HONGERA SANA MH. MAKONDA.... YOU ARE THE REAL LEDER INDEED..... Mungu azidi kukubariki maishani na pia akulinde kwa kila jema unalolifanya....#UBARIKIWE SAAAAANA
Yani huyu mzee angekubali kutudixha pesa milioni 30 akakubali kumuachia huyu wa milioni 26 haya yote asingemtokea 😅😅😅Ona Sasa kajichongea eti mkataba umeguxhiwa 😅so 😅 Mh Makonda oyeeee piga kazi Mwamba wetu 💪💪💪💪💪 Asante makonda kazi nzuri Mungu akubariki, akusimamie kila hatua Dua
Duh jamani Bongo kuna watu wauni aisee Yaani mzee mzima hovyo kabisa. But mi sio shabiki sana wa MAKONDA ila kWa uamuzi huu bro Mungu akupe maisha Marefu .
Angekuwa Waziri hapo Slaa hapo angemnyahanya mnunuzi maana yeye haangalii haki ya aliyeuziwa anaangalia mmiliki akikanusha kuuza anarudisha umiliki Kwa mmiliki.
MAKONDA angekuwa mwenyekiti wa wakuu wa mikoa
Kabisa!
Kabisa💪
@@othmanshahib1115❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂😢🎉🎉😢🎉❤🎉😢😢😢
Kabisaaaaa❤🎉
😅😅😅😅😅
MAKONDA nakuombea sana Mungu akupe hekima na maisha marefu
Makonda anapendwa sanaaaa kwa kazi yake nzuri namuombea kwa Mungu awe Rais baada ya Mama Samia akimaliza 2030
Hao ndio matapeli
Kweli kabisa
@@emmanuelmlowe-ew7gxtulia wewee
Mama 2025
Mwizi huyooo
Hapo ndipo ninapokupendea MH. MAKONDA.👍👍👍
Duh makonda ww unaweza, nimesikia ukisema tia ndani huyu
Hahahah nchi hii kuna vituko kweli! Kesi nyepesi kama hiyo ukijiroga kwenda mahakamani kesi miaka kumi! Makonda asanteh!
Umeongea neno
Mahakama sio
Kumi michache Yan inaeeza fka hata 20😂😂
😂😂😂😂
1:33 1:54 2:05 2:06 2:13
Makonda mungu akubariki sana sana
Mungu akupe maisha marefu sana Mr. Paulo Makonda!!!!
Mungu akulinde mh makonda. Na usirudi nyuma kwa msimamo wako
HONGERA SANA MH. MAKONDA.... YOU ARE THE REAL LEDER INDEED..... Mungu azidi kukubariki maishani na pia akulinde kwa kila jema unalolifanya....#UBARIKIWE SAAAAANA
Hongera!👏👏👏👏👏 uko vzuri Chapa kazi usiogope mtu Allah atakusimamia🤲🤲🤲🤲🤲 uyo asitoke ushaidi umejitoshereza ivi kwa mtindo huo tutafika kweri😂😂😂😂😂😂
Mh:Makonda hakuna mshahara wakukutosha ! Kazi yako ipate kibali machoni pa Mungu! Maombi yng ni Mungu akupe afya nzuri na maisha marefu sana,
Safi Sana rc
DAA HUYU JAMAA HODARI SANA MASHAALLAH UONGOZI ANA UWEZA
Daaaaah Makonda weee Mungu akuweke
Kazi nzuri sana
Mzee analundikwa ndani kizembe kabisa. Nonsense
CCM,wakuu WA Wilaya na Mikoa wafuate nyayo
Umetumia hekima kubwa sana kuamua hii kesi!! Uzidi Kubarikiwa Mhe!
Huyo mzee mchagga kaja kutafuta pesa😂😂😂😂😂
Daaaaah,,,Magufuri mwingine huyu jamani mungu ametuletea watanzania
Safi kabisa makonda kwa kazi nzuri
Safi sana
Wazee wa Arusha wapigaji sana
Safi sana mheshimiwa...
Safi sana tia ndani huyo
Mwenzake alikuamini akakupa hela yake. We mzee utafia jela
Makonda anawezaaaa!!! Proud of you Brother
👑 makonda piga kaz mkuu
Makonda piga kazi
Sijawahi kuona mtu mzee mjinga kama huyo maishani mwangu, big up makonda
Yani huyu mzee angekubali kutudixha pesa milioni 30 akakubali kumuachia huyu wa milioni 26 haya yote asingemtokea 😅😅😅Ona Sasa kajichongea eti mkataba umeguxhiwa 😅so 😅 Mh Makonda oyeeee piga kazi Mwamba wetu 💪💪💪💪💪 Asante makonda kazi nzuri Mungu akubariki, akusimamie kila hatua Dua
wachaga shkamoo offcose mi ni mchaga yaani siwezi kununua Mali au ardhi kwa kabila lijulikanalo kama wachaga
Ee makonda mungu akupe uhai mrefu kwa kuwatetea watanzania
Shilamoo makonda,wewe ni kiongozi kabisaaa
Mungu akuweke mkuu una Hekima flani za Mfalme Suleman utafika mbali sana
Safi sana Makonda huyo mzee ni mwizi
Hii ndo Arusha 😂😂😂😂
Makonda don't worry for anything God will be with.you,for everything. We are back with you.haki huinua Taifa ball dhambi ni aibu ya watu.wote.Amen
Safiii sanaaaa
MUNGU Baba wa Mbinguni Akubariki Sana Mheshimiwa Mkuu Wa Mkoa Wa Arusha nakuombea Kwa YESU Akupe Ujasiri wake Milele Amina
Hichi cheo wamekupa lakini unastahili cheo kikubwa zaidi ya mkuu wa mkoa.Mungu atakupa tu
Nilisema mbegu alizozipanda magufuli hazitopotea hv hv lazima zitachipua tu hope mnaona wenyewe
Mkondo Mungu akuongoze kaka Magufuli kaachajemb
❤❤❤ Makonda
Dunia Ina mambo
😂😂tamaa silimuuwa mzee fisi
Jamani mimibinafsi natamani niitwe makonda......mungu akubariki kakayangu makonda hao watu ndowanarurisha mafanyikio yawengine nyuma....makonda baba mungu akulinde daima
😂😂😂😂
daah makonda mungu akulinde
Makondaa oyeee🔥🔥🔥🔥makonda kiboko yao😂😂😂
makonda geneus
Mwenyezi Mungu awabariki azidi kukusimamia na kukupa hekima siku zote a
Makonda👍👍👍👍👍
Nais Mama anasikia na kuona kinachoendelea hivyo ndo ilivyo nchi nzima
Narudia tia ndani huyo h
Uyomzee muhuni sana
Hongera kijana mwenzangu
“Wale walokole wakataka kuniombea sana”😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅nilifika pale wale warokole walitaka kuniombea
Hahahw
Ahaahahhh
Walokole wapuuzi sana, mwenzao anaenda kudai eneo wao wanataka kumuombea.
Na maombi Yao yamekitia ndani Leo,,,,,,, huwez kushindana na walokole😂😂😂
Huu ndio uongozi.
Na hapo ni mkoa mmoja tu na hajatembelea mkoa wote. Ni picha halisi ya kinachoendelea kwenye maeneo mengine
Mkuu huna baya!!
Dunia hii matapeli mpaka wazee😂😂😂
Huyu Mzee ukipnga kwakwe mh
Makonda na kukubali sana jembe
Mungu akulinde
Duh jamani Bongo kuna watu wauni aisee Yaani mzee mzima hovyo kabisa. But mi sio shabiki sana wa MAKONDA ila kWa uamuzi huu bro Mungu akupe maisha Marefu .
Honger sana makonda
Mungu akuweke hai makonda akupe mzima
Hongera Mh.Makonda
Makonda nakuombea ulindwe na Mungu
Hii Dunia inamambo
huyu mzee amepewa heshima sana na mkuu wa mkoa na ameikataa, mungu ampe nini sasa?
Mwenyezi Mungu aendelee kukulinda mtetezi wetu🎉
Huyu mzee namjua jmn duuu
Ahsante Makonda.
Hayo mambo yapo nchi nzima
Tamaa mbaya
Kazi nzuri makonda
Izo hela akanyee tepeli mzee
Natamani Sana nikuone makonda,mungu akubariki
Makonda daaah mungu akupe umri mrefu utasaidia weng
Nakupenda makonda asubui mchana na usiku tena usiku wa manane❤❤❤
Na kumpa utampa?
Jizee tapeli hilooo
Hatar?
Hii ndo Arusha bhana😂😂😂😂
❤❤❤naanza kunielewa ccm
Safi sana...
Makonda M/Mungu akupe umri urefu
Duuuh nakuona mbali sana makonda piga kazi
Tunakukubali makonda mbele kuna furaha zaidi ya Watanzania kazi iendelee
Angekuwa Waziri hapo Slaa hapo angemnyahanya mnunuzi maana yeye haangalii haki ya aliyeuziwa anaangalia mmiliki akikanusha kuuza anarudisha umiliki Kwa mmiliki.
Bifsi nilikuwa sikupendi kabisa bro nikaanza kukufuatilia mpaka hapa Kaz unayoifanya inatosha inabidi nikupende bro na kukuombea kw Mungu
Namuon jpm ndan ya makonda,mludshen na polepole haw viongoz bomb sanaa
duh
Wanyooshe vizuri usiangaliye umri wamtu...kaka makonda mungu akulinde
Hahahahahaha hahahahahaha makonda hoyeeeeeee
Makonda baba yetu asante, arusha tunakupenda sana
Uhai wa makonda historia itaandikwa wakuu wa mikoa wengine wapo wapo tu maofisini
Sasa iyo milioni moja kama alishindwa kumalizia ili apate mkataba kaferi uyo aliyo uziwa mzee kamili alichukua ela nusu nyingine akimalizia
Hili zee kweli tapeli lipeleke ndani pumbavu zake
Makonda abarikiwe na mungu
Mm nakupd makoda kulko hat mama coz ww n product ya jpm