Makonda wangu baba...soma hii coment...kuna watu wamekufa awajui nani anapendwa na nani...wala ajui mmbaya wake nani...mungu wako makonda baba ni waajabu sana chini ya mama yetu samia..mungu anakuonyesha mengi makuu unayaona uko hai..wewe nani baba mshukuru mungu sana na sara za watanzania na mama yetu samia kuto wasikiliza wanafk wanao kunafk lakini mungu wa mama samia unaishi na watu wanakuombea na tunalia sana kwa kukupenda juu ya wanafki wanao kutafuta kiuwadui watapambana na simba wakabira la yuda Usiogope...jeshi lisilo onekana lipo na wewe...nakupenda sana sana mtumishi wa mungu.
Siku mungu akipenda naomba nikushike TU mkono na mke wako...nazidi kumwomba mungu atukutanishe nakupenda sana makonda mpaka mama yangu...tunaishi mbeya mjini..karibu mtumishi wa mungu.
Well-done Mhe Mkonda you are Great leader. Many foolish things happening tortouring local people. My Nigerian Tenant not paid 600 m rent contract expired in Feb but in Dar our people Helping Him na ka weka Bouncers kwenye Main entrance ku Block landlord.
Asili ya @makonda nimtu mwenye nyota ya utetezi ila siyo mbaya kunasiku atalitumikia TAIFA ZIMA MUNGU MLINDE MAKONDA AJE AWE RAIS ATUSAIDIE TANZANIA 🇹🇿 YA SASA NA YA BADAE
Muheshimiws makonda upo vizuri, sisi wenzio tumetapeliwa na tanescoo mradi wasomanga kinyerezi, tangu ulipokuwa mkuu wa mkoa kipindi kile ulitupambania sana, tumedhurumiwa ndugu yetu, mungu akupe maisha marefu, mtetezi wawanyonge.
😂😂 Subra kila kitu na Wakti wake. Bado kijana na anafursa ya kufika mbali sana. Hivi sasa kila mmoja amuongelea yeye kwa kazi nzuri sana. Mwamba iko siku atafika huko. Insha Allah
Yaaani Kaka ww ni wa pekee Kuna watu wanateseka Sanaa huku mtaani, haki hakuna Mungu azidi kukutumia ili watu Wapate haki. Sio kila Mt anaweza kuku elewa lazima wawepo wa kukubeza ila wananchi tuko nyuma yako
Nampongeza Sana MH Rais kwa kuona mbali ,kumchaguwa MH makonda kuwa kiongozi yupo vizuri,nashauri mama mtu mwingne atakae kusaidia mama ni Ndgu Ally Happi pia ni jembe
Makonda mungu akulinde mweshimiwa wew ni magufuli wa pili
Kwan hii nchi MKUU WA MKOA ni m1 tu ...km makonda anaweza hao wengine wanashindwa Nin kusikiliza kero za wananchi wao daah!! God bless you Mh.makonda🙏
Tumbo lililo mzaa magufuri na makondo yabalikiwe
Kabisaa ❤❤❤❤
🙏🙏🙏🙏
Na Mama Samia kwa kumteua mhshmw Makonda.
Ameen
Wasiopenda haki hawapendi unayoongelea, piga kazi Mungu akulipe kheri
Wale wanaomsema vibaya mh, wamenyamanzishwa na MUNGU 😊😊😊😊YESU ahsante
Utazani inch nzima mkuu wa mkoa ni mmoja voice of people keep it up
MH MAKONDA Wewe ni baraka sana sana sana!❤❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏👊👊👊👊💪💪💪💪💪
Mama samia hakukosea kukuchagua ww uende ukawe msimamizi wa haki za wanyonge mama samia anamaono na imani juu yako mheshimiwa makonda
Makondaa namuona mbali saana..!
GOD BLESS BROO 🙌
Mbali wap?
Mafisadi lazima wakupige vita tu.
Usijali mh Pm'
Mungu atakulinda na utaishinda vita hiyo👏
Makonda ni kiongozi ambaye anatetea haki
Paul CHRISTIAN makonda on top headlines
Mungu akulinde mkuu
AMEEN
Kuna haja ya kuwa na makonda kama 50 hivi ili wawekwe kila mkoa. Hii nchi kuna baadhi ya watu wanaipiga sana.
Millard ayo naomba niunganishe na mama nimpe hongera zake anajua.
MAMA SAMIA MUNGU AKUBARIKI SANA SANA KWA KUMTEUA MAKONDA KWENDA MKOA WA ARUSHA.
TUNAOMBA WA DAR ES SALAAM AWE KAMA MAKONDA.
Hongera mweshimiwa makonda kwa kazi jema unayoifanya kaka yangu
Anafnya kazi nzuri sana huyu Poul
Makonda sijawai acha kukufuatilia na kufurahidhwa na utendaji wako na kukuombea, Mungu akulinde.
Mkuu wet makonda mungu akupe maisha malefu ya kuish. Ili utuokowe sisi watuwako njoo na mwanz tunakuhitaji baba
MAKONDA PEKEE YAKE ANA POWER KULIKO MAWAZIRI WAKIWA WOTE, WABUNGE Wakiwa WOTE kuliko HADI RAISI 😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Mweshimiwa fungua App
MUNGUakuwekee Mkono WAKE WASIKUWEZE NA WANAOJARIBU WAPIGWE KWA MKONO WA YESU KRISTO BWANA MUNGU WA MAJESHI. WAFE WASIISHI. Amen.
Makonda anafanya kazi ya Mungu,kutoa haki na Mama atabarikiwa kumpa nafasi afanye hiyo kazi.
Makonda ana moyo wa mungu viongozi wengine hawana huruma na binadam wanzao
Damu ya Yesu Kristo Ikulinde Paul Makonda,kwa kazi Unazofanya.
Makonda ni kiongozi mfatiliaji sana Tena mtenda haki atapaweza Arusha mungu ampe maisha marefu
Tunakuhtaj utuongoze kama raisi tunakupenda
Nakukubali sanaaa
Makonda wangu baba...soma hii coment...kuna watu wamekufa awajui nani anapendwa na nani...wala ajui mmbaya wake nani...mungu wako makonda baba ni waajabu sana chini ya mama yetu samia..mungu anakuonyesha mengi makuu unayaona uko hai..wewe nani baba mshukuru mungu sana na sara za watanzania na mama yetu samia kuto wasikiliza wanafk wanao kunafk lakini mungu wa mama samia unaishi na watu wanakuombea na tunalia sana kwa kukupenda juu ya wanafki wanao kutafuta kiuwadui watapambana na simba wakabira la yuda Usiogope...jeshi lisilo onekana lipo na wewe...nakupenda sana sana mtumishi wa mungu.
Siku mungu akipenda naomba nikushike TU mkono na mke wako...nazidi kumwomba mungu atukutanishe nakupenda sana makonda mpaka mama yangu...tunaishi mbeya mjini..karibu mtumishi wa mungu.
Mama Samia amejua sana, khs Makonda na Slaa, raia wamejaa machozi machoni na simanzi mioyoni.
Mungu amjalie umri mrefu na afya njema.
Nakubali piga Kaz mwenetyu
Safi sana nimeipenda
Hivi nyie wakuu wa mikoa mingine hamjifunzi kitu kwa Makonda au hamuna kelo mikoani kwenu
God bless you sir. My all respect to you.
Next time plz visit Ngorongoro, thank you so much.
ARUSHA PIA UENDESHAJE WAGARI NI MBAYA SANA😊
Hawa viongozi Mungu awalinde na kuwafunua zaidi na zaidi
AMEN. I HAVE NOTICED YOUR T-SHIRT AND CAP. CONGRATS FOR NOT BEING ASHAMED OF THE GOSPEL OF JESUS CHRIST.
Exactly 💯 powerful
Uko vizuri Sana broo
Nimesikia kulia
Mungu Akumbariki Rc kaka yangu Makonda.❤
Mashine tata we mwamba. Unaeleweka sana!
Huyu Jamaa Ukuu wa mkoa haumtoshi,
Viatu vinambana sana apewe nchi ndo size yake..
Au wampe aongoze mikoa 10 walau..
Mabosi wake wanamuona watafanya kitu siku zijazo.
Hongera sana mama Samia kwa teuzi yako magufuli alimbania sana huyu jamaa
Kwel mkuu huyu ni Raisi
MAGUFULI NDIYE ALIYEFANYA HUYO AONEKANE KAMA HUJUI@@sleifikhajjir262
Moja ya teuzi makini ni uteuzi wa makonda
JESUS DO IT ❤
Nakukubali sana Makonda piga kazi kaka
Well-done Mhe Mkonda you are Great leader. Many foolish things happening tortouring local people. My Nigerian Tenant not paid 600 m rent contract expired in Feb but in Dar our people Helping Him na ka weka Bouncers kwenye Main entrance ku Block landlord.
Mungu akulinde mh. Makonda.
Asili ya @makonda nimtu mwenye nyota ya utetezi ila siyo mbaya kunasiku atalitumikia TAIFA ZIMA MUNGU MLINDE MAKONDA AJE AWE RAIS ATUSAIDIE TANZANIA 🇹🇿 YA SASA NA YA BADAE
Rais samia bilaubaguzi akuangalie kwakukupa nafasi nzurizaidi iliuweze kuwafikia wanaichiwotee kaka
Arusha ilioza jamaniiii
Sio arusha ni tatizo liko nchi mzima. Wakati wa uchaguzi tunachagua vibaya. Bible kitabu kutoka Sura18:17-26.
Mungu akubariki Makonda
Tumuombee sana jemedali wetu Paul makonda mungu akubariki saaana tunakuombee jemedali wetu.
Makonda unauwezo wa kipekee sana songa mbele mwamba
Mungu atende miujiza makonda awe rahisi tuna kuomba mungu tukumbuke watanza utukabizi kwa makonda
Mh-Makonda upo vzuri sana,MTU akifanya vzuri mpeni maua yake,makonda kw sasa kaja upya kazi yetu sisi nikumuombea tu.
makondà wewe mungu Akujaliee
Big up kwake long live the clan🎉
May GOD Bless you Comrade!!
Tunaimani ns Samia. Tunaimani na Makonda jeshi la mtu mmoja 🇹🇿❤🇹🇿❤🇹🇿❤.
Mungu akubambanie mpaka ushike nafasi ya urais
Mungu akuepushe na maadui wanaopinga kazi zako mkuu upo vizuri sana
Mungu akulinde
MAKONDA PIGA KAZI MUNGU AZIDI KUKUPIGANIA.👋👋👋👋
Mkuu hengera sana uko vizurii
Muheshimiws makonda upo vizuri, sisi wenzio tumetapeliwa na tanescoo mradi wasomanga kinyerezi, tangu ulipokuwa mkuu wa mkoa kipindi kile ulitupambania sana, tumedhurumiwa ndugu yetu, mungu akupe maisha marefu, mtetezi wawanyonge.
Ivi awezi kugombea uraisi uyu mwamba
😂😂 Subra kila kitu na Wakti wake. Bado kijana na anafursa ya kufika mbali sana. Hivi sasa kila mmoja amuongelea yeye kwa kazi nzuri sana. Mwamba iko siku atafika huko. Insha Allah
@@aaa64sa13😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@aaa64sa13 Miaka 42 bado kijana ??
Ata waziri mkuuu unamfaaaaaa
👍👍🙏🙏🙏💪💪💪Mungu akupe nguvu zaidi makonda
Mh.Mungu akulinde
Hongera ni ushujaa
You're the best makonda may Allah protect you ❤❤
Mungu wa mbinguni akulinde
Kazi ya Mungu itasimama
mUNGU akupe afya njema pia akulinde popote ulipo
God blesss your
CHUKUA FOMU URAISI TUNAKUPA TUU MZEE
Mungu amewashushia neema wananchi wa arusha kwa maombi ya mungu kinywa chako kimebarikiwa sana kiongozi wa watu wanyonge
Asante mkuhu
Yaaani Kaka ww ni wa pekee Kuna watu wanateseka Sanaa huku mtaani, haki hakuna Mungu azidi kukutumia ili watu Wapate haki. Sio kila Mt anaweza kuku elewa lazima wawepo wa kukubeza ila wananchi tuko nyuma yako
hallelujah! nilikua RUclips nilikua siielewi, lakini kupitia huyu mwamba nimemkubali Mungu amtunze, Kwa ajili anatenda haki
Mahakama zimejengwa zanini boss
Asante Yesu unamuinua umtakae na kumshusha umtakae
Mkuu wa mkoa unaweza sema ni mmoja wengine wakishapewa vyeo hukaa ofisini na vikombe vya chai lakini kwake Mheshimiwa Makonda ni tofauti kabisa .
Ipo siku utaliendesha taifa 🇹🇿 akuna mkamilifu dunia hii
Hadi machozi yamenitoka, makonda Mungu akurinde na wauni.
Keep it up The Great Paul Makonda
Nampongeza Sana MH Rais kwa kuona mbali ,kumchaguwa MH makonda kuwa kiongozi yupo vizuri,nashauri mama mtu mwingne atakae kusaidia mama ni Ndgu Ally Happi pia ni jembe
Arusha mtafute tuzo ya mama kuwapatia makondaa ,,vinginevyo na sisi iringa tutamuomba mama atupe makonda hata mwezi mmoja tu ,,tunaamin atafanya kaz
Hivi Iringa sahz yupo Nan!?
Kazi njema hujitangaza yenyewe. Hongera sana mkuu wa mkoa wa Arusha.
Huyu mwamba
Kazi ienndelee safi Mungu akulinde
Makonda broo natamani nikuone tu
ilaukoalusha washenzi sana kuuana ovyouko uwemakini sana waalusha sio
Njia mojawapo ya kujua kiongozi mzuri ni pale anapowafafanulia watu wake sheria badala ya kuwalaumu kwa kuvunja sheria
Mungu akuongezee baba makonda
Makonda kuja Kenya tafdhali hawa wezi watatumaliza
Nakukubali sana baba
Jamaani milad ayo mbona huku mara tunamtamani sana p makonda anamaliza bundle langu mumwambie basi hisia zetu kwake
Mama Samia japo sikukubali Ila nakuomba umpe sabaya mkoa afanya Kazi make majizi bado Ni mengi mno
Hata ali happy pia ame mkoa
Sabaya ni shetani
Sabaya alimteka baba yangu anataka kumuuwa watu wanataka kuandamana
Njoon na huku unguja kuna mzee anaitwa ali mchawi anadhulumu maeneo ya watu anadunda mtaani😢
Huyu abadilishiwe cheo, aitwe Bwana Shauri, tulikuwa nao zamani.
😂😂😂😂😂....Peteeeeeeeeeer we kweli mwehu,umenichekesha kweli ati bwana shauri umelikumbukaje hilo jina???😂😂😂😂😂
Vizuri sana mkuu, kazi njema sana