"VIONGOZI NA WANAHABARI ACHENI UCHAWA MNAUMIZA WANANCHI" JAJI WARIOBA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024

Комментарии • 182

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 3 месяца назад +9

    MZEE WARIOBA ANGALAU MTU AKISIKIA INAONGEA ANAPATA HAMU YA KUSIKILIZA SAFI KAMA NYERERE!!!!!!!!!! SAFI SANA TUNAKUPENDA❤❤❤❤❤

  • @BenardLucumay
    @BenardLucumay 3 месяца назад +23

    Madini ya maana sana kutoka kwa mheshimiwa Jaji Joseph Warioba Mmoja wa wazalendo wachache wastaafu tunaojivunia nao! Mungu aendelee kukupa afya njema na maisha marefu Mzee wetu ambaye pia ni Waziri mkuu mstaafu!

    • @machoguhameri7757
      @machoguhameri7757 3 месяца назад +1

      Jaji Mkuu mstaafu, Waziri Mkuu mstaafu, na Makamu wa Rais mstaafu

  • @josephmathayo5139
    @josephmathayo5139 3 месяца назад +8

    Mwenyezi Mungu aendelee kukulinda ndugu Joseph Sinde Warioba. Ili uweze kutupatia Madini ,Weledi na kuwakumbusha viongozi na Waandishi wa Habari.waache uchawa na kuandika Habari zenye faida Kwa wananchi.

  • @mtakamatv
    @mtakamatv 3 месяца назад +5

    Mzee mungu akubariki kadri unavyozeeka unazidi kuwa tunu kubwa,mhimu kwetu wenye akili tunakuelewa ila machawa hawataelewa.

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 2 месяца назад +3

    Baba umesema maneno mazito sana, mwenye masikio amesikia. Ujumbe umefika sawasawa. Mwenyezi mungu akujalile afya njema baba.

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 3 месяца назад +2

    Shukrani sana ndugu Warioba. Nchi hii imegeuzwa kuwa ya wachache sana kwa sasa.

  • @JoshuaSabu-r2p
    @JoshuaSabu-r2p 2 месяца назад +2

    Mzee anaongea kwa uchungu sana kama namuona mwalimu Nyerere ndani yake anaumia kuona mwananchi anavyoteseka

  • @goodlackriwa6728
    @goodlackriwa6728 3 месяца назад +7

    🎉🎉 Mzee ana Madini matupu ht siku Moja hajawai kuyumbaa ni mtu mwenye msimamo sana ,na shindwa kuelewa serekali kwanini hamtumiiie huyu, Mungu Amjaliee Mzee warioba Maisha marefu

    • @godrickngoli5904
      @godrickngoli5904 3 месяца назад

      Mbona anatumika. Si amesema kuwa alipewa kazi na Rais. Hujasikia?

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 2 месяца назад

    Kweli mzee wetu ni jaji. Jaji ni.mtu huru na sio huru kwa kuambiwa tu bali hata kwa matendo, msimamo na mwonekano. Wangekutendea haki katiba uliyoshughulikia ikatoka ungali hai. Mungu akulinde hadi kazi ya katiba ya umma ( mpya) itimie uione kwa macho yako. Tunakuombea maisha marefu na uzee mwema .

  • @KwiniJoel
    @KwiniJoel 2 месяца назад +1

    Asante baba
    Wewe ndo dhshabu pekee iliyobakia
    Mzee mwenye uzarendo na akili nyingi zilizojaa busara
    Ila bandari yetu imechukuliwa Kwa manufaa ya matumbo ya wachache
    Inauma sana!
    Nakumbuka ulipiga kelele kupinga bandari isichukuliwe ila ndo hivyo tena!
    Mungu akutie nguvu baba yetu!

  • @AthanaseKiyoja
    @AthanaseKiyoja 3 месяца назад +1

    Asante mzee.Taifa limeoza,tumekuwa vizabinazabina.Wachumia tumbo,kwa hao unaoongea nao wao ndiyo hovyo mno,wanalala wanawaza bahasha za viongozi na wanasiasa.Tamaa na heshima havikai pamoja.

  • @malaryhillary3075
    @malaryhillary3075 3 месяца назад +4

    ❤❤❤ Asante mh Warioba siku zote unatoa madini ya kweli

  • @othmanali5362
    @othmanali5362 3 месяца назад +8

    Zahabu ni zahabu tu hongera Mzee.

  • @MiriamAziz-z5t
    @MiriamAziz-z5t 3 месяца назад +4

    BRAVO MH. MZEE WARIOBA....MANENO YA HEKIMA NA BUSARA KWA WAANDISHI WA HABARI HAPA NCHINI MWETU.

    • @yahyahamisi2038
      @yahyahamisi2038 3 месяца назад

      Mzee CCM ni chanzo cha matatizo ya nchi yetu 🤔 uhwawa , Ukada , ukanda , utanganyika , Uzanzibari , udini , ubabe , tabaka , rangi , unyanyasaji , unyanyapaa , dharau , haya mambo yanatugawa 🤔 watu wanatekwa , wanateswa , wanahujumiwa , wananchi tutaendelea kuwa wavumilivu , Kuna Mtu alikusukuma pale UDSm 😭 kisha akapewa ukuu wa Wilaya ya Kino na kisha ukuu wa mkoa Mpaka Leo 🤔 watu Toka kambi ya upinzani wakirudi chama Twawala wana Katengo maalum ka ukuu wa Wilaya Wilaya 😂 , ukurugenzi , Usalama , 😂 hivi mpaka Leo waliomtolea bastola Nape N auye pale st Peters church bado hawajulikani 🤔 wakati walionekana kwene runinga 😮 tinahitaji surveillance cameras za KGB , CIA , M15 , n a MOSSAD 😂😂 Jinsi tunavyofikiri sivyo kizazi kijacho kitaka kitakavyofikiri 🤔 tunajitengenezea timing bomb 😭 GEN Z 😂 Isikilizeni nguvu ya umma , ikisema no retreat no surrender kutakuwa hakuna jinsi bali ni kulia na kusaga meno 🤔 sio Tanganyika tu bali hata Zanzibar na zanzibara 🤔 Katiba mpyaaaaaaa 🙏🙏🙏 tujifunze kuwasikiliza wananchi wanachokitaka 🙏 tuache kuwawanyanyapaa maskini na wanyonge 🙏 Mzee Butiku , Mzee Warioba tunawaomba .kalisimamie hili maana Chama Twawala chatupeleka halijojo 🙏🙏 katiba mpyaaaaaaa 🙏🙏

  • @emmanuelmasele9585
    @emmanuelmasele9585 3 месяца назад +6

    Hongera,Mungu akuongezee muda wa kuishi ili uendelee kulitibu Taifa letu.

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 3 месяца назад

      Mheshimiwa Warioba pigania Taifa hili ili lipate KATIBA MPYA.

  • @Felix-e6t4m
    @Felix-e6t4m 3 месяца назад +1

    asante sana baba warioba ni kwanini serekali imekua sumu kwa mwanchi wa kawaida anaumia watumishi wa serekali wakitucheka na kutudharau wananchi na kutupokonya maeneo yetu ya kijamii pamoja na mali zetu pili Tanganyika serekali. Inafanya mambo bila kuwausisha wananchi je nauliza iyo ni haki sisi kuongozwa kidikteta je nauliza mbona tugandamizwe utu husishwi tutoe maoni yetu nikweli kabisa atushirikishwi uwoni ujambazi. ndani ya serekali ndio tujue yakwamba mnapenda nikweli udikiteta kamili tuwe kama marekani tunataka tupate uhuru Tanganyika ni yetu Kila pahali sisi tutaenda wapi wanyonge tupewe haki zetu vijana wa kizazi kipya waamke kuitetea nchi yetu msilale Tanzania walio wengi vijana wapewe mashamba wajiajiri kuliko kuajiriwa na waarabu tumekataa kuporwa na viongozi walioko mamlalakani wanatutisha na wasio julikana wako ndani ya serekali ndio maana iyo CCM inaendelea kugandamiza watanganyika baba warioba okoeni Tanganyika kwasababu Kuna wahuni nda ni ya Tanganyika serekali imeficha mabepari ndani ya serekali atutaki mabeberu ndani ya nchi yetu msilale Tanzania asante sana wenu Simba sauti ya wanyonge tupewe haki zetu zote watanganyika tulinde tanzanaiti yetu msilale Tanzania walio wengi vijana wapewe mashamba wajiajiri kuliko kuajiriwa na waarabu tumekataa kuporwa na wezi wachache mwsho wao umefika

  • @StephanoMathias-e2z
    @StephanoMathias-e2z 3 месяца назад +4

    Mzee wetu wewe.. mmebaki wachache sana wa aina yako hapa duniani. Tunakuombea kheri kwa BWANA..

  • @hafidhally7998
    @hafidhally7998 3 месяца назад +2

    Fact and rogic... Mzee tunakuelewasana mungu akupe umli mrefu tuendelee kuchota busarazako

    • @jumakapilima7295
      @jumakapilima7295 3 месяца назад

      Logic sio rogic ,,,,,,,sio lazima sana uwe unaandika kiingereza

  • @kulwasalum3597
    @kulwasalum3597 3 месяца назад +1

    Utakumbukwa sana , hasa ktk kuwapigania walala hoi....
    Mungu akupe afya na uhai mrefu... .
    Amin..........!!!!

  • @denistarimo9175
    @denistarimo9175 Месяц назад

    Mungu akupe maisha marefu babu yetu,ni wewe pekee unarzubutu kusema ukweli pila kupepesa macho Mungu alieko sirini azidi kukupa nguvu,

  • @jumamrange
    @jumamrange Месяц назад

    Mzee waryoba mungu akuongezee siku za kuishi baba

  • @marymaleko5377
    @marymaleko5377 3 месяца назад +2

    Barikiwa sana baba he kima,busara zimetawala.Je hawapo wengine kama huyu mzee,nakwani wako kimya.

  • @ezekielmirambo8704
    @ezekielmirambo8704 3 месяца назад +1

    Mungu akujalie baraka nyingi sana kiongozi wetu mstaafu hapa duniani na hata mbinguni

  • @DausonShensherwa
    @DausonShensherwa 3 месяца назад +2

    Mh walioba we mtu wa maana Sana mungu akutunze

  • @Ushauri235
    @Ushauri235 3 месяца назад +9

    Mzee Mungu akulinde tu upo duniani kwa lengo maalumu

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 3 месяца назад +1

      Kbsa hujakosea kbs comment yako aisee huyu mzee Mungu anamakusudi nae kwenye taifa letu aendelee kumpigania zaidi afya njema uhai mlefu zaidi🙏🤲

  • @KarimuMkini
    @KarimuMkini 2 месяца назад

    Pongezi na hongera Sana Mzee wetu mwenye busara njema na maumivu makubwa Kwa wananchi wa Tanzania hakika Mungu akubariki wewe nitunu yetu hapa nchini .

  • @EmmanueliZani-ur9bi
    @EmmanueliZani-ur9bi 3 месяца назад +1

    Asante sana Mzee kwa hii Elimu, maana hicho ndicho kinachoendelea kwa taifa letu.
    Mungu awasaidie waandishi wa habari ili wasilalie upande mmoja.
    Asante.

  • @lellodidass.6851
    @lellodidass.6851 2 месяца назад

    Very educated speech. Safi sana Jaji.

  • @kipronobett7122
    @kipronobett7122 2 месяца назад

    Great wise words babu. worthy to be listened by all. Kudos

  • @YohanaPetro-xv9tp
    @YohanaPetro-xv9tp 3 месяца назад +1

    Uyu Mzee Jamani Anazeeka Vizr Akifa Aende Moja Kwamoja Mbinguni

  • @richardjafu7404
    @richardjafu7404 2 месяца назад

    Asante sana Mzee. Nchi imekuwa ya machawa. Viongozi wote wamekuwa machawa ndiyo maana kila baada ya sentensi mbili lazima amtaje raisi. Hii yote ni Kwa sababu ya self sensorship.

  • @WilfredShirima-e2j
    @WilfredShirima-e2j 2 месяца назад

    Mungu aendelee kukuweka mzee wetu mwenye fikira kubwa na Moyo wakuwapenda watanzania nasio Hao machawa wanaotumiza.

  • @marckmasassi7466
    @marckmasassi7466 2 месяца назад +1

    Mzee Warioba hili unalo zungumzia Kwa hakika na JANGA kwa Taifa sababu kujikomba kimezidi hakuna mtu ANAONGEA ya moyoni Bali wanaongea yale ambayo wanahisi WALIO wapa UONGOZI ndio wanayo taka kuyasikia hata kama ni UNAFIKI.

  • @GeorgeKasembe
    @GeorgeKasembe 2 месяца назад

    Nimekukubali saana mzee wetu

  • @TNgwale-eu3xl
    @TNgwale-eu3xl 2 месяца назад

    Kweli Kabisa Mh Jaji Warioba

  • @RobertJonathan-jm5um
    @RobertJonathan-jm5um 2 месяца назад

    Hongeraa mzee wa busara. Nchi hii imeyumba kwa kutokuhemu busara zenu

  • @NorbethJosphath-hm1zb
    @NorbethJosphath-hm1zb 2 месяца назад

    Tunaomba baba mzee wetu tuelezee njinsi tufyo ipata tanzania tupe hosia baba sisi wajukuu hatujui

  • @StephanoMathias-e2z
    @StephanoMathias-e2z 3 месяца назад +2

    Wewe mzee wetu wa busara nakukubali saana. Mwenyezi mungu akuzisdishie uhai

  • @khalidmamdadi1072
    @khalidmamdadi1072 3 месяца назад +2

    Tunakuombea sana Mzee wetu

  • @yahyahamisi2038
    @yahyahamisi2038 2 месяца назад +1

    Uchawa , ukada , ukanda , uzanxibY na Uzanzibari, udangyika , ni shit shidaaaaaa ktk muunganimo huu😂😂 nyambafu zetu 😂😂😂 midanganyika Timo tuuu bwashet😂😂 hivi sie Wadanganyika aliyeturoga ni nani? 😆😆😆🤣🤣😆

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 3 месяца назад +4

    Mzee Mungu akutunze, na Butiku

  • @elioimer8423
    @elioimer8423 3 месяца назад

    Ushuhuda ya anayosema mzee Warioba(Mungu akulinde) kuwa ni ya kweli pasipo Shaka ni yaliyomkuta speaker Ndugai. Pamoja na sifa zake zote ccm hawakuwelewa wakamsulubu , kwa hiyo toka hapo ni sif😮a kwa raisi kwa kiongozi yeyote anayetoa hotuba.

  • @israelmkaka2807
    @israelmkaka2807 3 месяца назад +2

    Umenena Vyema Waziri Mkuu Mstaafu

  • @MachotaMachota-w6c
    @MachotaMachota-w6c 2 месяца назад

    Ongera Mzee warioba unaonambari niwewepekeyako uriebaki kuongeaukweri naminaamini unapenda mbadiriko yakweri kwasababu unajuasasaivi watu wanajitabua ira pawaipokwenye vyombovya Dora watuugopa

  • @desiderihugo5704
    @desiderihugo5704 2 месяца назад

    Hii na sauti ya mtu liaye nyikani msikieni yaye .Asante Mzee Warioba kwa nasaha zako . Wenye masikio na wayasikie hayo maneno ya huyo mzee wetu.

  • @SEBASTIANBEKKO-ni8nn
    @SEBASTIANBEKKO-ni8nn Месяц назад

    Joseph Sinde Warioba, waziri mkuu mstaaf, na makamu wa kwanza wa rais

  • @dismasmtui729
    @dismasmtui729 2 месяца назад

    Hongera sana Mh kwa kuwa wazi.Kila mtu anataka kumsifu raisi, amekuwa kama Mungu!!!

  • @BenardLucumay
    @BenardLucumay 2 месяца назад

    I couldn't agree more!

  • @Brunn-mh2bq
    @Brunn-mh2bq 3 месяца назад

    Mzee huyu ni simpo hana makuu hana cha mtu alichokula wala alichoiba. Matokeo yake hana presha. Maisha yake yana amani. Ataishi maisha marefu sana . Wengine jifunzeni kwake la sivyo mtaishi maisha ya ubatili mtupu na hivyo mafupi na ya woga na taharuki za kutisha

  • @InnocentJohn-l5y
    @InnocentJohn-l5y 3 месяца назад

    Mzee walioba mungu aeendelee kukupa busala hizo wabunge wamekuwa machawa hakuna bunge pale kila mbunge anataka aonekane amemsifia rais mda mwingi wanamaliza kwenye kupongeza tu

  • @josephmilandononi1096
    @josephmilandononi1096 3 месяца назад

    Waziri Mkuu Mstaafu Joseph Warioba hakika hakima na busara zako Bado tunazihitaji sana nchi yetu ya Tanzania.

  • @edsonpetro3754
    @edsonpetro3754 3 месяца назад +1

    Mzee unazeeka vzr akili inaongezeka sanaaa

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 3 месяца назад

    Mzee Warioba umeongea ukweli wa hali iliyopo. Uwoga unaumiza watanzania.

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 3 месяца назад +1

    Tunu iliyobakia Tanzania 🇹🇿...huyu mzee sio mnafki

  • @MatronaThomas-wz5si
    @MatronaThomas-wz5si 3 месяца назад +1

    Mzee ana busara sana❤❤❤

  • @ElieshPoul
    @ElieshPoul 3 месяца назад

    Elieshi poul:Mungu aendelee kukupa maisha marefu kwa hekima Yako.

  • @MichaelMsongole
    @MichaelMsongole 2 месяца назад

    Uyu mzee muwekeni kipa umbele kulishauli taifa

  • @MwambaWarusaka
    @MwambaWarusaka 2 месяца назад

    Kabisa mzee uko makini Sana nakuelewa hoja zako miaka kumi na nane Leo hii serikali machawa wamejaa haina lolote ushenzi tuu

  • @makwebamanyama1219
    @makwebamanyama1219 2 месяца назад

    Mungu akupe maisha marefu ❤❤❤

  • @Wiittole
    @Wiittole 3 месяца назад

    Mh jaji Sinde warioba umewapa ushauri mzuri na muhimu vyombo vya habar lkn hatuwezi ona mabadiliko yyte coz vyombo vyote vimejaa machawa wa ccm

  • @marandoruzali1946
    @marandoruzali1946 3 месяца назад +1

    Mzee wa maana kabisa

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 3 месяца назад +2

    Omba Mzee mungu akupe uzima utakuja kusema tuliwambiya

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 3 месяца назад

    Wananchi Mzee tunaelewa tuna subili mungu mpango wake hatatutesa milele na ccm na makada wao chadema na zitto wao tunajua

  • @MAFUNDISHO1
    @MAFUNDISHO1 2 месяца назад

    Warioba ni tunu! Nchi yetu ni nzuri na imebarikiwa! Ila tusipojali tabaka la watu wengi , tutaiharibu nchi yetu. Cc ni nchi ya kijamaa kwa mujibu wa katiba. Utu, usawa na heshima. Ni misingi yetu. Ila sasa anakuja kiongozi au Mtumishi wa umma! Anafanya mambo kana kwamba yeye ni mwenye nchi. Badala ya kuheshimu wananchi kamaa waajili wakuu na wenye rasilimali za nchi.
    Tusiporekebisha kasoro hii.....inaweza kuwa swala la muda...Mtu Aliyekata tamaa na kujikinai ni hatari sana.

  • @godfreybitakama9845
    @godfreybitakama9845 3 месяца назад

    Hakika barikiwa sana mzee

  • @georgempogomi7329
    @georgempogomi7329 3 месяца назад

    Mhe Asante sana umebaki wewe tu sauti ya wananchi wengine wote na machawa wa mama na wizi

  • @simongwandu7392
    @simongwandu7392 2 месяца назад

    Wananchi tunasikitishwa nakauli ya Baadhi ya viongozi kutumia matusi kauli ya Uchawa neno hili iende baraza la kiswahili
    Kupata ufafanuzi juu ya maanayake na matumizi yake.

  • @sangijomnyami8727
    @sangijomnyami8727 3 месяца назад +1

    Wanainchi tumetengwa Sana tunapandishiwa Kodi ya pango Kila tunapo weka luku Toka 1500 Hadi 2000bila huruma.

  • @masanullahuzuni
    @masanullahuzuni 2 месяца назад

    Waandishi waliandika haya ya mzee magazine
    Uchida
    H
    Waandishi mhimili wakimezwa nchi kuangamia

  • @dinalema732
    @dinalema732 2 месяца назад

    Huyu mzee mungu azidi kumtunza

  • @festokemibala5832
    @festokemibala5832 3 месяца назад

    Haya unayoyasema Mzee utawala hawataki kuyasikia. Rejea kauli za Mwigulu na wenzake kuhusu mustakabari wa maisha ya watz, wao wanaona anayetofautiana na sera na mitazamo yao huyo anatakiwa kuhamia sehemu nyingine ya nchi kama Burundi nk! Wanatamka haya mchana kweupe utadhani wanawaongoza manyani!

  • @mtakamatv
    @mtakamatv 3 месяца назад

    Sema na wabunge wetu,wanatuumiza sana wananchi,uchawa umekuwa tatizo

  • @mwaamwetahussain9947
    @mwaamwetahussain9947 2 месяца назад

    Hawataacha hawa wameshikishwa kitu lazima wafanye juu chini wapige mdomo 😢

  • @Mima-cl2im
    @Mima-cl2im 3 месяца назад +1

    Waandishi wa habari na wawo wanaanza kutekwa na serikali. Jambo la sukari kuhusu Mpina na speaker wa bunge, hawajaandika chochote ni Kimya tu. . Watanzania tunatgemea magazeti magazeti kuandika bila upendeleo haki za watanzania

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm 3 месяца назад

      Wameshatekwa. Hawaandiki yanayopaswa na yanayowahusu na kuwakabiri wananchi. Wanamtukuza na kumsifu Samia tu. Ni Samia, Samia, Samia. Kaziba kila Mtanzania. Hata Mungu hatajwi namna hii. Hata yeye mwenyewe anaendekeza na kubariki hili. Inamaana Tanzania nzima yuko Samia peke yake. Hakuna mtu mwingine nchini bali Samia na huyo Mama yao tu. Hatuna Bunge wala Mahakama nao ni Samia tupu.
      Mmetekwa kifikra kielimu, kiuchumi. Wananchi wamefunikwa na kuona hawana maana. Wanamwonyesha Samia na CCM tu. Wengine wote wamewafanya hawana maana yoyote ile. Ni ujinga wa kiakili usioelezeka.

  • @MichaelMsongole
    @MichaelMsongole 2 месяца назад

    Huyu mzee nimadini ambayo tanzania tunayapuuza

  • @EmmanuelSalli
    @EmmanuelSalli 3 месяца назад

    Hapo kwenye kero mzee wangu nimepapenda

  • @bakermusa9033
    @bakermusa9033 3 месяца назад +1

    Media ya Tanzania ni comedy tupu .

  • @kasomishedrack5027
    @kasomishedrack5027 3 месяца назад +1

    "CHAWA" ni mdudu mnyonya damu kwa binadamu kwa maana hiyo Sasa Kama waandishi ni chawa basi maana hiyo ni wanyonyaji wa wananchi kwa kutokuwapa taarifa nzuri na za ukweli na hivyo kuanza kupambana kujinufaisha kwa kupewa rushwa ya kitu kidogo,vyeo na kupewa trip za nje. Rejea Dp world ilipoenda kutiwa Saini nje baadhi ya waandishi walijinasibu kupewa zawadi na kununua magari ya gharama baada ya kusemwa na watu wakaanza kuwakejeli kusema nyie "mmepitwa na wakati"

  • @sospeterodhiambo6869
    @sospeterodhiambo6869 2 месяца назад

    Hakika namkubali Mzee huyu Ndo aliyebaki nchini kwa kutetea haki za wananchi

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 3 месяца назад

    Our Old man during late julias kambarege Nyerere sinde warioba our country is on big trouble whatever sinde warioba you will talk about ccm no solution only tanzania people take action hakuna njia nyingine uwoga wetu wenyewe ndio unatumaliza ktk taifa letu

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb 3 месяца назад

    Nimekuelewa sana mzee

  • @salimukimwaga-fu8cc
    @salimukimwaga-fu8cc 2 месяца назад

    Wataacha wapi uchawa wametanguliza njaa alieshiba hamjui mwenye njaa AmBAR ni mwananchi

  • @georgempogomi7329
    @georgempogomi7329 3 месяца назад

    Mungu akulinde

  • @frankpeter4178
    @frankpeter4178 2 месяца назад

    Hii ndo Hotuba ya kitaifa iliyokosekana mda mrefu Tanzania

  • @PeterJonathan-c8k
    @PeterJonathan-c8k 3 месяца назад

    Mzee una hekima! Ni hazina ya taifa letu, ushauri wangu aliyekupiga kipindi kile atafutwe afungwe, madeleka na mwabukusi wakusaidie

  • @raphaelondego7703
    @raphaelondego7703 2 месяца назад

    Mzee Waroba umenena ukweli.

  • @KwiniJoel
    @KwiniJoel 2 месяца назад

    Asante baba
    Wewe ni baba wa nchi
    Na tungeneemeka sana katika nchi hii kama tungekuwa na wazee wenye hekima, uzarendo na ueledi mkubwa wenye kujali maslahi ya wananchi bila unafiki. Wangekuwa hata kumi nchi hii ingesonga mbele.
    Ila NaHisi wewe utakuwa mkristo tena kanisa la KKKT au Moraviani maana hekima Yako imepitiliza. Asante baba.

  • @kashiririrkaasongwisye9487
    @kashiririrkaasongwisye9487 3 месяца назад +1

    Miongoni mwao tunu za taifa zilizobaki!

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 2 месяца назад

    Tunaomba maswali yetu na ushauri wetu uwekwe kwenye hsyo magazeti yenu tafadhali.
    2. Waandishi acheni Uchawa.
    Uchwa wenu unaua hii Inchi kabisa

  • @JoshuaSabu-r2p
    @JoshuaSabu-r2p 2 месяца назад

    Home boy hujawahi kuniangusha mura wetu

  • @abdallahkihanza482
    @abdallahkihanza482 2 месяца назад +2

    Uchawa umepoteza hata mvuto ktk magazeti yote, ndio maana hata biashara ya magazeti, imepungua, maana magazeti yote yanaandika habari moja, waandishi waliowengi hawana ubunifu, pia uchawa umepitiliza

  • @adrianoadriano-ys6bm
    @adrianoadriano-ys6bm 3 месяца назад

    Mzee hakuna waandishi wa habari kizazi hiki, kwa sasa ni wapiga stori na umbea.

  • @kindysuleiman5935
    @kindysuleiman5935 3 месяца назад

    Warioba kama unayajua kipi kinachowapa woga sote tunafaham serikali Ndio inayoziba midomo

  • @simonnaivasha6393
    @simonnaivasha6393 3 месяца назад

    Sure, mzee ,jaji mstaafu, Warioba waambie kizazii hiki cha IT L
    lakini hawajui jukumu Lao kwa jamii! Kuna mihili mitatu ya utawala katika Taifa , Bunge , mahakama na serikakali , wanaunganishwa na Waandishi wa habari waliosoma vizuri sio makanjanja, umefahamu??

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 3 месяца назад +1

    Wamebaki wachache hawa wazee, wakiisha tuendako ni kubaya zaidi

  • @innocentmleli1196
    @innocentmleli1196 3 месяца назад

    Wape somo, wamepotoka.

  • @kyaruzilutaadolph1835
    @kyaruzilutaadolph1835 3 месяца назад

    Kweli old is gold

  • @willsoniissaya
    @willsoniissaya 3 месяца назад

    Kuna kipindi cha wasafi chaki sitokitaja wanapenda sana kusifia

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm 3 месяца назад

    Wekeni tunayochangia hapa gazetini tafadhali sana badala ya wewe mwanahabari kuachagua. Tunachukua muda kuwasomeni na nia ni kuhabarisha watu badala ya wewe kuyaweka kapuni.

  • @eliezermsonge7388
    @eliezermsonge7388 Месяц назад

    Amenena kweli yote