#LIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 июл 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Комментарии • 34

  • @user-ec8tx9oi9e
    @user-ec8tx9oi9e 11 дней назад +7

    Mimi ni muislam na ninaamini sana kwenye haki askofu mwanamapinduzi nakukubali sana kwenye kutetea haki mwenyewe mungu akulinde

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 11 дней назад +3

    Wasomi wa Tanzania hawasaidii kuijenga Tanzania. Wameziba masikio kama Raisi alivyoxiba masikio na mdomo kuchagua kuwa chura. Viongozi ambao tunawategemea wana kigugumizi sababu kiongozi mkuu kawa mfano wa kutokuwajibika na katangaza hadharani hajali. Sasa, kwa nini watanzania mumpe ridhaa ya kuwaongoza wakati amekiri hatawasikilza na hatatoa kauli uoyote mnapomtegemea awe mdemaji na mtetezi wenu angefanya hivyo. Ni sawa na nchi haina uongozi. Hatari inayokuja kila mtu anajifanyia yake. Na hii ni hatari kubwa nchini. Hatuna kiongozi. Shukrani sana baba Askofu kwa jitihada za kuitetea nchi na watu wake.

  • @mutalemwajohanes-kx9dj
    @mutalemwajohanes-kx9dj 11 дней назад +2

    Wasomi wote sawa na viongozi wa dini VIBOKO NA KUFUNGWA wanaua nchi yetu

  • @emanuelsinyinza
    @emanuelsinyinza 11 дней назад +2

    Wewe tuna viongozi wachumia tumbo. Viongozi wanaapa wanapo kuwa madarakani.wakisha apa wanasahau wanaanza kuteka kuuwa.

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 11 дней назад +3

    Kuonyesha kuchukizwa, Kukataa,Kukemea na Kuzuia MAOVU sio dhambi wala kutukana lakini watawala wakiambiwa neno mojawapo katika haya,wanakuja juu na kutafsiri kuwa WANATUKANA,na wao wanafika mbali na kuwatukana na kuwadhalilisha waziwazi wanaowapinga,na kuyakataza maovu yao! Maovu yakitokea machoni pa Kiongozi yeyote wa dini akanyamazia,atatoa hesabu yake kwa Mungu kwa kukwepa jukumu lake! Wafalme wa dunia wasio na maarifa watendapo uovu,wataangamia pamoja na taifa lote kama hayatapingwa na wanaosimamia imani zinazosimamia haki na hukumu ya Mungu! Viongozi wa dini wakiwa kama mafarisayo wa dunia wasiyoamini kwamba Mungu aliye juu ya wote yupo!

  • @mutalemwajohanes-kx9dj
    @mutalemwajohanes-kx9dj 11 дней назад +2

    Hatuna viongozi wa dini tuna matatizo matupu

  • @rastheunique
    @rastheunique 11 дней назад +2

    Asante sana Baba Askofu Machumu

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 12 часов назад

    UMENENA VEMA ASKOFU ❤

  • @MayalakusekwaNkwabi
    @MayalakusekwaNkwabi 11 дней назад +2

    Tatizo ni Ubabe wa Viongozi wa CCM ni Miungu Watu hawataki Ukweli usemwe wanatisha watu, wanateka na kuua Watu, Viongozi wakubwa hawaheshimu Katiba ya Nchi pamoja na ubovu wa Katiba yetu

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 11 дней назад +1

    Wajumbe na wasaidizi wa Rais hawawasilishi taarifa za kweli, badala yake wamezoea kusema uongo na kuyabatiza ni maneno ya wanasiasa tu kwa maana kwamba serikali ina vita na wanasiasa ambao ni sehemu ya wananchi. Uongo unafawasilishwa kwake kwa nguvu kubwa mpaka anaamini na kuwashutumu,ama anakaa kimya siku zinakwenda tu.

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 10 дней назад

    Go go men of God

  • @JosephMagige-lf9ns
    @JosephMagige-lf9ns 11 дней назад +1

    Uko sawa Askofu

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri 11 дней назад +2

    Machukizo ya viongozi wa serkali,yanakataliwaje? Wananchi wanatendewa kinyume na Katiba, sheria na kanuni au utamaduni wa jamii yetu,wananchi waeleze maneno yapi? Hisia za wananchi ziwasilishwe kwa jamii kwa maneno gani?

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 10 дней назад

    Samahani Hii vIdeo imeekuwa na Mwangwi mkubwa....kuna kipande tumeshindwa kukipata vizuri

  • @ChristmasMaheri
    @ChristmasMaheri 11 дней назад

    Non-Tanesco electricity supply source will be advantageous to the consumers.

  • @salama1113
    @salama1113 10 дней назад

    Mm muisilamu ila mchungaji unaongea ukweli kama huna d 2 huwezi kumuelewa mchungaji

  • @user-bq6jv2mh1e
    @user-bq6jv2mh1e 7 дней назад

    8:29

  • @kaismwambona9860
    @kaismwambona9860 11 дней назад +1

    Viongozi wa dini wa nchi hii ni zaidi ya 90% hawapatani na sifa za wale watumishi Yesu alio wasema katika kitabu Cha mathayo 5:10-12, /math.10;17,pia aliwaambia ninyi ni chumvi ya Dunia,Pia NURU ya ulimwengu, hivyo wangelikuwepo angalau 10% tusingelikuwa hivi hapa Tanzania ilipo Leo,na mapungufu yanayo idharirisha nchi hii ambayo haya Hitaji mkopo toka nje kuyakemea na kuwachukulia hatua watendao uovu, sasa Wana achwa, ,Tuombee nchi kwa maombi ya Toba kabisa.ili dhambi hizi zinazo lanisha nchi yetu, iliyokuwa ina heshimika kwa Amani na kuthamini Utu wa kila mtu,na ukarimu,

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 11 дней назад

    Msigwa amejizalilisha sana kwenda kuvaa maguo ya kijani

  • @mutalemwajohanes-kx9dj
    @mutalemwajohanes-kx9dj 11 дней назад

    Nikipata nafasi Viongozi wa dini wanatakiwa kuchapwa viboko na kufungwa maisha

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 11 дней назад

    Viongozi wa dini mna hongwa Mbowe ali kyla mulionu 15 boss wako yuko bungeni.

  • @user-bq6jv2mh1e
    @user-bq6jv2mh1e 7 дней назад

    😮😢

  • @salummohamed2689
    @salummohamed2689 11 дней назад

    Viongozi wetu wa dini hapa ni wali tu

  • @FestoLalata
    @FestoLalata 10 дней назад

    Hiyo nikweli tupu,ndivyo ilivyo ktk nchi yetu tukisema tunaambiwa tunatukana unafatiliwa na kukamatwa ,kwahiyo harakama wanaharibu nchi tunyamaze tu,hivyo tunahasira moyoni hatuna pakusemea.

  • @giovannir.restone182
    @giovannir.restone182 9 дней назад

    Huyo aliyefira....walikubaliana au alimlazimisha huyo binti??? Manake isijekuwa walikubaliana alafu dada anatafuta Kiki!

  • @robertzingu9889
    @robertzingu9889 11 дней назад

    Recording yenu haiko sawa. Ondoa mwangwi wa youtube audio ya video yako

  • @MichaeSwai
    @MichaeSwai 11 дней назад +1

    Uyo mshikaji msingwa tumuweke kwenye kundi gani sjjui

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 11 дней назад

    MWANAMAPINDUZI Utawala ukiamua kushughulika na Swala la kuboresha kilimo kama wanavyouziana magari ya kifahari na kununua mapya kila mwaka,vijana wakajua shambani kuna maisha tusingeona kundi kubwa la maching gays mijini lakini hawaoni sababu ya kufanya hivyo wanajua kuongeza kodi tu!

  • @petermogha7025
    @petermogha7025 11 дней назад

    Mchungaji wanamondoo unemachianani. Wanahama KANISA huku

    • @mlangotv8465
      @mlangotv8465 8 дней назад

      Wewe ni kijana wa hovyo, wazazi wako wamepata hasara, Askofu anazungumzia maisha yako na ya watoto wako mbuzi we

  • @maspro6294
    @maspro6294 10 дней назад

    Wewe mchungaji feki unaongea mpaka mdomo wako UNANUKA KAMA CHOO UKIMALIZA KUBWAKA UKAPIGE MSWAKI

    • @JosephMagige-lf9ns
      @JosephMagige-lf9ns 10 дней назад

      @@maspro6294 uchunguze vizuri wakwako hata ukipiga mswaki niuozo chunga Domo lako

    • @JosephMagige-lf9ns
      @JosephMagige-lf9ns 10 дней назад

      Uchunguze vizuri awkwako hata ukipiga mswaki niuozo . Chunga Domo lako muozo