Mimi ningekua serikali ningewalinda hawa wazalishaji.Inaonekana wakati wa Magufuli walisikilizwa wakazidi kuwekeza kumeet uhitaji wa nchi na baadae kuuza nje.Economically by 2025 sukari ingekiwa inatosheleza na automatically bei ingeshuka chini na ingekua stable. Ushauri wangu kwa serikali isiwe inabadilisha badilisha sera kwa sababu ya ubinafsi.Laiti kama Magufuli(R.I.P) angekua hai hadi 2025 swala la sukari lingekua historia. Sasa kwa sababu ukiagiza nje kunapesa nyingi ndo maana kunatamaa imeingiwa.Tujenge nchi jamani tusijijenge wenyewe. Eti kununua nje ndo bei ishuke.Huu ni ushetani.
Wamiliki wa viwanda vya Sukari Zalisheni Sukari ya kutosha...tafuteni mbinu za kutosha kuzalisha Sukari...hiyo ndiyo Heshima yenu...KUPIGIA UPATU KUAGIZA SUKARI NJE NDIYO AIBU YENU...
Swali ni kujua wakati production inaongezeka vip population ya 2015 bado Iko vilevile? We need smart and realistic information na sio one side information. Sensa ya mwaka 2002 population ilikuwa 45mil miaka 10 baadae tumekuwa 61mil hii ni ishara kwamba wakati mnatafuta sulumu ya matatizo lazima twende sanjari na mahitaji.
Milady ayo yeye mwandishi tu na pia mwandishi sio lazima upost umbeya na kusifia tu hats kukosoa pia hujitambui ndo maana ulitukannwa hivi bado unaimani na viongozi wa ccm ww? Asilimia 85 ya viongozi wa ccm ni majizi makubwa na yanateteana na sisi wenyewe ccm lakin tumechoka na viongozi waongo kudanganya tu wananchi
Kuna kashfa kubwa katika sakata hili la sukari , Ikiundwa tume huru kuna viongozi watapukutika na kushtakiwa kwa uhujumu uchumi. Yote aliyoongea mpina yanajidhihiri kwa tamko hilo la wenye viwanda. Inasikitisha kwamba walinyimwa hata kukutana na kamati ya kilimo ya Bunge, why? Ni nani huyo aliyekataa ni spika????😮😮
Kama mtaalam wa tathmini na ufuatiliaji kuna tatizo hili kwa sasa instrument ya MH. Rais, Mama yetu inahitajika kuingilia kati hata MH. Spika anajua kuwa kuna sehemu tunapigwa!!
Kwenye siasa hua nchi za Africa hazikiwezi. Wanaenda kutokana na mkakati Wa nchi wafadhiri wanataka nini. Ndo Maana kila mwaka tunasema kua tunahitaji viwanda wakati sisi wenyewe ndo tunaviua.
Serikali imetunga Sheria ya kununua Sukari ya ziada toka viwanda cya Sukari kabla ya kununua nje. SASA hofu yenu ni nini kama siyo kutaka Sukari iwe bei ya shs 4000 Kwa kilo.
Ayo TV,hilo suala litafutie kichwa cha habari kingine kizito kidogo,ni la mhimu sana. Umelichukulia poa sana au unaogopa serikali. Kinachofanywa na akina Bashe ni ufisadi wa hali ya juu,pia nikuua viwanda na kuwapoteza wakulima wa miwa.
Kaaandika vile kutokana na walivyomueleza kabla hajapost kaambiwa hivyo na waziri wa kilimo alisema wameshindwa kuzalisha hata tani moja akiwa mbungeni Sasa kama waziri anasema hivyo na hao wazalishaji wanadai hawakushindwa nani mkweli? Acha kudakia mada fatilia waziri wa kilimo kasema nini?
Kwani lazima tutumie SUKARI? Tufuate ushauri wa prof.Janabi. wangeshusha tu bei maana si kitu cha lazima kwa binadamu ni magonjwa tu maana hata ukila ugali mwisho wa siku utapata "glucose" yaani sukari tunafeli wapi wabongo?
nyie wanye viwanda vya sukari acheni kuitisha serekali,kwani ni lazima sukari yenu muuze kwa watanzania,uzeni hata brazili!msiwaumize walaji wanyonge kwa tamaa ya kupata faida kubwa!!
Akili ndogo husikia bila kuelewa, kama hukumwelewa your ZERO BRAIN. Mpungwe ni mwana diplomasia wa daraja juu kabisa nchini ,msomi anayeheshimika kote alipofanya kazi.
Huyu mzee anaichukulia poa serikali kwa kauli zake binafsi naona hayupo serious maana tunapotafta majibu lazima turuhusu ushindani bora ili kuhudumia 60milion ya watazania kuweka protective policy kwa viwanda visivyoshindana havina mitaji hiyo ni kuongeza shida ya sukari waziri fanya kitu ruhusu ushindani
Hao ndiyo wanao nunua mazao yetu sisi wakulima wa miwa nchini. Hao ndiyo wanaotupa ajira sisi vijana. Tulinde viwanda vya ndani tulinde ajira za wakulima nchini.
Kwa Bashe mtanyooka ..Ngoja mpigwe spana akili zichangamke ..Mnatumia nguvu kubwa Bashe atumbuliwe lakini mmekwama na huyo Mpina aliyeharibu uchumi wa wavuvi
Hujui unaletewa dump sugar unakufa kwa magonjwa ya figo ,sukar na moyo Bashe amekurupuka japo huenda akawa na Nia njema au Kuna ufisadi hivyo nashauri uchunguzi ufanyike kubaini UKWELI.
Mimi ningekua serikali ningewalinda hawa wazalishaji.Inaonekana wakati wa Magufuli walisikilizwa wakazidi kuwekeza kumeet uhitaji wa nchi na baadae kuuza nje.Economically by 2025 sukari ingekiwa inatosheleza na automatically bei ingeshuka chini na ingekua stable.
Ushauri wangu kwa serikali isiwe inabadilisha badilisha sera kwa sababu ya ubinafsi.Laiti kama Magufuli(R.I.P) angekua hai hadi 2025 swala la sukari lingekua historia. Sasa kwa sababu ukiagiza nje kunapesa nyingi ndo maana kunatamaa imeingiwa.Tujenge nchi jamani tusijijenge wenyewe.
Eti kununua nje ndo bei ishuke.Huu ni ushetani.
Hii ni comment ya mtu mwenye akili ❤❤❤. Asante sana
Mpina akiongea wanampiga biti
Wamiliki wa viwanda vya Sukari Zalisheni Sukari ya kutosha...tafuteni mbinu za kutosha kuzalisha Sukari...hiyo ndiyo Heshima yenu...KUPIGIA UPATU KUAGIZA SUKARI NJE NDIYO AIBU YENU...
Mzee anajiamin kwel kweli, kaongea ukweli mtu kwa uelewa wangu mdoogo. UPUMZIKE KWA AMANI RASI MAGUFULI.
Ayoo tv,mbona uzito kidogo hivyo kwenye issue yenye uzito mkubwa sana kwa watz
Chawa anajua uzito 😂😂🤣?
Chawa anajua uzito 😂😂🤣?
Swali ni kujua wakati production inaongezeka vip population ya 2015 bado Iko vilevile? We need smart and realistic information na sio one side information. Sensa ya mwaka 2002 population ilikuwa 45mil miaka 10 baadae tumekuwa 61mil hii ni ishara kwamba wakati mnatafuta sulumu ya matatizo lazima twende sanjari na mahitaji.
Mpina hongera sana,umeshinda
Niliwahi kusema
Mkanitukana kisa Millard Ayo Anau ccm sana umaarufu wake umekufaa kabisa hajui Anachokifanya Anapotosha sana 🙏 😢 😅
Anauwaje ccm wakati ccm viongozi wa ccm ndo wanaiua ccm ndo maana ulitukanwa
Milady ayo yeye mwandishi tu na pia mwandishi sio lazima upost umbeya na kusifia tu hats kukosoa pia hujitambui ndo maana ulitukannwa hivi bado unaimani na viongozi wa ccm ww? Asilimia 85 ya viongozi wa ccm ni majizi makubwa na yanateteana na sisi wenyewe ccm lakin tumechoka na viongozi waongo kudanganya tu wananchi
@@abdulikilala5902 ccm imekufa siku nyingi miguu juu iko chaliii uko wapi
Bodi ya sukari, waziri wa kilimo, uwejezaji, viwanda na biashara bado wapo kazini?
Kuna kashfa kubwa katika sakata hili la sukari ,
Ikiundwa tume huru kuna viongozi watapukutika na kushtakiwa kwa uhujumu uchumi.
Yote aliyoongea mpina yanajidhihiri kwa tamko hilo la wenye viwanda.
Inasikitisha kwamba walinyimwa hata kukutana na kamati ya kilimo ya Bunge, why?
Ni nani huyo aliyekataa ni spika????😮😮
Anajulikana lakin sababu kuna maslah upande huo hawato mtaja
Kwa nini ilikuwa sukari haipo na bei juu sana. Tunachotaka sisi ni unafuu wa bei inawezekana je mtajuwa nyinyi.
Bashe kwanini anawakatili hawa jamaa mbona wapo straight sanaaa kwann MUNGU anakuona we msomali
Tatizo wizara anapewa tu asie eleweka
Kutakuwa na uhararamia mahali,
MAMA KAJIFANYA CHURA KIZIWI SO HATA HAYA HAYASIKIII HII NCHI NI KAMA HAINA RAISI YANI INAKERA😢
Kama unaona kuwa nchi hii haina rais subiri karibuni hivi utathibitisha au utakanusha ulichokiandika
Vonja bodi ya sokari,na wizara ivunjwè pia
Chanel ya CCM hii kwa huyu usitegemee anything tangible zaidi ya udaku na uchawa tu.
Kama mtaalam wa tathmini na ufuatiliaji kuna tatizo hili kwa sasa instrument ya MH. Rais, Mama yetu inahitajika kuingilia kati hata MH. Spika anajua kuwa kuna sehemu tunapigwa!!
mwiguru must go
Ayo huyu ni mamruki kwenye swara rinarohusu serikali humuoni atapita kinafki kama hivi
😮😮😮
Kwenye siasa hua nchi za Africa hazikiwezi. Wanaenda kutokana na mkakati Wa nchi wafadhiri wanataka nini. Ndo Maana kila mwaka tunasema kua tunahitaji viwanda wakati sisi wenyewe ndo tunaviua.
Ni Kwa nini tusiwe na asilimia 75% na wawekezaji wawe na asilimia kidogo tu ,badiliaheni Sheria bwana
Serikali imetunga Sheria ya kununua Sukari ya ziada toka viwanda cya Sukari kabla ya kununua nje.
SASA hofu yenu ni nini kama siyo kutaka Sukari iwe bei ya shs 4000 Kwa kilo.
Ayo TV,hilo suala litafutie kichwa cha habari kingine kizito kidogo,ni la mhimu sana.
Umelichukulia poa sana au unaogopa serikali.
Kinachofanywa na akina Bashe ni ufisadi wa hali ya juu,pia nikuua viwanda na kuwapoteza wakulima wa miwa.
Kaaandika vile kutokana na walivyomueleza kabla hajapost kaambiwa hivyo na waziri wa kilimo alisema wameshindwa kuzalisha hata tani moja akiwa mbungeni Sasa kama waziri anasema hivyo na hao wazalishaji wanadai hawakushindwa nani mkweli? Acha kudakia mada fatilia waziri wa kilimo kasema nini?
@@abdulikilala5902 Waziri wa kilimo ni jipu
Hii nchi inajitosheleza kisukari?🤔🤔🤔
Bashe kwake kuna kazi
Hatutaki blah blah..hakikisheni Sukari inapatikana na inauzwa kwa bei nafuu..Period
Inawezekanaje serikali ikawa na is a ndogo namnazo hiyo ,campuni 75% wananchi 25% kweli madudu yatakosekana kweli.
Kwani lazima tutumie SUKARI? Tufuate ushauri wa prof.Janabi. wangeshusha tu bei maana si kitu cha lazima kwa binadamu ni magonjwa tu maana hata ukila ugali mwisho wa siku utapata "glucose" yaani sukari tunafeli wapi wabongo?
Kk
nyie wanye viwanda vya sukari acheni kuitisha serekali,kwani ni lazima sukari yenu muuze kwa watanzania,uzeni hata brazili!msiwaumize walaji wanyonge kwa tamaa ya kupata faida kubwa!!
Huy mzee hata kusem hawez au amelewa 😂😂
Wewe,ndio huelewi anachoongea.He is a very learned carrier diplomatic sijui wewe una cheo gani mmmmhhh
Akili ndogo husikia bila kuelewa, kama hukumwelewa your ZERO BRAIN.
Mpungwe ni mwana diplomasia wa daraja juu kabisa nchini ,msomi anayeheshimika kote alipofanya kazi.
Wewe akili ni ndogo sana kwaiyo huwezi kumuelewa
Mnakosoa watu matajiri hivi ww unayemokoa huyu mzeee kwamba Ase uongo hata pikipiki tu huna unamwambia Mzee muongo
Ana uelewa mkubwa sana@@rkcomercialenterprises3209
Kuna baaadhi ya watu wanakosoa hutu mzee ni upungufu wa akili yeye ndie mzalishaji alafu unamuona hana maana
alafu pia nashangaa wanapo mshambulia milard ayo,sa kosa lake liko wapi,hawa jamaa hawajitambui,mzee yupo sawa,na milard ayo yupo sawa pia.
Spika mpina ni muongo?
Punguzeni bei atutaki ngonjera, mlizoea kubebwa mbele ya Bashe mbereko haipo Tena.
Hii clip mbona iko nusu
Mbona hukuonekana wakat wa sukar kukosa
Hajalewa ila watu Saba na yy yumo
😂😂😂😂😂
Sasa Hawa wazalishaji mbona kipindi imeadimika mbona hawakujitokeza ila baada ya selikali kuondoa wao wawe waagizaji ndio wamejitokeza
Sasa kama walinyimwa vibali ww ulitaka sukari wakuletee mchanga?
Amaongea nini ana hoja ya msingi
Huyu mzee anaichukulia poa serikali kwa kauli zake binafsi naona hayupo serious maana tunapotafta majibu lazima turuhusu ushindani bora ili kuhudumia 60milion ya watazania kuweka protective policy kwa viwanda visivyoshindana havina mitaji hiyo ni kuongeza shida ya sukari waziri fanya kitu ruhusu ushindani
wewe yale yale tu, makapi ya taifa. hujaelewa nini hapo
Kumekucha
Pombo au
Punguzeni bei ya sukari kama mmeshindwa achieni watu wengine
Watapunguza vip wakati serikali unaingiza sukari ya njee bado ni bei kubwa?
Hao ndio wazamini wa mpins
Hao ndiyo wanao nunua mazao yetu sisi wakulima wa miwa nchini. Hao ndiyo wanaotupa ajira sisi vijana. Tulinde viwanda vya ndani tulinde ajira za wakulima nchini.
Kuna kundi linatuumiza na tuliyo wapa mamlaka wanaisi nchi ni yao wenyewe
Kaa pemben😮
bashe anajamba boga huko aliko
Kwa Bashe mtanyooka ..Ngoja mpigwe spana akili zichangamke ..Mnatumia nguvu kubwa Bashe atumbuliwe lakini mmekwama na huyo Mpina aliyeharibu uchumi wa wavuvi
Unajua unachosema?
hujuhi
Hujui unaletewa dump sugar unakufa kwa magonjwa ya figo ,sukar na moyo Bashe amekurupuka japo huenda akawa na Nia njema au Kuna ufisadi hivyo nashauri uchunguzi ufanyike kubaini UKWELI.