Ally Hapi Amvaa Tundulissu Ampiga Maswali Matano Mazito " Je wapo Tayari CHADEMA ifutwe?"
HTML-код
- Опубликовано: 5 май 2024
- Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Maoinduzi (CCM), Ally Hapi amehitimisha Mkutano wake rasmi Mkoani Iringa Kwa kusikiliza Kero za Wananchi vilevile amemuuliza Maswali Matano Tundulissu kupitia Mkutano huo wa hadhara.
Hapi amebainisha Maswali hayo Mei 5, 2024 Katika Viwanja vya Mwembetogwa Manispaa ya Iringa katika Mkutano huo na Wananchi wa Iringa.
#FocusDigitoTV
..................
Tufuatilie Zaidi kupitia:
INSTAGRAM, TIKTOK, FACEBOOK, TWITTER (X), THREADS NA GOOGLE WEBSITE YETU YA FOCUS DIGITO TV
Focus Digito TV is one of the best info-edu-tainment Online Media conveying contents for the Public Interest.
Asante kwa kuchagua kutufuatilia | Thanks for Subscribing
We Love You | Tunakupenda
Regards
Team FocusDigitoTV
Umri wako ungekufanya uwe na uelewa mkubwa zaidi ya hayo unayoongea.
Pole sana.
Unahitaji ukombozi wa fikra.
Shughulikia wezi wanaotajwa na SAG kwanza
Jifute ww sio chadema🇹🇿❤✌💪💪💪💪💪💪💪🤳
Kifutwe kwanza hakifai ni chama cha wahuni2 saiv
Bwege
Mkulanga ipo Zanzibar hospitali za makanisa zipo Toka mkoloni naona hujuwi jibu loliondo imeuzwa au haijauzwa
Acha kudanganya Wananchi. Na wewe tunakuuliza mbona hashughulikii Ripoti za CAG.
yaan tunawashangaa hawa wananchi wenzetu wanashangilia nini,wakat zahanat,maji na vingne tunachanga sisi wenyewe michango tujenge zahanat na vngne,na kwann sisi wamasai tunatolewa kwenye sehemu zetu,au waarabu ndio wenye haki kuliko sisi
TUNATAKA KATIBA MPYA
Hii ni ushuhuda.kwamba ujumbe wa lissu umefika. Wameshindwa kujibu hoja ya katiba ya zanzibar na ya serekali ya muungano zinavyogongana ndani ya nchi moja. Wamerukia hoja dhaifu kwamba lissu ni mbaguzi.
We Nikichaa kama lisu wew unaunga mkono ubaguz au unafirwa kama lisu
Ali hapi wape vidonge chadema
Ally happy kweli umekosa kazi je Lisu sio saiz yako
Ngozi alikuwa anavaa babako we mrembo.
We kijana una matatizo, . Sasa kama bajeti ilikuwa imepita kazitoa pesa wapi Samia kuwapa ruzuku.
Kijana happy , uko vizuri tundu lissu amepoteza muelekeo, na chadema hakitokuwa chama kikuu Cha upinzani Tena.
LETENI HATI YA MKATABA WA MUUNGANO
Hati ya muungano ilipelekwa bunge la katiba. Haikujibu kwa nini hatujiwezi hata kuvua samaki baharini, haikujibu kwa nini tunauza maligafi nje, haikujibu kwa nini tunadhulumiana, haikujibu kwa nini tunagawa madini, haikujibu kwa nini hatuna kazi za vijana, haikujibu au lutuonyesha ni nchi gani imetushikia bunduki tusejenge viwanda au tujibimafishe sisi wenyewe. Kutaka hati ni mkumbo tu wa wanaotaka kutawala bila kufanya lolote la maana kwenye nchi yetu
Kobe kobe2🇹🇿✌📿❤
Lisu.anaongea.na.mwenye.mbwa.sio.mbwa
Hayati Mwinyi hatoki Zanzibar. Kwao Mkuranga Rufiji.
Uwe na akili wewe kazikiwa wapi mkuranga au Zanzibari?
wewe ndiyo hauna akili kwani kuzikwa na kuzaliwa wapi hutoa mwelekeo wa mtu kwao wapi je wale wote je wale wote waliyo zikwa makabulini kwao ni hapo makabulin
@@zanzibamjimpya17 tuliza vufu la kichwa wewe mzee Mwinyi alifia wapi na amezikiwa wapi toka akili yako kutunga uliona wapi mtu afie kwao halafu akazikwe ugenini? IQ zero problem
Mzee kalala, tumwache apumuzike, hata hivyo historia ya binadamu, watu wote wa visiwa wametoka nchi kavu.
@@GodfreyOswardAti watu wote wa visiwani wametokea nchi kavu, sasa hao wa nchi kavu walitokea mawinguni kama maji ya mvua?
Ni mtu wa hovyo tu atawasikiliza ccm.
Zanzibar wabaki na nchi Yao,tumechoshwa na huu muungano fake
Maswali yakitoto hayo happy, ongea mambo ya msingi ya hii nchi, nakama hauna hoja ya msingi nyamaza
Hoja nikatiba hoja sio utaifa mzee mwinyi kwake mkuranga, karume mnyamwezi awakuzariwa Zanzibar issue katiba iliyopo ya nyerere aitufai na ata nyerere alisema tukiitaji katiba mpya tubadilishe asa tatizo likowapi ccm mnalikwepa kwepa.
Huna akili sawasawa,jibu hoja za Lissu ww unazunguka bule,,hivi CCM yangu ndoimebaki navingozi wajinsi hii kweli mamaaaa!!!
Sikia ww mwinyi hakuleta vyama ispokua ni utaratibu wa dunia nzima arafu mwinyi hakutokea Zanzibar halitokea mkuranga
Wala sisi kama Tanzania tusingeweza kukataa vyama vingi. Hatukuwa na maamuzi nayo tulilazimika
Ngo'mbe nyie subirin miaka 40 ijayo
Njaa mbaya sana
asante sana watanganyika kijana kwa kutudanganya tuwapigie kura ata Nyerere angeyafanya wakati uwoo nchi ilikua imetoka kwenye vita vya Uganda Wacha kuwadanganya watanganyika wanaekupigia makofi ni watoto wadogasana wenu ni simba sauti ya wanyonge
Ally Hapy akili ndogo, Vyama vingi hakuleta Mwinyi, ulikuwa mfumo wa dunia, Tanzsnia isingejitenga.
Mwinyi hakuleta vyama ni utaratibu wa dunia yote
Ulikua hujazaliwa kaa kimya hujui chochote
@@maftahmusa9513mfumo wa vyama vingi nchi za ulaya na Marekani ndio zilishinikiza na mwl Nyerere ndio aliamua nchi iwe na mfumo wa vyama vingi.
Janaongea maneno mepeeesi kanajiona kanajua.
Ovyo sana. Hujui kitu na hauna la mshiko
Hapi ulikuwa mtoto miaka hole ujui chochote
JIBUNI NA KIKOKOTOOO,WATUMISHI TUNAKUFA MAPEMA BAADA YA KUSTAAAFU...
Mbona ccm bado mnataja ujamaa katika msingi wa chama chao
😢
HAPI SIKILIZA ILIKUWA ENZI ZAMANI SASA HAMTUDANGANYI KITU
Soma koment uone ulivyoongea hovyo
Hoja mfu sana. Fanyeni usanii, lakini mwisho wa usanii wenu, watz wanataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi.
Siasa za kizamani.unadangsnya watanzania lissu siyo saizinyako.
Ali Hassan Mwinyi Almaroohumu sio Mzanzibar japo amesomeshwa na Wazanzibar okay.thanks
c kazaliwa tanganyika pwani
TANGANYIKA NA KATIBA MPYA TUNATAKA
Mfumo wa vyama vingi mwinyi aliyaruhusu kwa shinikizo la nyerere
MI Naona mtapoteza Malengo ya hoja..
Mkifuta muifute na ccm, hoja huna unaongea kama kubisha tu hujajibu hoja za Lisu
Wala hiyo sio hoja eti mfumo wa vyama vingi ufutwe kila jambo lina wakati wake imefika wakati muungano uangaliwe upya,we lazima utetee ulaji wako
Huyo akauza Loliondo
Happi hujui sheria yeyote wewe
Lisu namwogopa Sana natamani siku mkutane mbashala Yani live kuna mtu ata kimbia akiwa hana la kumjibu mtu
Vyama vingi vilikuja kwa baraka za Mwalimu Nyerere na sio Mwinyi.Yote hayo ni uwongozi mbovu uliokuwepo nyuma
Umeongea vema.Ally hapi hana hoja.
Yaani huyu jamaa anataka kuondoa hoja ya chadema lakini anashindwa kujenga hoja yake
Bado lena sana huyu. Anashangiliwa na hao malaya tu hapo anajiina na yeyey anajua.
Hoja zako hazina msingi hujitambui kakojoe ulale
Piga kazi Ali Salim Hapi kijana hodari mzalendo
Huna akili za kumuhoji lisu shule yako haitoshi kwako ww na lisu sawa n bahari na mto sasa wapi na wapi
Huyu ndo amechaguliwa kuisadia ccm hovyo kabusa
Ati ndio ana akili huko ccm hahahaaaa kilaA kweli hakijui hata maswali ya lissu ni yapi kanajibu maswali amvayo hatajaulizwa alafu eti ni mwanasheria?
Ww uwelewa wako mdogo kabisa tena wa kitoto
Acha udanganyifu,zirudishwe bandari zetu
Uyo sio saiz yako lissu, alafu watanzania wa leo sio, wa mwaka 47 jibuni oja
Huyu alikuwaga wapi?
Huna hoja wewe kalale mchumia tumbo tu, uliza vizur utaambiwa Nyerere ndie baba wa taifa ndie aliongoza makubariano ya vyama vingi
Daaa aise Ally happy ananizidi kila kitu ila katika kusema acha niseme. Pambana na wezi wanaokichafua chama chetu.
Sisi tunachotaka kujua,kwanini bandari za zinziba hazijakodishwa?
Kwsbb Zanzibar tuna rais wetu .na nyinyi mna rais wenu
Miongoni mwa hoja za Tundulisu, mbona haziguswi? Kubinafisisha bandari ,kufukuza wamasai loliondo misitu nk jibuni hoja sio vihoja
Swali l tatu walijibu 😂.sema Ally Happy wacha wanunee
Ss sio zilipendwa
Nyie wote wasenge tu
Kaka ally hapi, lissu yupo sawa. Siku Moja utafuta kauli Yako mwenyewe pale utakapokuwa vizuri.
Ali hapi uko vizuri saaaana tundu lisu akasome kwani maneno ya lisu ni kama vile ametumwa na makanisa kwani suala la makosa ya mtu yaelezwe makosa yake na sio wapi anatoka maneno kama hayo yanaongelewa na watu wasio litakia kheri taifa kwani maneno yake yanaweza kulichana Chana taifa letu na mtu kama huyu kipindi cha magu sidhani kama anaweza kumwacha.
Hongera lisu ujumbe wako umewaingia vizuri, ongeza dose lisu , dawa zako zinafanyakazi
Walikwisha pita wehu kama Lisu na hoja kama hizo za kiwehu kama akina mzee wa Gabachori wakaangukia pua na huyo Dundulisu atadundukia hukohuko
Ninyi mnategemea tume yenu ya uchaguzi uchaguzi kungekuwa na tume huru usingeongea hayo
yaan ukishakua mwana ccm akili auna kweli,kwan mwinyi kaongelewa? alaf kwan mwinyi ametufukuza wamasai kwenye sehemu zetu? maana samia katufukuza
Hoja ya kitoto kabisa
Ww ni bwege toka apo hatudanganyi
Hivi ninyi CCM mnasomaga comet za raia wa Tanzania kweli, au mnajizimaga data.
Acha kudanganya watu wewe
Wewe nawe ni zezeta tu ni Nyerere ndo aleruhusu vyama vingi acha uzezeta
Ally endelea kumfatilia huyu lisu
Naona akiachiwa kuhubiri yasio husu mwisho anaweza akaleta mgawano kati y Watanzania😊
Siasa za zamani
Mwinyi ameanza kutawa 1985 tulikuwa hatuvai ngozi mwaka 1953 mwingereza magret ndiye alikuja kuondoa ngozi acha uwongo jibu hoja
Lisu piga supana hili boya
Mshukuru mama magu alikutupa jalalani
Kweli ww ni mjinga sana.umesema magu alimtupa wapi? Unajielewa kweli ww?
Huna hoja kalale,
Mbona hujaitaja Tanganyika?
LISU YUPO VIZURI KWA MASWALI HAYO KAAMA CHAPSTI NASUPU
Ally Hapi inamaana Rais anayetokea Bara ataleta upangaji wa foleni tena kama wakati wa Nyerere. Unakumbuka lakini Kwanini tulipanga foleni folen wakati ule . Au umesoma historia .
kijana kabisa lakini hakiri auna.
Wewe ndo mwehu sana tanganyika Iko wapi?
Ndio ngozi mbona nzuri
hapi usipotezee wamasai wanalalamika aridhi yao bandar ziko wapi
wananchi wa tanzania hua atinaga akili sasa huyu naongea nini had anashangiliwa jaman,wao wenyewe hawajaleta huo umeme,maji wala hospitali,hua tunachanga wemyewe kama wananchi kltiendeleze kila kitu aua tujenge kila kitu iwe zahanat,iwe maji na vingne
Ruxuku dio hela ya CCM ni hela yetu ya kodi zetu acha kutudanganya ,weka mdahalo na viongozi wa CDM tuwachuje kwa hojasio vijemne kumbuka uchaguzi unachungulia tunahitaji hojazenye point
Kwani kama wameagiza wasisemwe kwani hao nimalaika jibu hoja unamaliza m,b zetu
Wanainchi wanaokusikiliza mh waangalie vizur
We mrembo nenda kapikie watoto hyna uwezo wa kumjubu lissu .
Mwenyi hakuleta vyama nimchakato wa Dunia nzima
Leteni katiba mpya muowe CCM wametufanya masikini wanapojibu hao wanawake wampingika kweli walipo hata sauti tu zinatilia za kimasikini
Hapi mwinyi alitoka Bara kwake ni mkuranga
Huyu jamaa amefanana na karunguyeye A.K.A NunguNungu hata iyo pua ni kitambulisho tosha kuwa ana ushemeji na karunguyeye
Huyu bado siasa arudi kulima
Msapot ww unayekula nae hela za bandar
Mwinyi sio mzanzibar hahah unachemsha bro. mwenye ni mtu wa pwani kazaliwa mkulanga ni mzaromo .
alikwenda tu kwa kusoma dini bro .
Kwetu wapo mpaka Leo wanaenda bila viatu tusaidien ccm chama tawala serkal kamir
Maswali yako ya kitoto sana pia Mzee mwenyi nimtu wa mkulanga sio mzenji
Yatajibiwa
HUJUI CHOCHOTE WEWE HAPI ACHA POROPOGANDA USICHEZE NA MAISHA YETU
Tuambieni Tanganyika muliuiulia wapi
GB zangu zimeenda bure ni bora ningetazama katoon najuta sana😢
Tundu Lisu tunamjibia sisi kwakuwa sio saizi yako Mwinyi hakukeleta vyama vingi Tanganyika tu vilelihusu na Zanziba kwanini samia auze bandari za Tanganyika aache za Zanziba
Huna hata mshipa wa aibu,,