PENEZA ANASEMA CCM OYEEEEE,,,,UZINDUZI WA KAMPENI CHADEMA GEITA MJIINI
HTML-код
- Опубликовано: 6 сен 2020
- hayaa sasaa!!! Upendo wa CHADEMA azindua kampeni zake kwa kuwasalimia wananchi CCM OYEEEE!!!!!
AMESEMA ANALAZIMIKA KUSALIMIA HIVYO KWAKUWA ANATARAJIA KUCHAGULIWA NA WANANCHI WA VYAMA VYOTE NA ATAKAPOENDA BUNGENI ATAWATETEA WANANCHI WOTE BILA KUJALI VYAMA VYAO.
Kumbe alikuwa akimaanisha kwakuwa yalikuwa ni matarajio yake
Kweli.nduni.hada
Mungu akutangulie dada yangu
CCM oyeeee,ukweli ni kwamba ilikuwa inatoka moyoni " kinachotoka mdomoni,ndicho kilichokuwa moyoni " amedhihirisha hilo mwaka huu.
Dah huyu dada nimbwa tu
Naomba chadema WaWez makini
Huyu ni Msaliti Sana kumbe ni Fisadi Kama Mafisadi wengine
Yani mwanamke nihatari Sana kuwa kiongozi Yani mi siwaminigi kabisa
Nimekukubalii sanaaaaa
Inaonekana unawezaaaa
I love you upendo peneza kura yangu ushaipata
Tanganyika bwna 😂😂😂😂 inawatu waajabu sana wanaweza kukuuza bila wewe kujijuwa
Hiz ndizo kampen zahekima bira kutishana
Achagua.mtu.anaye.faa
Unataka bungee sahau
Kazuri
Kumbe usaliti aliuanza zaman
😂😂
Uongo hauwezi kubadilika,,, msaka tonge kwa wajinga..
Huyu useless sana
CCM oyeeee,ukweli ni kwamba ilikuwa inatoka moyoni " kinachotoka mdomoni,ndicho kilichokuwa moyoni " amedhihirisha hilo mwaka huu.
CCM oyeeee,ukweli ni kwamba ilikuwa inatoka moyoni " kinachotoka mdomoni,ndicho kilichokuwa moyoni " amedhihirisha hilo mwaka huu.
CCM oyeeee,ukweli ni kwamba ilikuwa inatoka moyoni " kinachotoka mdomoni,ndicho kilichokuwa moyoni " amedhihirisha hilo mwaka huu.
CCM oyeeee,ukweli ni kwamba ilikuwa inatoka moyoni " kinachotoka mdomoni,ndicho kilichokuwa moyoni " amedhihirisha hilo mwaka huu.