SUGU AONGOZA MKUTANO WA HADHARA JIMBO LA RUNGWE MKOANI MBEYA SUGU AAPA KUMNG'OA TULIA MBEYA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 70

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 2 месяца назад +10

    Asante muuguzi, jasiri mpenda haki. Wanawake ndio tunaopewa kanga tuamke tukashone madelaaa ❤❤❤❤❤❤❤

  • @jumakisailo8496
    @jumakisailo8496 2 месяца назад +1

    Ahsante sana CHADEMA...❤️❤️❤️.
    Pipooooooooooooz..🤣🤣❤️❤️❤️.

  • @IssaJohn-kk8pb
    @IssaJohn-kk8pb 2 месяца назад +2

    Mko vizuri kiwira nimewapenda sana na sisi musoma tupo nanyi

  • @MathewsSikazwe-up4qd
    @MathewsSikazwe-up4qd 3 месяца назад +4

    kazi nzuri xana.

  • @EvaKiswaga-j2o
    @EvaKiswaga-j2o 2 месяца назад +1

    Kiwila mmeamka. Safi saaana. Elim mmepata. Na mmeitendea haki nawasndishi wa Habari mko vizuri Leo saafi Sana

  • @fabianmahenge301
    @fabianmahenge301 2 месяца назад +3

    Mwambigija uje Geita uwashe full Light......Kuna vipofu wanahitaji upako wako.

  • @daudibukuku6490
    @daudibukuku6490 2 месяца назад +2

    Ama kweli Kiwira mmetisha!!! Lakin hata kwenye matokeo ya wanafunzi nako mnaongoza hongera!! Sanaa!!

  • @HassanYellows
    @HassanYellows 2 месяца назад +6

    Mtaa kwa mtaa sugu,Bampa to bampa jongwe,paka kieleweke

  • @GodfredAlfredNgarama
    @GodfredAlfredNgarama 2 месяца назад +6

    Kanda ya nyasa mmepata mwenyekiti wa kanda imara mheshimiwa Joseph mbilinyi sugu sio akina msigwa wanaoangalia vyeo

  • @IsayaSosolo-nx8zk
    @IsayaSosolo-nx8zk 2 месяца назад +2

    Hilo Gwanda limekukaa kiongozi!

  • @GodfredAlfredNgarama
    @GodfredAlfredNgarama 2 месяца назад +1

    Mwenyezi mungu akulinde sana sugu nakukubali sana tangia upo bungeni. Tunahitaji viongozi wa aina yako sio hao wa kuhongwahongwa wasio na msimamo akina msigwa

  • @matrida-w3o
    @matrida-w3o Месяц назад

    Chadema oyeeeee

  • @ibrahimusanga1269
    @ibrahimusanga1269 2 месяца назад

    Asante sana kura zote zako chama.watu wanabomolewa nyumba zao alafu niendelee kuchagua chama cha mafisadi kweli?

  • @DeusiMorisi
    @DeusiMorisi 2 месяца назад +2

    Ccm wakae vizuri uchaguzi huu si mchezo

  • @SubiranTimo
    @SubiranTimo 2 месяца назад

    Hongera mbowe

  • @JohnMabustar
    @JohnMabustar 2 месяца назад +2

    Nguvu ya mwanamke ni hatari katika mabadiliko ya nchi...!! 😊😊

  • @prospermsemwa1433
    @prospermsemwa1433 2 месяца назад

    ❤❤❤❤❤

  • @rithaurassa
    @rithaurassa Месяц назад

    Wanambea Raisi WENU ni WACHADEMA mbunge CHADEMA diwani CHADEMA I sana wanambeaa

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf 2 месяца назад +1

    Safiiiiiiii

  • @GodfredAlfredNgarama
    @GodfredAlfredNgarama 2 месяца назад

    Safi sana mama yetu muuguzi kwa kazi nzuri

  • @habibakusaga-tf4uu
    @habibakusaga-tf4uu Месяц назад

    iyo ni kweli maendeleo yanapelekwa kwa wajanja yan kule kijijini kwetu watu wamelala sana yan hamna ata maendeleo yeyote tunapigwa tu na viongz

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 2 месяца назад +1

    CCM INATUONA SISI WATUMWA WAO CCM WANACHUMIA MATUMBO YAO TU. HONGERENI KIWIRA WENGINE JOFUNZENI KUTOKA KIWIRA. MUNGU AWABARIKI SANA.

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 3 месяца назад +4

    Wakajiandikishe kwenye daftari la wapiga kura .

  • @KamwandaNzowa-eo4ur
    @KamwandaNzowa-eo4ur 2 месяца назад

    Nawapongeza sana Makanda

  • @kulwasalum3597
    @kulwasalum3597 2 месяца назад +1

    Paka mwenye malengo , hamtafuni panya mwenye mimba....!!
    Duuuh.......!!!!

  • @SadamuNjau
    @SadamuNjau 2 месяца назад

    Kiukweli kwamaosipitali hakuna huduma unIshia kulipia failitu hakunadawa hakuna kaulinzuri

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 2 месяца назад

    Big up chdm

  • @DeusiMorisi
    @DeusiMorisi 2 месяца назад +2

    Msigwa rafiki yangu umepotea

  • @mwajemwafula5777
    @mwajemwafula5777 2 месяца назад

    Wanyakyusa ni hatari sana awayumbishwi na kitu😅❤❤

  • @joshkarongolela8334
    @joshkarongolela8334 24 дня назад

    Nyumbani kumenogaaaa

  • @IssaAlly-lp4uf
    @IssaAlly-lp4uf 2 месяца назад +1

    Ccm wanawaogopa chadema ndio mana wanakimbilia kuwanunua chadema kwanini awanunui vyama vingine

    • @jumakisailo8496
      @jumakisailo8496 2 месяца назад

      Ni sahihi kabisa, kinachoumiza zaidi ni kuchota pesa zetu na kuongeza Kodi za ajabuajabu Ili wawanunue wanasiasa maarufu wa vyama shindani ili waendelee kushika Dola watunyanyase na kutunyonya sisi wananchi, hili halikubaliki hata kidogo, tumechoka...tumechoka...tumechokaaaaa...😭😭😭😭😭....Ewe mwenyeeziMungu wafanyie wepesi ndugu zetu wote wanaopambania nchi yetu tuondokane na ukoloni mamboleo. In-shaallah..❤️❤️❤️. Mungu hashindwi na jambo lolote.

  • @prospermsemwa1433
    @prospermsemwa1433 2 месяца назад

    we need revolutionary now no ccm now

  • @InnocentJohn-l5y
    @InnocentJohn-l5y 2 месяца назад +3

    Mtu anae shabikia ccm ajauguza ndugu yake akampeleka hospital ya serikali hazina dawa shule za watoto wa masikini wanao nyonywa kodi na ccm dalasa moja watoto mia 50 watoto eluf moja mia 6 shule nzima matundu yavyoo kumi 5 alafu anae enda kuzindua matundu yavyoo anatembelea v8 milioni mia 5 gali inayo zidi galama zaujenzi washule nzima alafu mjinga anasimama anasema kidumu chama chamapinduzi tunalaana kwakweli

  • @FrankMwakatundu-cu6bd
    @FrankMwakatundu-cu6bd 2 месяца назад +4

    MATUNDA YA MH. FREEMAN MBOWE MWENYEKITI TAIFA AMEIJENGA CHADEMA KWA GHARAMA KUBWA KWA HALI NA MALI, NYOMI HIYO KIWIRA MWANKENJA, SIYO MOSHI MJINI. HUYO NDIYE MH. MBOWE ANAKATA KILIMI LIMI CHA WAPIGA PROPAGANDA OOH CHAMA CHA WACHAGA HAPO NI KILIMANJARO? NCHI NZIMA CHADEMA NI IMARA KABISA!!

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 2 месяца назад

    Duuuu kazikazi wanambwela mbwela,Acheni kumbwelambwela

  • @franciscowilliam2575
    @franciscowilliam2575 2 месяца назад

    Hii mashine (mwambigija)ni noma

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko 2 месяца назад

    Chadema juuuuu

  • @LazaroMwakasege
    @LazaroMwakasege 2 месяца назад

    Sasahivi wanadanganya watu kwa kuwapa pikipiki na flana

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 2 месяца назад

    Hongera lakini kwa nini hamongelei kuhusu muungano wa unafiki kuwa tumeungana Tanganyika na Zanzibar ni kweli? Kwa sababu Zanzibar ina serikali yake ina bunge lake, huwezi kuchukuwa kiwanja Zanzibar lakini wao wazanzibar wanachukuwa viwanja na mashamba. 0bado wanaleta wabunge zaidi ya 70. Kwenye bunge la Tanganyika. Na wanalipwa kwa nini unafiki wa aina hiyo? Mbona hamongerei KATIBA ni lazima tupate KATIBA MPYA.

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda 2 месяца назад

    Asante sana mama akili kubwa sana

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 2 месяца назад +1

    fcm wame hemka wametumia Hela kumpata mmja lakini cdm hawatumii Hela wanapata wacuasi wengi

  • @AbnerKennedy
    @AbnerKennedy 2 месяца назад +2

    Mzee wa upako. ✌️

  • @loserian-mj1gj
    @loserian-mj1gj Месяц назад

    Kwa hiyo nyinyi mnataka kufuata yaliyoendelea kenya hiyo hamuwezi uganda walijaribu wliona moto Sasa nyinyi c mtahama kwenyu

    • @SeverinMagwaya
      @SeverinMagwaya Месяц назад

      hapo wapo kwenye mkutano si kwenye maandamano! acha wivu.

    • @loserian-mj1gj
      @loserian-mj1gj Месяц назад

      @@SeverinMagwaya lakin tamko Lao mara mingi ni maandamaano

  • @FikiriniMwaluko
    @FikiriniMwaluko Месяц назад

    Tarehe ya kuandikisha watu ni lini mtupe ratiba

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 2 месяца назад

    I have been worching election in Tanzania from 1995 Antilles up to 2020 ccm win election by police force not bailot box vote no l disagree when cames to vote ccm use so much police force stick to leadership but now on this election caming on local gavment election will be toto war between ccm and opposition chadema but potability of ccm use military force and police force because of fear local gavment election by opposition ccm will use force but africa team worching in Africa election this time even world community they have to reject same of ccm gavment condition

  • @JeremiahMwakanyamale
    @JeremiahMwakanyamale 2 месяца назад

    Et kisa wameajiliwa na serikali ndo hawawezi kufanya mapinduzi..wanageuzwa chawa wa serikali. Wafanyakazi niwasomi lakini akilizao hazina uhuru,wametekwa kifikra....waamsheni jamani.

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga6238 2 месяца назад +1

    Mbeya naona kinaeleweka kweli siyo wakimbizi.

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 2 месяца назад

    Kazikazi mking ndani ya uwanaja

  • @NatanaelKilenga
    @NatanaelKilenga 2 месяца назад

    Empty kabisa

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 3 месяца назад +1

    Ccm ni maboyaaa

  • @ecodreamafrica3060
    @ecodreamafrica3060 2 месяца назад

    Ipinda ni wapi huko jamani.

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd 2 месяца назад

    Sisi mpaka bandari inauzwa tunacheka huu ni ujinga wa kiwango Cha juu

  • @AbdulSwigo
    @AbdulSwigo 2 месяца назад

    Kiwila xhikamoo!!

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd 2 месяца назад

    Upambe ndio ajila ccm imeharibu nchi

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 2 месяца назад

    Tozoooooo

  • @deodathsilayo3639
    @deodathsilayo3639 2 месяца назад

    Ila wanake wa huko mnakaza sana😂😂

  • @GaradiGaradi-zq1wf
    @GaradiGaradi-zq1wf 2 месяца назад

    Democrasia ndio hii sio uhuni uhuni

  • @EvaKiswaga-j2o
    @EvaKiswaga-j2o 2 месяца назад

    Mhakikishe mmejiandikisha daftari la wapiga kura

  • @giftkalenge418
    @giftkalenge418 2 месяца назад

    chadema waakili sana wamemuo doa mamluki msgw

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 2 месяца назад

    Nendeni mkahutubie mbarali na chunya

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd 2 месяца назад

    Hapo amna wasani kutadeki ccm haiwezi

  • @OswardMandikilo
    @OswardMandikilo 2 месяца назад

    Chadema ndio ukomboz

  • @frankminga9307
    @frankminga9307 2 месяца назад

    Nyasa imekwishaiva nendeni mkaamshe mikoa mingine iliyolala

  • @GaradiGaradi-zq1wf
    @GaradiGaradi-zq1wf 2 месяца назад

    Ulinzi shilikishi mwananchi kulipa police wameshindwa?

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 2 месяца назад

    Bajeti ya wake wa wastaafu ni Bomu ifutwe haraka iwezekanavyo na manunuzi ya magari ya serikali yapunguzwe au kufutwa kabisa.!!

  • @SubiranTimo
    @SubiranTimo Месяц назад

    Chadema oyeeeeeee