A-Z Afunguka Binti Anayedaiwa Kulawitiwa na Aliyekuwa RC Simiyu, LHRC Yaingilia Kati

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 июл 2024
  • #ijuesheria
    Video kwa hisani ya Haki TV

Комментарии • 1 тыс.

  • @YusufuMalila-b1d
    @YusufuMalila-b1d День назад +12

    Binti Mungu anakuona acha kuharibu maisha ya watu kwa kutumikia watu

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 2 дня назад +45

    Pamoja na kumpongeza Mhe. Rais na Jeshi la polisi. Baadhi ya mabinti wa vyuo vikuu wana tabia ngumu ngumu sana. Wanapenda wanaume wenye pesa bila kujali ni baba zao.

    • @angelistertarimo8215
      @angelistertarimo8215 2 дня назад

      Hakika

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 День назад +1

      Haswa Sasa kumbe huyu Binti alikuwa ni mtu wake Sasa amembaka vipi jamani huyu si Malaya tayari jamani , na yeye mwenyewe amesibitisha kuwa alikuwa mwanaume wake

    • @muhsiniissa8151
      @muhsiniissa8151 День назад +4

      Uyu katumwa amchafue jamaa,,kwanini aingie nae kwenye mahusiano ilihali anajijua yeye Ni mwanafunzi?,uyu mwanafunzi Chenga 2

    • @ashangohi450
      @ashangohi450 День назад +4

      Tatizo wanaacha kilicho wapeleka wanafata tamaaa.hv angepewa ma v8 kabla ya hiyo kitu angeongea

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh День назад +3

      Tatizo munatamaa ya pesa wewe ni mwanafunzi ilikuwaje ukawacha masomo ukafata dudu la yuyu la mtu mzima wa kumwita baba sasa hivi unamchafua na alikuwa mpenzi wako wacheni tamaa

  • @muhsiniissa8151
    @muhsiniissa8151 День назад +10

    Hana cha maana anachokieleza ni upuuz mtupu2,njaa mbaya sana,kumbe mtu alikua mtu wako na unasema alikua na tabia iyo kwanini usingemkataa moja kwa moja,,unaenda kupokea apology kwani mmeo huyo??,mjinga sana.acheni umalaya kaeni darasani msome

    • @isakaonehealthdigitallabor8630
      @isakaonehealthdigitallabor8630 День назад

      Huyu demu malaya mbaya zaidi alivyo mjinga baada ya kufilwa kwa maelezo yake alitoka rock city eneo alipokua amepaki Gali jamaa na kumfila Kisha kwenda nyumbani nyezi hostels kwake suala la kwenda police alienda kesho yake baada ya mama yake kumshauli aende police so nijinsi Gani ukiweka doti unaona kabisa demu alinogewa kifilo kwanini asingeenda Rock City Bank hapo mbele kuna askali muda ota wange mkamata jamaa hapo hapo usiku huo huo but isitoshe baada ya yote jamaa alituma watu 3 wakamuita hotel akaenda tena s msenge huyu demu alafu vingereza feki vingi mjinga mkubwa huyu mapumbu ya shangazi yake.....na akome kumuomba Rais wetu akusaidie muache Rais wetu atutaftie maendeo watakatifu wewe kaendelee kuuza mkundu mbwa huyu....eti nilipewa barua nikaikopi na kuweka Dole gumba PUMBAVU ZAKE

  • @jackiefredrick586
    @jackiefredrick586 2 дня назад +20

    Kufanyiwa kwa mara ya kwanza kwenye gari sio kweli. Ulishindwa kumng'ata na kumparua. Yaan utoe tako kabisa bila mapambano. Mi angeniua kabla ya kunila tako. Tena kwenye gari. Mdogo wangu kuwa mkweli acha kutuzungusha.

    • @barakaalecnathaniel3716
      @barakaalecnathaniel3716 2 дня назад +2

      Kazoefu haka

    • @paschalmartin9598
      @paschalmartin9598 День назад +1

      Hivi vitoto jamani mtu ana miaka 21 anakuwa na uhusiano na mtu sawa na baba yake

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh День назад

      Alimpa sasa hilo dudu la yuyu lilichana nguo itakuwa alivaa chupi na nguo zake nyingine labda aliwekea dawa ya usingizi kwenye drink ndio akatiwa

    • @williammbwambo79
      @williammbwambo79 День назад +1

      Amepangwa

    • @isakhamisi8923
      @isakhamisi8923 День назад

      Haya ndiyo yanayoendelea kwa watoto wetu wanapokuwa vyuoni .​@@williammbwambo79

  • @InjiliyaUfalmetv
    @InjiliyaUfalmetv 2 дня назад +11

    Tubuni kwa Maana ufalme wa Mungu umekaribia ,YESU Anarudi

    • @francejuya1248
      @francejuya1248 День назад +2

      Yesu hajawahi kuwepo, amka mtu mweusi

    • @viwawakkuu_dodoma
      @viwawakkuu_dodoma День назад

      Unajielewa kweli wewe​@@francejuya1248

    • @yassinhamza1969
      @yassinhamza1969 19 часов назад +1

      Wayahud huko ndio usiseme mashoga kibao angekuwa karud

    • @Mina.15
      @Mina.15 5 часов назад

      Yesu akirudi niete jimbwa koko 😂😂😂

  • @user-ii6gs2jg4g
    @user-ii6gs2jg4g 2 дня назад +28

    Huyu nae anatakiwa akamatwe na mke wa mkuu wa mkoa kwa kuzini na mume wake. Shenziiiii

    • @ayoubmtumishi50
      @ayoubmtumishi50 День назад

      Amelazimishwa huyu

    • @livingstonekabantega
      @livingstonekabantega День назад +2

      ​@@ayoubmtumishi50kivipi kwani alifatwa chuoni kufanyiwa hivyo Binti mwenyew SI ndo alienda Kwa Rc na mahusiano kwanin aliyakubal na yey ni mwanafunzi

    • @Namtumbo
      @Namtumbo День назад +1

      ​@@ayoubmtumishi50alienda kufanya nne fundisho kwa mabinti

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 12 часов назад

      RC mbakaji

    • @HamisMghuna-fj3vz
      @HamisMghuna-fj3vz 11 часов назад

      RC c mbakaji huyo alisha liwa nyuma na w kwnza mku w mkoa n pili huyo n mzoefu,jambo gan we n x y pil,nyuma huyo alokula nyuma w kwanza, mbona humtaji we hii n dunia

  • @user-jg2dy4kb6j
    @user-jg2dy4kb6j 2 дня назад +7

    huyo Binti anachangamoto ya akili apimwe Kwa maelezo yake

  • @tosh7671
    @tosh7671 2 дня назад +12

    Hivi hii sio comedy kweli mbona maelezo haya eleweki. Upuuzu tu huu

    • @user-zq7jb2ij4u
      @user-zq7jb2ij4u День назад

      Umeona eee mm pmj ni mzazi na nina mtt wa kike kafungua saa ngapi mlango wa gari na pia police uende asubuhi jmn jmn hz kesi za mafunzo !!!

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd 2 дня назад +24

    kwenda zako malaya ww kumbe ulienda mwenyewe ulijua unaenda kusuka au wewe inaonekana ulikua unampa siku zote sema kwa sababu mmegombana Ndio unataka kumkomoa kwenda zako uko Yani mpaka Nauli umetumiwa halafu unasema Nini wewe ulitaka mwenyewe sasa ivi eti samia akusaidie akusaidie Nini yeye Ndio alikutuma uende au Nenda zako endelea Nahiyo tabia yako2

    • @anodearsulusi7536
      @anodearsulusi7536 День назад

      Kwani kuwa na mahusiano na mtu ni dhambi? Kutumiwa nauli ni dhambi? Kosa ni kumwingilia kinyumbe na maumbile mtu

    • @muhsiniissa8151
      @muhsiniissa8151 День назад +3

      Ni dhambi ndio,kwani wameoana!?,we hujui kua kuzini Ni dhambi???

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh День назад

      ​@@anodearsulusi7536
      Kwani alimchoma sindano ya usingizi alipokuwa anatiwa nalo nyuma kwa sababu tuangalie yy alitoka akaako mpaka akafika kwa muheshimiwa na akamvulia nguo si kutaka huko au alimkuta njiani akamtia na nguo zake aibu mambo mengine

    • @HanifaOman-oo4pl
      @HanifaOman-oo4pl День назад

      ​@@anodearsulusi7536siangekataa

    • @ScopionScopion-zj9cd
      @ScopionScopion-zj9cd День назад

      bora umenisaidia kumfahamisha huyu

  • @goodluckjohnuiso-gt1fg
    @goodluckjohnuiso-gt1fg 3 дня назад +37

    Hivi kwanini IGP hajawapandisha cheo hao polisi wa Mwanza kwa kufanya kazi ya kizalendo?

    • @briankatani6770
      @briankatani6770 2 дня назад

      Wakuu. Wa mikoaaaaa Hahahaaa.washitakiwe na yule aliyemsaidia

    • @user-yd1pc8uy8x
      @user-yd1pc8uy8x День назад

      Habar imetengenezwa

    • @johnsonsabanya5860
      @johnsonsabanya5860 День назад

      Hakika

    • @wazirisaid8326
      @wazirisaid8326 17 часов назад

      Walichokifanya Ni majukumu yao na police wote wanatakiwa kuwa hivyo.

    • @wazirisaid8326
      @wazirisaid8326 17 часов назад +1

      Ulipo amua kuwa na uhusiano na mume wa mtu ulikua na Nia gani? Unajiaibisha Bora ungetulia Sasa kila mtu anajua kua ushapitiwa huko!!

  • @user-sp4jr4vw6t
    @user-sp4jr4vw6t День назад +2

    Pumbavu mnapenda ngono mno majbu yenu ndio hayo mnapenda maisha rahisi kwa kuuza miili yenu sasa mnalia nn hao mabinti wanaoenda wenyewe nao wapewe adhabu pia tofauti na wanaokamatwa kwa nguvu.

  • @ommarallyhamad7435
    @ommarallyhamad7435 3 дня назад +13

    KESI IPELEKWE MAHKAMANI UKWELI UJULIKANE HAKI IPATIKANE

  • @rachelsam8912
    @rachelsam8912 3 дня назад +17

    Kiingereza chenyewe anaongea broken, but kama ni kweli Mungu akusaidie

  • @jamesmzaki6041
    @jamesmzaki6041 3 дня назад +6

    Kila siku mnaambiwa vitoto vya afu 2 sio hamuelewi,,, ona sasa kimemramba RC mstaafu.

  • @vero57
    @vero57 3 дня назад +7

    Hawa wanafunzi wana acha kusoma wanaaza mambo ya matusi mapemaa!!! Ovyo sana , eti mausiano wewe ndiyo kilocho kupeleka shule??? Alafu unatembea na mme wa mtu, na wewe kiongozi acha kutu alibis watoto tafadhali!!!!

  • @MasterOil-qm6vw
    @MasterOil-qm6vw 2 дня назад +5

    Hayo ni mapenzi yenu kwa nn uje kuyatangaza huku kwenye mitandao na kama ungekua hujakubali ungevunja hata kioo cha gari yaonekana ulikubali sema hajakufanya yale mliokubaliana ndio maana umekuja kumuanika huku

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 3 дня назад +6

    Kwa maelezo ya huyu dada anaonekana ni mzoefu wa hayo mambo,,,,,ni bwana Nawanda tu, amekutwa dhahama!!

  • @user13375
    @user13375 2 дня назад +18

    RC arudishiwe u RC wake tuu😮😮

  • @johnsonsabanya5860
    @johnsonsabanya5860 День назад +2

    Uyu Dada kajieleza Vizuri kabisaaa tuache maneno ya ajabu Hawa watu ndo michzo yao hapo wanajiongezea vyeo na pesa kuingia kwa wingi, Sema ili liwefunzo kwa wadada wanaopenda pesa Sana, pole Sana mdogo wangu Mungu akusimamie.

  • @HappyAgilityPuppy-lg8wg
    @HappyAgilityPuppy-lg8wg 3 дня назад +47

    kwa sisi' tulio soma quba tushaelewa hyo 😂 huyu dada kwakifupi RC alikuwa mtu wake sawa na hako kamchezo huwa nikao au au hyo dada alisha zowea Kuliwa nyuma asa wamepishana tu mambo Frani au Kafikwa bei na mahasimu wa RC so kaamua kumgeuka mwenzie, nahili gemu linawadau we wengi wanajua hata akipmwa atakutwa hana malinda so it's true. but kes hii wakikabiziwa polisi makini watabaini kitu

    • @issaidrisamusa5962
      @issaidrisamusa5962 2 дня назад +3

      Iwe alifanya kwa hiari , au kwa lazima , ila kwa vile amesharipoti hiyo ni kesi kama kesi nyingine

    • @George-jz3jg
      @George-jz3jg 2 дня назад

      Upo sahihi

    • @George-jz3jg
      @George-jz3jg 2 дня назад +4

      Namchukia huyu binti kwasababu ameshindwa kumsitiri mama yake ameamua kumudhalilusha na mama yake kifupi amekosa busara kwasababu hayo mazingira yeye ndo aliyaanzisha

    • @user13375
      @user13375 2 дня назад +3

      @@George-jz3jg kamalaya kubuu

    • @WaziriAbdallah-vr4xg
      @WaziriAbdallah-vr4xg 2 дня назад +2

      Hicho kitoto huu ndo mchezo wake ila ukikaangaria ni.kama.hakapo.sawa inabidi atafutwe mtu wa kumuweka sawa pili tamaa hivi vibinti vya 2000

  • @raymond5175
    @raymond5175 3 дня назад +5

    Ni mpenzi wake, ameingia mwenyewe kwenye gari tayari ni mapenzi ya hiari hayo mengine ni kuharibiana maisha

  • @peterlyimo6696
    @peterlyimo6696 3 дня назад +55

    Unaingiaje mahusiano na mume wa mtu tena mwanafunzi wa mwaka wa kwanza?

    • @worldherotv
      @worldherotv 3 дня назад +1

      Kama unavyona

    • @jamesmzaki6041
      @jamesmzaki6041 3 дня назад +3

      Dini inamruhusu kuongeza

    • @charlzmboya
      @charlzmboya 3 дня назад

      0:19 ​@😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊😊worldherotv

    • @ivanamkapa2369
      @ivanamkapa2369 3 дня назад +1

      Mbaya ni mwanamume kwa ninu asitulie na mkewe mpaka anarubuhi mtoto wa chuo si angeenda kwa magumegume

    • @ivanamkapa2369
      @ivanamkapa2369 3 дня назад +1

      Binti karubuniwa mubaya ni mkuu wa mkoa wa simuyu mtu mzima anarubuni mtoto wa chuo amfire wewe kama mzazi utamlaumu mwanao au hilo lifilaji

  • @EdwardMaziku-td2li
    @EdwardMaziku-td2li 3 дня назад +7

    Huyu msichana ni muongo sana kuna jambo lipo limejificha maana toka mwanzo ni mpenzi wake,kwa fikira zangu walishindana tu kwa pesa aliyotaka na ndiyo maana akamugeuzia kibao mkuu wa mkoa na wanafunzi wa chuo ndivyo walivyo tania zao .hivyo muheshimiwa raisi alilichukulia haraka hili jambo kwani wengine wanatumwa na watu kumuharibia mtu.kwa maoni yangu muheshimiwa raisi wetu murudishe kazini nakuomba sana .asante

    • @machasofficialsite6221
      @machasofficialsite6221 3 дня назад

      We akili huna chukulia angekuwa dada yako au mwanao katendewa haya ingekuwaje? Acha ujinga

    • @EdwardMaziku-td2li
      @EdwardMaziku-td2li 3 дня назад

      @@machasofficialsite6221 we ndiye mjinga na mpumbavu usijua hata kumusikiliza mtu alichoongea pia hata hujui chochote baadhi ya wanafunzi wanayofanya,(wee mjinga nikuulize,alipelekwa chuo kusoma au kufanya mapenzi ?)maelezo yake yanaonyesha ni mwingi wa habari tokea mwanzo

    • @matallahkhamis9579
      @matallahkhamis9579 День назад

      Dada au Mwanangu anaongea huu uwongo anastahili​@@machasofficialsite6221

    • @israelmkaka2807
      @israelmkaka2807 День назад

      Pia amepokea 10ml..Mama yake kapokea 3ml. Pia anasema aliwahi kufanyiwa na kijana mwenzake enzi za Balehe,Mama akayamaliza

  • @victoriampunza1016
    @victoriampunza1016 3 дня назад +44

    Ogopa sana vitoto vya efu mbili😂😂😂 havikawii kukuharibia kazi

    • @kefamwakipesile275
      @kefamwakipesile275 2 дня назад

      Kwani huyu dogo alikutana wapi na Rc kama sio Rc kumfuata

    • @MwanaishaShattry
      @MwanaishaShattry 2 дня назад

      Anajiuza huyu​@@kefamwakipesile275

    • @MwamvuaKing
      @MwamvuaKing 2 дня назад

      Hahahaaaa

    • @angelistertarimo8215
      @angelistertarimo8215 2 дня назад

      Balaa.na milioni kumi juu bado kimekomaa huku nyumbani kunanuoa shida

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 День назад

      ​@@kefamwakipesile275mwelewe huyo mtoto asema alikuwa mwanaume wake harafu akagombana ,baada ya hapo alipo pigiwa Tena sm akakubali kwenda akijuwa rc amebadisha mawazo ya kuto taka Tena mkundu, huyu Binti yeye alikuwa alishakubali kuwa naye Kwa jili ya kugombana tu , Sasa huyu si Malaya km Malaya wengine kabakwa vipi

  • @johanessmwitamwita1723
    @johanessmwitamwita1723 3 дня назад +7

    Mmmmh jmn huyu binti anatumiwa kwa jinsi navyijua tz kwa issue kama tayri alishapotezwa siku nyingi huyu anatumika tuuu sio yy

  • @nurumvungi2210
    @nurumvungi2210 День назад +3

    Kazinzi haka😂😂
    Mwaka wa kwanza chuo,kana miaka 21 kameshaanza kuchukua waume za watu...tumuiteje kama sio mzinzi...acha ball itembee.

    • @EdinaLaulent
      @EdinaLaulent 15 часов назад

      Kapumbavu Malaya mkubwa wewe unamharibia mwenzio maisha kumanina ingekuwa Mimi wewe Malaya wewe

  • @namsifubwana2152
    @namsifubwana2152 3 дня назад +5

    WAKILI TV NIMEFURAHI SANA KUWAONA KAZINI. TETEENI WATANZANIA WANAONEA DAY N NIGHT😢😢😢

  • @user-ml5tq8hj2x
    @user-ml5tq8hj2x 3 дня назад +8

    We mtoto umejiingiza mahali pagumu ambapo hujui mwanzo wake na mwisho Mungu ajuaye yote akusaidie na hata hyo mkuu wa mkoa alyesimamishw kazi Mungu amsaidie na familia yake maana hili pito ni gumu mnoo

    • @kokusimabayona4179
      @kokusimabayona4179 2 дня назад

      Hii issue ni kubwa sana...huyu binti aisee ajilinde tu mwenyewe maana

    • @samwa9496
      @samwa9496 День назад +1

      Hili ni shushu limetumwa tuliosom Cuba tuelewa

    • @YusuphMwangobola
      @YusuphMwangobola День назад

      Mkuu wa mkoa ni raia tu kama raia wengine acha kumtisha binti.

    • @samwa9496
      @samwa9496 19 часов назад

      @@YusuphMwangobola simtishi angekubali kuanikwa sura kama mabanda ya uwani yamebomolewa huo uzushi haoni haya aseme alikuwa mpenzi wake na alitaka fungu kubwa akalikosa ndipo akaamua kumuanika cheza na watoto wala bangi la Arusha

  • @AMOSSILYVESTER
    @AMOSSILYVESTER 2 дня назад +5

    Mama nae ni malaya anazibitisha kuwa umefilwa 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @matukutajuma156
    @matukutajuma156 3 дня назад +5

    HE! SIKIO LA KUFA MTUHUMIWA KAAHIDI ML5 KWA MAMA KAINGIZA ML3 BANK PILI YAELEKEA MLALAMIKIWA KALETA ZARAU POLISI! ILA BINTI MZOEFU!! NA KAPANGWA!!

  • @kirotostima
    @kirotostima 3 дня назад +18

    Shenzi kabisa kaongo kweli kashazoea kuliwa tigo haka

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 2 дня назад +5

    Nyie watoto mmejaa tamaa
    Mkikosa mnachotaka mnabadilisha maneno, unawezwajje, kulawitiwa ndani ya gari bila ya wewe kukubali?
    Kwani hakuna nafasi kama hujatulia, Unaongea uongo

    • @jamaliddiin9357
      @jamaliddiin9357 День назад +1

      Kishenxi hiki kibinti
      alikubaja au ulivua nguo mwenyewe ,panya rodi weee

    • @fatimahants1526
      @fatimahants1526 День назад

      Mtu mzima unalawitiwa muongo , kamuwa kuchafuwa huwara yake, akumbke hii interview itakutesa sana kwenye life yako

  • @damiankageba77
    @damiankageba77 3 дня назад +7

    Ni upuuzi uliopitiliza

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 3 дня назад +10

    Ulipata wapi no ya mkuu wa mkoa ulipata wapi mtoto mdogo mbona wa kawaida sn dd jamani mbona unajiaibisha ,tuone uwo muamala

    • @kokusimabayona4179
      @kokusimabayona4179 2 дня назад +2

      Ila this generation.....🙌🏾🙌🏾🙌🏾

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 День назад +1

      Kachafu sn kahovyo mno Malaya huyo yeye mwenyewe si alisema alikuwa bwana yake kwahiyo km asingefilwa wangeendelea kutombana , unajiabisha tu

    • @EzekiaMtwale
      @EzekiaMtwale День назад

      Huyo mwongo tu alipangwa ni kamchezo!​@@ziadasalimu1730

    • @marymanoni5536
      @marymanoni5536 День назад +1

      @@ziadasalimu1730 yani kamejiaibiaha sn waache kujipendejeza kwa viongozi na kujipitisha pitisha ovyo aàaaa wanatuaibisha watt wetu htr

    • @bolelambunda6554
      @bolelambunda6554 15 часов назад

      Je angetombwa kawaida isingekuwa ugomvi

  • @ayoubmtumishi50
    @ayoubmtumishi50 День назад +2

    Mmmmmm ninajiuliza maswali mengi sana hapa.

  • @ibrahimomari2458
    @ibrahimomari2458 День назад +1

    Huyo binti ni kahaba mzoefu...
    Wakati yupo Rukwa Girls kidato cha 5 alisababisha jamaa aende jela miaka 30 kwa kesi ya kutembea nae,huyu dogo ana laana sana ya ukahaba,...

  • @josephmoses5406
    @josephmoses5406 3 дня назад +4

    Mkuu wa mkoa wa mwanza nae alitakiwa kuwajibika.

  • @omarymwenda1146
    @omarymwenda1146 2 дня назад +2

    Mwalimu Nyerere alisema ukipewa kazi ya Nchi ni lazima UJIHESHIMU, Ingawa hii issue ni very complicated so tusihukumu, TLS na LHRC mnafanya kazi nzuri sana. Tusubiri hatma ya Mahakama.

    • @SayyidAhmadBaalawy
      @SayyidAhmadBaalawy 15 часов назад

      Unaona wanafanya kazi nzuri kweli?? Atakapo potezwa huyu mschana ndio utajua kazi nzuri wanayo ifanya hawa watu ni wahuni sana mwanasiasa na mwana sharia wote niwatu wasio aminika. Mamake mwenyewe akipewa hela alikua akipokea nahakutaka kujua binty yake alipata wapi. Sasa ukiambiwa ana ukimwi ndio utajiona ukicho kifanya kilikua tamaa yako imekuponza

  • @NamalaPothino
    @NamalaPothino День назад +1

    Naomba uchunguzi wa kina ufanyike ,duniani kuna mambo mengi mno

  • @justinealistides5146
    @justinealistides5146 2 дня назад +2

    Ee Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema utusamehe sisi tulio dhaifu na kwa haki yako utuponye.

  • @brunomtweve8073
    @brunomtweve8073 3 дня назад +19

    Mamayako nae tunamfunga kwakosa lakupokea rushwa mana umethibitisha hapa wewe mwenyewe

    • @salmahalfani6307
      @salmahalfani6307 2 дня назад +1

      Umeonaeeeh mshenzi huyu mtoto umelaya wake unamfanya mpaka hamuonei huruma mamaake.

    • @OmanOman-dd5qk
      @OmanOman-dd5qk День назад

      Sahihi mtowaji na mpokeaji wote ndani na mtenda kosa mwanafunzi kwenda gest

  • @shabanirashidi2486
    @shabanirashidi2486 3 дня назад +5

    Shetani ibilisi tokaaa ,uyu dada Ata ongea yake anamchoma muheshimiwa hiv hiv dah

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 3 дня назад

      Kama alimfira kwanini asimseme?

    • @user-du6bd3no2b
      @user-du6bd3no2b 19 часов назад

      Nyinyi sijui mpoje...mnamponda huyu dada ila ipo siku yatawarudieni na nyie...

  • @user-fw6dp9iy4i
    @user-fw6dp9iy4i 2 дня назад +2

    Huyu ndiyo Gen z wa Tanzania,,,,
    Sasa mkuu wa mkoa mwanza anasalimikaje,,, Naiona tuhuma mpya,,,,nini kipo nyuma ya pazia,,,,

  • @hamisidale2704
    @hamisidale2704 День назад +2

    Umelalamika kinyume na maumbile ingekuwa kawaida na maumbile tusingekusikia!

    • @user-hj8sc7jv5m
      @user-hj8sc7jv5m 5 часов назад

      Anatafuta ada huyo mwaka wa kwanza tu shida je akihitimu

  • @efraimjohn4956
    @efraimjohn4956 3 дня назад +6

    huu udokta ambao haufungui kichwa . bado kinakuwa na mambo ya kishenzishenzi tu unasaidia nn?

  • @shabantelack5716
    @shabantelack5716 3 дня назад +4

    Ila mkuu wa mkoa ana Roho , na aka kambao mbao 😂😂😂😂😂😂😂😂 alikuwa naafanya nako nn 😂

    • @luganokitwika7359
      @luganokitwika7359 2 дня назад

      Hahahahahaaaaaaa duh, umenifanya nicheke wakati nalengwa na machozi dah

  • @Moshiarusha360
    @Moshiarusha360 День назад +1

    Mm simuhukumu hakuna hasiyekosea ,mtu kuwa mbaya haijustify yeye KUFANYIWA ubaya,,ubaya Ni ubaya tu..pia kabla hatuja hukumu tujiulize sisi Ni wema kiasi gani

  • @user-pv8iu6em6l
    @user-pv8iu6em6l День назад

    Pole sana mdogowangu Nazidi kusema Ukweli nakuombe Mwenyezi Mungu akusmamie malaika maelfu wakuzunguke nautashnda watu sasa wamekua mawakala washetan nawote wenyetabia hzo watajibiwahapahapa dunian iwekwao au Kwa family zao endeleen mtajuta haijalish ninani Wala nani kwamungu hakuna vyeo

  • @titongholo6261
    @titongholo6261 3 дня назад +11

    Napata mashaka makubwa sana na maelezo ya huyu binti. Hivi kwa kitendo cha kuingiliwa kinyume ni rahisi hivyo kama anavyoeleza. Kama ni kweli Mungu anajua

    • @gracemwailima1780
      @gracemwailima1780 3 дня назад

      Hata mm sielew elew huyu bint yuko timamu kwel

    • @bonyngoyindengoyinde6139
      @bonyngoyindengoyinde6139 2 дня назад

      Uyu n mzoefu na mhuni tu!😅

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh День назад

      Watt wetu hamuendi kusoma munafata mengi huko nje wazee wanahangaika kutafuta ada kama hamuwezi kusoma muolewe tu musiwapotezee wazee wenu pesa zao za mikopo wazazi tuna mikopo kila cona tunasomesha hatari hii

    • @georgeanyosisye2182
      @georgeanyosisye2182 12 часов назад

      Mshenzi huyu kwanza jinga hata kizungu anachoongea kinaonesha serikali inapata hasara kama kapokea bumu.

  • @hassankhalid2465
    @hassankhalid2465 3 дня назад +5

    Kaulizwa km alishatumiwa kupitia ac/au cm kakubali kuthibitisha karuka ilikua cash.

  • @MercySalmon
    @MercySalmon 11 часов назад +1

    Binti wa hovyo umeperekwa kusoma ww unafanya yoko

  • @dizzosukariyaoSukariyao
    @dizzosukariyaoSukariyao 20 часов назад +1

    Chaaaaa kajitakia waafungwe wote

  • @user-fg8hg9fe1w
    @user-fg8hg9fe1w 2 дня назад +5

    Kamesema kalianza kufirwa toka kapo form two kumbe kazoefu kasitupotezee muda😢

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 День назад

      Haswa Malaya huyo asipotezee muda watu

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 День назад

      Haswa Malaya huyo asipotezee muda watu

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 День назад

      Wanaume Huwa mnajitafutia wenyewe matatizo ,cheo chako kikubwa waenda pata zahma Kwa mchafu huyu Binti mnyooo wa chooni huo

    • @EzekiaMtwale
      @EzekiaMtwale День назад

      Waandishi wae wanamhoji mtu kabla il wabaini KULIKO kumalizia watu bundle na kuwachafulia watu!

    • @Lifebeaconuplift
      @Lifebeaconuplift День назад

      Wapi amesema kwamba tokea form two

  • @kimwerihamza4152
    @kimwerihamza4152 2 дня назад +3

    Tuliosoma cuba tumeshamuelewa huyo binti,mwanafunzi wa chuo anashindwa kutamka maneno ya kiswahili,tumuogope mungu kwenye kufitini

    • @user-zq7jb2ij4u
      @user-zq7jb2ij4u День назад

      Kabisa

    • @alinanusweosward-ov2nq
      @alinanusweosward-ov2nq День назад

      Yaaan bint anajikanyaga na kiingereza kingi ,mabint wa sample hii wa hovyo sana na always wanajifanya wajuaji sana na nadhani wapelelezi watafanya kazi Yao kujua nn na vip ilikuwa

  • @ANNAKISIGA-pc5qs
    @ANNAKISIGA-pc5qs День назад +1

    Kwanz kamesema.kalihamaia sit ya nyuma kwann mpka unahamia sit ya nyuma ulipotoka kwann usikimbieee we mtoto weww mungu anakuona na kingereza chako cha kutoa tako mmezid

    • @rodrickchonde
      @rodrickchonde День назад

      Huo ni ulaghai uongo mpaka unavuliwa nguo,ikiwemo chupi hivi paa la hiyo gari si ingekuwa lory!😂

  • @GidionKombe-h1p
    @GidionKombe-h1p 2 дня назад +1

    Pole sana mpendwa lakn ujue hiyo issue kubwa

  • @stevenkuhanwa7819
    @stevenkuhanwa7819 3 дня назад +7

    Duh! Kumbe walikuwa wapenzi awali!, inawezekana, lakini siku hizi hata mke halali anakwenda kushitaki kuwa kabakwa na mumewe halali!
    Kuna hofu ya kuwa aliahidiwa vitu fln ambavyo hakutekelezewa na ndio maana kaamua kulipa kisasi kwa mpenziwe!
    Kurudi rudi kwa X ndio hivyo unakutana na plan X!

  • @mchawaamanmchawa593
    @mchawaamanmchawa593 3 дня назад +3

    Nawanda mara tatu kweli ulifanya mbona naona kuna namna hapo lambda kuna Siri nyingine

  • @MayleenDonaldharris
    @MayleenDonaldharris День назад +1

    Kidada chenyewe kibayaaa

  • @user-vb3oz9qc3m
    @user-vb3oz9qc3m День назад +1

    Kumbe mzoefu wa kuzini 😅

  • @abou.salimu1795
    @abou.salimu1795 3 дня назад +3

    Khaa mkuu wa Mwz nae yuko upande upi sasa

  • @josephmoses5406
    @josephmoses5406 3 дня назад +3

    Hawa polisi walau wamejaribu kuwajibika

  • @AnuaryKISEGE
    @AnuaryKISEGE 19 часов назад

    Duh pole mdogo wangu ila msiwe na tamaa jaman

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 2 дня назад +1

    Kivyovyote vile huyu mudada atakuwa mwongo kwa upande wakuingiliwa kinyume na maumbile! Maana kama alikubali kuwa wapenzi! We jiulize tu kwa nini huyu binti alikubali kutembea na mkuu wa mkoa? Hapo kuna vitu walitofautiana akaamua kutunga hi ishu!

  • @moriscollins4494
    @moriscollins4494 3 дня назад +3

    Kama anamkana mama yake huyu binti

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s 3 дня назад +4

    Kumbe alikuwa mtu wako sasa anakulawitije

    • @user-cm7yl9ej7i
      @user-cm7yl9ej7i 3 дня назад

      Kwa hyo mama yako angeombwa na baba yako na kuachika siku Moja angekuelea huyo ni sababu ya kuachana na baba yako ungejiskiaje

    • @JuliusMahinya-wl7mq
      @JuliusMahinya-wl7mq 3 дня назад

      ​@@user-cm7yl9ej7ikwa nn usitolee huo mfano kwa mama Yako? Kwa nn mama yake na si mama Yako?
      Yaani jambo la kujadili kawaida unamhusisha mzazi wa mtu!!!

  • @feisalmwinyi2429
    @feisalmwinyi2429 День назад +1

    Hivi huyu kadada mzima jmn au ndo kupanguliwa marindaaa uko.. vp anajiamini hivi teari kishafirwaaaaaaa weee mpk alafu apo apo unasikia ati ana hofu mtaa llokua naishi nimehama kisa nini teari alifirwa haya vp na sasa kujianika hivi na wandishi wachache tu.. jmn me muono wangu huyu dada katiwa chaka na anazidi kutiwa chaka kwa tamaa za kidunia alipo anza kutogozwa hajaitiaha vyombo vya habari alikua anaenda vzr tu kutolewa marinda km alivyo ripotiwa eeeeeh.. vp sasa hv anajianika anaomba msaada ati Rais nisaidie asaidiwe nini alipo haidiwa atasaidiwa akubali kuingia kwenye uhusiano hakuomba msaada vp sasa hv...? Huyuu katiwa chakaa nasemaa na wale team ilotumbuliwa na uyooo RC hmn jengine apo katoto kadogo hikii kaacha kusema na Roho yk kataka makubwa na haya sasa yanamla na hii iwe somo kwa wengine waseme na roho zao wapendane na watu wa rikaa zao usidangaywe na kio mrembo wewe yatakukuta yalomkuta huyu na wingi mitaani tunao teari . 😢 Asofunzwa na Mamae atafuzwa na Ulimwenguu huyu dada Ulimwenguu unaanza kumfunza hebu iondoeni hii clips me naona km anajiadhiri tu lkn asitegeme ati atalipwaa mamilion ya pesa km tusikiavyo maana sikuizii kitu kidogo utamsikia nimempigisha fain billion yaa gujuu

  • @jamaliddiin9357
    @jamaliddiin9357 День назад +1

    Wewe binti pia ni mshenzi ,kumbe ni wazinifu
    toka zak hapa ,haya pia huna ,uso kavu kama kauzu ,muongo mkubw wewe ,

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s 3 дня назад +4

    Binti wewe

  • @nestor384
    @nestor384 2 дня назад +4

    Hongera nyingi sana kwa polisi na vyombo vyote vilivyojaribu kukabili hadaa za wakuu wa mikoa hawa wawili, Aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Simiyu anapaswa kufungwa na mkoa wa Mwanza wa sasa alipaswa kufukuzwa kazi pia mshenzi kabisa!

    • @mkadammkadam
      @mkadammkadam 2 дня назад +1

      Ni peke yako uliyeonyesha mawazo yaliyokomaa. Kama kila mmoja wetu anatetea kwa nguvu zote uhalifu ambao kila siku tunalalamika kuwa vitendo hivi vimekithiri katika jamii zetu. Vipi tutaondosha kama hatutashirikiana kuvipiga vita?

    • @livingstonekabantega
      @livingstonekabantega День назад +1

      Sio kweli afukuzwe kisa tamaa zake

  • @matlidaandrew9391
    @matlidaandrew9391 13 часов назад

    Mungu akusimamie we mtoto maana umejiingiza kwenye shida kabisa

  • @gervasatilio5683
    @gervasatilio5683 15 часов назад

    Hapo hakuna aliye salama, kabla hujamuhukumu mtu aliye sababisha matatizo kwenye maisha yako jihukumu kwanza mwenyewe, Mungu haziakiwi apandacho mtu atavuna,

  • @majutojackson5718
    @majutojackson5718 2 дня назад +3

    msimshutumu huyu binti,acheni haki ipatikane, maana kama ni hela amepewa nyingi mno angepiga kimya

    • @MusaMapinda-ch6gz
      @MusaMapinda-ch6gz День назад

      Binti ni malaya

    • @user-du6bd3no2b
      @user-du6bd3no2b 19 часов назад

      Si vibaya kuwa na mkuu wa mkoa...ila mkuu wa mkoa kumlawiti bila ridhaa yake kakosea sana

    • @josephmantago2837
      @josephmantago2837 7 часов назад

      hakuna acha kumtukana hyu Binti Bali ni jasili kwani mapenzi nikosa kufanya acha unafiki

  • @shabanirashidi2486
    @shabanirashidi2486 3 дня назад +3

    Ata kilivyo vaaa tu kimepangwa

  • @NeemaSamson-ti8pc
    @NeemaSamson-ti8pc 11 часов назад

    Pole msichana siwezi kukuhukumu maana sikuwepo unapofanyiwa hayo

  • @tausmoses7447
    @tausmoses7447 3 дня назад +1

    Pole! Kama kweli vitendo hivyo vinakurudia rudia hiro ni pepo, Hiyo roho inayokunyemelea ikemee. Pole sana

  • @user-fr7jj1bo7y
    @user-fr7jj1bo7y 3 дня назад +6

    wakili TV please tunawezaje kumsaidia huyu binti ili apate haki yake

    • @florarwegerera8025
      @florarwegerera8025 3 дня назад +1

      Anapataje haki yake wakati alikuwa mpenzi wake, alimfata wa nini? Huyu kaamua kumchafulia huyu baba

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 3 дня назад

      ​@@florarwegerera8025hata kama alikuwa mpenzi wake hana haki ya kumwingilia kwa nguvu na bila idhini yake huo ni ubakaji

    • @MwanaishaShattry
      @MwanaishaShattry 2 дня назад +1

      Hana haki ni mwanaume wake na wanatoka kamefirwa huyu sasa kashawishiwa kumchafua.

    • @EzekiaMtwale
      @EzekiaMtwale День назад

      Ni mchezo tu kashawishiwa kumchafua mh!

  • @SalumFuraha
    @SalumFuraha 3 дня назад +3

    Kingereza kingi mjinga we mwanafunzi unaingia kwenye mapenzi

    • @user-cm7yl9ej7i
      @user-cm7yl9ej7i 3 дня назад

      Na mtaman mtoto wako wa kike kama umezaa

    • @josephmantago2837
      @josephmantago2837 7 часов назад

      hyo sio mtoto ndg ni mtu mzima mbona mnamshambulia bint wa watu acha aeleze ukweli

  • @isackyombe8410
    @isackyombe8410 2 дня назад +1

    Imeisha iyooo...samaki aliliwa tangu zaman mmno sema ndo vile DD ZIMEFELI

  • @user-vf8wv8hi5b
    @user-vf8wv8hi5b 3 дня назад +16

    Kaongo hako

  • @bonifaceibunga9443
    @bonifaceibunga9443 3 дня назад +6

    Wewe huo mchezo umeshauzoea hivo acha kutusumbua maana umekiri ni mpenzi wako kwa zaidi ya miezi sita sasa shida ni nini ?
    Maana hakuna kipimo cha kutambua lini ulianza kufirana.
    OVER

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 3 дня назад

      Acha ujinga ,hilo jambo sio zuri kama unavyofikiria ,watu wengi sasa hivi ujinga tu unawasumbua wa kuchezea uchafu mavi .

  • @hajihassan5433
    @hajihassan5433 День назад

    Hii issue imepikwa kwanza kuna vitu ukifanyiwa huwezi kueleza media namna hii, pili ni wapenzi wa kawaida tatu kuna watu nyuma ya pazia.
    Tunayodhibitisha sisi ni rushwa ambayo unadhibitisha kupokelewa.

  • @lukamlondwa4100
    @lukamlondwa4100 21 час назад

    Pole kua na mzimamo haki itapatikana

  • @marcoboniphace9733
    @marcoboniphace9733 3 дня назад +4

    HATARI sana

  • @stevenmrama3123
    @stevenmrama3123 3 дня назад +5

    Ulienda chuo kusoma ,hayo uliyoyatafuta una sababu ya kulalamika.

  • @amalykibondei1644
    @amalykibondei1644 3 дня назад +2

    Huyu dada si mkweli mwongo

  • @elijahfresh5985
    @elijahfresh5985 День назад

    Kwa tunaojua haya mambo tayari tunaona kwamba Kuna watu powerful walikua nyuma ya hii ishu isingekua hivyo hii ishu isingefika ilipofika. Maana polisi hawawezi kwenda kinyume na oder za mkuu wa mkoa wao.

  • @aminitu3766
    @aminitu3766 3 дня назад +5

    Duh kwaiyo umefanywa nyumba duh

  • @infodigtechforcommunityemp4103
    @infodigtechforcommunityemp4103 3 дня назад +1

    Pole sana sana

  • @JeremiahKavakule
    @JeremiahKavakule 2 дня назад

    Siasa

  • @protasreshola9744
    @protasreshola9744 3 дня назад +3

    Mnyonge mnyongeni, haki yake apewe. Binti 😅anadai kulawitiwa na X RC na anadai alifika hospitali. Binti kama aliingiliwa kinyume hospitalini lazima mbegu za kiume zilionekana hivyo ilipaswa zipimwe vinasaba, DNA. Ikibainika ni RC aadhibiwe. Lakini pia binti anaweza kupanga mchezo na kuingiliwa na mtu mwingine ili kesi amtwishe X RC kwa vigezo kuwa walikuwa na ukaribu kimahusiani.

  • @user-lo8ef9qn2r
    @user-lo8ef9qn2r 3 дня назад +6

    Uyo muongo iv ubakwe ulale kesho ndio uende kesho kweli iyo ni njama tu kumchafua tu uyo mtu ikitaka kujua anaujasili wa kuja midia kuongea uo upuuzi

    • @rodrickchonde
      @rodrickchonde День назад

      Ni kweli,angeenda usiku ule ule police,na hata taarifa angeanza kutoa pale pale reception!je hospital wana sumple ya manii za mtuhumiwa?ikiwa zinalingana na zilizotolewa kwa binti?je kama baada ya kutoka pale alienda kwa mwingine? maana ukifuatilia maelezo yake si mgeni wa huo mchezo.

  • @muhsiniissa8151
    @muhsiniissa8151 День назад

    😊😊uko nyuma walikua hawapo sawa,,waliosoma Cuba wataelewa

  • @user-hj8sc7jv5m
    @user-hj8sc7jv5m 6 часов назад

    Utaachaje kukumbuka tarehe uliyolawitiwa kama ni kweli, polisi na mahakama wachunguze kiuzalendo haki itajulikana tu, shida ya wanawake wa kibongo wakifika polisi wakilia kidogo tu polisi wa sehemu ya kijinsia hughafirika fasta na kuanza kuona huruma kwa asilimia zote kwa mlalamikaji ambae ni mwanamke tofauti na mwanaume akienda kulalamika kwa jambo lolote la udhalilishaji wa kijinsia.

  • @jimonmwakalebela9470
    @jimonmwakalebela9470 3 дня назад +7

    Mnachafua watu unatakiwa uwekwe ndan

    • @user-cm7yl9ej7i
      @user-cm7yl9ej7i 3 дня назад

      Kwa hyo mama yako angeombwa na baba yako nyuma na mama yako akaachika siku Moja ukaomba sababu akakwambia nikiombwa nyuma ungejiskiaje Kuma wewe

    • @matallahkhamis9579
      @matallahkhamis9579 День назад

      Hatuzingatii unasaba wetu tunazingatia maelezo yake yana ukweli gani. Hata kama Mama yangu awe Dada yangu au Shangazi yangu. Kama anaongea hivi nitasema ni uwongo.

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 3 дня назад +9

    Hivi ni kweli kalawitiwa mbona kama siamini hii siyo mambo ya Siasa kweli

  • @philipongenzatv
    @philipongenzatv 3 дня назад +2

    Serikali imung,ate bwana Simiyu

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 21 час назад

    Yaani, hapana, upelelezi ufanywe na haki itemdeke ninamashaka, sipo upande wowote, kama kuna mchezo mchafu wa kumchafua mh. Basi huyu binti ashughulikiwe na watu walio nyuma yake. Na kama ni kweli basi mkuu ashughulikiwe kwelikweli.

  • @StevenMkuwa
    @StevenMkuwa 3 дня назад +4

    Mmhh mzoefuu acha kutupanga sisi

  • @faiditv5535
    @faiditv5535 3 дня назад +3

    Huyu bint alindwe