Kaa KIMYA Wewe! Hapatoshi BUNGENI; ASKOFU GWAJIMA NA WAZIRI JAFO WAKUNJANA /SPIKA TULIA AINGILIA KAT

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 23 апр 2024

Комментарии • 22

  • @dianasamson9311
    @dianasamson9311 24 дня назад +2

    Asante sana Mch Gwajima mbunge wetu.kwa Kutukumbuka.... mito inatumalizia watu, inabomoa mpaka nyumba zilizo kwenye ramani ya mipango miji ... kwakweli kingo za mito.... mtusaidie wananchi. Mito Nyakasanga, tegeta, mpiji ni hatari unapanuka kwa kiasi cha kutisha. Mungu tusaidie mlione hili. Asante sana Mbunge wetu Gwajima kwa kuwakilisha.

  • @leonardmwayeya13
    @leonardmwayeya13 8 дней назад +1

    Yaani tanzania mabepari ndowanao kubarika kwajima yoko sahihi rakini wasio jiri afya xawatu hao wanaogopa wanapewa rushwa tu

  • @JohnMashamba
    @JohnMashamba 29 дней назад +3

    Unafaa kuwa waziri wa Madini.

  • @feiswalsalim2117
    @feiswalsalim2117 8 часов назад

    samahanii jee munatumiaa mfumoo ngani kubesabubuzalishaji kishaa mfumo nganii unatumika pvpi kutumika helabza mtz

  • @kyaro5945
    @kyaro5945 26 дней назад +1

    Australia nawala sangara toka Lake Victoria na kama wangekuwa na zebaki wasingefika Australia. Dr Ngwajima ni muongo.

  • @NancyMatuli-fb5jp
    @NancyMatuli-fb5jp Месяц назад +2

    Gwajima gwajima Mungu akusamehe uliwadanganya wana nchi londa kuhusu barabara leo watoto wanashindwa kwenda shule alafu unapiga porojo za uongo Bungeni

    • @samsongamash5252
      @samsongamash5252 12 дней назад

      Acha zako wewe serikali ndo inayonjenga sio yeye

  • @user-hi7hy3bk8j
    @user-hi7hy3bk8j 14 дней назад +1

    Gwajima J anapoint kubwa ya Bioaccumulation

  • @user-no1xc9tv5z
    @user-no1xc9tv5z Месяц назад +3

    Halfu.kama.akinamama.kuugua.kansa.inawezekana.utumiaji.wa.majira.yampango.uzazi.yanana.wauza

  • @joycemagesa4752
    @joycemagesa4752 Месяц назад +1

    Unapopoat kitu usitoe maelezo mengi hvyooo. Mm binafsi nachukia

  • @davidmziray2048
    @davidmziray2048 Месяц назад +1

    Yaani ukiwasikia unapata chefuchefu

  • @afidbillmusic8461
    @afidbillmusic8461 Месяц назад +1

    Hili ni Bunge....

  • @bonifasiemanueli21
    @bonifasiemanueli21 Месяц назад +2

    Huu ni Askofu sio mtmshi wa Selikali hakuna aweza tumikia Mabwana 2, akabidhi Uaskofu watu wengine,yeye amtumikie kaisali ndo kAmchagua,

    • @manethmwiyanja7654
      @manethmwiyanja7654 16 дней назад +1

      wewe unajua nini kuhusu Mtu anaeitwa mtumishi wa Mungu kabla huja comment jaribu kufikiri kwanza, nakupa ufahamu Hata Rais ni mtumishi wa Mungu kwa kuwa kiongozi wa watu kwa kuwa Mungu ni Mungu wa watu wote wenye mwili, uje nikufundishe wewe.

  • @GentleGiant-pj2rk
    @GentleGiant-pj2rk Месяц назад +3

    Gwajima ni mzee wa story za vijiweni, anawakamata akili wajinga kwa jinsi anavyo present unaweza ukadhani ni mtaalam kweli kumbe ni mastori ya town tu.

  • @benny4345
    @benny4345 Месяц назад +1

    Accridated ndo nini tena bwana Waziri? Inaitwa "Accredited" ndugu!

  • @EMANUELMUSHI-kk4df
    @EMANUELMUSHI-kk4df Месяц назад +1

    Wamemvua nguo

  • @user-we5cc2dq7t
    @user-we5cc2dq7t Месяц назад +2

    Waziri kalewa pombe

  • @petermakundi1220
    @petermakundi1220 16 дней назад +1

    Sasa gwajima mambo ya ziwa victoria yanakuhusu nini wananchi wa kawe tuna shida nyingi umeacha kuzungumzuia mambo ya kawe umeanza mambo ya zebaki kwani huko kanda ya ziwa hawana mbunge wa kuwasemea

    • @zamukahemele1505
      @zamukahemele1505 12 дней назад

      Kwan yeye anatokea wapi

    • @mdl6463
      @mdl6463 12 дней назад

      😂😂😂😂

    • @RamadhaniLukambuzi
      @RamadhaniLukambuzi 9 дней назад

      Samaki wanauzwa nchi nzima kwahiyo kama wanasumu Gwajima nae anaweza kupata madhara hayo,Kwahiyo hakuna kuchangia hoja kwake ni muhimu sana!