Rais Magufuli atema cheche sakata la sukari ya viwandani

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 мар 2018
  • Rais John Magufuli leo Jumatatu, Machi 19 ameweka wazi matokeo ya kamati teule aliyoiunda kuchunguza mwenendo wa viwanda vinavyoagiza sukari ya viwandani.

Комментарии • 36

  • @yohanamagele3633
    @yohanamagele3633 2 года назад +3

    Hakika Tulikua na Raisi

  • @wcbwanatishakiranikirudiab2349
    @wcbwanatishakiranikirudiab2349 6 лет назад +1

    Asante raisi wetu mwenyezi MUNGU yupo pamoja nawe

  • @mboyajackson4574
    @mboyajackson4574 6 лет назад +1

    Well said Mr. President.....

  • @jaffaryjuma7079
    @jaffaryjuma7079 6 лет назад +1

    Big up rais yetu unaona mbali Kwa mafanikio yetu

  • @youngdonnyhalf-life9175
    @youngdonnyhalf-life9175 6 лет назад

    Such an Amazing president stay blessed you give me the way towards my aspirations I love you Magufuli

  • @ibrahimhumbotv
    @ibrahimhumbotv 6 лет назад +3

    #USIJIPUNJE mkuu waambie ukweli wajifunze na wajirekebishe.

  • @jamesjulius3496
    @jamesjulius3496 6 лет назад +1

    Wajibu kabisa

  • @jaffaryjuma7079
    @jaffaryjuma7079 6 лет назад +1

    Yupo nyuma sana kimaendeleo,lione hili

  • @dinhomnyonga7298
    @dinhomnyonga7298 6 лет назад +4

    Jpm love uuu forever

  • @andreajeremia436
    @andreajeremia436 6 лет назад +2

    nchi hii,kweli bora tu upo,maana watu wamekuwa wezi na ni watu wa ajabu,yaani mtu anaomba tani zote hizo,na kiwanda hana.daa,endelea tu kuwatumbua

  • @ommarymzee1161
    @ommarymzee1161 6 лет назад +2

    #na majibu wakupee hii nchi daanh

  • @boazimbwaga8771
    @boazimbwaga8771 6 лет назад +2

    Jembe na kukubal miaka mia

  • @selemanikibisu7460
    @selemanikibisu7460 6 лет назад +1

    Unatisha mzee

  • @omarjumanne4471
    @omarjumanne4471 6 лет назад +1

    Sema rais wetu hakuna ujaujanja ukweri tu

  • @zawadimgonde7331
    @zawadimgonde7331 6 лет назад +2

    hapo MZEE nakupa umenena

  • @chrishicksambo880
    @chrishicksambo880 6 лет назад +2

    Safiiiiiii mzeeee tumbuaaa hayo majipu yameivaa kweri kweri?

  • @cnm2976
    @cnm2976 2 года назад

    Check wazungu wanavyoshangaa

  • @jaffaryjuma7079
    @jaffaryjuma7079 6 лет назад

    Na vipuli vyake inabidi tutengeze hapa tzn

  • @jamesmwanzalima6717
    @jamesmwanzalima6717 6 лет назад +1

    Wape makavu mjomba wameanza kukuelewa

  • @jacobkatulitsa5395
    @jacobkatulitsa5395 6 лет назад

    why? because

  • @jaffaryjuma7079
    @jaffaryjuma7079 6 лет назад

    Utengezaji wa magari mbona kimya

  • @omarymbalala6224
    @omarymbalala6224 6 лет назад +1

    kwahiyo utazuia kujenga viwanda vipya hadi uhakiki viwanda hewa

  • @rashidmohamedomar8300
    @rashidmohamedomar8300 6 лет назад +1

    Bodi ya mboga za majani

  • @youngdonnyhalf-life9175
    @youngdonnyhalf-life9175 6 лет назад

    Tumekosa fursa huku tunaweza tusaidie

  • @gracejonathan6258
    @gracejonathan6258 6 лет назад +1

    Magufuli oyeeeeeeeeeeeee mungu akulinde baba

  • @sebastianngimba4850
    @sebastianngimba4850 6 лет назад

    elimu elimu elimu eeeeeeeeelimu mzee imekua ya matabaka mno.tena walimu wako wavivu kwasababu wamesoma pamoja tatizo nn kama wanamgomo ajili wapya.ILBORU,MINAK,TOSAMAGANGA zimepotelea wapi?

  • @shedrackyusuph7004
    @shedrackyusuph7004 4 года назад

    Mheshimiwa tumbua hayo majipu

  • @edwardedward2520
    @edwardedward2520 6 лет назад

    Dishonest dah! This is a serious regime.. so watch out guys work with the govt honestly then u will enjoy.

  • @edwardedward2520
    @edwardedward2520 6 лет назад

    Sugar companies you need to have business partner abroad just in case u need extra sugar u communicate with them. Sasa nyie mpaka utafute dalali wa kukununulia sukar aibu gani hii??