Mwanamke mwenzangu ukiona ndoa yako haina amani mwachie Mungu, chagua wanao, hakikisha wanapata elimu na malezi bora, jipende, jithamini, jipe raha, naamini utakuwa na amani sana ktk haya maisha. Mwanaume akikengeuka ni Mungu tu peke yake anaweza akambadirisha, hata upige kelele unajiumiza, hakikisha unapambana na kulea wanao mengine mwachie Mungu. Inasikitisha kuwaacha watoto yatima na kupoteza mwelekeo hasa ktk dunia hii ya sasa, Mungu tusaidie wanawake
Ningewaza watoto wote 6 hapana aise Afu watoto wanavyomweka busy mwanamke, Aende tu, wengi tu tumeumizwa na mapenzi na tumeanza a , kwa kusema unazaliwa Uchi na utakufa Uchi Kisasi kikizidi moyo wa mwanadamu lazima alipize! Tujitaidi kusoma neno na kuomba, dunia ina maumivu mengi sana
Haya miungu ya duniani najua uyu mwanamke hakupanga kumuuwa mume wake jumbo povu tu limemuangukia ila maumivu ya kusalitiwa anayajua Mungu mama wa watu na kwenda jehanamu ndogo leba mara sita bado kiumbe cha Mungu kikatafuta mwingine na tisa kumi kamjengea kimada yamkinii mwanamke uyo alilala njaa alipokuwa anatafuta na uyo mwanaume leo kimtu kinakuja kumenya tu kwa kuondoa ukakasi eti mke mdogo toka lini wakristo wakaoa wake wawili binadamu tuache unafiki hao mashemeji,mawifi na wanaona mke kakosea sana ingefika kwao wangefanya ukatili mara tano ya hivyo
Upo sawa kabsa yani iweje mtu eti aje kula kirahisi na mwenzake anapigwa jua lautosi kwenye biashara zake kila siku ata wasimlaumu huyo mke mkubwa stress kamletea mume wake na zimemmaliza yy
Roho mbaya na wivu, hata kama alilala njaa ndo uende kuua? Kwani upo nyumbani tena mjengo mkubwa hivyo huli? Hulali? Shida ni nini mpk ukaue kisa eti umemkuta kwa mke mdogo? Hapo angekua mwanaume ndo kaua sidhani kama haya maneno ungeyaongea. Angeua mwanaume hapo ungesema kama umemchoka mwache wala hilo neno maumivu ya kusalitiwa usingeliweka, all in all haijalishi nini kimekutokea kwenye maisha kwanza kaa chini umshirikishe Mungu
Trust me mtu Wakulaumiwa ni aliyeingilia ndoa ya watu 😢😢sababu angetulia na amuache mume wa watu yote haya yasingetokea.Ndoa na iheshimiwe na watu wote
Wakulaumiwa ni huyo mwanaume mwenyewe... kwanini hakutunza agano la ndoa aliloliweka kwa mkewe?? Asingemtongoza huyo mchepuko wangeingiaje kwenye mahusiano
Soo kusema wanawake wa kichaga.Watu wangapi wameuwawa bila hatia na wake zao au waume zao?WW umeona ni wachaga tuu.Acheni Zenu Shetani yupo kazini na hofu ya Mungu ikikutoka lolote waweza fanya. 2. Mambo ya ndani kwa wanandoa ni siri kubwa sana hakuna wa kumlaumu wala kuhukumiwa.
@@gracegeorge4848Kwan huyo unayesema hakuna mume wa mtu anapokuwa anaapa kanisani ulisikia anasema atakuwa mume wa wake wengi? Nyie michepuko ndo mnasemaga hakuna mume wa mtu. Jitengeneze ufae kuitwa mke wa mtu dada..
Kwa wakristo hakuna mke mdogo ni hawara au mchepuko na Kuna Siri kubwa hapo hiyo ndo shida ya kutotulia na mke wa ndoa inauma mume unamzalia watoto 6 na Bado anachepuka u Malaya siyo mnzuri
nazani si vizuri kuukumu kwa sababu maisha ya ndoa wanajua waliomo, wanawake mna mambo mengi tena ya mauzi sana wanaume uwa wanaamua kuwa kimya na kuendelea na maisha mengine..,
Mmh watu mnapenda kuhukumu Sasa akichepuka unamuua.una watoto wako sita unaua mtu Sasa unaenda jela wanao wanalelewa na nan?kabla ya kutenda fikiria kwanza
Jamani mm leo michepuko wa mume wangu amenipigia akanieleza kila kitu hata audio zipo amemkodishia sijui nifanyeje naumwa na moyo nko na miaka kumi sija wai kumcheat natetemeka sijui nifanyeje nk Kenya naomba msaada wenu yy hataki kukubali makosa
Hajafaidi chochote...kaka zetu muache umalaya...chanzo hapo ni mume angetulia na mke wake yangetoka wapi yote haya?!inasikitisha watoto wanakuwa kwa wakati mgumu.kila mtu anauwezo tofauti wa ku control hasira...so mtulia period.@@g_forcemusician4242
Mwanaume anakuwekea mazingira mazuri Ivo bado unamuuwa si umuache Aende Mimi hata akiamia ili mradi watoto wanasoma ,awalali njaa na maisha yanaenda ohiiiii aende tu na njululu yake ohiiiii
Shida sasa atakuletea magonjwa,wengi huwa wanaogopa hivyo,maana mbali na huyo bibi mdogo,kesho ataenda kwa mwingine,sasa mtu unakuta ndo Ana watoto 6,halafu anapatia magonjwa ukubwani,ndo Inawauma.
Rahisi tu kusema hivyo labda uwe hujampenda umefata pesa itakuwa rahisi. Mume anauma weee! Acha ya sikukute unaweza kufanya kama hivyo au zaidi wao wanatuuw kila siku! Kwa hisia tu sikwambii umeona mazingira! Kafia kwa mchepuko aibu saana kakuzalia wtt 6 bado hajaridhika
Mtuhumiwa Ali mpenda sana mumewe jmn, ukiona mwanamke kakuzalia watoto wote hao ni kweli alikupenda kwa dhati na ndio mana ilimuuma sana kuona mwanaume kama ni watoto nimekupa lkn bado hawakutoshi unaenda kuongeza wengine unahamisha mapenzi kwa wanao wakubwa unapeleka kwa mchepuko hii inaumiza sana kwa ambae hajawah penda na akatendewa hivi anaweza ona ni mwanamke mkatili lkn hii ipo na inatokea sana tu mungu atuepushe kwa kweli
Nakupinga asilimia zote kwa mana manabii hakufanya sifa kama mnavyofanya nyie kwa sasa, kwanza mke hadi kufika kupatwa hasira kiasi hiko ni wazi mume hakukushirikisha kama anaoa imagine amemjengea hata familia yake haijui afu umfwatilie ukute mambo kama hayo jazba lazima ikukute tuu,, kama unge mwambia mkeo ukweli sizan kama angefanya hayo mwanamke anapenda kubembelezwa tu japo ukweli unauma lkn ingefika mda akazoea wangap tunawaona wapo mitara na wala hawajal mnakerekwa nyinyi majiran lkn wao wala hawastuki ni swala la mwanaume kua na busara tu lkn nyinyi mnafanya sifa sifa na kumkomoa mwanamke hapo ndo mnakosea, ww ukitaka kujua huyo alifanya hasira tu utaona ni kwann kakamatwa kama alipanga kumuua tu kwaajili ya mali si angeanza kupanga mipango yake mapema angehamisha watoto hata nje ya nchi na yeye akafanya tukio then akatoweka nani angempata ? Lkn ye kabak hapo hapo ni hasira tu na huwezi elewa hadi yakukute ko tuliopitia tunaelewa 👍@@mustafamsati9599
Siyo lazima mtu ajue kama alimjengea au la Wanawake wengi tu wanajengewa hata pasipo kumzalia mradi alimpenda. Na pia inategemea mwanaume anapitia changamoto zipi huko kwa mke wa ndoa au huwa tu ni tabia za wanaume Fulani tuwaombee Wanaume wote Pumzika kwa Amani Baba wa Familia 👏🏾
Mashemeji nyinyi.unasema humfahamu alafu unasema uliongea na shemeji.alafu Malehemu ana watoto saba na kwa b mdogo mmoja.ndugu wa mume pepo mtalisikia tu.
Hawa wake za matajiri hapa moshi hawajafundwa wala kufuzwa, wana mavikoba yao wanachaguana eti wake za mabosi kwenye mavikao yao wanakunywa mapombe na kufundishana upuuzi usiofaa mbele ya jamii yeyote. Vitambi vyao huwezi kuvibeba
Hili ndio jibu wamempambisha mwenzao kwa kumjaza roho ya wivu na ushetani Asimame mke mmoja tu atoe ushuhuda mumewake Ana mwanamke mmoja tu Ujinga roho mbaya maana marehemu amezaa naye pia huo mpango wa kando ndo maana pia amejengea kwa ajili ya mtoto wake Lkn maneno ya mashosti yakumjaza shoga yao haya kikowapi sasa
Yaan acha tu maana mwanaume hata uwe pekee yako lazima tu awe na mwanamke wa nje wanaume huwa hawaridhiki jamani wanawake wenzangu afu mkumbuke ki ukweli wanawake tupo wengi wanaume wachache afu kwani akienda huko kwa mwanamke wake wakitombana anaiacha huko c anarudi nayo na wewe unaitumiaa wee haikondi haipungui haiishi ladha ya nini kuacha watoto mahatima lakini mweee😢😢😢😢
Kama aliweza kubeba kisu mpaka eneo la tukio, kaona kabisa huyu ni mume wangu, na bado kamchoma kimoja tu kikamtoa roho,alidhamiria hakika na alitenda kwa ujasiri na nguvu zote. Hii ni dhahiri kuwa hata huko ndani hakua mtu mzuri, alipenda kumtawala mume, Na si ajabu mume kavumilia mengi kashindwa ndipo akajiongeza. Hebu imagen mke ana drive prado mume rav4, Kweli alikua ampendi? Mke mwema ni yule anaeona changamoto kwenye ndoa yake zinazidi anaamua kukimbilia kwa Mungu na Mungu huwa hamuachi mke wa namna hii. Nimewaona wengi na Mungu huwatetea. Sijawahi olewa lakn mmmmmh...hii.
Naona wanawake wengi wanacomment eti wangewekwa kwenye nyumba kama hiyo wangetulia,hayo ni mawazo ya kimasikini sana,mnajuake kama mwanamke ndo alkuwa na kipato kikubwa zaidi ya mume?na sio rahis kuaacha vitu kirahisi hvyo esply kama kuna pesa tayari,watu hawalali kuzitafuta hizo pesa so akikumbuka hekaheka alizopitia ndo matokeo yake yanakuwa hayo,sisuport kuua mtu ila mnahukumu sana
Kama unaona kero mumeo kawa na nyumba ndogo Cha kumuuwa mtoto wawatu Nini? Chepuka na wewe au kama unajiina mpambanaji huwezi kupokea kaa pemben. Mimi kama tunapata mahitaji nikumwombea afya njema apambane wote tupate haki sawa. Wanawake tupendane tuaeche wivu usio na maslai ona Sasa anakosa vyote
We acha hizo huyo atatoka tu mbona ngoja msiba wishes.kwn yule kijana aliemuuwa mm ake mfanya biashala wa madini na kumtumbukiza kwny Chamba ya choo hapo kwny mjengo wake mbona katoka na kesi imeisha!
Na yule bilinear msuya naye mke si alimmaliza tena na wifi akauwa mbona katoka kainekana hana hatia,kwa huyu atatoka mn ukichunguza zaidi huyo mume ana makosa sn,
@@SaumuSaidi-z2vana makosa gani mume asihudumie mtt wake?? Yy mbona ana maisha mazuri wanaume kuchepuka kawaida km tukisema tuwauwe tutabaki wanawake watupu ni upungufu wa fikra tuu
Mume anauma hapa huwez judge mwanamke peke yake huwez jua huyo mwanaume tofauti na hyo kumcheat labda alkua anampa manyanyaso mengine yakuathiri psychology yake jaman manyanyaso sio lazima upgwe watu wana mahela ila wanaishi maisha ya taabu sana.
Mbona wetu wamechukuliwa mazima na michepuko hata hatujui wako wapi tena, bora huyo alikua anarudi home kwake! So tukiua inatupa suluhu kweli? Andiko linasema: mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote.....sasa tunapoupa moyo kazi ya kumpenda mwanadamu kuliko Mungu, ni tatizo! Lazima utaumia sana, swala la kumove on ni ligumu lkn ni la muda tuuu, Hatujazaliwa na kitu, tukubali kupoteza vitu/ watu ikiwa ni gharama ya kuanza upya
Tatio kubwa hapa ni kuua! Tumeambiwa " usiue". Hakuna sababu yeyote inayohalallisha kutoa roho ya mwenzio! Sasa atafungwa pengine maisha. Amepata nini? Dhambi ya mtu inakufanya na wewe utende dhambi!!! Llah hasha!
Alhamdulilah kwa kuniruzuku kuwa mwislam haki sisi wanawake wa ki.islam hatuna mbaya mume anaoa na maisha yanaendelea binafsi mimi nipo kwenye ndoa ya wake wa 3 na bado nafasi 1 jimbo lipo wazi na tuna Amani hakuna kuchoma visu
Ila hapo hampendani, unafiki, wivu, kuangaliana kijicho, kusemana vibaya🤔🤔🤫🤫 maisha gani hayo ni umadkini na akili za kimaskini ndio zina wafanya muvumilie hata waislam matajiri kama Dangoote, Mo de...... wanawake mmoja mmoja ila hawa waislam makapuku ndio wanakimbilia kuweka wanawake zaidi ya mmoja
Nikwambie ukweli? Mama anaenda jela kifungo cha maisha. Mume amekufa Watoto wanakosa baba na Mama. Biashara zao zipo hatiani kufa pia, maisha yanaweza kuwa magumu sana kwa watoto. Huo ndio UKWELI. Hilo la mke ama hawara ni IMANI tu.
Unajua sisi wanawake tuko hivi tukiwa atuna haya maisha tunasema tunaona ni raisi lakini kweli ni kwamba tukipata nyumba nzuri gari nzuri watoto wakasoma shule nzuri hela ipo tunaitaji upendo Sasa unatamani mume awe wako tu muwe sawa ndo matokeo yake hayo
Wakristo hatujidanganyi ni agizo mme mmoja mke mmoja. Mungu amempa mwanadamu free will aamue atakavyo ingawa Mungu keshatoa mwongozo. Hata wenye wake wengi nao wanachangamoto zao.
Moyo wa mtu ni kichaka, unaweza kufikiri amemuua mumewe kwa wivu kumbe mtu alishapiga mahesabu ya kumiliki hiyo mijengo na biashara na kimada ametumika kama kigezo tu cha kumuangamiza mwenzake,siamini kama kweli hakumjua huyo kimada siku zote hizo.Anajua atafungwa lkn atatoka mapema tu.Na wanawake wa kaskazini ndio zao hizo,mapovu ruksa.
Ukweli kabisa kaka.mimi ninavyo jua serikali ya Tanzania Sheria ni ya munyonge.kwanza hiyo kesi itatupiliwa mbali.huyo mwanamke muwaji atawachiliwa pesa itatumika.hakuna Shahid atandikisha report kwa police ya Tanzania kua aliona tukio likifanyika.watakao muzaidia huyo muwaji mwanamke ni mashemeji lakini inauma kweli poleni
Huyu mwanamkehajamuua mme wake kwa bahati mbaya, bali alikusudia na kudhamiria kutenda uovu. Umbali na muda aliyotumia kumfuata huku akiwa na silaha ungemtosha kutafakari upya uovu aliyodhamiria kuutenda na kughairi kwa kuishinda hasira. Kwa vyovyote haya ni mauaji ya kudhamiria (murder case) na si mauaji bila kukusudia yaani (man slaughter).
Labda uwe huna mapenzi nae unajua moyo ni kitu cha ajabu sanaa and utaruhusu hayo yatokee mwisho wa siku unakuletea maradhi wewe umekaa zako tu nyumban umetulia
Sasa apo ata kama ungekua wew ndugu yako amesha uwawa na uyo mwanamke uraonyesha upendo vimada walikuwepo toka enzi za mababu na wataendelea kuwepo sasa kapata faida gani unaacha watoto wako wateseke kwa sababu ya hasira zosizo na faida @@leokamil6284
hasira hasara ona sasa umepata faida gani, hata kama inaumiza lakini umepata nini kutoa uhai wa mwenzako? yaani uliangalia wivu wako tuu hata hukuwaangalia watoto kumkosa baba yao kweli na vipi kuhusu ndugu zake ambao walikuwa wakimtegemea. MUNGU AKUSAMEHE.
Wake wadogo/michepuko,Wanakuwaga na wivu mnooooo,kwa waume ambao wamewakuta tayari wana miji yao na ni roho mbaya komeshaaaaa.Wanaume wajifunze kutulia na mke mmoja hata kama ni kisirani badirisha chumba.
Una uhakika uyo mam ni mchaga au unaongea tu ujinga pia wanawake wamechoshwa saiv mpaka mt anakuzalia watoto sit bado thaman huioni we si utakua balaa😢😢
Haya ndio madhara ya kupata mpaka kuvimbiwa kuna watu hawatakiwi kuwa matajiri kabisa. Yaanu mtu hela inampelekesha mpaka mke anamuua. Hapo mke anaenda jela na yeye kashaondoka mali wanachukua ndugu kiulaini.
Wanawake wengine wapuziii sana unaua Cha moto atakiona hapa Dunia alikuwa halali njaa ni kiherehere chake mwanamke Moja hudumaza akili watoto wanajuwa wanasikia uliuwa baba yaoo laana kajitengezeaa
Ten mwanamme kajeng nyumb nzur t mke mkubw alikuwa na Maisha mazur jumba la kifahari na gari juu umenunuliwa na kutembelea bs angefikiria watoto wake kwanza kabla ya kufany tukio saiv watoto wataish mazingira magumu San sababu baba kafa mama ndo atahukumiwa jela maisha ina maan mali za marehem watashikilia ndug watoto hawatapata kufaid mali za baba yao maan ndug pia Hapo hizo mali na biashara wanazitolea macho 😢😢😢😢😢😢😢😢
@@ElizabethMkinisasa apata faida gan kaendeshwa na hasira za kijinga hajafikiria kuna njia nyingi za kufanya mume atulie kusalitiwa kawaida kwa mahusiano ya sasa sasa hao wtt watateseka kwa ujinga
@@estherkimario7940 Faida hapati kaa ukijua kila mtu anapokea jambo tofauti...ni kumuombea tu hata huko alipo analia na kuomboleza...yote ni kazi ya shetani na mume angetulia yasingetokea haya yote...
Mke mwingine, Wakristu ni Mke ni mmoja Tuuuuuuuuuuuu hakuna cha mke mdogo Wenzetu Waislamu wana Nafuu mapema waliwekewa Misingi ya Ndoa huku waliuweza Ulimwengu huu wenye Kuyumbishwa na Usaliti wa Mapenzi Bubu ndiyo ni Mapenzi Bubu kabisa PUMZIKA KWA AMANI KAKA 😢😢
Halafu bdo u naua hivi kwel huyu mama mbona katil na huo mjumba na mazingira sasa me hata nisingejali nazingatia maokoto mahusiano ya sasa kusalitiwa kawaida huyu bdo mshamba watt watateseka hao maana hawajui shida sasa cjui apata faida gan
Unajuaje km mwanaume amejenga mwanamme peke ake?huenda mwanamke alitoka mbali mpka hapo walipofikia leo hii mtu anazaa nje ya ndoa ht familia haijui km ana mchepuko ht mimi nauwa
@@SaumuSaidi-z2v Haswaaa asilimia kubwa hapo wametoka mbali em fikiria watoto sita na pia sio kwamba mama alikua hafanyi kaz walikua wanatafta wote af mwingin anakuja kula kirais tu aweeee patachimbika labda ka una moyo wa chuma
Mungu atusaidie jamani, kweli unaishia jela unaacha watoto wako kwa sababu ya mtoto wa Mama Mkwe? hapana kwa kweli mimi nina kwangu na watoto wanasoma ningekula niendelee kunenepeana kama nguruwe niwakuze wanangu, sasa unaua mwanaume watoto wateseke wenyewe kweli?
Wanawake wa Moshi Mimi nawaogopa sana maana matukiyo kwenu yamekuwa mengi sana mala kuuwa wazazi Kisa Mali mala muuwe wame zenu namengineyo mengi njiee TU duuuu
Ukiolewa kwajili ya mali utaona sawa tu mume kufanya chochote mradi anakupa pesa ila kama umeolewa kwa mapenzi ya dhati lazima utatikisika sana ndomana wapo wanaume pia wanauwa wake zao kwa uchungu wa mapenzi kwanini wasiamue kuoa mwingine? Yani hapo mungu tu akuvushe ukiweza mshukuru mungu usijisifu
Jmn dini ya kikristo haina mke mdg,,,,hivi nyie mnajua kusalitiwa kunavyo Uma,,,hlf kutwa mke mdg,kafumaniwa huku mnasema knsn knsn,,, ubatil mtup,,ndoa naiheshime na watu wote😂😂😂
Usilotaka kufanyiwa usimfanyie mwenzio.mume anamsaliti atelier kwa sababu ya nyumba?alikuja kwa mume kwa vile kwao hakuna nyumba?huo ni ushamba.ndoa ni tofauti na mali,likikufika wewe ndo utajua.
Acha tu afe tena Kama Kuna uwezekano wa kufa mara mbili na afe tenaaa kudadekiii mshahara wa zambi ni mauti sasa michepuko si zambi sasa mnaumia Nini mtu kupokea mshahara wake
Mimi mchaga sio ukitaka maisha ya amani oa kabila lengine nasio wachaga wana wake wakichaga wanekua wapuuz wamwisho zamani walikua na akili ila sasa wamekua wapuuz wamwisho kabisa oa wachaga uuliwa hawashindwi kukuua hata na chakula hawa
Kwan tz imekubwa na nn kila leo mauwaji kam mapezi yameisha si muachane tu tatizo renu wakirisitu mnajifanya hamuachani mbaka kifo ndio shida hii mtu anamua amue ili hawe huru aisee toeni divosi kwa uraisi izi ndoa ni tishio
Unaweza kumpa kila kitu na anakuwa inaumizasana uyo mwanamke amekosa Nini kwenye utajili uo jumba zuli kanunuliwa Prado pesa ipo uyo mwanamke anyongwe nishetani afai kabisa
Wapi kwenye Bible kulikoandikwa Mkristo anapaswa kuoa mke mmoja?? Haya mawazo mdumazo ya kufikiri kuoa mke mmoja tu ni kuiga matakwa ya wazungu walioleta hizo dini....
Mwanamke mwenzangu ukiona ndoa yako haina amani mwachie Mungu, chagua wanao, hakikisha wanapata elimu na malezi bora, jipende, jithamini, jipe raha, naamini utakuwa na amani sana ktk haya maisha. Mwanaume akikengeuka ni Mungu tu peke yake anaweza akambadirisha, hata upige kelele unajiumiza, hakikisha unapambana na kulea wanao mengine mwachie Mungu.
Inasikitisha kuwaacha watoto yatima na kupoteza mwelekeo hasa ktk dunia hii ya sasa, Mungu tusaidie wanawake
Umenena yaliyo kweliiii
Aamin
Unazaa na mwanaume watoto 6 unamuuwa kwajiri ya bi mdogo watoto wanakuwa yatima kwajiri hasira za kipumbavu😭
Na bado unaenda jela duh hapana akiamua ahamie huko kabisa
Sahiv anajuta,, hasira hasara
@@betyjoseph6812 Ndio hivyo ukiwa na hasira usifanye MAAMUZI na ukiwa na furaha USIAHIDI.
Ningewaza watoto wote 6 hapana aise
Afu watoto wanavyomweka busy mwanamke,
Aende tu, wengi tu tumeumizwa na mapenzi na tumeanza a , kwa kusema unazaliwa Uchi na utakufa Uchi
Kisasi kikizidi moyo wa mwanadamu lazima alipize!
Tujitaidi kusoma neno na kuomba, dunia ina maumivu mengi sana
Mpumbavu Sana huyu mama!watoto sita bado una wivu wakijinga hivyo!nyoko zake huyu dada
Haya miungu ya duniani najua uyu mwanamke hakupanga kumuuwa mume wake jumbo povu tu limemuangukia ila maumivu ya kusalitiwa anayajua Mungu mama wa watu na kwenda jehanamu ndogo leba mara sita bado kiumbe cha Mungu kikatafuta mwingine na tisa kumi kamjengea kimada yamkinii mwanamke uyo alilala njaa alipokuwa anatafuta na uyo mwanaume leo kimtu kinakuja kumenya tu kwa kuondoa ukakasi eti mke mdogo toka lini wakristo wakaoa wake wawili binadamu tuache unafiki hao mashemeji,mawifi na wanaona mke kakosea sana ingefika kwao wangefanya ukatili mara tano ya hivyo
Upo sawa kabsa yani iweje mtu eti aje kula kirahisi na mwenzake anapigwa jua lautosi kwenye biashara zake kila siku ata wasimlaumu huyo mke mkubwa stress kamletea mume wake na zimemmaliza yy
So alivyoua imempa nn zaidi ya kutesa uzao wake?
Hiyo ni hukumu ya kibinadanu
Roho mbaya na wivu, hata kama alilala njaa ndo uende kuua? Kwani upo nyumbani tena mjengo mkubwa hivyo huli? Hulali? Shida ni nini mpk ukaue kisa eti umemkuta kwa mke mdogo? Hapo angekua mwanaume ndo kaua sidhani kama haya maneno ungeyaongea. Angeua mwanaume hapo ungesema kama umemchoka mwache wala hilo neno maumivu ya kusalitiwa usingeliweka, all in all haijalishi nini kimekutokea kwenye maisha kwanza kaa chini umshirikishe Mungu
@rosetemba una nyota ya mauwaji dada yangu, ikemee
Umeonae
Trust me mtu Wakulaumiwa ni aliyeingilia ndoa ya watu 😢😢sababu angetulia na amuache mume wa watu yote haya yasingetokea.Ndoa na iheshimiwe na watu wote
Wakulaumiwa ni huyo mwanaume mwenyewe... kwanini hakutunza agano la ndoa aliloliweka kwa mkewe??
Asingemtongoza huyo mchepuko wangeingiaje kwenye mahusiano
Kakojoe ulale hakunaga mume wa mtuuuu.ndo maana mwanaume ndo anaetoa mahari na si mwanamke
Soo kusema wanawake wa kichaga.Watu wangapi wameuwawa bila hatia na wake zao au waume zao?WW umeona ni wachaga tuu.Acheni Zenu Shetani yupo kazini na hofu ya Mungu ikikutoka lolote waweza fanya.
2. Mambo ya ndani kwa wanandoa ni siri kubwa sana hakuna wa kumlaumu wala kuhukumiwa.
Hakika umenena vyema
@@gracegeorge4848Kwan huyo unayesema hakuna mume wa mtu anapokuwa anaapa kanisani ulisikia anasema atakuwa mume wa wake wengi? Nyie michepuko ndo mnasemaga hakuna mume wa mtu. Jitengeneze ufae kuitwa mke wa mtu dada..
Kwa wakristo hakuna mke mdogo ni hawara au mchepuko na Kuna Siri kubwa hapo hiyo ndo shida ya kutotulia na mke wa ndoa inauma mume unamzalia watoto 6 na Bado anachepuka u Malaya siyo mnzuri
nazani si vizuri kuukumu kwa sababu maisha ya ndoa wanajua waliomo, wanawake mna mambo mengi tena ya mauzi sana wanaume uwa wanaamua kuwa kimya na kuendelea na maisha mengine..,
Mmh watu mnapenda kuhukumu Sasa akichepuka unamuua.una watoto wako sita unaua mtu Sasa unaenda jela wanao wanalelewa na nan?kabla ya kutenda fikiria kwanza
Jamani mm leo michepuko wa mume wangu amenipigia akanieleza kila kitu hata audio zipo amemkodishia sijui nifanyeje naumwa na moyo nko na miaka kumi sija wai kumcheat natetemeka sijui nifanyeje nk Kenya naomba msaada wenu yy hataki kukubali makosa
mume kakuzalia watoto 6 anachepuka hio ndo inauma lakini mwanamke kumuua mumewe hio haiumi sio?
@@NuruJarakimya usimuulize la heri wala shari ukimya ni jibu Tosha
Hata mkificha lakini kidini Yule sio bi mdogo mchepuko tu mke mmoja tu
Kidini kuua ni sawa? Mbona kama una Judge upande mmoja
Kwahiyo amefaidi nini
Mmmmmmh😊
@@g_forcemusician4242 Swali zuri sana.
Mume kafa, yeye anaenda jela kifungo cha maisha.
Watoto wanakosa vyote.
Hajafaidi chochote...kaka zetu muache umalaya...chanzo hapo ni mume angetulia na mke wake yangetoka wapi yote haya?!inasikitisha watoto wanakuwa kwa wakati mgumu.kila mtu anauwezo tofauti wa ku control hasira...so mtulia period.@@g_forcemusician4242
Mwanaume anakuwekea mazingira mazuri Ivo bado unamuuwa si umuache Aende Mimi hata akiamia ili mradi watoto wanasoma ,awalali njaa na maisha yanaenda ohiiiii aende tu na njululu yake ohiiiii
Yaaan mtu akisha kjengeaa, uhakika wakula upo kwa dniaaaaa hiiii muacheeeee tu aeende akitakaaa kwenda
Shida sasa atakuletea magonjwa,wengi huwa wanaogopa hivyo,maana mbali na huyo bibi mdogo,kesho ataenda kwa mwingine,sasa mtu unakuta ndo Ana watoto 6,halafu anapatia magonjwa ukubwani,ndo Inawauma.
@@israelkisaila8401 unaogopa magonjwa kwa kumuua mtu?
Yaan dada angu nikama upo moyoni mwangu me umenijengea nyumba nzur hivyo hata watoto weletu me nitalea jmn kuna watu hawana bahati😢
Rahisi tu kusema hivyo labda uwe hujampenda umefata pesa itakuwa rahisi. Mume anauma weee! Acha ya sikukute unaweza kufanya kama hivyo au zaidi wao wanatuuw kila siku! Kwa hisia tu sikwambii umeona mazingira! Kafia kwa mchepuko aibu saana kakuzalia wtt 6 bado hajaridhika
Mtuhumiwa Ali mpenda sana mumewe jmn, ukiona mwanamke kakuzalia watoto wote hao ni kweli alikupenda kwa dhati na ndio mana ilimuuma sana kuona mwanaume kama ni watoto nimekupa lkn bado hawakutoshi unaenda kuongeza wengine unahamisha mapenzi kwa wanao wakubwa unapeleka kwa mchepuko hii inaumiza sana kwa ambae hajawah penda na akatendewa hivi anaweza ona ni mwanamke mkatili lkn hii ipo na inatokea sana tu mungu atuepushe kwa kweli
Hapana mtuhumiwa anaipendasana pesa hataki mtu mwengine hao ndio wanaoamini kuongeza mke ni kuzini wakati hilojambo lilianza tangia enzi za manabii
Hapana mtuhumiwa anaipendasana pesa hataki mtu mwengine hao ndio wanaoamini kuongeza mke ni kuzini wakati hilojambo lilianza tangia enzi za manabii
Nakupinga asilimia zote kwa mana manabii hakufanya sifa kama mnavyofanya nyie kwa sasa, kwanza mke hadi kufika kupatwa hasira kiasi hiko ni wazi mume hakukushirikisha kama anaoa imagine amemjengea hata familia yake haijui afu umfwatilie ukute mambo kama hayo jazba lazima ikukute tuu,, kama unge mwambia mkeo ukweli sizan kama angefanya hayo mwanamke anapenda kubembelezwa tu japo ukweli unauma lkn ingefika mda akazoea wangap tunawaona wapo mitara na wala hawajal mnakerekwa nyinyi majiran lkn wao wala hawastuki ni swala la mwanaume kua na busara tu lkn nyinyi mnafanya sifa sifa na kumkomoa mwanamke hapo ndo mnakosea, ww ukitaka kujua huyo alifanya hasira tu utaona ni kwann kakamatwa kama alipanga kumuua tu kwaajili ya mali si angeanza kupanga mipango yake mapema angehamisha watoto hata nje ya nchi na yeye akafanya tukio then akatoweka nani angempata ? Lkn ye kabak hapo hapo ni hasira tu na huwezi elewa hadi yakukute ko tuliopitia tunaelewa 👍@@mustafamsati9599
Kwa ujinga huu czai tenaaa! Unamzalia mwanaume watoto lukuki then fadhila zake kwako ni usaliti😢😢😢 nimesema czai Tena akichepuka na achepuke tu😏😏
@@nasramohamedi4095 😂 na mm hivyo hivyo nimesema sizai tena namuangalia tuu wala sjamwambia 😏
Mjengo upo vzr
Sana alafu kusafi sana
Siyo lazima mtu ajue kama alimjengea au la Wanawake wengi tu wanajengewa hata pasipo kumzalia mradi alimpenda. Na pia inategemea mwanaume anapitia changamoto zipi huko kwa mke wa ndoa au huwa tu ni tabia za wanaume Fulani tuwaombee Wanaume wote Pumzika kwa Amani Baba wa Familia 👏🏾
hiyo mama nayey ajiuwe tyuu mana sioni sababu ya kuishi
Mashemeji nyinyi.unasema humfahamu alafu unasema uliongea na shemeji.alafu Malehemu ana watoto saba na kwa b mdogo mmoja.ndugu wa mume pepo mtalisikia tu.
Yaan ndugu wa mume ni nyokoo
Kuna yule aliimba wimbo kua mashemeji wote wapigwe mawe.... Yaani, ni wanafiki kinoma😂😂
Nadhani Alisema hakuwa akimfahamu.itakuwa baada ya tukio ndio kamfahamu.
Wanamjua wanazimuga tu,maneno yake kwa mtu aliesoma Cuba anamuelewa vzr tu
@@eve762 kweri kabisa
Hawa wake za matajiri hapa moshi hawajafundwa wala kufuzwa, wana mavikoba yao wanachaguana eti wake za mabosi kwenye mavikao yao wanakunywa mapombe na kufundishana upuuzi usiofaa mbele ya jamii yeyote. Vitambi vyao huwezi kuvibeba
Hahahah tuacheeee watoto wa moshi
Km hapewi Pesa zinaishia kwa michepuko kwann asijiongeze na vikoba
Mmmmmmmmmmmmmmh
Hili ndio jibu wamempambisha mwenzao kwa kumjaza roho ya wivu na ushetani
Asimame mke mmoja tu atoe ushuhuda mumewake Ana mwanamke mmoja tu
Ujinga roho mbaya maana marehemu amezaa naye pia huo mpango wa kando ndo maana pia amejengea kwa ajili ya mtoto wake
Lkn maneno ya mashosti yakumjaza shoga yao haya kikowapi sasa
Nyumba nzuri hivyo nahangaika na mke mwenzangu natulia nakula tu hata maua ,,maamuzi magumu ,,pumzika kwa amani marehemu🙏
😂😂😂😂😂unakula mpak maua jmn mm nasom comment na kuangalia mazingira ya nyumba😂😂 kila mtu atakuf na kifo chak
Mke anaolewa na mtu sio nyumba.
Una akili km yangu!
Kama alikuwa na uwezo wa kumiliki wake wawili kulikuwa na shida gani?mbona wenzetu wanaoa wake 4 na heshima inakuwepo tu?
Yaan acha tu maana mwanaume hata uwe pekee yako lazima tu awe na mwanamke wa nje wanaume huwa hawaridhiki jamani wanawake wenzangu afu mkumbuke ki ukweli wanawake tupo wengi wanaume wachache afu kwani akienda huko kwa mwanamke wake wakitombana anaiacha huko c anarudi nayo na wewe unaitumiaa wee haikondi haipungui haiishi ladha ya nini kuacha watoto mahatima lakini mweee😢😢😢😢
❤❤❤❤❤❤❤❤ Sofia congretchulation mama total them,
❤❤❤❤❤❤❤❤ Sofia congretchulation mama total them,
Dah Adui yupo kazini.
Kama aliweza kubeba kisu mpaka eneo la tukio, kaona kabisa huyu ni mume wangu, na bado kamchoma kimoja tu kikamtoa roho,alidhamiria hakika na alitenda kwa ujasiri na nguvu zote.
Hii ni dhahiri kuwa hata huko ndani hakua mtu mzuri, alipenda kumtawala mume,
Na si ajabu mume kavumilia mengi kashindwa ndipo akajiongeza.
Hebu imagen mke ana drive prado mume rav4,
Kweli alikua ampendi?
Mke mwema ni yule anaeona changamoto kwenye ndoa yake zinazidi anaamua kukimbilia kwa Mungu na Mungu huwa hamuachi mke wa namna hii.
Nimewaona wengi na Mungu huwatetea.
Sijawahi olewa lakn mmmmmh...hii.
Hasira hasara tujaribu kudhibiti hasira zetu maana huu ni mtihani
Hasira hasara kwakweli.. na utajiri wote huo bado unahangaika hivyo mpk kuua jmn
Naona wanawake wengi wanacomment eti wangewekwa kwenye nyumba kama hiyo wangetulia,hayo ni mawazo ya kimasikini sana,mnajuake kama mwanamke ndo alkuwa na kipato kikubwa zaidi ya mume?na sio rahis kuaacha vitu kirahisi hvyo esply kama kuna pesa tayari,watu hawalali kuzitafuta hizo pesa so akikumbuka hekaheka alizopitia ndo matokeo yake yanakuwa hayo,sisuport kuua mtu ila mnahukumu sana
Na mdogo naye kajengewa na mkubwa... huyu anajiweza bhana
usihukumu ucje ukahukumiwa aliekudanganya Kuna mwanaume mwenye make Mmoja ni nani
Kama unaona kero mumeo kawa na nyumba ndogo Cha kumuuwa mtoto wawatu Nini? Chepuka na wewe au kama unajiina mpambanaji huwezi kupokea kaa pemben. Mimi kama tunapata mahitaji nikumwombea afya njema apambane wote tupate haki sawa. Wanawake tupendane tuaeche wivu usio na maslai ona Sasa anakosa vyote
Kaacha nyumba nzuri anaenda jela dah na watoto😢 hiv watakua na maumivu kiasi gani
We acha hizo huyo atatoka tu mbona ngoja msiba wishes.kwn yule kijana aliemuuwa mm ake mfanya biashala wa madini na kumtumbukiza kwny Chamba ya choo hapo kwny mjengo wake mbona katoka na kesi imeisha!
Na yule bilinear msuya naye mke si alimmaliza tena na wifi akauwa mbona katoka kainekana hana hatia,kwa huyu atatoka mn ukichunguza zaidi huyo mume ana makosa sn,
Unahisi ana makosa kustahili hii hukumu?@@SaumuSaidi-z2v
@@SaumuSaidi-z2vana makosa gani mume asihudumie mtt wake??
Yy mbona ana maisha mazuri wanaume kuchepuka kawaida km tukisema tuwauwe tutabaki wanawake watupu ni upungufu wa fikra tuu
Mume anauma hapa huwez judge mwanamke peke yake huwez jua huyo mwanaume tofauti na hyo kumcheat labda alkua anampa manyanyaso mengine yakuathiri psychology yake jaman manyanyaso sio lazima upgwe watu wana mahela ila wanaishi maisha ya taabu sana.
Mume anauma lakini ndo ifikie hatua ya kutoa uhai wake
Mbona wetu wamechukuliwa mazima na michepuko hata hatujui wako wapi tena, bora huyo alikua anarudi home kwake!
So tukiua inatupa suluhu kweli?
Andiko linasema: mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote.....sasa tunapoupa moyo kazi ya kumpenda mwanadamu kuliko Mungu, ni tatizo!
Lazima utaumia sana, swala la kumove on ni ligumu lkn ni la muda tuuu,
Hatujazaliwa na kitu, tukubali kupoteza vitu/ watu ikiwa ni gharama ya kuanza upya
Nasikia hawara alikuwa anamtusi mke mkubwa ,
Tatio kubwa hapa ni kuua! Tumeambiwa " usiue". Hakuna sababu yeyote inayohalallisha kutoa roho ya mwenzio! Sasa atafungwa pengine maisha. Amepata nini? Dhambi ya mtu inakufanya na wewe utende dhambi!!! Llah hasha!
Kweli kbs
Nikweli inauma sana kusalitiwa lakini vyema tujitahidi kuzuia hasira zetu ona sasa watoto wanakosa malezi ya baba kwa sababu ya hasira ya mama.
Alhamdulilah kwa kuniruzuku kuwa mwislam haki sisi wanawake wa ki.islam hatuna mbaya mume anaoa na maisha yanaendelea binafsi mimi nipo kwenye ndoa ya wake wa 3 na bado nafasi 1 jimbo lipo wazi na tuna Amani hakuna kuchoma visu
Ila hapo hampendani, unafiki, wivu, kuangaliana kijicho, kusemana vibaya🤔🤔🤫🤫 maisha gani hayo ni umadkini na akili za kimaskini ndio zina wafanya muvumilie hata waislam matajiri kama Dangoote, Mo de...... wanawake mmoja mmoja ila hawa waislam makapuku ndio wanakimbilia kuweka wanawake zaidi ya mmoja
This what we call power of love
Ilivyotangazwa mwanzo ni hawara na sio mke wa ndoa wanaficha ukweli tu
Nikwambie ukweli?
Mama anaenda jela kifungo cha maisha.
Mume amekufa
Watoto wanakosa baba na Mama.
Biashara zao zipo hatiani kufa pia, maisha yanaweza kuwa magumu sana kwa watoto.
Huo ndio UKWELI.
Hilo la mke ama hawara ni IMANI tu.
P
@@SALIMMpimbi-e6okabisa lazima life ibadilikeee
Kiserikali huyo ni mke kabisa na ana haki zake hata kurithi mali za marehemu.😂
Duuuh😢😢😢 shetani shindwa kabisa mjumba wote huo unaumiliki,biashara gari vyote hivyo unavyo ungemuacha hata ahamie hukox2 duuu..😢 pole sana
Unajua sisi wanawake tuko hivi tukiwa atuna haya maisha tunasema tunaona ni raisi lakini kweli ni kwamba tukipata nyumba nzuri gari nzuri watoto wakasoma shule nzuri hela ipo tunaitaji upendo Sasa unatamani mume awe wako tu muwe sawa ndo matokeo yake hayo
Wakristo hatujidanganyi ni agizo mme mmoja mke mmoja. Mungu amempa mwanadamu free will aamue atakavyo ingawa Mungu keshatoa mwongozo. Hata wenye wake wengi nao wanachangamoto zao.
Kuzaa na mwanamke mwingine ndo kuamua kumuua mkaka wa watu baba wa watoto wako jamani samehe saba mala sabini.
Unajuaje kama ni kuzaa TU...hakuna na heshima huyo
Pole mke maumivu ni makubwa pole sana kusalitiwa kusikie tu
Kisu haki yake 2mechoka kusalitiwa
Hilo li Mwanamke litakuwa liMACHAME. Hakuna Mwanamke wa Kichaga anayeua zaidi ya MMACHAME. Wanaume tukae mbalii na Wamachame..
Yani ningemuacha aende tu kwa mazingira ya nyumba hii halooo atajiju mm napambana na watoto na kuremba nyumba na biashara
Hivi wewe....umetafuta nae from zero saivi mna vingi Ivo uache TU akagawe jasho lako kwa mchepuko!! Hufikirii sawa na wala sijasema kuua ni sawa.
Mungu tunaomba mwisho mwema
Moyo wa mtu ni kichaka, unaweza kufikiri amemuua mumewe kwa wivu kumbe mtu alishapiga mahesabu ya kumiliki hiyo mijengo na biashara na kimada ametumika kama kigezo tu cha kumuangamiza mwenzake,siamini kama kweli hakumjua huyo kimada siku zote hizo.Anajua atafungwa lkn atatoka mapema tu.Na wanawake wa kaskazini ndio zao hizo,mapovu ruksa.
Ukweli kabisa kaka.mimi ninavyo jua serikali ya Tanzania Sheria ni ya munyonge.kwanza hiyo kesi itatupiliwa mbali.huyo mwanamke muwaji atawachiliwa pesa itatumika.hakuna Shahid atandikisha report kwa police ya Tanzania kua aliona tukio likifanyika.watakao muzaidia huyo muwaji mwanamke ni mashemeji lakini inauma kweli poleni
😢😢😢mjengo wa maana kabisa maisha mazuri sasa unamuuwa nn
Huyu mwanamkehajamuua mme wake kwa bahati mbaya, bali alikusudia na kudhamiria kutenda uovu. Umbali na muda aliyotumia kumfuata huku akiwa na silaha ungemtosha kutafakari upya uovu aliyodhamiria kuutenda na kughairi kwa kuishinda hasira. Kwa vyovyote haya ni mauaji ya kudhamiria (murder case) na si mauaji bila kukusudia yaani (man slaughter).
Yan mimi atembee ata na chizi atajua mwenyewe simfanyi chochote Kwanza nimemkuta ukubwan tu anayemjua ni mama yake Mimi nitawapenda wanangu yatosha🙏😭😭
Labda uwe huna mapenzi nae unajua moyo ni kitu cha ajabu sanaa and utaruhusu hayo yatokee mwisho wa siku unakuletea maradhi wewe umekaa zako tu nyumban umetulia
Yani apo ndugu mnaficha uyo sio mke mdogo ni kimada cha uyo baba
Ilivyotangazwa mwanzo ni hawara na sio mke wa ndoa
Kwani Wakristo tuna wake wawili? Zaidi ya mmoja ni kimada siyo mke Kikristo
Wanaonyesha hawampendi mke wa ndugu yao ndio maana wanabariki uzinzi
Sasa apo ata kama ungekua wew ndugu yako amesha uwawa na uyo mwanamke uraonyesha upendo vimada walikuwepo toka enzi za mababu na wataendelea kuwepo sasa kapata faida gani unaacha watoto wako wateseke kwa sababu ya hasira zosizo na faida @@leokamil6284
Ladies ladies let me tell you, in this world aman can't sit, with one wife, forgot about Christian, religion,,
Haya mwenyewe niliwaza hivyo,yani watoto TU jamani😢
hasira hasara ona sasa umepata faida gani, hata kama inaumiza lakini umepata nini kutoa uhai wa mwenzako? yaani uliangalia wivu wako tuu hata hukuwaangalia watoto kumkosa baba yao kweli na vipi kuhusu ndugu zake ambao walikuwa wakimtegemea. MUNGU AKUSAMEHE.
Wake wadogo/michepuko,Wanakuwaga na wivu mnooooo,kwa waume ambao wamewakuta tayari wana miji yao na ni roho mbaya komeshaaaaa.Wanaume wajifunze kutulia na mke mmoja hata kama ni kisirani badirisha chumba.
Poleni wanafamilia
Wanawake wakichaga ndo walivo ni masingle maza weng wanasbria tu mzee andae kila kitu baada ya hapo wanamkwida shenz kabsa
Kwn hao wanaume wote wanaowauwa wanawake na kuwanjicha ni wachaga?kila siku mauwaji saizi wanawake tuna asila sn
Una uhakika uyo mam ni mchaga au unaongea tu ujinga pia wanawake wamechoshwa saiv mpaka mt anakuzalia watoto sit bado thaman huioni we si utakua balaa😢😢
😂😂😂😂😂😂
Koma kabisa nyau wewe
Haya ndio madhara ya kupata mpaka kuvimbiwa kuna watu hawatakiwi kuwa matajiri kabisa. Yaanu mtu hela inampelekesha mpaka mke anamuua. Hapo mke anaenda jela na yeye kashaondoka mali wanachukua ndugu kiulaini.
Yaani mabibi wadogo wanapenda penye hela
Afadhali kamuua mumewe ingependeza na yeye anyongwe wakapendane ukouko milele
Ndo ya kikristo haina mke mdogo.... huyo mwingine ni hawara, tumieni kiswahili vizuri
Wanawake wengine wapuziii sana unaua Cha moto atakiona hapa Dunia alikuwa halali njaa ni kiherehere chake mwanamke Moja hudumaza akili watoto wanajuwa wanasikia uliuwa baba yaoo laana kajitengezeaa
Hata kam alikuwa anamfahamu awezi sema 😮
Wanawake wa Kichaga .... hata bure sitaki.
Ten mwanamme kajeng nyumb nzur t mke mkubw alikuwa na Maisha mazur jumba la kifahari na gari juu umenunuliwa na kutembelea bs angefikiria watoto wake kwanza kabla ya kufany tukio saiv watoto wataish mazingira magumu San sababu baba kafa mama ndo atahukumiwa jela maisha ina maan mali za marehem watashikilia ndug watoto hawatapata kufaid mali za baba yao maan ndug pia Hapo hizo mali na biashara wanazitolea macho 😢😢😢😢😢😢😢😢
Jamani hajafata nyumba...kikubwa usi mjudge hujui alikuwa anapitia nini...
@@ElizabethMkinisasa apata faida gan kaendeshwa na hasira za kijinga hajafikiria kuna njia nyingi za kufanya mume atulie kusalitiwa kawaida kwa mahusiano ya sasa sasa hao wtt watateseka kwa ujinga
@@estherkimario7940 Faida hapati kaa ukijua kila mtu anapokea jambo tofauti...ni kumuombea tu hata huko alipo analia na kuomboleza...yote ni kazi ya shetani na mume angetulia yasingetokea haya yote...
Hyo ni sadaka imetolewa hamjui tu hiz mali tzamen tu hyo ni sababu tu huyu mungu achezew
Mke mwingine, Wakristu ni Mke ni mmoja Tuuuuuuuuuuuu hakuna cha mke mdogo Wenzetu Waislamu wana Nafuu mapema waliwekewa Misingi ya Ndoa huku waliuweza Ulimwengu huu wenye Kuyumbishwa na Usaliti wa Mapenzi Bubu ndiyo ni Mapenzi Bubu kabisa PUMZIKA KWA AMANI KAKA 😢😢
Mama prado baba R4 kweli kina mama wa kichaga kiboko😢
Sasa Prado lazima adrive mume 😅
Halafu bdo u naua hivi kwel huyu mama mbona katil na huo mjumba na mazingira sasa me hata nisingejali nazingatia maokoto mahusiano ya sasa kusalitiwa kawaida huyu bdo mshamba watt watateseka hao maana hawajui shida sasa cjui apata faida gan
Mapenz yanauma omba usisalitiwe🤐
Kwani amekuwa wakwanza kusalitiwa duniani? Ujinga tu unaua mume kisa wivu.
Wachagaa tena mambo ya kawaida
Mwanamke umejengewa nyumba nzuri bado unamuua mwanaume du
Mapenzi ni mapenzi na nyumba ni nyumba
Unajuaje km mwanaume amejenga mwanamme peke ake?huenda mwanamke alitoka mbali mpka hapo walipofikia leo hii mtu anazaa nje ya ndoa ht familia haijui km ana mchepuko ht mimi nauwa
Kwao hawana nyumba?watoto sita alfu pimbi analeta stress ndani
@@SaumuSaidi-z2v Haswaaa asilimia kubwa hapo wametoka mbali em fikiria watoto sita na pia sio kwamba mama alikua hafanyi kaz walikua wanatafta wote af mwingin anakuja kula kirais tu aweeee patachimbika labda ka una moyo wa chuma
Hata kama angezaa watoto 10 hakutakiwa kuua mwezie
Hii nikukosa hofu ya Mungu.
Mmh jamani mungu akupe mioyo mikunjufu
Mungu atusaidie 2
Kuna siri kubwa nyuma ya pazia huenda huyu mama amtumika kama chanzo ila huenda cy yeye maana kwa harakaharaka cy akili zake
Mungu atusaidie jamani, kweli unaishia jela unaacha watoto wako kwa sababu ya mtoto wa Mama Mkwe? hapana kwa kweli mimi nina kwangu na watoto wanasoma ningekula niendelee kunenepeana kama nguruwe niwakuze wanangu, sasa unaua mwanaume watoto wateseke wenyewe kweli?
Nyumba nzuri sana
Chepuko jipange,utafukuxwa kwa nyumba km jambaxi sugu,hao hao wakijichanganya eti mke mdogo,mchepuko una nux kutembea na m2 then afe.
Wanawake wa Moshi Mimi nawaogopa sana maana matukiyo kwenu yamekuwa mengi sana mala kuuwa wazazi Kisa Mali mala muuwe wame zenu namengineyo mengi njiee TU duuuu
Wanawake sisi tunapitia Mengi sanaa wanaume huwa hawaridhiki hata ufanye nin
Watoto wanapitia mengi baba amekufa mama jera
Una watoto6, una gari na nyumba nzuri t haf unajipeleka jera kipuuz hivyo!!!! Mwehu kwel
Marehemu kafa akifanya umalaya😅😅😅😅 afe tuuu umalaya tuuu
Mh hivi tunaishi na wanaume kwa savabu ya pesa au mali hapana tusidanganyane
Toba Kwa ajili ya hiyo laana ya kumwaga damu, ni muhimu.
wanaume tulieni na wake zen u,mnaleta shida kwenye familia,utakuta wameanza kwa kulala chini,analeta uhuni,dah, aisee,mhhhh inauma,
Bora uislam walieka sheria wanne hakuna mambo na kujificha kuliko mambo ya ndoa moja michepuko kibao wanaume ni wale wale tu
Hizi ni hasira
Ila jamani siwezi kumuuwa mme wangu siande tu kwani utafanya nini sasa kama mwanaume kaamuwa?ifikie hatuwa wanawke tusijipe presha wanaume hatukuzaliwa nao
Wenye hela hawana amani jamani.wakati mwingine bora ukiwa huna mambo mengi yanapungua
Kabisaa aisee Amani hakuna
Weeee ndo yaleyale tu wanaume weng hawatabirik
Ata mwanaume asie na pesa Bado anachepuka hivo hivo
Atachepuka lakini hakuna wa kumfuatilia kihivyooooo!utapoteza mda uchukue mpaka kisu unapigania nn hapo?huyu alikuwa analinda utajiri wa mumewe.
Hasira ni hasara, usifanye maamuzi ukiwa na hasira.
Ukiolewa kwajili ya mali utaona sawa tu mume kufanya chochote mradi anakupa pesa ila kama umeolewa kwa mapenzi ya dhati lazima utatikisika sana ndomana wapo wanaume pia wanauwa wake zao kwa uchungu wa mapenzi kwanini wasiamue kuoa mwingine? Yani hapo mungu tu akuvushe ukiweza mshukuru mungu usijisifu
Sasa hii nyumb ndugu wataanza kugombania watoto wajipangee asee
Na hivi na wachaga uwiiiiii, saivi kila mtu anaangalia hiyo nyumba,aiseee,wachaga kwa mali na pesa mmmm,hapo wanaenda kuuwana tena,Mungu tu AWASAIDIE
@@israelkisaila8401 yetu macho tu
Wachaga hawagombaniagi nyumba . Hiyo nyumba ni ya mtoto wa mwisho wa kiume
@@agustinoapolinar1623 weeee wachaga na Mali ,pesa hovyo kabisa,weeee
@@agustinoapolinar1623 uliza uambiwe hiyo Mila Iko Kwa kabila la Masai...
🎉
Hivi anakuzalia au mnazaa.....??????
Loh masikini! Sasa mke kafanya nini? Na yeye kajiua kabisa. Hana Maisha tena!
Mimi nimwachwa na mume akaoa mke mwingine ,na aliondoka na kila kitu nikaachiwa watoto,nimelaani sana huyu mama muuaji kujichanganya
Mama Prado,baba Rav 4,bado unauwa,pombe mbaya sana,akina mama mnafeli wapi nyie?mpendwe vipi? duniani hakuna cha peke yako,jiandae kwa lolote
Jmn dini ya kikristo haina mke mdg,,,,hivi nyie mnajua kusalitiwa kunavyo Uma,,,hlf kutwa mke mdg,kafumaniwa huku mnasema knsn knsn,,, ubatil mtup,,ndoa naiheshime na watu wote😂😂😂
Usilotaka kufanyiwa usimfanyie mwenzio.mume anamsaliti atelier kwa sababu ya nyumba?alikuja kwa mume kwa vile kwao hakuna nyumba?huo ni ushamba.ndoa ni tofauti na mali,likikufika wewe ndo utajua.
Hatujui alikuwa anamtreat vp mke wake mkubwa hadi kapata hasira hiyo
Amma kweli hasira hasara mhuuu
Acha tu afe tena Kama Kuna uwezekano wa kufa mara mbili na afe tenaaa kudadekiii mshahara wa zambi ni mauti sasa michepuko si zambi sasa mnaumia Nini mtu kupokea mshahara wake
Poleni sanaaa tena sanaaa
Yn mimi niwekwe kwenye mjengo huo bdo tu nifanye ujinga aiweee mi ningemwacha aende loh sema shetani nae apunguze usenge ss ni nn iki jmn
Mimi mchaga sio ukitaka maisha ya amani oa kabila lengine nasio wachaga wana wake wakichaga wanekua wapuuz wamwisho zamani walikua na akili ila sasa wamekua wapuuz wamwisho kabisa oa wachaga uuliwa hawashindwi kukuua hata na chakula hawa
Huyo mama sio mchaga mume ndo mchaga so correct your point
Nkwel
Kanye chooni, tutaolewa tu kwanza nani aolewe na wewe kapuku
Acha kutukana toa hoja
Km angekua hajamuwezesha kwa lolote mke mkubwa hapo sawa lakini waendesha hadi prado mmh
Mwanamke akifikia hapo jua kwanza ajutiii uamuzi wake, pili hana cha kupotez
Wanaume wote waone ujumbe huuu.....mwingne kosa la kuchepuka mwingne la mauaji kwann lakn
Kwan tz imekubwa na nn kila leo mauwaji kam mapezi yameisha si muachane tu tatizo renu wakirisitu mnajifanya hamuachani mbaka kifo ndio shida hii mtu anamua amue ili hawe huru aisee toeni divosi kwa uraisi izi ndoa ni tishio
Dada anaacha mji mzuri ivo anaenda kukaa jela shetani ananguvu sana😭😭
Dah
Halafu unakuta ulimkuta huyo mwanaume hana chochote...halafu sasahv akale na vimada wewe uteseke na watoto wake...wanaume wengine ni mashetan tu
Mshahara wa dhambi ni mauti wacha akapumizke
Watoto Sita ,,yani unatoka mbali na mwezio alafu mkufanikiwa anaaza usaliti wa ali yajuu ,,
Unaweza kumpa kila kitu na anakuwa inaumizasana uyo mwanamke amekosa Nini kwenye utajili uo jumba zuli kanunuliwa Prado pesa ipo uyo mwanamke anyongwe nishetani afai kabisa
Kuna mwingine yupo hapo mbez luis yeye ni mchepuko tu
Wapi kwenye Bible kulikoandikwa Mkristo anapaswa kuoa mke mmoja??
Haya mawazo mdumazo ya kufikiri kuoa mke mmoja tu ni kuiga matakwa ya wazungu walioleta hizo dini....