MADALALI WAFANYA MAKONDA AVUE KOTI, AWASHUKIA KISAWASAWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 9 май 2024

Комментарии • 276

  • @miriamamiri641
    @miriamamiri641 29 дней назад +49

    Makonda mungu akulinde mweshimiwa wew ni magufuli wa pili

  • @franciscojohn5751
    @franciscojohn5751 Месяц назад +109

    Tumbo lililo mzaa magufuri na makondo yabalikiwe

  • @IbrahimShan-qu3um
    @IbrahimShan-qu3um 29 дней назад +32

    Kwan hii nchi MKUU WA MKOA ni m1 tu ...km makonda anaweza hao wengine wanashindwa Nin kusikiliza kero za wananchi wao daah!! God bless you Mh.makonda🙏

  • @BenardZephaniah
    @BenardZephaniah Месяц назад +40

    Wale wanaomsema vibaya mh, wamenyamanzishwa na MUNGU 😊😊😊😊YESU ahsante

  • @hamzaabdallah8637
    @hamzaabdallah8637 Месяц назад +37

    Wasiopenda haki hawapendi unayoongelea, piga kazi Mungu akulipe kheri

  • @rudekhan893
    @rudekhan893 29 дней назад +11

    Utazani inch nzima mkuu wa mkoa ni mmoja voice of people keep it up

  • @kristofuraha3369
    @kristofuraha3369 29 дней назад +21

    MH MAKONDA Wewe ni baraka sana sana sana!❤❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏👊👊👊👊💪💪💪💪💪

  • @HashimuHashboy-bo2wl
    @HashimuHashboy-bo2wl Месяц назад +33

    Mama samia hakukosea kukuchagua ww uende ukawe msimamizi wa haki za wanyonge mama samia anamaono na imani juu yako mheshimiwa makonda

  • @iemsunnah5517
    @iemsunnah5517 Месяц назад +41

    Makondaa namuona mbali saana..!
    GOD BLESS BROO 🙌

  • @SmilingBulldogPuppy-nb9ur
    @SmilingBulldogPuppy-nb9ur Месяц назад +34

    Paul CHRISTIAN makonda on top headlines

  • @OscarAsukenie
    @OscarAsukenie Месяц назад +21

    Kuna haja ya kuwa na makonda kama 50 hivi ili wawekwe kila mkoa. Hii nchi kuna baadhi ya watu wanaipiga sana.

  • @wadauwasizoni
    @wadauwasizoni 29 дней назад +13

    Millard ayo naomba niunganishe na mama nimpe hongera zake anajua.

  • @ElishiliaLoth
    @ElishiliaLoth Месяц назад +25

    Mungu akulinde mkuu

  • @ezramartin3948
    @ezramartin3948 Месяц назад +18

    Uko vizuri Sana broo

  • @bibianakiwali1969
    @bibianakiwali1969 23 дня назад +1

    MAMA SAMIA MUNGU AKUBARIKI SANA SANA KWA KUMTEUA MAKONDA KWENDA MKOA WA ARUSHA.
    TUNAOMBA WA DAR ES SALAAM AWE KAMA MAKONDA.

  • @mswakisaid2320
    @mswakisaid2320 25 дней назад +3

    Mafisadi lazima wakupige vita tu.
    Usijali mh Pm'
    Mungu atakulinda na utaishinda vita hiyo👏

  • @elijahnkoidela4262
    @elijahnkoidela4262 10 дней назад +1

    God bless you sir. My all respect to you.
    Next time plz visit Ngorongoro, thank you so much.

  • @jameswissa9981
    @jameswissa9981 29 дней назад +15

    Huyu Jamaa Ukuu wa mkoa haumtoshi,
    Viatu vinambana sana apewe nchi ndo size yake..
    Au wampe aongoze mikoa 10 walau..

    • @joachimgolola62
      @joachimgolola62 29 дней назад

      Mabosi wake wanamuona watafanya kitu siku zijazo.

    • @sleifikhajjir262
      @sleifikhajjir262 28 дней назад

      Hongera sana mama Samia kwa teuzi yako magufuli alimbania sana huyu jamaa

    • @Samwelmagita-jb1so
      @Samwelmagita-jb1so 27 дней назад

      Kwel mkuu huyu ni Raisi

    • @ogenylaurent7961
      @ogenylaurent7961 7 дней назад

      MAGUFULI NDIYE ALIYEFANYA HUYO AONEKANE KAMA HUJUI​@@sleifikhajjir262

  • @MDUYARAMAMduyarama
    @MDUYARAMAMduyarama 25 дней назад +2

    Makonda ni kiongozi mfatiliaji sana Tena mtenda haki atapaweza Arusha mungu ampe maisha marefu

  • @ekisuka1
    @ekisuka1 24 дня назад +2

    Makonda sijawai acha kukufuatilia na kufurahidhwa na utendaji wako na kukuombea, Mungu akulinde.

  • @user-kn6bd2ep8m
    @user-kn6bd2ep8m 20 дней назад +1

    Mkuu wet makonda mungu akupe maisha malefu ya kuish. Ili utuokowe sisi watuwako njoo na mwanz tunakuhitaji baba

  • @joshuamaginga1499
    @joshuamaginga1499 Месяц назад +21

    Hongera mweshimiwa makonda kwa kazi jema unayoifanya kaka yangu

  • @user-tm3dx2ey7j
    @user-tm3dx2ey7j 29 дней назад +6

    Makonda ana moyo wa mungu viongozi wengine hawana huruma na binadam wanzao

  • @bibianakiwali1969
    @bibianakiwali1969 23 дня назад +1

    MUNGUakuwekee Mkono WAKE WASIKUWEZE NA WANAOJARIBU WAPIGWE KWA MKONO WA YESU KRISTO BWANA MUNGU WA MAJESHI. WAFE WASIISHI. Amen.

  • @elgardgration6504
    @elgardgration6504 29 дней назад +9

    Anafnya kazi nzuri sana huyu Poul

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 28 дней назад +3

    Mama Samia amejua sana, khs Makonda na Slaa, raia wamejaa machozi machoni na simanzi mioyoni.
    Mungu amjalie umri mrefu na afya njema.

  • @juchaonline4084
    @juchaonline4084 29 дней назад +8

    Mweshimiwa fungua App

  • @user-vt4wj1fr2c
    @user-vt4wj1fr2c 29 дней назад +5

    Makonda anafanya kazi ya Mungu,kutoa haki na Mama atabarikiwa kumpa nafasi afanye hiyo kazi.

  • @dorcasdavid2247
    @dorcasdavid2247 Месяц назад +10

    Damu ya Yesu Kristo Ikulinde Paul Makonda,kwa kazi Unazofanya.

  • @nurumohamed7225
    @nurumohamed7225 Месяц назад +12

    Nakukubali sanaaa

  • @humphreybilly7437
    @humphreybilly7437 28 дней назад +3

    Nimesikia kulia
    Mungu Akumbariki Rc kaka yangu Makonda.❤

  • @kaltumsharif9547
    @kaltumsharif9547 Месяц назад +10

    ARUSHA PIA UENDESHAJE WAGARI NI MBAYA SANA😊

  • @FrolahRimo-cm3tu
    @FrolahRimo-cm3tu Месяц назад +13

    Tunakuhtaj utuongoze kama raisi tunakupenda

  • @bennytech8483
    @bennytech8483 27 дней назад +3

    JESUS DO IT ❤

  • @jamessumuni1364
    @jamessumuni1364 29 дней назад +5

    Hawa viongozi Mungu awalinde na kuwafunua zaidi na zaidi

  • @PillyItuka
    @PillyItuka 29 дней назад +9

    Hivi nyie wakuu wa mikoa mingine hamjifunzi kitu kwa Makonda au hamuna kelo mikoani kwenu

  • @MansuliSelemani
    @MansuliSelemani Месяц назад +20

    Nakubali piga Kaz mwenetyu

  • @emmanuelqaday6949
    @emmanuelqaday6949 29 дней назад +5

    Moja ya teuzi makini ni uteuzi wa makonda

  • @yessesamsom961
    @yessesamsom961 29 дней назад +2

    Safi sana makonda mungu akubariki na akulinde kila unapokuwa akuongezee malaika wakukuongoza na wakukulinda daima

  • @colkiwale4973
    @colkiwale4973 29 дней назад +4

    AMEN. I HAVE NOTICED YOUR T-SHIRT AND CAP. CONGRATS FOR NOT BEING ASHAMED OF THE GOSPEL OF JESUS CHRIST.

  • @BenethRwekaza-yv1gl
    @BenethRwekaza-yv1gl 22 дня назад +1

    Mashine tata we mwamba. Unaeleweka sana!

  • @StewartTemu-fu4ej
    @StewartTemu-fu4ej 19 дней назад +1

    Safi sana nimeipenda

  • @paulstephen8317
    @paulstephen8317 29 дней назад +6

    Hadi machozi yamenitoka, makonda Mungu akurinde na wauni.

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u 29 дней назад +7

    MAKONDA PEKEE YAKE ANA POWER KULIKO MAWAZIRI WAKIWA WOTE, WABUNGE Wakiwa WOTE kuliko HADI RAISI 😂😂

  • @bharyasarbjit1187
    @bharyasarbjit1187 28 дней назад

    Well-done Mhe Mkonda you are Great leader. Many foolish things happening tortouring local people. My Nigerian Tenant not paid 600 m rent contract expired in Feb but in Dar our people Helping Him na ka weka Bouncers kwenye Main entrance ku Block landlord.

  • @paulm.kaponda2300
    @paulm.kaponda2300 24 дня назад +1

    Mungu akulinde mh. Makonda.

  • @ephraimmakaranga1795
    @ephraimmakaranga1795 Месяц назад +15

    Nakukubali sana Makonda piga kazi kaka

  • @shabanmramba4840
    @shabanmramba4840 24 дня назад +1

    Mungu akubariki Makonda

  • @methodoscar2982
    @methodoscar2982 Месяц назад +11

    Arusha ilioza jamaniiii

    • @GodfreyOsward
      @GodfreyOsward Месяц назад

      Sio arusha ni tatizo liko nchi mzima. Wakati wa uchaguzi tunachagua vibaya. Bible kitabu kutoka Sura18:17-26.

  • @user-ui1cj5re9k
    @user-ui1cj5re9k Месяц назад +8

    Rais samia bilaubaguzi akuangalie kwakukupa nafasi nzurizaidi iliuweze kuwafikia wanaichiwotee kaka

  • @shammhagama2527
    @shammhagama2527 29 дней назад +5

    Yes JESUS DID IT

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 29 дней назад +6

    Tumuombee sana jemedali wetu Paul makonda mungu akubariki saaana tunakuombee jemedali wetu.

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 29 дней назад +1

    Tunaimani ns Samia. Tunaimani na Makonda jeshi la mtu mmoja 🇹🇿❤🇹🇿❤🇹🇿❤.

  • @user-gm5dk2tj6i
    @user-gm5dk2tj6i 26 дней назад +2

    makondà wewe mungu Akujaliee

  • @godsonmolla1594
    @godsonmolla1594 29 дней назад +3

    May GOD Bless you Comrade!!

  • @mtambogh6843
    @mtambogh6843 29 дней назад +1

    Mungu akuepushe na maadui wanaopinga kazi zako mkuu upo vizuri sana

  • @adammsenga2793
    @adammsenga2793 Месяц назад +7

    Big up kwake long live the clan🎉

  • @MudhiriMbogoli
    @MudhiriMbogoli 17 дней назад

    Mungu atende miujiza makonda awe rahisi tuna kuomba mungu tukumbuke watanza utukabizi kwa makonda

  • @jeremiamwakilimaji8284
    @jeremiamwakilimaji8284 29 дней назад +3

    MAKONDA PIGA KAZI MUNGU AZIDI KUKUPIGANIA.👋👋👋👋

  • @OscarFabian-uu3rs
    @OscarFabian-uu3rs 24 дня назад

    Muheshimiws makonda upo vizuri, sisi wenzio tumetapeliwa na tanescoo mradi wasomanga kinyerezi, tangu ulipokuwa mkuu wa mkoa kipindi kile ulitupambania sana, tumedhurumiwa ndugu yetu, mungu akupe maisha marefu, mtetezi wawanyonge.

  • @bahatimwawende5187
    @bahatimwawende5187 Месяц назад +6

    Mh-Makonda upo vzuri sana,MTU akifanya vzuri mpeni maua yake,makonda kw sasa kaja upya kazi yetu sisi nikumuombea tu.

  • @mariasafari1004
    @mariasafari1004 27 дней назад +1

    👍👍🙏🙏🙏💪💪💪Mungu akupe nguvu zaidi makonda

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Месяц назад +4

    Mungu akulinde

  • @eliamanimfinanga3957
    @eliamanimfinanga3957 19 дней назад

    Mkuu hengera sana uko vizurii

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 29 дней назад +3

    Asili ya @makonda nimtu mwenye nyota ya utetezi ila siyo mbaya kunasiku atalitumikia TAIFA ZIMA MUNGU MLINDE MAKONDA AJE AWE RAIS ATUSAIDIE TANZANIA 🇹🇿 YA SASA NA YA BADAE

  • @joachimgolola62
    @joachimgolola62 29 дней назад +2

    Hongera ni ushujaa

  • @user-dn7gn6ib4k
    @user-dn7gn6ib4k 29 дней назад +1

    You're the best makonda may Allah protect you ❤❤

  • @BONIFASISICHONDE
    @BONIFASISICHONDE 23 дня назад

    Mungu akubambanie mpaka ushike nafasi ya urais

  • @YamunguMuha
    @YamunguMuha 29 дней назад +2

    Mh.Mungu akulinde

  • @hezronsanga5197
    @hezronsanga5197 29 дней назад +2

    Mungu wa mbinguni akulinde

  • @martinsimtenda5990
    @martinsimtenda5990 Месяц назад +3

    Kazi ya Mungu itasimama

  • @Lanihsarumu
    @Lanihsarumu Месяц назад +10

    mUNGU akupe afya njema pia akulinde popote ulipo

  • @rehemakabogo1992
    @rehemakabogo1992 19 дней назад

    God blesss your

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 29 дней назад +4

    Huyu mwamba

  • @ryangratius623
    @ryangratius623 24 дня назад

    Mungu amlinde

  • @mashakambugi6730
    @mashakambugi6730 25 дней назад

    Kazi njema hujitangaza yenyewe. Hongera sana mkuu wa mkoa wa Arusha.

  • @sophiamsangi9763
    @sophiamsangi9763 25 дней назад

    Mungu amewashushia neema wananchi wa arusha kwa maombi ya mungu kinywa chako kimebarikiwa sana kiongozi wa watu wanyonge

  • @petergembe5528
    @petergembe5528 24 дня назад

    Keep it up The Great Paul Makonda

  • @johnmgalla7377
    @johnmgalla7377 29 дней назад +2

    Ipo siku utaliendesha taifa 🇹🇿 akuna mkamilifu dunia hii

  • @dadamuebrania1539
    @dadamuebrania1539 29 дней назад +1

    Asante Yesu unamuinua umtakae na kumshusha umtakae

  • @vickykwembe5842
    @vickykwembe5842 29 дней назад +1

    Nakukubali sana baba

  • @julianmsele3880
    @julianmsele3880 29 дней назад +4

    CHUKUA FOMU URAISI TUNAKUPA TUU MZEE

  • @asajileraphael1951
    @asajileraphael1951 29 дней назад +2

    Yaaani Kaka ww ni wa pekee Kuna watu wanateseka Sanaa huku mtaani, haki hakuna Mungu azidi kukutumia ili watu Wapate haki. Sio kila Mt anaweza kuku elewa lazima wawepo wa kukubeza ila wananchi tuko nyuma yako

  • @mtambogh6843
    @mtambogh6843 29 дней назад

    Nampongeza Sana MH Rais kwa kuona mbali ,kumchaguwa MH makonda kuwa kiongozi yupo vizuri,nashauri mama mtu mwingne atakae kusaidia mama ni Ndgu Ally Happi pia ni jembe

  • @mo7funny
    @mo7funny Месяц назад +9

    Ivi awezi kugombea uraisi uyu mwamba

    • @aaa64sa13
      @aaa64sa13 Месяц назад +2

      😂😂 Subra kila kitu na Wakti wake. Bado kijana na anafursa ya kufika mbali sana. Hivi sasa kila mmoja amuongelea yeye kwa kazi nzuri sana. Mwamba iko siku atafika huko. Insha Allah

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah Месяц назад

      ​@@aaa64sa13😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @Soon815
      @Soon815 29 дней назад

      @@aaa64sa13 Miaka 42 bado kijana ??

    • @imranijuma6955
      @imranijuma6955 28 дней назад

      Ata waziri mkuuu unamfaaaaaa

  • @patricksebastian3593
    @patricksebastian3593 26 дней назад

    Vizuri sana mkuu, kazi njema sana

  • @beatricemunisi7891
    @beatricemunisi7891 29 дней назад

    Kazi ienndelee safi Mungu akulinde

  • @salehjuma5242
    @salehjuma5242 Месяц назад +2

    Njoon na huku unguja kuna mzee anaitwa ali mchawi anadhulumu maeneo ya watu anadunda mtaani😢

  • @mrhekimasuleiman3884
    @mrhekimasuleiman3884 29 дней назад +2

    hallelujah! nilikua RUclips nilikua siielewi, lakini kupitia huyu mwamba nimemkubali Mungu amtunze, Kwa ajili anatenda haki

  • @user-pi1st6pj3w
    @user-pi1st6pj3w 29 дней назад

    Ubarikiwe na MUNGU Baba Wa Mbinguni YESU KRISTO

  • @linahmacha370
    @linahmacha370 29 дней назад

    Pongezi nyingi kwa mama yetu na Rais wetu mama Samia kumpa kibali huyu jembe hakika mama umeona mbali sana 🌼🌼🌼🌼

  • @johnkatindasa5286
    @johnkatindasa5286 28 дней назад

    God bless you Comrade🙏🙏🙏

  • @aureusnchimbi7243
    @aureusnchimbi7243 26 дней назад

    Tajiriii huna baya

  • @AbdalahMtambuka-rh1dp
    @AbdalahMtambuka-rh1dp 25 дней назад

    ilaukoalusha washenzi sana kuuana ovyouko uwemakini sana waalusha sio

  • @user-hp3sd6de2o
    @user-hp3sd6de2o 29 дней назад

    MH Makonda mungu akulinde.

  • @RomwardWM
    @RomwardWM 23 дня назад

    Mkuu wa mkoa unaweza sema ni mmoja wengine wakishapewa vyeo hukaa ofisini na vikombe vya chai lakini kwake Mheshimiwa Makonda ni tofauti kabisa .

  • @MageMollel-wb7ms
    @MageMollel-wb7ms 29 дней назад

    Mungu akubariki tu baba yetu makonda

  • @AaziziMkambi-qf5mj
    @AaziziMkambi-qf5mj 25 дней назад

    Makonda broo natamani nikuone tu

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 26 дней назад

    Mungu akurinde ❤❤❤

  • @LovelyOmbreSky-pu4jt
    @LovelyOmbreSky-pu4jt 19 дней назад

    Oyaaaaa ata kama wapuuzii watamchukia ila makonda kweli anatenda kazi haswaa