MAPYA YAIBUKA NYUMBANI MUME ALIYEUAWA NA MKE MOSHI "ALIMJENGEA MKE MDOGO FAMILIA HATUJUI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 521

  • @annarosegodfreymuro1194
    @annarosegodfreymuro1194 3 месяца назад +21

    Mwanamke mwenzangu ukiona ndoa yako haina amani mwachie Mungu, chagua wanao, hakikisha wanapata elimu na malezi bora, jipende, jithamini, jipe raha, naamini utakuwa na amani sana ktk haya maisha. Mwanaume akikengeuka ni Mungu tu peke yake anaweza akambadirisha, hata upige kelele unajiumiza, hakikisha unapambana na kulea wanao mengine mwachie Mungu.
    Inasikitisha kuwaacha watoto yatima na kupoteza mwelekeo hasa ktk dunia hii ya sasa, Mungu tusaidie wanawake

  • @nesielias9493
    @nesielias9493 4 месяца назад +110

    Unazaa na mwanaume watoto 6 unamuuwa kwajiri ya bi mdogo watoto wanakuwa yatima kwajiri hasira za kipumbavu😭

    • @kanankirannko6174
      @kanankirannko6174 4 месяца назад +9

      Na bado unaenda jela duh hapana akiamua ahamie huko kabisa

    • @betyjoseph6812
      @betyjoseph6812 4 месяца назад +10

      Sahiv anajuta,, hasira hasara

    • @csato9415
      @csato9415 4 месяца назад +8

      ​@@betyjoseph6812 Ndio hivyo ukiwa na hasira usifanye MAAMUZI na ukiwa na furaha USIAHIDI.

    • @valeriamtenga3384
      @valeriamtenga3384 4 месяца назад +6

      Ningewaza watoto wote 6 hapana aise
      Afu watoto wanavyomweka busy mwanamke,
      Aende tu, wengi tu tumeumizwa na mapenzi na tumeanza a , kwa kusema unazaliwa Uchi na utakufa Uchi
      Kisasi kikizidi moyo wa mwanadamu lazima alipize!
      Tujitaidi kusoma neno na kuomba, dunia ina maumivu mengi sana

    • @twiseghekisilu8845
      @twiseghekisilu8845 4 месяца назад +10

      Mpumbavu Sana huyu mama!watoto sita bado una wivu wakijinga hivyo!nyoko zake huyu dada

  • @ACHP-o20
    @ACHP-o20 4 месяца назад +55

    Haya miungu ya duniani najua uyu mwanamke hakupanga kumuuwa mume wake jumbo povu tu limemuangukia ila maumivu ya kusalitiwa anayajua Mungu mama wa watu na kwenda jehanamu ndogo leba mara sita bado kiumbe cha Mungu kikatafuta mwingine na tisa kumi kamjengea kimada yamkinii mwanamke uyo alilala njaa alipokuwa anatafuta na uyo mwanaume leo kimtu kinakuja kumenya tu kwa kuondoa ukakasi eti mke mdogo toka lini wakristo wakaoa wake wawili binadamu tuache unafiki hao mashemeji,mawifi na wanaona mke kakosea sana ingefika kwao wangefanya ukatili mara tano ya hivyo

    • @DM.2200
      @DM.2200 4 месяца назад +6

      Upo sawa kabsa yani iweje mtu eti aje kula kirahisi na mwenzake anapigwa jua lautosi kwenye biashara zake kila siku ata wasimlaumu huyo mke mkubwa stress kamletea mume wake na zimemmaliza yy

    • @valeriamtenga3384
      @valeriamtenga3384 4 месяца назад +5

      So alivyoua imempa nn zaidi ya kutesa uzao wake?
      Hiyo ni hukumu ya kibinadanu

    • @jamesjoseph6825
      @jamesjoseph6825 4 месяца назад +7

      Roho mbaya na wivu, hata kama alilala njaa ndo uende kuua? Kwani upo nyumbani tena mjengo mkubwa hivyo huli? Hulali? Shida ni nini mpk ukaue kisa eti umemkuta kwa mke mdogo? Hapo angekua mwanaume ndo kaua sidhani kama haya maneno ungeyaongea. Angeua mwanaume hapo ungesema kama umemchoka mwache wala hilo neno maumivu ya kusalitiwa usingeliweka, all in all haijalishi nini kimekutokea kwenye maisha kwanza kaa chini umshirikishe Mungu

    • @ubuntubantu2404
      @ubuntubantu2404 4 месяца назад +3

      @rosetemba una nyota ya mauwaji dada yangu, ikemee

    • @jescarwegoshola1754
      @jescarwegoshola1754 4 месяца назад

      Umeonae

  • @palokuthereza2555
    @palokuthereza2555 4 месяца назад +18

    Trust me mtu Wakulaumiwa ni aliyeingilia ndoa ya watu 😢😢sababu angetulia na amuache mume wa watu yote haya yasingetokea.Ndoa na iheshimiwe na watu wote

    • @GloryMariki-ng6gf
      @GloryMariki-ng6gf 3 месяца назад +3

      Wakulaumiwa ni huyo mwanaume mwenyewe... kwanini hakutunza agano la ndoa aliloliweka kwa mkewe??
      Asingemtongoza huyo mchepuko wangeingiaje kwenye mahusiano

    • @gracegeorge4848
      @gracegeorge4848 3 месяца назад

      Kakojoe ulale hakunaga mume wa mtuuuu.ndo maana mwanaume ndo anaetoa mahari na si mwanamke

    • @merygodfrey3709
      @merygodfrey3709 3 месяца назад

      Soo kusema wanawake wa kichaga.Watu wangapi wameuwawa bila hatia na wake zao au waume zao?WW umeona ni wachaga tuu.Acheni Zenu Shetani yupo kazini na hofu ya Mungu ikikutoka lolote waweza fanya.
      2. Mambo ya ndani kwa wanandoa ni siri kubwa sana hakuna wa kumlaumu wala kuhukumiwa.

    • @PeninaJonh
      @PeninaJonh 3 месяца назад

      Hakika umenena vyema

    • @sarahfuraha875
      @sarahfuraha875 3 месяца назад +1

      ​@@gracegeorge4848Kwan huyo unayesema hakuna mume wa mtu anapokuwa anaapa kanisani ulisikia anasema atakuwa mume wa wake wengi? Nyie michepuko ndo mnasemaga hakuna mume wa mtu. Jitengeneze ufae kuitwa mke wa mtu dada..

  • @asteriashios1852
    @asteriashios1852 4 месяца назад +56

    Kwa wakristo hakuna mke mdogo ni hawara au mchepuko na Kuna Siri kubwa hapo hiyo ndo shida ya kutotulia na mke wa ndoa inauma mume unamzalia watoto 6 na Bado anachepuka u Malaya siyo mnzuri

    • @ikulunimahalipatakatifu7642
      @ikulunimahalipatakatifu7642 3 месяца назад +4

      nazani si vizuri kuukumu kwa sababu maisha ya ndoa wanajua waliomo, wanawake mna mambo mengi tena ya mauzi sana wanaume uwa wanaamua kuwa kimya na kuendelea na maisha mengine..,

    • @EmmettOnike
      @EmmettOnike 3 месяца назад +4

      Mmh watu mnapenda kuhukumu Sasa akichepuka unamuua.una watoto wako sita unaua mtu Sasa unaenda jela wanao wanalelewa na nan?kabla ya kutenda fikiria kwanza

    • @NuruJara
      @NuruJara 3 месяца назад +3

      Jamani mm leo michepuko wa mume wangu amenipigia akanieleza kila kitu hata audio zipo amemkodishia sijui nifanyeje naumwa na moyo nko na miaka kumi sija wai kumcheat natetemeka sijui nifanyeje nk Kenya naomba msaada wenu yy hataki kukubali makosa

    • @Allybinamour
      @Allybinamour 3 месяца назад

      mume kakuzalia watoto 6 anachepuka hio ndo inauma lakini mwanamke kumuua mumewe hio haiumi sio?

    • @anunalamin6472
      @anunalamin6472 3 месяца назад

      ​@@NuruJarakimya usimuulize la heri wala shari ukimya ni jibu Tosha

  • @hawaa341
    @hawaa341 4 месяца назад +32

    Hata mkificha lakini kidini Yule sio bi mdogo mchepuko tu mke mmoja tu

    • @SALIMMpimbi-e6o
      @SALIMMpimbi-e6o 4 месяца назад +2

      Kidini kuua ni sawa? Mbona kama una Judge upande mmoja

    • @g_forcemusician4242
      @g_forcemusician4242 4 месяца назад +1

      Kwahiyo amefaidi nini

    • @aminakasim1198
      @aminakasim1198 4 месяца назад

      Mmmmmmh😊

    • @SALIMMpimbi-e6o
      @SALIMMpimbi-e6o 4 месяца назад +1

      @@g_forcemusician4242 Swali zuri sana.
      Mume kafa, yeye anaenda jela kifungo cha maisha.
      Watoto wanakosa vyote.

    • @ElizabethMkini
      @ElizabethMkini 4 месяца назад

      ​Hajafaidi chochote...kaka zetu muache umalaya...chanzo hapo ni mume angetulia na mke wake yangetoka wapi yote haya?!inasikitisha watoto wanakuwa kwa wakati mgumu.kila mtu anauwezo tofauti wa ku control hasira...so mtulia period.​@@g_forcemusician4242

  • @GetrudyGt
    @GetrudyGt 4 месяца назад +51

    Mwanaume anakuwekea mazingira mazuri Ivo bado unamuuwa si umuache Aende Mimi hata akiamia ili mradi watoto wanasoma ,awalali njaa na maisha yanaenda ohiiiii aende tu na njululu yake ohiiiii

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa 4 месяца назад +3

      Yaaan mtu akisha kjengeaa, uhakika wakula upo kwa dniaaaaa hiiii muacheeeee tu aeende akitakaaa kwenda

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 4 месяца назад +8

      Shida sasa atakuletea magonjwa,wengi huwa wanaogopa hivyo,maana mbali na huyo bibi mdogo,kesho ataenda kwa mwingine,sasa mtu unakuta ndo Ana watoto 6,halafu anapatia magonjwa ukubwani,ndo Inawauma.

    • @maprotv1
      @maprotv1 4 месяца назад +2

      @@israelkisaila8401 unaogopa magonjwa kwa kumuua mtu?

    • @neemamtangi4818
      @neemamtangi4818 4 месяца назад +5

      Yaan dada angu nikama upo moyoni mwangu me umenijengea nyumba nzur hivyo hata watoto weletu me nitalea jmn kuna watu hawana bahati😢

    • @ummySheikh72
      @ummySheikh72 4 месяца назад +10

      Rahisi tu kusema hivyo labda uwe hujampenda umefata pesa itakuwa rahisi. Mume anauma weee! Acha ya sikukute unaweza kufanya kama hivyo au zaidi wao wanatuuw kila siku! Kwa hisia tu sikwambii umeona mazingira! Kafia kwa mchepuko aibu saana kakuzalia wtt 6 bado hajaridhika

  • @EddahBure-te7ft
    @EddahBure-te7ft 4 месяца назад +19

    Mtuhumiwa Ali mpenda sana mumewe jmn, ukiona mwanamke kakuzalia watoto wote hao ni kweli alikupenda kwa dhati na ndio mana ilimuuma sana kuona mwanaume kama ni watoto nimekupa lkn bado hawakutoshi unaenda kuongeza wengine unahamisha mapenzi kwa wanao wakubwa unapeleka kwa mchepuko hii inaumiza sana kwa ambae hajawah penda na akatendewa hivi anaweza ona ni mwanamke mkatili lkn hii ipo na inatokea sana tu mungu atuepushe kwa kweli

    • @mustafamsati9599
      @mustafamsati9599 4 месяца назад +5

      Hapana mtuhumiwa anaipendasana pesa hataki mtu mwengine hao ndio wanaoamini kuongeza mke ni kuzini wakati hilojambo lilianza tangia enzi za manabii

    • @mustafamsati9599
      @mustafamsati9599 4 месяца назад +1

      Hapana mtuhumiwa anaipendasana pesa hataki mtu mwengine hao ndio wanaoamini kuongeza mke ni kuzini wakati hilojambo lilianza tangia enzi za manabii

    • @EddahBure-te7ft
      @EddahBure-te7ft 4 месяца назад

      Nakupinga asilimia zote kwa mana manabii hakufanya sifa kama mnavyofanya nyie kwa sasa, kwanza mke hadi kufika kupatwa hasira kiasi hiko ni wazi mume hakukushirikisha kama anaoa imagine amemjengea hata familia yake haijui afu umfwatilie ukute mambo kama hayo jazba lazima ikukute tuu,, kama unge mwambia mkeo ukweli sizan kama angefanya hayo mwanamke anapenda kubembelezwa tu japo ukweli unauma lkn ingefika mda akazoea wangap tunawaona wapo mitara na wala hawajal mnakerekwa nyinyi majiran lkn wao wala hawastuki ni swala la mwanaume kua na busara tu lkn nyinyi mnafanya sifa sifa na kumkomoa mwanamke hapo ndo mnakosea, ww ukitaka kujua huyo alifanya hasira tu utaona ni kwann kakamatwa kama alipanga kumuua tu kwaajili ya mali si angeanza kupanga mipango yake mapema angehamisha watoto hata nje ya nchi na yeye akafanya tukio then akatoweka nani angempata ? Lkn ye kabak hapo hapo ni hasira tu na huwezi elewa hadi yakukute ko tuliopitia tunaelewa 👍​@@mustafamsati9599

    • @nasramohamedi4095
      @nasramohamedi4095 4 месяца назад +5

      Kwa ujinga huu czai tenaaa! Unamzalia mwanaume watoto lukuki then fadhila zake kwako ni usaliti😢😢😢 nimesema czai Tena akichepuka na achepuke tu😏😏

    • @EddahBure-te7ft
      @EddahBure-te7ft 4 месяца назад +2

      @@nasramohamedi4095 😂 na mm hivyo hivyo nimesema sizai tena namuangalia tuu wala sjamwambia 😏

  • @teddygabriel5662
    @teddygabriel5662 4 месяца назад +26

    Mjengo upo vzr

    • @Njeriii536
      @Njeriii536 4 месяца назад +3

      Sana alafu kusafi sana

  • @ubongosahihi
    @ubongosahihi 3 месяца назад +2

    Siyo lazima mtu ajue kama alimjengea au la Wanawake wengi tu wanajengewa hata pasipo kumzalia mradi alimpenda. Na pia inategemea mwanaume anapitia changamoto zipi huko kwa mke wa ndoa au huwa tu ni tabia za wanaume Fulani tuwaombee Wanaume wote Pumzika kwa Amani Baba wa Familia 👏🏾

    • @ShomaryShomary-j9d
      @ShomaryShomary-j9d 3 месяца назад

      hiyo mama nayey ajiuwe tyuu mana sioni sababu ya kuishi

  • @ShukranMwakyambo
    @ShukranMwakyambo 4 месяца назад +25

    Mashemeji nyinyi.unasema humfahamu alafu unasema uliongea na shemeji.alafu Malehemu ana watoto saba na kwa b mdogo mmoja.ndugu wa mume pepo mtalisikia tu.

    • @nasramohamedi4095
      @nasramohamedi4095 4 месяца назад +4

      Yaan ndugu wa mume ni nyokoo

    • @unknownbutterfly6310
      @unknownbutterfly6310 4 месяца назад +2

      Kuna yule aliimba wimbo kua mashemeji wote wapigwe mawe.... Yaani, ni wanafiki kinoma😂😂

    • @ahz6907
      @ahz6907 3 месяца назад

      Nadhani Alisema hakuwa akimfahamu.itakuwa baada ya tukio ndio kamfahamu.

    • @eve762
      @eve762 3 месяца назад

      Wanamjua wanazimuga tu,maneno yake kwa mtu aliesoma Cuba anamuelewa vzr tu

    • @ShukranMwakyambo
      @ShukranMwakyambo 3 месяца назад +1

      @@eve762 kweri kabisa

  • @cosmaskulaya5297
    @cosmaskulaya5297 4 месяца назад +8

    Hawa wake za matajiri hapa moshi hawajafundwa wala kufuzwa, wana mavikoba yao wanachaguana eti wake za mabosi kwenye mavikao yao wanakunywa mapombe na kufundishana upuuzi usiofaa mbele ya jamii yeyote. Vitambi vyao huwezi kuvibeba

    • @salhawaziri1668
      @salhawaziri1668 4 месяца назад +1

      Hahahah tuacheeee watoto wa moshi

    • @roynessmanji6292
      @roynessmanji6292 4 месяца назад +3

      Km hapewi Pesa zinaishia kwa michepuko kwann asijiongeze na vikoba

    • @aminakasim1198
      @aminakasim1198 4 месяца назад +1

      Mmmmmmmmmmmmmmh

    • @MkindiJujan
      @MkindiJujan 3 месяца назад

      Hili ndio jibu wamempambisha mwenzao kwa kumjaza roho ya wivu na ushetani
      Asimame mke mmoja tu atoe ushuhuda mumewake Ana mwanamke mmoja tu
      Ujinga roho mbaya maana marehemu amezaa naye pia huo mpango wa kando ndo maana pia amejengea kwa ajili ya mtoto wake
      Lkn maneno ya mashosti yakumjaza shoga yao haya kikowapi sasa

  • @mwasitigervas2624
    @mwasitigervas2624 4 месяца назад +20

    Nyumba nzuri hivyo nahangaika na mke mwenzangu natulia nakula tu hata maua ,,maamuzi magumu ,,pumzika kwa amani marehemu🙏

    • @marthadaniel4904
      @marthadaniel4904 4 месяца назад

      😂😂😂😂😂unakula mpak maua jmn mm nasom comment na kuangalia mazingira ya nyumba😂😂 kila mtu atakuf na kifo chak

    • @Mbarukuhawa
      @Mbarukuhawa 3 месяца назад

      Mke anaolewa na mtu sio nyumba.

    • @mrsdeborahurio
      @mrsdeborahurio 3 месяца назад

      Una akili km yangu!

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 4 месяца назад +10

    Kama alikuwa na uwezo wa kumiliki wake wawili kulikuwa na shida gani?mbona wenzetu wanaoa wake 4 na heshima inakuwepo tu?

    • @MWANAIDIRULIMBIYE
      @MWANAIDIRULIMBIYE 4 месяца назад +1

      Yaan acha tu maana mwanaume hata uwe pekee yako lazima tu awe na mwanamke wa nje wanaume huwa hawaridhiki jamani wanawake wenzangu afu mkumbuke ki ukweli wanawake tupo wengi wanaume wachache afu kwani akienda huko kwa mwanamke wake wakitombana anaiacha huko c anarudi nayo na wewe unaitumiaa wee haikondi haipungui haiishi ladha ya nini kuacha watoto mahatima lakini mweee😢😢😢😢

    • @aminakasim1198
      @aminakasim1198 4 месяца назад

      ❤❤❤❤❤❤❤❤ Sofia congretchulation mama total them,

    • @aminakasim1198
      @aminakasim1198 4 месяца назад

      ❤❤❤❤❤❤❤❤ Sofia congretchulation mama total them,

  • @veronicajohn7645
    @veronicajohn7645 4 месяца назад +7

    Dah Adui yupo kazini.

  • @superwomanmwenyeheri.1367
    @superwomanmwenyeheri.1367 3 месяца назад +2

    Kama aliweza kubeba kisu mpaka eneo la tukio, kaona kabisa huyu ni mume wangu, na bado kamchoma kimoja tu kikamtoa roho,alidhamiria hakika na alitenda kwa ujasiri na nguvu zote.
    Hii ni dhahiri kuwa hata huko ndani hakua mtu mzuri, alipenda kumtawala mume,
    Na si ajabu mume kavumilia mengi kashindwa ndipo akajiongeza.
    Hebu imagen mke ana drive prado mume rav4,
    Kweli alikua ampendi?
    Mke mwema ni yule anaeona changamoto kwenye ndoa yake zinazidi anaamua kukimbilia kwa Mungu na Mungu huwa hamuachi mke wa namna hii.
    Nimewaona wengi na Mungu huwatetea.
    Sijawahi olewa lakn mmmmmh...hii.

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija 4 месяца назад +7

    Hasira hasara tujaribu kudhibiti hasira zetu maana huu ni mtihani

    • @angelchuwa3668
      @angelchuwa3668 4 месяца назад

      Hasira hasara kwakweli.. na utajiri wote huo bado unahangaika hivyo mpk kuua jmn

  • @privasara3971
    @privasara3971 4 месяца назад +24

    Naona wanawake wengi wanacomment eti wangewekwa kwenye nyumba kama hiyo wangetulia,hayo ni mawazo ya kimasikini sana,mnajuake kama mwanamke ndo alkuwa na kipato kikubwa zaidi ya mume?na sio rahis kuaacha vitu kirahisi hvyo esply kama kuna pesa tayari,watu hawalali kuzitafuta hizo pesa so akikumbuka hekaheka alizopitia ndo matokeo yake yanakuwa hayo,sisuport kuua mtu ila mnahukumu sana

    • @nixonjohnson4908
      @nixonjohnson4908 3 месяца назад +1

      Na mdogo naye kajengewa na mkubwa... huyu anajiweza bhana

    • @japhetpeter4095
      @japhetpeter4095 3 месяца назад

      usihukumu ucje ukahukumiwa aliekudanganya Kuna mwanaume mwenye make Mmoja ni nani

    • @JacklineMnganya
      @JacklineMnganya 3 месяца назад

      Kama unaona kero mumeo kawa na nyumba ndogo Cha kumuuwa mtoto wawatu Nini? Chepuka na wewe au kama unajiina mpambanaji huwezi kupokea kaa pemben. Mimi kama tunapata mahitaji nikumwombea afya njema apambane wote tupate haki sawa. Wanawake tupendane tuaeche wivu usio na maslai ona Sasa anakosa vyote

  • @happinesstesha7061
    @happinesstesha7061 3 месяца назад +15

    Kaacha nyumba nzuri anaenda jela dah na watoto😢 hiv watakua na maumivu kiasi gani

    • @SaumuSaidi-z2v
      @SaumuSaidi-z2v 3 месяца назад +2

      We acha hizo huyo atatoka tu mbona ngoja msiba wishes.kwn yule kijana aliemuuwa mm ake mfanya biashala wa madini na kumtumbukiza kwny Chamba ya choo hapo kwny mjengo wake mbona katoka na kesi imeisha!

    • @SaumuSaidi-z2v
      @SaumuSaidi-z2v 3 месяца назад +1

      Na yule bilinear msuya naye mke si alimmaliza tena na wifi akauwa mbona katoka kainekana hana hatia,kwa huyu atatoka mn ukichunguza zaidi huyo mume ana makosa sn,

    • @jovanafidelis2802
      @jovanafidelis2802 3 месяца назад

      Unahisi ana makosa kustahili hii hukumu?​@@SaumuSaidi-z2v

    • @Zaynab-ny6gr
      @Zaynab-ny6gr 3 месяца назад

      ​@@SaumuSaidi-z2vana makosa gani mume asihudumie mtt wake??
      Yy mbona ana maisha mazuri wanaume kuchepuka kawaida km tukisema tuwauwe tutabaki wanawake watupu ni upungufu wa fikra tuu

  • @victoriadenis1694
    @victoriadenis1694 4 месяца назад +16

    Mume anauma hapa huwez judge mwanamke peke yake huwez jua huyo mwanaume tofauti na hyo kumcheat labda alkua anampa manyanyaso mengine yakuathiri psychology yake jaman manyanyaso sio lazima upgwe watu wana mahela ila wanaishi maisha ya taabu sana.

    • @kelvinmmassy348
      @kelvinmmassy348 4 месяца назад

      Mume anauma lakini ndo ifikie hatua ya kutoa uhai wake

    • @valeriamtenga3384
      @valeriamtenga3384 4 месяца назад +1

      Mbona wetu wamechukuliwa mazima na michepuko hata hatujui wako wapi tena, bora huyo alikua anarudi home kwake!
      So tukiua inatupa suluhu kweli?
      Andiko linasema: mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote.....sasa tunapoupa moyo kazi ya kumpenda mwanadamu kuliko Mungu, ni tatizo!
      Lazima utaumia sana, swala la kumove on ni ligumu lkn ni la muda tuuu,
      Hatujazaliwa na kitu, tukubali kupoteza vitu/ watu ikiwa ni gharama ya kuanza upya

    • @ElizabethKiria
      @ElizabethKiria 3 месяца назад

      Nasikia hawara alikuwa anamtusi mke mkubwa ,

    • @summanelson5523
      @summanelson5523 3 месяца назад

      Tatio kubwa hapa ni kuua! Tumeambiwa " usiue". Hakuna sababu yeyote inayohalallisha kutoa roho ya mwenzio! Sasa atafungwa pengine maisha. Amepata nini? Dhambi ya mtu inakufanya na wewe utende dhambi!!! Llah hasha!

    • @fetyalmas698
      @fetyalmas698 3 месяца назад

      Kweli kbs

  • @mgesizablon790
    @mgesizablon790 4 месяца назад +8

    Nikweli inauma sana kusalitiwa lakini vyema tujitahidi kuzuia hasira zetu ona sasa watoto wanakosa malezi ya baba kwa sababu ya hasira ya mama.

  • @ZubedaAbdallah-s5p
    @ZubedaAbdallah-s5p 3 месяца назад +3

    Alhamdulilah kwa kuniruzuku kuwa mwislam haki sisi wanawake wa ki.islam hatuna mbaya mume anaoa na maisha yanaendelea binafsi mimi nipo kwenye ndoa ya wake wa 3 na bado nafasi 1 jimbo lipo wazi na tuna Amani hakuna kuchoma visu

    • @svt3
      @svt3 3 месяца назад +1

      Ila hapo hampendani, unafiki, wivu, kuangaliana kijicho, kusemana vibaya🤔🤔🤫🤫 maisha gani hayo ni umadkini na akili za kimaskini ndio zina wafanya muvumilie hata waislam matajiri kama Dangoote, Mo de...... wanawake mmoja mmoja ila hawa waislam makapuku ndio wanakimbilia kuweka wanawake zaidi ya mmoja

  • @sharonyasin7521
    @sharonyasin7521 4 месяца назад +2

    This what we call power of love

  • @MaryamAlli-is1jg
    @MaryamAlli-is1jg 4 месяца назад +15

    Ilivyotangazwa mwanzo ni hawara na sio mke wa ndoa wanaficha ukweli tu

    • @SALIMMpimbi-e6o
      @SALIMMpimbi-e6o 4 месяца назад +4

      Nikwambie ukweli?
      Mama anaenda jela kifungo cha maisha.
      Mume amekufa
      Watoto wanakosa baba na Mama.
      Biashara zao zipo hatiani kufa pia, maisha yanaweza kuwa magumu sana kwa watoto.
      Huo ndio UKWELI.
      Hilo la mke ama hawara ni IMANI tu.

    • @AnnaAnthony-is9wj
      @AnnaAnthony-is9wj 4 месяца назад +1

      P

    • @Giftypmushi
      @Giftypmushi 4 месяца назад

      ​@@SALIMMpimbi-e6okabisa lazima life ibadilikeee

    • @ahz6907
      @ahz6907 3 месяца назад

      Kiserikali huyo ni mke kabisa na ana haki zake hata kurithi mali za marehemu.😂

  • @jeangodelo5349
    @jeangodelo5349 3 месяца назад +2

    Duuuh😢😢😢 shetani shindwa kabisa mjumba wote huo unaumiliki,biashara gari vyote hivyo unavyo ungemuacha hata ahamie hukox2 duuu..😢 pole sana

    • @upendombise8113
      @upendombise8113 3 месяца назад +1

      Unajua sisi wanawake tuko hivi tukiwa atuna haya maisha tunasema tunaona ni raisi lakini kweli ni kwamba tukipata nyumba nzuri gari nzuri watoto wakasoma shule nzuri hela ipo tunaitaji upendo Sasa unatamani mume awe wako tu muwe sawa ndo matokeo yake hayo

  • @RubenMtuwaMungu-bz8ee
    @RubenMtuwaMungu-bz8ee 3 месяца назад +1

    Wakristo hatujidanganyi ni agizo mme mmoja mke mmoja. Mungu amempa mwanadamu free will aamue atakavyo ingawa Mungu keshatoa mwongozo. Hata wenye wake wengi nao wanachangamoto zao.

  • @VumiDavid-lo1cl
    @VumiDavid-lo1cl 4 месяца назад +4

    Kuzaa na mwanamke mwingine ndo kuamua kumuua mkaka wa watu baba wa watoto wako jamani samehe saba mala sabini.

    • @RittaBryson-co4vp
      @RittaBryson-co4vp 3 месяца назад

      Unajuaje kama ni kuzaa TU...hakuna na heshima huyo

  • @edinakyaruzi9226
    @edinakyaruzi9226 4 месяца назад +2

    Pole mke maumivu ni makubwa pole sana kusalitiwa kusikie tu

  • @Tanganyika-w5p
    @Tanganyika-w5p 3 месяца назад

    Hilo li Mwanamke litakuwa liMACHAME. Hakuna Mwanamke wa Kichaga anayeua zaidi ya MMACHAME. Wanaume tukae mbalii na Wamachame..

  • @RachelLaizer-n2p
    @RachelLaizer-n2p 4 месяца назад +4

    Yani ningemuacha aende tu kwa mazingira ya nyumba hii halooo atajiju mm napambana na watoto na kuremba nyumba na biashara

    • @RittaBryson-co4vp
      @RittaBryson-co4vp 3 месяца назад +1

      Hivi wewe....umetafuta nae from zero saivi mna vingi Ivo uache TU akagawe jasho lako kwa mchepuko!! Hufikirii sawa na wala sijasema kuua ni sawa.

  • @neemamwakasape1630
    @neemamwakasape1630 4 месяца назад +10

    Mungu tunaomba mwisho mwema

  • @victorsolomon-ze8uw
    @victorsolomon-ze8uw 3 месяца назад +1

    Moyo wa mtu ni kichaka, unaweza kufikiri amemuua mumewe kwa wivu kumbe mtu alishapiga mahesabu ya kumiliki hiyo mijengo na biashara na kimada ametumika kama kigezo tu cha kumuangamiza mwenzake,siamini kama kweli hakumjua huyo kimada siku zote hizo.Anajua atafungwa lkn atatoka mapema tu.Na wanawake wa kaskazini ndio zao hizo,mapovu ruksa.

    • @SimonMwita-k8s
      @SimonMwita-k8s 3 месяца назад

      Ukweli kabisa kaka.mimi ninavyo jua serikali ya Tanzania Sheria ni ya munyonge.kwanza hiyo kesi itatupiliwa mbali.huyo mwanamke muwaji atawachiliwa pesa itatumika.hakuna Shahid atandikisha report kwa police ya Tanzania kua aliona tukio likifanyika.watakao muzaidia huyo muwaji mwanamke ni mashemeji lakini inauma kweli poleni

  • @fadhilajamal217
    @fadhilajamal217 4 месяца назад +2

    😢😢😢mjengo wa maana kabisa maisha mazuri sasa unamuuwa nn

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 4 месяца назад +3

    Huyu mwanamkehajamuua mme wake kwa bahati mbaya, bali alikusudia na kudhamiria kutenda uovu. Umbali na muda aliyotumia kumfuata huku akiwa na silaha ungemtosha kutafakari upya uovu aliyodhamiria kuutenda na kughairi kwa kuishinda hasira. Kwa vyovyote haya ni mauaji ya kudhamiria (murder case) na si mauaji bila kukusudia yaani (man slaughter).

  • @luluzegema5782
    @luluzegema5782 3 месяца назад +1

    Yan mimi atembee ata na chizi atajua mwenyewe simfanyi chochote Kwanza nimemkuta ukubwan tu anayemjua ni mama yake Mimi nitawapenda wanangu yatosha🙏😭😭

    • @neemajerome7981
      @neemajerome7981 3 месяца назад

      Labda uwe huna mapenzi nae unajua moyo ni kitu cha ajabu sanaa and utaruhusu hayo yatokee mwisho wa siku unakuletea maradhi wewe umekaa zako tu nyumban umetulia

  • @MonicaBenitomwalongo
    @MonicaBenitomwalongo 4 месяца назад +7

    Yani apo ndugu mnaficha uyo sio mke mdogo ni kimada cha uyo baba

    • @MaryamAlli-is1jg
      @MaryamAlli-is1jg 4 месяца назад +1

      Ilivyotangazwa mwanzo ni hawara na sio mke wa ndoa

    • @beatricepallangyo2821
      @beatricepallangyo2821 4 месяца назад +1

      Kwani Wakristo tuna wake wawili? Zaidi ya mmoja ni kimada siyo mke Kikristo

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 4 месяца назад

      Wanaonyesha hawampendi mke wa ndugu yao ndio maana wanabariki uzinzi

    • @tanzaniaafrica7019
      @tanzaniaafrica7019 4 месяца назад

      Sasa apo ata kama ungekua wew ndugu yako amesha uwawa na uyo mwanamke uraonyesha upendo vimada walikuwepo toka enzi za mababu na wataendelea kuwepo sasa kapata faida gani unaacha watoto wako wateseke kwa sababu ya hasira zosizo na faida ​@@leokamil6284

    • @aminakasim1198
      @aminakasim1198 4 месяца назад

      Ladies ladies let me tell you, in this world aman can't sit, with one wife, forgot about Christian, religion,,

  • @israelkisaila8401
    @israelkisaila8401 4 месяца назад +2

    Haya mwenyewe niliwaza hivyo,yani watoto TU jamani😢

  • @nuruabraham3769
    @nuruabraham3769 3 месяца назад

    hasira hasara ona sasa umepata faida gani, hata kama inaumiza lakini umepata nini kutoa uhai wa mwenzako? yaani uliangalia wivu wako tuu hata hukuwaangalia watoto kumkosa baba yao kweli na vipi kuhusu ndugu zake ambao walikuwa wakimtegemea. MUNGU AKUSAMEHE.

  • @katarinawilliam9960
    @katarinawilliam9960 3 месяца назад +1

    Wake wadogo/michepuko,Wanakuwaga na wivu mnooooo,kwa waume ambao wamewakuta tayari wana miji yao na ni roho mbaya komeshaaaaa.Wanaume wajifunze kutulia na mke mmoja hata kama ni kisirani badirisha chumba.

  • @AbiaWilliam-s1s
    @AbiaWilliam-s1s 4 месяца назад +1

    Poleni wanafamilia

  • @michaelkamunyu567
    @michaelkamunyu567 4 месяца назад +4

    Wanawake wakichaga ndo walivo ni masingle maza weng wanasbria tu mzee andae kila kitu baada ya hapo wanamkwida shenz kabsa

    • @SaumuSaidi-z2v
      @SaumuSaidi-z2v 4 месяца назад

      Kwn hao wanaume wote wanaowauwa wanawake na kuwanjicha ni wachaga?kila siku mauwaji saizi wanawake tuna asila sn

    • @DM.2200
      @DM.2200 4 месяца назад

      Una uhakika uyo mam ni mchaga au unaongea tu ujinga pia wanawake wamechoshwa saiv mpaka mt anakuzalia watoto sit bado thaman huioni we si utakua balaa😢😢

    • @NEEMANdembwe
      @NEEMANdembwe 4 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 4 месяца назад

      Koma kabisa nyau wewe

  • @MaximillianNgoiya
    @MaximillianNgoiya 4 месяца назад +2

    Haya ndio madhara ya kupata mpaka kuvimbiwa kuna watu hawatakiwi kuwa matajiri kabisa. Yaanu mtu hela inampelekesha mpaka mke anamuua. Hapo mke anaenda jela na yeye kashaondoka mali wanachukua ndugu kiulaini.

    • @sarahgaula2220
      @sarahgaula2220 4 месяца назад

      Yaani mabibi wadogo wanapenda penye hela

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa 3 месяца назад +2

    Afadhali kamuua mumewe ingependeza na yeye anyongwe wakapendane ukouko milele

  • @rebbywealth9869
    @rebbywealth9869 3 месяца назад +1

    Ndo ya kikristo haina mke mdogo.... huyo mwingine ni hawara, tumieni kiswahili vizuri

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki9758 4 месяца назад +1

    Wanawake wengine wapuziii sana unaua Cha moto atakiona hapa Dunia alikuwa halali njaa ni kiherehere chake mwanamke Moja hudumaza akili watoto wanajuwa wanasikia uliuwa baba yaoo laana kajitengezeaa

  • @heriethsamwel7190
    @heriethsamwel7190 3 месяца назад +1

    Hata kam alikuwa anamfahamu awezi sema 😮

  • @DudddyWhyCant
    @DudddyWhyCant 3 месяца назад +1

    Wanawake wa Kichaga .... hata bure sitaki.

  • @mymuhnabdallahshaban7763
    @mymuhnabdallahshaban7763 4 месяца назад +1

    Ten mwanamme kajeng nyumb nzur t mke mkubw alikuwa na Maisha mazur jumba la kifahari na gari juu umenunuliwa na kutembelea bs angefikiria watoto wake kwanza kabla ya kufany tukio saiv watoto wataish mazingira magumu San sababu baba kafa mama ndo atahukumiwa jela maisha ina maan mali za marehem watashikilia ndug watoto hawatapata kufaid mali za baba yao maan ndug pia Hapo hizo mali na biashara wanazitolea macho 😢😢😢😢😢😢😢😢

    • @ElizabethMkini
      @ElizabethMkini 4 месяца назад

      Jamani hajafata nyumba...kikubwa usi mjudge hujui alikuwa anapitia nini...

    • @estherkimario7940
      @estherkimario7940 3 месяца назад

      ​@@ElizabethMkinisasa apata faida gan kaendeshwa na hasira za kijinga hajafikiria kuna njia nyingi za kufanya mume atulie kusalitiwa kawaida kwa mahusiano ya sasa sasa hao wtt watateseka kwa ujinga

    • @ElizabethMkini
      @ElizabethMkini 3 месяца назад

      @@estherkimario7940 Faida hapati kaa ukijua kila mtu anapokea jambo tofauti...ni kumuombea tu hata huko alipo analia na kuomboleza...yote ni kazi ya shetani na mume angetulia yasingetokea haya yote...

  • @FelisterMunissy
    @FelisterMunissy 2 месяца назад

    Hyo ni sadaka imetolewa hamjui tu hiz mali tzamen tu hyo ni sababu tu huyu mungu achezew

  • @ubongosahihi
    @ubongosahihi 3 месяца назад

    Mke mwingine, Wakristu ni Mke ni mmoja Tuuuuuuuuuuuu hakuna cha mke mdogo Wenzetu Waislamu wana Nafuu mapema waliwekewa Misingi ya Ndoa huku waliuweza Ulimwengu huu wenye Kuyumbishwa na Usaliti wa Mapenzi Bubu ndiyo ni Mapenzi Bubu kabisa PUMZIKA KWA AMANI KAKA 😢😢

  • @salcle9702
    @salcle9702 4 месяца назад +2

    Mama prado baba R4 kweli kina mama wa kichaga kiboko😢

    • @palokuthereza2555
      @palokuthereza2555 4 месяца назад

      Sasa Prado lazima adrive mume 😅

    • @estherkimario7940
      @estherkimario7940 3 месяца назад

      Halafu bdo u naua hivi kwel huyu mama mbona katil na huo mjumba na mazingira sasa me hata nisingejali nazingatia maokoto mahusiano ya sasa kusalitiwa kawaida huyu bdo mshamba watt watateseka hao maana hawajui shida sasa cjui apata faida gan

  • @teddygabriel5662
    @teddygabriel5662 4 месяца назад +4

    Mapenz yanauma omba usisalitiwe🤐

    • @hellendaniel3809
      @hellendaniel3809 4 месяца назад

      Kwani amekuwa wakwanza kusalitiwa duniani? Ujinga tu unaua mume kisa wivu.

  • @LesingoBaraka
    @LesingoBaraka 4 месяца назад +3

    Wachagaa tena mambo ya kawaida

  • @HidayaMwakilema
    @HidayaMwakilema 4 месяца назад +2

    Mwanamke umejengewa nyumba nzuri bado unamuua mwanaume du

    • @givenessdavid3743
      @givenessdavid3743 4 месяца назад +11

      Mapenzi ni mapenzi na nyumba ni nyumba

    • @SaumuSaidi-z2v
      @SaumuSaidi-z2v 4 месяца назад +1

      Unajuaje km mwanaume amejenga mwanamme peke ake?huenda mwanamke alitoka mbali mpka hapo walipofikia leo hii mtu anazaa nje ya ndoa ht familia haijui km ana mchepuko ht mimi nauwa

    • @SuzanRowland
      @SuzanRowland 4 месяца назад

      Kwao hawana nyumba?watoto sita alfu pimbi analeta stress ndani

    • @DM.2200
      @DM.2200 4 месяца назад

      ​@@SaumuSaidi-z2v Haswaaa asilimia kubwa hapo wametoka mbali em fikiria watoto sita na pia sio kwamba mama alikua hafanyi kaz walikua wanatafta wote af mwingin anakuja kula kirais tu aweeee patachimbika labda ka una moyo wa chuma

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 4 месяца назад

      Hata kama angezaa watoto 10 hakutakiwa kuua mwezie

  • @jescarwegoshola1754
    @jescarwegoshola1754 4 месяца назад +1

    Hii nikukosa hofu ya Mungu.

  • @NellyFrancis-nn3qb
    @NellyFrancis-nn3qb 3 месяца назад

    Mmh jamani mungu akupe mioyo mikunjufu

  • @OsiGaddy
    @OsiGaddy 3 месяца назад

    Mungu atusaidie 2

  • @consomatogaudence136
    @consomatogaudence136 4 месяца назад +1

    Kuna siri kubwa nyuma ya pazia huenda huyu mama amtumika kama chanzo ila huenda cy yeye maana kwa harakaharaka cy akili zake

  • @hellenmollel6679
    @hellenmollel6679 4 месяца назад

    Mungu atusaidie jamani, kweli unaishia jela unaacha watoto wako kwa sababu ya mtoto wa Mama Mkwe? hapana kwa kweli mimi nina kwangu na watoto wanasoma ningekula niendelee kunenepeana kama nguruwe niwakuze wanangu, sasa unaua mwanaume watoto wateseke wenyewe kweli?

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 4 месяца назад +2

    Nyumba nzuri sana

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 4 месяца назад

    Chepuko jipange,utafukuxwa kwa nyumba km jambaxi sugu,hao hao wakijichanganya eti mke mdogo,mchepuko una nux kutembea na m2 then afe.

  • @idinado-wk3lx
    @idinado-wk3lx 3 месяца назад

    Wanawake wa Moshi Mimi nawaogopa sana maana matukiyo kwenu yamekuwa mengi sana mala kuuwa wazazi Kisa Mali mala muuwe wame zenu namengineyo mengi njiee TU duuuu

  • @neemajerome7981
    @neemajerome7981 3 месяца назад

    Wanawake sisi tunapitia Mengi sanaa wanaume huwa hawaridhiki hata ufanye nin

  • @neemahezron486
    @neemahezron486 3 месяца назад

    Watoto wanapitia mengi baba amekufa mama jera

  • @GetrudarCelestineAmede
    @GetrudarCelestineAmede 3 месяца назад

    Una watoto6, una gari na nyumba nzuri t haf unajipeleka jera kipuuz hivyo!!!! Mwehu kwel

  • @GraceMakenga-zd1vn
    @GraceMakenga-zd1vn 3 месяца назад

    Marehemu kafa akifanya umalaya😅😅😅😅 afe tuuu umalaya tuuu

  • @ElizabethSanu
    @ElizabethSanu 3 месяца назад

    Mh hivi tunaishi na wanaume kwa savabu ya pesa au mali hapana tusidanganyane

  • @faithlutainulwa3832
    @faithlutainulwa3832 3 месяца назад

    Toba Kwa ajili ya hiyo laana ya kumwaga damu, ni muhimu.

  • @joycefrances4516
    @joycefrances4516 3 месяца назад

    wanaume tulieni na wake zen u,mnaleta shida kwenye familia,utakuta wameanza kwa kulala chini,analeta uhuni,dah, aisee,mhhhh inauma,

  • @anunalamin6472
    @anunalamin6472 3 месяца назад

    Bora uislam walieka sheria wanne hakuna mambo na kujificha kuliko mambo ya ndoa moja michepuko kibao wanaume ni wale wale tu

  • @azizamvungi1871
    @azizamvungi1871 3 месяца назад

    Ila jamani siwezi kumuuwa mme wangu siande tu kwani utafanya nini sasa kama mwanaume kaamuwa?ifikie hatuwa wanawke tusijipe presha wanaume hatukuzaliwa nao

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 4 месяца назад +7

    Wenye hela hawana amani jamani.wakati mwingine bora ukiwa huna mambo mengi yanapungua

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 4 месяца назад

      Kabisaa aisee Amani hakuna

    • @NiceWatson-y7e
      @NiceWatson-y7e 4 месяца назад

      Weeee ndo yaleyale tu wanaume weng hawatabirik

    • @happynesssamwel2917
      @happynesssamwel2917 4 месяца назад

      Ata mwanaume asie na pesa Bado anachepuka hivo hivo

    • @sophiakimaro5174
      @sophiakimaro5174 4 месяца назад

      Atachepuka lakini hakuna wa kumfuatilia kihivyooooo!utapoteza mda uchukue mpaka kisu unapigania nn hapo?huyu alikuwa analinda utajiri wa mumewe.

  • @reginaogutu2129
    @reginaogutu2129 3 месяца назад

    Hasira ni hasara, usifanye maamuzi ukiwa na hasira.

  • @joycemkeka3769
    @joycemkeka3769 4 месяца назад

    Ukiolewa kwajili ya mali utaona sawa tu mume kufanya chochote mradi anakupa pesa ila kama umeolewa kwa mapenzi ya dhati lazima utatikisika sana ndomana wapo wanaume pia wanauwa wake zao kwa uchungu wa mapenzi kwanini wasiamue kuoa mwingine? Yani hapo mungu tu akuvushe ukiweza mshukuru mungu usijisifu

  • @KhadijaMwenda
    @KhadijaMwenda 4 месяца назад +3

    Sasa hii nyumb ndugu wataanza kugombania watoto wajipangee asee

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 4 месяца назад

      Na hivi na wachaga uwiiiiii, saivi kila mtu anaangalia hiyo nyumba,aiseee,wachaga kwa mali na pesa mmmm,hapo wanaenda kuuwana tena,Mungu tu AWASAIDIE

    • @KhadijaMwenda
      @KhadijaMwenda 4 месяца назад

      @@israelkisaila8401 yetu macho tu

    • @agustinoapolinar1623
      @agustinoapolinar1623 4 месяца назад

      Wachaga hawagombaniagi nyumba . Hiyo nyumba ni ya mtoto wa mwisho wa kiume

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 4 месяца назад

      @@agustinoapolinar1623 weeee wachaga na Mali ,pesa hovyo kabisa,weeee

    • @KhadijaMwenda
      @KhadijaMwenda 4 месяца назад

      @@agustinoapolinar1623 uliza uambiwe hiyo Mila Iko Kwa kabila la Masai...

  • @AnameryGadius
    @AnameryGadius 3 месяца назад

    🎉

  • @nimuhimusana
    @nimuhimusana 3 месяца назад

    Hivi anakuzalia au mnazaa.....??????

  • @summanelson5523
    @summanelson5523 3 месяца назад

    Loh masikini! Sasa mke kafanya nini? Na yeye kajiua kabisa. Hana Maisha tena!

  • @BobLuck-fv5ef
    @BobLuck-fv5ef 3 месяца назад

    Mimi nimwachwa na mume akaoa mke mwingine ,na aliondoka na kila kitu nikaachiwa watoto,nimelaani sana huyu mama muuaji kujichanganya

  • @samsonkatigiri2344
    @samsonkatigiri2344 3 месяца назад

    Mama Prado,baba Rav 4,bado unauwa,pombe mbaya sana,akina mama mnafeli wapi nyie?mpendwe vipi? duniani hakuna cha peke yako,jiandae kwa lolote

  • @GetrudeRashid-be8bs
    @GetrudeRashid-be8bs 3 месяца назад

    Jmn dini ya kikristo haina mke mdg,,,,hivi nyie mnajua kusalitiwa kunavyo Uma,,,hlf kutwa mke mdg,kafumaniwa huku mnasema knsn knsn,,, ubatil mtup,,ndoa naiheshime na watu wote😂😂😂

  • @honoratamafala6968
    @honoratamafala6968 3 месяца назад

    Usilotaka kufanyiwa usimfanyie mwenzio.mume anamsaliti atelier kwa sababu ya nyumba?alikuja kwa mume kwa vile kwao hakuna nyumba?huo ni ushamba.ndoa ni tofauti na mali,likikufika wewe ndo utajua.

  • @veronicankhwazi7954
    @veronicankhwazi7954 3 месяца назад

    Hatujui alikuwa anamtreat vp mke wake mkubwa hadi kapata hasira hiyo

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 4 месяца назад

    Amma kweli hasira hasara mhuuu

  • @ChugaKazi
    @ChugaKazi 3 месяца назад

    Acha tu afe tena Kama Kuna uwezekano wa kufa mara mbili na afe tenaaa kudadekiii mshahara wa zambi ni mauti sasa michepuko si zambi sasa mnaumia Nini mtu kupokea mshahara wake

  • @queenmollel6739
    @queenmollel6739 3 месяца назад

    Poleni sanaaa tena sanaaa

  • @chimamilion
    @chimamilion 4 месяца назад +1

    Yn mimi niwekwe kwenye mjengo huo bdo tu nifanye ujinga aiweee mi ningemwacha aende loh sema shetani nae apunguze usenge ss ni nn iki jmn

  • @barutiabuu9492
    @barutiabuu9492 4 месяца назад +2

    Mimi mchaga sio ukitaka maisha ya amani oa kabila lengine nasio wachaga wana wake wakichaga wanekua wapuuz wamwisho zamani walikua na akili ila sasa wamekua wapuuz wamwisho kabisa oa wachaga uuliwa hawashindwi kukuua hata na chakula hawa

    • @DM.2200
      @DM.2200 4 месяца назад

      Huyo mama sio mchaga mume ndo mchaga so correct your point

    • @calvinpaul2171
      @calvinpaul2171 4 месяца назад

      Nkwel

    • @judyngowi391
      @judyngowi391 4 месяца назад

      Kanye chooni, tutaolewa tu kwanza nani aolewe na wewe kapuku

    • @HellenMally
      @HellenMally 3 месяца назад

      Acha kutukana toa hoja

  • @Zaynab-ny6gr
    @Zaynab-ny6gr 3 месяца назад

    Km angekua hajamuwezesha kwa lolote mke mkubwa hapo sawa lakini waendesha hadi prado mmh

  • @naomicharles5444
    @naomicharles5444 3 месяца назад

    Mwanamke akifikia hapo jua kwanza ajutiii uamuzi wake, pili hana cha kupotez

  • @AnethWambura
    @AnethWambura 3 месяца назад

    Wanaume wote waone ujumbe huuu.....mwingne kosa la kuchepuka mwingne la mauaji kwann lakn

  • @MsNajma-e6e
    @MsNajma-e6e 3 месяца назад

    Kwan tz imekubwa na nn kila leo mauwaji kam mapezi yameisha si muachane tu tatizo renu wakirisitu mnajifanya hamuachani mbaka kifo ndio shida hii mtu anamua amue ili hawe huru aisee toeni divosi kwa uraisi izi ndoa ni tishio

  • @EmsonSambo
    @EmsonSambo 4 месяца назад

    Dada anaacha mji mzuri ivo anaenda kukaa jela shetani ananguvu sana😭😭

  • @hanifamziray277
    @hanifamziray277 4 месяца назад +1

    Dah

  • @glorysangei5387
    @glorysangei5387 3 месяца назад

    Halafu unakuta ulimkuta huyo mwanaume hana chochote...halafu sasahv akale na vimada wewe uteseke na watoto wake...wanaume wengine ni mashetan tu

  • @lilianmateru4806
    @lilianmateru4806 3 месяца назад

    Mshahara wa dhambi ni mauti wacha akapumizke

  • @Polyn.123
    @Polyn.123 4 месяца назад

    Watoto Sita ,,yani unatoka mbali na mwezio alafu mkufanikiwa anaaza usaliti wa ali yajuu ,,

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 4 месяца назад

    Unaweza kumpa kila kitu na anakuwa inaumizasana uyo mwanamke amekosa Nini kwenye utajili uo jumba zuli kanunuliwa Prado pesa ipo uyo mwanamke anyongwe nishetani afai kabisa

  • @VelonikaMakota
    @VelonikaMakota 3 месяца назад

    Kuna mwingine yupo hapo mbez luis yeye ni mchepuko tu

  • @MsonjoSicario
    @MsonjoSicario 3 месяца назад

    Wapi kwenye Bible kulikoandikwa Mkristo anapaswa kuoa mke mmoja??
    Haya mawazo mdumazo ya kufikiri kuoa mke mmoja tu ni kuiga matakwa ya wazungu walioleta hizo dini....