PAMBALU AMVAA MSIGWA, "ANASEMAJE KUHUSU UTEKAJI,", KUBAMBIKIA KESI, VIJANA WA GEN Z KUKIWASHA MBEYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 июл 2024
  • #TANZANIA: John Pambalu amvaa vikali Peter Msigwa, "kwa sasa anasemaje kuhusu utekaji?", amvaa vikali Waziri Masauni na IGP kuhusu kubambikia kesi Meya Mstaafu wa Ubungo (Boniface Jacob) na Malisa G, kukiwasha siku ya Vijana mkoani Mbeya, atangaza ujio wa Gen Z hivi karibuni.
    Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Комментарии • 21

  • @JoyceKabula-in1sh
    @JoyceKabula-in1sh 3 дня назад +2

    Jamaani mungu tusaidie nchi hii duu

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 2 дня назад +2

    Pambalu unakitu mwanangu

  • @jamesmsengi7483
    @jamesmsengi7483 3 дня назад +6

    Huyu kijana ana kitu kwenye ubongo wake, tusimdharau tumsaidie pale akienda kombo

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 3 дня назад +2

    Jibu zuri kwa mwandishi wa msigwa

  • @TM.Sullusi
    @TM.Sullusi 23 часа назад

    Shida mlisema Magufuli ndo mtekaji, sa hivi nadhani mnaelewa shida sio mtu mmoja.😢😢

  • @rucaserasto8154
    @rucaserasto8154 День назад

    Atali sana daa😅😅😅

  • @PhilipoMwita-wc1ku
    @PhilipoMwita-wc1ku 3 дня назад

    We,we,we, koma kama alama ya koma Yani Samia hawezi kabisa raha yake anapenda watu wakitekwa

  • @fabby1181
    @fabby1181 3 дня назад +2

    Hongera Pambalu

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 6 часов назад

    Nendenii zènu umechokwa na chama chenu Chadema Saccoss

  • @fabianmahenge301
    @fabianmahenge301 День назад

    Nguvu ya mabadiliko ni SASA

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 2 дня назад

    Swali km Hilo kwa msigwA ni sawa na kupandisha maji mlima Kilimanjaro hawezi jibu Hilo Hawaii msigwA can't answer that question is lmposible why is in ccm rooling part clouse his mouth under ccm leadership msigwA was voice in chadema not ccm forgot about msigwA on such question

  • @francissimwinga-gb2vd
    @francissimwinga-gb2vd 3 дня назад

    Sio mda mrefu wanakuja tuwachague tuwachague mnaotuteka maana kama viongozi wetu ambao madaraka yenu yametokana na wananchi lazima muwe wakalia Kwa watekaji mko kimy

  • @helencyprian8745
    @helencyprian8745 3 дня назад +1

    Pambalu uko vizuri sana, yy alisema ni chura asikii kelele

  • @muhammedbakari2867
    @muhammedbakari2867 3 дня назад +1

    Kwa mdomo tuu mtaongea sana na mbuzi wamelala..

    • @user-md7sd3hk6l
      @user-md7sd3hk6l 3 дня назад

      faida yake nini sasa daa aya mwezetu

    • @ceciliamagalabajimmy4391
      @ceciliamagalabajimmy4391 14 часов назад

      Kwa hiyo wewe huoni shida!!

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 11 часов назад

      Kwa hiyo wakilipiza kisasi na wewe ukiwa miongoni mwa waliotekwa itakaaje kwa wapendwa wako?maana siyo kwamba hawawezi kuwateka hawawezi wanaweza ila we we Maneno yako hauyaelewi pamoja na kwamba umeandika wewe kwa kauli zako vita ikizuka mtachinjwa sana wajinga kama nyiye

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 20 часов назад

    We nenda kanyonye hukumaliza maziwa ya mama yako

  • @Jal210
    @Jal210 3 дня назад

    Wewe bwaja bwaja tu mjinga wewe sana

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu 3 дня назад +1

      Nyie inawezekana ndo mnaosaidia kulinda watekaji, Haiwezekani watu wanatekwa Halafu weweeee unashadadia utekaji

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 2 дня назад

    Mjinga ni wewe. Lifisi emu acha tusikilize akili. Kubwa