Mwenyezi mungu akulinde sana sugu nakukubali sana tangia upo bungeni. Tunahitaji viongozi wa aina yako sio hao wa kuhongwahongwa wasio na msimamo akina msigwa
Ni sahihi kabisa, kinachoumiza zaidi ni kuchota pesa zetu na kuongeza Kodi za ajabuajabu Ili wawanunue wanasiasa maarufu wa vyama shindani ili waendelee kushika Dola watunyanyase na kutunyonya sisi wananchi, hili halikubaliki hata kidogo, tumechoka...tumechoka...tumechokaaaaa...😭😭😭😭😭....Ewe mwenyeeziMungu wafanyie wepesi ndugu zetu wote wanaopambania nchi yetu tuondokane na ukoloni mamboleo. In-shaallah..❤️❤️❤️. Mungu hashindwi na jambo lolote.
Mtu anae shabikia ccm ajauguza ndugu yake akampeleka hospital ya serikali hazina dawa shule za watoto wa masikini wanao nyonywa kodi na ccm dalasa moja watoto mia 50 watoto eluf moja mia 6 shule nzima matundu yavyoo kumi 5 alafu anae enda kuzindua matundu yavyoo anatembelea v8 milioni mia 5 gali inayo zidi galama zaujenzi washule nzima alafu mjinga anasimama anasema kidumu chama chamapinduzi tunalaana kwakweli
MATUNDA YA MH. FREEMAN MBOWE MWENYEKITI TAIFA AMEIJENGA CHADEMA KWA GHARAMA KUBWA KWA HALI NA MALI, NYOMI HIYO KIWIRA MWANKENJA, SIYO MOSHI MJINI. HUYO NDIYE MH. MBOWE ANAKATA KILIMI LIMI CHA WAPIGA PROPAGANDA OOH CHAMA CHA WACHAGA HAPO NI KILIMANJARO? NCHI NZIMA CHADEMA NI IMARA KABISA!!
Hongera lakini kwa nini hamongelei kuhusu muungano wa unafiki kuwa tumeungana Tanganyika na Zanzibar ni kweli? Kwa sababu Zanzibar ina serikali yake ina bunge lake, huwezi kuchukuwa kiwanja Zanzibar lakini wao wazanzibar wanachukuwa viwanja na mashamba. 0bado wanaleta wabunge zaidi ya 70. Kwenye bunge la Tanganyika. Na wanalipwa kwa nini unafiki wa aina hiyo? Mbona hamongerei KATIBA ni lazima tupate KATIBA MPYA.
I have been worching election in Tanzania from 1995 Antilles up to 2020 ccm win election by police force not bailot box vote no l disagree when cames to vote ccm use so much police force stick to leadership but now on this election caming on local gavment election will be toto war between ccm and opposition chadema but potability of ccm use military force and police force because of fear local gavment election by opposition ccm will use force but africa team worching in Africa election this time even world community they have to reject same of ccm gavment condition
Et kisa wameajiliwa na serikali ndo hawawezi kufanya mapinduzi..wanageuzwa chawa wa serikali. Wafanyakazi niwasomi lakini akilizao hazina uhuru,wametekwa kifikra....waamsheni jamani.
Asante muuguzi, jasiri mpenda haki. Wanawake ndio tunaopewa kanga tuamke tukashone madelaaa ❤❤❤❤❤❤❤
Ahsante sana CHADEMA...❤️❤️❤️.
Pipooooooooooooz..🤣🤣❤️❤️❤️.
Mko vizuri kiwira nimewapenda sana na sisi musoma tupo nanyi
kazi nzuri xana.
Kiwila mmeamka. Safi saaana. Elim mmepata. Na mmeitendea haki nawasndishi wa Habari mko vizuri Leo saafi Sana
Mwambigija uje Geita uwashe full Light......Kuna vipofu wanahitaji upako wako.
Ama kweli Kiwira mmetisha!!! Lakin hata kwenye matokeo ya wanafunzi nako mnaongoza hongera!! Sanaa!!
Mtaa kwa mtaa sugu,Bampa to bampa jongwe,paka kieleweke
Kanda ya nyasa mmepata mwenyekiti wa kanda imara mheshimiwa Joseph mbilinyi sugu sio akina msigwa wanaoangalia vyeo
Hilo Gwanda limekukaa kiongozi!
Mwenyezi mungu akulinde sana sugu nakukubali sana tangia upo bungeni. Tunahitaji viongozi wa aina yako sio hao wa kuhongwahongwa wasio na msimamo akina msigwa
Chadema oyeeeee
Asante sana kura zote zako chama.watu wanabomolewa nyumba zao alafu niendelee kuchagua chama cha mafisadi kweli?
Ccm wakae vizuri uchaguzi huu si mchezo
Hongera mbowe
Nguvu ya mwanamke ni hatari katika mabadiliko ya nchi...!! 😊😊
❤❤❤❤❤
Wanambea Raisi WENU ni WACHADEMA mbunge CHADEMA diwani CHADEMA I sana wanambeaa
Safiiiiiiii
Safi sana mama yetu muuguzi kwa kazi nzuri
iyo ni kweli maendeleo yanapelekwa kwa wajanja yan kule kijijini kwetu watu wamelala sana yan hamna ata maendeleo yeyote tunapigwa tu na viongz
CCM INATUONA SISI WATUMWA WAO CCM WANACHUMIA MATUMBO YAO TU. HONGERENI KIWIRA WENGINE JOFUNZENI KUTOKA KIWIRA. MUNGU AWABARIKI SANA.
Wakajiandikishe kwenye daftari la wapiga kura .
Nawapongeza sana Makanda
Paka mwenye malengo , hamtafuni panya mwenye mimba....!!
Duuuh.......!!!!
Kiukweli kwamaosipitali hakuna huduma unIshia kulipia failitu hakunadawa hakuna kaulinzuri
Big up chdm
Msigwa rafiki yangu umepotea
Hakika.
Wanyakyusa ni hatari sana awayumbishwi na kitu😅❤❤
Nyumbani kumenogaaaa
Ccm wanawaogopa chadema ndio mana wanakimbilia kuwanunua chadema kwanini awanunui vyama vingine
Ni sahihi kabisa, kinachoumiza zaidi ni kuchota pesa zetu na kuongeza Kodi za ajabuajabu Ili wawanunue wanasiasa maarufu wa vyama shindani ili waendelee kushika Dola watunyanyase na kutunyonya sisi wananchi, hili halikubaliki hata kidogo, tumechoka...tumechoka...tumechokaaaaa...😭😭😭😭😭....Ewe mwenyeeziMungu wafanyie wepesi ndugu zetu wote wanaopambania nchi yetu tuondokane na ukoloni mamboleo. In-shaallah..❤️❤️❤️. Mungu hashindwi na jambo lolote.
we need revolutionary now no ccm now
Mtu anae shabikia ccm ajauguza ndugu yake akampeleka hospital ya serikali hazina dawa shule za watoto wa masikini wanao nyonywa kodi na ccm dalasa moja watoto mia 50 watoto eluf moja mia 6 shule nzima matundu yavyoo kumi 5 alafu anae enda kuzindua matundu yavyoo anatembelea v8 milioni mia 5 gali inayo zidi galama zaujenzi washule nzima alafu mjinga anasimama anasema kidumu chama chamapinduzi tunalaana kwakweli
MATUNDA YA MH. FREEMAN MBOWE MWENYEKITI TAIFA AMEIJENGA CHADEMA KWA GHARAMA KUBWA KWA HALI NA MALI, NYOMI HIYO KIWIRA MWANKENJA, SIYO MOSHI MJINI. HUYO NDIYE MH. MBOWE ANAKATA KILIMI LIMI CHA WAPIGA PROPAGANDA OOH CHAMA CHA WACHAGA HAPO NI KILIMANJARO? NCHI NZIMA CHADEMA NI IMARA KABISA!!
Duuuu kazikazi wanambwela mbwela,Acheni kumbwelambwela
Hii mashine (mwambigija)ni noma
Chadema juuuuu
Sasahivi wanadanganya watu kwa kuwapa pikipiki na flana
Hongera lakini kwa nini hamongelei kuhusu muungano wa unafiki kuwa tumeungana Tanganyika na Zanzibar ni kweli? Kwa sababu Zanzibar ina serikali yake ina bunge lake, huwezi kuchukuwa kiwanja Zanzibar lakini wao wazanzibar wanachukuwa viwanja na mashamba. 0bado wanaleta wabunge zaidi ya 70. Kwenye bunge la Tanganyika. Na wanalipwa kwa nini unafiki wa aina hiyo? Mbona hamongerei KATIBA ni lazima tupate KATIBA MPYA.
Asante sana mama akili kubwa sana
fcm wame hemka wametumia Hela kumpata mmja lakini cdm hawatumii Hela wanapata wacuasi wengi
Mzee wa upako. ✌️
Kwa hiyo nyinyi mnataka kufuata yaliyoendelea kenya hiyo hamuwezi uganda walijaribu wliona moto Sasa nyinyi c mtahama kwenyu
hapo wapo kwenye mkutano si kwenye maandamano! acha wivu.
@@SeverinMagwaya lakin tamko Lao mara mingi ni maandamaano
Tarehe ya kuandikisha watu ni lini mtupe ratiba
I have been worching election in Tanzania from 1995 Antilles up to 2020 ccm win election by police force not bailot box vote no l disagree when cames to vote ccm use so much police force stick to leadership but now on this election caming on local gavment election will be toto war between ccm and opposition chadema but potability of ccm use military force and police force because of fear local gavment election by opposition ccm will use force but africa team worching in Africa election this time even world community they have to reject same of ccm gavment condition
Et kisa wameajiliwa na serikali ndo hawawezi kufanya mapinduzi..wanageuzwa chawa wa serikali. Wafanyakazi niwasomi lakini akilizao hazina uhuru,wametekwa kifikra....waamsheni jamani.
Mbeya naona kinaeleweka kweli siyo wakimbizi.
Kazikazi mking ndani ya uwanaja
Empty kabisa
Ccm ni maboyaaa
Ipinda ni wapi huko jamani.
Sisi mpaka bandari inauzwa tunacheka huu ni ujinga wa kiwango Cha juu
Kiwila xhikamoo!!
Upambe ndio ajila ccm imeharibu nchi
Tozoooooo
Ila wanake wa huko mnakaza sana😂😂
Democrasia ndio hii sio uhuni uhuni
Mhakikishe mmejiandikisha daftari la wapiga kura
chadema waakili sana wamemuo doa mamluki msgw
Nendeni mkahutubie mbarali na chunya
Hapo amna wasani kutadeki ccm haiwezi
Chadema ndio ukomboz
Nyasa imekwishaiva nendeni mkaamshe mikoa mingine iliyolala
Ulinzi shilikishi mwananchi kulipa police wameshindwa?
Bajeti ya wake wa wastaafu ni Bomu ifutwe haraka iwezekanavyo na manunuzi ya magari ya serikali yapunguzwe au kufutwa kabisa.!!
Chadema oyeeeeeee