🔴
HTML-код
- Опубликовано: 11 май 2024
- 🔴#Live: WAZIRI GWAJIMA AFIKA NYUMBANI kwa MAMA ALIYEFARIKI KISA WANAYE KUFANYIWA UNYAMA wa KUTISHA!
Jishindie Zawadi na Global TV
Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
Mama aliefariki alikuwa anaitwa nani? Maana kama namfahamu
Kwakweli Kwa upande wa mawaziri wanawake Mimi ninamfahamu Dorothy Gwajima tu! Wengine siwafahamu kabisa. Maana wamejifungia maofisini. Asante Mungu Kwa mbegu ya Magufuli. Wamebaki wachache tu. Silaa, Biteko, Bashungwa, Makonda, Hapi.😭😭😭🙏
Yaani huyu mama Hanaga longolongo yupo very active kusikiliza matatizo ya wananchi Mungu amkumbuke katika kazi zake zote
Yani mama nakupenda sana mungu akubaliki
Pole sana kwa wanafamilia wote. Mama Dorothy Gwajima, Mungu aibariki sana kazi ya mikono na ofisi zako. You are exemplary in what you do.
Poleni sana wafiwa mwenyezi Mungu yumwema ailaze mahali pema peponi
Mungu akubariki sana D Gwajima kwa kuwafikia wanyonge 🙏🙏
Tunaomba namba maalum kuchangiya chochote kwa hiyo familiya
Wallah tanzania muko vizuri sana ila polisi walizembea kwa kutomshika mtuumiwa
Baba uko vzur unajua kujielezea sana MashaALLAH 😢❤
Naomba HUYO mtuhumiwa HATA kama kakimbia picha yake IRUSHWE MITANDAONI ATAPATIKANA TU
Kabisaaaa na akipatikana auliwe auliwe
Kwel
Umeongea point serikal yetu viongozi na maaskali ni wala rushwa yaani rushwa uko mbele kuliko haki
Yaani akipatikana alawitiwe kwanza then ndio auwawe kwa maumivu makali
Hata binadam tusipompata Allah anajua Cha kumfanya
naomba muheshimewa waziri na polisi wahusishwe kutokana na makosa waliyoyafanya kwa uzembe kituo cha magoneni na haki itendeke kwakweli inaumiza sana iwe fundisho kwa wengine,,,,, tunashukuru sana viongozi wetu wa Tanzania hakika kazi mnaifanya hatujutiii kuwachaguwa
Asante sana Mama Gwajima. Uko vizuri Kwa jamii na tutazidi kukupenda Kwa moyo wako wa huruma. Mungu akubariki na kukupa afya njema Siku zote ili usaidie wengi.👏
Mama hongera Sana,washuhulikie mama,wamezoea
Mama Mungu akuzidishie ubarikiwe kwa moyo wa upendo na ukarimu wako mm binafsi nakupenda sana❤
wanawake tunauliwa na maumivu ya watoto wetu mtihani
Hongera sana Globar TV mnafanya kazi zuri
Mungu akubariki muheshimiwa
Mwenyezi Mungu Akutunze Mama Dorothy Gwajima kwa Huduma yako kwa Jamii Ubarikiwe Mama
Mama Mungu akupe maisha marefu mno
Asante sana.Nashukuru sana kwa kutusaidia sisi wanawake na watoto. mimi mwenyewe umenimbambania sana….🙏🙏
Uswaz mzee baba vichochoro zaid ya 7 ,songela,Igembe liasoo,Iramba,one, mashaaalah,
Waziri kazi mzuri.Mungu akubariki sana❤❤❤
Inasikitisha sana poleni wafiwa mama gxajima mungu akuzidishie napolisi kama halali haitoshi hata halamu haitofaaa
Ukipeleka kesi polisi wanaifanya mtaji.
Moyo wangu una uma sana wazir mungu akujalie kwa kuwapambania hao wazee
Ubarikiwe Dr Doroth
Namuamini huyu mama Yuko vizuri sana
Hongera sana mheshimiwa waziri kwako udhubutu, utendaji mwema kwa walengwa mungu akuongeze daiman kwenye majukum ya kuwatumikiya wenye uhitaji, pole sana baba allah akupe subra na akupe taafifu afya yake imarike
Nimekupenda mheshimiwa
Waziri uko vzr Mungu akubariki Kwa utendaji mzuri
Mungu akuweke mama Dorothy gwajima
Pole sana familia mwenyeMungu awape subira na faraja...
Lkn nimpongeze mama Dorosi gwajima hakika anapiga kazi hasa lkn pia hao polisi wa magomen wote waliohusika na uzembe huo wachukuliwe hatua kalisana
Ubarikiwe Sanaa Mama gwajima
Mungu akubaliki sana mama hendelea kuwajali watu wako mungu atakulipa
Masha Allah uko vizuri saana Mheshimiwa, Mwenyezi Mungu akuzidishie imani na huruma
Subhanalllah😢😢
Mama jasir mungu akubariki. Sana❤
Welcome to tanzania
Mama gwajima hongera sana 💖💖💖,,poleni wafiwa kwa kipindi hiki kigumu mnachopitia
Tungepata viongozi Kama huyu mama. Tanzania yetu tungekua mbali Sana.Mungu akulinde mama
Mamagwajima polenahongerasana kazi nzuri sana munguakubariki
Mama gwajima mungu akulipe na akupe uzima na nguvu ili uyatimize yote uliyoahidi!tunakuamini
Aamin Mama gwajima🙏🏽🌹
Mama Gwajima❤️❤️❤️
Tunakushukuru Sana mm Gwajima mungu atakulipa
ALHAMDULLAH
Pole kwa familia Subhana Allah inasikitisha sana Allah atamlipia kwa hili atapatikana tuu😢
Mtangazaji wa Grobo tv ubarikiwe sana
Nakupenda sana mama
Poleni sana ndugu zangu
Mama ahondoka kabla ya kupata haki ya mtoto wake inauma ila kazi ya MUNGU haina nakosa.kwa Mungu tulitoka na kwake tutarejea
Safi sana mama angu. Uko transparent
Wazir Hadi raha
Mama Gwajima ubarikiwe sana Allah azidi kukuinua zaidi
❤ ccm ndio hii ufuatiliaji sahih
Mh waziri hongera
Waziri hongera kwa utu huu,umenigusa
Mungu amkumbuke huyu waziri Gwajims kwa kufstilia mstukio km haya,ee Mungu baba mpe uponyaji huyu baba,afya yake itengamae ili awatunze hawa watoto,pole sana kwa kufiwa na mkeo
Dah hongera sana mama, ila tunahitaji mabadiliko ya adhabu inaonekana adhabu wanayopewa hai washtui hata wanaona ni kawaida sana n dhamana isiwepo Kwa hao watu, jeshi la polisi like macho sana hizi issue zimezidi n watu wa chini haki kupata ni mtihani ...
Neema ya Mungu ikutunze mama
Waziri mtu wa maana kabisa 🙌🏻
POLISI NIMESEMA wanahitaji kurekebisha kupiga msasa kuanzia juu mpaka chini
Baba anapitia wakati mgumi xana.anaumia na mengi.kufiwa na mke.kuharibiwa wtt .yeye mwenyewe anaumwa ....jamani
Maombi yangu hee! Mola! Huyu waziri arudi katika nafasi yake ya Kuwa waziri wa afya. Ninaamini Mungu atatenda.🙏🙏🙏
😊😊😊EWEMUNGU.
MUNGU MWEMA.ASANTE MAMA GWAJIMA M.MUNGU AKUBEBE MAMA SKULINDE UNAJITAHIDI
Polesana.baba allh akupesubra inasikitisha na inaumiza polisinimbwatu kazikubambikiyakesiwaso hatiya wenehatiya wakitowapesatubasi wanawabeba
Kazi nzur mh
Polen ndugu pamoja na jamaa Mungu aingilie kati
Mama hongera kwa kuwakimbilia wafiwa.
Poleni sana inauma sana haya mambo yako sehemu nyingi. Mmm 😭😭😭
❤
Polen
😢
Inauma sana jamani mungu akusaidie baba upone halaka
Mungu ndie muamuz 4:23
Mama.Mungu.akubariki.ujue.wanachi.wahali.yachini.tunapata.shida.mpaka.kwnye.ajira.kama.huna.mtu.mkubwa.mwanao.hapatite.kazi.Mungu.akubariki.kwautendaji.wako
116
Tatizo polis hawafati sheria ya kazi zao wameendekeza rushwa s kuzarau matatizo ya watu 😊😊😊
Shida cc
Police n ya nani??
Very shame
Yani waziristan bora ucngeenda hapo
Yani wazirin anachukua maelezo ya waziri wa ndani Rb ? Tena mungu atusaidie tufike
😢😢😢
Mimi ninacho walaumu awa watu wanao waharibu amùwafungi mnawaacha waendelee kuwaharibu watoto wetu ila mungu yupo nyie mungu atawaonyesha kwenye vizaxi vyenu tunajua watoto wenu ni ngumu kwa sababu mna mabavu ila mungu fundi atasema na nyinyi mana haya mnayamudu ila mnayaacha bimana mnayajua mungu wetu atasema na nyinyi na ato waacha mana mnayajua vizuri tu
Mungu awe nawe
Ushirikina ume sambaa sana tena Sana mtu anataka utajiri bila kutoka jasho au kufanya kazi kwa uhalali anategemea nyoka kumpa utajiri
Kwakweli muheshimiwa anajitahidi si mara ya kwnza kufika vichochoroni
Mama Gwajima sijui niseme nini,wewe mama ni mama wa ukweli ukweli
Masikini mungu atakuenuwa bbetu utampata usaidizi
Innalillah wainnailaihi rajiun.
😭😭😭💔
😢😢😢😢 Inauma Sanaa
😭😭😭
Haki.pole dada Mungu akur3hemu na.Mungu at atatoa hukumu😢
Irusheni picha yake huyo muhusika alotenda hill kosa ili iwe rahisi kujulikana na kukamatwa. Polisi walioandika hiyo pf3 ya kutaka mhalifu aende kituo cha polisi mwenyewe huo ni upumbadu kwa jeshi la polisi lazima wawajibishwe.
Inna lillah wa Inna ilayhi raajiuun
😭😭😭😭😭police police mnaumiza sana watu uenda wangemsikiliza mama wa watu umaut usingemkuta
Utunzwe na Mungu mama Kwa upendo ulio nao
😭😭😭😭
Ee Mungu tuwafiche wapi watoto wetu 😢😢😢 police Mungu anawaona kwani hamna watoto 😢
Poleni sana familia nzima kwa huo msiba mzito.
Hao Polisi waliohusika: Mpelelezi wafukuzwe kazi,hakuna haja ya kuwasikiliza kujitetea kwa sababu kosa la kukataa kutoa PF3,mtuhumiwa kutomkamata mpaka anahamua kukimbia huo ni uzembe wa Polisi na Mkuu wa kituo na yeye ajitadhimini kwa makosa hayo.
Wito kwa Waziri Masauni awe mkali na kutoa adhabu hapo kwa hapo.
Tungechangia tumjengee nyumba ili watoto wawe Na sehemu ya kuishi
😪😪💔
Katika Mawaziri wote wa Serikali hii Gwajima na Kairuki hawa wapo vizuri sanaaaa
😢😢😢😢