MAKONDA AMUWAKIA MKURUGENZI - ''USINIPIGE MKWARA - UNAFAA KUFUKUZWA KAZI - MLIPENI PESA ZAKE''...
HTML-код
- Опубликовано: 24 янв 2024
- MAKONDA AMUWAKIA MKURUGENZI - ''USINIPIGE MKWARA - UNAFAA KUFUKUZWA KAZI - MLIPENI PESA ZAKE''...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
Huyo so mkurugenzi hafai hao ndo wanaomuangusha mama hongera makonda kwa kazi nzuri
MAKONDA tunakupenda ❤❤
Namuombea sana mama Samia makonda aongezewe meno kama Kuna kipengele kinacho weza kumpa mamlaka mweshimiwa makonda kiwekwe ili aweze kuwatumbua papi Kwa hapo awe waziri awe mkurugez awe mkuu wa mkoa yeyote anae fanya kazi kiuzembe na mazoea wapigaji awe anawatumbua kwamakonda kama kunywa maji tu wengenyooka wale wazembe na wapigaji.
Huyo so mkurugenzi hafai hao ndo wanao rudisha maendeleo nyuma hongera makonda kwa kazi nzuri
Mueshimiwa makonda wafundishe
Alha akufanyie wepesi inshallah
Umsaidie mama yetu kipenzi
Makonda hakika unanikosha sana ,ukuu wa mkoa umekusaidia sana kuwa mzoefu wa mambo ya Halmashauri najua hakuna hawa watendaji watakudanganya
Asante sana Mama Samia Kwa kuona mbali na kumuibua Mwenezi mwenye Maono sasa Chama kipo kazini
Muheshimiwa makonda nakukubali sana ila muombe Mungu ulinzi mkubwa na mimi nakuombea katika jina la Yesu. Akili kubwa haihitajiki kwenye jamii ya wapumbavu wengi. Mengine nitaongea nikipata wakili. Nawasilisha.
🎉Makonda the great salute borother
Ukweli Wangu nafurahishwa Sana na ww makonda big up
Nilifurahi sana kuona makonda karudi tena kwa kazi anayostahiki kabisa. Watanyooka tu
Makonda mtumishi wa Mungu..msema kweli ni mpenzi wa Mungu jamani...huyu kijana ni mpambanaji....ni kiongozi
Mungu akuweke Makonda
kmbe Mwenyezi Mungu ametpatia Jpm tena.
Kabisa
Nimekupenda Bure makonda
Mama Samia tunataka viongo kama makonda,wananchi wanateseka hawaelewi wakashitak wap??
Hii ndiyo Ufuatiliaji na Tathmini ya ccm kwa utendaji wa serikali kwa wananchi
Majina yangu ya Sasa ni Paul Makonda🔥❤️
😂😂😂😂😂😂😂
Makonda namuelewaga Sana
Mungu azidi kumlinda...
Mungu akulindi makond
Makonda gombea urais baba. Nakupenda sana mtetez wa wanyonge mule mule kama baba hatari john pombe magufuri
Tunakuekewa Sana Mhe Ila Monduli umetupita hujatuskiliza Sisi kero Zetu
Tuna Changamoto Mingi Sana
Hongera sana Makonda hakika wewe ni mtetezi usie na makando kando
Makonda ni magufuli aliyefufuka
Mola akupe urais ,umrithi mama Samia
Nilisahau kuweka bondo bila sababu
toka enzi ya magufuli sasa naanza upya watumishi wazembe sana
😅😅muongo
@@shubebunyesi542kiberenge kinafagia njia treni uko nyuma😂😂😂😂😂
Makonda Mungu akulinde
Mwenezi makonda wakurugezi wengi ndivo walivo awakipendi chama hao masinichii hawatufaiii embu ondoaaaa haooooo piga kazi babaaaaa
Mungu akusimamie
Santeee baba absolutely nimependa hioo
mkuu wa mkoa nakukubali mama makonda endelea kukiwasha
Good Job brother.....we rocking with you
Makonda akigombea uraisi hatukuachiiii
❤❤❤Nakupenda kiongozi mpenda haki makonda hoyeee
Makonda for president
Mwenezi taifa halmashauri zinatupa umasikini
Wakati wa kampeni ndo mnajifanya kujipendekeza kuwwsaidia wana nchi tukiwapa kura mnasahau yote tz. 🇹🇿 Bana siasa nyingi wizi mwingiiiiiiiiii ,,, mkombozi ni ✌️✌️✌️📢
Maandamano ni haki yenu. Mngefanya na nyie mikutano kukusanya hayo matatizo ya wananchi na kuuasemea mnazani mngekosa kura. Shida mnakuja na matatizo ya familia za wachache mngesaidia kuzunguka kama huyu tuone haki za wananchi.
@@isaacmwaseba9972muda umefika kiberenge kinafagia njia 😂😂😂😂😂
Makonda you are good
The next President
safi👏👏👏👏👏
Mimi binafsi mheshimiwa makonda alipikuwa mkuu wamkoq was darsalam nilimkubali Sana,nakunwombea na nilikuwa nasema atarudi tu kwa nguvu za MUNGU,aliporudi kwakweli niliona Kama nimimi nakumshukuru MUNGU kwa Sasa picha halisi ndo inaonekana kwa watumishi was umma
Mkuu wa mkoa nakupenda sana dada angu
Mimi naitwa Paulo napenda Sana kutetea haki,namkubali Sana mheshimiwa makonda anavyotetea , wanyonge MUNGU akulinde Sana wajina wangu
In JPM's VOICE
Yan wakurugenzi kuna maisha nje ya ofisi!!
❤
Maui wa Mko Mungu skulinde
Safi sana
Makonda hoyeeeee
Mimi ni mwalimu .Makonda unanifurahisha saana Naomba namba yako ya simu
Mimi pia nafanya kazi za uzabuni lakini wakurugenzi na maafsa manunuzi wilayani na mikoani ni wasumbufu linapokuja suala la malipo
Hata mimi nafanya kazi za majengo ya serikali kwakweli wanatutesa sana tena sana kuhusu malipo ila kwakweli Mungu anawaona
Hivi wakichukua wazabuni wa nje wanawalipa au nao wanateseka hivi. Maana kila sehemu wakurugenzi ni shida
Safi sana Rc
Rc ❤❤❤❤
Siasa pole
Mh Makonda wakazie uzi hao wakurugenzi.wanazungusha watu sana.
Makonda Jembe Kweli Kweli
Kwa kweli viongozi wanajikanyaga saana.
Mm najiuliza wakuu wa mikoa na wilaya wanafanya kazi gani ..matatizo ni mengi kila kona dah 😢
Aibu sana kwa serikali
Makonda nakuelewa sana
Majizi wakurugenzi
Huyo hana kazi aondorewe
Hujampa ten percent
Jaman mmepata mkuu wa mkoa Bomba Sana. Chapa kaz mama na makonda yupo pemben yako
RC kweli una utu wa Mungu. Endelea hivyo hivyo hata vizazi vyako vitasaidiwa kwa kusema ukweli.
Inamaana jaman serikali yote huwa inafanya nn mbona haya matatizo ni meng mno?????? Upigaji ni mwingi 😢😢
Sanaa za Ccm ktk ubora wao wa kuhadaa jamiii!
Wachache wataelewa 😂😂😂😂
Kila mtu na mtazamo wake
Kwa maoni yako
@@mamachris6811kiberenge kinafagia njia kwa ufanisi wa hali ya juuu😅😅😅😅😅😅
Makondaaa raisi ajaeeeeeeee nakupenda san
Huyu ndo anafaa kuwa rais wa nchi
Makonda safi
Wakurugezi wapigaji wengi sana
Kazi hadi iwe chini ya viwango wakaguzi walikuwa wapi hadi amalize kazi ndio mje mseme iko chini ya viwango, huo ni uhuni mkubwa sana
Makonda nilikuwa naona Mb zangu zinaisha bila sababu lakini saiz sijutiiii ,Makonda na jua kali u tube ndio nnaziziangalia saiz
Lini Iringa jamaniii
Huyu mama mheshimiwa atawanyoosha vizuri TUU... sii wa mchezo mchezo😅
Makonda wanyooshe Baba
Mmpaka rahaa kwakwelii
KWA UHAKIKA MI MKENYA ILA MAKONDA ANANIKOSHA KULIKO MUNAVODHANIA YAANI KIDUME HICHOO MAKONDA MUNGU AKUHIFADHI SANA
Amiin
hata kwetu wapoooo
Mkurugenzi afukunze tu,
Kwel kabisaa
Jamani viongozi mbona mnafanyia hivyo watoto wa sisi wenzenu mnataka wawe wezi?
Ila wasukuma😅😅😅😅
Kwa hili Makonda na kuunga mkono Mia kwa Mia maana Kuna viongozi kadhaa katika Ofisi za Serikali yetu huwa wanajigeuza Miungu watu
Nakukubal muenez fanya kaz kijana
Daaah kazi za serekali pita nazo mbaliii utalia machozii
Another JPM in Makonda's body
Makoda wakibizee hawakujui
Weka ndan hao
Duh eemuumba tusaidie yani tumerudishwa enzizile za kutengeneza migogoro nakuisov ionekane tunawajibika.ila sawatu yotemaisha
Sasa kama ipo sashihi kwa wakati ule mbona hukumlipa kwa wakati ule? Wewe mkurugenzi wewe mungu anakuona
Hizo pesa zimeliwa na hawataki kumlipa kwa kisingizio.
Hapo muenezi ndio ninapokukubali hao viongozi wa style hiyo wako wengi, sana roho mbaya chuki n.k ila wanyooshe maana wamelala sana
DED HANANG POLE.
Watu wanazungushwa ili waeleweke.
Wakurugenzi wanajionaga miungu
Kweli ni mateso😮😮
Kweli kabisaa kila mahali madhaifu rushwa kwa wingi wanainchi wanatezeza
@@rosetreffert4179 kweli kabisaaaaaaaaaaaaaa.. Kazi hakuna ..mtu akipata kazi anageuka tena kuhujumu Wananchi masikini tena!!!!!?
Sio wakurugenzi wote! Tanga Jiji tuna mkurugenzi msikivu sana na anajali sana wananchi
Malinda anafaa sasa kuwa kiongozi katulia
Huyo Mkurugenzi ni mjinga Mwenezi Tumbua kabisa
Kaongea fact
Kwakweli huyo kawanyima rushwa ndo mana danadana ukute hapo mchawi ata mili 1 ikitolewa analipwa
Makonda kwa hapo umenena
Rushwa tu hapo
HAWA WATU WALITAKIWA WASIMAMIWE NA SHERIA 15/1984. IBARA YA 12. MAKONDA AMEONA AISAIDIE HYO SHERIA