BASHE AMKUMBUKA MAGUFULI - "ALISEMA ATANITUMBUA NA KUNIFUNGA, KISA HIKI"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 16 июн 2022
  • BASHE AMKUMBUKA MAGUFULI - "ALISEMA ATANITUMBUA NA KUNIFUNGA, KISA HIKI"
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm

Комментарии • 252

  • @emmanueljosephati3192
    @emmanueljosephati3192 2 года назад +64

    Jpm Mungu akusamehe tu ulikuwa bora sana katika utedaji wako wa urais wa nich hiiiiiii

  • @elfacechongera6648
    @elfacechongera6648 2 года назад +72

    Who ever appreciate the work done by our Later Lovely President JPM is my friend# Rest Easy president JPm.

    • @alexkabeho5609
      @alexkabeho5609 2 года назад +4

      I wish ningekua na uwezo kulike many times 😭😭😭

    • @Worldunite
      @Worldunite 2 года назад +2

      Jpm alikuwa na maono na mbunifu sana

    • @fredualdragonglobalnews2635
      @fredualdragonglobalnews2635 5 месяцев назад

      Me too is not only friend but also my brother ❤

  • @muuu9505
    @muuu9505 2 года назад +21

    Kuna mawaziri wakishika 🎤🎤🎤 ni kumponda magufuli njoo msome comments za watZ jinsi chuma anavyoishi ndani ya nyoyo zao..,💗

  • @jumakapesa5289
    @jumakapesa5289 2 года назад +44

    Mh Bashe "chuma kinaniangalia"
    Rest in peace our heart's president jpm.
    Mh Bashe..piga kazi ..waziri wangu nakuamini saaana.

  • @salimalaquimane3077
    @salimalaquimane3077 2 года назад +71

    We miss you papa JPM
    Still I love you papa JPM JPM forever ❤️

  • @MsAggie5
    @MsAggie5 2 года назад +138

    Chuma kama chuma! Na wanaosema alikuwa hashauliki? Shame on them! RIP CHUMA 🙏

    • @timothmwakakusyu4563
      @timothmwakakusyu4563 2 года назад +18

      Wanaosema hashauliki ni waimba taarabu. Ndo maana alitumia wasomi ili kutumia maarifa na mawazo yao.

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 2 года назад +7

      @@timothmwakakusyu4563 sema alikuwa hasikilizi ushauri wa kijinga

    • @maimunampole9894
      @maimunampole9894 2 года назад

      @@timothmwakakusyu4563 ATAKUOA NANI? PUMBAVU SANA. tizama video reaction 👇.....
      ruclips.net/video/4G2eBUgjYYU/видео.html

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 года назад +2

      @@timothmwakakusyu4563 kweli kabisa!

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 2 года назад +4

      @@berthatz na wale WA vyeti feki!

  • @rosenamilia4140
    @rosenamilia4140 2 года назад +43

    Mh.Bashe you Deserve to be on your position as Agriculture Minister. We wish if Tanzania could have 50% of Ministers like you from others Ministry, we could be far from where we are now.KEEO IT UP MH.BASHE.

    • @JAKODAMO
      @JAKODAMO 2 года назад +1

      Not Agriculture Minister it is Minister for Agriculture

  • @catherineamos7087
    @catherineamos7087 2 года назад +24

    Rip chuma Tunamuomba Mwenyezi Mungu akupunguzie Adhabu ya kabuli Baba.

  • @malugufabiani2947
    @malugufabiani2947 2 года назад +73

    Magufuli bado anaishi kwenye mioyo ya watu hasa mawazili wake walimpenda na kautani kidogo watu walikua na raha bwana

  • @janekapinga6793
    @janekapinga6793 2 года назад +21

    Bashe nakukubali Bro Mungu yuko pamoja nawe

  • @zuenahamoud1532
    @zuenahamoud1532 2 года назад +48

    JPM we Miss you

  • @alexkihongola798
    @alexkihongola798 2 года назад +10

    Mungu akubariki Sana Bashe, Mioyo yawapenda Maendeleo hakika imesuuzika kabisa, Ingawa umerudisha msiba Upya.

  • @husseinmohamed1777
    @husseinmohamed1777 2 года назад +30

    Good story miss you Magu

  • @simonkabuka9170
    @simonkabuka9170 2 года назад +11

    Hongera Mheshimiwa Bashe. Kazi unaimudu vizuri. Mungu akulinde.

  • @bakarikalembwe1510
    @bakarikalembwe1510 2 года назад +8

    Unauhakika huo mfumo tutatoboa, ndio mheshiwa tutatoboa wewe bariki tu God bless you bashe

  • @wakutingwa.1635
    @wakutingwa.1635 2 года назад +91

    Inaleta raha kusimuliwa mambo ya JPm naona watu wametulia kumfuatilia waziri. R.I.p JPM

    • @elizabethpetro1258
      @elizabethpetro1258 2 года назад +4

      Yaan wahuni wanapata somo kuwa JPM huu bado Ni utawala wake wanafurukuta lkn JPM bado anawafunika akitajwa Mara moja anadumu Muda watasubili sana' kaenda Mark kutubu lkn Hii dhambi ya usaliti labda Atubu kwa Umma yaani watanzania wote awaambie ukwe ndio atapona.

    • @fraviansweetberty8819
      @fraviansweetberty8819 2 года назад +2

      Umeonaaaa eeeeehhhhh 💪💪💪💪💪

    • @maswamills3161
      @maswamills3161 2 года назад

      Utamu wa mema yake .Inaleta Raha.

  • @kefajoseph158
    @kefajoseph158 2 года назад +64

    MAGUFULI alikuwa mtu jamani acheni

    • @aklanhassan2917
      @aklanhassan2917 2 года назад +1

      Wengine ni kundi la nyuki

    • @joharishabani2893
      @joharishabani2893 2 года назад

      Saivi kasha wauza oman. Wanafuz wakubwa wakubwa waende oman

    • @aklanhassan2917
      @aklanhassan2917 2 года назад

      @@joharishabani2893 wacha uongo weweee.
      Una ushahidi wowote kwa hayo unayosema?

    • @joharishabani2893
      @joharishabani2893 2 года назад

      @@aklanhassan2917 kwenda uko si juz wametangaza hujaona

    • @krizofrancisco5310
      @krizofrancisco5310 Год назад

      Magufuli hakuna mtu tu alikuwa mtu na nusu

  • @japhetdaudmaneno8440
    @japhetdaudmaneno8440 2 года назад +36

    Hapo Bashe hata akimwelezea chuma JPM 🤔 hadi raha huyo ndo alikuwa jembe acha wengine wapigaji tuu

  • @ibba8082
    @ibba8082 2 года назад +31

    Wa Lweba Fizi D R Congo,Sijui ni Nini Ndani Yangu Kumuhisu JPJM,Waziri Aliposema CHUMA Moyo umedunda na Machozi Yakanitoka.Ama Kweli Sijui 🤔🤔🤔🤔

    • @telaamtauta2227
      @telaamtauta2227 2 года назад +2

      Siyo wewetu. Mimi kila ikisikiliza hutubazake moyo hauna raha nalilenenolake la iposiku mtanikumbuka huniumizasana yaani 😭😭😭😭

  • @kwilasacharles1747
    @kwilasacharles1747 2 года назад +24

    Mtu akianza kutoa hotuba inayomhusu JPM anatulia na wasikilizaji wanatega masikio yote mawili,R.I.P mwamba JPM

  • @mangulimanguli3974
    @mangulimanguli3974 2 года назад +5

    Bashe kama Bashe msema kweli Shabby anafata nyayo zako Big up bro

  • @matukimerchant5170
    @matukimerchant5170 2 года назад +14

    Nakukubali Hussein Bashe, you are a brain 🧠 amongst brains of this country. Keep up with reforms Hussein

  • @OmarOmar-gq5tk
    @OmarOmar-gq5tk 2 года назад +22

    R.I.P MAN OF THE ORPHAN'S J.P.M

  • @nestor384
    @nestor384 2 года назад +46

    Dr. JPM alikuwa mtu na nusu Mtu wa maamuzi magumu

  • @ramadhanimbulu4941
    @ramadhanimbulu4941 2 года назад +30

    Somo lililoko hapa hupaswi kumdanganya Rais!! Unatakiwa kumshauri vema na kutenda vema kwa maslahi ya Taifa.Kudanganya mamlaka ni kosa.

  • @zawadijoel7516
    @zawadijoel7516 2 года назад +41

    Bashe wewe ni kiongozi bora. Tunakuombea siku moja uwe raisi wa Tanzania

  • @alexkabeho5609
    @alexkabeho5609 2 года назад +24

    Forever in our hearts, JPM❤️

    • @maswamills3161
      @maswamills3161 2 года назад

      Oh yes♥️♥️♥️♥️♥️😭😭

  • @majaysjrmtitu5300
    @majaysjrmtitu5300 2 года назад +1

    Bashe, Bashe, Bashe... Asante sana. Mungu akulinde, akutunze na akuongezee hekima na ujasili. Tunakuomba usibadilikie njiani. Asante.

  • @kevinomondi9358
    @kevinomondi9358 2 года назад +33

    Rest in power JPM

  • @onesmojustice2348
    @onesmojustice2348 2 года назад +23

    Mwenye miwani hafurahii ndo walewale. Nina hakika huyu jamaaa tukimpa upresident na asizongwe na watu wa hovyo nchi hii mtasimulia Mambo yatakavyokwenda he is very bright brained.

    • @abuukamugisha5994
      @abuukamugisha5994 2 года назад +1

      Huyo kagaigai RC wa Kilimanjaro huwa hacheki hovyo

    • @hadija846
      @hadija846 2 года назад

      🤣🤣🤣🤣🤣👍

  • @newtongasper8683
    @newtongasper8683 2 года назад +14

    Jpm hawezi sahaulika mioyon kwetu 💔

  • @jivitafoundation450
    @jivitafoundation450 2 года назад +17

    Tunawashukuru sana kwa kutuwezesha kupata taarifa ila inabidi muwe unweka mazingira ya kupata taarifa yote

  • @hendrycomonsiwenga1128
    @hendrycomonsiwenga1128 2 года назад +40

    😋🤪🤓😝😄😜😛🤣😂😅😆😁😃😀 Chuma kinaniangalia ( Rest In Peace Rais wangu Bora JPM ) DAH!

  • @bbyboy2477
    @bbyboy2477 2 года назад +9

    MAGUFULI BABA TUNAKUKUMBUKA SANA

  • @meshackmadema781
    @meshackmadema781 2 года назад +8

    #JPM wewe ulikuwa kiongozi bora sana

  • @erickkagisa833
    @erickkagisa833 2 года назад +20

    Chuma kinaniangalia!! Nitakutumbua na ntakuweka ndani

  • @tanzanian8847
    @tanzanian8847 2 года назад +16

    Chuma kama Chuma. Ukitaja jina lake mioyo y watu inafurahi.

  • @ibraeliya7760
    @ibraeliya7760 2 года назад +9

    Miss you JPM

  • @fortuneakankizya5336
    @fortuneakankizya5336 2 года назад +8

    Nimempenda bashe jamami kweli amefundwa na mzee chuma

  • @machoguhameri7757
    @machoguhameri7757 2 года назад +15

    Nakukubali Mr Bashe Mungu atakuongoza katika kazii yako.

  • @opendoorspoutryfarm309
    @opendoorspoutryfarm309 2 года назад +10

    Akika nimefurai kusikia chuma na nimerudia mara 10 nisikie jinalake🤣🤣🤣 R.I.P magufuri

    • @gracethomas683
      @gracethomas683 2 года назад +2

      Yan Mie narudishia kila muda maana alivyofanya amempatia 😂😂

  • @mussahaji905
    @mussahaji905 2 года назад +14

    Dogo Yuko smart sana Ila naona watu wamenuna

  • @stephanokigosi656
    @stephanokigosi656 2 года назад +14

    M.A.P DAD, WE MISS YOU

  • @shebbythespyro5393
    @shebbythespyro5393 2 года назад +30

    Jpm alikuwa hana mchezo ukifeli ww ndani ilikuwa raha tu

    • @eliashibundabalinze2217
      @eliashibundabalinze2217 2 года назад +3

      Nabii Musa alipokosea, Mungu alimwambia hutaingia ktk nchi ya AHADI. Lakini ukisoma vitabu vya dini utagundua Musa alizikwa na Mungu mwenyewe.
      Swali.
      Je! Kosa moja la Musa lilifuta mema yote?
      Jibu.
      Hapana, duniani hajawahi tokea mtu azikwe na Mungu na kaburi lake halikuonekana popote.

    • @elizabethpetro1258
      @elizabethpetro1258 2 года назад +1

      @@eliashibundabalinze2217 hatujaelewa unataka kutufundiaha nini

    • @aronatv47
      @aronatv47 2 года назад

      @@elizabethpetro1258 Huwezi elewa Hata siku moja kwa akili za Kawaida..

    • @mamboshepea8888
      @mamboshepea8888 2 года назад

      @@aronatv47 haina maana kama hujatufafanulia hatuna hizo akili za ki Mingu...!!!

    • @maryshirima1234
      @maryshirima1234 2 года назад +1

      @@eliashibundabalinze2217 Maneno mazito sana...yanafikirisha!
      Ukitendea haki nafasi yako ukagusa moyo wa Baba hata kama ukikosea kwa sababu kuna kitu ulikijenga moyoni mwake hakika atakuadhibu ila kiheshima sana maana wewe ni kati ya wapendwa wake.
      Mungu atuwezeshe kwa kweli.

  • @mathiasulaiti5665
    @mathiasulaiti5665 2 года назад +11

    kama nimejifunza vizuri. naendelea kuelewa mfumo wa uongozi wa mgufuli aliamini katika mawazo yenye kuleta maendeleo hakua shingo ngumu. hii inamaanisha hata kama Kuna mahali alikua mhumu basi Kuna aliyeshauri na yeye akabariki taratibu tutapata mengi. muhimu tuendelee kuwaombea viongozi wetu ni binaadam na wanatuwazia mema

  • @hassanmirambo564
    @hassanmirambo564 2 года назад +10

    Naagalia pembeni hivi naona CHUMA kinaniangalia nikajiuliza nimekosea nini

  • @ambwenedaniel358
    @ambwenedaniel358 2 года назад +8

    Hayati JOHN POMBE MAGUFULI alikuwa ni chuma kwelikweli.....

  • @samwelipima3795
    @samwelipima3795 2 года назад +9

    Bashe JPM ulimkubali katika simulizi za mwenda zake hujawahi kumponda mngu akupiganie nazni hata wewe nikiongozi Bora sio Bora kiongozi jpm tulimkubali xana Ila kazi ya Mora haina makosa naona hata watu ulipo tamka jpm wakatulia tuli mwenyezi mungu amrehem mahala alipo na apumzike kwa amani mkombozi wa Africa akili mingi Kama putini

  • @sethmwakangata1871
    @sethmwakangata1871 2 года назад +19

    Ukweli bashe ulizaliwa kuwa Kiongozi na ni mzalendo wa kweli na kila unacho ongea unamaanisha Wala huna maigizo makubwa yako mbele yako.kuna siku Nchi utaibeba MUNGU akubariki sana.

    • @frankmwakatundu9856
      @frankmwakatundu9856 2 года назад +2

      S. Mwakang'ata Asante Sana umeukonga MOYO WANGU ULIPOSEMA IKO SIKU BASHE ATAIBEBA NCHI HII(ATAKUWA RAIS WA TANZANIA) ANASTAHILI)

    • @joharishabani2893
      @joharishabani2893 2 года назад

      Tatizo hawatutaki wa kanda ya ziwa nyelele alikufa magu kafa. Mpaka tuna ogopa

    • @victorfredy4018
      @victorfredy4018 2 года назад

      Ok

  • @mathewben9983
    @mathewben9983 2 года назад +8

    Mtu anaemwongelea JPM kwa mazuri hua namkubali ghafla kiukwel maana alikua mtu na nusu,potelea mbali wanaotafuta kueleweka kwa kumponda watajua wao

  • @sylivesterlugembe7314
    @sylivesterlugembe7314 2 года назад +6

    Katika Mawaziri ninao wakubari hapa Tz wewe ni namba moja

  • @julianaswai7846
    @julianaswai7846 2 года назад +1

    Bash kaka Mungu akutangulia kila inapoend kwenye kazi zako. Magu alikuw jembe kwelikweli

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 2 года назад +5

    Bashe tuna kilimo cha tanzanie kibadilike,na nchi nyingine ziige kutoka Tanzanie,Rip JPM

  • @leaherasto929
    @leaherasto929 2 года назад +9

    Endelea kupumzika kwaamani Rais Magufuli tumekumis sana

  • @janethpallangyo2633
    @janethpallangyo2633 2 года назад +6

    R.I.P MAGUFULI

  • @epafrangweshemi4014
    @epafrangweshemi4014 2 года назад +1

    Bashe is the one of potential person in our Tanzania country .

  • @alisaidi7477
    @alisaidi7477 2 года назад +1

    Bashee SIYO MNA FIKIII... siku zotee namkubal...na anapiga kazi qel cyo ujanja ujanjaaa

  • @hadijaalpha7547
    @hadijaalpha7547 2 года назад +17

    Uko vizuri pambana bro!naupenda uzalendo wako!rest in peace our President

  • @ezekielmugeta2427
    @ezekielmugeta2427 2 года назад +6

    #JPM😢 until next tym

  • @lusanikaseke3065
    @lusanikaseke3065 2 года назад +30

    R I P JPM

  • @saidsemainda1005
    @saidsemainda1005 2 года назад +13

    Rais wa miaka ijayo mungu akutangulie

  • @openesisraelnatai2013
    @openesisraelnatai2013 2 года назад +4

    Nimeota wewe ndiye rais ujao wa badae mungu akusaidie

  • @fraviansweetberty8819
    @fraviansweetberty8819 2 года назад +1

    Mungu azid kukutangulia Bashee

  • @erickwilliam6610
    @erickwilliam6610 2 года назад +5

    Ni mtu msikivu mjanja na muelewa Sana na ni mkali kwenye masuala yanayohusu nchi yake

  • @rahelmyombo9874
    @rahelmyombo9874 2 года назад +1

    CHUMA ❤️❤️❤️a man and half

  • @hilarioussaid397
    @hilarioussaid397 2 года назад +1

    Maashallah Bashite Kwa Hilo Vazi

  • @rutinginyaneysam.5087
    @rutinginyaneysam.5087 2 года назад +4

    Hhhhaa et ikifeli nakutumbua nakukufunga!! Na ingefeli angekufunga kweli,natamani arud president Maghufuli but Mungu aliruhusu aondoke hatunabud kukubali.

  • @HassanAlJabri
    @HassanAlJabri 2 года назад +4

    Safi mkuuuuuu!!!!!!!

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili 2 года назад +5

    🔥❤🔥

  • @afropatriot7769
    @afropatriot7769 2 года назад +4

    Mheshimiwa umesahau kusema " ahiiiiiiii!! Anhaaa!!! "

  • @rahmamohamed7730
    @rahmamohamed7730 2 года назад +1

    RIP CHUMA tutakukumbuka daima

  • @glorykapenja9473
    @glorykapenja9473 2 года назад +2

    Yule alikuwa mtu na nusu hakuwa mtu wa kawaida ilikuwa ni zawadi kutoka kwa Mungu sema tunaona lakini hatuoni

  • @salha6596
    @salha6596 2 года назад +8

    Yani jembe litakumbukwa tu Ata kimoyoyo japo wengine hawataki

  • @mwakasegeshukuru3720
    @mwakasegeshukuru3720 2 года назад +2

    Nakukubali sn Bashe

  • @princekagame8203
    @princekagame8203 2 года назад +7

    Safi Sana Bashe 👍👍

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 2 года назад +2

    Kutaja jina la hayati Magufuli inashitusha wengi serikalini. Serikali ya do called ya Sita inajitahidi sana kuifuta legacy yake. Kuna watu wana chuki kubwa kwa Hayati Magufuli haswa mafisadi na viongozi walioshindwa kuliongoza taifa hili.

  • @telaamtauta2227
    @telaamtauta2227 2 года назад

    Mungu akutangulie waziri bashe napiys Mungu akulinde nakila Shari yaraab kwamaana mmhhh wabaya wanakutazamatu hapoo

  • @iamnormal8648
    @iamnormal8648 2 года назад +2

    Mh. Bashe kuna watu wakisikia unamtajataja Chuma kwa mazuri watakuchongea utumbuliwe. Nakupongeza kwa ujasiri wako wa kumtaja Chuma kwa mazuri.

  • @beatricedaudi8233
    @beatricedaudi8233 2 года назад

    Bashe...My President👌

  • @pastorbonnyphillip8945
    @pastorbonnyphillip8945 2 года назад +2

    💪Leadership

  • @alexlyimo5225
    @alexlyimo5225 2 года назад +9

    Huyu ndiyo waziri Malini!

  • @farajastudioandstationery5798
    @farajastudioandstationery5798 2 года назад +6

    JPM 😭😭😭😭

  • @braystuskibassa3842
    @braystuskibassa3842 2 года назад +4

    Kwakuwa alitaka haki siku zote kwahiyo ungebolonga lazima angekuzingua

  • @julianaswai7846
    @julianaswai7846 2 года назад +3

    Maguful bab pumzika. Maneno yako yanaishi hat kwa viongoz wengine.lalaa pemaa magu baba.

  • @faisalkamara6122
    @faisalkamara6122 2 года назад +1

    One of the brightest minister.

  • @musason1680
    @musason1680 2 года назад +2

    Asee bashe mtu mhimu sana

  • @veraniinnocent7624
    @veraniinnocent7624 2 года назад +3

    Wekeni taarifayote atakama ni episod

  • @costantui9169
    @costantui9169 2 года назад +2

    Bashe my role model in politics

  • @richardsaidi2448
    @richardsaidi2448 2 года назад +1

    Bashe Yuko vzr

  • @gastonealinda7494
    @gastonealinda7494 2 года назад

    Chuma ni Mungu peke yake! Wengine wote tu mavumbi tu! Na mavumbini tutarudi (Zab 90:1-3).

    • @munyumunyu2772
      @munyumunyu2772 2 года назад

      Ume complicate mzee,hii ni artistic reflection ,Mungu Sio Chuma hiyo pia ni reference ni maneno ya maana kiroho sanaa.

  • @robertmgore3653
    @robertmgore3653 2 года назад +8

    Jpm

  • @ephrahimrashid8165
    @ephrahimrashid8165 2 года назад +2

    Daaaa

  • @RajeshChauhan-wb9pm
    @RajeshChauhan-wb9pm 2 года назад

    Good job Mrs minister

  • @viviankangara7492
    @viviankangara7492 2 года назад +3

    Dr. JPM daaah😭😭

  • @mwemamella1483
    @mwemamella1483 2 года назад

    "Hayati" Sio marehemu .

  • @pavillioncry5241
    @pavillioncry5241 2 года назад +1

    Mh umependeza sana

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 2 года назад +3

    KICHWA HICHI!

  • @evelynekasalile3243
    @evelynekasalile3243 2 года назад

    Rip chuma kama chuma..tu nakupenda baba,..tutaonana baadae

  • @salumjuma3152
    @salumjuma3152 2 года назад

    Nakukubali sana

  • @davidliwawa6044
    @davidliwawa6044 2 года назад +3

    JPM RIP