Rais John Magufuli leo Jumatatu, Machi 19 ameweka wazi matokeo ya kamati teule aliyoiunda kuchunguza mwenendo wa viwanda vinavyoagiza sukari ya viwandani.
elimu elimu elimu eeeeeeeeelimu mzee imekua ya matabaka mno.tena walimu wako wavivu kwasababu wamesoma pamoja tatizo nn kama wanamgomo ajili wapya.ILBORU,MINAK,TOSAMAGANGA zimepotelea wapi?
Sugar companies you need to have business partner abroad just in case u need extra sugar u communicate with them. Sasa nyie mpaka utafute dalali wa kukununulia sukar aibu gani hii??
Hakika Tulikua na Raisi
Asante raisi wetu mwenyezi MUNGU yupo pamoja nawe
Well said Mr. President.....
Big up rais yetu unaona mbali Kwa mafanikio yetu
Such an Amazing president stay blessed you give me the way towards my aspirations I love you Magufuli
#USIJIPUNJE mkuu waambie ukweli wajifunze na wajirekebishe.
Wajibu kabisa
Yupo nyuma sana kimaendeleo,lione hili
Jpm love uuu forever
nchi hii,kweli bora tu upo,maana watu wamekuwa wezi na ni watu wa ajabu,yaani mtu anaomba tani zote hizo,na kiwanda hana.daa,endelea tu kuwatumbua
#na majibu wakupee hii nchi daanh
Jembe na kukubal miaka mia
Unatisha mzee
Sema rais wetu hakuna ujaujanja ukweri tu
ukosawa mheshimiwa watakubali hatawaliokuawanakukataa
hapo MZEE nakupa umenena
Safiiiiiii mzeeee tumbuaaa hayo majipu yameivaa kweri kweri?
Check wazungu wanavyoshangaa
Na vipuli vyake inabidi tutengeze hapa tzn
Wape makavu mjomba wameanza kukuelewa
why? because
Utengezaji wa magari mbona kimya
kwahiyo utazuia kujenga viwanda vipya hadi uhakiki viwanda hewa
UNAULIZA JIBU?
Haaaahaaaaaa
Shida tujiulize kwa nini Sukari ya Hapa Kwetu ni Ghali kuliko Inayotoka nje sisi makodi ndio yanatusumbua na Ubora pia..
wambie mzeee
Pambana kamanda huenda hawajakuelewa wape darasa.
Bodi ya mboga za majani
Tumekosa fursa huku tunaweza tusaidie
Magufuli oyeeeeeeeeeeeee mungu akulinde baba
elimu elimu elimu eeeeeeeeelimu mzee imekua ya matabaka mno.tena walimu wako wavivu kwasababu wamesoma pamoja tatizo nn kama wanamgomo ajili wapya.ILBORU,MINAK,TOSAMAGANGA zimepotelea wapi?
Mheshimiwa tumbua hayo majipu
Dishonest dah! This is a serious regime.. so watch out guys work with the govt honestly then u will enjoy.
Sugar companies you need to have business partner abroad just in case u need extra sugar u communicate with them. Sasa nyie mpaka utafute dalali wa kukununulia sukar aibu gani hii??
Vizuri xanaaaa