Profesa Safari aelezea sababu ya kujitenga na siasa, asema "Siwezi kuwa chawa, najitoa kafala"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 май 2024
  • Dar es Salaam. Mtaalamu na mbobezi wa masuala ya sheria, Profesa Abdallah Safari amefichua siri ya kujiweka kando na shughuli za kisiasa badala yake ameamua kukitumia ipasavyo kipawa chake cha utunzi wa vitabu.
    Profesa Safari aliyewahi kuwa kada na mshauri wa masuala muhimu ya kisheria wa Chama cha Wananchi (CUF), anasema akijitosa katika siasa hivi sasa atajitoa kafala, ndio maana amejiondoa huko akidai hakuna watu makini.
    Mwanazuoni huyo ameeleza hayo wakati wa mahojiano wa maalum na Mwananchi Digital lililotaka kujua masuala mbalimbali yanayomhusu katika nyanja za siasa, taaluma ya sheria na uandishi wa vitabu.

Комментарии • 86

  • @DiwaniMwafongo
    @DiwaniMwafongo 22 дня назад +2

    Asante sana Prof. Prof wa kweli sio maprof Chawa akina Kitila Mkumbo, maprof. Njaa!!

  • @hajimbaruku9537
    @hajimbaruku9537 24 дня назад +2

    Nimevutiwa sana na interview hii, sana, sana, Professa Safari nampenda sana, ana madini mengi mno kichwani kwa sababu anasoma sana vitabu, kila ninapoona mahojiano yake lazima nimsikilize, sasa naomba kitabu chake cha Safari ya Uwakili kikitoka mtujulishe jamani, wa kwanza kukinunua ni mimi

  • @innocentmleli1196
    @innocentmleli1196 15 дней назад +3

    Umewaambia ukweli

  • @kindysuleiman5935
    @kindysuleiman5935 20 дней назад +1

    Professor nakukubali unazungumza kweli mungu atawalani ccm

  • @ramadhanmwandambotuntufye5972
    @ramadhanmwandambotuntufye5972 22 дня назад +1

    Allah akupe mwisho mwema profesa, safari nakuelewa sana, haya masomi ya siku hizi yamesoma lakini hayajaelimika, ni mafisadi, waoga , waongo , wafia tumbo, misomi mingi ya kileo haijitambui, hata hao watenda haki wa zama hizi wameoza, wanatoa haki kwa wenye Hela.

  • @user-rq4fq4pw4y
    @user-rq4fq4pw4y 8 дней назад

    Prof nakukubali sana na nadhani napenda niishi maisha kama yako

  • @TumainiMchomvu-zv3sv
    @TumainiMchomvu-zv3sv 21 день назад +3

    Daa umeongea fact sana

  • @johngibson3089
    @johngibson3089 14 дней назад +1

    Asante Professor Safari

  • @murubonabaptistmbstudentce7293
    @murubonabaptistmbstudentce7293 25 дней назад +2

    Mwalimu ukijitenga na wala rushwa kwa kukaa kimya inamanisha nini?

  • @gordonausubisye8074
    @gordonausubisye8074 5 дней назад

    Kwa kweli profesor Safari wewe mtu mwenye Madini sana sijui watawala hawakuonii wewe mtu mhim sana katika Nchi hii kweli mkweli hahitajiki sijui kwa nini

  • @vickytorry100
    @vickytorry100 25 дней назад

    Profesa Safari inabidi ujitokeze ulisaidie Taifa, wewe ni mkweli sana ulivyokuwa mwanasiasa nilikufuatilia ‘you are unique’ hata nafasi ya urais inakufaa🙏🏾

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 25 дней назад +1

    Safi sana shekh uamuzi mzuri sana

  • @mboneamalaki5674
    @mboneamalaki5674 24 дня назад +1

    You inspired me Prof

  • @hasaabdi7199
    @hasaabdi7199 20 дней назад +1

    Allah anakupenda siasa mchezo mchafu

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 25 дней назад +1

    Well said Prof 👏

  • @bodyaman
    @bodyaman 24 дня назад +4

    Ingependeza kama mamlaka zingekuweka kwenye kamati ya Kumshauri Raisi katika masuala ya kisheria na mikataba naimani ungetufaa zaidi

    • @DiwaniMwafongo
      @DiwaniMwafongo 20 дней назад

      Kwani kamati ya " halmashauzi" kuu ya Chawa aliyokuwa nayo haimtoshi?
      Naogopa kusema nchi hii haijawahi kupata Raisi wa sisi wachawi " mvaa" barakashia/ mtandio ambae SI "mdebwedo"!!

    • @benedictmrisho1800
      @benedictmrisho1800 15 дней назад

      Mamlaka ipi wakati Rais ndio mamlaka yenyewe?

    • @DiwaniMwafongo
      @DiwaniMwafongo 15 дней назад

      @@benedictmrisho1800 , ndio maana tunataka katiba mpya. Ni nchi zetu silizojaa wajinga na wabumbavu ambazo zimempa mamlaka mtumishi wao!!

  • @adamlyanda9450
    @adamlyanda9450 12 дней назад

    Asante professa

  • @albertkamala6843
    @albertkamala6843 22 дня назад +1

    Mafanikio ya nchi..tazama wanaohusika kutoa haki!
    Nikiwaangalia Majaji hawa wa sasa hv!
    Majaji stadi
    Luis makame, khawa Lugakingira, Barnabas Samata.
    Sheria itatakiwa itekeleze haki..kanuni zisizuie haki kutendeka!
    Polisi na Mahakama vinara wa rushwa!
    Sijivunii majaji..wanafunzi wangu! Wameniangusha! Mawakili wako sawa!

  • @adammbuba7230
    @adammbuba7230 20 дней назад

    Prof kama prof
    Kwa kweli uko bomba

  • @patrinraura1397
    @patrinraura1397 18 дней назад

    Mhe. Tukushukuru kwa kutumia Kipawa chako Mungu alichokujalia Kuandika Vitabu kusaidia Kada ya Elimu na hasa ngazi za chini

  • @webstersinje7712
    @webstersinje7712 23 дня назад +1

    Laiti katiba ingeruhusu ugombea binafsi,naamini kungekuwa na uhuru zaidi wa mawazo,,huu ugombea hadi kutumia mwamvuli wa vyama ndio chanzo cha kufinya uhuru wa mawazo na mitazamo,maana unaongea kwa "handbreak" unawaza wenzangu watanifikiriaje au chama changu hakitaki kabisa kusikia aina hii ya mawazo,Binafsi nimekuwa kwenye fikira hizo miaka mingi nyuma....Kunta...Kinte.

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai 24 дня назад +1

    Wewe ni tatizo prof

  • @kyaro5945
    @kyaro5945 20 дней назад +1

    FUNCTIONALIST Prof. Safari umewaambia. Mmbunge alipwe m18 na Medical Dr alipwe 3 m. Haiwezekani

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu 24 дня назад

    Lakini tuseme ukweli hapo kwenye watu wenye mvuto wa kuwa convinced watu

  • @frankphiri9132
    @frankphiri9132 25 дней назад +1

    Si uanzishe chsko nawanao au wataingia kwa kufuata itikadi zako usitudanganye mtawala yeyote lzm jpite ktk vitisho hapo umefeli Prof kaa kimyaaaaaaa

  • @wahurumasibale6155
    @wahurumasibale6155 25 дней назад

    Heshima kwako Prof.

  • @husseinmtima6106
    @husseinmtima6106 21 день назад

    Napenda anavyozungumza yaani ana relax

  • @evelina9621
    @evelina9621 11 дней назад

    Tuokoe
    Baba.safari.jina.zuri.binafsi.nakupenda.uwe.kiongozi.wetu.karama.yako.itumie.watu.wwafurahi

  • @angelsblackboard8008
    @angelsblackboard8008 14 дней назад

    Kafala ndio mdudu gani?

  • @RBMBAKARI-bv6wn
    @RBMBAKARI-bv6wn 24 дня назад

    Ukiipenda dini hutakua muongo utakukalia mbali sana ndio maana watu wachamungu sana hawataki siasa

  • @khalidhaibe9492
    @khalidhaibe9492 25 дней назад +1

    Lafudhi adhimu ya kiswahili toka kwa Prof Safari

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi 25 дней назад +1

    Malalamiko na malaumu na references kibao za wakoloni kutoka kichwani kwa prof.🤣🤣

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 15 дней назад

    Magazeti yanaandika mambo yasiyo na ukweli mf kusifu sifu bila ukweli na habari zisizotafitiwa vizuri ( investigative journalism). Mwandishi anaandika mtuhumiwa wa kulawiti mtoto akamatwa afikishwa mahakamani. Story inaishia hapo haendi kufuatilia mwenendo wa kesi hadi mwisho.

  • @michaelbachubira7197
    @michaelbachubira7197 25 дней назад

    Sasa kyoma unatua haje elimu ulio nayo unaacha nini kwa vizazi vijavyo

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 24 дня назад +1

    You can't bring revolution in single handed...tafakari...

  • @yahayamjenga1996
    @yahayamjenga1996 14 дней назад +1

    Critics nyingi hapa ni kwa kuwa kavaa kanzu and smart hakuna reasons za msingi hasa za critics za wachangiaji. Angevaa suti na tai huyu angeshangiliwa 😂

    • @aidanaiken8147
      @aidanaiken8147 11 дней назад

      Acha udini ww, Prof Safari tunamkubali kabla hatujajua dini yake

  • @msabahaali758
    @msabahaali758 22 дня назад

    prof, uo ni uoga akina Maalim seif wamepambna mpka wamekufa hawakujali chochote mpka wamekufa

  • @amohammed3390
    @amohammed3390 21 день назад

    Sasahivi magazeti free kwenye train na buses😂

  • @boneventuremweya3673
    @boneventuremweya3673 18 дней назад

    Paza sauti tujue ukweli unaodhani ndo ukweli kujifungia ni ubinafsi

  • @mzeekidevu9688
    @mzeekidevu9688 24 дня назад

    Wewe unataka mtelemko suka chama chaji tulione onesha msimamo wako watu tukuunge mkono

  • @francisboydmwakyusa230
    @francisboydmwakyusa230 24 дня назад

    Hakika wewe ni Mkweli, nikikumbuka swali la Ukabila na Ukanda ulivyo wauliza CDM wkt wanakutaka ujiunge nao, swali hilo kuwauliza watu wanaojinasibu na hiyo sifa ilikua kama umeanzisha vita.

  • @evelina9621
    @evelina9621 11 дней назад

    Bado.tunakuhitaji.uongoze.tanzania.uwezo.unao.usiogope.mungu.atakulinda

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 25 дней назад +2

    Msomigani unakua muoga

  • @mahadhikawia3610
    @mahadhikawia3610 16 дней назад

    Ndio maana wabunge wa darasa la 7 ,hawaishi kuwakashifu maProfessaa ,jeuri ya pesa ! Mbunge 18 m , professor na Doctor na wahandisi 3m .

    • @benedictmrisho1800
      @benedictmrisho1800 15 дней назад

      Tatizo la kukabizi nchi wanasiasa waliochoka maisha ya taaluma kuiongoza nchi. Mtu ni daktari wa binadamu anaacha anaenda kuwa msihasa kwa sababu tu siasa inalipa.

    • @benedictmrisho1800
      @benedictmrisho1800 15 дней назад

      Hongera Prof umechaguz fungu bora.

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 25 дней назад

    Sheikh hayupo siriaz huyo wasomi wetu wanazingua

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 24 дня назад

    VITU DUNIANI
    AMBAVYO VINASABABISHA MTU UWE MBAGUZI NA KUDHINDWA KUTEKELEZA UTAALAMU WAKO KUISAIDIA JAMII NI DINI NA SIASA.
    AMINI MANENO YANGU KAMA HUUAMINI FANYA UTAFITI

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 23 дня назад

    Mzee wa legallize majani

  • @denisadrian9765
    @denisadrian9765 25 дней назад

    madini tupu aisee 😂

  • @mgungulem3187
    @mgungulem3187 25 дней назад

    Ukiendelea kukaa pembeni, utafaidi matunda ya wajinga siku ya iddi tuu😂

  • @Salisalum
    @Salisalum 25 дней назад

    Kweli anazingua. Atajitoa kafara gani? Uoga tu.

    • @athumanfuko199
      @athumanfuko199 25 дней назад

      Nimemkubari huwezi ukaingia sehemu unaona kabisa watu hawataki mabadiliko sahihi

    • @gangan4618
      @gangan4618 22 дня назад +1

      Muoga kweli kweli wewe prof., basi wewe ni chawa tu wa Ma-CCM, Ukiona mtu Prof. Anasema eti hana chama au mwana dini mwenye umaarufu anasema hana Chama huyo huyo kajificha tu ni CHAWA WA SIRI WA ÇCM na anahofu ya maisha yake kushambuliwa na manyang'au Ma-CCM... yaan wanafiki wa namna hii wasubiri moto tu siku ya KIHAMA.

  • @kibbysaidi7813
    @kibbysaidi7813 24 дня назад +3

    Sijakuelewa kikweli.... yaani professor kwako kuna mambo mawili tu... ukweli na ugomvi??? Kwanini unadhani ni bora ubaki na ukweli wako kuliko kuueleza na kujitoa kafara? Basi ukweli wako una faida gani kwa watanzania?? To me you are weak and very selfish

    • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
      @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 21 день назад

      😂😂😂😂hivi umeelewa kweli wewe ....
      Aiseee mbali watuuu kujua kusoma tanzania ila ujinga upo pale pale

    • @kibbysaidi7813
      @kibbysaidi7813 21 день назад

      @@--------GEO_SPORT_EARTH_EA kama ww umeelewa na bado ukasema mm ndio sijaelewa basi nisingependa kuwa kama ww. Nakubali nina ujinga wangu lakini bora hivyo kuliko niwe na werevu wako

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 25 дней назад +4

    Umekosea kaka,yule alikuwa CHE GUAVARA!!

    • @KASOLEKA
      @KASOLEKA 25 дней назад

      Binafsi sijaelewa hii ya Karl Marx!!!

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 25 дней назад

      Kakosea nini sasa

    • @petersipano6335
      @petersipano6335 24 дня назад

      Nimefuatilia vizuri, kauli yake ya ameirekebisha kwa kumtaja Che Guevara badava ya Karl Marx, umeenda haraka...

    • @kanoleausi4204
      @kanoleausi4204 23 дня назад

      Wewe ndio umekosea sio CHE GUAVARA ni Che Guevara!😂

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 23 дня назад

      @@kanoleausi4204 ndio nini sasa

  • @gilbertkalanda9354
    @gilbertkalanda9354 20 дней назад +1

    Sema Hawa Hawa Maprof. Wakiafrika uwa wana kakiburi Fulani sanaa afu mafanikio zero

  • @JosephatMushi-ne9hn
    @JosephatMushi-ne9hn 20 дней назад

    Uwezi soma gazeti au kitabu, Barabara zenyewe Mbovu, mashimo Kila sehemu, ni kula Mshindi tu na kuchimba dawa

  • @KimanguShemwaliko-ht2jr
    @KimanguShemwaliko-ht2jr 25 дней назад +1

    Kwa maana wewe hutaki kutetea haki.wewe nimbinafsi

    • @ibrahimsaad617
      @ibrahimsaad617 23 дня назад

      Yaani wwe umesoma kweli

    • @gangan4618
      @gangan4618 22 дня назад

      Mwoga professional kama tu, askofu mkuu kkt.

  • @sylvanuskavindi2756
    @sylvanuskavindi2756 11 дней назад

    Huyo mtu ana akili sana, akiwa CUF alimsumbua sana Lipumba hana hamu naye.
    Alihamia CHADEMA ikiwa serious wakati ule kabla chama hakijashikiliwa na madalali rasmi.
    Walipoanza ukigeugeu akaamua kukaa zake kando na siasa.

  • @gilbertkalanda9354
    @gilbertkalanda9354 20 дней назад +1

    Sema Hawa Hawa Maprof. Wakiafrika uwa wana kakiburi Fulani sanaa afu mafanikio zero

    • @mpondaambrose2231
      @mpondaambrose2231 18 дней назад

      Amesema ukwel nan yuko serious kupeleka taifa mbele tume staki hatumove kabisa hatutaki ukwel