CHADEMA Iringa Watoa Tamko na Msimamo Sakata la Msigwa Kuhamia CCM "Aache Kuitaja CHADEMA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 июл 2024
  • Viongozi CHADEMA Iringa Mjini wakiongozwa na Mwenyekiti wao Frank Nyalusi Wametoa Tamkon lao huku wakielezea msimamo wao juu ya Sakata la Mchungaji Peter Msigwa kuachana na Chama hicho na kuamua kujiunga na CCM.
    "yeye ameachana na CHADEMA, aache kuitaja" -Amesema Frank Nyalusi.
    Subscribe (Focus Digito TV) ili usipitwe na Video mpya zinazotoka kila siku.
    Focus Digito TV inakupa Maudhui Mazuri yanayohusu Habari, Elimu, Mitindo ya maisha, Michezo na Burudani.
    Focus Digito TV is here to provide you with contents about News, Education, Lifestyles, Sports and Entertainments.
    #FocusDigitoTV
    ..................
    Tufuatilie Zaidi kupitia:
    INSTAGRAM, TIKTOK, FACEBOOK, TWITTER (X), THREADS NA GOOGLE WEBSITE YETU YA FOCUS DIGITO TV
    Focus Digito TV is one of the best info-edu-tainment Online Media conveying contents for the Public Interest.
    Asante kwa kuchagua kutufuatilia | Thanks for Subscribing
    We Love You | Tunakupenda
    Regards
    Team FocusDigitoTV
    MCHUNGAJI MSIGWA AFUNGUKA BAADA YA KUJIUNGA NA CCM, ATAJA SABABU ZILIZOMFANYA AONDOKE CHADEMA
    MSIGWA AMLIPUA VIBAYA MBOWE BAADA ya KUHAMIA CCM - AFICHUA MADUDU ya CHADEMA - ''HATUNA
    MSIGWA AFUNGUKA SABABU YAKUITOSA CHADEMA KUHAMIA CCM "MIMI NI MTU MZIMA
    DR.SLAA ANAONGEA SAKATA LA MSIGWA KUHAMIA CCM ZAKARIA OBAD WA CHADEMA KUFICHUA MAZITO
    CHADEMA waionya CCM baada ya kumpokea Mchungaji Peter Msigwa.

Комментарии • 83

  • @josephatmhamiji4886
    @josephatmhamiji4886 2 дня назад +7

    Chadema nichuo kikuu mungu ibariki Chadema naviongozi ote wachadema ote

  • @eliaskhamis1546
    @eliaskhamis1546 3 дня назад +10

    Umenena vyema sana Mwenyekiti NYALUSI

    • @hamisimuhunzi7916
      @hamisimuhunzi7916 16 часов назад

      hakuna mwanachama makini anayeweza kuama chama kumfuata mtu. Msigwa kamfuata mama kesho mama hayuko atarudi chadema!!??

  • @edsonkahesi8603
    @edsonkahesi8603 2 дня назад +3

    Kamwene Iringa, nashukuru kuona bado mko imara sana, nawasilimu kutokea Bukoba.

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn 2 дня назад +5

    Safi Sana kamanda

  • @richardmakweta8875
    @richardmakweta8875 2 дня назад +2

    Mungu awabariki Sana Wana lringa mjini kupigania haki kunahitaji moyo imara Sana ,Nchi hii inahitaji ukombozi wakina ,Mungu awatetee watu wake

  • @alphoncejmrema7912
    @alphoncejmrema7912 3 дня назад +6

    Asante kiongoz

  • @kagombaEnok
    @kagombaEnok 3 дня назад +5

    Safi sana Nyalusi tena wewe ndo unafaa kuwa mbunge wa jimbo hilo la Iringa mjini baada ya huyo mroho wa madaraka kukisaliti chama

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 3 дня назад +5

    Ubarikiwe sana Mwenyekiti

  • @user-bx3ko9ft5t
    @user-bx3ko9ft5t 3 дня назад +7

    Mmeni furahisha sana hongereni

  • @tumainikibona5252
    @tumainikibona5252 2 дня назад +3

    Nyalusi uko imara sana hongera

  • @andrewassey5108
    @andrewassey5108 3 дня назад +7

    Msigwa ni msaliti aishie mbaliiiiii

  • @efatauroki867
    @efatauroki867 3 дня назад +5

    Muhongeaji yuko vizuri inaonekana uyu jamaa akawa no1 tz kwa kutetea wanyonge ila hajapata chaneli tu

  • @ofreyking5975
    @ofreyking5975 3 дня назад +7

    Safi sana msigwa mroho wa madaraka aende zake alishindwa had uchungaji

  • @leoncebenjamin8107
    @leoncebenjamin8107 2 дня назад +2

    Safi kabisaa

  • @leodgardotmar7198
    @leodgardotmar7198 3 дня назад +4

    Iringa msituangushe, vanya lukolo

  • @AnordKirizestom
    @AnordKirizestom 3 дня назад +9

    Nataka kadi ya chama naipataje? Nipo mkoa wa kagera wilaya muleba namba yangu ni 0657952339

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd 2 дня назад +1

      Hongera Sana Anord Kwa UZALENDO wako, wewe una Kili kubwa ndiyo maana umetambua kuw CHADEMA ndiyo chama cha siasa pekee IMARA nhini kuing'oa ccm na CCM inajua hivyo ndiyo sababu inazuia Katiba mpya na tume huru ya uchaguzi paka SASA!!! Nina uhakika wahusika wakiona.namba ya simu yako watakuhudumia.

    • @FrankMwakatundu-cu6bd
      @FrankMwakatundu-cu6bd 2 дня назад +1

      Arnod nimesahau Jambo muhimu sana nalo ni usiache kujiandikisha Kwa ajili ya kupiga Kura kwa 2024 na 2025 Kura yako 1 Kwa CHADEMA no mtaji mkubwa Sana. Tuko pamoja. NAIPENDA NA KUIKUBALI SANA CHADEMA CHINI YA KAMANDA MH. MBOWE MWENYEKITI BORA WA SISA SAFI NCHINI!!!

  • @VedastoKiungo
    @VedastoKiungo 2 дня назад +3

    Nimekuelewa mzee

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 2 дня назад +1

    Wana Iringa Msigwa alikua chain ya viungo vingi,na mnyororo mmoja ukikatika chama kinaunga tena mwingine, kinaendelea...mbinu zozote za ccm za vitisho, hongo,utekaji,nk ili kuua vyama haitafanikiwa!

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 3 дня назад +2

    Safi sana Mwenyekiti

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 3 дня назад +3

    Wana Iringa hakikisheni Msigwa ajione kuwa CHADEMA haikuwa yeye. Ni msaliti ameshikwa matiti tu kalegea, akavulie gauni lake huko alikoenda.

  • @cyprianboniphace-oz5lw
    @cyprianboniphace-oz5lw 2 дня назад +1

    Kiongozi aliyekuwa na mvuto kwa watu alikuwa Lowasa aliondoka CCM na watu Chadema ikapata wabunge 48 Msigwa kaondoka yeye na familia yake.

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn 2 дня назад +1

    Amelamba Dora 300000 toka ccm msigwa huyo ili kusariti chadema

  • @OswadSanga-hb2vi
    @OswadSanga-hb2vi 2 дня назад +1

    Ukweli ni kwamba msigwa kufeli uchaguzi unahama chama tumpuuze msigwa watanzania

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 3 дня назад +2

    Unaweza ukaanza vizuri ukamaliza vibaya Kwa haya mateso ccm wanayotutesa na musigwa anaenda kuwafunga mkono huu uchungajiwake umevamiwa na shetani asipofunga na kuomba majibu mutayaona

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 2 дня назад +1

    msigwa maamuzi yake ni ya kibnafisi hats hakufikiria familia yake maana haitaaminiwa kwenye taasisi kubwa za nadani na nchi na nje ya nchi kwa mantiki ni damu ya kizazi kischo na msimamamo

  • @josephatmhamiji4886
    @josephatmhamiji4886 2 дня назад +2

    Msigwa siyo mungu

  • @twaibumikidadi7377
    @twaibumikidadi7377 День назад

    njaaa hatrr sanaa

  • @JohnKuyumbe
    @JohnKuyumbe 2 дня назад +1

    Mnaojielewa bakieni kujenga demokrasia

  • @daudimaembe3360
    @daudimaembe3360 День назад

    Safi kabisaaaa

  • @kibemassao6478
    @kibemassao6478 3 дня назад +4

    Bro unajua kuongea...

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg День назад

    Nyalusi pamoja na hayo maneno utashangaa kesho tunakusikia upo ccm

  • @salehmdemu5722
    @salehmdemu5722 13 часов назад

    Mchungaji msaliti ,,njaa kali

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 2 дня назад

    Kwa hayo yaliyofanyika awamu. Ya tano wew uliyafurahia kama mwanadamu lakini mungu hakufurahia ndo maana alimuondoa magufuli haraka sana

  • @MonayLai
    @MonayLai 2 дня назад +1

    yaani kwa changamkeni mpate mtu makini jimbo liko wazi hili ushindi wa bureeeeeeeeeeeee 😆😆

  • @jacksonchatanda9683
    @jacksonchatanda9683 2 дня назад

    kiongozi naona mafua yamekubana sana, au homa ya kuondoka msigwa😷😷😷😷😷

  • @marthaswai1185
    @marthaswai1185 2 дня назад

    Chadema ni jiko la viongozi.CCM tuwe makini.Wanaweza kuhamia wote kwetu ili kutusukuma nje kindakindaki

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 3 дня назад

    Sana sana atakalolifanya siku anakuja kwa mkutano atakuwa amewanunua wanaCCM watakuja kujidai wanagama CDM kujiunga CCM kumbe niwalewale!!!

  • @abbiecox1
    @abbiecox1 11 часов назад

    MBONA CDM WANAITAJA CCM! MUACHENI MSIGWA ASEME NINYI ENDELEENI NA YENU

  • @alphoncejmrema7912
    @alphoncejmrema7912 3 дня назад +1

    Niwaambie kitu msimtaje taje tena

  • @yahyahamisi2038
    @yahyahamisi2038 День назад

    Ccmm wamemchoka jeska 🤣🤣 mchungaji changamkia fursa 🤣🤣 waweza teuliwa au kuwa nbunge 😢😢 CCCM oyeeed 🤣🤣🤣😆

  • @jmastertz161
    @jmastertz161 2 дня назад

    aende tu yule kwanza mubifsi sana yule

  • @Kalunirashidi
    @Kalunirashidi 23 часа назад

    .mnazirizi sakosi yenu

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 2 дня назад +1

    kwanza sio mhehe ni mngoni mhehe ninavyo mjua mkwawa hakubali kuuza utu wake

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 День назад

    Kupitia msigwa imenifanya nisimwamini mtu Yan msigwa ww Ni kigeugeu umesha fungwa mdomo huko uliko kwenda

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 2 дня назад

    Hao ni watu ambao wanaweza kukiuza

  • @petermogha7025
    @petermogha7025 2 дня назад

    Kutaja CCM nikuipenda

  • @ndalahwakulwa4517
    @ndalahwakulwa4517 День назад

    Petro ni ULANZI
    Ni mlevi😂

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 2 дня назад

    MSIGWA ULISHINDWA KUYATAMBUA HAYA USIFANYE MAAMZ YEYOTE YALE UKIWA NA HASILA AU FULAHA ILIYO PITILIZA MAZALA YAKE UTAKUJA JUTIA

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 2 дня назад

    Huyo si mchungaji tena, kakosa uvumilivu, njaa nayo imechangia

  • @yohanamsongole6489
    @yohanamsongole6489 2 дня назад

    Lakini naona wengine wamekunja sula

  • @HabibuSalumu-iv5wl
    @HabibuSalumu-iv5wl 3 дня назад

    Hi I

  • @MalamboSelijusi
    @MalamboSelijusi 2 дня назад

    Tafuta sera

  • @AiserAli-mq6sz
    @AiserAli-mq6sz 2 дня назад

    Sura yako mtu njaa kali sana ww wanunulika haraka ww wacha sifa

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella205 2 дня назад

    Jengeni chama kama taasisi, acheni kuabudu watu

  • @eliasmakoye3939
    @eliasmakoye3939 День назад

    CDM mazambi ni mengi

  • @khatibabass3106
    @khatibabass3106 3 дня назад

    Mwenzako msigwa alisema nyumba itiwe moto akihama wewe unasema utakua wa mwisho

  • @samwelkavwanga4491
    @samwelkavwanga4491 2 дня назад

    Video mbovu inakata

  • @user-rx8uf5ov5q
    @user-rx8uf5ov5q 3 дня назад

    Nawaunga mkono kaondoka na njaa zake

  • @George-jz3jg
    @George-jz3jg День назад

    Ukweli hata hicho kikao hakingekuwepo mmekaa kwasababu ya msigwa kuondoka Nijuavyo mimi chadema iringa mkoa ilikuwa ni msigwa hata kwenye taifa msigwa chadema imepata pigo

  • @Aman-kp4wl
    @Aman-kp4wl 3 дня назад

    Wewe.ninyalisi?mbona tulikua tunakusikia alikubania msaliti

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 День назад

    Chadema ni meli mbovu wala rushwa ninyi kwa mujibu wa mwenyekiti wenu! Chadema cyo chama chako msigwa atakitaja tu kwa unafiki mlionao

  • @josephatmhamiji4886
    @josephatmhamiji4886 2 дня назад +1

    Kiongozi mwenye hofu na mungu ataheshim maandiko matakatifu

  • @user-vl4rz6lf6d
    @user-vl4rz6lf6d 2 дня назад

    Inaonyesha mmeumia sana Kuhama kwa msigwa nyie bakini na sakosi yenu Mwenzanu kaona mbali

    • @barakalameck7342
      @barakalameck7342 2 дня назад +2

      Kwanini hakuona mbali mda wote mpaka aje aondoke wakati wakushindwa uchaguzi..huyo nimroho wamadaraka.

  • @NDEWARA
    @NDEWARA 3 дня назад

    CHADOMOOOO😂😂

  • @pancrasluoga4584
    @pancrasluoga4584 3 дня назад

    Mbona maneno yanajirudia

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm 2 дня назад

      Acha nongwa. Hulazimishwi kusikiliza umejileta mwenyewe.

  • @vascomwalongo451
    @vascomwalongo451 2 дня назад

    Nop.
    Hakuna Upinzani Tz.

  • @AiserAli-mq6sz
    @AiserAli-mq6sz 2 дня назад

    Ww unaushahidi kuwa ccm inateka watu ww una jua mengi ulezee viombo vya usalama zaidi ingikuwa wakati awamu ya 5 saa hii umesahaulika hauko tena raia uko polisi waeleza vizuri

  • @AiserAli-mq6sz
    @AiserAli-mq6sz 2 дня назад

    Chadema sio chama demokrasia ni cha mbowe ww humtaki msigwa kiti cha iringa mjini cha msigwa wacha tisha toto hiyo ww ata mavi ya msigwa huyawezi paka ww

  • @MonayLai
    @MonayLai 2 дня назад +2

    nawaunga mkono yaani kama ndio wamewaza kumsimamisha heri wamwache tu yule mama wa watu sijui mtambakavangu Iringa tunawajua hamyumbishwagi atapigwa asubuhi kura za chap chap

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq 3 дня назад +1

    Unaweza ukaanza vizuri ukamaliza vibaya Kwa haya mateso ccm wanayotutesa na musigwa anaenda kuwafunga mkono huu uchungajiwake umevamiwa na shetani asipofunga na kuomba majibu mutayaona

    • @sophiemsuya6507
      @sophiemsuya6507 2 дня назад +1

      Tumempa pole Mchg Msigwa. Angeondoka mapema au angesubiri hata ipite miezi 6 ndipo aondoke, ila kwa Sasa inamaanisha alitaka kujimilikisha uenyekiti wa kanda ndo kakosa, ameamua kutimiza ndoto zake za kutangatanga.