RAIS MAGUFULI 'AMCHANA' BASHE "ULIKOSOA BUNGENI KAFANYE WEWE SASA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024

Комментарии • 14

  • @angelsylvester4795
    @angelsylvester4795 2 года назад +2

    Kaka yangu bashe nakupenda sana na wewe ni kichwa chuma alikuamini sana haujawahi kutuangusha mola akupe kheri zaidi na umri mlefu💯💯💯💯👋👋💕

  • @erodeshayo123
    @erodeshayo123 2 года назад +2

    Ulimfungulia mlango hatakusahau kamwe maishani mwake Mung akupe Pumziko la Amani masee wetu

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 5 лет назад +2

    Yani uncle Magu ni kama ulisomaga comment yangu. Nilisema Bashe angepewa uwaziri ktk wizara ya kilimo. Mwenyezi Mungu amuwezeshe na amlinde ktk kazi zake. Shukran uncle wetu wa taifa.

  • @christinamichaeel9713
    @christinamichaeel9713 5 лет назад +2

    Hongera sana mungu akuongoze

  • @edinamutakyawa6872
    @edinamutakyawa6872 5 лет назад +1

    safi sn

  • @victorsir-nga7708
    @victorsir-nga7708 5 лет назад +1

    bashe kazi anayo sasa,kilimo ni kila kitu.shida maji ila serikali inabidi kupunguza kodi zaidi na zaidi kwenye pembejeo na vifaa vya kilimo hasa pump machine za kusukumia maji.

  • @profkrayshelu5379
    @profkrayshelu5379 5 лет назад +1

    Wakulima tunafuraha na imani kubwa na uteuzi huu.

  • @digital21.13
    @digital21.13 5 лет назад +2

    Kwa bashe mzee hajakosea

  • @magomakabanja480
    @magomakabanja480 Год назад +1

    Siulikua Hautaki Ushauri

  • @raageabdi3123
    @raageabdi3123 5 лет назад +1

    Tuna kuamini Bashe wewe ni Jembe utabadilisha mambo mengi kapige Kazi

  • @harmonizeeetz6461
    @harmonizeeetz6461 5 лет назад +1

    #SAMSUNG wametoa brand ya simu mpya ya maajab ili kujua bei yake na kama unataka kuinunua uchek kupitia ruclips.net/video/p1__jGF8OvU/видео.html