Vituko vya mkandarasi anayejenga Uwanja wa Samia Suluhu Arusha wakati akiahidi makubwa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 сен 2024
  • Neno kutoka kwa mkandarasi alipozungumza kwenye hafla ya kumkabidhi eneo la ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu huko Olmoti jijini Arusha.

Комментарии • 50

  • @FahadAbubakari
    @FahadAbubakari 5 месяцев назад +4

    Msigwa mjanja mnoo anajua kwenda na upepo wa uongozi uliopo nkikumbuka kipindi cha JPM na sasa😂😂

    • @JeffJoeNya
      @JeffJoeNya 5 месяцев назад

      Wanafiki tu hao

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 5 месяцев назад

      @@JeffJoeNya hata siku atayotoka mama atashangaa wamehama wako kwa ataekua wakati huo

    • @atutweve4160
      @atutweve4160 5 месяцев назад

      Hawana msimamo sio ujanja

  • @AnthonyLeonard-n1b
    @AnthonyLeonard-n1b 5 месяцев назад +1

    But sema Samia oyee😂😂

  • @chimbukojnrbaraka2678
    @chimbukojnrbaraka2678 10 дней назад

    Ndio huwa tunawaambia angalau mjue kiingereza na lugha yenu asilia ili muwe na uwepesi wa kuwasiliana na watu wa kigeni hamsikii

  • @husseinmaula4965
    @husseinmaula4965 5 месяцев назад +4

    Tuliosikia Tumbolo wangapi 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Au mimi masikio yangu hayasikii vizuri 😅😅😅😅😂😂😂😂😂😂

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 5 месяцев назад

    Tunaomba huu uwanja ufunikwe juu uwe na roof la kufunga na kufunguka kama ule wa mercedes Benz cz ata raman inaeandan kwa kias flan

  • @abc-en3em
    @abc-en3em 4 месяца назад +1

    Duun masawee

  • @samsonkenedy1338
    @samsonkenedy1338 5 месяцев назад +1

    Ccm uchaguzi 2005

  • @Joycekombe2
    @Joycekombe2 5 месяцев назад +1

    Masawe

  • @shadrackmohamedi8765
    @shadrackmohamedi8765 5 месяцев назад +1

    Wakijitahidi Hawa Wachina mwakani watakodiwa hadi kwenye kampeni
    😅😅😅

    • @fidemgonja
      @fidemgonja 5 месяцев назад

      😂😂😂😂😂

  • @VictorKivuyo
    @VictorKivuyo 3 месяца назад

    MCHINA ANAITWA MASAWE 🤣🤣🤣🤣, MR BOB SOSY A K A KATIA WA ARUSHA MURIET JIRANI NA MH GAMBO

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji 5 месяцев назад +1

    SSH❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @TuntufyeBrayson
    @TuntufyeBrayson 2 месяца назад

    Aya bwana duh

  • @hassankongolilo8408
    @hassankongolilo8408 5 месяцев назад

    watanzania washinde tenda ata za usafi china🤔

  • @muhsinikoki4060
    @muhsinikoki4060 3 месяца назад

    yani hawa niwaizi watatupiga pesa yahatar

  • @AgredaMoyo
    @AgredaMoyo 5 месяцев назад

    Wapewe ukaribu uenezi WA CCM I😂😂😂😂

  • @MwinyiAlly-iu4rw
    @MwinyiAlly-iu4rw 5 месяцев назад

    Iam happy

  • @nemesmarandu1587
    @nemesmarandu1587 5 месяцев назад

    Wew hujasikia Kuna masawe

  • @godfreymlunyungu
    @godfreymlunyungu 5 месяцев назад

    say *samia hoyeeeee*

  • @ramadhanishabani4600
    @ramadhanishabani4600 5 месяцев назад

    Waacheni hao wachina tuna kazi nao kipindi cha uchaguzi

  • @ezrageofrey9668
    @ezrageofrey9668 5 месяцев назад

    Nmefurah kinoma 😂🔥🔥... I should learn Chinese 🇨🇳 language. Najua salamu yao (Nihawu).. We are waiting for the stadium 🏟

    • @mkramweni3318
      @mkramweni3318 4 месяца назад

      我是老师。。。welcome i can teach you

  • @glorymungure7740
    @glorymungure7740 3 месяца назад

    Masawe😅😅😅

  • @JosephatSunzu
    @JosephatSunzu 5 месяцев назад

    Tuwape uenezi TU.

  • @victorjames3730
    @victorjames3730 5 месяцев назад

    Sema samia Hoye 😂😂, itabidi nichekee kwanza

  • @VENANCEAUGUSTINO
    @VENANCEAUGUSTINO 5 месяцев назад

    Mhh

  • @lindatogether
    @lindatogether 5 месяцев назад

    😂😂😂

  • @chrissfordsadickh8280
    @chrissfordsadickh8280 5 месяцев назад

    😜😜😂😂

  • @MACHOYATAI-jk6fu
    @MACHOYATAI-jk6fu 5 месяцев назад

    Walishajuwa samia anapenda sifa za kijinga

  • @saulikinahi6703
    @saulikinahi6703 5 месяцев назад +2

    Wachina wanajua sana ujasiriamali😂😂

  • @mohammedalishamis9405
    @mohammedalishamis9405 5 месяцев назад

    😂😂😂

  • @erasmichuwa4049
    @erasmichuwa4049 Месяц назад

    Haya ni mambo ya kipuuzi

  • @jamaliselemani850
    @jamaliselemani850 4 месяца назад

    Mnataka kuaibika nyie huo uwanja afcon itachezwa bila carpet mnawachekea wachendui hawa subirin tutaongea lugha moja sio muda amini nawaambieni hamn kitu apo wanamiradi mitano yote imesimama hawana kila kitu hawa subir aibu kutoka fifa 😂

  • @HUSTLE_GANG_255
    @HUSTLE_GANG_255 5 месяцев назад +3

    Nani kampa jina la masawe tena 😂😂😂 😂😂😂

  • @muhsinikoki4060
    @muhsinikoki4060 3 месяца назад

    Kwel hinchi imeuzwa

  • @catherinecostantino2034
    @catherinecostantino2034 5 месяцев назад

    Massawe hoyeee

  • @EmmanuelNswila
    @EmmanuelNswila 5 месяцев назад

    Wachina bwana wahun tu hao

  • @evansmoshi1923
    @evansmoshi1923 5 месяцев назад

    Hawa wachina mbona kama niliwaona kibosho.

    • @editorlais5185
      @editorlais5185 4 месяца назад +1

      Mwenyew niliwaona apa soweto😅

  • @emmanuelShayo-dk6vf
    @emmanuelShayo-dk6vf 5 месяцев назад

    Samia nae anajenga uwanja dahh Viongozi wa Africa bhana

    • @salumsimai642
      @salumsimai642 5 месяцев назад

      Anajenga ndio lakini sio kwao ni Arusha kama kina uhitaji jeeee wacha izo

    • @GibonMwakabejela-bl8td
      @GibonMwakabejela-bl8td 5 месяцев назад

      C kwajir ya afcon 2027 kak

  • @chakubanga5656
    @chakubanga5656 5 месяцев назад

    😂😂😂😂