LIVE: Mdahalo Juu ya Utendaji wa Mahakama na Matamko ya Kisiasa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024

Комментарии • 36

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 Месяц назад +5

    Hakuna haki mahakamani na mawakili wamekuwa madalali

  • @mkanjimamkanjimamkanjima2043
    @mkanjimamkanjimamkanjima2043 Месяц назад +2

    Hongera sana ndugu madereka kwa kujitowa kwa wengine Allah awe na aipe afya mzuli familia yako ili nawe imara kwa kusimamia khaki

    • @revjoshualugendo8344
      @revjoshualugendo8344 Месяц назад

      Mungu akubariki Sana. Nimependa msimamo wako wa kusimama kweli na haki, watu wa Mungu wapate haki bila kuonewa.

  • @MasterPetro-oj1fd
    @MasterPetro-oj1fd Месяц назад +2

    Nimependa sana mdahalohuu. Natamani sana kuijua sheria

  • @user-qv4jb7mt5q
    @user-qv4jb7mt5q Месяц назад +2

    Kweli wewe ndugu Madeleka ni shujaa na mtetezi wa wanyonge; hongera sana: Mungu akubariki.

  • @raymondnlelwa427
    @raymondnlelwa427 Месяц назад

    Madeleka Mwenyenzi Mungu akupe maisha marefu na yenye Baraka uendelee kuwasaidia watanzania. Ninapinga mbinu zote ovu zinazopangwa kumdhuru mtu huyu. Wenye kutengeneza mbinu hizi namwomba Mungu apite nao, wasiendelee kuishi!!!

  • @georgemahenge
    @georgemahenge Месяц назад

    Madereka.mungu akurinde.huwa tunaona juhudi zako.kira Kona.

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 Месяц назад +1

    Ni mbaya sana mawakili wengine wamekuwa machawa wa ccm ovyo sana

  • @user-jt4lo1og8w
    @user-jt4lo1og8w Месяц назад

    Mawakili wengi wamekuwa machawa ,ndio rais wa mawakili ,asilimia 70 ,utakuta chawa, wa watawala,❤❤❤❤

  • @winniefridamutakyawa5943
    @winniefridamutakyawa5943 Месяц назад

    Safi sana mawakili.Ila TLS wanatuangusha.

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 Месяц назад

    Madeleka Mungu akupe maisha marefu na akulinde

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Месяц назад +2

    Wakili msomi Madeleka usikate tamaa wakati mapambazuko yamekaribia pambania haki Mungu hataacha kukulipa juhudi zako,na atakulinda popote kwa mkono wake wenye nguvu kuliko hawa wanaovuta pumzi yake ya bure kutumia nguvu kuwaumiza wengi wala hawajui ni lini BWANA atatwaa uhai wao na kuacha vyote wanavyojikusanyia!

  • @bmdele5816
    @bmdele5816 Месяц назад +2

    Hongereni sana Mawakili na mawakala wa sheria,
    Kwa sisi wapenda haki na mifumo tunafurahia sana mijadala hii.
    Tunamuunga mkono Wakili Mwabuksi,
    Haki haiombwi, haki inapiganiwa🫡

  • @nereisyara5056
    @nereisyara5056 Месяц назад

    Please msikilize Madeleka vizuri

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Месяц назад +1

    Kwa kweli sasa tunaona juhudi za chama cha mawakili wasomi TLS,tunafarijika sana tunapofuatilia mabaraza yenu haya katika midahalo ya kukosoana wenyewe,na kuifunua mfumo wa utawala unaopindisha sheria kwa kukanyaga katiba katika maamuzi yao ya kudhulumu wananchi kwa faida yao binafsi.

  • @norbertmbena5896
    @norbertmbena5896 Месяц назад +2

    Tatizo ni ulevi tu ,
    ukiwa madarakani unajizima data kwamba hautakuwa madarakani milele, lakini pia siyo ukoo wenu nyoote mpo madarakani
    Mnachokipanda mtavuna tu
    hata kupitia wajukuu zenu ,
    WATAUMIZWA NA WAKANDAMIZAJI WENZENU NA MTAPIGA KELELE

  • @sospeterodhiambo6869
    @sospeterodhiambo6869 Месяц назад +1

    Namkubali mno huyu Mwamba Madeleka

  • @user-qv4jb7mt5q
    @user-qv4jb7mt5q Месяц назад +1

    Watanzania kwa ujumla wao kwenye sanduku la kura mwakani ndio watakao ondoa mfumo huu mbovu wa katiba ya 1977 Mungu yupo pamoja na wapenda haki, watanzania lazima watafanikiwa kupata haki zao.

  • @emanuelmaraki9758
    @emanuelmaraki9758 Месяц назад

    Hio yakuvuliwa nguo nimekutana nayoo mkuu nilitaka kuzimia duu mungu alinisaidia unapiga kichuraa ukiwa mtupuuuu mita70au mia watu wanakutizamaa matesoo matupuu

  • @user-vg6dw6li7n
    @user-vg6dw6li7n Месяц назад

    Fatuma fatuma punguza kiingereza dada daaaa hatukuelewi

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Месяц назад

    ✌️👊👍.

  • @rasnchimbi
    @rasnchimbi Месяц назад +1

    👇🏿
    #katibampyanisasa #TUSIKUBALIKUSHIRIKICHAGUZIBILAKATIBAMPYA !Hiyo ni kushiriki Dhambi(kujikabidhi kwa shetani) !✍🏿

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Месяц назад +1

    Kweli hiyo Mahakama ipo nimeshawahi kwenda kumlipia mtu faini ya uzembe na uzururaji .Kitu ambacho alikutwa barabarani akienda Bilcanas usiku saa nne .Dar kuna mambo ambayo huwezi kuamini yanafanywa kwa uonevu tu .

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 Месяц назад +1

    Ndiyo,ni deal ya mfumo wa katiba hii ya 1977 inaendelezwa na aliyeingia sasa! Heko wakili msomi Fatma...

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 Месяц назад

    Watu wa mahakama hamta nwona Mungu

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Месяц назад +1

    Tatizo ni mfumo

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 Месяц назад

    TLS ni tawi la ccm

  • @richardnganya2311
    @richardnganya2311 Месяц назад

    Ufumbuzi wa kimkakati ni KATIBA. Hii iliyopo ndiyo mkoroganyo uliopo!

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai482 Месяц назад

    Tls ni MAJI TAKA IMEJAA MACHAWA TUPU, ISIPOKUWA MADELEKA, FATMA, LISSU NA MWABUKUSI PEKEE!

  • @fredrickmwakalinga6390
    @fredrickmwakalinga6390 Месяц назад

    Ccm inaharibu nchi na watanganyika halafu wanaogopwa ujinga mtupu ccm kitu gani ktk nchi hii?

  • @ezekielmabwai482
    @ezekielmabwai482 Месяц назад

    Kwani Kuna Mahakama Tanzania? Mahakama , Binge,. Serikali si ni MTU MMOJA TU? Katina, Katina, Katiba!!

  • @user-vg6dw6li7n
    @user-vg6dw6li7n Месяц назад +1

    Fatima punguza kingereza wengi hatukusoma hatukuelewi mara nyingi inatumia sana kiingereza unaboa

  • @raymondnlelwa427
    @raymondnlelwa427 Месяц назад

    Tatizo la Shangazi huwa anapenda sana kuogea kizungu, sasa si watu wote wanaojua kizungu. Hebu naomba uwasaidie watu hawa manake ni wengi wanaofuatilia midahalo kama hii.

  • @esuthoby7865
    @esuthoby7865 Месяц назад

    Hata nyie mawakili mnayomatatizo.mbona maamuzi ya kesi yanatolewa kwa lugha ya kizungu?
    Hamuwatendei haki watanzania.hamtaki kuandika sheria kwa Kiswahili, Kweli mnaruhusu mahakama iwahukumu watanzania kwa lugha wasioielewa,mna jambo lenu ninyi mawakili ambayo sitaji. Hamjali watanzania dhambi inawarudia.Hivyo tesekeni mpaka mwisho.

  • @raymondnlelwa427
    @raymondnlelwa427 Месяц назад

    Kwanini kuna edit za kijinga kutokutaka watu wasikie kila kinachochagiwa???