Well-done Mhe Mkonda you are Great leader. Many foolish things happening tortouring local people. My Nigerian Tenant not paid 600 m rent contract expired in Feb but in Dar our people Helping Him na ka weka Bouncers kwenye Main entrance ku Block landlord.
Muheshimiws makonda upo vizuri, sisi wenzio tumetapeliwa na tanescoo mradi wasomanga kinyerezi, tangu ulipokuwa mkuu wa mkoa kipindi kile ulitupambania sana, tumedhurumiwa ndugu yetu, mungu akupe maisha marefu, mtetezi wawanyonge.
Asili ya @makonda nimtu mwenye nyota ya utetezi ila siyo mbaya kunasiku atalitumikia TAIFA ZIMA MUNGU MLINDE MAKONDA AJE AWE RAIS ATUSAIDIE TANZANIA 🇹🇿 YA SASA NA YA BADAE
Yaaani Kaka ww ni wa pekee Kuna watu wanateseka Sanaa huku mtaani, haki hakuna Mungu azidi kukutumia ili watu Wapate haki. Sio kila Mt anaweza kuku elewa lazima wawepo wa kukubeza ila wananchi tuko nyuma yako
Nampongeza Sana MH Rais kwa kuona mbali ,kumchaguwa MH makonda kuwa kiongozi yupo vizuri,nashauri mama mtu mwingne atakae kusaidia mama ni Ndgu Ally Happi pia ni jembe
😂😂 Subra kila kitu na Wakti wake. Bado kijana na anafursa ya kufika mbali sana. Hivi sasa kila mmoja amuongelea yeye kwa kazi nzuri sana. Mwamba iko siku atafika huko. Insha Allah
Makonda mungu akulinde mweshimiwa wew ni magufuli wa pili
Tumbo lililo mzaa magufuri na makondo yabalikiwe
Kabisaa ❤❤❤❤
🙏🙏🙏🙏
Na Mama Samia kwa kumteua mhshmw Makonda.
Ameen
Kwan hii nchi MKUU WA MKOA ni m1 tu ...km makonda anaweza hao wengine wanashindwa Nin kusikiliza kero za wananchi wao daah!! God bless you Mh.makonda🙏
Wale wanaomsema vibaya mh, wamenyamanzishwa na MUNGU 😊😊😊😊YESU ahsante
Wasiopenda haki hawapendi unayoongelea, piga kazi Mungu akulipe kheri
Utazani inch nzima mkuu wa mkoa ni mmoja voice of people keep it up
MH MAKONDA Wewe ni baraka sana sana sana!❤❤🙏🙏🙏🙏🙏🙏👊👊👊👊💪💪💪💪💪
Mama samia hakukosea kukuchagua ww uende ukawe msimamizi wa haki za wanyonge mama samia anamaono na imani juu yako mheshimiwa makonda
Makondaa namuona mbali saana..!
GOD BLESS BROO 🙌
Mbali wap?
Paul CHRISTIAN makonda on top headlines
Kuna haja ya kuwa na makonda kama 50 hivi ili wawekwe kila mkoa. Hii nchi kuna baadhi ya watu wanaipiga sana.
Millard ayo naomba niunganishe na mama nimpe hongera zake anajua.
Mungu akulinde mkuu
AMEEN
Uko vizuri Sana broo
MAMA SAMIA MUNGU AKUBARIKI SANA SANA KWA KUMTEUA MAKONDA KWENDA MKOA WA ARUSHA.
TUNAOMBA WA DAR ES SALAAM AWE KAMA MAKONDA.
Mafisadi lazima wakupige vita tu.
Usijali mh Pm'
Mungu atakulinda na utaishinda vita hiyo👏
Makonda ni kiongozi ambaye anatetea haki
God bless you sir. My all respect to you.
Next time plz visit Ngorongoro, thank you so much.
Huyu Jamaa Ukuu wa mkoa haumtoshi,
Viatu vinambana sana apewe nchi ndo size yake..
Au wampe aongoze mikoa 10 walau..
Mabosi wake wanamuona watafanya kitu siku zijazo.
Hongera sana mama Samia kwa teuzi yako magufuli alimbania sana huyu jamaa
Kwel mkuu huyu ni Raisi
MAGUFULI NDIYE ALIYEFANYA HUYO AONEKANE KAMA HUJUI@@sleifikhajjir262
Makonda ni kiongozi mfatiliaji sana Tena mtenda haki atapaweza Arusha mungu ampe maisha marefu
Makonda sijawai acha kukufuatilia na kufurahidhwa na utendaji wako na kukuombea, Mungu akulinde.
Mkuu wet makonda mungu akupe maisha malefu ya kuish. Ili utuokowe sisi watuwako njoo na mwanz tunakuhitaji baba
Hongera mweshimiwa makonda kwa kazi jema unayoifanya kaka yangu
Makonda ana moyo wa mungu viongozi wengine hawana huruma na binadam wanzao
MUNGUakuwekee Mkono WAKE WASIKUWEZE NA WANAOJARIBU WAPIGWE KWA MKONO WA YESU KRISTO BWANA MUNGU WA MAJESHI. WAFE WASIISHI. Amen.
Anafnya kazi nzuri sana huyu Poul
Mama Samia amejua sana, khs Makonda na Slaa, raia wamejaa machozi machoni na simanzi mioyoni.
Mungu amjalie umri mrefu na afya njema.
Mweshimiwa fungua App
Makonda anafanya kazi ya Mungu,kutoa haki na Mama atabarikiwa kumpa nafasi afanye hiyo kazi.
Damu ya Yesu Kristo Ikulinde Paul Makonda,kwa kazi Unazofanya.
Nakukubali sanaaa
Nimesikia kulia
Mungu Akumbariki Rc kaka yangu Makonda.❤
ARUSHA PIA UENDESHAJE WAGARI NI MBAYA SANA😊
Tunakuhtaj utuongoze kama raisi tunakupenda
JESUS DO IT ❤
Hawa viongozi Mungu awalinde na kuwafunua zaidi na zaidi
Hivi nyie wakuu wa mikoa mingine hamjifunzi kitu kwa Makonda au hamuna kelo mikoani kwenu
Nakubali piga Kaz mwenetyu
Moja ya teuzi makini ni uteuzi wa makonda
Safi sana makonda mungu akubariki na akulinde kila unapokuwa akuongezee malaika wakukuongoza na wakukulinda daima
AMEN. I HAVE NOTICED YOUR T-SHIRT AND CAP. CONGRATS FOR NOT BEING ASHAMED OF THE GOSPEL OF JESUS CHRIST.
Exactly 💯 powerful
Mashine tata we mwamba. Unaeleweka sana!
Safi sana nimeipenda
Hadi machozi yamenitoka, makonda Mungu akurinde na wauni.
MAKONDA PEKEE YAKE ANA POWER KULIKO MAWAZIRI WAKIWA WOTE, WABUNGE Wakiwa WOTE kuliko HADI RAISI 😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Well-done Mhe Mkonda you are Great leader. Many foolish things happening tortouring local people. My Nigerian Tenant not paid 600 m rent contract expired in Feb but in Dar our people Helping Him na ka weka Bouncers kwenye Main entrance ku Block landlord.
Mungu akulinde mh. Makonda.
Nakukubali sana Makonda piga kazi kaka
Mungu akubariki Makonda
Arusha ilioza jamaniiii
Sio arusha ni tatizo liko nchi mzima. Wakati wa uchaguzi tunachagua vibaya. Bible kitabu kutoka Sura18:17-26.
Rais samia bilaubaguzi akuangalie kwakukupa nafasi nzurizaidi iliuweze kuwafikia wanaichiwotee kaka
Yes JESUS DID IT
Tumuombee sana jemedali wetu Paul makonda mungu akubariki saaana tunakuombee jemedali wetu.
Tunaimani ns Samia. Tunaimani na Makonda jeshi la mtu mmoja 🇹🇿❤🇹🇿❤🇹🇿❤.
makondà wewe mungu Akujaliee
May GOD Bless you Comrade!!
Mungu akuepushe na maadui wanaopinga kazi zako mkuu upo vizuri sana
Big up kwake long live the clan🎉
Mungu atende miujiza makonda awe rahisi tuna kuomba mungu tukumbuke watanza utukabizi kwa makonda
MAKONDA PIGA KAZI MUNGU AZIDI KUKUPIGANIA.👋👋👋👋
Muheshimiws makonda upo vizuri, sisi wenzio tumetapeliwa na tanescoo mradi wasomanga kinyerezi, tangu ulipokuwa mkuu wa mkoa kipindi kile ulitupambania sana, tumedhurumiwa ndugu yetu, mungu akupe maisha marefu, mtetezi wawanyonge.
Mh-Makonda upo vzuri sana,MTU akifanya vzuri mpeni maua yake,makonda kw sasa kaja upya kazi yetu sisi nikumuombea tu.
👍👍🙏🙏🙏💪💪💪Mungu akupe nguvu zaidi makonda
Mungu akulinde
Mkuu hengera sana uko vizurii
Asili ya @makonda nimtu mwenye nyota ya utetezi ila siyo mbaya kunasiku atalitumikia TAIFA ZIMA MUNGU MLINDE MAKONDA AJE AWE RAIS ATUSAIDIE TANZANIA 🇹🇿 YA SASA NA YA BADAE
Hongera ni ushujaa
You're the best makonda may Allah protect you ❤❤
Mungu akubambanie mpaka ushike nafasi ya urais
Mh.Mungu akulinde
Mungu wa mbinguni akulinde
Kazi ya Mungu itasimama
mUNGU akupe afya njema pia akulinde popote ulipo
God blesss your
Huyu mwamba
Mungu amlinde
Kazi njema hujitangaza yenyewe. Hongera sana mkuu wa mkoa wa Arusha.
Mungu amewashushia neema wananchi wa arusha kwa maombi ya mungu kinywa chako kimebarikiwa sana kiongozi wa watu wanyonge
Keep it up The Great Paul Makonda
Ipo siku utaliendesha taifa 🇹🇿 akuna mkamilifu dunia hii
Asante Yesu unamuinua umtakae na kumshusha umtakae
Nakukubali sana baba
CHUKUA FOMU URAISI TUNAKUPA TUU MZEE
Yaaani Kaka ww ni wa pekee Kuna watu wanateseka Sanaa huku mtaani, haki hakuna Mungu azidi kukutumia ili watu Wapate haki. Sio kila Mt anaweza kuku elewa lazima wawepo wa kukubeza ila wananchi tuko nyuma yako
Nampongeza Sana MH Rais kwa kuona mbali ,kumchaguwa MH makonda kuwa kiongozi yupo vizuri,nashauri mama mtu mwingne atakae kusaidia mama ni Ndgu Ally Happi pia ni jembe
Ivi awezi kugombea uraisi uyu mwamba
😂😂 Subra kila kitu na Wakti wake. Bado kijana na anafursa ya kufika mbali sana. Hivi sasa kila mmoja amuongelea yeye kwa kazi nzuri sana. Mwamba iko siku atafika huko. Insha Allah
@@aaa64sa13😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@@aaa64sa13 Miaka 42 bado kijana ??
Ata waziri mkuuu unamfaaaaaa
Vizuri sana mkuu, kazi njema sana
Kazi ienndelee safi Mungu akulinde
Njoon na huku unguja kuna mzee anaitwa ali mchawi anadhulumu maeneo ya watu anadunda mtaani😢
hallelujah! nilikua RUclips nilikua siielewi, lakini kupitia huyu mwamba nimemkubali Mungu amtunze, Kwa ajili anatenda haki
Ubarikiwe na MUNGU Baba Wa Mbinguni YESU KRISTO
Pongezi nyingi kwa mama yetu na Rais wetu mama Samia kumpa kibali huyu jembe hakika mama umeona mbali sana 🌼🌼🌼🌼
God bless you Comrade🙏🙏🙏
Tajiriii huna baya
ilaukoalusha washenzi sana kuuana ovyouko uwemakini sana waalusha sio
MH Makonda mungu akulinde.
Mkuu wa mkoa unaweza sema ni mmoja wengine wakishapewa vyeo hukaa ofisini na vikombe vya chai lakini kwake Mheshimiwa Makonda ni tofauti kabisa .
Mungu akubariki tu baba yetu makonda
Makonda broo natamani nikuone tu
Mungu akurinde ❤❤❤
Oyaaaaa ata kama wapuuzii watamchukia ila makonda kweli anatenda kazi haswaa