SAKATA LA UINGIZAJI WA SUKARI LAIBUA SURA MPYA BODI YA SUKARI WAFUNGUKA/KUMEKUWA NA UPOTOSHAJI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 июл 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 31

  • @martinkisha6307
    @martinkisha6307 3 дня назад +6

    Hii nchi siasa mpaka kwenye chakula hii ni kutuchezea tu watanzania hii CCM inahitaji kutumbuliwa

  • @yusuphngwele4190
    @yusuphngwele4190 3 дня назад +5

    Kwa hali hii na uongeaji huu takukuru wanatakiwa wahusike.ukweli utajulikana tu.

  • @SaidKaswella
    @SaidKaswella 3 дня назад +4

    Was there any due diligence to the so called voucher companies?

  • @rajabumtuga7372
    @rajabumtuga7372 2 дня назад +3

    Kwahiyo unavosema sisi wananchi tukiongea hain haja ya nyie kueleza ukweli. Sisi ndo waajir wenu mnapaswa kutoka na kufafanua azalani. Ipo siku mtatulilia nyie.

  • @kenethmaseti8953
    @kenethmaseti8953 2 дня назад

    Ameshindwa kujibu hoja za msingi 😊

  • @godfreymeagisa1871
    @godfreymeagisa1871 2 дня назад +1

    Sukari shida,Ngano shida ,sio chuma shida vijiti vya meno shida nguo nje tyre shida sisi vyetu wenyewe lini wakubwa wetu tujibuni.

  • @andrewassey5108
    @andrewassey5108 3 дня назад +2

    Sikumbuki kama tuliwahi kuambiwa ukweli nchi hii iliyoasisiwa na JKNyerere.

  • @Chrisblaze-beats
    @Chrisblaze-beats 3 дня назад +1

    Kutumbua hapana kukopa aaaah😊

  • @godfreymeagisa1871
    @godfreymeagisa1871 2 дня назад +1

    Kwanini tutegemee sukari ya nje wakati tuna ardhi kubwa namna hii ya nchi yetu

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e 2 дня назад +1

    Swali mulijuaje km wazalishaji wameshindwa kuingza kusukar hadi mkawapa kampun za simu hyo nafas? Masilani ni tofaut ya mwez mmja

  • @vedastusmdapo3837
    @vedastusmdapo3837 2 дня назад +1

    Solution ya hii issue so kulumbana Bali ni vitendo yaani miwa inalimwa hapa na ardhi ni kuuubwa.Yaani hata Mimi nikipewa wizara natatua tatizo hili kwa Mwaka tu tutauza sukari Hadi 1500

  • @margarethsolomon9823
    @margarethsolomon9823 2 дня назад +1

    Baada ya sakata hili la sukari kuwa moto, ni kwa nini kutokee badiliko la uongozi TRA ????.Inatupa picha gani 🤷🏼‍♀️🤷🏼‍♀️🤷🏼‍♀️❓❓Mlikaa kimyaaaaa, na mlivyo hodari wa data, mmezipika kutuaminisha.

  • @abdallahally842
    @abdallahally842 2 дня назад +1

    Mliwamdikia barua waje kuchukua vibali dec ngapi? Inawezekana mmewapa barua kibali dec mwisho ndiomaana mwazo wa jan wakachukua kibali hapa raisi atupe wachunguzi huru ili ukweli ujulikane

  • @SaidKaswella
    @SaidKaswella 3 дня назад +1

    Business licence only is not adequate in determining the competence and compliance of any business entity.

  • @abdulhakeem959
    @abdulhakeem959 День назад

    HII NCHI NGUMU SANA SANA.UNAFIQ NA UCHAWA NA KUCHAFUANA NDO ZIMEGEUKA SERA ZA TAIFA.BADO TUMELALA NA SIKU TUKIAMKA TUTAJIKUTA THE HAGUE

  • @devangandhl2255
    @devangandhl2255 2 дня назад

    Mbona mnalumbana kazi yenu ninkushirikiana kutulinda sisi wananchi dhidi ya shida

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 2 дня назад

    Mijitu ya chadema hata haielewi kila ikielimishwa inaleta siasa eleweni mnachoelekezwa acheni acheni uzwazwa

  • @TheresiaAndrea-hv9dg
    @TheresiaAndrea-hv9dg 20 часов назад

    Mnatuvyruga, maana kila mmoja anadai ushahidi upo, hatuwaelewi, tunachokijua ni kwamba sukari ilikosa, tukasafa. Mnapoendelea kurumbana mnatupa ushahidi kwamba viatu halitoshi. Mkikaa kimya tutawaona waomavu. Huo ni utoto

  • @Sangaadam
    @Sangaadam 2 дня назад

    Hizi Tantalila za nn Wananchi wanataka Sukari tena kwa bei rahisi kama wenzetu (nchi) Zinazo tuzunguuka, Hii mipasho yenu mgeitana huko mmalizane wenyewe......!!!!!!

  • @charleslukumai7875
    @charleslukumai7875 3 дня назад +2

    Kwa issue ni kampuni zil
    izopewa vibali vya sukari, au uvunjwaji wa sheria ya sukari?

  • @abeidsanga7361
    @abeidsanga7361 2 дня назад

    Kwamfano Ng'ombe wako akikupiga teke we unampa sumu ili akufe 😂😂😂😂akili matope aabu tupu

  • @user-no2ut7yd3e
    @user-no2ut7yd3e 2 дня назад +1

    Wewe unamajengo kufuru acha udambwi.

  • @issakassim8291
    @issakassim8291 День назад

    Mlivunja sheria wizar ya kilimo ilipiga

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 2 дня назад

    Mmi sielewi unachoongea kama ni sukari bei ni juu toeni Siasa hapo

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 2 дня назад

    munapoteza muda wenu tu mwezeno yupo busy na kuteua na kariakoo😂😂😂😂😂😂

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 2 дня назад

      Ameteua akijua hicho kinachoendelea hapo👆👆ndio maana kwenye uteuzi amemtoa Boss wa TRA kupotezea. Wanajipanga

  • @kwisa4899
    @kwisa4899 2 дня назад

    Meli ilipita mlango wa nyuma

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 2 дня назад

    Huyu ni tapeli tu haieleweki anazunguza nini

  • @beatricehenry6776
    @beatricehenry6776 2 дня назад

    Huyu shida yake Nini?!?! Sielewi

  • @yahayaramadhani6418
    @yahayaramadhani6418 2 дня назад

    Mimi huyu bwana anachoongea simwelewi kabisa.

    • @margarethsolomon9823
      @margarethsolomon9823 2 дня назад

      Jitupora tu hilo ni linyung'unya fulani, matumbo malaji. Yaani Lina kila jina baya.