MUSUKUMA AMLIPUA MCHUNGAJI PETER MSIGWA IRINGA - "NITAKUWA NAMPIGIA BUNGENI"...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • MUSUKUMA AMLIPUA MCHUNGAJI PETER MSIGWA IRINGA - "NITAKUWA NAMPIGIA BUNGENI"...
    Mbungu wa chama cha mapinduzi Joseph Musukuma amezungumza na wananchi wa iringa katika ziara ya katibu mkuu wa chama hicho...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Комментарии • 23

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Год назад +2

    BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Год назад +3

    Msukuma Hana elimu ya kuelewa mambo. Anajipa udaktari bila elimu. Ni mbwembwe tupu. Hawa ndio wanaoliangusha Taifa. Elimu, elimu, elimu

  • @jumamsechu
    @jumamsechu 3 месяца назад +1

    Wezi kazini

  • @OmaryKikambaa
    @OmaryKikambaa 3 месяца назад +1

    Mara pa msigwa yupo chichiem,,,, kumbe msukuma alikuwa anamaanisha

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 2 месяца назад +1

    Kumbe Mchungaji Pita Msigwa alikuwa anapewa pesa na ccm .

  • @RobyJoachim-y2k
    @RobyJoachim-y2k 2 месяца назад

    Elimu ni nzuri sana huyu mbumbumbu ata kupabgilia maneno hawez

  • @kizitoleons6291
    @kizitoleons6291 Год назад +1

    Huyu ufahamu wake mdogo sana badala anadi sera za chama chake anamuongelea mpinzani

  • @victorsanga2229
    @victorsanga2229 3 месяца назад +1

    Siasa za CCM hazina lengo la kumkomboa mnyonge

  • @AdamSaffi211
    @AdamSaffi211 Год назад +1

    Nchi iko kwenye pandemic mbaya sana, kichaa, viongozi wote vichaa, mbwa koko wewe Musukuma. Hela hizo ni za watanzania siyo za mpemba Samia!

  • @shetanoathumani2904
    @shetanoathumani2904 Год назад +1

    Mkulima Nani wa nyanya amepelekewa mamilioni ya hela?

  • @SaidiMohamedi-n2u
    @SaidiMohamedi-n2u 2 месяца назад

    Heti humewapa uhuru sawa mkoroni sijui mwarabu au mzugu

  • @anordgerison8639
    @anordgerison8639 Год назад +2

    Wewe mbunge msukuma una ongea nini ...? Ety pesa inatoka kwenu una pesa gani ya kutoa kwa CHADEMA wewe , Pesa n za walipa Kodi wa kitanzania na Maliasiri za Tanzania 🇹🇿 , ko usijifanye wewe ndio unajua Sana wadanganye hao hao ..... ! Ambao hata darasa la 7 hawajafika

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 3 месяца назад +1

    Mpumbavu ndiye aliwae. Hana lo lote anafanya siasa za kipimbavu tu

  • @ObadiaChengula
    @ObadiaChengula Месяц назад

    Jamaa aliongea ukweli sana huyu

  • @wanguwangu34
    @wanguwangu34 2 месяца назад

    Huyu anayejiita msukuma kwa nini asiende shule kwanza ili awe anaongea facts bungeni maana michango yake yote huwa madudu tupu yaani uchafu na kuchafua watu.

  • @edisonmjema2620
    @edisonmjema2620 2 месяца назад

    Akili mbovu

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 2 месяца назад

    Mhuza nyanya kaperekewa pesa na kachukuwa

  • @patrickKitambo
    @patrickKitambo 11 месяцев назад +1

    Watu wajinga wapo kwenye mfumo, wenye akili wanaogopa kuingia fursa za uongozi

  • @innocentkamuntu8041
    @innocentkamuntu8041 2 месяца назад

    nikweli nyie ni wa makofi una jipya ww ovyo

  • @EmmaculateGembe
    @EmmaculateGembe 2 месяца назад

    Mjinga mkubwawewe elimu huna ndoo mchawi shetani mama anatoapesa ni zake?siyo za watanzania?

  • @EmmaculateGembe
    @EmmaculateGembe 2 месяца назад

    Eti wangekupa urais nani akupe wewe mbumbu mzungu wa reli nchi inauzwa bandari misitu mbuga za wanyama nyie mnashangilia yaani wewe msukuma umemgeuka JPM na Nyerere kuhusu Raslimali za nchi hakika mtakufa mkawakute na watawauliza maswali ambayo hamtayajibu kamwe

  • @zabronmwaipungu2212
    @zabronmwaipungu2212 2 месяца назад

    Wajinga nyie kila kitu kafanya, na nyie mnafanya nini.