Комментарии •

  • @AwardHakimu
    @AwardHakimu 2 дня назад +4

    Kukataa kupewa umwenyekiti😅umeamua kusepa aisee watu ni wakuda😂tutaona mengi kwaiyo huko utakua mwenyekti

    • @dennisungonella205
      @dennisungonella205 2 дня назад +1

      Huko kafuata Udc, URC na ukurugenzi🤣🤣

    • @AwardHakimu
      @AwardHakimu 2 дня назад

      @@dennisungonella205 mkuda sana huyo

  • @MwigaAdam
    @MwigaAdam 2 дня назад +1

    Ewe mungu wetu tuoneshe viongozi wenye nia na Imani ya dhati na WA Tanzania na tepushia watu kama mchungaji msibgwa aliehamia CCM et kwakukisa uenyekiti wa chama kanda

  • @wilbardvalerian6556
    @wilbardvalerian6556 2 дня назад +2

    Big up keep it up

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai482 2 дня назад +2

    Siamini!!!!!!

  • @pancrasluoga4584
    @pancrasluoga4584 2 дня назад +1

    Kama kwelii msigwa kajiunga na CCM Basi siasa ni mchezo mchafu

  • @Niika870
    @Niika870 2 дня назад +1

    Hawa ndio watu msiwai kuwaamini kabisaaa,wanasiasa kama maalaya tu😂😂😂😂

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 2 дня назад +2

    👀👀👀👀👀👀 siamini macho yangu yani msigwa kabisa nae kanunuliwa? duuu nimeamini dunia imeisha

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 2 дня назад

      Hata Mimi siamini macho yangu

    • @user-bs2nr7gz5p
      @user-bs2nr7gz5p 2 дня назад

      Kanunuliwa na Na nani wewe na bado hiyo ndio CCM

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 2 дня назад

      @@user-bs2nr7gz5p hahahahaa kweli ccm imeishiwa hoja sasa msigwa atawasaidia nini

    • @user-bs2nr7gz5p
      @user-bs2nr7gz5p 2 дня назад

      @@ramadhanmahongole9293 kesho utasikia tundu nae kajiunga hao ni wanaadam kwani la ajabu ni lipi?

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 2 дня назад

    Tuna juu hamuna upinzani wote chawa ila uchawa mungu ataufutiliya mbali chezeni comedy zina mwisho

  • @dennisungonella205
    @dennisungonella205 2 дня назад

    Mpaka aibu, dah msigwa😂😂

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 2 дня назад

    🎉🎉

  • @emilmaarufu3734
    @emilmaarufu3734 2 дня назад +1

    😮

  • @user-km3rl2yc8s
    @user-km3rl2yc8s 2 дня назад

    😂😂😂Akili za hawa aisee

  • @TumtukuzeMbise
    @TumtukuzeMbise 2 дня назад

    Kibaraka kwaheri kafie uko wasije wakuua na pesa zao walizokupa usaliti chama tulikuona mapemaa

  • @donaldmaziku7915
    @donaldmaziku7915 2 дня назад

    Haiwasadii,

  • @user-gk1zp7nr7c
    @user-gk1zp7nr7c 2 дня назад

    Mh haya

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 2 дня назад

    Mbona Yuda eskarioti anajificha bahati mbaya hapa iringa maccm hatutawayapa kura zetu.

  • @hamisimweta4505
    @hamisimweta4505 2 дня назад

    Pesa ya Abdul

  • @user-sw7tf1ob1b
    @user-sw7tf1ob1b 2 дня назад

    Ccm nchimbi hii ni kaline nyingine nakuonea huluma chamama COVID Malaya wa kisiyasa kama musigwa zito anakuja hata lisu

  • @user-cp8df8ik5h
    @user-cp8df8ik5h 2 дня назад

    AMEJIUNGA AMBAKO ALIKUWA ANAPASEMA VIBAYA SIO MDA HAFU WANANCHI BADO TUNAONA HUYU MTU ANAFAA KWELI. HUYU MTU SI ANATAFUTA VYEO TU ETY MCHUNGAJI NAE

  • @dekarisaomiro9009
    @dekarisaomiro9009 2 дня назад

    Kwa kweli kufikia hapo naona hizi siasa ni kuchumia tumbo tuu na kutafuta umaarufu, si kweli kuwa usipochaguliwa basi unahama chama kwa hiyo ina maana madaraka ndiyo yalikushikilia kwenye chama hiyo niaibuuu muone aibuu.

    • @dennisungonella205
      @dennisungonella205 2 дня назад

      Haahaa mtu anahama dini kisa kakosa usheikh au uchungaji😅

  • @isackphilipo9870
    @isackphilipo9870 2 дня назад

    Namuona Yuda eskarioti

  • @saidnassormohammed9589
    @saidnassormohammed9589 2 дня назад

    Watanganyika hawaminiki

  • @user-yr8oq8gg2k
    @user-yr8oq8gg2k 2 дня назад

    💆💆💆💆😭😭😭😭😭

  • @janeshija6638
    @janeshija6638 2 дня назад

    Hata huko CCM wamtizame kwa jicho la tatu. Mimi nilisema mapema aende huko CCM sisi hatuko tayari Chadema kukaa naye ni msaliti kama wasaliti wengine. Myu mwenye uchu wa vyeo muogope kama ukoma. Afadhali amfuate ndugu yake huko.

    • @dennisungonella205
      @dennisungonella205 2 дня назад

      Kafuata Udc au URC muda utasema, wanasiasa maslahi hao

  • @clethbarnaba923
    @clethbarnaba923 2 дня назад

    Tunakutakia safari njema

  • @georgemahenge
    @georgemahenge 2 дня назад

    Kushindwa kura na sugu.kasepa

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 2 дня назад

    Yuda mkubwa sana

  • @hamadsheni8997
    @hamadsheni8997 2 дня назад

    KAENDA HALAFU ANAENDA KUPEWA CHEO.MNAOPGA NIA CHAMA MNAACHWA. HYO INAITWA CCM YA FURSA.

    • @dennisungonella205
      @dennisungonella205 2 дня назад

      Itakuwa kahaidiwa URC au UDC, muda utasema.Rushwaaass🤣

  • @SeverinepauloPeter
    @SeverinepauloPeter 2 дня назад

    Kanunuliwa kishamba

  • @user-pk9yr4go8p
    @user-pk9yr4go8p 2 дня назад

    Msingwa umekwisha

  • @piusmelkizedeck9823
    @piusmelkizedeck9823 2 дня назад

    Siasa ni unafki mtupu

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 2 дня назад

    Nunuanunua ya fisiemu imeanza kaeni chonjo chadema tunataka tubaki na chadema halisi

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 2 дня назад

      Hahahaha,,,,, tatizo la chama chenu ni Sacco's ya mtu

    • @emanuelgavile3503
      @emanuelgavile3503 2 дня назад

      Safi sanaaa

    • @ramadhanmahongole9293
      @ramadhanmahongole9293 2 дня назад

      @@jumakapilima7295 chadema ni Chama kikubwa kuliko ccm ukitaka kuamini hilo weka tume yao pembeni weka polisi pembeni chadema na ccm wachuane uone Chama gani ni saccos ccm imesha kufa umebaki kuwa saccos tu ndomana inaufyata kuleta mabadiliko ya katiba kuelekea kwenye uchaguzi wanang'ang'ania katiba ya 1977 inayo wabeba na tume yao ya uchaguzi na police ili kushinda chaguzi bila police na refa wao tume ya uchaguzi ccm hawana ubavu wa kushindana na chadema kwa sasa

    • @ZaidAKissinza
      @ZaidAKissinza 2 дня назад

      Mbona kama siamini mimi jamani, my God?

    • @JosephKembe-ee6bd
      @JosephKembe-ee6bd 2 дня назад

      Mchumia tumbo kama nyinyi

  • @prospermalala6636
    @prospermalala6636 2 дня назад

    Duuuuu, aaaaaaaaaaa, aiseeeeee, mmmmmmm