MTITI MKALI; MWANANCHI ACHARUKA, "MAKONDA UONDOKE HAPA, UTAKUJA KUTATUA MGOGORO MWINGINE"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 янв 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Комментарии • 292

  • @michaelnjunwa9270
    @michaelnjunwa9270 3 месяца назад +18

    Brother Makonda yupo vizuri... Sijawai kuona effort za namna hii

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 3 месяца назад

      hana lolote unafiki tu anatak kujifanya JP;na hii sio kasi yake

    • @lilianeerica3318
      @lilianeerica3318 2 месяца назад +1

      Mtu utamjuwa kama ni mzuri akianza kazi maana wakati wakuomba kazi lazima awe mwema na hawa wenyesiasa usiwaamini sana wakati huu uwaamini wakishi chaguliwa ukiwaona wakitimiza yale waliokua wanayasema

  • @bosramwank2373
    @bosramwank2373 3 месяца назад +3

    Nakuelewa vizur mh. Makonda

  • @patrickmsuguri
    @patrickmsuguri 3 месяца назад +12

    Hii ndio maana ya kusomea unachokiamini hapo makonda ume qualify kuwa nwenezi kweli kweli ❤

  • @YudaKabogo
    @YudaKabogo 3 месяца назад +13

    Makonda upo vzr sana

  • @Aamours
    @Aamours 3 месяца назад +49

    Hii kazi ya Makonda mimi naitafsi kama ni kampeni za kuelekea uchaguzi mkuu 2025.

  • @user-hp4pf9cm4s
    @user-hp4pf9cm4s 2 месяца назад

    Fanya kazi baba mama tunakupnda kwa kumchanguwa huyu mtu ktk maisha yetu na mungu awasimamie kila iitwayo leo na family zenu

  • @hafsamnenga1942
    @hafsamnenga1942 4 месяца назад +13

    Ila makonda namuona magufuli kabisa ,p

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 3 месяца назад +10

    Hii nchi imewashinda

  • @user-hl8oo1ih5s
    @user-hl8oo1ih5s 4 месяца назад +22

    Hii si kazi ya katibu mwenezi kwenye mkutano wa hadhara.
    Hujasoma sheria bora ukasome uongozi

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 3 месяца назад +5

      Katumwa huyo unafikiri anaanza tu shauri yako

    • @mallowmduhu4933
      @mallowmduhu4933 3 месяца назад +2

      Mwenezi ni moja ya majukumu yake, huyo ndiye mtunga sera na msimamizi wa sera hivyo anachokifanya wala hakuna kosa😂😂😂

    • @frankjohn8706
      @frankjohn8706 3 месяца назад

      ​@@mallowmduhu4933KWA chama chake sio kwa Taifa na itikadi tofauti ndio maana hata sikukuu ya kuzaliwa ccm haipo ki Taifa kwa watu wote Bali ipo ki ccm tu Wala sio kiserikali japo ccm ndio tawala

    • @loner_wolf
      @loner_wolf 3 месяца назад +1

      Unafikiria kazi yake ni nini ? Yeye ndio anafuatilia kama iILANI ya chama inafuatwa.....sasa ulifikir nini kazi yake ...?

    • @Lodrickmwambene
      @Lodrickmwambene 3 месяца назад +1

      Wewe Ndio ulewi kazi yake

  • @fattymusa4857
    @fattymusa4857 4 месяца назад +14

    Mwandishi, kichwa cha. habari tofauti na maelezo.

    • @rehmakondo
      @rehmakondo 4 месяца назад +2

      Yani huyu muandishi ovyo kbsa

    • @user-fw3db3om1s
      @user-fw3db3om1s 4 месяца назад +2

      Mwandishi ni mchonganishi

    • @elizalutiga6287
      @elizalutiga6287 4 месяца назад +1

      Watu wa wanajibu tu bila kusikiliza

    • @faisalanuary7033
      @faisalanuary7033 4 месяца назад +1

      ​@@user-fw3db3om1sclick bait 😂yani kichwa cha habari ni chambo, lazima unase😅

    • @flycobensony9680
      @flycobensony9680 3 месяца назад +1

      Anazingua huyu

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily85 4 месяца назад +10

    Tumshukuruh Allaah na mama Sameeha kumletaa makonda kuwatatuliyaaa shidaa zenuuu nendeeeni naeee poleee poleee. Walowekwaaa ndio wenyeee shidaaa kuwaendeshaaaa mbio maraiyaaaaa kuweniii na subrah mutatuliweeee shidaa zenuuuu Allaah na nyiyeee kWa ummojaaaaaaa. Wenuuuu.

    • @danstanmushobozi-bu7ru
      @danstanmushobozi-bu7ru 4 месяца назад +7

      Makonda Hana uwezo kutatua matatizo yaliyosababishwa na serikali yake, huu ni usanii tu.

    • @jesaminzo
      @jesaminzo 4 месяца назад +3

      ​@@danstanmushobozi-bu7ru kweli kabisa, yaani wanataraji bashite awatatulie shida zao, kituko!

    • @OmmyJames-xn7ji
      @OmmyJames-xn7ji 4 месяца назад

      @@danstanmushobozi-bu7ruAlimaliza USHOGA NA SASA ATAWAMALIZA MAJIZI YOTE 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🥳

    • @vicentnyanda828
      @vicentnyanda828 4 месяца назад +3

      ​@@danstanmushobozi-bu7ru unàjua kuna wajinga hawaelewi kama hapa ni siasa tuuu😂

    • @rosetreffert4179
      @rosetreffert4179 4 месяца назад

      ​@@jesaminzokabisaa

  • @user-yt9ly5bn4o
    @user-yt9ly5bn4o 3 месяца назад +3

    Watanzania mnapigwa hakuna mambo ya maana hapo wanapiga kampeni ccm imechoka kuongoza nchi

  • @isacktemba551
    @isacktemba551 4 месяца назад +20

    Ivi kweli hii nchi tumekubali bodaboda ndio kazi ya msingi kweli na nchi yenye neema yote hii na utajiri

    • @AjiaMohamed-rt5pb
      @AjiaMohamed-rt5pb 4 месяца назад +1

      Unataka tufanye nn ss

    • @user-dk5kk4rf3v
      @user-dk5kk4rf3v 4 месяца назад +1

      Aibu kubwa

    • @ahmed-shakirmwamba4992
      @ahmed-shakirmwamba4992 4 месяца назад +1

      Tatizo ni kutawaliwa na chama hicho kwa hicho na fikra finyu za Viongozi kama Makonda. Fikra mbadala ni lazima.

    • @user-qp5vi9yt6m
      @user-qp5vi9yt6m 4 месяца назад

      inawezekana kipato cha bodaboda wew ukifikii mpka unakufa wew

    • @simonlukiko2850
      @simonlukiko2850 4 месяца назад +1

      UNAFANYA KAZI GANI. WEWE AMBAYO. NAMZIDI BODA BODA

  • @itiamekimbui722
    @itiamekimbui722 3 месяца назад +2

    kuna vile sijaelewa huu mzunguko wa makonda kwa gharama za serikali .ukisikia kero za wananchi ndio mbinu ya kutafuta kuura?

  • @achantyyahya4290
    @achantyyahya4290 2 месяца назад

    Uhondo Tv Mwe ni mbwaaaaaaaaaaaaa😢 kichwa cha habari sio yaliomo

  • @user-su3zd6mz6d
    @user-su3zd6mz6d 3 месяца назад +1

    Mwenezi wa chama hii ni kazi yako kweli!!!

    • @BJ-qi6rp
      @BJ-qi6rp 3 месяца назад

      Siyo kazi yake!

  • @user-pq4nt2vq4g
    @user-pq4nt2vq4g 3 месяца назад +6

    Makifuli," haaa ,nani atafikia Ile hekima ya hayati Makifuli ?nonono,you are trying but aujamfikia , keep it up and more effort.

  • @UshuziwaSerikali
    @UshuziwaSerikali 4 месяца назад +8

    UJINGA NI HUU HUU, WE MAKONDA NI TAIRA KAMA HUYO BIBI YAKO SAMIA, MNAFIKIRI MTAENDELEA KUWADANGANYA WATANZANIA, TUMEWACHOKA NA USHUZI WENU MNAOUFANYA NA KODI NA MALI ASILI ZA WANANCHI

    • @PauloMathayo-ql8cl
      @PauloMathayo-ql8cl 17 дней назад

      acha zako makonda sio taila atatua kero za waninchi

    • @AnnaKanje-tw2rz
      @AnnaKanje-tw2rz 12 дней назад

      Umechomaaaaa😂😂😂 Ushuzii....punguza ukal wa maneno kdogooo........

  • @geophureysamsoni5033
    @geophureysamsoni5033 Месяц назад

    Kazi ipo hiiiii

  • @luganomwaigomole7441
    @luganomwaigomole7441 4 месяца назад +6

    HAKUNA CHA MAANA ANACHOKIJIBU

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 4 месяца назад

      Anawa enjoy wapumbavu ambao anajua wamejaa nchi hii

  • @user-fw1rf6be1z
    @user-fw1rf6be1z 3 месяца назад +1

    Vzr

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 4 месяца назад +9

    Hivi haya maigizo yanayofanywa kipindi hichi kabla ya uchaguzi ,yangefanywa kila mwaka mara moja tuu na wangeunda kamati nchi nzima ya kushughulikia kero na madai ya wananchi na wangezishughulikia ingependeza sana.

    • @Wami-Sababisho
      @Wami-Sababisho 4 месяца назад

      Nchi yetu haitaki mtu mwenye maamuzi magumu maana hata aliyepita alikuwa na mambo zaidi ya mazuri lakini mwisho wa siku alionekana ana mambo ya kinyama baadae watu wanaanza kumkumbuka wakati ameshatangulia mbele ya haki. Sisi ni watu wa kulalamika tu hatuna jema

    • @morjanoman5181
      @morjanoman5181 4 месяца назад

      Tukae kimya mana tukisema Sana wanatuona tunaikosoa serikali kumbe hizi hojandio zilitakiwa kilamwishoni MWA. Mwaka wangekua wanatembelea wananchi

  • @ismailisungura3491
    @ismailisungura3491 3 месяца назад +6

    Makonda siyo kazi yake

  • @zobakazizi7637
    @zobakazizi7637 3 месяца назад +4

    Sheria za Tanzania huwa zina mganganyiko...

  • @SostenesMabala-tt8pt
    @SostenesMabala-tt8pt 4 месяца назад +8

    Pumbavuuuu upuuzi tu .

  • @jofreysaimoni4964
    @jofreysaimoni4964 4 месяца назад +5

    Hao ulio sema wakakae waelewane. Mm ninamashaka ubabe utafanyika hapo

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 4 месяца назад +5

    Ccm kama jumba la kale.jipya wakati wote na kila kizazi litatembelea jengo hilo.

  • @sabiilassalaf
    @sabiilassalaf 4 месяца назад +3

    Noma iyoo

  • @exprodigitaltechtv5571
    @exprodigitaltechtv5571 3 месяца назад +3

    boda boda ndo wanaongoza kulalamika kila siku lakin ndo hao hao wepesi kununuliwa na kutumika kisiasa

  • @morjanoman5181
    @morjanoman5181 4 месяца назад +6

    Kwaza tunakushukulu mamaetu kipezi samia. Kutuletea makonda ushauli kwa viongo ivoizikero za. Muwemnaweka kila mwaka mwezi wa 12. Mnawasikiluza shidazoa sio adi kampeni za uchaguzi samahani kama nimewakera🙏🙏

  • @Iamnanapeak
    @Iamnanapeak 20 дней назад

    Huyu makonda watanzania mpatieni Urais..

  • @YasiniMomboka
    @YasiniMomboka 4 месяца назад +3

    Kwani makonda cheo chake kipo upande gan ccm au selikalini

  • @user-kv5ql3xj6b
    @user-kv5ql3xj6b 3 месяца назад

    Daa tunakupendaa sana

  • @fortyyellu9971
    @fortyyellu9971 4 месяца назад +2

    Hii migogoro inatakiwa itatuliwe KISERIKARI na wala sio KICHAMA watanzania tusiwe mazwazwa... yaan mnakaa na kumsikiliza mtu aliyevaa nguo ya chama si UJINGA HUOO..!! Mambo ya chama yanamalizwa kichama ndani ya chama.. Shituken nyinyi.. msipelekwe pelekwe tu

  • @Izonecommunity
    @Izonecommunity 17 дней назад

    Kichwa cha habar , hakiendani na alichosema

  • @user-fw6xd1te2s
    @user-fw6xd1te2s 3 месяца назад +1

    Mmh

  • @LomnyakiSanare
    @LomnyakiSanare 4 месяца назад +2

    Huyu ndo anaomba mdahalo kweli?????puu mbaka!!!!!!!!!

  • @anjelomsafi7133
    @anjelomsafi7133 3 месяца назад +1

    DAHHHH YANI MTU KAJIELEZEZA MATATIZI YAKE YAKE LAKINI KAPUUZIWA KESI IMEISHA JUU JUU APO ANGEKUWA MAGU KESI INGEISHA MBELE Y WANANCHII😢😢

    • @shamsuddin4582
      @shamsuddin4582 3 месяца назад

      Huyu ni vilee hana power, angekuwa rais ungeona

  • @user-kz5pw2sl6i
    @user-kz5pw2sl6i 3 месяца назад +1

    Hii tatizo

  • @ValerioKiputa-be6vt
    @ValerioKiputa-be6vt 3 месяца назад +2

    Mshenzi tu

  • @EastAfricanFreemason
    @EastAfricanFreemason 3 месяца назад

    😮😮😮

  • @crispinankya3843
    @crispinankya3843 3 месяца назад +2

    Kazi ya Public transport ni serikali.

    • @stellamsokwa6785
      @stellamsokwa6785 3 месяца назад

      Usipoenda na upepo utachelewa kufika... Be flexible kikubwa mambo yaende🚶

  • @cheedyboy
    @cheedyboy 2 месяца назад

    Jamani...viongozi...tendeni...haki...kwa...wananchi...wenu..

  • @priscasway3492
    @priscasway3492 3 месяца назад +1

    Jamani wanabambikiza watu bili

  • @samniza1763
    @samniza1763 4 месяца назад +2

    Ovyo!

  • @mbarakajummadindamadinda491
    @mbarakajummadindamadinda491 3 месяца назад +2

    Mungu futa liccm

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 4 месяца назад +9

    Sisisem nchi imewashinda kila konamalalamiko achieni ngazi

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 4 месяца назад

      Kwel kabisa

    • @user-uh9xg1pn6i
      @user-uh9xg1pn6i 4 месяца назад

      Unadhani wataachia kwa hiki ki sms chako ..em be serious mkiambiwa tuandamaneni kudai haki zetu uko zako busy na utafutajiii

    • @user-hd5bg8qw1b
      @user-hd5bg8qw1b 3 месяца назад

      KWA TAARIFA YAKO UNAEMFIKIRIA KUSHIKA NCHI ZAIDI YA CCM HAJAZALIWA BADO HAWA WENGINE WOTE VYAMA VYOTE NI WAPIGAJI TU HIVYO BORA NA CCM.

    • @mbarakajummadindamadinda491
      @mbarakajummadindamadinda491 3 месяца назад

      Mungu futa liccm

    • @adamdango
      @adamdango 3 месяца назад

      Mbinguni tu ndio hakuna malalamiko. Kazi ya CCM ndio maana unasikia boda boda wanaongelea millioni 400 na millioni 120. Hiyo ndio kazi ya CCM.

  • @bagengift3488
    @bagengift3488 3 месяца назад +2

    Kosa kubwa ni kumpa Mchaga au Mmeru MiC 😅

  • @sekelambena6751
    @sekelambena6751 3 месяца назад +1

    Makonda mbona hutatui tatizo la umeme

  • @mathewmambeta2962
    @mathewmambeta2962 4 месяца назад +4

    Makonda bado uwezo mdogo. Sana. Bora ally happi. Yupo vizuri Mara 100

    • @Boaz22
      @Boaz22 4 месяца назад

      Ally hapi ana skendo ya kufira mashoga, kwani hujamsikia yule shoga dayon aliehojiwa na mange kimambi? Ally hapi hawez kua kiongoz tena, ana skendo mbaya sana

    • @salmaalimusa6809
      @salmaalimusa6809 4 месяца назад

      ​@@Boaz22😢😢😢

    • @user-ge3cg4ct9z
      @user-ge3cg4ct9z 3 месяца назад

      Mtie moyo hata kwakidogo

  • @jumamagoma1743
    @jumamagoma1743 4 месяца назад +6

    Maigizo.a.k.a
    Futuhi.

  • @user-xv2qu5nr4r
    @user-xv2qu5nr4r 3 месяца назад

    This Is Honorable Magufuli Style Copying and Pasting...

  • @azizially557
    @azizially557 4 месяца назад +4

    Sisi tunataka katiba mpya tume huru ya uchaguzi ndo mjue ccm ni chama Cha maigizo miaka 64 ya uhuru umeme hauna uhakika

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 4 месяца назад

      Kwel kabisa wiki mtupu mpaka sasahivi umeme nishida

  • @user-sn7dw2vt3c
    @user-sn7dw2vt3c 3 месяца назад +2

    Sukari kg 5000

  • @Moosamly
    @Moosamly 4 месяца назад +3

    MAKONDA umevaa CHENI shingoni 🤣😁🤣

  • @user-tx1yb3my3m
    @user-tx1yb3my3m 4 месяца назад +2

    Of course 😊 ninapenda utatuzi wa kero hizi Sasa mm kinacho nifikirisha kwann Hawa watu uwa wapo tu apo kwambele kwann asiwe Ana chukuwa nawatu kutoka nyuma kabisa

  • @EphraimWekesa-je7gy
    @EphraimWekesa-je7gy 3 месяца назад

    Ruto anajua kizungu pamoja na Kagame

  • @Prax1
    @Prax1 3 месяца назад +1

    Makonda ni mwigizaji

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 4 месяца назад +2

    Kodi za rtr na zingine ziondolewa kila mtu awe huru kama ilivyo Uganda kwa mzee mseveni

  • @user-oy5dz5xl8s
    @user-oy5dz5xl8s 4 месяца назад +1

    Mifumo unayoendelea ni ya kugandamizana tuu

  • @xembogasd1725
    @xembogasd1725 3 месяца назад +1

    Siasa bwana.

  • @nunumrisho6548
    @nunumrisho6548 4 месяца назад +1

    Wewe Hakim?

  • @Husseink5
    @Husseink5 3 месяца назад

    Ccm wanaakili sana unadhani kwenye uenezi wangemuacha yule mama kuelekea uchaguzi mkuu wangepoteza sana wamemleta makonda asafishe njia kuelekea 2025

  • @daudysanga8492
    @daudysanga8492 4 месяца назад +1

    Kwaiyo boda nabajaji ndio ajira kwa vijana

  • @meshackyudi9487
    @meshackyudi9487 3 месяца назад

    Hivi huyu Makonda ana cheo gani serikalini? Sasa katibu mwenezi wa chama ndo wa kuwaendesha viongozi wa serikali?

  • @chandengao8795
    @chandengao8795 2 месяца назад

    Makonda hilokoti halimfai anachafua chama yaan nyie wazee ccm kamshauri nani mwenyekiti wenu

  • @jacobdaniel6442
    @jacobdaniel6442 3 месяца назад

    Arusha usajiri bado sana aseeee hasa Lemara duh tunateseka kama watumwa,,,, vituo havieleweki mara samunge,,,, mara posta,,, mara rushda kaaaaaah kama vip Bora zifutwe tu

  • @RestMkinga-wg1wr
    @RestMkinga-wg1wr 4 месяца назад

    Mm ninayo kero kubwa sana kuhusu wananchi kuzungushwa malipo ya aridhi lakini naomba kuitoa kwako na si mbele ya watu wengi nifanyaje mh maana mpk sasa kuna wananchi wameshafariki na haki zao hawajapewa naomba sana

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 4 месяца назад +1

    Makonda Shule hakuna 😂😂😂

    • @abdallahjuma5475
      @abdallahjuma5475 4 месяца назад

      Shule sio uongozi kaka wapo wenye elimu kubwa ila uongozi hawauwezi

  • @Ms05195
    @Ms05195 3 месяца назад

    Kijana unafaa kuwa mtu muhimu sana kwenye serikali yetu agalau mkuu wa wilaya

    • @saloomidd1084
      @saloomidd1084 3 месяца назад

      Amefafanua kwa uweledi wa hali ya juu

  • @sarahweston2708
    @sarahweston2708 3 месяца назад

    Huyu mwananchi alimpania makonda ha ha ha ha,,ataumbuka makonda akiwa rais daaaa

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 4 месяца назад +1

    Acheni kusukasuka mnakuwa maombi Sasa.

  • @hssanrubota3891
    @hssanrubota3891 4 месяца назад +1

    Haya maigizo hatuyataki tunataka maendeleo halisi tengenezeni viwanda muwezeshe wakulima pamoja na kutafuta masoko ya uhakika ndio suluhisho la ajira siyo bodaboda siyo kuleta maigizo na mkumbuke kila mnavyozalisha wananchi wasiokua na ajila ndoo mnavyozalisha mnatengeneza bomu litalolipua nchi mjitafakali mapema

  • @sophiaamnaay9726
    @sophiaamnaay9726 4 месяца назад

    Kazi ipo Hizi kero zinatoka wapi wakati tupo na chama kinachofuata haki. Mbona kero nyingi mno. Huku ni kupotezeana muda muda. JIBU LAKE NI KATIBA MPYA TU

  • @ElisonguoShayo-hb2gs
    @ElisonguoShayo-hb2gs 28 дней назад

    Badala ya kutatua changamoto za wananchi kwa kuweka mifuko wanajifanya kutatulia majukwaani. Wasitufanye akili hazipo,hizo ni kampeni za mwaka 2025. Kama kweli wanataka kuibadilisha hii nchi waruhusu katiba mpya,wakomae kwenye hayo mauwekezaji makubwa kupata kodi na sio kukandamiza hawa wadogowadogo. Magufuli alikuwa safi sana. Alikomaa na watu wa madini mpaka white people wakaanza kutuheshimu

  • @kennedymalya
    @kennedymalya 4 месяца назад +1

    Bei ya màji haieleweki

  • @bonifacerobert2960
    @bonifacerobert2960 3 месяца назад

    Makonda unajipa madaraka isiyo nayo. Shauri yako!

  • @user-xz8xt9bd5h
    @user-xz8xt9bd5h 3 месяца назад

    Nand

  • @bazillawerism2581
    @bazillawerism2581 3 месяца назад

    Nchi imewashinda, na sijwahi kuifagilia tu ccm

  • @lyrics_forum
    @lyrics_forum 3 месяца назад +13

    Tatizo Makonda Una Act kama Rais au Kiongozi Mwenye Ngazi nyuma ya Rais wakati wewe ni Katibu Mwenezi tu.. Wakati Mwingine mihemko yako Angalia isikugharimu, naona kama Unajaribu Kuiga Moyo wa Magufuli unasahau yule alikuwa Rais sio Katibu Mwenezi wa Chama cha Matapeli.

    • @Lodrickmwambene
      @Lodrickmwambene 3 месяца назад +2

      Nyie ccm wajanja sana kura zipo kwa wananchi Wewe unadhani kaamuwa tu kufanya hivyo nchi ni ya ccm na itaendelea kuwa hivyo vizazi vizazi

    • @IdrisaAbdallah-pf4mw
      @IdrisaAbdallah-pf4mw 3 месяца назад +1

      Upo sahihi kabisa yn nashangaa sana

    • @jeanmusamba8448
      @jeanmusamba8448 3 месяца назад +1

      ni muenezi ana haki zote ndo anashikilia chama na ni wajibu wachama kutatua matatizo ili raisi na serikali waendelee kuwepo,bila ccm Samia atakuwa rais?yuko sawa,sio katibu mwenezi tu,sio cheo kidogo hivyo unavyo dhani,practically ni mkuu sana na hayo ni sawa

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 3 месяца назад +1

      Watu hawajitambui hii kaz sio ya rais mbona atachoka sasa kaz ya mwenez ndio hii kujua shida za wananchi wake ili chama chake kiendelee kukaa madarakan.sasa afanye raisi ki vip mbona hata jpm alikua anasema hiz kaz unatakaje wafanye wasaidiz wangu .nyie nao na chuki zenu kwà makonda hazisaidii ameshakubalika hata mkimchukia haisaidii

    • @estermathias8354
      @estermathias8354 3 месяца назад +2

      Watu hawajitambui hii kaz sio ya rais mbona atachoka sasa kaz ya mwenez ndio hii kujua shida za wananchi wake ili chama chake kiendelee kukaa madarakan.sasa afanye raisi ki vip mbona hata jpm alikua anasema hiz kaz unatakaje wafanye wasaidiz wangu .nyie nao na chuki zenu kwà makonda hazisaidii ameshakubalika hata mkimchukia haisaidii

  • @user-wi5wj2yh5m
    @user-wi5wj2yh5m 4 месяца назад +1

    Huyu makonda ni kiongozi wa wizara gani na nyie wananchi mnamuuliza awasaidie nini

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 4 месяца назад

      Wapumbavu hawa na ndio waliwao wanatia aibu kabisa

  • @mfebricknkuna7106
    @mfebricknkuna7106 4 месяца назад +12

    Ni aibu kwa n'nchi iliyopata uhuru miaka zaidi 60 na kushindwa kutoa ajira kwa vijana wake. Boda'boda ni kazi hatari sana, na inatuletea vilema vingi siku zijazo.

    • @othmanjumankwabi4150
      @othmanjumankwabi4150 4 месяца назад +2

      Serikali inatengeneza mazingira bora miundombinu ili tujiajiri.HAKUNA SERIKALI INAYO TOA AJIRA

    • @othmanjumankwabi4150
      @othmanjumankwabi4150 4 месяца назад +3

      SERIKALI HAIWEZI KUAJIRI KILA KIJANA

    • @mwlpierre
      @mwlpierre 4 месяца назад

      @@othmanjumankwabi4150peekaboo ujinga wako uko mshamba wewe

    • @ebenezerchurchsupremetv9490
      @ebenezerchurchsupremetv9490 4 месяца назад

      Watu wote muajiriwe😅😅😅 Iko nchi gani umewahi kuona hilo 😂😂😂

    • @gidionkadaraja1403
      @gidionkadaraja1403 4 месяца назад

      Tumia akil wew serkal haiwwz ajir watu wote

  • @user-cp1pu4ev8h
    @user-cp1pu4ev8h 29 дней назад

    Kama kweli makonda wewe ni mtetezi waokoe wamasai sio unapigapiga kelele arusha arusha kumbe unacheza karata tátu na ccm wenzako komaa na wamasai vinginevyo ni msanii

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 4 месяца назад +2

    ASANTE SANA MAMA SAMIA KWAKUMCHAGUA MAKONDA. ANAFAA SANA KUWA KIONGOZI. ALIUNYOOSHA SANA MKOA WA DAR. PALE ALIPOKUWA MKUU MKOA

  • @victorsabuni6801
    @victorsabuni6801 4 месяца назад +1

    Ukweli hilotatizo kwangulipo maji wamekata mweziwakuminamoja January unaletewa.bil ya sh,280,000 namajihayatoki ukienda ofisinikwao majibuyao hayarizishi unaambiwa lazima ulipe deni kwamisingi ipi huu niwizi nauonevu

    • @feezdidthis2220
      @feezdidthis2220 3 месяца назад

      Hahaha nyinyi tunawajua, lipa bili urudishiwe maji.. Tena mnavyopendwa kama una nia ya kulipa ukienda ofisi za dawasa utaundiwa mpk mkataba wa kulipa na utaambiwa ulipe kiasi kidogo kwanza ili maji yarudishwe.. Sasa ww unalalamika kwa makonda 🤣

  • @masubukopita7201
    @masubukopita7201 3 месяца назад

    Makonda ananguvu Kama raisi duuh hii nchi yetu ccm itatuuq

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 3 месяца назад

    Tulishasema kuwa huyu ni kitandawili sheria huuma kote ktk huu mkutano wa hazara siasa ngumu sana Sasa kwani unawachonganisha wananchi na viongozi wao km wewe huna uwezo wa kuatatua makufuli ni makufuli tuu atabaki kuwa hivyo hivyo

  • @user-up2kg1wm9p
    @user-up2kg1wm9p 3 месяца назад

    Jamani bajaji ni kama daladala wacheni wafanyekazi vijana

  • @apostleagnes5769
    @apostleagnes5769 3 месяца назад +2

    Makonda keep up

  • @brianleshamta183
    @brianleshamta183 3 месяца назад

    Arusha ni Kenya kwani wanasumbua

  • @brendazayumba235
    @brendazayumba235 3 месяца назад

    Kuhusu kumbmbikiziwa kw bill ni ukeli mtupu no likage bill inakuja 100000 familia ya watu wanne tukiondoka asbh kuonana usiku

  • @myself4128
    @myself4128 3 месяца назад

    HII NI KAMPENI YA 2025 KUIPA KIKI CCM SABABU WASHATUONA VILAZA TUNASAHAU MAPEMA....SHIDA ZA WANANCHI HAZISIKILIZWI JUKWAANI NI UPUUZI MTUPU NA KUDHALILISHA WATU

  • @jamesisdore9071
    @jamesisdore9071 3 месяца назад

    Katibu wa bodaboda ameonesha namna gani Makonda ni kilaza

  • @adamdango
    @adamdango 3 месяца назад

    Bodaboda wanaongelea millioni 400 jumlisha milkioni 120.
    Utakaa

  • @charlesmoshi6581
    @charlesmoshi6581 4 месяца назад

    Makonda hayo matatizo binafsi huyawezi ongelea mambo ya kitaifa kama Sukari bei juu umeme kukatika na mengine mingi

  • @zezenuvel7612
    @zezenuvel7612 3 месяца назад

    Ati mwamfulani:kwahivyo una mdai mbugu
    Sisi wanyonge:ahaha simdai namuomba. Lol😢

  • @user-cz3gk2op9r
    @user-cz3gk2op9r Месяц назад

    Kumbe si hizi katibu mwenezi wa chama anafanya komedi kiasi ichi ?? Uchizi kweli

  • @songombingo108
    @songombingo108 4 месяца назад +1

    Haya MAIGIZO ni shida sana. Yaani Bashite ndo Leo anatatua matatizo??? 😂😂Nchi ngumu sana hii

  • @dedanmwasongwe6324
    @dedanmwasongwe6324 3 месяца назад

    Njoo kyela tumedhulumiwa hela za kakao na mkuu mkoa wa mbeya

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso2424 3 месяца назад

    Makonda huyo kijana wa boda boda ana akili sana kukuzidi wewe unatakiwe uwe unatembea na mwanasheria utskuja kuabishwa