PAMBALU AMVAA MSIGWA, "ANASEMAJE KUHUSU UTEKAJI,", KUBAMBIKIA KESI, VIJANA WA GEN Z KUKIWASHA MBEYA
HTML-код
- Опубликовано: 3 июл 2024
- #TANZANIA: John Pambalu amvaa vikali Peter Msigwa, "kwa sasa anasemaje kuhusu utekaji?", amvaa vikali Waziri Masauni na IGP kuhusu kubambikia kesi Meya Mstaafu wa Ubungo (Boniface Jacob) na Malisa G, kukiwasha siku ya Vijana mkoani Mbeya, atangaza ujio wa Gen Z hivi karibuni.
Fuatilia Mwanzo TV Plus
SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
Follow us on X, Facebook and Instagram
Jamaani mungu tusaidie nchi hii duu
Pambalu unakitu mwanangu
Huyu kijana ana kitu kwenye ubongo wake, tusimdharau tumsaidie pale akienda kombo
Jibu zuri kwa mwandishi wa msigwa
Shida mlisema Magufuli ndo mtekaji, sa hivi nadhani mnaelewa shida sio mtu mmoja.😢😢
Atali sana daa😅😅😅
We,we,we, koma kama alama ya koma Yani Samia hawezi kabisa raha yake anapenda watu wakitekwa
Hongera Pambalu
Nendenii zènu umechokwa na chama chenu Chadema Saccoss
Nguvu ya mabadiliko ni SASA
Swali km Hilo kwa msigwA ni sawa na kupandisha maji mlima Kilimanjaro hawezi jibu Hilo Hawaii msigwA can't answer that question is lmposible why is in ccm rooling part clouse his mouth under ccm leadership msigwA was voice in chadema not ccm forgot about msigwA on such question
Sio mda mrefu wanakuja tuwachague tuwachague mnaotuteka maana kama viongozi wetu ambao madaraka yenu yametokana na wananchi lazima muwe wakalia Kwa watekaji mko kimy
Pambalu uko vizuri sana, yy alisema ni chura asikii kelele
Kwa mdomo tuu mtaongea sana na mbuzi wamelala..
faida yake nini sasa daa aya mwezetu
Kwa hiyo wewe huoni shida!!
Kwa hiyo wakilipiza kisasi na wewe ukiwa miongoni mwa waliotekwa itakaaje kwa wapendwa wako?maana siyo kwamba hawawezi kuwateka hawawezi wanaweza ila we we Maneno yako hauyaelewi pamoja na kwamba umeandika wewe kwa kauli zako vita ikizuka mtachinjwa sana wajinga kama nyiye
We nenda kanyonye hukumaliza maziwa ya mama yako
Wewe bwaja bwaja tu mjinga wewe sana
Nyie inawezekana ndo mnaosaidia kulinda watekaji, Haiwezekani watu wanatekwa Halafu weweeee unashadadia utekaji
Mjinga ni wewe. Lifisi emu acha tusikilize akili. Kubwa