa kutuvuruga ili kupanua njia ya kutorosha rasilimali kwenda kwa mabwana zao
We kabudi unalinda ulaji wako usitudanganye si sio watoto
Nikweli huyu hana chamaana anacho kiongea wala anachowasaidia raiaa na ndio maana hao raiaa hawatambui nini anasema
Acha upumbavu tu
NATAMAÑI KUENDELEA KUMWITA MHESHIMIWA AU PROFESA KABUDI,,LAKINI SHIDA NI MOJA KAMEEZWA NA NJAA,,MZEE AMEKUWA PINDUA PINDUA AMEJINYIMA MPAKA SIFA ZA KUWA PROFESA,NILIKUWA NAMPENDA HUYU MZEE NAKUMSIKLIZA SAANA,LAKINI KWA SASA KAPOTEZA SIFA ZA KUWA KIONGOZI KISERIKALI LABDA KICHAMA
Kabudi jembe
Nyie matapeli tuu..haki mnaijuwa nyie..pumbavuu..