🅻🅸🆅🅴 : MWABUKUSI ANAZUNGUMZA MUDA HUU SAKATA LA KUKATWA NA TLS KUGOMBEA URAIS CHAMA CHA MAWAKILI...

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 6 июл 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 299

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 10 дней назад +6

    UBARIKIWE SANA WAKILI SHUJAA NA JASIRI MSOMI BONIFACE MWABUKUSI 👏🏼👏🏼👏🏼

  • @mickgeofreyjoachim1580
    @mickgeofreyjoachim1580 10 дней назад +19

    The man's voice in the jungle....powerful voice that brings hope to all members of TLS who are in the side of right....keep going brother u deserve to be leader indeed

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 10 дней назад +10

    Brother Mwabukusi wewe ni mkweli na ni mzalendo. Waambi e💪🏻💪🏻💪🏻

    • @hildandumbalo5827
      @hildandumbalo5827 10 дней назад

      Wamejinyanyasa wenyewe una Yesu brother

    • @hildandumbalo5827
      @hildandumbalo5827 10 дней назад

      Powerful, tuko pamoja kaka

    • @hamisijuma3276
      @hamisijuma3276 9 дней назад

      Mwabukusi, Mpina na Katiba Mpya mbona hapendwi???

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo 6 дней назад

      Kwa kweli Kwa Mwabukusi kuwa Rais wa TLS ni tatizo maana Chama hichi ni cha Watu wote wasio na vyama na wenye vyama tofauti!sasa yeye ana Marengo wa kisiasa ulio wazi,sasa Kwa hivyo anaikosesha heshima taasisi hii muhimu ya watu ni vyema hao waliomuengua kufanya hivyo!yeye aungsne na Mbowe na wanasiasa wengine watuelimishe wananchi mambo muhimu ya inchi yetu!❤🎉

  • @sospeterodhiambo6869
    @sospeterodhiambo6869 10 дней назад +9

    Kwa kweli TLS haipo kwa ajili ya kusimamia haki Hatusikii sauti yao pale wananchi wa nchi hii wanaonewa TLS inataka akili kubwa ya watu kama huyu Mwabukusu kuinyoosha Big up Mwabukusi

  • @Lubango-gj3ud
    @Lubango-gj3ud 10 дней назад +9

    Viva viva Mabukusi, unaitendea haki fani yako ya sheria. Mungu akulinde uendelee kutetea rasilimali za umma wa Taz.

  • @robertzingu9889
    @robertzingu9889 10 дней назад +3

    Yes. Hawa ndio wanasheria tunaowataka hapa Tanganyika. Jamaa anasema, "tutazungumza kwa lugha wanayoielewa hata kwa mkono!!". This is bold and strong statement

  • @serafineslaa1082
    @serafineslaa1082 10 дней назад +9

    Au mchakato unaendeshwa na mamluki wa serikali ndani ya tls? Huyu Mwabukusi anavyoongea hakuna kifungu alichovunja cha Sheria ya chama.

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 10 дней назад +3

    Mwabukusi ❤ you. You seem to be working as teachers!! We use our eyes, hands, legs , mouth and the whole body that's why our pupils understand better. No teacher agrees without questioning Why, when, what, which who....Am proud of you 👏 .

  • @DON-ERICKDANIELKINDOLE-pj8to
    @DON-ERICKDANIELKINDOLE-pj8to 10 дней назад +7

    Hongera sana sana Mwanasheria mzalendo wa kweli.

  • @GabrielMwampulo-ys4nl
    @GabrielMwampulo-ys4nl 10 дней назад +8

    Ndg Mwabukusi endelea na ujasiri huo huo sisi wenye akili hatuoni kosa lako.wewe unatetea maslahi ya nchi.

    • @SarahAlphonce-q4e
      @SarahAlphonce-q4e 10 дней назад

      Kaka kaza buti kweli tumechoka haki inafunikwa kwa wenye madaraka.

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s 10 дней назад +12

    Nyie mtu anaposimamia haki mnakimbilia ukibaraka acheni tabia hiyo kabisa

  • @dennisrwelamira1259
    @dennisrwelamira1259 10 дней назад +7

    Upewe nafasi yako. Wewe ni mpambanaji. Mara nyingi viongozi hawataki watu walionyooka.

  • @mathewyoung2159
    @mathewyoung2159 10 дней назад +6

    Tuko pamoja Sana kamanda wetu

  • @paull8659
    @paull8659 10 дней назад +5

    TLS imebanwa koo ni maccmm. Pole brother Boni

    • @edsonkahesi8603
      @edsonkahesi8603 10 дней назад

      Kabisa, na hawa ndo wanaoiharibu nchi kwa kuleta viongozi wabovu, wasiojiamini, nakuacha viongozi bora eti ni wachochezi, mara wanamkosoa rais yani kiufupi maciciem hayapendi kiongozi wakuwafumbua watanganyika macho, wanataka raia wengi waendelee kuwa mazuzu, wajinga wajinga ili watawalike vizuri..wakiona kiongozi mwenye vision wanampiga vita, kwa njia zote, kama siyo kumbakizia kesi watampa skendo mbaya ilimradi asipate nafasi ya kuongoza ili waendee kufanya yao.
      Mfano mzuri tuliona walivyokuwa washambambikizia tuhuma za uhaini huyu wakili, mara amevunja sheria kwa kumkosoa rais hadharani, mara unaweza sikia mhujumu uchumi, mara mkwepa kodi, yani ciciem wana uhuni mwingi kwa mwenye kuwakosoa.

  • @serafineslaa1082
    @serafineslaa1082 10 дней назад +6

    Hayo ni maagizo kutoka juu.

  • @chuguletheodos3342
    @chuguletheodos3342 10 дней назад +14

    Tuko pamoja mwabukusi ,wewe ni big brain brother

  • @chuguletheodos3342
    @chuguletheodos3342 10 дней назад +20

    Kwa lissu alivokuwa rais wa tls hakuwa mwanasiasa wa chadema ,acheni ujinga nyinyi mnaopinga hii akili kubwa ya mwabukisi ,

    • @richardnganya2311
      @richardnganya2311 10 дней назад

      Hata Lissu alikwamishwa sana Hadi alipotumia mbinu mbadala na kuwahishwa Kwa helicopter mkutanoni!!

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu 9 дней назад

      Tena Alikuwa na Kesi kibao, Hawa wamemuondoa huyu Kwa malengo yao

  • @user-gx4jx4gv9l
    @user-gx4jx4gv9l 10 дней назад +3

    Nakukubali sana mwambukusi tutafika tu haki huwa haipotei ila inachelewa tu.

  • @patrinraura1397
    @patrinraura1397 10 дней назад +4

    Kwa Sisi watu wa chini tunaamini unabii wa kweli unasimama kwenye ukweli na msema kweli siku zote huchukiwa na ndiyo gharama ya Nabii. Mhe Wakili Mabukuzi Mungu atakulinda kwa kuwa unasimama kwenye haki.

  • @user-zg4yz7je8d
    @user-zg4yz7je8d 10 дней назад +2

    Omba kugombea uraisi chadema mwabukusi unakubarika na watanzania aijapata kutokea. Tunakuomba gombea uraisi chadema

  • @user-gv3bv5cu2z
    @user-gv3bv5cu2z 6 дней назад +1

    Hi. Ni. Kweli. Unasema. Vizuri. Asante. Wambie. Wajijue

  • @eliyagikaro6426
    @eliyagikaro6426 10 дней назад +2

    Uko sahihi!asante.

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 10 дней назад +4

    Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana

  • @fabianmahenge301
    @fabianmahenge301 10 дней назад +6

    Big up to you brother Mwabukusi........

  • @EzekielChalomhola
    @EzekielChalomhola 10 дней назад

    Mwambukusi napenda honest Yako. Wewe ni Moja ya viongizi "Strong" katika nchi yetu. Huwa una nimotivate sana Mimi katika kusimamia uwazi na haki. Mungu akupe maisha marefu.

  • @floraashery224
    @floraashery224 10 дней назад +1

    Big up sana brother,even though ukweli utasimama hata wakipinga na kukuondoa

  • @georgewambura7695
    @georgewambura7695 10 дней назад +2

    I am not fear of an army of lions led by sheep, I fear of the army of sheep led by lions

  • @alexlazoro3530
    @alexlazoro3530 6 дней назад

    Kaka mungu akusimamie tuko pamoja wewe ni mwanasheria wa haki kabisa

  • @user-zu8ou2oe4c
    @user-zu8ou2oe4c 10 дней назад +2

    Mwabukusu mm nakukubal sana wanakuogopa ila mm nina wazo hata kama ww huna naomba lichukue kagombee ubunge mwaka kesho nilijuta sana cku nimekuona green hurt arusha unakunywa chai nikaogopa kuja japo kukulipia kikombe cha chai nakukubal sanaaaaa

  • @ThomasEkama
    @ThomasEkama 10 дней назад +2

    saw saww mwambukusi

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 10 дней назад +3

    Maagizo toka juu, nuru na giza havichangamani kaka# bandari

  • @Siha01TV
    @Siha01TV 6 дней назад

    Hii nchii kila mtu ni mnafkiii mpaka mawakiliii ...mnashimdwa ku saport huyuu jamaa kweli

  • @ThobiasMasabire
    @ThobiasMasabire 10 дней назад +1

    Mungubakuongoze kaka yangu

  • @user-jz1or4mb7q
    @user-jz1or4mb7q 10 дней назад +1

    Mungu iokoe Tanzania!

  • @mosesmacha1080
    @mosesmacha1080 10 дней назад +3

    Kuna kitu kizto kinakuja kutoka mbinguni🎉🎉

  • @SarahShao-jw1up
    @SarahShao-jw1up 10 дней назад +10

    TLS inaelekea kuwa Organization ya kichawa....!!! TLS becoming USELESS 😢

  • @HassanSaburi-ge6ej
    @HassanSaburi-ge6ej 10 дней назад +2

    Shida inaanzia hapo kwanini tuwe na vyama viwili kwenye nchi Moja ? Mali zinazo zungumziwa ni za Tanganyika kweli umuhimu wa katiba mpya unahitajika wanasheria wetu mlitetee hili TAIFA

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 10 дней назад +2

    Uko sahihi sana bro

  • @samsonrusagira5168
    @samsonrusagira5168 9 дней назад

    Ubarikiwe Wakili Mwabukusi.Kwa kweli TLS wametuangusha Wa tanzania. Panahitajika mageuzi katika chombo hiki Cha Wanasheria

  • @daudigabriel9860
    @daudigabriel9860 10 дней назад +3

    Haki huinua Taifa 🇹🇿🇹🇿

  • @innocent91044
    @innocent91044 10 дней назад +1

    Bro Achana na hii TLS, Gombea uraisi TLS watakutafuta wenyewe baadae.

  • @bonifasmashingia
    @bonifasmashingia 10 дней назад +1

    Ivi Kinjekitile ngwale!.mtemi isike. Mkwawa and other freedom fighters wa Tz wakafufuka leo wakaona hii Tz ilivyo now na maovu yake !Unafikirii watawafanyia nini rulers?? Im not the fool and i cant rejoin with watu wa matumbo yao !! Instead i can work with people who have vision and volunteers and sio watu wakuagalia nini watapata kwa matumbo yao !! NATIONAL INTEREST FIRST THEN OPTIMISTIC PERSON INTERESTE LAKIN SERKALI YA SASA NI PERSONAL INTEREST FIRST THEN NDO INAKUJA LEAST BIASED IMPLEMENTATIONS OF GROUPED NATIONAL INTEREST NA SOMETIMES. NO IMPLEMENTATION ON IT !!OUR LATE FREEDOMS FIGHTER HAWAKUWA NA HII SPIRIT NA HII BAD SOUL AMBAYO MKO NAYO CCM RULERS !!THUS TUKAWA INDEPENDENT UNTIL NOW BUT CCM MNATURUDISHA *10 YA MKOLONI FEW MNATUKANDAMIZA MAJORITY WHY THIS CCM LEADERS??WE AWAITING TO DIE NOW !!PREACH AND practice right !! Tanzania ni mali ya umma na sio ya watu flani flanii!! NO QUITE AGAIN WE WILL SPEAK AND FIGHT FOR NEO CCM COLONISATION UNTIL MY LAST BREATH AND IM RAEDY FOR THAT !!IM WAITING FOR MY DUTIES AND TIME BY NOW!! TANZANIANS DONT SLEEP AGAIN BECAUSE OUR TERRITORY IS NOW BARGAINED AS BRIDE PRICE TO THE FEW FOOL NON ELITES WHILE ELITE WE ARE SEEING IT AND WE STILL SILENT !!,WE NEED HEAVILY PATRIOTIC SUPPORT AGAINST THIS SESSION OF INTERNAL LIBERATION OF OUR COUNTRY FROM FEW DECENT AND MONSTER LEADERS WHO WOUND OUR PROSPERITY AND BROKE THEM WE NEED READNESS OF ALL TANZANIAN WITHOUT ANY REGARDING CRITEA TANZANIAN ELITE AND NON ELITE TO RECONCILIATE AND START OUR EFFORTS OF OUR SECOND nationalization with our common slogan for our future better ness!!mtu msomi ambaye hasaidiii kupushi ustaw na maendeleo ya Taifa lake huyo kwangu ni foool na hafai kuitwa kiongozi wala kusimamia hata usafi wa chooni!!Watanzania wote bila kujali tofauti zetu ni time ya kulikomboa tena taifa letu kwa njia yeyote ile hata ya umwagikaji wa damu kama inawezekana!! Naona sana uchungu pale ninapooona ................hayaendi sawa pamoja na utajiri wa rasilimali tulionao alafu nikiangalia naona maisha ya watu flani hivi waliopo SERIKALIN JINSI MAISHA YAO YANAVYO NAWIRI KWA KUJIPAKULIA WENYEWE HII NATIONAL CAKE YA WATANZANIA WOTE!!!IM REGRET TO BORN IN TANZANIA BUT I WILL FIGHT FOR REEL TANZANIA I WANT

  • @dillonfoya
    @dillonfoya 10 дней назад +1

    Wa Tanganyika tunahitaji watu wenye udhubutu kama Huyu Wakili.msomi tatizo la kujipendekeza na uoga kuwafurahisha wateuzi hii dhambi Sasa imefika mpaka kwenye Sheria tutaponea wapi kwa mtindo huu TLS mambo mengi wanayanyamazia hawapigi kelele

  • @renatusikanoni4203
    @renatusikanoni4203 10 дней назад

    Brother wewe nakuelewa sana. Nakuombeaga sana kwa Baba katika jina la Yesu azidi kukulinda juu ya MAADUI.

  • @ndilibangokaruhawe9335
    @ndilibangokaruhawe9335 10 дней назад +2

    Ukiwa na utimamu wa akiri huwezi kuiamini TLS

  • @DiscowKajojo-no2up
    @DiscowKajojo-no2up 10 дней назад +2

    Be blessed

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 10 дней назад +2

    Ipo siku yote yataisha mambo ya ukandamizaji Kuna watu wanajiona wao tanzania ni yakwao peke yao

  • @ndaskoi8769
    @ndaskoi8769 10 дней назад +4

    Mkuu tuko pamoja na wewe mpaka waseme

  • @manyarangemgendi4958
    @manyarangemgendi4958 8 дней назад

    U doing a good job brother

  • @Alute-son2003
    @Alute-son2003 10 дней назад +1

    Mungu akutunze zaidi kaka

  • @alexlazoro3530
    @alexlazoro3530 6 дней назад

    Mungu akubariki

  • @MuhojaMalicho
    @MuhojaMalicho 9 дней назад +1

    Nenda jimbon ungane chadema ili ungane na jeshi kubwa la chadema

  • @robertsulus7947
    @robertsulus7947 10 дней назад

    Mwabukusi for president..you have my vote of confidence bro.

  • @user-il8wn9ko9y
    @user-il8wn9ko9y 10 дней назад +6

    sema kaka

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 10 дней назад +1

    TLS ni kichochoro cha baadhi ya mawakili kunyanyasi wananchi kwa kuuza haki zao. Wanashawishi wananchi kupeleka kesi mahakamani ikifika huko wanakula upande wa pili. Hivyo mwananchi kutumika kama daraja la kuwatafutia ulaji. Mkiona meseji hii waambieni wapunguze njaa wanachafua TLS.

  • @user-gv3bv5cu2z
    @user-gv3bv5cu2z 6 дней назад +1

    ❤❤❤❤🎉

  • @atupegemwakahesya
    @atupegemwakahesya 5 дней назад

    Nchi yetu imeoza Kila mahali. Sijui tukimbilie wapi! Haki haki imepotea.

  • @user-gw1df8cf2t
    @user-gw1df8cf2t 10 дней назад +2

    Chama Cha kuwafukuza wamasai

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 10 дней назад +1

    Tunakuunga mkono ❤

  • @zabronmwaipungu2212
    @zabronmwaipungu2212 10 дней назад +1

    Issue: We, as Africans, must acknowledge that our failure stems from our leaders, who view their positions as hunting grounds rather than opportunities to serve their people.

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke 9 дней назад

    The Power of God shetani hawezi kushinda

  • @camilmlay3088
    @camilmlay3088 10 дней назад +2

    Yuko na we rafiki yetu mpenda haki

  • @OscarBethel
    @OscarBethel 4 дня назад

    Msema kweli hao mafisadi hawata kuachia kwasaba wanajua wewe ni mwiba kwao ukiingia TLS utwabana wanataka watu wao ndio wakae hapo

  • @user-gw1df8cf2t
    @user-gw1df8cf2t 10 дней назад +2

    Wapo wasio penda haki Kama hao wanao kubeza no ma mbwa tu

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 9 дней назад

    Mipango ya ccm. Tangu Rugemeleza ameachia ngazi hii TLS imebakia uchi,haina nguvu ipo ki serikali ya mapinduzi zaidi

  • @linogodson6478
    @linogodson6478 10 дней назад +2

    Tupo pamoja mkuu

  • @EstherMushi-d7v
    @EstherMushi-d7v 10 дней назад

    Thank you role model🫡

  • @RobertMachenga-tz3re
    @RobertMachenga-tz3re 9 дней назад

    Mwabukusi mimi binafsi ninavyoona wewe achana na huo uongozi wa hiki chama kwani ni chama cha kisheria na kinasimamia sheria kwa hiyo wewe hutakiwi tu hata kama utafanya nini. Marehemu spika mstaafu Samwel Sita aliondolewa kungombea uspika kwa nguvu kwa hiyo na wewe umeondolewa kwa nguvu basi.

  • @MenelusCzar
    @MenelusCzar 9 дней назад

    MUNGU ALIUMBA PEPO KWA WATU WEMA TUU🙏

  • @godfreykahabi1964
    @godfreykahabi1964 10 дней назад +3

    Pambana wakili msomi

  • @JamesFrelimo-rz8ub
    @JamesFrelimo-rz8ub 6 дней назад

    Nakukubari mkuu nipo nyuma yako

  • @gabapentin8070
    @gabapentin8070 9 дней назад

    🔥🔥

  • @virendavictoria5174
    @virendavictoria5174 10 дней назад +1

    Yaan huyu ndio raisi wangu kama hayupo hakuna uchaguzi hatutaki ukanjanja kwenye haki za watu lazima tusimamie haki

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 10 дней назад +2

    Tls branch ya kijani

  • @bmdele5816
    @bmdele5816 10 дней назад +1

    Mwabuksi,
    You are a big brain brother,
    Keep hiting hard!.. 🔥🔥

  • @ChristianMkumbo-ix2ke
    @ChristianMkumbo-ix2ke 9 дней назад

    God bless MWABUKUSI

  • @bensonjoseph8845
    @bensonjoseph8845 10 дней назад

    I stand with MWABUKUSI....

  • @rweumbizalugaimukamu4905
    @rweumbizalugaimukamu4905 10 дней назад

    Well done

  • @noellema9109
    @noellema9109 10 дней назад

    Mungu akulinde ndugu

  • @user-mm6sm9rt9x
    @user-mm6sm9rt9x 10 дней назад

    Kwa kazi unazozifanya wewe huna mpinzani katika uchaguzi huu.
    Ila kiukweli namshukuru sana Mungu kutupa Mtanganyika mhimu kama wewe.
    Itoshe tu kusema Asante sana Mungu kutupa mtu kama wewe.
    Ila Serikali na taasisi nyingine za kimaamzi zijifunze mandamano ya Kenya. IPO SIKU na sisi WATANGANYIKA tutakujafanya maamzi magumu Kwa udhalimu huu unaofanywa siku Hadi siku. WATANGANYIKA wa siku hizi siyo mambumbumbu kama ilivyokuwa zamani. We know white and black.

  • @elickchaula858
    @elickchaula858 6 дней назад

    NAKUKUBALI SANA MWAMBA IPO SIKU KILA MTU ATAKUELEWA

  • @CharlesiPhilimoni
    @CharlesiPhilimoni 9 дней назад

    Kwelii kabisa

  • @user-wl5np6sv3i
    @user-wl5np6sv3i 10 дней назад

    Inauma kwa kweli pambana Mungu yu pamoja nawe

  • @RabihuHussein
    @RabihuHussein 9 дней назад

    Nimeamini TLS ni ma mbwa wanaong'ata bila kupuliza. yani wapo kwaajili ya maslahi ya baadhi ya watu.

  • @leajangmwaana8027
    @leajangmwaana8027 10 дней назад

  • @AlexChawe
    @AlexChawe 10 дней назад

    💪💪👍

  • @user-gz1jy4cf6s
    @user-gz1jy4cf6s 10 дней назад

    Uko sawa comando

  • @user-bp7nb7yp2o
    @user-bp7nb7yp2o 10 дней назад +1

    Kaka wamekuona wewe unakubalika na ungechukua kiti asubuhi na mapema.

  • @innocentmbunda736
    @innocentmbunda736 10 дней назад +1

    Tupo pamoja counsel

  • @albertkamala6843
    @albertkamala6843 9 дней назад

    Hahahaaa..kosa la maadili au tishio kwa maslahi ya waweka pingamizi?
    TLS iachwe iwe huru..kwa maslahi ya wananchi!
    Rufaa ni tata..ni kwa nia mbaya, kumlenga mwanasheria Mwabukusi!
    Hakuna maslahi ya umma kumkwamisha Mwabukusi!
    Hakuna mwananchi mzalendo yeyote asiyekuunga mkono...ushindi wako ni wa uhakika!

  • @serafineslaa1082
    @serafineslaa1082 10 дней назад +1

    Hawa tls tuseme wote wapo kwenye serikali? Wanasimamia Sheria au serikali na viongozi wake.

  • @user-sp2pp9yl8g
    @user-sp2pp9yl8g 10 дней назад +1

    Hutakiwi Kahubili Dini ya Kuokoa watu

  • @leodgardotmar7198
    @leodgardotmar7198 10 дней назад +1

    Nyie ndo mnajiita learned brother and sisters ovyoooo, bringback Fatuma and Lissu..

  • @DON-ERICKDANIELKINDOLE-pj8to
    @DON-ERICKDANIELKINDOLE-pj8to 10 дней назад

    Hongera sana.

  • @husseynzooh1979
    @husseynzooh1979 9 дней назад

    ✌️🔥

  • @CharlesiPhilimoni
    @CharlesiPhilimoni 9 дней назад

    Hoyeeeee sema kweli mwanashelia

  • @bonifasmashingia
    @bonifasmashingia 10 дней назад

    ❤❤

  • @ramsomnanka8688
    @ramsomnanka8688 10 дней назад

    Mwambukusi umeongea vitu muhimu sana ambavyonimekua najiuliza TLS Iko likizo au imetekwa na watawala, na genge la watu wachache,

  • @ambokileasheengai1140
    @ambokileasheengai1140 9 дней назад

    Chombo kimoja tu kilichobaki vcha Watanganyika vingine vyote vimeporwa na Tanzania

  • @emmanueltillya2017
    @emmanueltillya2017 9 дней назад

    TLS Mjibuni wakili mwezenu.Taifa letu lina changamoto sana.shida ni ndio mzee nyingi.simameni .Tunaitaka TLS ya kina Fatma Karume na LISU .