MADALALI WAFANYA MAKONDA AVUE KOTI, AWASHUKIA KISAWASAWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 283

  • @miriamamiri641
    @miriamamiri641 4 месяца назад +49

    Makonda mungu akulinde mweshimiwa wew ni magufuli wa pili

  • @IbrahimShan-qu3um
    @IbrahimShan-qu3um 4 месяца назад +32

    Kwan hii nchi MKUU WA MKOA ni m1 tu ...km makonda anaweza hao wengine wanashindwa Nin kusikiliza kero za wananchi wao daah!! God bless you Mh.makonda🙏

  • @franciscojohn5751
    @franciscojohn5751 4 месяца назад +110

    Tumbo lililo mzaa magufuri na makondo yabalikiwe

  • @hamzaabdallah8637
    @hamzaabdallah8637 4 месяца назад +37

    Wasiopenda haki hawapendi unayoongelea, piga kazi Mungu akulipe kheri

  • @BenardZephaniah
    @BenardZephaniah 4 месяца назад +40

    Wale wanaomsema vibaya mh, wamenyamanzishwa na MUNGU 😊😊😊😊YESU ahsante

  • @sirkomba
    @sirkomba 4 месяца назад +11

    Utazani inch nzima mkuu wa mkoa ni mmoja voice of people keep it up

  • @kristofuraha3369
    @kristofuraha3369 4 месяца назад +21

    MH MAKONDA Wewe ni baraka sana sana sana!❤❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏👊👊👊👊💪💪💪💪💪

  • @HashimuHashboy-bo2wl
    @HashimuHashboy-bo2wl 4 месяца назад +33

    Mama samia hakukosea kukuchagua ww uende ukawe msimamizi wa haki za wanyonge mama samia anamaono na imani juu yako mheshimiwa makonda

  • @iemsunnah5517
    @iemsunnah5517 4 месяца назад +41

    Makondaa namuona mbali saana..!
    GOD BLESS BROO 🙌

  • @mswakisaid2320
    @mswakisaid2320 4 месяца назад +3

    Mafisadi lazima wakupige vita tu.
    Usijali mh Pm'
    Mungu atakulinda na utaishinda vita hiyo👏

    • @shabanmramba4840
      @shabanmramba4840 4 месяца назад

      Makonda ni kiongozi ambaye anatetea haki

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur 4 месяца назад +34

    Paul CHRISTIAN makonda on top headlines

  • @ElishiliaLoth
    @ElishiliaLoth 4 месяца назад +25

    Mungu akulinde mkuu

  • @OscarAsukenie
    @OscarAsukenie 4 месяца назад +21

    Kuna haja ya kuwa na makonda kama 50 hivi ili wawekwe kila mkoa. Hii nchi kuna baadhi ya watu wanaipiga sana.

  • @wadauwasizoni
    @wadauwasizoni 4 месяца назад +13

    Millard ayo naomba niunganishe na mama nimpe hongera zake anajua.

  • @bibianakiwali1969
    @bibianakiwali1969 4 месяца назад +1

    MAMA SAMIA MUNGU AKUBARIKI SANA SANA KWA KUMTEUA MAKONDA KWENDA MKOA WA ARUSHA.
    TUNAOMBA WA DAR ES SALAAM AWE KAMA MAKONDA.

  • @joshuamaginga1499
    @joshuamaginga1499 4 месяца назад +21

    Hongera mweshimiwa makonda kwa kazi jema unayoifanya kaka yangu

  • @elgardgration6504
    @elgardgration6504 4 месяца назад +9

    Anafnya kazi nzuri sana huyu Poul

  • @ekisuka1
    @ekisuka1 4 месяца назад +2

    Makonda sijawai acha kukufuatilia na kufurahidhwa na utendaji wako na kukuombea, Mungu akulinde.

  • @NeemaMahega-z3g
    @NeemaMahega-z3g 4 месяца назад +1

    Mkuu wet makonda mungu akupe maisha malefu ya kuish. Ili utuokowe sisi watuwako njoo na mwanz tunakuhitaji baba

  • @MRPRESIDENT-w4l
    @MRPRESIDENT-w4l 4 месяца назад +7

    MAKONDA PEKEE YAKE ANA POWER KULIKO MAWAZIRI WAKIWA WOTE, WABUNGE Wakiwa WOTE kuliko HADI RAISI 😂😂

  • @juchaonline4084
    @juchaonline4084 4 месяца назад +8

    Mweshimiwa fungua App

  • @bibianakiwali1969
    @bibianakiwali1969 4 месяца назад +1

    MUNGUakuwekee Mkono WAKE WASIKUWEZE NA WANAOJARIBU WAPIGWE KWA MKONO WA YESU KRISTO BWANA MUNGU WA MAJESHI. WAFE WASIISHI. Amen.

  • @mthiaspaul
    @mthiaspaul 4 месяца назад +5

    Makonda anafanya kazi ya Mungu,kutoa haki na Mama atabarikiwa kumpa nafasi afanye hiyo kazi.

  • @AlbertThadeo
    @AlbertThadeo 4 месяца назад +6

    Makonda ana moyo wa mungu viongozi wengine hawana huruma na binadam wanzao

  • @dorcasdavid2247
    @dorcasdavid2247 4 месяца назад +10

    Damu ya Yesu Kristo Ikulinde Paul Makonda,kwa kazi Unazofanya.

  • @MDUYARAMAMduyarama
    @MDUYARAMAMduyarama 4 месяца назад +2

    Makonda ni kiongozi mfatiliaji sana Tena mtenda haki atapaweza Arusha mungu ampe maisha marefu

  • @FrolahRimo-cm3tu
    @FrolahRimo-cm3tu 4 месяца назад +13

    Tunakuhtaj utuongoze kama raisi tunakupenda

  • @nurumohamed7225
    @nurumohamed7225 4 месяца назад +12

    Nakukubali sanaaa

  • @NeemaMwangobola
    @NeemaMwangobola 21 день назад

    Makonda wangu baba...soma hii coment...kuna watu wamekufa awajui nani anapendwa na nani...wala ajui mmbaya wake nani...mungu wako makonda baba ni waajabu sana chini ya mama yetu samia..mungu anakuonyesha mengi makuu unayaona uko hai..wewe nani baba mshukuru mungu sana na sara za watanzania na mama yetu samia kuto wasikiliza wanafk wanao kunafk lakini mungu wa mama samia unaishi na watu wanakuombea na tunalia sana kwa kukupenda juu ya wanafki wanao kutafuta kiuwadui watapambana na simba wakabira la yuda Usiogope...jeshi lisilo onekana lipo na wewe...nakupenda sana sana mtumishi wa mungu.

    • @NeemaMwangobola
      @NeemaMwangobola 21 день назад

      Siku mungu akipenda naomba nikushike TU mkono na mke wako...nazidi kumwomba mungu atukutanishe nakupenda sana makonda mpaka mama yangu...tunaishi mbeya mjini..karibu mtumishi wa mungu.

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 4 месяца назад +3

    Mama Samia amejua sana, khs Makonda na Slaa, raia wamejaa machozi machoni na simanzi mioyoni.
    Mungu amjalie umri mrefu na afya njema.

  • @MansuliSelemani
    @MansuliSelemani 4 месяца назад +20

    Nakubali piga Kaz mwenetyu

  • @StewartTemu-fu4ej
    @StewartTemu-fu4ej 4 месяца назад +1

    Safi sana nimeipenda

  • @PillyItuka
    @PillyItuka 4 месяца назад +9

    Hivi nyie wakuu wa mikoa mingine hamjifunzi kitu kwa Makonda au hamuna kelo mikoani kwenu

  • @elijahnkoidela4262
    @elijahnkoidela4262 4 месяца назад +1

    God bless you sir. My all respect to you.
    Next time plz visit Ngorongoro, thank you so much.

  • @kaltumsharif9547
    @kaltumsharif9547 4 месяца назад +10

    ARUSHA PIA UENDESHAJE WAGARI NI MBAYA SANA😊

  • @jamessumuni1364
    @jamessumuni1364 4 месяца назад +5

    Hawa viongozi Mungu awalinde na kuwafunua zaidi na zaidi

  • @colkiwale4973
    @colkiwale4973 4 месяца назад +4

    AMEN. I HAVE NOTICED YOUR T-SHIRT AND CAP. CONGRATS FOR NOT BEING ASHAMED OF THE GOSPEL OF JESUS CHRIST.

  • @ezramartin3948
    @ezramartin3948 4 месяца назад +18

    Uko vizuri Sana broo

  • @humphreybilly7437
    @humphreybilly7437 4 месяца назад +3

    Nimesikia kulia
    Mungu Akumbariki Rc kaka yangu Makonda.❤

  • @BenethRwekaza-yv1gl
    @BenethRwekaza-yv1gl 4 месяца назад +1

    Mashine tata we mwamba. Unaeleweka sana!

  • @jameswissa9981
    @jameswissa9981 4 месяца назад +15

    Huyu Jamaa Ukuu wa mkoa haumtoshi,
    Viatu vinambana sana apewe nchi ndo size yake..
    Au wampe aongoze mikoa 10 walau..

    • @joachimgolola62
      @joachimgolola62 4 месяца назад

      Mabosi wake wanamuona watafanya kitu siku zijazo.

    • @sleifikhajjir262
      @sleifikhajjir262 4 месяца назад

      Hongera sana mama Samia kwa teuzi yako magufuli alimbania sana huyu jamaa

    • @Samwelmagita-jb1so
      @Samwelmagita-jb1so 4 месяца назад

      Kwel mkuu huyu ni Raisi

    • @Rolemodel_wa_taifa
      @Rolemodel_wa_taifa 3 месяца назад

      MAGUFULI NDIYE ALIYEFANYA HUYO AONEKANE KAMA HUJUI​@@sleifikhajjir262

  • @emmanuelqaday6949
    @emmanuelqaday6949 4 месяца назад +5

    Moja ya teuzi makini ni uteuzi wa makonda

  • @bennytech8483
    @bennytech8483 4 месяца назад +3

    JESUS DO IT ❤

  • @ephraimmakaranga1795
    @ephraimmakaranga1795 4 месяца назад +15

    Nakukubali sana Makonda piga kazi kaka

  • @bharyasarbjit1187
    @bharyasarbjit1187 4 месяца назад

    Well-done Mhe Mkonda you are Great leader. Many foolish things happening tortouring local people. My Nigerian Tenant not paid 600 m rent contract expired in Feb but in Dar our people Helping Him na ka weka Bouncers kwenye Main entrance ku Block landlord.

  • @paulm.kaponda2300
    @paulm.kaponda2300 4 месяца назад +1

    Mungu akulinde mh. Makonda.

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 4 месяца назад +3

    Asili ya @makonda nimtu mwenye nyota ya utetezi ila siyo mbaya kunasiku atalitumikia TAIFA ZIMA MUNGU MLINDE MAKONDA AJE AWE RAIS ATUSAIDIE TANZANIA 🇹🇿 YA SASA NA YA BADAE

  • @Jean-marieNiyonzima-f3e
    @Jean-marieNiyonzima-f3e 4 месяца назад +8

    Rais samia bilaubaguzi akuangalie kwakukupa nafasi nzurizaidi iliuweze kuwafikia wanaichiwotee kaka

  • @methodoscar2982
    @methodoscar2982 4 месяца назад +11

    Arusha ilioza jamaniiii

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward 4 месяца назад

      Sio arusha ni tatizo liko nchi mzima. Wakati wa uchaguzi tunachagua vibaya. Bible kitabu kutoka Sura18:17-26.

  • @shabanmramba4840
    @shabanmramba4840 4 месяца назад +1

    Mungu akubariki Makonda

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 4 месяца назад +6

    Tumuombee sana jemedali wetu Paul makonda mungu akubariki saaana tunakuombee jemedali wetu.

  • @martinegeorge4696
    @martinegeorge4696 3 месяца назад

    Makonda unauwezo wa kipekee sana songa mbele mwamba

  • @MudhiriMbogoli
    @MudhiriMbogoli 4 месяца назад

    Mungu atende miujiza makonda awe rahisi tuna kuomba mungu tukumbuke watanza utukabizi kwa makonda

  • @bahatimwawende5187
    @bahatimwawende5187 4 месяца назад +6

    Mh-Makonda upo vzuri sana,MTU akifanya vzuri mpeni maua yake,makonda kw sasa kaja upya kazi yetu sisi nikumuombea tu.

  • @OmaryKarata
    @OmaryKarata 4 месяца назад +2

    makondà wewe mungu Akujaliee

  • @adammsenga2793
    @adammsenga2793 4 месяца назад +7

    Big up kwake long live the clan🎉

  • @godsonmolla1594
    @godsonmolla1594 4 месяца назад +3

    May GOD Bless you Comrade!!

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 4 месяца назад +1

    Tunaimani ns Samia. Tunaimani na Makonda jeshi la mtu mmoja 🇹🇿❤🇹🇿❤🇹🇿❤.

  • @BONIFASISICHONDE
    @BONIFASISICHONDE 4 месяца назад

    Mungu akubambanie mpaka ushike nafasi ya urais

  • @mtambogh6843
    @mtambogh6843 4 месяца назад +1

    Mungu akuepushe na maadui wanaopinga kazi zako mkuu upo vizuri sana

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 4 месяца назад +4

    Mungu akulinde

  • @jeremiamwakilimaji8284
    @jeremiamwakilimaji8284 4 месяца назад +3

    MAKONDA PIGA KAZI MUNGU AZIDI KUKUPIGANIA.👋👋👋👋

  • @eliamanimfinanga3957
    @eliamanimfinanga3957 4 месяца назад

    Mkuu hengera sana uko vizurii

  • @OscarFabian-uu3rs
    @OscarFabian-uu3rs 4 месяца назад

    Muheshimiws makonda upo vizuri, sisi wenzio tumetapeliwa na tanescoo mradi wasomanga kinyerezi, tangu ulipokuwa mkuu wa mkoa kipindi kile ulitupambania sana, tumedhurumiwa ndugu yetu, mungu akupe maisha marefu, mtetezi wawanyonge.

  • @mo7funny
    @mo7funny 4 месяца назад +9

    Ivi awezi kugombea uraisi uyu mwamba

    • @aaa64sa13
      @aaa64sa13 4 месяца назад +2

      😂😂 Subra kila kitu na Wakti wake. Bado kijana na anafursa ya kufika mbali sana. Hivi sasa kila mmoja amuongelea yeye kwa kazi nzuri sana. Mwamba iko siku atafika huko. Insha Allah

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 4 месяца назад

      ​@@aaa64sa13😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @Soon815
      @Soon815 4 месяца назад

      @@aaa64sa13 Miaka 42 bado kijana ??

    • @imranijuma6955
      @imranijuma6955 4 месяца назад

      Ata waziri mkuuu unamfaaaaaa

  • @mariasafari1004
    @mariasafari1004 4 месяца назад +1

    👍👍🙏🙏🙏💪💪💪Mungu akupe nguvu zaidi makonda

  • @YamunguMuha
    @YamunguMuha 4 месяца назад +2

    Mh.Mungu akulinde

  • @joachimgolola62
    @joachimgolola62 4 месяца назад +2

    Hongera ni ushujaa

  • @user-to6up4hg2w
    @user-to6up4hg2w 4 месяца назад +1

    You're the best makonda may Allah protect you ❤❤

  • @hezronsanga5197
    @hezronsanga5197 4 месяца назад +2

    Mungu wa mbinguni akulinde

  • @martinsimtenda5990
    @martinsimtenda5990 4 месяца назад +3

    Kazi ya Mungu itasimama

  • @Lanihsarumu
    @Lanihsarumu 4 месяца назад +10

    mUNGU akupe afya njema pia akulinde popote ulipo

  • @rehemakabogo1992
    @rehemakabogo1992 4 месяца назад

    God blesss your

  • @julianmsele3880
    @julianmsele3880 4 месяца назад +4

    CHUKUA FOMU URAISI TUNAKUPA TUU MZEE

  • @sophiamsangi9763
    @sophiamsangi9763 4 месяца назад

    Mungu amewashushia neema wananchi wa arusha kwa maombi ya mungu kinywa chako kimebarikiwa sana kiongozi wa watu wanyonge

  • @BoniphaseJoseph-mb4qu
    @BoniphaseJoseph-mb4qu 3 месяца назад

    Asante mkuhu

  • @asajileraphael1951
    @asajileraphael1951 4 месяца назад +2

    Yaaani Kaka ww ni wa pekee Kuna watu wanateseka Sanaa huku mtaani, haki hakuna Mungu azidi kukutumia ili watu Wapate haki. Sio kila Mt anaweza kuku elewa lazima wawepo wa kukubeza ila wananchi tuko nyuma yako

  • @mrhekimasuleiman3884
    @mrhekimasuleiman3884 4 месяца назад +2

    hallelujah! nilikua RUclips nilikua siielewi, lakini kupitia huyu mwamba nimemkubali Mungu amtunze, Kwa ajili anatenda haki

  • @RashidJosephat
    @RashidJosephat 2 месяца назад

    Mahakama zimejengwa zanini boss

  • @dadamuebrania1539
    @dadamuebrania1539 4 месяца назад +1

    Asante Yesu unamuinua umtakae na kumshusha umtakae

  • @RomwardWM
    @RomwardWM 4 месяца назад

    Mkuu wa mkoa unaweza sema ni mmoja wengine wakishapewa vyeo hukaa ofisini na vikombe vya chai lakini kwake Mheshimiwa Makonda ni tofauti kabisa .

  • @johnmgalla7377
    @johnmgalla7377 4 месяца назад +2

    Ipo siku utaliendesha taifa 🇹🇿 akuna mkamilifu dunia hii

  • @paulstephen8317
    @paulstephen8317 4 месяца назад +6

    Hadi machozi yamenitoka, makonda Mungu akurinde na wauni.

  • @petergembe5528
    @petergembe5528 4 месяца назад

    Keep it up The Great Paul Makonda

  • @mtambogh6843
    @mtambogh6843 4 месяца назад

    Nampongeza Sana MH Rais kwa kuona mbali ,kumchaguwa MH makonda kuwa kiongozi yupo vizuri,nashauri mama mtu mwingne atakae kusaidia mama ni Ndgu Ally Happi pia ni jembe

  • @TishaniUlanga-bj3nx
    @TishaniUlanga-bj3nx 4 месяца назад +3

    Arusha mtafute tuzo ya mama kuwapatia makondaa ,,vinginevyo na sisi iringa tutamuomba mama atupe makonda hata mwezi mmoja tu ,,tunaamin atafanya kaz

    • @MwaniPh
      @MwaniPh 4 месяца назад

      Hivi Iringa sahz yupo Nan!?

  • @mashakambugi6730
    @mashakambugi6730 4 месяца назад

    Kazi njema hujitangaza yenyewe. Hongera sana mkuu wa mkoa wa Arusha.

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 4 месяца назад +4

    Huyu mwamba

  • @beatricemunisi7891
    @beatricemunisi7891 4 месяца назад

    Kazi ienndelee safi Mungu akulinde

  • @AaziziMkambi-qf5mj
    @AaziziMkambi-qf5mj 4 месяца назад

    Makonda broo natamani nikuone tu

  • @AbdalahMtambuka-rh1dp
    @AbdalahMtambuka-rh1dp 4 месяца назад

    ilaukoalusha washenzi sana kuuana ovyouko uwemakini sana waalusha sio

  • @alluminiumexperttz.12mview13
    @alluminiumexperttz.12mview13 Месяц назад

    Njia mojawapo ya kujua kiongozi mzuri ni pale anapowafafanulia watu wake sheria badala ya kuwalaumu kwa kuvunja sheria

  • @MonicaBenitomwalongo
    @MonicaBenitomwalongo 4 месяца назад

    Mungu akuongezee baba makonda

  • @wamaiwachira4829
    @wamaiwachira4829 4 месяца назад

    Makonda kuja Kenya tafdhali hawa wezi watatumaliza

  • @vickykwembe5842
    @vickykwembe5842 4 месяца назад +1

    Nakukubali sana baba

  • @VeronicaShadrack
    @VeronicaShadrack 4 месяца назад

    Jamaani milad ayo mbona huku mara tunamtamani sana p makonda anamaliza bundle langu mumwambie basi hisia zetu kwake

  • @jalaryababilasi1562
    @jalaryababilasi1562 4 месяца назад +2

    Mama Samia japo sikukubali Ila nakuomba umpe sabaya mkoa afanya Kazi make majizi bado Ni mengi mno

  • @salehjuma5242
    @salehjuma5242 4 месяца назад +2

    Njoon na huku unguja kuna mzee anaitwa ali mchawi anadhulumu maeneo ya watu anadunda mtaani😢

  • @petersilas4234
    @petersilas4234 4 месяца назад +3

    Huyu abadilishiwe cheo, aitwe Bwana Shauri, tulikuwa nao zamani.

    • @rockygappi1018
      @rockygappi1018 4 месяца назад

      😂😂😂😂😂....Peteeeeeeeeeer we kweli mwehu,umenichekesha kweli ati bwana shauri umelikumbukaje hilo jina???😂😂😂😂😂

  • @patricksebastian3593
    @patricksebastian3593 4 месяца назад

    Vizuri sana mkuu, kazi njema sana