UTACHEKA vituko vya kiongozi magufuli / Bashe Toa darasa Mbele ya JPM

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024
  • 🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
    🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV ( +255 767 400402),
    🔘WhatsApp ( +255 692 318213)
    🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
    🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...

Комментарии • 14

  • @omarymnuru8746
    @omarymnuru8746 3 года назад +8

    Bashe he is so smart, mwenyekiti anavyocheka unajua kabisa kama hamna kitu anacheka sana kuliko kuonesha uwezo wa kutetea nafasi yake ya uenyekiti

  • @noelnoel4916
    @noelnoel4916 Год назад

    Unaona ufatiliaji wa Mh baba Rais magufuli, angepata awamu ya Pili kingeeleweka sana. Mungu ailaze roho yake mahali pema. Na Mh Bashe very knowledgeable. Masha Allah

  • @mwemamella1483
    @mwemamella1483 2 года назад +3

    JPM alishughulika na matatizo ya Watanzania moja kwa moja kutoka chini na alikua mfuatiliaji makini kwa kila kinachoendelea kila mahali. Andelee kupumzika kwa amani!

  • @aludomakori4230
    @aludomakori4230 3 года назад +3

    Umelala Ila sitachoka kukusikiliza

  • @emmanuelellymwakyusa2900
    @emmanuelellymwakyusa2900 2 года назад +1

    I miss JPM TRANSPARENCE uwaazi wa mambo ELIMU na CONSCIENCE

  • @mathiaszakaria7052
    @mathiaszakaria7052 3 года назад +3

    Wamepeana vyeo Hana weledi wa kuwa mwenyekiti asee lohhhhh

  • @asnathmasegenya9890
    @asnathmasegenya9890 2 года назад +1

    Rais wetu haupo nasi lakini bado tunajivunia kwa uongozi wako Bashe ashike nafasi yko anajielewa mno.

  • @mkalimsili1614
    @mkalimsili1614 2 года назад +2

    Mara ya mwisho kumuona magufuli manyoni dah

  • @FabianDickson-bg5ch
    @FabianDickson-bg5ch 4 месяца назад

    Bashe among important mps

  • @peterkisanga8089
    @peterkisanga8089 3 года назад +3

    Hii shida ya wenyeviti wabovu ipo sehemu nyingi. Mwingine kule Moshi aliamuru wajumbe waliovaa barakoa wavue. MaDED nao shida tupu..tatizo linaaanzia pale tunapogawa vyeo makada

  • @aminimushi6945
    @aminimushi6945 3 года назад +3

    Hao ndio wanao pita bila kupingwa, hao wapo wengi.

  • @sanzuboy4676
    @sanzuboy4676 2 года назад

    🙏

  • @markraphael5242
    @markraphael5242 5 месяцев назад

    Shida kujua kusoma, kuandika na kuhesabu mwendo wa KKK