Mh Spika Mpina ana hoja.mamlaka Yako unayatumia vibaya Kwa kuegemea upande wa waliofika hapo bungeni kupongeza tuuu. huyo Mpina ndio anaotusemea sisi wanainchi.
Mpina anabaniwa kila kona kuwasalisha maoni yake. Ni mawazo Muhimu ila wale wa nakupongeza waziri,nakupongeza Muheshimiwa raisi, naipongeza zerikali kwa ufisadi wanapewa air time mpaka wanachoka😀
Yana uyu mwanamke anakero yani mweshimiwa anapouliza swali anatoa wapi sauti ya kumkukosoa yani ili bunge sasa hivi alina mfuto kabisa yani sijuhi tunakoelekea ni wapi bibilia kwanza ilishatoa on kua mwanamke atakiwi kuoji anacho uliza mwanaume
Wizara ya kilimo ina magari madogo ya kutembelea zaidi ya 30 na mabwana Shamba wa kutosha lkn wizara hii haimiliki hata Shamba moja wala trecta hata moja
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi UZIMA WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Lakini spika hapo Kuna namna anaonyesha kwamba hayupo interest na mtoa hoja ...anajaribu kumkandamiza mtoa hoja na kulazimisha kuifunga hiyo hoja ...mpina alikuwa na maana nzuri TU
Izi ndizo serikali zetu za Afrika jamani Mungu anapotuangalia anatuonea huruma Mambo yanayihusu nchi unafanyika mzaha. Ukoloni hata ukirudi kitakuwa na hasara gani Sasa. Ni huruma kwa sisi wenye timamu tunavyoona mabeberu wanakula vema Mali zetu sisi hatuna hata chupi wakulima. Naomba Mungu aanze kuondoa watu wabovu wanaoharibu ii nchi.
Hoja za maana zinazimishwa. Bunge hili Ni kwa faida ya nani kama sio ya. Binge hili limejaa upuuzi mtupu. Mpina ameongea kutetea wananchi speaker amechukulia kama mchezo wa kuigiza. Mungu saidia taifa letu. Halina uongozi
Mwanamke hajawahi kuacha watu salama tangu kuumbwa dunia hii, fuatilia sana historia ya wanawake tangu Adam na Hawa ni mwanamke alianza kuzingua, iko huvyo hadi leo, Mungu aliwaumba wanawake wawe wasaidizi wa wanaume na siyo watawale juu ya wanaume, Mungu atunusuru, ni janga la dunia
Yani mweshimiwa mpina sithani kama kuna mbunge mwenye weledi kama ulionao we we hapo Dodoma za sana kuna ndiyoo wewe mwenyewe unajua hapo amna binge sasa hivi Kuna ubabashaji tu hapo
Hata kabla ya waziri kuelezea content ya alichoshika mkononi, speaker alishatambua ni barua na anaomba aletewe, kupitia barua husika anatoa majibu ya hoja ya Mpina. Hii sio movie kweli?
Ktk chama Cha mapinduzi ccm na serikali yake hakuna MTU ambae simpendi kutoka moyon mwangu Kama huyu mwanamke anae jiita sipika wa bunge! namchukia mnooo.
Huyu mama ni kama vile katumwa sijui. Kwanini anawacrush wabunge pindi wanapouliza maswali? Mbona Mpina ana hoja nzuri tu Kwanini asimuache japo aelezee kidogo juu ya swali lake analotaka kuuliza?
@@georgeoballah1764 Kasahau yote hayo,Kuna baadhi ya Wavuvi aliwabambikia kesi na kuwaflisi Mali zao mpaka leo wamezama kwenye lindi la umasikini,hata hivyo ukitaka kumjua Mtu tabia yake mpe madaraka.
sipk
Ndiyo maana Mwenezi amesema wanaomwangusha Rais ni watendaji wa Serikali mpaka inafikia wananchi wanaichukia Serikali yao
Mh Spika Mpina ana hoja.mamlaka Yako unayatumia vibaya Kwa kuegemea upande wa waliofika hapo bungeni kupongeza tuuu. huyo Mpina ndio anaotusemea sisi wanainchi.
Hapo muda fulani ndipo wanaume huwa hatuamini usimamizi wa mwanamke.Nahisi Tulia ana lake jambo kwa Mpina.
Mwacheni mama nyinyiiiiii
Mpina anabaniwa kila kona kuwasalisha maoni yake. Ni mawazo Muhimu ila wale wa nakupongeza waziri,nakupongeza Muheshimiwa raisi, naipongeza zerikali kwa ufisadi wanapewa air time mpaka wanachoka😀
Mpina nimwerewa
Mpina ndiyo mbunge mzarendo, wengine wanakinga mafisadi,Rip JPM
Yana uyu mwanamke anakero yani mweshimiwa anapouliza swali anatoa wapi sauti ya kumkukosoa yani ili bunge sasa hivi alina mfuto kabisa yani sijuhi tunakoelekea ni wapi bibilia kwanza ilishatoa on kua mwanamke atakiwi kuoji anacho uliza mwanaume
Wewe mama acha kuendesha bunge kidicteta. Ndugai alikuwa hivo hivo tu, Leo Yuko wapi?
Wizara ya kilimo ina magari madogo ya kutembelea zaidi ya 30 na mabwana Shamba wa kutosha lkn wizara hii haimiliki hata Shamba moja wala trecta hata moja
Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi UZIMA WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Amen
Lakini spika hapo Kuna namna anaonyesha kwamba hayupo interest na mtoa hoja ...anajaribu kumkandamiza mtoa hoja na kulazimisha kuifunga hiyo hoja ...mpina alikuwa na maana nzuri TU
Hawapendi ukweli
Inaonekana Wanunge wengi na Mawaziri hawsjui taratibu na kanuni za Bunge
Gpasua jipu
Tulia bunge limemushinda kiufupi hatoshi
Mwanamke leo kapuyanga
Mwacheni mpna wetuuu
Izi ndizo serikali zetu za Afrika jamani Mungu anapotuangalia anatuonea huruma
Mambo yanayihusu nchi unafanyika mzaha.
Ukoloni hata ukirudi kitakuwa na hasara gani Sasa.
Ni huruma kwa sisi wenye timamu tunavyoona mabeberu wanakula vema Mali zetu sisi hatuna hata chupi wakulima.
Naomba Mungu aanze kuondoa watu wabovu wanaoharibu ii nchi.
Bunge la mchongo lanajidhihilisha.
Ndg Tulia Akson, unamnyima haki mtoa hoja
Hoja za maana zinazimishwa. Bunge hili
Ni kwa faida ya nani kama sio ya. Binge hili limejaa upuuzi mtupu. Mpina ameongea kutetea wananchi speaker amechukulia kama mchezo wa kuigiza. Mungu saidia taifa letu. Halina uongozi
Kweli najua mpina nacho sema sahihi kabsa kini nacho fanya si sawa kabisa yn yn spika
Mpina ndiye Rais wangu
ila bunge la sahivi spika ndo kila kitu nakijua yeye yaani mtu hapati uhuru wa kutoa hoja zake kikamilifu
Mpina umeongea vzr kabisa jeshi la wahuni liko kula tu
Kwel kabisaa hao niwez wakubwa hawa mpina yuko vizur sanaa
Mbona unambana mpina kuuliza maswali vzuri
Mpina mwache aereze spika usimvuruge
Wabunge viraza kazi kupiga mabench tuuu awjui km mpina anakubalika na wana nch wanaojielewa na si manyumbu
Mwanamke hajawahi kuacha watu salama tangu kuumbwa dunia hii, fuatilia sana historia ya wanawake tangu Adam na Hawa ni mwanamke alianza kuzingua, iko huvyo hadi leo, Mungu aliwaumba wanawake wawe wasaidizi wa wanaume na siyo watawale juu ya wanaume, Mungu atunusuru, ni janga la dunia
Kufa basi
Anachokiongea luhaga mpina ni sahihi kabisa lakini Kwa nini hamuelewa??? Jamani tujitafakari.
Uyu tuliakawekwananan apobungen
Sisi wakulima tunakuunga mwacheni huyo mpina anaeleza mambo yamaana sisi wakulima tunadhulumiwa
Haiko sawa
Naona spika yupo upande wa serikali, yaani inauma sana kumnyima mbunge nafasi ya kuelezea kero yake,yaani kifupi spika amembania mh mpina
Huyu spika mkorofi.. hafai
Huyu jamaa ni arrogant akiwa Waziri amefanya Madudu mengi mojawapo ni issue yangu mwenyewe
Huyu spika haelewi adha tuliyoipata/tunayopata wakulima kipindi Cha ugawaji wa mbolea.
Kweri wambie tumepata tabu sana
Hii nchi ishakuwa yakipuuzi! Hawa hawawrzi kuwa seriuz Hadi sisi wananchi tuchukue hatua,
Mbn we Mh Spika unachukua madaraka yote na unaonekana kubase kwa serikali kuwa makini Spika
Bunge kama familia yako!!!
Boring parliament ever
Mhhhhhh hii nchi bwana
Spika spika sio kwamba hatuon tunawaona , ni wazi kuwa kuna walakini
Kumbe wabunge wanauliza maswali kwa maelekezo
Sukari hatuna waziri achia ngazi
Kwel kabisaaa
Bunge hili linanishangaza mno utashangaa mbaka mashoga watajaa TZ kwa kutokuunga hoja
Yani mweshimiwa mpina sithani kama kuna mbunge mwenye weledi kama ulionao we we hapo Dodoma za sana kuna ndiyoo wewe mwenyewe unajua hapo amna binge sasa hivi Kuna ubabashaji tu hapo
Hata kabla ya waziri kuelezea content ya alichoshika mkononi, speaker alishatambua ni barua na anaomba aletewe, kupitia barua husika anatoa majibu ya hoja ya Mpina. Hii sio movie kweli?
spika gani huyu simwelewagi
Ktk chama Cha mapinduzi ccm na serikali yake hakuna MTU ambae simpendi kutoka moyon mwangu Kama huyu mwanamke anae jiita sipika wa bunge! namchukia mnooo.
Acha kuandika mambo yako ya ajabu. Unayemchukia binadamu mwenzako we we ni nani?
Huyu tulia hamna kitu
wewe tulia Mpina humuwezi Mpina nimzalendo
Takataka
Huyu mama ni kama vile katumwa sijui. Kwanini anawacrush wabunge pindi wanapouliza maswali? Mbona Mpina ana hoja nzuri tu Kwanini asimuache japo aelezee kidogo juu ya swali lake analotaka kuuliza?
Mpina hana hoja hapa
Hao wengine wote ni vibaraka wa ccm hivyo lazima wapinge kika kitu,Mpina Ana hoja za msingi lakini anapingwa kwa nguvu nyingi na spika!
Huu mfumo uboreshwe tu unasadia wakulima
Spika mbona kama anakandamiza hoja
Mnasajiri mpk wasomali hataacha kuiba kupeleka kwao kuna vita na njaa yeah lkn ni kusudi na mapenzi ya rais haleluya
Acha chuki
Kilimo kilivyo sensitive matter !
Speaka ushalambishwa Asali nn
Ahhhh bunge la kiwaki huyu mwanamke anawa crush watu wenye hoja🚮🚮
Mheshimiwa spiral yaani usiwachanganye wabunge wamalize hoja zao.ndo maana wanaconfuse kukaa bila kutegemea
Ni aibu Mpina alishakuwa mpaka Waziri inakuwaje hajui kanuni na taratibu za Bunge
Spika amekuwa kituko kweli kweli
Unauchungu wa nini😂😂😂
Hafai huyu,alitushindisha njaa wakati alifunga ziwa samaki wasivuliwe akiwa waziri
@@georgeoballah1764 Kasahau yote hayo,Kuna baadhi ya Wavuvi aliwabambikia kesi na kuwaflisi Mali zao mpaka leo wamezama kwenye lindi la umasikini,hata hivyo ukitaka kumjua Mtu tabia yake mpe madaraka.
Uchungu gani?
Hahahsaaassss