KOMANDO MADAFU AWEKA WAZI KILA KITU BAADA YA KUTOKA IKULU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 май 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 123

  • @jmm1840
    @jmm1840 Месяц назад +14

    This guy is very clever. He has a big secret that professionally knowing him will give you extra intelligence

  • @dr_englyandojunior6610
    @dr_englyandojunior6610 Месяц назад +14

    Wanahabari mnazingua ,iv kuna shida ukitumia kiswahili fasih bila kuchanganya lugha .. muangalie mnaongea na na nani ndio ufikilie aina ya lugha unayopswa kutumia

    • @dreamersonlinetv6496
      @dreamersonlinetv6496 Месяц назад

      ruclips.net/video/Nv3FZwjlCew/видео.htmlsi=h64eaA-lV7nFRXJD ingia hapa

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Месяц назад +2

    NIYEYE

  • @geofreygeorge9502
    @geofreygeorge9502 Месяц назад +2

    Uyu kweli kipensi komando

  • @Nablee_Offial
    @Nablee_Offial Месяц назад +2

    Kwann win anakuw mwanamke wa kwanza kwa wanaume wengi

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry Месяц назад +2

    Mtangazaji kichefu chefu weye mwenyewe umeanza kutiwa unaumri wa miaka sita na humjui aliyekutia hadi leo ushamsahau maana ulukuwa mdofo unatiwa ile mbaya. Wacha kuuliza mambo ya kishenzi shemzi. Huna mvuti dada Kakojoe ukalale.

  • @uwezomayonko5101
    @uwezomayonko5101 Месяц назад +5

    Huyu Malaya ikifanya kipindi na Mimi makofi yatamhusu! ana maswali ya kupuuz sana

    • @dreamersonlinetv6496
      @dreamersonlinetv6496 Месяц назад

      ruclips.net/video/Nv3FZwjlCew/видео.htmlsi=h64eaA-lV7nFRXJD

  • @denisrukangula2227
    @denisrukangula2227 Месяц назад +1

    Komando wa kigambon i❤

  • @Wise1983
    @Wise1983 Месяц назад +1

    Mbona watu huwa wana taabu kusema miaka yao.Kwani ndo iweje.Hata kwa wanawake si kuzaliwa kukua kawaida tu?Kwani si hata masaa huenda kila dakika.kuzaliwa mapema au baadae ni jinsi mtu alivywo pangiwa Kuja Duniani.Old is Grace

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 Месяц назад +3

    Siyo Lazima umri bwana mnazingua sana

  • @user-mf2ll7nz5g
    @user-mf2ll7nz5g Месяц назад +6

    Yaani huyu dada hafai kuwa mtangazaji kabisa

  • @godwinmwakibibi274
    @godwinmwakibibi274 Месяц назад +2

    Maswali ya kikoro@diva soon huna kazi wasafi uende crown sasa

  • @musajackson3289
    @musajackson3289 Месяц назад +2

    Mwamba mpole sanaa

  • @nichoojr.6747
    @nichoojr.6747 Месяц назад +4

    Huyu jamaa Tusubirie Siku akiitwa na Skywalker SNS kuijiwa tutajua kilakitu huku Media Zingine wanao stress za Mapenzi huko .. Huyu Diva Anao Mastress Ya Mapenzi na kupunguziwa Mshahara Na Diamond...😡

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 Месяц назад +1

      Kabisa nakubaliana na wewe miongoni mwa watangazaji wangu bora ni
      1. Skywalker
      2. Millard Ayo
      Hawa jama wanahoji bila ku fake fake lugha Yani wanahoji kiuhalisia kabisa.

  • @user-yj4iw6pg8u
    @user-yj4iw6pg8u Месяц назад +2

    We mwandishi fara sana yaani unawaza ngono tu unashindwa kuwaza maswali ya muhimu na hiyo ni tatizo ya wanawake wasiyofikishwa.............

    • @nyumbanituthegendaheka7222
      @nyumbanituthegendaheka7222 28 дней назад

      Utakuta ajasomea hata uandishi...amepata kazi kwa mwili wake...maswali ya kofia umenunua sh ngap ujinga tu

  • @fredykephacy5166
    @fredykephacy5166 Месяц назад +3

    Jamaa kashaenda mjin

  • @user-tw9wu2gz4g
    @user-tw9wu2gz4g Месяц назад +1

    Kabisa kasomea uandishi huyu khaaaaa.

  • @touches4lifeonlinetv46
    @touches4lifeonlinetv46 Месяц назад +2

    Swali zuri lilikua la miaka ambalo nalo halijafanikisha na hatujapata majibu😱

  • @EmmanuelJoseph-eg3hs
    @EmmanuelJoseph-eg3hs Месяц назад

    Daaa!!!! uyu kweli komando: nimechoka alipo ulizwa, uliwai kwenda kwa mganga akajibu apana msikitini au kanisani akajibu mm ni muumini wa angrikana.

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry Месяц назад +3

    Huwezi kuweka wazi umri wako anafahamu huyo weye mzungu lakini mshamba. Umri ni haki ya mtu si la,I'm kutaja wacha ushamba. Unajifanya lakini mambo muhimu hujui. Umri ni hilarious ya mtu tuutangaza huwezi kulazimisha uzungu wako wote kwa hilo umechemsha. Kula hiyo kama change tema.

  • @ahmadifataha6677
    @ahmadifataha6677 Месяц назад +3

    Kwa hiyo hakuna cha maana záidi ya kiki

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetv Месяц назад

    Mtangazaji ni wakiwango cha chini sana yan maswali na lugha za kuchanganya changanya mara kiingereza mara ki Swahili

  • @jacksongidione-yo8vg
    @jacksongidione-yo8vg Месяц назад

    😢

  • @michaelmulokozi1512
    @michaelmulokozi1512 Месяц назад +1

    Sauti ya Diva mpk Komando kalegea😅😅😅

  • @russiababawakutokomezaushoga
    @russiababawakutokomezaushoga Месяц назад +3

    😂😂😂😂😂 jidanganyeni mtachea huyo ni komandoo

  • @KiboshoNjenge
    @KiboshoNjenge Месяц назад +3

    This time tuwe makini

  • @enocklameck3808
    @enocklameck3808 Месяц назад +3

    Katikati ya hiyo miaka

  • @sam_ngulinzira
    @sam_ngulinzira Месяц назад

    Homeboy yuko vizuri ila mtangazaji hajafanya poa! Pia kuzungumza maswala ya chama wakati wasikilizaji na washabiki wanatoka vyama tofauti inaweza kuleta picha mbaya kuwa Wasafi ni ya CCM.

  • @rashidhamid5437
    @rashidhamid5437 Месяц назад

    Muhojaji hana sifa ya kuhoji na ina magna gani kutia kizungu kati ya mshojiano.wakati anohojiwa hajajibu kingereza ni bora ahamishiwe kuhoji watu kwa kingereza asitese wauza madafu😊

  • @edwinmakingi3631
    @edwinmakingi3631 Месяц назад +5

    Nafikiri huyu mwandishi Ni mbobezi wa stori za mapenzi, si mwanzish wa habari professional!!?

  • @lizzybrownlizzy6094
    @lizzybrownlizzy6094 Месяц назад

    Mtangazaji feilure

  • @drisakamwakitalima1937
    @drisakamwakitalima1937 Месяц назад

    Kimsingi uyo diva ana matatizo ya kimawasiliano

  • @OthanMedia_
    @OthanMedia_ Месяц назад +1

    😂😂😂 Eti Komando Madafu,,,,

  • @bmtv315
    @bmtv315 Месяц назад +1

    Class member we2

  • @prezyb1699
    @prezyb1699 Месяц назад +1

    Hiv huyo mtangazaji kasoma kweli?

  • @marcominja8850
    @marcominja8850 Месяц назад +3

    nadhani kuna tatizo la msingi kuhusu watangazaji,hawana uwezo wa kuhoji, hawana mtiririko mzuri wa kuhoji, hawajui hata ni nini anachohitaji kuhoji.

  • @adiliandidas
    @adiliandidas Месяц назад

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @Commonwealth782
    @Commonwealth782 Месяц назад +3

    Bora angefanya mahojiano na kipindi cha goodmorning, zembwera, hando, na kitenge, hapo ndo ingenoga

  • @harizondeya7771
    @harizondeya7771 Месяц назад +4

    Mahojiano kichefu chefu

  • @naqiahmad26
    @naqiahmad26 Месяц назад

    ovyo kweli huyu mdada

  • @naimasbuguza2395
    @naimasbuguza2395 Месяц назад

    Hiyu jamaa anajua kuongea Sannah, alafu anaakili nyingi Sannah kiasi anaweza kujua kusudio la swali, hivyo anajua kukwepa maswali

  • @nyamarungujr7834
    @nyamarungujr7834 Месяц назад +3

    Muuza madafu ana manager😅😅😅

  • @jizzotheking9238
    @jizzotheking9238 Месяц назад

    Tanzania vitu vya hovyo ndo vinatrend saan, yaan mpk huyo mpuuzi tayari et keshapata Menejs🤔🤔😀😀😀😀

  • @angelnicholaus9248
    @angelnicholaus9248 Месяц назад

    Una ulazima gani kung'ang'ania mtu akuambie umri wake kama hataki,waandishi wa habari jamani mmmh!!

  • @HamadiBwakame
    @HamadiBwakame Месяц назад

    Mtangazaji tunajua unaweza kizungu lakini hiya mahojia no niyaya kiswahili kwanini mnatuchanganya yunoo niyingi ebullient kama mnahitaji kuongea lmambo azishen studio ya

  • @alisaadmohammed
    @alisaadmohammed Месяц назад +1

    Mbona anaongea kama pacha wa mondi

  • @lucasmkui3160
    @lucasmkui3160 Месяц назад

    Mwandishi zingatia (ethics) maadiliya Habari tafadhari unapomfanyia interview mtu yeyote uwe makini.

  • @erickkagisa833
    @erickkagisa833 Месяц назад +1

    Taja umr wako kijana,,,harafu huyu jamaa ni mbabaishaji tu ,,,

    • @NASJAYZEROTOBILLIONTZ-gl3sb
      @NASJAYZEROTOBILLIONTZ-gl3sb Месяц назад

      kwani wewe ni nani?? mimi sikujui
      WEWE NI NANI??
      mbona kwani mbabaishaji anakuaje na sio mbabaishaji anakuwaje ,imani yako inavyokutuma itakua uko sawa

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Месяц назад

    Umeulizwa mwakaaa, unajutetea. We ni kijeba tuu. Shida ndo zinakufanya uonekane mdogo.

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 Месяц назад

    😁😁😁😁😁😁

  • @johnjoseph1106
    @johnjoseph1106 Месяц назад +2

    Commando madafu😅

  • @tevintevin6254
    @tevintevin6254 Месяц назад

    Huyu jamaa mmhhhh

  • @laddymghana
    @laddymghana Месяц назад

    😂😂😂😂 Huyo ni komando kwan nyinyi hammwon huyo hataki maswali mengi 😂😂😂ngoja diva ayatimbe hapo na maswali yake😂😂😂

  • @khamisimaallimtv8539
    @khamisimaallimtv8539 Месяц назад

    Inabidi iandaliwe interview ambayo inawakusanya wote.

  • @MussaNamkoka-xz4mv
    @MussaNamkoka-xz4mv Месяц назад

    Dhu mbona komando madafu

  • @user-jn9ym1pz5k
    @user-jn9ym1pz5k Месяц назад +1

    Mwamba wasikuhojitena usikubali wamezidi pigakazi uzamadafu

  • @gadiyemarciano1750
    @gadiyemarciano1750 Месяц назад

    Maswali ya hovyo kichizi😅

  • @maxwell8007
    @maxwell8007 Месяц назад +1

    mwandushi unazingua umri wa mtu ni Siri ya mtu sio lazima akwambie kila kitu hata Leo wakuulize wewe utojibu

  • @josephatdunda1937
    @josephatdunda1937 Месяц назад

    Huyu dada anazingua

  • @jifunzekuhusuwewe7475
    @jifunzekuhusuwewe7475 Месяц назад +2

    maswali ya kipumbavu

  • @Kim19onlinetv
    @Kim19onlinetv Месяц назад

    Dada wewe unachanganya sana lugha hili nikosa la kiutangazaji elewa uko kwenye idhaa ya lugha gani

  • @erickkagisa833
    @erickkagisa833 Месяц назад

    Watangazaji bhana!! Kama vile hawajasoma! Huyu anasema yule aliyeshuka kwenye helcopter ni soldier ,,huyu anasema hapana sio soldier ni commando😅😅 ,,sasa najiuliza commando sio soldier?

  • @bilakawaboynew978
    @bilakawaboynew978 Месяц назад

    Kumbe wa nyumbani kigoma

  • @ManenoHussen
    @ManenoHussen Месяц назад +1

    Mtangazaj una maswali

  • @rajumrecords711
    @rajumrecords711 Месяц назад

    Kipindi kimebuma . Utamuitaje Komando mchakarikaji kwenye kipindi cha Mapenzi😂

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 Месяц назад

      hahahahahaha komandoo anaulizwa umebalee ukiwa na umri gani.. akasema kitaalamu mtu ana balee akiwa na umri wa miaka 12..

  • @jozetza
    @jozetza Месяц назад

    Mtangazaji ongeza ubunifu, watu wanakuchoka

  • @MasanjangwesaJiganga
    @MasanjangwesaJiganga Месяц назад +1

    Ila huyo jamaa aty 20years Old

    • @user-vi8rt9db2q
      @user-vi8rt9db2q Месяц назад

      Hapa tumepigwa na kitu kizito huy ni kama 33........

  • @lugelosanga5798
    @lugelosanga5798 Месяц назад

    Nchii hiii kwa kutuchezesha muvi mnajua cc mininga huyuuu jamaaa anatumikaaa huyu ndo yule komandooo wanatuzani cc maboya vyombo vya habariii ni shidaaa ndo mana konki master anawadis na anawajua mambo yenu endeelezeni muviiii zenu tushawajuaaa

  • @PendoPeter-rr4jk
    @PendoPeter-rr4jk Месяц назад

    Miaka huyu 37

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 Месяц назад

    Hii nchi vijana tunasafari ndefu sana kujikomboa, tuna tatua matatizo kwa njia ambayo sio sahihi na ya muda mfupi kitu ambacho ni gharama kwa taifa ,Kipindi kama hichi kina Adolf Hitler walikua wanafanya mapinduzi na kina nyerere walikua wanajijenga kisiasa, vyombo vya habari ndio vinapalilia na kumwagilia maji ya ujinga kwene taifa wakishikiriana na wana music wao na utawala mbovu.

  • @user-ui5xc6sb5m
    @user-ui5xc6sb5m Месяц назад

    Muza madafua anaye meneja jaman ndoyeye komando madafu aliyeshuka na chopa

  • @ZiyandaMhlana
    @ZiyandaMhlana Месяц назад

    Kicheko chazadhalu

  • @emmanuel_cs
    @emmanuel_cs Месяц назад

    Huyu mchizi anaishi kwenye falsafa zake..
    Eti katikati ya miaka 20 au 21, dadeq

  • @user-zc2ms4wl6r
    @user-zc2ms4wl6r Месяц назад +2

    Du sasa hayo maswali ndio uliotiwa hapo mwambie akaulize ofis za mabasi

  • @EliaMarco
    @EliaMarco Месяц назад +2

    Kwa waandishi kama awa tusaau maendeleo

  • @user-qq3fg3kq5j
    @user-qq3fg3kq5j Месяц назад +1

    Ametokea kwa makamu wa rais 😂😂😂

  • @user-vt3uq3xv3s
    @user-vt3uq3xv3s Месяц назад +1

    21 duuu

  • @njiaya6833
    @njiaya6833 Месяц назад

    yaani sijaona swali lolote lenye professional yeyote ya uandishi demu ni wa jamaa flani alipewa mchongo wa kazi au?

  • @captainmwata9857
    @captainmwata9857 Месяц назад +1

    😂

  • @hilaliusjohn8386
    @hilaliusjohn8386 Месяц назад +1

    Mhoji na mhojiwa wote hawajui interview

    • @MwanaishaShattry
      @MwanaishaShattry Месяц назад

      Anayehoji hajui kuhoji kuna vitu huwezi kumuuliza mtu eti umebaledhe umri gani. Hayo masuala binafsi jee wewe akikuuliza umetiwa kwa mara ya kwanza ukiwa na umri gani utaeema. Si utaona aibu maana umetiwa unaumri wa miaka visa hujabalekh. Nyoko weee. Ma hiyo kijana anaakili kuliko weye.

    • @angelnicholaus9248
      @angelnicholaus9248 Месяц назад

      Anayehojiwa yuko vizuri na anajibu kufuatana na mtangazaji ambaye anaonekana hajui kazi yake.

  • @mohdkhamis3857
    @mohdkhamis3857 Месяц назад

    Ni vyma ufanye interview na Madebe na chanuo

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo8408 Месяц назад +3

    kingeleza cha nini ssa wew mtangazaji. si uongee tu kiswahili mbuzi wewe

    • @zaidihussein4311
      @zaidihussein4311 Месяц назад +2

      Matusi ya Nini kuwa mstarabu

    • @proisolution7166
      @proisolution7166 Месяц назад

      hata hivyo hii kitu ina umuhimu gani hii nchi watu wameona mambo nyeti ya nchi kama kunywa kahawa,na hii inasababishwa na viongozi wetu wakuu,hawa vijana wengi kwenye hizi media uelewa wao mdogo,so mmewapa nguvu wakaitwa watu maarufu,unaona kila issue ya nchi wanajifanya kuijuvua hizi ni dalili mbaya kwetu,kwa nafasi yoyote aliyo nayo huyo kijana sisi kwetu ktk kazi zetu za kila siku inatuhathiri nini mpaka mumulete kumuhoji.

  • @Nassor2377
    @Nassor2377 Месяц назад

    Mnamlaumu mtangazaji huyu mtangazaji hana kosa huwezi kukurupuka tuu kumuuliza maswala kumjua huyo muuza madafu ni nina lazima umtowe katka reli kwanza ili umtege huyo muandishi anamtega ndio maana anamuuliza miaka yake na tayari kamshika katka miaka alikua na demu miaka 11 nyuma it means alianza hahusiano akiwa na miaka 10 ?... dada hodari ila jamaa nae ni mbobevu kiasi katulia utazani sio muuza madafu

  • @petermuganda7322
    @petermuganda7322 Месяц назад

    Mwamba

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 Месяц назад

    Mtangazaj huna ujualo unauliza balehe unataka mkia sasa

  • @xxl5239
    @xxl5239 Месяц назад

    UMEBALEGHE UKIWA NA UMRI GANI????? 😂😂😂😂
    HUYU MWANDISHI HEHEHEHE
    MASUALI YOTE ALIYOULIZA HAYAENDANI KABISA NA HUYU JAMAA ALIVYOELEWEKA KATIKA JAMII

  • @Commonwealth782
    @Commonwealth782 Месяц назад +1

    Huyo mtangazaji ni mbongo au ni wa ulaya, viingereza vingi....hata hawezi kuendesha interview...zero kabisa

  • @KhalfanSaid-mo9jh
    @KhalfanSaid-mo9jh Месяц назад +1

    Muandishi mjinga,uyo niraia mnamtafutia kiki.... askari hajileti hadharani kwenye skendo kamahizo......wewe dada nyodo....miaka 40 hapo... unaonekana atandoa huijui....nasiku ukichukuwa mume wamtu nawewe jiweke hadharani utolewe busha...Sifa zakijinga....

  • @simonpeter5300
    @simonpeter5300 Месяц назад

    Mnaomkosoa mtangazaji mjitathmini!! Kipindi kinahusu mahusiano , nyie mnataka amuulize maswali yapi

  • @mpsanga2914
    @mpsanga2914 Месяц назад +1

    Maswali ya kijinga kabisa mwandishi anauliza pia mwamba anauerewa mkubwa anajibu kwa kunyooka pia uyu jamaa ni mwamba

  • @lucasbatano333
    @lucasbatano333 Месяц назад +1

    Maswali ya kijinga mwandishi jinga

  • @ezronhussen5401
    @ezronhussen5401 Месяц назад +1

    Dogo muongo wewe una watoto pia una zaid ya miaka 23

    • @ashrafadam4629
      @ashrafadam4629 Месяц назад

      Ni kwl n mkubwa ila kama uliskia alsema swala la umr hayupo tayar kulizungumzia leo kwahyo hawez kwambia ukwel

    • @didassadik8075
      @didassadik8075 Месяц назад

      Uncle mbona hivyo 😂😂😂😂😂😂 lkn

  • @muhsiniissa8151
    @muhsiniissa8151 Месяц назад +1

    Maswali ya kijinga kabisa

  • @BalbinaKitambi
    @BalbinaKitambi Месяц назад +3

    Jinga Hill liandishi

  • @uwezomayonko5101
    @uwezomayonko5101 Месяц назад +1

    Huyu Malaya ikifanya kipindi na Mimi makofi yatamhusu! ana maswali ya kupuuz sana

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 Месяц назад

    We dada diva unaharibu jamii

  • @jarufuyahaya3338
    @jarufuyahaya3338 Месяц назад +1

    Huyo dogo maelezo yke yaonyesha ni usalama