LEMA BALAA! AMUWASHIA MOTO MAKONDA NA MBUNGE WA ARUSHA MJINI | MWAMPOSA | "POLISI NJOONI MNIKAMATE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Комментарии • 326

  • @rehemakimungu6494
    @rehemakimungu6494 Месяц назад +6

    Sasa chadema sera zenu ni nini jamani? Maana mnaishia kutukana tu, acheni ujinga mafala nyinyi

  • @marymalema258
    @marymalema258 Месяц назад +5

    Makonda Mungu akupe maisha marefu kipenzi chetu

  • @vicentntamausu-gm3og
    @vicentntamausu-gm3og Месяц назад +4

    Makonda kamanda, mungu akulinde, hatuna chakusema zaidi ya kukuombea

  • @nzegeatv6355
    @nzegeatv6355 Месяц назад +7

    Mm ni chadema lkn makonda namkubali apo lema mm ujanishawishi chochote

  • @lightnessgamasa6039
    @lightnessgamasa6039 Месяц назад +2

    Lema tafuta AMANI kwenye haya maisha , Muache makonda kabisaaa,Kwanza ni Mtmish wamungu Muache Muache 🙌🙌🙏

    • @dicksonlusinde2830
      @dicksonlusinde2830 Месяц назад

      Peleka huko nywumbie ww mtumishi wa mungu unamjuwa ww acha uboya

  • @augustinemainde
    @augustinemainde Месяц назад +5

    Siasa za Lema bwana watu wanakuona komediani 😂😂😂😂

  • @joseygaudence4922
    @joseygaudence4922 Месяц назад +2

    lema anatukana tukana tu hana habari mpya sera hamna anaongea nn sijui😂😂

  • @BonnyMwajombe-iu7hb
    @BonnyMwajombe-iu7hb Месяц назад +2

    Lemaaaaa! Duhh kisiasa pumzika kwa amani!

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji 13 дней назад

    Arusha wanaongoza kwa MAIGIZO NA KUSUBIRI MIUJIZA😢😢😢😢

  • @user-bc5sd9qv8w
    @user-bc5sd9qv8w Месяц назад +6

    Wewe una sera na matusi yako nan akupe kura achana na Makonda kawasaidia sana tena sana tena muombe radhi paulo

    • @josephmakutano7067
      @josephmakutano7067 Месяц назад

      Makonda anafanya maigizo tu,utashindwAje kwelewa Mfumo huu niccm sheriambovu wamezitunga wao iliwajinufaishe,wenyewe Leo kiinamacho unachanaganikiw

  • @user-ju5ee1gx2w
    @user-ju5ee1gx2w Месяц назад +25

    Ukiona mtu anatuka bila sababu yamsingi ujuwe ameishiwa selaa Tena anamtukana makonda mtetezi wa wanyonge wakati macho ya watanzania wanaona kazi za makonda,kweli Lema amefilisika kisela ?

    • @donaldmaziku7915
      @donaldmaziku7915 Месяц назад +1

      makonda hafai ata kulinda choo

    • @maimunaabdullabi
      @maimunaabdullabi Месяц назад +1

      Ajira zote wamewapa watoto wawo shule wanasomeshwa ulaya kwa pesa ya watanzania

    • @user-jo3cs3yu3o
      @user-jo3cs3yu3o Месяц назад

      Lazma aseme hivyo. Ataishije!?? Ww unaensikiliza tu ,ndo uwe na Busara kwakumuelewa na kutambua KWAMBA amekosa kazi.

    • @richardkaula6847
      @richardkaula6847 Месяц назад

      Hana jipya ameishiwa sera huyooooooo,wewe kwenye viatu vya makonda huingii hata robo piga kelele ukalale.

    • @ramadhanrashidmthailand9553
      @ramadhanrashidmthailand9553 Месяц назад

      ​@@donaldmaziku7915wewe unaefaa unamsaada Gani hata kwenye familia yako!

  • @BorySaronge
    @BorySaronge Месяц назад +3

    Vijana wa Arusha angalieni maslahi ya wanawaarusha sio maneno ya huyo mpumbavu asiyejua lolote na mjinga kupindukia atawatia umaskini kuliko anavyosema kama hakuna faida unasimama hapo kufanya Nini acha ujinga

  • @JosephLukumay-wh8sc
    @JosephLukumay-wh8sc Месяц назад +8

    Hapa dalili inaonesha tutarudi tena nyuma kuanza maandamano badala ya kufanya KAZI tupate chakula na maendeleo huyu pakuna hapa Tanzania anakimbilia Canada sisi tutaenda wapi hata Kenya hatujawahi kufika uuuwwwiiii Mungu atusaidie.

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 Месяц назад +1

      Bora turudi maandamano ili tujipange,tujiongoze badala ya maneno matupu ya CCM

    • @nahlaaasidee1848
      @nahlaaasidee1848 Месяц назад

      Ukapimwe akili wewe​@@mataypanga5262

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 Месяц назад +4

    Mhhh tuu mwacheni makonda wetu

  • @geofreykasinda1895
    @geofreykasinda1895 Месяц назад +9

    Bila kuwa na connection inchi hii ni tabu

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Месяц назад +4

    Toa hoja sio maneno makali kaka

  • @eshyndibalema1529
    @eshyndibalema1529 20 дней назад +1

    Wewe kaa kimya huna jipya acha Makonda amalize shida za wananchi

  • @DanielMdota-gl4ru
    @DanielMdota-gl4ru Месяц назад +1

    Fact , but we need action, bro... 👊👊

  • @nahlaaasidee1848
    @nahlaaasidee1848 Месяц назад +4

    Hawa sindano za makonda zinawaingia na bado mpaka mtasema.

    • @AugustinoSirong-eo3yj
      @AugustinoSirong-eo3yj Месяц назад

      @@nahlaaasidee1848 kama lema imempata, kajikuta si kitu.
      Nashangaa lema kulalamikia ubunifu wa Makonda mpaka anashuka jukwaa hajaeleza mkakati mbadala duh!

  • @user-gt4ki8js1u
    @user-gt4ki8js1u Месяц назад +3

    Makonda oyeee

  • @DigidigiSekelwa-l4y
    @DigidigiSekelwa-l4y 17 дней назад

    huna sela sisi tunamwombeaMakonda Mungu amjaliye kama anaumwa au yuko likizo ulijee salama shujaa wetu

  • @SalomeKiduko
    @SalomeKiduko Месяц назад +4

    Wajanja wanashindana kwa hoja si kwa matusi,chadema mko vizuri ,ila matusi ndo yanakiangusha chama,(badirikeni

    • @Stevenmollel
      @Stevenmollel Месяц назад

      Makelele tu hakuna cha maana

    • @josephmakutano7067
      @josephmakutano7067 Месяц назад

      ​@@Stevenmollelnakushangaa ebufanya tadhumini zauchaguzi ndipo utajuwa CCM haipokabisa isipokuwa mapolisi bebabeba tu,

  • @prospermsemwa1433
    @prospermsemwa1433 Месяц назад +2

    Kuna aina ya kufikisha ujumbe kwa raia ila lema wewe ni genius be blessed okoa wasio jitambua machawa

  • @deomushy2594
    @deomushy2594 18 дней назад

    Una mwonea makonda wivu kwa kaz njema Mungu atazid kujidhirisha ndan ya makonda

  • @jumahabibi3500
    @jumahabibi3500 16 дней назад

    Tena muache makonda achape Kaz kenge madangaji wew

  • @NicomedMartine
    @NicomedMartine 29 дней назад +1

    Lema UtakuaUmecjanganyikiwa wew

  • @bahatigewa4163
    @bahatigewa4163 Месяц назад +8

    Ebu achana na makonda kwanza, maana ni kipenzi chetu watanzania wote.

    • @dedankalinga6291
      @dedankalinga6291 Месяц назад +2

      Wote au ww na wajinga wenzio

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 Месяц назад

      Kutojitambua pia ni ujinga, jitafakari halafu ukimaliza kitafakari uyambue kila mtu ana haki ya kuchagua anachoona kinafaa.​@@dedankalinga6291

    • @ShifaSinani-ed6po
      @ShifaSinani-ed6po Месяц назад

      Uongo

    • @josephmakutano7067
      @josephmakutano7067 Месяц назад

      Kumbe duniani kunawatu wanapenda uharifu yaani Makonda nimuuaji tenakatili

  • @user-up2zn1pt2m
    @user-up2zn1pt2m Месяц назад +3

    KIPI NI KIPI MKUU...MBONA HATUKUELEWI .......

  • @yussufhashim4472
    @yussufhashim4472 Месяц назад +6

    Huyu watoto wake wako canada nä mimi niko sweden usituaribie tanzania yetu vita inaanza wenyekuumia niwale wako Ndani ya nchi wewe Na slaaa nä mbowe watoto Wenu hawako tz nä usiongelee juu makonda makonda ni dume

  • @HamisiNguche
    @HamisiNguche 29 дней назад

    BIG UP LEMA.

  • @user-eu5uy8vm6i
    @user-eu5uy8vm6i 22 дня назад +1

    Angekuwepo makonda usingeweza kuongea na kuvimba hivyo

  • @hassankilengah4786
    @hassankilengah4786 Месяц назад +2

    Kwa sera hizi amachemka

  • @josephmahando493
    @josephmahando493 Месяц назад +7

    Lema umefiriska kifikra , lililo jema pongeza , siyo kupinga kila jambo, Arusha watu wametibiwa bule kwa ushawishi wa Makonda, na wengine kupewa haki yao nk

    • @Stevenmollel
      @Stevenmollel Месяц назад

      Bado hajaona yote ayo kwanz ajiulize aliongoza miaka mingp alifanya nn kwa ajir ya wananchi

    • @richardkaula6847
      @richardkaula6847 Месяц назад

      Duuuu hatuna upinzani Nchii hii,wanasiasa tuliowategemea sana wameishiwa hoja zenye nguvu, umebaki uwana harakati tu na matusi.

  • @LijueNeno
    @LijueNeno 4 дня назад

    Wewe unatoa sifa, unaongelea usela Lakini hauna msaada kwa wananchi.. muda mwingine tafuta jinsi ya kuwasaidia watu wala siyo maneno

  • @user-zf3rj9bu4t
    @user-zf3rj9bu4t 24 дня назад

    Lema Wewe hunaga Jema kila mtu Mbaya tafuta Sera angalia kile kizuri anachofanya Mwenzako umtie Moyo siyo kumkosoa tuu Makonda anapambana Sana halafu anaye hofu ya MUNGU

  • @francismigongwa4146
    @francismigongwa4146 Месяц назад +3

    Toa sera sio vijembe wewe ndye unageuke kuwa boya

  • @user-ym5ko9ov2o
    @user-ym5ko9ov2o Месяц назад +2

    Wewe kwenye utawala wako ulifanya nini

  • @ChugaKazi
    @ChugaKazi 27 дней назад

    Mbunge Kama mbunge ❤❤❤

  • @PendoMlowosa
    @PendoMlowosa Месяц назад +2

    Wewe nae kakae hko

  • @Shaabanhmakiya
    @Shaabanhmakiya 28 дней назад

    Wewe kima mdogo huna jipya😮😮😮😮

  • @HeriMohamedi-re7xu
    @HeriMohamedi-re7xu Месяц назад +2

    Watu wa Arusha ni wajanja midomo tu lakini Hakuna Cha wadudu mnatawaliwa na watu kutoka nje mnadanganywa na kina makonda Ina maana Hakuna mtu wa Arusha akawa mbunge

  • @prospermsemwa1433
    @prospermsemwa1433 Месяц назад +1

    Big brain 🧠 lema akilikubwa

  • @user-if7qm5gj2z
    @user-if7qm5gj2z 28 дней назад

    Lema yupo saw sana achana na vicha wa Arusha wamechalogwa na makonda

    • @sarahyesaya6265
      @sarahyesaya6265 22 дня назад

      Mmmh! Kazi ya Makonda wewe usingeweza hata robo

  • @jumahabibi3500
    @jumahabibi3500 16 дней назад

    Yani wew nimsenge sana ukikalibia uchanguzi mnaaza kukashifu seriksli maneno Gani unayo ongea mbwa wew makonda kakufanyann makonda anapingamia haki za wanaichi wew wa na chama chako kipi mlicho Fanya wanaichi

  • @MarthaWambura-kz5xb
    @MarthaWambura-kz5xb Месяц назад

    Toooo interesting 😅😅 DOGO ANA WENGEEE ....
    acha ujinga LEMA MAKONDA HE IS ANOTHER MAN 👊👊👊👊

  • @JonasMathias-s6m
    @JonasMathias-s6m Месяц назад +4

    Acha ujinga lema boda boda wanakufa kila siku kwa ajali za barabarani hamuzioni acha ufala hata wew tukikupa hii tanzania huwezi kumfanya kila mtanzania awe tajili

  • @mathewyoung2159
    @mathewyoung2159 Месяц назад

    Kweli kabisa kamanda ✌️✌️✌️✌️✌️✌️

  • @VeraVeramollel
    @VeraVeramollel 23 часа назад

    Lema Hiyo ni wivu hutaKaa umkutie makonda hata tone acha sera za ……

  • @user-ek7kq7fq4f
    @user-ek7kq7fq4f 9 дней назад

    Mungu hapendi matusi..toa hotuba bila kumtusi mtu,Wala chama nadhan utabarikiwa kuliko kutoka matusi na kutukn watu.ni ushaur tu

  • @maulidimsingwa3263
    @maulidimsingwa3263 Месяц назад +1

    Laiti tungempata makonda mkoa wetu wa tanga,nina uhakika muheza ingekuwa na kiwanda chakusindika juice,mama samia tuletee makonda tanga,arusha hawamtaki.

  • @songeza
    @songeza Месяц назад

    Mumgu akuponye RC nimeumia nimeumia nimeumia kama kweli amekufa kwa kweli itavuruga uchaguzi

  • @RobbinWalt
    @RobbinWalt 28 дней назад

    Huyo Lema ashapoteza dila bangi tupu Hana jipya

  • @joshuandabazaniye7642
    @joshuandabazaniye7642 Месяц назад +1

    uko sahihi

  • @user-uo6zj2jm3e
    @user-uo6zj2jm3e Месяц назад +2

    Muda ufike tu huyo mbunge wao aondoke

  • @NdayishimyeJackson
    @NdayishimyeJackson 11 дней назад

    Lema hizo zote ni dalili za kushindwa siasa, umebakiza kumwaga sela za matusi?? hapo uko ukingoni!!!!

  • @user-bc5sd9qv8w
    @user-bc5sd9qv8w Месяц назад +2

    Pigania ugali kuna mtu anapigania sehemu isiyo na makoti hizo sera tu saundi tu

  • @VeraVeramollel
    @VeraVeramollel 23 часа назад

    Sasa wewe unataka nini mwenzako yuko juu kaa hapo

  • @britonkanumba6828
    @britonkanumba6828 Месяц назад +22

    Makonda baba lao

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Месяц назад +2

    We lifisiemu tuache tusikilize lema akili kubwa

  • @BenjaminChombo-o8o
    @BenjaminChombo-o8o Месяц назад +2

    Huna jipya brother.

  • @modestusndunguru7183
    @modestusndunguru7183 Месяц назад +1

    Ukitaka kuamnini makonda yupo juuu ya hawa kunguni...waweke..mdahalo na kila mtu aelezeee chama chake..huyu..atasepa bila mtu kuku huyuuuuuu..hajui siasa....siasa ni sera sio matusi na porojo porojo..watu wanataka udeal na kero zao ..sio tatalinta

  • @evancetarimo1310
    @evancetarimo1310 29 дней назад

    Lema mm naipenda chadema lkn ukitaka tukosane endelea kumtaja Makonda

  • @mohamedbakari2874
    @mohamedbakari2874 29 дней назад

    Hizi siasa za lema ndio anasema Arusha wajanja Kwa uhuni Kwa sera za upinzani kama ndio hizi Mimi acha niendelee kufunga mkono chama Cha mapinduzi

  • @janethrwambali2782
    @janethrwambali2782 Месяц назад

    LEMA HATUKUPENDI RUDI CANADA. ACHANA NA MAKONDA KIPENZIIIII CHETU❤

  • @user-qx7jg4gh6i
    @user-qx7jg4gh6i 29 дней назад

    Bora makondaa Mara Mia kuliko lemaa

  • @NicomedMartine
    @NicomedMartine 29 дней назад

    Lema Umechoka Na Siasa Kapunzike Tu Kaleee Watoto Hua Mnachukia Kiongozi Anaetetea Wanyonge Sasa Bc Kwa Hayo Kashfa Unayo YaOngea Utakosa Hata Hiyo Nafasi Hufai Kua Kiongozi Hewatu

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Месяц назад +3

    Nape nauye is not a politician has got no capacity of been politician makonda kwa god bless lema naona pazito maybe makonda use police force can challenge God bless lema without that makonda will face big challenge from God bless lema chadema on my research l have seen that

  • @abdallahibrahim280
    @abdallahibrahim280 Месяц назад

    Unamponda makonda kwa mbadala upi kama sio kuchezea akili za vijana, huna lolote

  • @JeremiaholendikaMakeseni
    @JeremiaholendikaMakeseni Месяц назад +5

    Heshima Yako baba tupo pamoja

  • @jumahabibi3500
    @jumahabibi3500 16 дней назад

    Kama huna sela kaa kimy mbwa wew

  • @mirajimtoi8511
    @mirajimtoi8511 24 дня назад

    Ila Lema alikua mwizi basi sema ilikua njaa sawa

  • @basilisamsaka8469
    @basilisamsaka8469 Месяц назад +3

    Lema Hana kitu badala ya kuongea Sera na kuikosoa serikali pale ambapo inakosea mnakaa kutukana watu ovyoo sana

  • @ponsianomwakisunga899
    @ponsianomwakisunga899 Месяц назад +1

    Boda boda nikaz kama kaz zingne

  • @ANYELWISYEMWALUKASA-zd7yl
    @ANYELWISYEMWALUKASA-zd7yl Месяц назад +3

    jamaa ni matusi tu hatupati mpango Kazi wowote tuambie nn mtafanya mkipata nafasi

  • @user-qx7jg4gh6i
    @user-qx7jg4gh6i 29 дней назад

    Mbona wewe uliongoza miaka tano Mbona walikuwa wanaedesha pikpiki hatukuona mabadiko uliyofanya?

  • @EliasAbel-qr8pz
    @EliasAbel-qr8pz Месяц назад

    Acha kuchongani sha Sana nch😊

  • @babarungurallyteam2754
    @babarungurallyteam2754 Месяц назад

    Mkuu Mimi simwanasiasa Ila makonda hajakosea kuandaa tamasha ni anajali vipaji Viwe fursa nanikwambie Mimi hua ndioninaratibu MASHINDANO YA PIKIPIKI nikwambie siasa zenu zielekezeni KATIKA KUSAIDIA jamii na msiwaponde wanaogusa maisha ya WATU Ila nikwambie kaka HAKUNA MCHEZAJI ALIEKUFA, HIZO TAARIFA ULIEPEWA ZA WATU8 ZICHUNGUZE SIOKWELI KAKA.

  • @chrispinrafael3831
    @chrispinrafael3831 Месяц назад +7

    Leta sera mambo ya mke wa makonda ayatuusu yeye makonda mbona ajaongera mke wako unaferi best

    • @davidchihimba9489
      @davidchihimba9489 Месяц назад +2

      Umetumwa wewe hapo hampati kitu Arusha ina wenyewe

    • @faustinejemsi1488
      @faustinejemsi1488 Месяц назад +1

      Umeona mm Niko Kenya nafatiria lema mupeni jimbo lake

    • @mataypanga5262
      @mataypanga5262 Месяц назад +1

      Kwani Makonda ana sera gani, kudanganya wajinga tu😂

  • @user-zm7kk1tr5l
    @user-zm7kk1tr5l Месяц назад +4

    Lema na wewe umechema sana mwaposa unamuwekaje tena kwenye aiese

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx Месяц назад

    Lema wewe ni msenge nakukubaligi kumbe chenga tu yani unakaa kumzungumzia Makonda mpumbavu mkubwa ww ,fanya mambo yako ila Makonda muache aseeh chalii etu

  • @AnnoyedBooks-kn5pm
    @AnnoyedBooks-kn5pm Месяц назад

    Kwenda zako nawewe usie na point

  • @DigidigiSekelwa-l4y
    @DigidigiSekelwa-l4y 17 дней назад

    sioni pointi unapoongea kinachomshawishi mwananchi Makonda ndiyo kiboko yako

  • @user-ce9pr3zs6b
    @user-ce9pr3zs6b 29 дней назад

    Hata wewe upewe nchi, utatubadilishiya luga ya kutuambiya muongo mmoja.

  • @MarthaWambura-kz5xb
    @MarthaWambura-kz5xb Месяц назад

    Mimi n8 chadema lakini MAKONDA hebu usi muongelee ...shughulika na hao maboya wengine ulio wataja

  • @FilbertMsongela-xt9tq
    @FilbertMsongela-xt9tq Месяц назад +1

    Big up Mr lema

  • @annanasoro3007
    @annanasoro3007 25 дней назад

    Aliekufa niani mbona vyombi vya habari havijasema unamchafua tu siku zote upo mbona ujatatua anayoyatatua makonda

  • @jumahabibi3500
    @jumahabibi3500 16 дней назад

    Hata muongee nn hampati urais hata ule umengonoka hampati ursisi hata siku moja

  • @SalomeKiduko
    @SalomeKiduko Месяц назад +4

    MAKONDA tunayaona anayofanya,wewe lema umefanya jambo gani ili wananchi wakuelewe,shikamana na MAKONDA ili Arusha ipate maendeleo makubwa zaidi

    • @mossespallangyo2345
      @mossespallangyo2345 Месяц назад

      Elewa mtu anayepambana kwa ajili ya taifa kwa ujumla na sio upande mmoja wala mkoa mmoja,Mmeletewa makonda awafunge macho ili mama abinafsishe vit vingine

  • @AbeidKibuga78
    @AbeidKibuga78 4 дня назад

    Peleka hoja lema kwa wananchi sijakuelewa hoja yako

  • @StevinGodfrey
    @StevinGodfrey 20 дней назад

    lemaa ana lolotee makondaa oyee

  • @joycealex8652
    @joycealex8652 Месяц назад

    Hivi mna muelewa huyu anaongea nini eti😂😂😂😂we mwache makonda mwache makoda hangaika na yako Makonda wetu mtue kabisaa usimguse

  • @assasimba3228
    @assasimba3228 Месяц назад

    Unaona mama amefanya ndiyo unapata wazo kabla ya hapo hukuwa na wazo la Ronado zuri lako linakuja baada ya watu kuanza pole 🎉

  • @JoshuaSamunge
    @JoshuaSamunge 22 дня назад

    Sasa waambie sere wewe unawasaidiaje watu kosoa Kwa hoja , ukiwaambia bodaboda wao wafanye nin Sasa ,jaribu kutupa sera zenye mantic

  • @user-ih4ew6tq3z
    @user-ih4ew6tq3z Месяц назад

    Kunawakati kama una sera bora kunyamaza ..uyu makonda muache brother jamaa anaupija mwingi sio kiwango chako mimi namfikiria 2035 kuwa (RAIS) wetu

  • @michaelmagwaza-bc6mk
    @michaelmagwaza-bc6mk Месяц назад

    Nchihii ingekua anawaona Watu kama lema niwatu wema na wanahuruma kwa Taifa, wangesimama hadharani nakuwapongeza kwa Mawazo naushauri Mzuri wanaotoa.

  • @ayubukivuyo2904
    @ayubukivuyo2904 Месяц назад

    Kuna changamoto, kwa sababu lugha anayozungumza Lema ndiyo lugha inayoeleweka na Vijana wa kuanzia 2004 mpaka Leo, kama wakijiandikisha wote hali ni Tete.

  • @mossespallangyo2345
    @mossespallangyo2345 Месяц назад

    Makonda amekuja kwa kazi maalum maana Arusha ni kambi ya upinzani,Sasa amekuja kupumbaza watu,Ccm ikishakamata jiji mtaachwa hapo.kwan Makonda Amefanya nn??Maana mm hata siwaelew wanaosema makonda ni jembe.

  • @charlesngalison7554
    @charlesngalison7554 Месяц назад +1

    Lema unakuwa nyota Tanzania

  • @faustinluambano2958
    @faustinluambano2958 Месяц назад

    Mmewahi kuangalia maendeleo hata kwenye TV.Soon ardhi ya kulima nyanya itakuwa hakuna. Bonde la KILOMBERO mnaenda miti ya mbao.

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 Месяц назад

    Lema mjinga sana bila kutukana viongozi ili akamatwe apate umaalufu jinga sana