MAPYA SAKATA LA SUKARI UMOJA WA WAZALISHAJI NCHINI WATOA TAMKO "TUMEHUKUMIWA BILA SISI KUSIKILIZWA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 июл 2024

Комментарии • 75

  • @davidlaiser8174
    @davidlaiser8174 19 дней назад +13

    Mimi ningekua serikali ningewalinda hawa wazalishaji.Inaonekana wakati wa Magufuli walisikilizwa wakazidi kuwekeza kumeet uhitaji wa nchi na baadae kuuza nje.Economically by 2025 sukari ingekiwa inatosheleza na automatically bei ingeshuka chini na ingekua stable.
    Ushauri wangu kwa serikali isiwe inabadilisha badilisha sera kwa sababu ya ubinafsi.Laiti kama Magufuli(R.I.P) angekua hai hadi 2025 swala la sukari lingekua historia. Sasa kwa sababu ukiagiza nje kunapesa nyingi ndo maana kunatamaa imeingiwa.Tujenge nchi jamani tusijijenge wenyewe.
    Eti kununua nje ndo bei ishuke.Huu ni ushetani.

  • @husseinhemedi9314
    @husseinhemedi9314 19 дней назад +10

    Mpina akiongea wanampiga biti

  • @juliusmartin1839
    @juliusmartin1839 3 дня назад +1

    Wamiliki wa viwanda vya Sukari Zalisheni Sukari ya kutosha...tafuteni mbinu za kutosha kuzalisha Sukari...hiyo ndiyo Heshima yenu...KUPIGIA UPATU KUAGIZA SUKARI NJE NDIYO AIBU YENU...

  • @norbartmbowe3829
    @norbartmbowe3829 18 дней назад +1

    Mzee anajiamin kwel kweli, kaongea ukweli mtu kwa uelewa wangu mdoogo. UPUMZIKE KWA AMANI RASI MAGUFULI.

  • @rkcomercialenterprises3209
    @rkcomercialenterprises3209 19 дней назад +7

    Ayoo tv,mbona uzito kidogo hivyo kwenye issue yenye uzito mkubwa sana kwa watz

  • @bakarimsonga9362
    @bakarimsonga9362 18 дней назад +1

    Swali ni kujua wakati production inaongezeka vip population ya 2015 bado Iko vilevile? We need smart and realistic information na sio one side information. Sensa ya mwaka 2002 population ilikuwa 45mil miaka 10 baadae tumekuwa 61mil hii ni ishara kwamba wakati mnatafuta sulumu ya matatizo lazima twende sanjari na mahitaji.

  • @kibundapesamadimba6352
    @kibundapesamadimba6352 18 дней назад +1

    Mpina hongera sana,umeshinda

  • @joshuasamson9618
    @joshuasamson9618 19 дней назад +5

    Niliwahi kusema
    Mkanitukana kisa Millard Ayo Anau ccm sana umaarufu wake umekufaa kabisa hajui Anachokifanya Anapotosha sana 🙏 😢 😅

    • @abdulikilala5902
      @abdulikilala5902 19 дней назад

      Anauwaje ccm wakati ccm viongozi wa ccm ndo wanaiua ccm ndo maana ulitukanwa

    • @abdulikilala5902
      @abdulikilala5902 19 дней назад

      Milady ayo yeye mwandishi tu na pia mwandishi sio lazima upost umbeya na kusifia tu hats kukosoa pia hujitambui ndo maana ulitukannwa hivi bado unaimani na viongozi wa ccm ww? Asilimia 85 ya viongozi wa ccm ni majizi makubwa na yanateteana na sisi wenyewe ccm lakin tumechoka na viongozi waongo kudanganya tu wananchi

    • @joshuasamson9618
      @joshuasamson9618 19 дней назад

      @@abdulikilala5902 ccm imekufa siku nyingi miguu juu iko chaliii uko wapi

  • @OswinPius
    @OswinPius 18 дней назад +1

    Bodi ya sukari, waziri wa kilimo, uwejezaji, viwanda na biashara bado wapo kazini?

  • @jumbeojaso5767
    @jumbeojaso5767 19 дней назад +3

    Kuna kashfa kubwa katika sakata hili la sukari ,
    Ikiundwa tume huru kuna viongozi watapukutika na kushtakiwa kwa uhujumu uchumi.
    Yote aliyoongea mpina yanajidhihiri kwa tamko hilo la wenye viwanda.
    Inasikitisha kwamba walinyimwa hata kukutana na kamati ya kilimo ya Bunge, why?
    Ni nani huyo aliyekataa ni spika????😮😮

    • @jasonwatz7457
      @jasonwatz7457 19 дней назад

      Anajulikana lakin sababu kuna maslah upande huo hawato mtaja

    • @hajihassan5433
      @hajihassan5433 19 дней назад

      Kwa nini ilikuwa sukari haipo na bei juu sana. Tunachotaka sisi ni unafuu wa bei inawezekana je mtajuwa nyinyi.

  • @petromgaya1746
    @petromgaya1746 19 дней назад +3

    Bashe kwanini anawakatili hawa jamaa mbona wapo straight sanaaa kwann MUNGU anakuona we msomali

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 19 дней назад +1

    Kutakuwa na uhararamia mahali,

  • @julianmsele3880
    @julianmsele3880 18 дней назад +1

    MAMA KAJIFANYA CHURA KIZIWI SO HATA HAYA HAYASIKIII HII NCHI NI KAMA HAINA RAISI YANI INAKERA😢

    • @walidmgonja3644
      @walidmgonja3644 2 дня назад

      Kama unaona kuwa nchi hii haina rais subiri karibuni hivi utathibitisha au utakanusha ulichokiandika

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl 19 дней назад +1

    Vonja bodi ya sokari,na wizara ivunjwè pia

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 19 дней назад +2

    Chanel ya CCM hii kwa huyu usitegemee anything tangible zaidi ya udaku na uchawa tu.

  • @eng.davidnestory3632
    @eng.davidnestory3632 19 дней назад

    Kama mtaalam wa tathmini na ufuatiliaji kuna tatizo hili kwa sasa instrument ya MH. Rais, Mama yetu inahitajika kuingilia kati hata MH. Spika anajua kuwa kuna sehemu tunapigwa!!

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 19 дней назад +1

    mwiguru must go

  • @bakarikayugwa3295
    @bakarikayugwa3295 19 дней назад +1

    Ayo huyu ni mamruki kwenye swara rinarohusu serikali humuoni atapita kinafki kama hivi

  • @rodsconehenry4249
    @rodsconehenry4249 19 дней назад

    😮😮😮

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 19 дней назад

    Kwenye siasa hua nchi za Africa hazikiwezi. Wanaenda kutokana na mkakati Wa nchi wafadhiri wanataka nini. Ndo Maana kila mwaka tunasema kua tunahitaji viwanda wakati sisi wenyewe ndo tunaviua.

  • @Optionxll_Playz1
    @Optionxll_Playz1 19 дней назад

    Ni Kwa nini tusiwe na asilimia 75% na wawekezaji wawe na asilimia kidogo tu ,badiliaheni Sheria bwana

  • @joshuamtinangi6958
    @joshuamtinangi6958 19 дней назад

    Serikali imetunga Sheria ya kununua Sukari ya ziada toka viwanda cya Sukari kabla ya kununua nje.
    SASA hofu yenu ni nini kama siyo kutaka Sukari iwe bei ya shs 4000 Kwa kilo.

  • @IsaacPhilemon-mt7bk
    @IsaacPhilemon-mt7bk 19 дней назад

    Ayo TV,hilo suala litafutie kichwa cha habari kingine kizito kidogo,ni la mhimu sana.
    Umelichukulia poa sana au unaogopa serikali.
    Kinachofanywa na akina Bashe ni ufisadi wa hali ya juu,pia nikuua viwanda na kuwapoteza wakulima wa miwa.

    • @abdulikilala5902
      @abdulikilala5902 19 дней назад

      Kaaandika vile kutokana na walivyomueleza kabla hajapost kaambiwa hivyo na waziri wa kilimo alisema wameshindwa kuzalisha hata tani moja akiwa mbungeni Sasa kama waziri anasema hivyo na hao wazalishaji wanadai hawakushindwa nani mkweli? Acha kudakia mada fatilia waziri wa kilimo kasema nini?

    • @IsaacPhilemon-mt7bk
      @IsaacPhilemon-mt7bk 19 дней назад

      @@abdulikilala5902 Waziri wa kilimo ni jipu

  • @butotanto
    @butotanto 19 дней назад +1

    Hii nchi inajitosheleza kisukari?🤔🤔🤔

  • @pilehkumpaul3034
    @pilehkumpaul3034 16 дней назад

    Bashe kwake kuna kazi

  • @sashawambura
    @sashawambura 19 дней назад

    Hatutaki blah blah..hakikisheni Sukari inapatikana na inauzwa kwa bei nafuu..Period

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl 19 дней назад

    Inawezekanaje serikali ikawa na is a ndogo namnazo hiyo ,campuni 75% wananchi 25% kweli madudu yatakosekana kweli.

  • @user-wl9ry9tk7p
    @user-wl9ry9tk7p 19 дней назад

    Kwani lazima tutumie SUKARI? Tufuate ushauri wa prof.Janabi. wangeshusha tu bei maana si kitu cha lazima kwa binadamu ni magonjwa tu maana hata ukila ugali mwisho wa siku utapata "glucose" yaani sukari tunafeli wapi wabongo?

  • @user-bj1so5lq8v
    @user-bj1so5lq8v 19 дней назад

    Kk

  • @hamzakimaro3764
    @hamzakimaro3764 19 дней назад

    nyie wanye viwanda vya sukari acheni kuitisha serekali,kwani ni lazima sukari yenu muuze kwa watanzania,uzeni hata brazili!msiwaumize walaji wanyonge kwa tamaa ya kupata faida kubwa!!

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 19 дней назад +2

    Huy mzee hata kusem hawez au amelewa 😂😂

    • @rkcomercialenterprises3209
      @rkcomercialenterprises3209 19 дней назад +2

      Wewe,ndio huelewi anachoongea.He is a very learned carrier diplomatic sijui wewe una cheo gani mmmmhhh

    • @jumbeojaso5767
      @jumbeojaso5767 19 дней назад

      Akili ndogo husikia bila kuelewa, kama hukumwelewa your ZERO BRAIN.
      Mpungwe ni mwana diplomasia wa daraja juu kabisa nchini ,msomi anayeheshimika kote alipofanya kazi.

    • @MujuniKamugisha
      @MujuniKamugisha 19 дней назад +1

      Wewe akili ni ndogo sana kwaiyo huwezi kumuelewa

    • @abdulikilala5902
      @abdulikilala5902 19 дней назад

      Mnakosoa watu matajiri hivi ww unayemokoa huyu mzeee kwamba Ase uongo hata pikipiki tu huna unamwambia Mzee muongo

    • @beatricekatunzi3721
      @beatricekatunzi3721 19 дней назад

      Ana uelewa mkubwa sana​@@rkcomercialenterprises3209

  • @abdulikilala5902
    @abdulikilala5902 19 дней назад +1

    Kuna baaadhi ya watu wanakosoa hutu mzee ni upungufu wa akili yeye ndie mzalishaji alafu unamuona hana maana

    • @MaulidiMsingwa
      @MaulidiMsingwa 18 дней назад

      alafu pia nashangaa wanapo mshambulia milard ayo,sa kosa lake liko wapi,hawa jamaa hawajitambui,mzee yupo sawa,na milard ayo yupo sawa pia.

  • @staffordsilwimba7989
    @staffordsilwimba7989 14 дней назад

    Spika mpina ni muongo?

  • @ShamteMohmed-ed2kk
    @ShamteMohmed-ed2kk 19 дней назад

    Punguzeni bei atutaki ngonjera, mlizoea kubebwa mbele ya Bashe mbereko haipo Tena.

  • @ismailmkandara1813
    @ismailmkandara1813 19 дней назад

    Hii clip mbona iko nusu

  • @SamwelSedekia-yl3xc
    @SamwelSedekia-yl3xc 19 дней назад

    Mbona hukuonekana wakat wa sukar kukosa

  • @SamwelSedekia-yl3xc
    @SamwelSedekia-yl3xc 19 дней назад

    Hajalewa ila watu Saba na yy yumo

  • @faidhamyovela179
    @faidhamyovela179 19 дней назад

    😂😂😂😂😂

  • @bethkonga7944
    @bethkonga7944 19 дней назад

    Sasa Hawa wazalishaji mbona kipindi imeadimika mbona hawakujitokeza ila baada ya selikali kuondoa wao wawe waagizaji ndio wamejitokeza

    • @abdulikilala5902
      @abdulikilala5902 19 дней назад

      Sasa kama walinyimwa vibali ww ulitaka sukari wakuletee mchanga?

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 19 дней назад

    Amaongea nini ana hoja ya msingi

  • @festokitule9727
    @festokitule9727 19 дней назад

    Huyu mzee anaichukulia poa serikali kwa kauli zake binafsi naona hayupo serious maana tunapotafta majibu lazima turuhusu ushindani bora ili kuhudumia 60milion ya watazania kuweka protective policy kwa viwanda visivyoshindana havina mitaji hiyo ni kuongeza shida ya sukari waziri fanya kitu ruhusu ushindani

    • @richardc270
      @richardc270 19 дней назад

      wewe yale yale tu, makapi ya taifa. hujaelewa nini hapo

  • @mossesmarko658
    @mossesmarko658 19 дней назад

    Kumekucha

  • @eliaisack156
    @eliaisack156 19 дней назад

    Pombo au

  • @yonamallo6277
    @yonamallo6277 19 дней назад

    Punguzeni bei ya sukari kama mmeshindwa achieni watu wengine

    • @abdulikilala5902
      @abdulikilala5902 19 дней назад

      Watapunguza vip wakati serikali unaingiza sukari ya njee bado ni bei kubwa?

  • @allymango1947
    @allymango1947 19 дней назад

    Hao ndio wazamini wa mpins

    • @sitamgeta7565
      @sitamgeta7565 14 дней назад

      Hao ndiyo wanao nunua mazao yetu sisi wakulima wa miwa nchini. Hao ndiyo wanaotupa ajira sisi vijana. Tulinde viwanda vya ndani tulinde ajira za wakulima nchini.

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7m 19 дней назад

    Kuna kundi linatuumiza na tuliyo wapa mamlaka wanaisi nchi ni yao wenyewe

  • @babaabro8847
    @babaabro8847 19 дней назад

    Kaa pemben😮

  • @rasheedabby2871
    @rasheedabby2871 19 дней назад

    bashe anajamba boga huko aliko

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 19 дней назад

    Kwa Bashe mtanyooka ..Ngoja mpigwe spana akili zichangamke ..Mnatumia nguvu kubwa Bashe atumbuliwe lakini mmekwama na huyo Mpina aliyeharibu uchumi wa wavuvi

    • @majaliwabwitonde6900
      @majaliwabwitonde6900 19 дней назад

      Unajua unachosema?

    • @beatricekatunzi3721
      @beatricekatunzi3721 19 дней назад

      ​hujuhi

    • @Jumacharlesmadale2958
      @Jumacharlesmadale2958 19 дней назад

      Hujui unaletewa dump sugar unakufa kwa magonjwa ya figo ,sukar na moyo Bashe amekurupuka japo huenda akawa na Nia njema au Kuna ufisadi hivyo nashauri uchunguzi ufanyike kubaini UKWELI.