Mtu utamjuwa kama ni mzuri akianza kazi maana wakati wakuomba kazi lazima awe mwema na hawa wenyesiasa usiwaamini sana wakati huu uwaamini wakishi chaguliwa ukiwaona wakitimiza yale waliokua wanayasema
@@mallowmduhu4933KWA chama chake sio kwa Taifa na itikadi tofauti ndio maana hata sikukuu ya kuzaliwa ccm haipo ki Taifa kwa watu wote Bali ipo ki ccm tu Wala sio kiserikali japo ccm ndio tawala
UJINGA NI HUU HUU, WE MAKONDA NI TAIRA KAMA HUYO BIBI YAKO SAMIA, MNAFIKIRI MTAENDELEA KUWADANGANYA WATANZANIA, TUMEWACHOKA NA USHUZI WENU MNAOUFANYA NA KODI NA MALI ASILI ZA WANANCHI
Hivi haya maigizo yanayofanywa kipindi hichi kabla ya uchaguzi ,yangefanywa kila mwaka mara moja tuu na wangeunda kamati nchi nzima ya kushughulikia kero na madai ya wananchi na wangezishughulikia ingependeza sana.
Nchi yetu haitaki mtu mwenye maamuzi magumu maana hata aliyepita alikuwa na mambo zaidi ya mazuri lakini mwisho wa siku alionekana ana mambo ya kinyama baadae watu wanaanza kumkumbuka wakati ameshatangulia mbele ya haki. Sisi ni watu wa kulalamika tu hatuna jema
Kwaza tunakushukulu mamaetu kipezi samia. Kutuletea makonda ushauli kwa viongo ivoizikero za. Muwemnaweka kila mwaka mwezi wa 12. Mnawasikiluza shidazoa sio adi kampeni za uchaguzi samahani kama nimewakera🙏🙏
Hii migogoro inatakiwa itatuliwe KISERIKARI na wala sio KICHAMA watanzania tusiwe mazwazwa... yaan mnakaa na kumsikiliza mtu aliyevaa nguo ya chama si UJINGA HUOO..!! Mambo ya chama yanamalizwa kichama ndani ya chama.. Shituken nyinyi.. msipelekwe pelekwe tu
Ally hapi ana skendo ya kufira mashoga, kwani hujamsikia yule shoga dayon aliehojiwa na mange kimambi? Ally hapi hawez kua kiongoz tena, ana skendo mbaya sana
Of course 😊 ninapenda utatuzi wa kero hizi Sasa mm kinacho nifikirisha kwann Hawa watu uwa wapo tu apo kwambele kwann asiwe Ana chukuwa nawatu kutoka nyuma kabisa
Arusha usajiri bado sana aseeee hasa Lemara duh tunateseka kama watumwa,,,, vituo havieleweki mara samunge,,,, mara posta,,, mara rushda kaaaaaah kama vip Bora zifutwe tu
Mm ninayo kero kubwa sana kuhusu wananchi kuzungushwa malipo ya aridhi lakini naomba kuitoa kwako na si mbele ya watu wengi nifanyaje mh maana mpk sasa kuna wananchi wameshafariki na haki zao hawajapewa naomba sana
Haya maigizo hatuyataki tunataka maendeleo halisi tengenezeni viwanda muwezeshe wakulima pamoja na kutafuta masoko ya uhakika ndio suluhisho la ajira siyo bodaboda siyo kuleta maigizo na mkumbuke kila mnavyozalisha wananchi wasiokua na ajila ndoo mnavyozalisha mnatengeneza bomu litalolipua nchi mjitafakali mapema
Kazi ipo Hizi kero zinatoka wapi wakati tupo na chama kinachofuata haki. Mbona kero nyingi mno. Huku ni kupotezeana muda muda. JIBU LAKE NI KATIBA MPYA TU
Badala ya kutatua changamoto za wananchi kwa kuweka mifuko wanajifanya kutatulia majukwaani. Wasitufanye akili hazipo,hizo ni kampeni za mwaka 2025. Kama kweli wanataka kuibadilisha hii nchi waruhusu katiba mpya,wakomae kwenye hayo mauwekezaji makubwa kupata kodi na sio kukandamiza hawa wadogowadogo. Magufuli alikuwa safi sana. Alikomaa na watu wa madini mpaka white people wakaanza kutuheshimu
Tatizo Makonda Una Act kama Rais au Kiongozi Mwenye Ngazi nyuma ya Rais wakati wewe ni Katibu Mwenezi tu.. Wakati Mwingine mihemko yako Angalia isikugharimu, naona kama Unajaribu Kuiga Moyo wa Magufuli unasahau yule alikuwa Rais sio Katibu Mwenezi wa Chama cha Matapeli.
ni muenezi ana haki zote ndo anashikilia chama na ni wajibu wachama kutatua matatizo ili raisi na serikali waendelee kuwepo,bila ccm Samia atakuwa rais?yuko sawa,sio katibu mwenezi tu,sio cheo kidogo hivyo unavyo dhani,practically ni mkuu sana na hayo ni sawa
Watu hawajitambui hii kaz sio ya rais mbona atachoka sasa kaz ya mwenez ndio hii kujua shida za wananchi wake ili chama chake kiendelee kukaa madarakan.sasa afanye raisi ki vip mbona hata jpm alikua anasema hiz kaz unatakaje wafanye wasaidiz wangu .nyie nao na chuki zenu kwà makonda hazisaidii ameshakubalika hata mkimchukia haisaidii
Watu hawajitambui hii kaz sio ya rais mbona atachoka sasa kaz ya mwenez ndio hii kujua shida za wananchi wake ili chama chake kiendelee kukaa madarakan.sasa afanye raisi ki vip mbona hata jpm alikua anasema hiz kaz unatakaje wafanye wasaidiz wangu .nyie nao na chuki zenu kwà makonda hazisaidii ameshakubalika hata mkimchukia haisaidii
Ni aibu kwa n'nchi iliyopata uhuru miaka zaidi 60 na kushindwa kutoa ajira kwa vijana wake. Boda'boda ni kazi hatari sana, na inatuletea vilema vingi siku zijazo.
Hahaha nyinyi tunawajua, lipa bili urudishiwe maji.. Tena mnavyopendwa kama una nia ya kulipa ukienda ofisi za dawasa utaundiwa mpk mkataba wa kulipa na utaambiwa ulipe kiasi kidogo kwanza ili maji yarudishwe.. Sasa ww unalalamika kwa makonda 🤣
Tulishasema kuwa huyu ni kitandawili sheria huuma kote ktk huu mkutano wa hazara siasa ngumu sana Sasa kwani unawachonganisha wananchi na viongozi wao km wewe huna uwezo wa kuatatua makufuli ni makufuli tuu atabaki kuwa hivyo hivyo
HII NI KAMPENI YA 2025 KUIPA KIKI CCM SABABU WASHATUONA VILAZA TUNASAHAU MAPEMA....SHIDA ZA WANANCHI HAZISIKILIZWI JUKWAANI NI UPUUZI MTUPU NA KUDHALILISHA WATU
Brother Makonda yupo vizuri... Sijawai kuona effort za namna hii
hana lolote unafiki tu anatak kujifanya JP;na hii sio kasi yake
Mtu utamjuwa kama ni mzuri akianza kazi maana wakati wakuomba kazi lazima awe mwema na hawa wenyesiasa usiwaamini sana wakati huu uwaamini wakishi chaguliwa ukiwaona wakitimiza yale waliokua wanayasema
Nakuelewa vizur mh. Makonda
Hii ndio maana ya kusomea unachokiamini hapo makonda ume qualify kuwa nwenezi kweli kweli ❤
Makonda upo vzr sana
Hii kazi ya Makonda mimi naitafsi kama ni kampeni za kuelekea uchaguzi mkuu 2025.
Upo sahih hakika si uongo ni kwl kbx
😂😂😂😂 unajicho kama mm
Uko sahihi kabisa
Umeshtuka kama mimi😅
100%
Fanya kazi baba mama tunakupnda kwa kumchanguwa huyu mtu ktk maisha yetu na mungu awasimamie kila iitwayo leo na family zenu
Ila makonda namuona magufuli kabisa ,p
Hii nchi imewashinda
Hii si kazi ya katibu mwenezi kwenye mkutano wa hadhara.
Hujasoma sheria bora ukasome uongozi
Katumwa huyo unafikiri anaanza tu shauri yako
Mwenezi ni moja ya majukumu yake, huyo ndiye mtunga sera na msimamizi wa sera hivyo anachokifanya wala hakuna kosa😂😂😂
@@mallowmduhu4933KWA chama chake sio kwa Taifa na itikadi tofauti ndio maana hata sikukuu ya kuzaliwa ccm haipo ki Taifa kwa watu wote Bali ipo ki ccm tu Wala sio kiserikali japo ccm ndio tawala
Unafikiria kazi yake ni nini ? Yeye ndio anafuatilia kama iILANI ya chama inafuatwa.....sasa ulifikir nini kazi yake ...?
Wewe Ndio ulewi kazi yake
Mwandishi, kichwa cha. habari tofauti na maelezo.
Yani huyu muandishi ovyo kbsa
Mwandishi ni mchonganishi
Watu wa wanajibu tu bila kusikiliza
@@user-fw3db3om1sclick bait 😂yani kichwa cha habari ni chambo, lazima unase😅
Anazingua huyu
Tumshukuruh Allaah na mama Sameeha kumletaa makonda kuwatatuliyaaa shidaa zenuuu nendeeeni naeee poleee poleee. Walowekwaaa ndio wenyeee shidaaa kuwaendeshaaaa mbio maraiyaaaaa kuweniii na subrah mutatuliweeee shidaa zenuuuu Allaah na nyiyeee kWa ummojaaaaaaa. Wenuuuu.
Makonda Hana uwezo kutatua matatizo yaliyosababishwa na serikali yake, huu ni usanii tu.
@@danstanmushobozi-bu7ru kweli kabisa, yaani wanataraji bashite awatatulie shida zao, kituko!
@@danstanmushobozi-bu7ruAlimaliza USHOGA NA SASA ATAWAMALIZA MAJIZI YOTE 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🥳
@@danstanmushobozi-bu7ru unàjua kuna wajinga hawaelewi kama hapa ni siasa tuuu😂
@@jesaminzokabisaa
Watanzania mnapigwa hakuna mambo ya maana hapo wanapiga kampeni ccm imechoka kuongoza nchi
Ivi kweli hii nchi tumekubali bodaboda ndio kazi ya msingi kweli na nchi yenye neema yote hii na utajiri
Unataka tufanye nn ss
Aibu kubwa
Tatizo ni kutawaliwa na chama hicho kwa hicho na fikra finyu za Viongozi kama Makonda. Fikra mbadala ni lazima.
inawezekana kipato cha bodaboda wew ukifikii mpka unakufa wew
UNAFANYA KAZI GANI. WEWE AMBAYO. NAMZIDI BODA BODA
kuna vile sijaelewa huu mzunguko wa makonda kwa gharama za serikali .ukisikia kero za wananchi ndio mbinu ya kutafuta kuura?
Uhondo Tv Mwe ni mbwaaaaaaaaaaaaa😢 kichwa cha habari sio yaliomo
Mwenezi wa chama hii ni kazi yako kweli!!!
Siyo kazi yake!
Makifuli," haaa ,nani atafikia Ile hekima ya hayati Makifuli ?nonono,you are trying but aujamfikia , keep it up and more effort.
kampeni anasafisha njia mama akija asitumie nguvu nying
Makifuli ni nani
UJINGA NI HUU HUU, WE MAKONDA NI TAIRA KAMA HUYO BIBI YAKO SAMIA, MNAFIKIRI MTAENDELEA KUWADANGANYA WATANZANIA, TUMEWACHOKA NA USHUZI WENU MNAOUFANYA NA KODI NA MALI ASILI ZA WANANCHI
acha zako makonda sio taila atatua kero za waninchi
Umechomaaaaa😂😂😂 Ushuzii....punguza ukal wa maneno kdogooo........
Kazi ipo hiiiii
HAKUNA CHA MAANA ANACHOKIJIBU
Anawa enjoy wapumbavu ambao anajua wamejaa nchi hii
Vzr
Hivi haya maigizo yanayofanywa kipindi hichi kabla ya uchaguzi ,yangefanywa kila mwaka mara moja tuu na wangeunda kamati nchi nzima ya kushughulikia kero na madai ya wananchi na wangezishughulikia ingependeza sana.
Nchi yetu haitaki mtu mwenye maamuzi magumu maana hata aliyepita alikuwa na mambo zaidi ya mazuri lakini mwisho wa siku alionekana ana mambo ya kinyama baadae watu wanaanza kumkumbuka wakati ameshatangulia mbele ya haki. Sisi ni watu wa kulalamika tu hatuna jema
Tukae kimya mana tukisema Sana wanatuona tunaikosoa serikali kumbe hizi hojandio zilitakiwa kilamwishoni MWA. Mwaka wangekua wanatembelea wananchi
Makonda siyo kazi yake
Kazi ni ya baba ako choko nini acha
Sheria za Tanzania huwa zina mganganyiko...
Pumbavuuuu upuuzi tu .
Hao ulio sema wakakae waelewane. Mm ninamashaka ubabe utafanyika hapo
Ccm kama jumba la kale.jipya wakati wote na kila kizazi litatembelea jengo hilo.
Noma iyoo
boda boda ndo wanaongoza kulalamika kila siku lakin ndo hao hao wepesi kununuliwa na kutumika kisiasa
Kwaza tunakushukulu mamaetu kipezi samia. Kutuletea makonda ushauli kwa viongo ivoizikero za. Muwemnaweka kila mwaka mwezi wa 12. Mnawasikiluza shidazoa sio adi kampeni za uchaguzi samahani kama nimewakera🙏🙏
Huyu makonda watanzania mpatieni Urais..
Kwani makonda cheo chake kipo upande gan ccm au selikalini
Daa tunakupendaa sana
Hii migogoro inatakiwa itatuliwe KISERIKARI na wala sio KICHAMA watanzania tusiwe mazwazwa... yaan mnakaa na kumsikiliza mtu aliyevaa nguo ya chama si UJINGA HUOO..!! Mambo ya chama yanamalizwa kichama ndani ya chama.. Shituken nyinyi.. msipelekwe pelekwe tu
Kichwa cha habar , hakiendani na alichosema
Mmh
Huyu ndo anaomba mdahalo kweli?????puu mbaka!!!!!!!!!
DAHHHH YANI MTU KAJIELEZEZA MATATIZI YAKE YAKE LAKINI KAPUUZIWA KESI IMEISHA JUU JUU APO ANGEKUWA MAGU KESI INGEISHA MBELE Y WANANCHII😢😢
Huyu ni vilee hana power, angekuwa rais ungeona
Hii tatizo
Mshenzi tu
😮😮😮
Kazi ya Public transport ni serikali.
Usipoenda na upepo utachelewa kufika... Be flexible kikubwa mambo yaende🚶
Jamani...viongozi...tendeni...haki...kwa...wananchi...wenu..
Jamani wanabambikiza watu bili
Ovyo!
Mungu futa liccm
Sisisem nchi imewashinda kila konamalalamiko achieni ngazi
Kwel kabisa
Unadhani wataachia kwa hiki ki sms chako ..em be serious mkiambiwa tuandamaneni kudai haki zetu uko zako busy na utafutajiii
KWA TAARIFA YAKO UNAEMFIKIRIA KUSHIKA NCHI ZAIDI YA CCM HAJAZALIWA BADO HAWA WENGINE WOTE VYAMA VYOTE NI WAPIGAJI TU HIVYO BORA NA CCM.
Mungu futa liccm
Mbinguni tu ndio hakuna malalamiko. Kazi ya CCM ndio maana unasikia boda boda wanaongelea millioni 400 na millioni 120. Hiyo ndio kazi ya CCM.
Kosa kubwa ni kumpa Mchaga au Mmeru MiC 😅
Makonda mbona hutatui tatizo la umeme
Makonda bado uwezo mdogo. Sana. Bora ally happi. Yupo vizuri Mara 100
Ally hapi ana skendo ya kufira mashoga, kwani hujamsikia yule shoga dayon aliehojiwa na mange kimambi? Ally hapi hawez kua kiongoz tena, ana skendo mbaya sana
@@Boaz22😢😢😢
Mtie moyo hata kwakidogo
Maigizo.a.k.a
Futuhi.
Hhhhhhh
This Is Honorable Magufuli Style Copying and Pasting...
Sisi tunataka katiba mpya tume huru ya uchaguzi ndo mjue ccm ni chama Cha maigizo miaka 64 ya uhuru umeme hauna uhakika
Kwel kabisa wiki mtupu mpaka sasahivi umeme nishida
Sukari kg 5000
MAKONDA umevaa CHENI shingoni 🤣😁🤣
Of course 😊 ninapenda utatuzi wa kero hizi Sasa mm kinacho nifikirisha kwann Hawa watu uwa wapo tu apo kwambele kwann asiwe Ana chukuwa nawatu kutoka nyuma kabisa
😂😂😂
Ruto anajua kizungu pamoja na Kagame
Makonda ni mwigizaji
Kodi za rtr na zingine ziondolewa kila mtu awe huru kama ilivyo Uganda kwa mzee mseveni
Mifumo unayoendelea ni ya kugandamizana tuu
Siasa bwana.
Wewe Hakim?
Ccm wanaakili sana unadhani kwenye uenezi wangemuacha yule mama kuelekea uchaguzi mkuu wangepoteza sana wamemleta makonda asafishe njia kuelekea 2025
Kwaiyo boda nabajaji ndio ajira kwa vijana
Hivi huyu Makonda ana cheo gani serikalini? Sasa katibu mwenezi wa chama ndo wa kuwaendesha viongozi wa serikali?
Makonda hilokoti halimfai anachafua chama yaan nyie wazee ccm kamshauri nani mwenyekiti wenu
Arusha usajiri bado sana aseeee hasa Lemara duh tunateseka kama watumwa,,,, vituo havieleweki mara samunge,,,, mara posta,,, mara rushda kaaaaaah kama vip Bora zifutwe tu
Mm ninayo kero kubwa sana kuhusu wananchi kuzungushwa malipo ya aridhi lakini naomba kuitoa kwako na si mbele ya watu wengi nifanyaje mh maana mpk sasa kuna wananchi wameshafariki na haki zao hawajapewa naomba sana
Makonda Shule hakuna 😂😂😂
Shule sio uongozi kaka wapo wenye elimu kubwa ila uongozi hawauwezi
Kijana unafaa kuwa mtu muhimu sana kwenye serikali yetu agalau mkuu wa wilaya
Amefafanua kwa uweledi wa hali ya juu
Huyu mwananchi alimpania makonda ha ha ha ha,,ataumbuka makonda akiwa rais daaaa
Acheni kusukasuka mnakuwa maombi Sasa.
Haya maigizo hatuyataki tunataka maendeleo halisi tengenezeni viwanda muwezeshe wakulima pamoja na kutafuta masoko ya uhakika ndio suluhisho la ajira siyo bodaboda siyo kuleta maigizo na mkumbuke kila mnavyozalisha wananchi wasiokua na ajila ndoo mnavyozalisha mnatengeneza bomu litalolipua nchi mjitafakali mapema
Kazi ipo Hizi kero zinatoka wapi wakati tupo na chama kinachofuata haki. Mbona kero nyingi mno. Huku ni kupotezeana muda muda. JIBU LAKE NI KATIBA MPYA TU
Badala ya kutatua changamoto za wananchi kwa kuweka mifuko wanajifanya kutatulia majukwaani. Wasitufanye akili hazipo,hizo ni kampeni za mwaka 2025. Kama kweli wanataka kuibadilisha hii nchi waruhusu katiba mpya,wakomae kwenye hayo mauwekezaji makubwa kupata kodi na sio kukandamiza hawa wadogowadogo. Magufuli alikuwa safi sana. Alikomaa na watu wa madini mpaka white people wakaanza kutuheshimu
Bei ya màji haieleweki
Makonda unajipa madaraka isiyo nayo. Shauri yako!
Madaraka ya urithi
Nand
Nchi imewashinda, na sijwahi kuifagilia tu ccm
Tatizo Makonda Una Act kama Rais au Kiongozi Mwenye Ngazi nyuma ya Rais wakati wewe ni Katibu Mwenezi tu.. Wakati Mwingine mihemko yako Angalia isikugharimu, naona kama Unajaribu Kuiga Moyo wa Magufuli unasahau yule alikuwa Rais sio Katibu Mwenezi wa Chama cha Matapeli.
Nyie ccm wajanja sana kura zipo kwa wananchi Wewe unadhani kaamuwa tu kufanya hivyo nchi ni ya ccm na itaendelea kuwa hivyo vizazi vizazi
Upo sahihi kabisa yn nashangaa sana
ni muenezi ana haki zote ndo anashikilia chama na ni wajibu wachama kutatua matatizo ili raisi na serikali waendelee kuwepo,bila ccm Samia atakuwa rais?yuko sawa,sio katibu mwenezi tu,sio cheo kidogo hivyo unavyo dhani,practically ni mkuu sana na hayo ni sawa
Watu hawajitambui hii kaz sio ya rais mbona atachoka sasa kaz ya mwenez ndio hii kujua shida za wananchi wake ili chama chake kiendelee kukaa madarakan.sasa afanye raisi ki vip mbona hata jpm alikua anasema hiz kaz unatakaje wafanye wasaidiz wangu .nyie nao na chuki zenu kwà makonda hazisaidii ameshakubalika hata mkimchukia haisaidii
Watu hawajitambui hii kaz sio ya rais mbona atachoka sasa kaz ya mwenez ndio hii kujua shida za wananchi wake ili chama chake kiendelee kukaa madarakan.sasa afanye raisi ki vip mbona hata jpm alikua anasema hiz kaz unatakaje wafanye wasaidiz wangu .nyie nao na chuki zenu kwà makonda hazisaidii ameshakubalika hata mkimchukia haisaidii
Huyu makonda ni kiongozi wa wizara gani na nyie wananchi mnamuuliza awasaidie nini
Wapumbavu hawa na ndio waliwao wanatia aibu kabisa
Ni aibu kwa n'nchi iliyopata uhuru miaka zaidi 60 na kushindwa kutoa ajira kwa vijana wake. Boda'boda ni kazi hatari sana, na inatuletea vilema vingi siku zijazo.
Serikali inatengeneza mazingira bora miundombinu ili tujiajiri.HAKUNA SERIKALI INAYO TOA AJIRA
SERIKALI HAIWEZI KUAJIRI KILA KIJANA
@@othmanjumankwabi4150peekaboo ujinga wako uko mshamba wewe
Watu wote muajiriwe😅😅😅 Iko nchi gani umewahi kuona hilo 😂😂😂
Tumia akil wew serkal haiwwz ajir watu wote
Kama kweli makonda wewe ni mtetezi waokoe wamasai sio unapigapiga kelele arusha arusha kumbe unacheza karata tátu na ccm wenzako komaa na wamasai vinginevyo ni msanii
ASANTE SANA MAMA SAMIA KWAKUMCHAGUA MAKONDA. ANAFAA SANA KUWA KIONGOZI. ALIUNYOOSHA SANA MKOA WA DAR. PALE ALIPOKUWA MKUU MKOA
Ni mkuu wa mkoa wa wapi..
Ukweli hilotatizo kwangulipo maji wamekata mweziwakuminamoja January unaletewa.bil ya sh,280,000 namajihayatoki ukienda ofisinikwao majibuyao hayarizishi unaambiwa lazima ulipe deni kwamisingi ipi huu niwizi nauonevu
Hahaha nyinyi tunawajua, lipa bili urudishiwe maji.. Tena mnavyopendwa kama una nia ya kulipa ukienda ofisi za dawasa utaundiwa mpk mkataba wa kulipa na utaambiwa ulipe kiasi kidogo kwanza ili maji yarudishwe.. Sasa ww unalalamika kwa makonda 🤣
Makonda ananguvu Kama raisi duuh hii nchi yetu ccm itatuuq
Tulishasema kuwa huyu ni kitandawili sheria huuma kote ktk huu mkutano wa hazara siasa ngumu sana Sasa kwani unawachonganisha wananchi na viongozi wao km wewe huna uwezo wa kuatatua makufuli ni makufuli tuu atabaki kuwa hivyo hivyo
Jamani bajaji ni kama daladala wacheni wafanyekazi vijana
Makonda keep up
Arusha ni Kenya kwani wanasumbua
Kuhusu kumbmbikiziwa kw bill ni ukeli mtupu no likage bill inakuja 100000 familia ya watu wanne tukiondoka asbh kuonana usiku
HII NI KAMPENI YA 2025 KUIPA KIKI CCM SABABU WASHATUONA VILAZA TUNASAHAU MAPEMA....SHIDA ZA WANANCHI HAZISIKILIZWI JUKWAANI NI UPUUZI MTUPU NA KUDHALILISHA WATU
Katibu wa bodaboda ameonesha namna gani Makonda ni kilaza
Bodaboda wanaongelea millioni 400 jumlisha milkioni 120.
Utakaa
Makonda hayo matatizo binafsi huyawezi ongelea mambo ya kitaifa kama Sukari bei juu umeme kukatika na mengine mingi
Ati mwamfulani:kwahivyo una mdai mbugu
Sisi wanyonge:ahaha simdai namuomba. Lol😢
Kumbe si hizi katibu mwenezi wa chama anafanya komedi kiasi ichi ?? Uchizi kweli
Haya MAIGIZO ni shida sana. Yaani Bashite ndo Leo anatatua matatizo??? 😂😂Nchi ngumu sana hii
Nenda wewe
Njoo kyela tumedhulumiwa hela za kakao na mkuu mkoa wa mbeya
Makonda huyo kijana wa boda boda ana akili sana kukuzidi wewe unatakiwe uwe unatembea na mwanasheria utskuja kuabishwa