BASHE AMKUMBUKA MAGUFULI - "ALISEMA ATANITUMBUA NA KUNIFUNGA, KISA HIKI"
HTML-код
- Опубликовано: 16 июн 2022
- BASHE AMKUMBUKA MAGUFULI - "ALISEMA ATANITUMBUA NA KUNIFUNGA, KISA HIKI"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Jpm Mungu akusamehe tu ulikuwa bora sana katika utedaji wako wa urais wa nich hiiiiiii
Who ever appreciate the work done by our Later Lovely President JPM is my friend# Rest Easy president JPm.
I wish ningekua na uwezo kulike many times 😭😭😭
Jpm alikuwa na maono na mbunifu sana
Me too is not only friend but also my brother ❤
Kuna mawaziri wakishika 🎤🎤🎤 ni kumponda magufuli njoo msome comments za watZ jinsi chuma anavyoishi ndani ya nyoyo zao..,💗
Hakikqq
Mh Bashe "chuma kinaniangalia"
Rest in peace our heart's president jpm.
Mh Bashe..piga kazi ..waziri wangu nakuamini saaana.
We miss you papa JPM
Still I love you papa JPM JPM forever ❤️
Missing him too...😥
Chuma kama chuma! Na wanaosema alikuwa hashauliki? Shame on them! RIP CHUMA 🙏
Wanaosema hashauliki ni waimba taarabu. Ndo maana alitumia wasomi ili kutumia maarifa na mawazo yao.
@@timothmwakakusyu4563 sema alikuwa hasikilizi ushauri wa kijinga
@@timothmwakakusyu4563 ATAKUOA NANI? PUMBAVU SANA. tizama video reaction 👇.....
ruclips.net/video/4G2eBUgjYYU/видео.html
@@timothmwakakusyu4563 kweli kabisa!
@@berthatz na wale WA vyeti feki!
Mh.Bashe you Deserve to be on your position as Agriculture Minister. We wish if Tanzania could have 50% of Ministers like you from others Ministry, we could be far from where we are now.KEEO IT UP MH.BASHE.
Not Agriculture Minister it is Minister for Agriculture
Rip chuma Tunamuomba Mwenyezi Mungu akupunguzie Adhabu ya kabuli Baba.
Sio kweli
Amiin yaraab
@@hajjiomary2383 kivipi we paka!
Nilimpenda sana magufuri daaah
Magufuli bado anaishi kwenye mioyo ya watu hasa mawazili wake walimpenda na kautani kidogo watu walikua na raha bwana
Bashe nakukubali Bro Mungu yuko pamoja nawe
JPM we Miss you
Mungu akubariki Sana Bashe, Mioyo yawapenda Maendeleo hakika imesuuzika kabisa, Ingawa umerudisha msiba Upya.
Good story miss you Magu
Hongera Mheshimiwa Bashe. Kazi unaimudu vizuri. Mungu akulinde.
Unauhakika huo mfumo tutatoboa, ndio mheshiwa tutatoboa wewe bariki tu God bless you bashe
Inaleta raha kusimuliwa mambo ya JPm naona watu wametulia kumfuatilia waziri. R.I.p JPM
Yaan wahuni wanapata somo kuwa JPM huu bado Ni utawala wake wanafurukuta lkn JPM bado anawafunika akitajwa Mara moja anadumu Muda watasubili sana' kaenda Mark kutubu lkn Hii dhambi ya usaliti labda Atubu kwa Umma yaani watanzania wote awaambie ukwe ndio atapona.
Umeonaaaa eeeeehhhhh 💪💪💪💪💪
Utamu wa mema yake .Inaleta Raha.
MAGUFULI alikuwa mtu jamani acheni
Wengine ni kundi la nyuki
Saivi kasha wauza oman. Wanafuz wakubwa wakubwa waende oman
@@joharishabani2893 wacha uongo weweee.
Una ushahidi wowote kwa hayo unayosema?
@@aklanhassan2917 kwenda uko si juz wametangaza hujaona
Magufuli hakuna mtu tu alikuwa mtu na nusu
Hapo Bashe hata akimwelezea chuma JPM 🤔 hadi raha huyo ndo alikuwa jembe acha wengine wapigaji tuu
Wa Lweba Fizi D R Congo,Sijui ni Nini Ndani Yangu Kumuhisu JPJM,Waziri Aliposema CHUMA Moyo umedunda na Machozi Yakanitoka.Ama Kweli Sijui 🤔🤔🤔🤔
Siyo wewetu. Mimi kila ikisikiliza hutubazake moyo hauna raha nalilenenolake la iposiku mtanikumbuka huniumizasana yaani 😭😭😭😭
Mtu akianza kutoa hotuba inayomhusu JPM anatulia na wasikilizaji wanatega masikio yote mawili,R.I.P mwamba JPM
Bashe kama Bashe msema kweli Shabby anafata nyayo zako Big up bro
Nakukubali Hussein Bashe, you are a brain 🧠 amongst brains of this country. Keep up with reforms Hussein
R.I.P MAN OF THE ORPHAN'S J.P.M
Dr. JPM alikuwa mtu na nusu Mtu wa maamuzi magumu
Na maamuzi yenye FAIDA.
Somo lililoko hapa hupaswi kumdanganya Rais!! Unatakiwa kumshauri vema na kutenda vema kwa maslahi ya Taifa.Kudanganya mamlaka ni kosa.
Bashe wewe ni kiongozi bora. Tunakuombea siku moja uwe raisi wa Tanzania
Forever in our hearts, JPM❤️
Oh yes♥️♥️♥️♥️♥️😭😭
Bashe, Bashe, Bashe... Asante sana. Mungu akulinde, akutunze na akuongezee hekima na ujasili. Tunakuomba usibadilikie njiani. Asante.
Rest in power JPM
Mwenye miwani hafurahii ndo walewale. Nina hakika huyu jamaaa tukimpa upresident na asizongwe na watu wa hovyo nchi hii mtasimulia Mambo yatakavyokwenda he is very bright brained.
Huyo kagaigai RC wa Kilimanjaro huwa hacheki hovyo
🤣🤣🤣🤣🤣👍
Jpm hawezi sahaulika mioyon kwetu 💔
Tunawashukuru sana kwa kutuwezesha kupata taarifa ila inabidi muwe unweka mazingira ya kupata taarifa yote
😋🤪🤓😝😄😜😛🤣😂😅😆😁😃😀 Chuma kinaniangalia ( Rest In Peace Rais wangu Bora JPM ) DAH!
@@condegsubscribes7911 Hakuna mwanadamu aliye kamilifu!
MAGUFULI BABA TUNAKUKUMBUKA SANA
#JPM wewe ulikuwa kiongozi bora sana
Chuma kinaniangalia!! Nitakutumbua na ntakuweka ndani
😂😂😂😂😂
Chuma kama Chuma. Ukitaja jina lake mioyo y watu inafurahi.
Miss you JPM
Nimempenda bashe jamami kweli amefundwa na mzee chuma
Nakukubali Mr Bashe Mungu atakuongoza katika kazii yako.
Akika nimefurai kusikia chuma na nimerudia mara 10 nisikie jinalake🤣🤣🤣 R.I.P magufuri
Yan Mie narudishia kila muda maana alivyofanya amempatia 😂😂
Dogo Yuko smart sana Ila naona watu wamenuna
M.A.P DAD, WE MISS YOU
Jpm alikuwa hana mchezo ukifeli ww ndani ilikuwa raha tu
Nabii Musa alipokosea, Mungu alimwambia hutaingia ktk nchi ya AHADI. Lakini ukisoma vitabu vya dini utagundua Musa alizikwa na Mungu mwenyewe.
Swali.
Je! Kosa moja la Musa lilifuta mema yote?
Jibu.
Hapana, duniani hajawahi tokea mtu azikwe na Mungu na kaburi lake halikuonekana popote.
@@eliashibundabalinze2217 hatujaelewa unataka kutufundiaha nini
@@elizabethpetro1258 Huwezi elewa Hata siku moja kwa akili za Kawaida..
@@aronatv47 haina maana kama hujatufafanulia hatuna hizo akili za ki Mingu...!!!
@@eliashibundabalinze2217 Maneno mazito sana...yanafikirisha!
Ukitendea haki nafasi yako ukagusa moyo wa Baba hata kama ukikosea kwa sababu kuna kitu ulikijenga moyoni mwake hakika atakuadhibu ila kiheshima sana maana wewe ni kati ya wapendwa wake.
Mungu atuwezeshe kwa kweli.
kama nimejifunza vizuri. naendelea kuelewa mfumo wa uongozi wa mgufuli aliamini katika mawazo yenye kuleta maendeleo hakua shingo ngumu. hii inamaanisha hata kama Kuna mahali alikua mhumu basi Kuna aliyeshauri na yeye akabariki taratibu tutapata mengi. muhimu tuendelee kuwaombea viongozi wetu ni binaadam na wanatuwazia mema
Naagalia pembeni hivi naona CHUMA kinaniangalia nikajiuliza nimekosea nini
Hayati JOHN POMBE MAGUFULI alikuwa ni chuma kwelikweli.....
Bashe JPM ulimkubali katika simulizi za mwenda zake hujawahi kumponda mngu akupiganie nazni hata wewe nikiongozi Bora sio Bora kiongozi jpm tulimkubali xana Ila kazi ya Mora haina makosa naona hata watu ulipo tamka jpm wakatulia tuli mwenyezi mungu amrehem mahala alipo na apumzike kwa amani mkombozi wa Africa akili mingi Kama putini
Ukweli bashe ulizaliwa kuwa Kiongozi na ni mzalendo wa kweli na kila unacho ongea unamaanisha Wala huna maigizo makubwa yako mbele yako.kuna siku Nchi utaibeba MUNGU akubariki sana.
S. Mwakang'ata Asante Sana umeukonga MOYO WANGU ULIPOSEMA IKO SIKU BASHE ATAIBEBA NCHI HII(ATAKUWA RAIS WA TANZANIA) ANASTAHILI)
Tatizo hawatutaki wa kanda ya ziwa nyelele alikufa magu kafa. Mpaka tuna ogopa
Ok
Mtu anaemwongelea JPM kwa mazuri hua namkubali ghafla kiukwel maana alikua mtu na nusu,potelea mbali wanaotafuta kueleweka kwa kumponda watajua wao
Katika Mawaziri ninao wakubari hapa Tz wewe ni namba moja
Bash kaka Mungu akutangulia kila inapoend kwenye kazi zako. Magu alikuw jembe kwelikweli
Bashe tuna kilimo cha tanzanie kibadilike,na nchi nyingine ziige kutoka Tanzanie,Rip JPM
Endelea kupumzika kwaamani Rais Magufuli tumekumis sana
R.I.P MAGUFULI
Bashe is the one of potential person in our Tanzania country .
Bashee SIYO MNA FIKIII... siku zotee namkubal...na anapiga kazi qel cyo ujanja ujanjaaa
Uko vizuri pambana bro!naupenda uzalendo wako!rest in peace our President
#JPM😢 until next tym
R I P JPM
Rais wa miaka ijayo mungu akutangulie
Nimeota wewe ndiye rais ujao wa badae mungu akusaidie
Mungu azid kukutangulia Bashee
Ni mtu msikivu mjanja na muelewa Sana na ni mkali kwenye masuala yanayohusu nchi yake
CHUMA ❤️❤️❤️a man and half
Maashallah Bashite Kwa Hilo Vazi
Hhhhaa et ikifeli nakutumbua nakukufunga!! Na ingefeli angekufunga kweli,natamani arud president Maghufuli but Mungu aliruhusu aondoke hatunabud kukubali.
Safi mkuuuuuu!!!!!!!
🔥❤🔥
Mheshimiwa umesahau kusema " ahiiiiiiii!! Anhaaa!!! "
RIP CHUMA tutakukumbuka daima
Yule alikuwa mtu na nusu hakuwa mtu wa kawaida ilikuwa ni zawadi kutoka kwa Mungu sema tunaona lakini hatuoni
Yani jembe litakumbukwa tu Ata kimoyoyo japo wengine hawataki
Nakukubali sn Bashe
Safi Sana Bashe 👍👍
Kutaja jina la hayati Magufuli inashitusha wengi serikalini. Serikali ya do called ya Sita inajitahidi sana kuifuta legacy yake. Kuna watu wana chuki kubwa kwa Hayati Magufuli haswa mafisadi na viongozi walioshindwa kuliongoza taifa hili.
Mungu akutangulie waziri bashe napiys Mungu akulinde nakila Shari yaraab kwamaana mmhhh wabaya wanakutazamatu hapoo
Mh. Bashe kuna watu wakisikia unamtajataja Chuma kwa mazuri watakuchongea utumbuliwe. Nakupongeza kwa ujasiri wako wa kumtaja Chuma kwa mazuri.
Bashe...My President👌
💪Leadership
Huyu ndiyo waziri Malini!
JPM 😭😭😭😭
Kwakuwa alitaka haki siku zote kwahiyo ungebolonga lazima angekuzingua
Maguful bab pumzika. Maneno yako yanaishi hat kwa viongoz wengine.lalaa pemaa magu baba.
One of the brightest minister.
Asee bashe mtu mhimu sana
Wekeni taarifayote atakama ni episod
Bashe my role model in politics
Bashe Yuko vzr
Chuma ni Mungu peke yake! Wengine wote tu mavumbi tu! Na mavumbini tutarudi (Zab 90:1-3).
Ume complicate mzee,hii ni artistic reflection ,Mungu Sio Chuma hiyo pia ni reference ni maneno ya maana kiroho sanaa.
Jpm
Daaaa
Good job Mrs minister
Dr. JPM daaah😭😭
"Hayati" Sio marehemu .
Mh umependeza sana
Yaah' kapendeza
KICHWA HICHI!
Rip chuma kama chuma..tu nakupenda baba,..tutaonana baadae
Nakukubali sana
JPM RIP