KABUDI ATUMIA UPROFESA WAKE BUNGENI HADI MBUNGE AKAOMBA DAKIKA ZAKE APEWE KABUDI AENDELEE KUCHANGIA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 май 2024
  • KABUDI ATUMIA UPROFESA WAKE BUNGENI HADI MBUNGE AKAOMBA DAKIKA ZAKE APEWE KABUDI AENDELEE KUCHANGIA...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 44

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Месяц назад +1

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @qwirinishao1003
    @qwirinishao1003 Месяц назад +1

    Mzee sichoki kumsikiliza yupo smart sanaaa

  • @hamidkololeki5009
    @hamidkololeki5009 Месяц назад +2

    Hongera prof,Mwenyezi Mungu alisema hawawezi kuwa sawa wanaojua na wale waßiojua

  • @bakariyusuph-uf7nc
    @bakariyusuph-uf7nc Месяц назад +6

    Hivi yule mwamba alitengeneza dawa ya ukimwi kapotelea wapi

  • @user-hw6of2ft3j
    @user-hw6of2ft3j 28 дней назад

    You will legacy to our country professor be blessed

  • @ephraimkabeya9648
    @ephraimkabeya9648 Месяц назад +2

    Hivi Prof. Kabudi na Prof. P.L.O. Lumumba wakikaa pamoja waandae kundi la majasiri wa Afrika tutakuwa wapi miaka 50 ijayo?

  • @charlesmateso1408
    @charlesmateso1408 Месяц назад +1

    Hongera Sana Professor

  • @peterdeus6093
    @peterdeus6093 Месяц назад +2

    Tungekuwa na wabunge wote wenye elimu kama huyu mzee hii nchi ingekuwa mbali

  • @selinalawala2270
    @selinalawala2270 Месяц назад

    Kweli huyu ni profesa, Mungu amtumie zaidi kwa faida ya nchi yetu na dunia pia.

  • @dismasalex5064
    @dismasalex5064 Месяц назад

    Hongera sana Prof.

  • @magigesabai8674
    @magigesabai8674 Месяц назад +2

    Huyu Kabudi ni muhimu sana katika hili Taifa watu kama hawa ni tunu ya taifa inashangaza sana kwanini sio waziri

  • @ImmanuelSeuta-zi2gh
    @ImmanuelSeuta-zi2gh Месяц назад +1

    Mkaguru mmoja tu mwenye elim kubwa tanzania

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Месяц назад +2

    Tatizo la nch yangu na bunge langu...memaliza kuongea..,..yameenda na upepo....yamebaki kwenye hansadi.....
    Hakuna utekelezaji wake.....hapa ndo naona umuhimu wa JPM alipo kuwepo..... Haya yasingeliachwa bila utekelezaji....
    Iwe heri kwa Tz

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri Месяц назад

    Tunashukuru sana Mhe Kabudi kwa mchango mzuri lkn kutokana na kasi ya population tunatakiwa kuanza ku minimize muda wa mtoto kuwa shuleni badala ya kui extend muda wa mtoto kuwa shuleni, elimu ya msingi ikiwezekana isizidi darasa la sita mhe daktari spika.

  • @lugwaja
    @lugwaja 29 дней назад

    Legend

  • @amoswankara3863
    @amoswankara3863 27 дней назад

    mzee una mbwembwe nyingi

  • @patrinraura1397
    @patrinraura1397 Месяц назад

    MHE PROFFESOR Kabudi Tunakushukuru kw Mchango wako wa Kitaalamu iliosheheni ushauri,mwongozo,nk kupitia wizara ya Elimu katka mageuzi ya Elimu Watanzania tunayo HAZINA kubwa ya Waheshimiwa kama Proffesor Kabudi ambaye wapiga KURA waliiona Tunaomba Mungu atusaidie na kutuongoza ili Bunge lijalo tufanikiwe kupata Wabunge wa Kalba ya Mhe Proffesor Kabudi

  • @jonasamos555
    @jonasamos555 Месяц назад +1

    Hkl pure

  • @muhammednassor3569
    @muhammednassor3569 Месяц назад +2

    Huyu ana roho ya korosho ndio maana hendi juu anawachukia sana wa Zanzibar

    • @samsonhamery3809
      @samsonhamery3809 Месяц назад

      Muhamed mambo ya kaburi anawachukia sana wazanzibar unayatoa wapi katika hotuba yake hii?!!!Inaonekana wewe darasani ulikuwa "ZERO" yaani sifuri kabisa Tena wa mwisho darasani Watu wote wamemwelewa Kabudi wewe umetoka kapa?Basi kama ni chuki ninyi wazanzibar ndio mnaomchukia ndo maana mkampokonya UWAZIRI wake wa Katiba na sheria. Ili nyota yake ififie lakini kila akipata nafasi hutoa "MATIN" Hadi makofi na vigeregere.

    • @mariamfaicalhassan2890
      @mariamfaicalhassan2890 Месяц назад

      Wazanzibar kutaka twende zanzibar kwa ppt hiyo ni sawa ?

  • @user-hj4bc5uh2x
    @user-hj4bc5uh2x Месяц назад

    Huyundio profesa siokamayule lipumba

  • @damianmachira7535
    @damianmachira7535 Месяц назад

    Awata muelewa kwa sababu awaelewi.
    Wanaelewa sauti lakini siyo matendo.
    Mmm kabudiii

  • @alfredbenno3251
    @alfredbenno3251 Месяц назад

    Jalimu... Profesa... Asante saana😂

  • @user-ig5yn4zp2u
    @user-ig5yn4zp2u Месяц назад +1

    Wewe ni msomi mzuri lakini swali langu kwa nn wasomi kama nyie msipewe nchi mkatupeleka mbele kimaendeleo.

    • @stanleymwaselela1849
      @stanleymwaselela1849 Месяц назад

      Hakuna profesa anayefaa kuwa rais wabongaji sana Hawa nchi zao Huwa zinawatunza kuwa washauli tu

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri Месяц назад

    Kuna Dada mmoja yuko Posta pale Moshi ana watano wenye digress ambapo waliuza kila kitu hadi mashamba Watoto wasome lkn hadi leo jamani Watoto hawakupata kazi wapo nyumbani.

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 Месяц назад

    Mzee miaka 60 watanzania tunaandika kwa madaftari siyo computer na kuazia darasa la saba hadi kidato cha nne hawajui kingereza mzee watoto wenu wako nje shule mbora mnatudanganya tu na elimu hii haiko kiushindani

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 Месяц назад

    Wapiga makofi hawajui chochote wao kujadili tozo tu kwa wananchi

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Месяц назад

    Huyu Profesor asingetolewa jalalani angebaki kunoa watu vyuoni, awe mwana harakati tu kwasababu ana hazina kubwa iliyogharamiwa na wananchi kwa faida ya Taifa, wanasiasa uchwara wakamchukua kwa faida za kisiasa,elimu ikapigwa teke. Enyi wanasiasa nani kawaloga?!

  • @peterlove4g869
    @peterlove4g869 Месяц назад

    Ndio ujue profesa ni nini achana na maprofesa wakujibandikiza

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 Месяц назад

    Wamruhu yule aliye ngundua dawa ya ukimwi hataki kumruhusu atoe matibabu kwa wananchi

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 Месяц назад

    Sasa si watu wsdharau dawa za asili wanasema no za kienyeji hasahasa wasomi ndio huwaambii kitu kuhusu mitishama utaambiwa mshamba mshirikina, sasa kama kipindi cha korona walipoambiwa kujifukiza wakadai mapafu yanajaa maji wakati hiyo no tiba tangu enzi na enzi

  • @Hit_songs214
    @Hit_songs214 Месяц назад

    Mitaala ya nchi yetu haitabiriki asee kila mara mabadiliko

    • @joscamwoshezi2986
      @joscamwoshezi2986 Месяц назад

      Mabadiliko ni muhimu kila inapoonekana ni inahitajika

  • @Fundi12345
    @Fundi12345 Месяц назад

    Huyo ni frofes ndo tulie bakiwa nae wengene weng ni wanafuzi wa huyo mzeeee mbaka uraya wanamjuwa hyo anatakiwa kurindwa ware wazi wa mikatab war machi yoye kwa huyo racin ss tupo nyuma yake. Tukimuombewa awe saram kwa jina ra jesuuu

  • @jifunzeforextrading
    @jifunzeforextrading Месяц назад

    Mbwembwe nying alaf hawa hawa na makorokocho yao, wanatuandikia mikataba ya hovyo!!! na sheria za hivyoo nchi hii mtu anakamatwa na bangi misokoto mitatu kifungo miaka thelathin alafa anaeiba mabilion hafungwi!!!

  • @AbdilahiMriri
    @AbdilahiMriri Месяц назад

    Na hilo mhe spika pia ni kwa kuzingatia kiuhalisia kabisa ajira kuwa ngumu kiasi kwamba kuna familia zina Watoto wanne saba nk wana digress na hawana kazi hadi wamestaafu bila kazi bila kurudisha hata chembe ya jinsi walivyoisababishia familia umasikini mhe daktari spika.

  • @charlesmwambinga4355
    @charlesmwambinga4355 Месяц назад

    Shida sio madarasa professor...Tija tunafundisha nini ? Panzi na Tilapia au? huku wenzetu wanatengeza Meli, Ndege, Nyambizi, Space ships wachina kila mtu anatengeza bidhaa..

  • @DamasKihungu
    @DamasKihungu Месяц назад

    Wabunge wa mufindi mwamuona mchango wa kabudi

  • @user-hj4bc5uh2x
    @user-hj4bc5uh2x Месяц назад

    Kama tunakumbukumbu raisi aliekufa kipindi cha corona vituvingi vilikuasawa hatahawa mashoga watibiwe wasukuma wa masai wanajuadawa kabisa af tutunge sheriakali