INAUMIZA “MKE WANGU NA WATOTO WAMEHUKUMIWA KUNYONGWA, NIMEWEKEWA SUMU NIFE”

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 сен 2024

Комментарии • 1,2 тыс.

  • @mamakayla6697
    @mamakayla6697 3 месяца назад +276

    Ee Mwenyezi MUNGU, mwingi wa rehema,msaidie huyu baba,ameitumikia Tanzania lakini hakuna anayejali,mmmmh!!!😢😢😢😢haki yake MUNGU anaijua,kama hawakuhusika,mwezi huu wa 7 wataachiwa huru kwa jina la YESU.Zaburi 71:1 MUNGU ameamuru,tutakakokwenda siku zote,tuokolewe.Hii familia iokolewe kwa jina la YESU. Amen

  • @dycemullah3254
    @dycemullah3254 3 месяца назад +83

    Bado kitambo kidogo mzee wangu utafika mwisho wa shida hii Mungu atakupa ushindi usioutegemea……Amina 🙏🏿

    • @allykama3352
      @allykama3352 2 месяца назад

      Amiin

    • @Kyeli-ct4vo
      @Kyeli-ct4vo 2 месяца назад

      Amen, hilo ni shambulio la kiroho. Msogelee Yesu, atakushindia magumu. Utapata faraja na amani moyoni mwako. Shida zitatatuliwa kimbingu, yaani kwa namna ya ajabu.

    • @hijamwinyi3233
      @hijamwinyi3233 Месяц назад

      Amiin

  • @TamalyMichael
    @TamalyMichael 2 месяца назад +19

    Huyu baba amenyoka sana na kinachomsaidi Ana elimu na kufahamika sna ila angekuwa mtu wakawaida ashaisha mungu akusimamie mzee wangu daah😢😢

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 3 месяца назад +45

    Huyu baba Mungu amtetee. Mwanaume wa kipekee sana. Wengine wangeoa tu bila kujali.

  • @remigiusrwechungula7047
    @remigiusrwechungula7047 3 месяца назад +25

    Huyo ndo binadamu sasa😭😭😭😭😭 Ee Mola haya machozi yanayobubujika, yakafanyike fimbo ya kuwaliza wale wote wanaohusika na udharimu huu. Mungu atajibu kwa Vitendo

  • @fauziasultanikilewa7602
    @fauziasultanikilewa7602 3 месяца назад +21

    Mwacheni alie uchungu uishe yani uyo ni vile tuu anahof ya mungu vinginevyo angejidhuru pia ,,,mungu amtie nguvu huyu baba

  • @abdoulrazakshuaib
    @abdoulrazakshuaib 3 месяца назад +28

    Allah ni mjuzi na mwingi wa huruma atafanya wepesi katika hili president msaidie huyu mzee wetu wenye busara na hekima akutane na familia yake hakuna atakae ishi milele! Inasikitisha sana!

  • @Mnadani-24
    @Mnadani-24 3 месяца назад +38

    Haya machozi hayatadondoka bure hakika, Mungu na akujibu haja ya moyo wako mzee

    • @Rogathe-Rogathe
      @Rogathe-Rogathe 3 месяца назад +6

      Amina , Mungu futa machozi ya huyu baba! Wewe peke yako ndo mtoa haki.

    • @ayshasaid1547
      @ayshasaid1547 3 месяца назад +1

      Naam ni kweli 😭😭😭💔💔💔

    • @elizabertassey
      @elizabertassey 2 месяца назад +1

      Hakika machozi yake hayataenda bure

  • @jumamdaki9691
    @jumamdaki9691 2 месяца назад +25

    Kiza hakiondoi Kiza Bali kiza huondolewa na Mwanga..Allah S.W.T ni Nuru amabayo haijawahi kushindwa na Kiza it's a matter of time. Allah S.W.T akufanyie wepesi Dr.Bilal

  • @godwinkasaizi882
    @godwinkasaizi882 2 месяца назад +9

    Dah. Hii Nchi ngumu Sana. Kuna watu wana Roho MBAYA SANA. Sikujua mtu anaweza kuwa Mtumishi wa Umma na Akafanya hivyo, Jaji anaye hudumiwa Kila kitu anashindwa kutenda haki. Pole Sana Mzee. Mungu atusaidie

  • @rehemamohamedy4007
    @rehemamohamedy4007 2 месяца назад +3

    Mmmmh! Aisee kuna watu wanapitia mapito makubwa kwenye hii Dunia. Ya Allah wafanyie wepesi waja wako hawa.

  • @nuswemwakasala8687
    @nuswemwakasala8687 3 месяца назад +19

    Imeniumiza sanaaa, Makonda mbona anasaidia wengi huyu hapa jamani asaidiwe naye

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 3 месяца назад +18

    Daktari Bingwa magonjwa ya wakina Mama. Du! Mtu na nusu.

    • @RoyLiganja
      @RoyLiganja 2 месяца назад

      Aii hii ni uchungu aisee Mungu yupo na atakuponya wewe na familia yako itatoka salama Amin

  • @emanuelipanga693
    @emanuelipanga693 3 месяца назад +72

    Naomba mweheshimiwa Rais mama yetu mwenye upendo na huruma , Familia ya baba huyu mweheshimiwa Rais msaidie huyu baba wewe ni mama mwenye huruma na upendo sisi ni wapitaji katika Dunia hii mama tunakuomba fanya jambo kuwa huyu baba mungu wangu akubariki mama tazama watu wako wanavyoteswa na watu wenye nia mbaya mama msaidie huyu baba ndy maombi yangu kwako taaluma yake inahitajika kwa nchi yetu mama

    • @EuphrasiaNtawatawa
      @EuphrasiaNtawatawa 3 месяца назад +6

      Jamani khaaa,huu uonevu hauvumiliki mbona😊

    • @kituapeter
      @kituapeter 2 месяца назад +1

      wampe familia yake kama kosa hakuna...

    • @MwanaishaShattry
      @MwanaishaShattry 2 месяца назад

      Watoto maskini wanahusika je? Mbona sifahamu.

    • @EmmanuelChrispin-bo5xh
      @EmmanuelChrispin-bo5xh 2 месяца назад

      Hakuna lehemahi hii nchi

    • @magrethkimaro4662
      @magrethkimaro4662 2 месяца назад +1

      Mungu mwenyewe anajua maana sisi hatuelewi Nini kimejificha ndani ya hii hukumu

  • @ismail-vf4zw
    @ismail-vf4zw 2 месяца назад +12

    Ivi hii ni tanzania yetu ya amani ndiyo baba analia hivi na anakosa msaada,
    Mungu ampe njia ya kuweza kutatua hili suara, na kikubwa zaidi huyu ni doctor amewasaidia watu wengi, Leo anatendewa hivi, haya maumivu anayo pitia yatakuja kulipwa, mungu anawaona, mzee usikate tamaa zaidi kumuomba mungu mpaka haki ipatikane, pole sana baba🙏🙏🙏😢😥😢

  • @RaheemaOmn
    @RaheemaOmn 3 месяца назад +14

    Subhanallah usikufu alhamdulillah Allah atakusaidia zidi kumwomba yeye ndio mweza wayote 😭😭😭🤲🤲🤲

  • @Zuu673
    @Zuu673 3 месяца назад +17

    Sio bure nyuma yake kunawatu wazito maana km ingekuwa ni watu wadogo tu uyu baba zamani angepata utetezi fikiria hii kesi ya muda mlefu sana

    • @scolasticamayanda9048
      @scolasticamayanda9048 2 месяца назад +2

      Kweli nyuma yake kulikuwa na watu wazito sana kwa alivyo zunguka kote imeshindikana sio bure,mungh mpe nguvu huyu baba

    • @aishawhite1107
      @aishawhite1107 2 месяца назад

      Hakika maana hata watu anaowasema ni watu wazito mfano Asha rose na wengn ila siku zote haki ya mtu haipotei haijalishi ni miaka mingp duniani na hata akhera haki itasimama kikumbwa tunakuombea Mungu baba uwe na Moyo waujasir na uvumilivu siku zote na kauli yako ya kuwa hakuna anaishi duniani milele ndio iwe nguvu ya kukufanya usimamie haki ya familia yako haijalishi utafia vitani au laa kikumbwa utakuwa shahidi wa familia yako duniani na akhera

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl 3 месяца назад +9

    Kwenye giza Mungu huonyesha mwanga ,sualà hili najua ufumbuzi utapatikana ,viongozi ,heshimuni kanuni ya kuitwa viongozi, Neno KIONGOZI ,kila neno lina maana yake, sasa watendaji wetu kama huyu baba yetu fuatilieni tujue ukweli uko wapi jamani

  • @LucasMapundu
    @LucasMapundu 3 месяца назад +108

    Ata ongea ya huyu mzee wangu. Anaonekana anabusara na hekima sana na anaonekana dini. Imekaaa anahuruma na anaujua utu. Mungu atakujibu mda so mrefu shekhe wangu amen

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 3 месяца назад +6

      Alitakiwa ataje simu yake hapo ili apate msaada. Sasa hata tukiomba namba yake, hatuwezi kuiamini.
      Inasikitisha sana kwa Gynecologist kuishi maisha hayo. Tunaomba haki itendeke 😢😢

    • @AngelaLyimo-d7x
      @AngelaLyimo-d7x 2 месяца назад +1

      Kweli ❤

    • @NeemaDavid-uj8sr
      @NeemaDavid-uj8sr 2 месяца назад

      Duh so painful

    • @flaviafaustine43
      @flaviafaustine43 18 дней назад

      Yaan kuna watu tunapewa uongoz kuumiza wengine lakn hawajui kama watastaafu na kukaa vijijin hao!!!!?

    • @flaviafaustine43
      @flaviafaustine43 18 дней назад

      Inauma sana dr Mungu akutie nguvu maana hakuna maref yasiyo na ncha.

  • @RobertEmmanuel-pl9jj
    @RobertEmmanuel-pl9jj 2 месяца назад +4

    Mungu mwenye kujua ya sirini yote yaliyo nyuma ya jambo hili, Ee Mungu usinyamaze kwaajili ya hili, Munguuwe msemaji wa mwisho maan wewe ndio mwenye haki. Dunia hapa tunapita tu hata ungekuwa nani , Mungu atusaidie tuishi tukijua Mungu ni mkuu kuliko vyote ...Pole sana 😢😢😢 baba katika yote Mungu ajitwalie utukufu kwaajili ya hili....Eee Mungu nyosha mkono wako 😢😢😢😢 Baba ,baba , Mungu najua wewe pekeyako unainua vilivyo vinyonge kuahibisha vilivyo na nguvu, naomba Mungu jitwalie utukufu kwaajili ya baba huyu, Mungu wewe unatuwazia mema na unatupenda bila kujali madhaifu yetu hauwahi wala hauchelewi 😢😢😢😢😢Ee Mungu 😢😢😢😢moyo wangu umeuma pole baba. Mungu anaona mapito yako....atakushangaza mbele ya adui na watesi wako......Mungu ni mkuu ...Mungu kama ulivyotupenda hata ukamtoa kristo kwaajili yetu ili tuwe huru Kwa damu Ya Yesu mwanao mpendwa natangaza uhuru usio na mipaka kwa ibrahimu salma na mama yao... Na abdurazack akawe kama yusufu aameeen

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 3 месяца назад +56

    jamani huyu baba bado ajapata msaada mpka leo daa hiii nchi jamani mungu amsaidie

    • @olivajoseph1697
      @olivajoseph1697 2 месяца назад +1

      Hata mm uwanashangaa mbaka Leo surely

    • @HusseinArbogast
      @HusseinArbogast 2 месяца назад

      Nchi yenye amani dah! Wakati wengine wanateswa namna hii m/mungu mfanyie wepesi mzee wetu

    • @MagrethFrank-q9c
      @MagrethFrank-q9c 2 месяца назад

      mm nimelia mpa bas mungu fanya jambo jipya ufute machungu yake

  • @GatekaFatma
    @GatekaFatma 2 месяца назад +4

    Innamaal uusri yusra Allah anajuwa zaidi yetu haki itatendeka insha Allah zidisha subira insha Allah

  • @jacksonmwenda5665
    @jacksonmwenda5665 Месяц назад

    Mkimbilie Bwana YESU KRISTO , atakuwezesha Kwa matatizo yote

  • @hamudzakuwani4149
    @hamudzakuwani4149 3 месяца назад +8

    watu u muhimuu Sanaa haoooo siyoo kuwachezeyaa kijingaa amesomaa kupitiyaa kodi za wana nnjii Leo kuwasaidiyaa mwamuwaribiyaa maishaa

  • @jokhaali5893
    @jokhaali5893 3 месяца назад +23

    Dr. Please wapambanie familia yako, ikiwezekana ondoka nao Tanzania omba ukimbizi wa kisiasa nchi za mbali

  • @DealDeskPro
    @DealDeskPro 3 месяца назад +5

    This country inawatu wabaya sana..kuna watu wanaroho mbaya shetani akasome, imagine kuna mtu ndio aliohumu kwenye kesi hiyo na anaishi poa kabisa bila hata wasiwasi, wala hana hofu ya kujiuliza ubaya wake umeleta athari gani..
    Police, Wanasheria na mahakimu mungu amewapa nafasi hizo ili msaidie watu na siio kuwanyanyasa kiukweli sio sawa kabisa, mnakosea mno na ama hakika mungu atawanyoosha hapa hapa duniani..shubamitiii

  • @hendrybartalome7947
    @hendrybartalome7947 2 месяца назад +12

    Kuna wakati watu wote watakukataa, dunia yote itakukataa ila MUNGU HATAKUACHA. Mungu atapigana nao wanaopigana nawe na mwisho UTASHINDA. ZABURI 35:1-9

    • @EdinaTamba
      @EdinaTamba 2 месяца назад

      Mungu najua unajua mapito ya huyu baba uliyemuumba pamoja na familia yake , Nakuomba Mungu wa mbinguni utende muujiza kama ulivotenda kwa Paul nasila milango ya gereza ikafunguka tenda leo Mungu wangu, ulisema walipo 2 , 3,wakiomba utasikia na kujibu maombi yao, naomba nasi utusikie Mungu wangu ninakuamin mwaka huu hauishi familia itaachiwa huru na watu watajua uko Mungu usiyepokea rushwa.

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 3 месяца назад +5

    Hiyo ndio Tanzania na utawala bora na utawala washeria .Tujiulize je ni watanzania wangapi wamesingiziwa wapo ndani wanateseka kila kitu ni maelezo. Tukisema Polisi wauwaji ni hivi sasa kweli kuna laana kubwa sana. 😭

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 3 месяца назад +32

    Unaweza kudhani unapitia magumu lakini ukisikia wengine unajiona kabisa machungu yako ni madogo. Huyu baba anajikaza tu lakini Mungu anajua

  • @asiansky9767
    @asiansky9767 3 месяца назад +11

    Kila mwenye imani hupata mtihani Allah akuwezeshe uishinde mitihani yako mzee wetu na akulipe daraja ya juu😢

  • @monicambarikiwa9532
    @monicambarikiwa9532 2 месяца назад +3

    “Dunia tunapita kila kitu kitabakia”. Hakuna chenye mwanzo kisicho na mwisho.
    MUNGU akutie nguvu na kukukumbukia mema Baba.

  • @mohamedimuhinga9064
    @mohamedimuhinga9064 3 месяца назад +8

    Mimi nauwakika mama mpenda haki ameshasikia kiliyo Cha uyu mzee akika awatanyongwa iyo familia aitanyongwa Tena labda wawe wameshawauwa,

  • @maizaiwalalaze3358
    @maizaiwalalaze3358 2 месяца назад +10

    Pole sana baba na Daktari bilal milomo ....naomba Mungu akukumbuke lakini mtazame Mungu tu najua unaumia sana ila rudisha imani yako kwa Mungu kila kitu kitakua sawa soma NAHUMU 1:12 kwenye biblia ...linasema kua ijapokua wana nguvu zilizo timilifu ,ijapokua ni wengi ,hata hivyo watakatwa naye atapita atakwenda zake ijapokua nikutesa sitakutesa tena....lakini pia soma kitabu cha AYUBU .....sisi ni wamoja dini hazitutofautishi na huu ni msaada wangu wa ushauri nakuombea kila la kheri Muheshimiwa Dr Bilal milomo

    • @Zafaabutterfly
      @Zafaabutterfly 2 месяца назад +1

      😢😢😢Allah ni mwingi wa rehma na hakika atasimama na wewe katika hili inshaallah

    • @Zafaabutterfly
      @Zafaabutterfly 2 месяца назад

      Haki itatendeka bi idhni llah

  • @OmanOman-dd5qk
    @OmanOman-dd5qk 3 месяца назад +10

    Mungu gusa kilio cha huyu mzee inshaalaah

  • @CharlesMajahasy
    @CharlesMajahasy 3 месяца назад +5

    Hauwezi kusaidika maana wenye kusaidia ndio wamemufanyia huo ujinga, wanataka afe, hapo kuna mikono ya hao wanajiita wakubwa, wanasiasa wanaitesa Sana hii nchi.

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 3 месяца назад +10

    Duh Mwenyezi Mungu amtie nguvu,it's not easy.

  • @joanpeter9121
    @joanpeter9121 2 месяца назад

    Ardhi Ardhi Ardhi, Mwenyenzi Mungu utusamehe😢😢😢😢😢

  • @Boyfromtanzania
    @Boyfromtanzania 3 месяца назад +10

    Very sad, That's why I promised myself to live far from Tanzania. And I thank God for where I am today. Tz drama nyingi Sana zinazo kwaza mioyo ya watu.

  • @angle3600
    @angle3600 2 месяца назад

    Makonda yuko wapi asikize haya mambo

  • @SawayaNm
    @SawayaNm 2 месяца назад +2

    Hawa wana habari don’t verify these people stories! This guy has same story 2 years ago with Global Tv! If you listen to both stories! Uta jiuliza why this news media don’t go and find the truth! Je huyu aka Billal Muromo ni mkweli? Is he really Dr? Global TV ana ongea uongo huu huu! Shame on this media posting fake stories! If you see Global Tv story, you can tell he is extremely good liar character! He needs mental treatment help rather than media waste time with this kind of people! Is basic simple questions before we put your story out, let verify who you are! Piga simu all places he works before you put his story! So, story like this make this media untrustworthy! 😢😮😅

    • @robertadrian2559
      @robertadrian2559 Месяц назад

      U said it all, as a psychologist maelezo yake nayaona yana uongo mwingi mnoo..kuna kitu behind haelezi vizuri

  • @jokhaali5893
    @jokhaali5893 3 месяца назад +10

    Pole sana mdogo wangu. M. Mungu haghafiliki, utapata haqi zao

  • @sabihasalim942
    @sabihasalim942 3 месяца назад +4

    Kusoma Oxford sio mchezo hata hapa UK watu wanashindwa huyu mzee ni hodari....niliwahi kusikia story yake kwa channel ingine nililia nikaomba mungu ifike Ayo Tv.

  • @maymunamakungu6265
    @maymunamakungu6265 3 месяца назад +14

    Maashallah. Doctor Bilal Allah akuhifadhi ktk dini ya haki

    • @shalimwansite776
      @shalimwansite776 2 месяца назад +1

      Dini ya haki ndio ipoje😅

    • @irenemollel4363
      @irenemollel4363 2 месяца назад +1

      Comment ya kipuuzi kweli, dini ya haki kathibitisha Mungu au? Acha ushamba

    • @EliaminiJoshua
      @EliaminiJoshua 2 месяца назад

      Utopolo huo uliocomment

  • @zakayomasingoti9238
    @zakayomasingoti9238 2 месяца назад +1

    Mbona mzee kanyooka jmn maelezo yake..Ee Mungu wa Mbinguni simama na Mzee huyu. We ni Mungu wa wote

  • @jacquejoseph1422
    @jacquejoseph1422 2 месяца назад +3

    Mungu wa Ibrahimu, Mungu wa Isaka na Mungu wa Yakobo yuko pamoja nawe siku zote usikate tamaa Mungu atakusaidia🙏

  • @ahamadimbaraka7140
    @ahamadimbaraka7140 2 месяца назад

    Kwa style inabidi nijifunze uchawi,Sina elimu,sina kipato hivyo sintowaweza hivyo nijitahidi kujifunza hiki kitu🤔🤔🤔

  • @SafiaOmar
    @SafiaOmar 2 месяца назад +5

    Ukiona mwanaume analia ujue shida zimemzidia. Namuombea kwa Allah amuondoshee haya matatizo na mkewe na mwanawe warudi. Hakika subra ni ngumu ila ina malipo mazuri

  • @ahamadimbaraka7140
    @ahamadimbaraka7140 2 месяца назад

    Kwa style inabidi nijifunze uchawi,Sina elimu,sina kipato hivyo sintowaweza hivyo nijitahidi kujifunza hiki kitu🤔🤔🤔

  • @anuarymzee9898
    @anuarymzee9898 3 месяца назад +7

    Duuuh kuna wenye vyeo na madaraka Hua wanaona wataishi milele ndio maana wanamaamuzi ya hovyo kabisa Ila wafaham kua hiidunia nimapito tuu MUNGU Akusmamie Kwa haya mapito unayo yapitia 😢😢😢

  • @aliabdallah8456
    @aliabdallah8456 2 месяца назад +2

    Jamani hiyo mikoa ya Arusha Moshi Kilimanjaro watu wake kaeni nao makini sana hao hawana dini wala hawana Imani kazi walinao nayo ni mambo ya mali tu siyo watu hao ni wanyama watu

  • @happinessndossa4544
    @happinessndossa4544 3 месяца назад +11

    Hv ni kweli hii nchi viongozi wameshindwa kumsaidia huyu baba kweli ila ipo siku Mungu atamsimamia yey na wataumbuka sana

    • @BimHamdi
      @BimHamdi 3 месяца назад +3

      Mara nyingi watu wa maana wana wapuuza wako tayari kupoteza wenye akili zao hii ndio nchi yetu

    • @athumanfuko199
      @athumanfuko199 3 месяца назад +3

      wasomi wanateseka hivi je wajinga hali yao ipo vip

    • @JacklineJohnson-q9k
      @JacklineJohnson-q9k 3 месяца назад +3

      Yaan mzee wetu anatia Huruma hii nchi hakuna Amani tunadanganyana tu Amani ipo kwa watawala tu lakn Mungu wetu SI mwepesi wa hasira Atatenda ktk hili

  • @zainabukivale9571
    @zainabukivale9571 2 месяца назад +2

    Tz yetu jamani duu lakini mtu kachoma picha tu miaka miwili jela ya jamani makonda ingilia kat baba

  • @nilastephen8265
    @nilastephen8265 2 месяца назад +5

    Chozi la mnyonge hali endi bure. Baba mungu yupo halali wala hasinzi ipo siku mungu ata kujibu maombi yako.

  • @barakamnazareti5745
    @barakamnazareti5745 2 месяца назад

    Hayo machozi haystapita bure wallah jichunguzen sanaa

  • @neemayatosha1618
    @neemayatosha1618 3 месяца назад +16

    Aibu gani hii jamani,haya mambo yanafanyika Tz,unamfanyia dadaako na watoto wake unyama huu. Yaani kwasababu ya kipande cha ardhi itakayokumeza? Yaani dini/kabila iwe sababu. Alafu mzungu akiwabagua mtasema mbaguzi. Hii aibu wakibosho ptuuu...........

    • @africaonechannel1289
      @africaonechannel1289 2 месяца назад

      Wewe Neema una Akili nyingi Sana!. UMEGUSA KIINI CHA TATIZO. Wengine wanajifanya VIPOFU. WANAKWEPA KUUNYOOSHEA KIDOLE HUU UOVU●

  • @jacksonmwenda5665
    @jacksonmwenda5665 Месяц назад

    MUNGU wa mbinguni asikie kilio chako Mzee , amini tu , MUNGU ni Hakim wa kweri atatoa suruhisho ya Kila kinachoendelea , na Kila mtu atapokea kile alichopanda .

  • @donathajasson6401
    @donathajasson6401 3 месяца назад +16

    Ombeni jambo lolote kwa Jina langu nami nitafanya Eeee Mwenyezi Mungu wasaidie familia hii mwaka huu usiishe waachiliwe huru

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 Месяц назад

    Mungu mwenye haki aitetee familia yako babaangu..Nimejikuta tu nalia 😭😭😭😭😭

  • @happinessshilie4019
    @happinessshilie4019 2 месяца назад +4

    Pole sana Baba hakimu wa kweli ni MWENYEZI MUNGU atakupigania 😢

  • @tajilimtoto5009
    @tajilimtoto5009 2 месяца назад +2

    Nimerudi tena ku coment unaona Aya aliyo fanyiwa uyu baba uyo mtu alie fanya na yeye ataripwa zaidi ya Aya nae watu wata muhulumia kumbe amewaumiza watu

  • @meshacksabuni7541
    @meshacksabuni7541 3 месяца назад +47

    Paschal Mwakyoma, wewe ni bonge la mwandishi aisee. Habari unazotulea zina funzo kubwa sana kwetu kama wasomaji. Keep it up. There's a bright future ahead of you.

  • @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج
    @فاطمهفاطمه-ش2ز9ج Месяц назад

    Tuachen roho za Chuki na wivu. Kabla ujamfanyia MTU tukio kumbuka athari itayopata kifamilia umeachia pigo zito.

  • @juliethhope7281
    @juliethhope7281 2 месяца назад +5

    UYU BABA AMENIUMAAAAA!AMENIUMAAAAAAA😢EEH YESU NYOOSHA MKONO WAKO BABA.KILA ANAEFANYA KINYUME NA WEWE UKANYOOSHE UPANGA WAKO.BINADAM WAMEKUA KAMA WANYAMA😢

  • @mwamgazamuya9825
    @mwamgazamuya9825 2 месяца назад +2

    Millard tunaomba hii post kila sehemu dunia iyone dhulma hii haki ipatikane tumeumia sana😢😢😢

  • @madreks253
    @madreks253 2 месяца назад +4

    Pole sana Baba. Mungu akupe amani na utulivu shida zitapita. Inasikitisha sana na kuumiza moyo kusikia story kama hii. Kweli nchi hii hamna haki...kumuona Baba mtumzima analia kwa uchungu kwa ajili ya familia yake inasikitisha. Shame to leaders in Tanzania and corrupt system, this is a lawless country, tunaitaji system nzima na serikali nzima ibadilishwe...Baba afadhali uhamie nchi nyingine and claim assalym...

  • @NaomiEmmanuel-y8r
    @NaomiEmmanuel-y8r 2 месяца назад

    Eeee MWENYEZI MUNGU msaidie huyu baba

  • @aediayumgo8546
    @aediayumgo8546 3 месяца назад +5

    Hyu nimeziona interview zake mara nyingi msaada Hakuna

  • @HadijaJoseph-d1g
    @HadijaJoseph-d1g Месяц назад

    Pole baba. Mwenyezi mungu awafanyewepesi waachiwe

  • @sarahjidiku
    @sarahjidiku 2 месяца назад +3

    Hawatanyongwa kwa Jina YESU Amina.

  • @eunicematope3232
    @eunicematope3232 2 месяца назад

    Ndo mana sitaki kuendelea kusoma sheria sitaki nsije kosa mbingu😢😢😢😢

  • @softena100
    @softena100 2 месяца назад +18

    Peter Kibatala hii kesi size yake,ataipangua jamhuri mpaka RPC atajuta,namwombeni wakili msomi Peter Kibatala hapa maramoja🙏

    • @humphreymwihambi4330
      @humphreymwihambi4330 2 месяца назад

      Au Tundu Lisu apewe hii kesi

    • @tktastytreats1882
      @tktastytreats1882 2 месяца назад

      Upo sahihi

    • @tausikiyabo6302
      @tausikiyabo6302 2 месяца назад

      Huyo peter kibatala anapatkana wapi Jamani tunaomba namba zake.@softena100

    • @tausikiyabo6302
      @tausikiyabo6302 2 месяца назад

      @@softena100 tafadhali namba namba ya huyo Peter Kibatala ndugu yangu nakuomba sana

  • @blackothman7332
    @blackothman7332 2 месяца назад +1

    Na haikua Dunia ila ni mapito tu, hizi mali za duniani tutaziacha tu

  • @prince.eric_msemwa9732
    @prince.eric_msemwa9732 3 месяца назад +8

    Kuna nn hapa nyuma

  • @batridapaul92
    @batridapaul92 2 месяца назад +2

    Watu wakishakuwa na madalaka wanakuwa miungu watu, tupendane dunia ni mapito😢😢😢😢

  • @softena100
    @softena100 2 месяца назад +37

    Napata wapi mawasiliano ya huyu baba,Millard ayo naomba namna ya kumpata huyu baba tafadhali🙏

    • @monalisapaschal7362
      @monalisapaschal7362 2 месяца назад

      Nenda Instagram page ya Millard ayo chukua number yao

    • @miriamwinston9908
      @miriamwinston9908 2 месяца назад

      My madam softena ulipo nipo

    • @tausikiyabo6302
      @tausikiyabo6302 2 месяца назад

      @@softena100 Tafadhali naomba mawasiliano ya Peter kibatala tafadhali

    • @luuramadhan2771
      @luuramadhan2771 2 месяца назад

      Inasikitisha sana nimelia sana nimeumia kama ni baba mzazi Allah mfanyie wepesi huyu baba🙏

    • @mercypatrick1444
      @mercypatrick1444 2 месяца назад

      Umempata?

  • @kahemachowdry7346
    @kahemachowdry7346 2 месяца назад +2

    inauma sana ,Mambo haya yanafavyika ktk Nchi yenye Utawala wa Sheria na Viongozi wapo na Wanalipwa kodi za watanzania

  • @brendabeatus2193
    @brendabeatus2193 2 месяца назад +3

    Mungu yupo anaona na anasikia
    All will be well mzee
    Haki itafanyika tu

  • @safiyaalharthy6382
    @safiyaalharthy6382 Месяц назад

    HAKI HAKI HAKI 😢
    Aibu kwa mwanamke kufanya dhulma kwa familiar hii kiasi hiki.
    Allah atalipa hapa duniani na akhera itakwenda hisabu

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 2 месяца назад +6

    Mungu aliyeziumba mbingu na nchi na akatuumba sisi sote ametupa na pumzi yake pia hajalala Wala hajakusahau anaona chozi lako na anaiona familia yako inachopitia pia ukweli ni kwamba Mungu wetu ni Mungu wa haki na ikiwa hawanakosa wameonewa Mungu atajiinua na kuonyesha ukuu wake ndani ya mtihani huu,Mungu huwaonekani wadhaifu anaonyesh ukuu wao hivyo baba naamini kabisa Mungu wetu si dhalim hata aseme uonge Amesema sintakupungukia wal sintakuacha kama nilivyo kuwa pamoja n Musa ndivyo nitakavyokuwa pamoja na wewe kasisitiza tena kasema uwe na moyo mkuu zaidi kimtegemea Mungu na Mungu hatanyamaza.

  • @Siti_maroneit
    @Siti_maroneit Месяц назад +1

    MIMI NASHAURI BABA AENDE KWA MWAMPONSA JAMANI MWAMPOSA MUNGU KATULETEA KWA WANYONGE HAICHAGUI WAISLAM AU WAIKRISTO .BABA ANAENDA KUWA CHIZI JAMANI 😢😢😢😢MTU KASOMQ MTU WAMANA TUNAMUITAJI TZ KWETU ANAISHIA KUTESSWA NA SHETANI.DONE AENDE KWA MWAMPONSA END YA SURUHISHO

    • @jacksonmwenda5665
      @jacksonmwenda5665 Месяц назад

      Ushauri wako ni wakijinga saana , samahani Kwa hiri , mshauli aende Kwa BWANA YESU KRISTO , au amuone laisi Samia suluhu hasani ,

    • @victorianganyagwa2467
      @victorianganyagwa2467 14 дней назад

      Mwamposa ndo nan mungu au usitutajie hy tapeli ss mwongo ty wajing nd waliwao n hy mwamposa wenu

  • @BakariImran-q6l
    @BakariImran-q6l 3 месяца назад +7

    InshaAllah litapita tu mzee wetu na utakuwa na family yko kwa uwezo wa Allah

  • @victorwilliam1111
    @victorwilliam1111 26 дней назад

    Wakasemaga huwa kuna watu hawaelewi.u ajiuliza how comes this happens

  • @piustombili9921
    @piustombili9921 3 месяца назад +12

    "Uislam ni Upendo" Allahu Akbar

    • @pabloescober6709
      @pabloescober6709 2 месяца назад +1

      UPENDO wapi mngetuita waklisto makafili😅😅😅

    • @OliverEdivery
      @OliverEdivery 2 месяца назад +3

      yaani hakuna kitu sipendi kama kuitwa kafiri sasa mi huwa sielewi uisalamu gani sasa huu ukiwakuta wanajikuta watu wema , wema upi huo kutuambia sisis dini yetu ya mashetwani daah!

    • @piustombili9921
      @piustombili9921 2 месяца назад +1

      @@pabloescober6709 wanaoita wakristu makafiri ni makapuku

    • @kautharjay5868
      @kautharjay5868 2 месяца назад +1

      ​@@OliverEdivery nyie mbona mnasema waislam dini ya majini 😂😂 mnambizana makanisabni je mpo sawa.kafiri ni mtu asiekuwa muislam

    • @kautharjay5868
      @kautharjay5868 2 месяца назад

      ​@@pabloescober6709nyie mnaita uislam dini ya majini

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 2 месяца назад

    Maelezo ya upande wa pili yahitajika.. serikali sio mbaya kiasi hicho..

  • @kyaro5945
    @kyaro5945 3 месяца назад +8

    Hii nchi ni shidaaaa😢

  • @MaximillianNgoiya
    @MaximillianNgoiya 2 месяца назад

    Unajengaje Ukweni ?🤣🤣🤣🤣 Umenogewa sana kweli wajinga wanazeeka pia🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Haujachelewa anza upya ndugu yangu. Nimeshindwa kumaliza hii video na umri wako unaenda kujenga ukweni ? Kubali makosa anza upya pambana unaweza ukarudi upya na kuwa na nguvu kuliko mwanzo.

  • @tatubaraka5752
    @tatubaraka5752 3 месяца назад +24

    Uyu baba ana uchungu mwingi sana Mungu akufanyiye wepesi.

  • @athmankiama1133
    @athmankiama1133 Месяц назад

    Machozi yako yatafutwa baba.MUNGU atakulipia hayaendi bure machozi yako.daah Tanzania yetu zote jamani.mama yetu samia tunakuomba msadie huyu baba apate haki yake.naimani mama yetu kipenzi amekusikia

  • @omanqqwe4061
    @omanqqwe4061 3 месяца назад +8

    Mungu akusaidie baba wangu 😢😢😢

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 2 месяца назад

    INasikitisha sana sana.DUNIA hadaa ulimwengu shujaaa

  • @e11said23
    @e11said23 2 месяца назад +5

    Mzee wangu nime kusikiza kwa umakini sana mpaka moyo umeuma kwa uchungu pole sana malipo yako kwa Allah

  • @CareenUronu
    @CareenUronu Месяц назад +1

    Eee mwenyenzi Mungu, wewe ni baba mwenye huruma ni mwingi wa rehema, tunaomba ukatende jambo la kushangaz ktk familia hii, wanaomchimbia kaburi wakafukiwe hko wenyew jmn. Allah allah tutakuhusudu ww pekee molaar. Ww pekee ndio tegemez la hii familia na tunaamini hvi punde watakua huru kwa nguvu zako mungu.

  • @nasserm.nasser5087
    @nasserm.nasser5087 3 месяца назад +6

    Dunia imejaa dhulma. Ndio maana kuna siku ya hukumu ya.kiama na kila mmoja atapewa haki yake.
    Mungu amfanyie wepesi mzee huyu muhimu kwa kazi na huduma yake anayoipa jamii ya tiba

  • @aroneliamwakyoma3577
    @aroneliamwakyoma3577 Месяц назад

    Story inahitaji D5 kuielewa .

  • @BayekeFarijala
    @BayekeFarijala 3 месяца назад +5

    Savi ni wilaya ya Malinyi. Mpogoro haswa. Pole sana

  • @igulug5450
    @igulug5450 18 дней назад

    Kwa ujumla tu serikal imeshindwa kufanya kazi yani hii nchi ya hovyo sana mtu mzima kutoa machozi ujue anamengi moyoni

  • @JANEBGOYA
    @JANEBGOYA 2 месяца назад +4

    Yaani wachaga na mashamba! Mungu awarehemu, kweli kumfanyia hivi MWANADAM,fani ya mke, future ya WATOTO imeishia,WATENDAJI WA SERIKALI HOVYO KWELI

    • @MagrethFrank-q9c
      @MagrethFrank-q9c 2 месяца назад

      mama samia mama yangu ingilia kati msaidie uyu baba

    • @MagrethFrank-q9c
      @MagrethFrank-q9c 2 месяца назад

      uwiiiii dunia hii tabuu😭😭😭😭😭

  • @KwizeLee
    @KwizeLee Месяц назад

    Tanzania yasasa jamani kunanini matukio yanakuwamengi, Mungu musaidiye mukewakenawatoto waokolewe

  • @hassankarume5058
    @hassankarume5058 3 месяца назад +5

    wallah naomba Rais amwone huyu mzee,,,,,haki inauma sanaaaa asee😢😢

  • @Siti_maroneit
    @Siti_maroneit Месяц назад

    MAMA SAMIHANASIMAMIE HAYA MASWALA KUNA WATU SERIKALINI WANAFANYA VITU VIDIVYO NA HAKI KWA WANAINCHI KUNA MAPOLISI NA WANAJESHI WANATUMIA VYEO VYAO KUWADHURUMU WATU NA KUWAHUMURU KUFANYA VITU 😢😢😢🥹🥹😭😭😭💔NIMELIA WALLAH MTU KUSEMA ANATAMANI KUFA🥹🥹🥹😭