Ndugu zangu Raisi wetu Mh Dr Samia Atakuwa anashangaa sana kwa uteuzi wake ambao alikudia kwa nguvu zake mwenyewe. Mungu Akulimde. Mungu akuongezee hekima. Asante Mama kwa kumpeleka Uyu mtu Chuga.
Mh Makonda nikuombe kiongozi wangu usiwe huru Kwa kiasi cha kutohitaji Askari wa kukulinda hiyo vita sio ndogo kusimamia haki ni watu wachache wanao pendwa
Nakupenda sana makonda kweri unatutia moyo na tungekuwa na viongozi wa aina hii Tanzania tunge thubutu Ninatamani uje uwe Rais wangu na nita Funga na kukuombea Makonda
Makonda Asikali Nilazima Wawe Kalibu Yako Arusha Iyo Watu Wengi Wamevurugwa Kwa Bangi Kwaivo Popote Ulinzi Muhimu Viko Vilio Vya Kujenga Na Viko Vilio Vya Kubomoa Pia Vya Kuundwa
Nakuona mwanangu Mh Makonda endelea kuwasaidia watu kwanii uongozi ni kichwa wewe nikichwa cha nchi tunakukimbilia kwavile unaupendo na uongozi wa haki sio wakupinda pinda fanyakazi dunianzima inakuona mkuu wamkowa wa Arusha piga kazi mungu anakuona Masha Allah❤❤❤❤
Mungu asimame na wewe makonda Mungu akulinde na kila balaa makonda Mungu akufanyie wepesi kwenye kila hatua makonda. Mungu akupe umri mrefu makonda. Ipo siku utaongoza nchi Insha Allah. Mi ni muislamu nitakuombea kila wakati unayo yafanya ni makubwa sana.
Makonda uns kazi nzto sama na yenye majonzi mengi. Vumilia na jikaze kiume maana mengine unaweza kupata majonzi mazito yakakuumiza sana moyoni. Jitahidi mwanangu Mungu amekuchsgua maana anakuona rohoni.
Si rahisi kwa mwaka huo juu watu wanamtaka Samia na makonda kachaguliwa Samia watampiga na chini juu wataona anataka kupindua meza Inshallah 2030 panapo maajaliwa sio mbali
Duh kijana makonda anapiga kazi Mungu akubariki sawasawa na kibari chake neema yake Mungu ikawe juu yahuyu kijana wapo vijana kama watatuhivi kwenye hilitaifa Mungu akawape nuru nawao ikawejuu yao wakaweze kua mbegu itakayo kua chachu ya taifa let la tanzania
Watu wema hawa dumu kwa kazi unayo fanya mutangulize mungu mbele nchi hii nihatari makonda tunakupenda kwa utendaji wako rais wa masikini magufuri aliyafanya haya ana nukuu kauli yake sikuzote mtu anapotenda wema hakumbuki ila akisha kufa utasikia eti pengo lake halitozibika na kweli tunajionea ss masikini
Mh. Makonda kama tungekuwa na wakuu wa mikoa kama wewe nchi yetu ingekuwa na sifa kubwa duniani ya amani,.imani na haki. Ukweli kabisa ni kwamba wakuu wa mikoa wote wangetakiwa wafanye kama wewe jambo ambalo kwanza lingepinguza dham i, pili watu wataishi kwa amani na matumaini makubwa na cha ajanu nchi itakuwa tajiri sana mana wizi, utapeli utakuwa hakina. Sina cha lukuzawadi mwanangu ila ninakuombea sana ili kazi yako idumu na maisha marefu uzidi kuokoa maisha ya watu. Heri nane za kweli ziwe nawe daima.
Hawa wananchi wanateswa na Serikali ya Upinzani iliyoko Madarakani. CCM oyeeee! Serikali ya Upinzani iliyoko madarakani imewatesa sana wananchi.CCM oyeeee.
Viongozi wanatia aibu wateule wa Rais wanatia aibu nchii wanatakiwa wapatikane vijana kama Makonda maeneo yote Ma DC na ma RC wamsaisaidie mh Rais pamoja na Taifa
Jamani makonda tungemfanya kuwa rais wa Tanzania aisaidie nchi awasaidie watz shida niwana ccm warafi wajuu hawawezi kumpitisha maana watashindwa kuiba
Jmn nakosa la kusema tumuombee tu makonda bibi ana mafail dunia jmn watu hawana huruma hata kwa wabibi nyie mnaowasumbua awa watu wazima mkifa mtajibu nin mnawaachia watoto wenu laana
Nakuona mbali mheshimiwa makonda ww ni rais ajae ktk jina la yesu wakuu wa mikoa wote wangekua kama makonda hakika hii nchi tungefika mbali 🥰🥰
Amina na kweli
Msiseme bana mlimwongezea magufuli muda tukamkosa mnataka tumkose na hyu!? Ebu acha Bhan au mnafikili watumish wote wanapenda
Mungu akulinde na kukupa maisha marefu.
Taji ya kaz ya moyo na mikono yako uipokee hapa duniani.
Mti wenye matunda hupigwa mawe. Watakurishia lkn baba wa Mbinguni atakulinda ❤
Magufulification of Paul Makonda
Jamani mnaomsema makonda vibaya mungu awalaani popote mlipo
Kama warimuchukia magufuri watashindwaje kumuchukia makonda
Amina ya nguvu kabisa!
Namuona yesu kristo aliye hai Ndani yako. Wamama walimlilia yesu
Pole sana baba Makonda. Una Kazi kubwa sana. Mungu akusimamie akupe nguvu za kuwatendea haki za watanzania
MUNGU Akubariki Makonda piga kazi
Ndugu zangu Raisi wetu Mh Dr Samia
Atakuwa anashangaa sana kwa uteuzi wake ambao alikudia kwa nguvu zake mwenyewe.
Mungu Akulimde.
Mungu akuongezee hekima.
Asante Mama kwa kumpeleka Uyu mtu Chuga.
Makonda kama wakuu wa mikoa wote wangefanya kama wewe nadhani Rais angepumzika kwa KAZI Hongera mungu akupe unachosiitahili (Na udumu kusaidia watu)
Makonda ni mtu na nusu
Wasafi wasafi tena kwa mara nyingine wasafi, mnazingua sana kwa sauti
Hongera Mhe Rais kwkumteuwa huyu Rc👏
Mh Makonda nikuombe kiongozi wangu usiwe huru Kwa kiasi cha kutohitaji Askari wa kukulinda hiyo vita sio ndogo kusimamia haki ni watu wachache wanao pendwa
Ni kweli bro lazima awe makini sana, security ni muhimu
Nakupenda sana makonda kweri unatutia moyo na tungekuwa na viongozi wa aina hii Tanzania tunge thubutu Ninatamani uje uwe Rais wangu na nita Funga na kukuombea Makonda
Huyu jamaa wala rushwa na wavivu wa kazi lazma waungane kumchukia na kumchafua
Kabisa inabidi tumuombee sana
kazi nzuri kaka angu Mungu akulinde
Akimaliza apitee na hospital za Arushaa
You are not the same to Jesus but you're the part of his life history Makonda Christian Paul our God bless you
Mimi mwenyewe leo nimedondosha machozi ya furahaaa kwa njisi mkuu wamkoa wa arsha makondo anavyo wapambaniya wanyonge hakika mungu yupamoja nawewe
Makonda Asikali Nilazima Wawe Kalibu Yako Arusha Iyo Watu Wengi Wamevurugwa Kwa Bangi Kwaivo Popote Ulinzi Muhimu Viko Vilio Vya Kujenga Na Viko Vilio Vya Kubomoa Pia Vya Kuundwa
Fact
Nakuona mwanangu Mh Makonda endelea kuwasaidia watu kwanii uongozi ni kichwa wewe nikichwa cha nchi tunakukimbilia kwavile unaupendo na uongozi wa haki sio wakupinda pinda fanyakazi dunianzima inakuona mkuu wamkowa wa Arusha piga kazi mungu anakuona Masha Allah❤❤❤❤
Uyo kijana ni mvivu na mzeembe mimi mwenyewe nilizaliwa mvula mmoja katika familiya wanifatao wote ni dada zangu nanikawaachiya urithi tulio achiwa.
Eee Mungu wasaidie Hawa watu mbona matatizo ni mengi hivi. Mhe. Mungu akulinde
Mungu akulinde mh makonda
Mungu asimame na wewe makonda
Mungu akulinde na kila balaa makonda
Mungu akufanyie wepesi kwenye kila hatua makonda.
Mungu akupe umri mrefu makonda.
Ipo siku utaongoza nchi Insha Allah. Mi ni muislamu nitakuombea kila wakati unayo yafanya ni makubwa sana.
Family zinatoka mikoan kutoka ata dar Kwan wakuu wa mikoa mingine hamjifunzi ili au hamna pesa za kusaidia wananchi
Hao mabosi wamesoma san😂😂😂😂😂
Mungu ametakasika hana mtoto hajazaa wala hajazaliwa wacheni kufru
Makonda Raisi watanzania
Kwa kweli makonda kazi unayo mungu akuwe miaka mia
Huyu ndio Mwamba tunayemtaka
Makonda uns kazi nzto sama na yenye majonzi mengi. Vumilia na jikaze kiume maana mengine unaweza kupata majonzi mazito yakakuumiza sana moyoni. Jitahidi mwanangu Mungu amekuchsgua maana anakuona rohoni.
WAKUU WA MIKOA HII NI SEHEMU YA MAJUKUMU YENU SI MAKONDA PEKEE TU NANYIE SIKILIZENI RAIA HUKO KATIKA MIKOA YENU.
Inauma sana
Hiv kwann tucmchangie huyu achukue fom ya urais 2025?????
Si rahisi kwa mwaka huo juu watu wanamtaka Samia na makonda kachaguliwa Samia watampiga na chini juu wataona anataka kupindua meza Inshallah 2030 panapo maajaliwa sio mbali
Duh kijana makonda anapiga kazi Mungu akubariki sawasawa na kibari chake neema yake Mungu ikawe juu yahuyu kijana wapo vijana kama watatuhivi kwenye hilitaifa Mungu akawape nuru nawao ikawejuu yao wakaweze kua mbegu itakayo kua chachu ya taifa let la tanzania
Hongera Sana mheshimiwa Mungu akulinde unastahili pongezi Sana na hizi changamoto zipo mikoa Mingi kwa kweli unakipaji kikubwa Sana hicho Ni kipaji
Wasafi mbazingua sauti
Juhudi zako na uzalendo wakuritumikia Tanzania unaonekana kwa wa tanzania
Doctor Paulo makonda your the best president of United Republic of Tanzania future
Watu wema hawa dumu kwa kazi unayo fanya mutangulize mungu mbele nchi hii nihatari makonda tunakupenda kwa utendaji wako rais wa masikini magufuri aliyafanya haya ana nukuu kauli yake sikuzote mtu anapotenda wema hakumbuki ila akisha kufa utasikia eti pengo lake halitozibika na kweli tunajionea ss masikini
Hayo mambo ya kuwagaia watoto mali shida ndo hii,, acheni wakatafte wenyewe
Hakika kama wewe ni mwizi na mbadilifu wa mali za umma na mdhurumaj huwezi ukampenda huyu bwana
Mh. Makonda kama tungekuwa na wakuu wa mikoa kama wewe nchi yetu ingekuwa na sifa kubwa duniani ya amani,.imani na haki. Ukweli kabisa ni kwamba wakuu wa mikoa wote wangetakiwa wafanye kama wewe jambo ambalo kwanza lingepinguza dham i, pili watu wataishi kwa amani na matumaini makubwa na cha ajanu nchi itakuwa tajiri sana mana wizi, utapeli utakuwa hakina. Sina cha lukuzawadi mwanangu ila ninakuombea sana ili kazi yako idumu na maisha marefu uzidi kuokoa maisha ya watu. Heri nane za kweli ziwe nawe daima.
Makonda nakukubali 👍
You're the best barikiwa.
Safi makonda yani kama vile yesu anapita vile
Nice work Makonda.
Wasafi naona bado hamjajipanga vizuri sijui ni taaluma hamna au ni vifaa hamna na kama mkiona habari ipo hivi kwann mnairusha
Pumbav zenu wasafi
Mungu awabariki Makonda
Makonda mungu akuja
Lie hata wewe ndo unge vaa viatu vya mufalme magu wetu
Wanyonge wanateseka
Kiukweli makonda ni mtoto wa MUNGU
😭😭😭😭Makonda my presdent haijalishi
Kaka yangu Makonda❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Mlisema kuwa et uenezi imekuwaje? Angalieni sasa kazi safi
Tunaomba ccm achukue form ya urais huyu bro ni moja ya modo wa maguful
Kwen Leo hakuna live
Kumbe arusha kuna dhuluma ivi aisee idara ya ardhi ina watumishi wenye roho ngumu sana
Diamond boresha vitendea kazi sio Hela yote iyende kwenye stare
Duuu?? 😂😂😂
Wasaf kwasaut mna bowa kwel
Wazo langu, bora wananchi wasikilizwe mtaa kwa mtaa, kama ni murieti basi iwe murieti, kama ni ngaramtoni basi iwe ngaramtoni, kidogo itasaidiya.
Mhe. Makonda Mungu akulinde naona watu wanapona kupitia wewe
Siku zote haki hufunuliwa kwa vitendo.haki haidaiwi gizani.Mungu akulinde na kukupa uzima kuliko ulinzi wa Wanadamu
Halafu wanasema haki mahakamani.Mhh hii nchi ngumu sana.
Namuona raisi wetu ajae
Akilala ndani badae ndio uwaite muongee kama familia analeta ujuaji
Kiingozi anazaliwa hatengenezwi!!!!!
MUNGU akupe maisha malefu
Yani Tanzania nchi ngumu mnooo😢😢😢
Makonda we ishi bb
Mumpeleke akawe mkuu wa mkoa wa mara Ili wangoreme wakashooshwe
Huyu jamaa awe raisi wa kaskazini aisee 😊
Kwann watu wenye power wanaonea watu hiv
Muwe mnatulia basi
Mama 2030 utuletee makonda. utuletee makondaa
Ili wapatane mtie ndani kwanza uyo kijana ili akili ipoe maana analeta ujuaji
Anataka mpk wenzie wafe.alithishe wanawe
Hawa wananchi wanateswa na Serikali ya Upinzani iliyoko Madarakani. CCM oyeeee! Serikali ya Upinzani iliyoko madarakani imewatesa sana wananchi.CCM oyeeee.
Mbona síkuelewi wewe kilaza
Bro umenipa kazi ya kukuombea yani ninafurahaa moyoni mwangu kwaajili ya utendajiwako mpaka machozi ya furaha yananitoka
Tendawema nendazako
WASAFI NBUZI
Ni aibu kwa wakuu wa mikoa kutowasaidia wananchi wao mpaka wanakwenda kwa makonda mnakazi gani
Makonda Ata ukifa Leo lazima uende katika ufalme wa milele wa mbinguni
Waliobainika kushirikia dhulma hizo lazima washtakiwe
dah jamani sasa mtamfanya makonda akose kazi mnavo mkimbilia ivo kwa wingi watu hawapend
Ukipaka lipstik unakoseaaa kwenye matatizo unaenda na lipstc😂😂
Mi naomba nipate nafasi ya kuogea na watu wa chini?
Viongozi wanatia aibu wateule wa Rais wanatia aibu nchii wanatakiwa wapatikane vijana kama Makonda maeneo yote Ma DC na ma RC wamsaisaidie mh Rais pamoja na Taifa
mama yetu a Snte kwa huyu
Jamani makonda tungemfanya kuwa rais wa Tanzania aisaidie nchi awasaidie watz shida niwana ccm warafi wajuu hawawezi kumpitisha maana watashindwa kuiba
Makonda anapepepea yeluleeee.mikoa mingine haina wakuu😂😂😂😂 hamieni CHUGA
😂😂😂😂makonda kazi ameipata hasa ,wanambebesha na mafaili
😂😂😂 mikoa mingine hamna viongoz kabsaa
KWANI WAKUU WA MIKOA WENGINE WAKO WAPI MBONA WAKO KIMYA TU
Wakuu wa hiyo Mikoa mingine wako wapi?Hakuna matatizo kama hayo kwenye hio Mikoa?
Mbona anayo fanya Makonda Arusha hatuya oni Mikoa mingine?
Jmn nakosa la kusema tumuombee tu makonda bibi ana mafail dunia jmn watu hawana huruma hata kwa wabibi nyie mnaowasumbua awa watu wazima mkifa mtajibu nin mnawaachia watoto wenu laana
Mnazingua kurusha habar fresh
Makonda pole
Upendo ni jambo la heri