Vituko vya mkandarasi anayejenga Uwanja wa Samia Suluhu Arusha wakati akiahidi makubwa
HTML-код
- Опубликовано: 27 сен 2024
- Neno kutoka kwa mkandarasi alipozungumza kwenye hafla ya kumkabidhi eneo la ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu huko Olmoti jijini Arusha.
Msigwa mjanja mnoo anajua kwenda na upepo wa uongozi uliopo nkikumbuka kipindi cha JPM na sasa😂😂
Wanafiki tu hao
@@JeffJoeNya hata siku atayotoka mama atashangaa wamehama wako kwa ataekua wakati huo
Hawana msimamo sio ujanja
But sema Samia oyee😂😂
Ndio huwa tunawaambia angalau mjue kiingereza na lugha yenu asilia ili muwe na uwepesi wa kuwasiliana na watu wa kigeni hamsikii
Tuliosikia Tumbolo wangapi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Au mimi masikio yangu hayasikii vizuri 😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Tunaomba huu uwanja ufunikwe juu uwe na roof la kufunga na kufunguka kama ule wa mercedes Benz cz ata raman inaeandan kwa kias flan
Duun masawee
Ccm uchaguzi 2005
Masawe
Wakijitahidi Hawa Wachina mwakani watakodiwa hadi kwenye kampeni
😅😅😅
😂😂😂😂😂
MCHINA ANAITWA MASAWE 🤣🤣🤣🤣, MR BOB SOSY A K A KATIA WA ARUSHA MURIET JIRANI NA MH GAMBO
SSH❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Aya bwana duh
watanzania washinde tenda ata za usafi china🤔
yani hawa niwaizi watatupiga pesa yahatar
Wapewe ukaribu uenezi WA CCM I😂😂😂😂
Iam happy
Wew hujasikia Kuna masawe
say *samia hoyeeeee*
Waacheni hao wachina tuna kazi nao kipindi cha uchaguzi
Nmefurah kinoma 😂🔥🔥... I should learn Chinese 🇨🇳 language. Najua salamu yao (Nihawu).. We are waiting for the stadium 🏟
我是老师。。。welcome i can teach you
Masawe😅😅😅
Tuwape uenezi TU.
Sema samia Hoye 😂😂, itabidi nichekee kwanza
Mhh
😂😂😂
😜😜😂😂
Walishajuwa samia anapenda sifa za kijinga
Wachina wanajua sana ujasiriamali😂😂
😂😂😂
Haya ni mambo ya kipuuzi
Mnataka kuaibika nyie huo uwanja afcon itachezwa bila carpet mnawachekea wachendui hawa subirin tutaongea lugha moja sio muda amini nawaambieni hamn kitu apo wanamiradi mitano yote imesimama hawana kila kitu hawa subir aibu kutoka fifa 😂
Nani kampa jina la masawe tena 😂😂😂 😂😂😂
Kwel hinchi imeuzwa
Massawe hoyeee
Wachina bwana wahun tu hao
Hawa wachina mbona kama niliwaona kibosho.
Mwenyew niliwaona apa soweto😅
Samia nae anajenga uwanja dahh Viongozi wa Africa bhana
Anajenga ndio lakini sio kwao ni Arusha kama kina uhitaji jeeee wacha izo
C kwajir ya afcon 2027 kak
😂😂😂😂