MUSUKUMA AMLIPUA MCHUNGAJI PETER MSIGWA IRINGA - "NITAKUWA NAMPIGIA BUNGENI"...
HTML-код
- Опубликовано: 5 окт 2024
- MUSUKUMA AMLIPUA MCHUNGAJI PETER MSIGWA IRINGA - "NITAKUWA NAMPIGIA BUNGENI"...
Mbungu wa chama cha mapinduzi Joseph Musukuma amezungumza na wananchi wa iringa katika ziara ya katibu mkuu wa chama hicho...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ...
Msukuma Hana elimu ya kuelewa mambo. Anajipa udaktari bila elimu. Ni mbwembwe tupu. Hawa ndio wanaoliangusha Taifa. Elimu, elimu, elimu
Wezi kazini
Mara pa msigwa yupo chichiem,,,, kumbe msukuma alikuwa anamaanisha
Kumbe Mchungaji Pita Msigwa alikuwa anapewa pesa na ccm .
Elimu ni nzuri sana huyu mbumbumbu ata kupabgilia maneno hawez
Huyu ufahamu wake mdogo sana badala anadi sera za chama chake anamuongelea mpinzani
Siasa za CCM hazina lengo la kumkomboa mnyonge
Nchi iko kwenye pandemic mbaya sana, kichaa, viongozi wote vichaa, mbwa koko wewe Musukuma. Hela hizo ni za watanzania siyo za mpemba Samia!
Mkulima Nani wa nyanya amepelekewa mamilioni ya hela?
Heti humewapa uhuru sawa mkoroni sijui mwarabu au mzugu
Wewe mbunge msukuma una ongea nini ...? Ety pesa inatoka kwenu una pesa gani ya kutoa kwa CHADEMA wewe , Pesa n za walipa Kodi wa kitanzania na Maliasiri za Tanzania 🇹🇿 , ko usijifanye wewe ndio unajua Sana wadanganye hao hao ..... ! Ambao hata darasa la 7 hawajafika
Mpumbavu ndiye aliwae. Hana lo lote anafanya siasa za kipimbavu tu
Jamaa aliongea ukweli sana huyu
Huyu anayejiita msukuma kwa nini asiende shule kwanza ili awe anaongea facts bungeni maana michango yake yote huwa madudu tupu yaani uchafu na kuchafua watu.
Akili mbovu
Mhuza nyanya kaperekewa pesa na kachukuwa
Watu wajinga wapo kwenye mfumo, wenye akili wanaogopa kuingia fursa za uongozi
nikweli nyie ni wa makofi una jipya ww ovyo
Mjinga mkubwawewe elimu huna ndoo mchawi shetani mama anatoapesa ni zake?siyo za watanzania?
Eti wangekupa urais nani akupe wewe mbumbu mzungu wa reli nchi inauzwa bandari misitu mbuga za wanyama nyie mnashangilia yaani wewe msukuma umemgeuka JPM na Nyerere kuhusu Raslimali za nchi hakika mtakufa mkawakute na watawauliza maswali ambayo hamtayajibu kamwe
Wajinga nyie kila kitu kafanya, na nyie mnafanya nini.