Jamani huyu mzee Wasira amekaa na hoja zake utadhani kama si msomi ingawaje ni msomi kwa kiasi chake. Mimi napenda nimtaarifu kua sasa tuna paspoti za Afrika Mashariki na watu wanazitumia kusafiria. Je hakuna Watanzania, Walenya, nk. Hivyo hivyo kuna paspoti za umoja wa ulaya E U Pasport. Je hizo nazo zimefuta untaifa na uraia wa nchi husika?
Nani mjinga rais anajitambulisha mimi ni mzanzibari wasila anamubatiza rais kuwa ni mtanzania wasila acha kaa chini wazee kama sisi tumesitafu achia vijana siyasa. Utazarawulika.
Watu wanalinda maslahi yacham sana hata mama akimsikia wasira😂😂😂😂😂 anajuwa tuu kuwa wasira moyoni hazungumz ivo mwongo hakuna chawa mzanzibar😂😂😂😂 wabongotu
Nyie Watanganyika munashangaza Sana!yaani munamjadili Wasira?Kwanza angalieni historia yake ya kisiasa!alipoenguliwa kugombea Bunge Tu akajiunga ktk upinzani(NCCR-mageuzi)na baada ya kukosa tena maslahi akarudi CCM!sasa huyu ni WA kukuumizeni vichwa!
Mzee Wasira kadili unavyozeeka ndiyo fikra zake zinavyo SINYAA tena kwa kasi. Kumbuka alivyo kuwa Bungeni 80% ya muda alikuwa akisinzia, hadi watu wa Bunda wakampiga chini. Hakika anawaaibisha wazee wote (vijana watauogopa uzee kwa kudhani uzee ni kufilisika KIAKILI)
Wasira watanzani Ni wacheche wajinga usisiemu usikuponze ukaoneka mjinga nenda kweye ukweli acha kupotosha watu tunataka katiba Mpya kuondoa utata akuna nchi moja yenye maraisi wawili oliona wapi wewe mkrito wadini ngani unamjua mungu kweli??
Kila mtu anajua Wasira hana hoja ni maslahi yake ndio kipaumbele yake na si vinginevyo. Huyu mzee anazeeka vibaya anataka kutuaminisha kuwa Zanzibar sio nchi na wakati katiba yake inasema hivyo. Jumuisho unaweza sema “ NJAAA”.
Uongo unaweza kufichwa kwa muda tu. Tatizo la Wasira bado anaamini wstanzania wa leo ni sawa na wale wa 1960 na anajisadifu kwenye propaganda mfu, si mtu wa haki huyu ni mamluki kwetu Watanganyika
Yani hii comnti yako iweke sawa umeifanya kama zanzibr nimpangaji hakuna tz bila ya zazibar kwaiyo ukitolea mfano sema tanganyika na zanzibar usiseme tz nazanzibar😅
Nadhani watu wengi hasa kutoka Tanganyika hawafahamu msingi hasa wa huu Muungano unaolalamikiwa!wanashangaa kauli ya Mbunge ya kutaka watu wasio Wazanzibari kuingia Kwa passport!hili sio geni warudie historia Tu wakati wa hao waasisi wake je Watanganyika na Wazanzibari wakiingia vipi hizo nchi mbili zilizoungana?kama ilikuwa ni ubaguzi Nyerere na Karume hawakuuona?Tanganyika ni nchi kubwa Sana ukilinganisha na Zanzibar!na hata tamaduni zetu ni tofauti hivyo si kuviacha visiwa vya Zanzibar watu waingie kiholela bila ya utaratibu inakuwa ni kuharibu Mila, silka na Utamaduni wake!na si hayo Tu Mbunge kenda mbali zaidi kuhusu bajeti ya Zanzibar ya kila mwaka unawezaje kudhibiti huduma za kijamii Kwa hivyo wanavyotaka wenzetu wasioliona hili na kupachika jina la "UBAGUZI"Mimi nadhani hawana Nia njema na Zanzibar!na kuhusu kauli za Lissu na Mbowe kuwa Rais Samia ni. Mzanzibari anayeongoza Tanganyika hii sio Sahihi! Maana kwasasa hakuna kitu kinachoitwa Tanganyika ni hadithi Tu za kusadikika ingawa Sisi Wazanzibar tumewaambia miaka Mingi hili na kutuona pia ni ubaguzi Lin sasa tunaona wameanza kuzinduka kutoka ktk usingizi mzito juu ya godoro la "QFL MAGODORO DODOMA"
Hata katika hili kuna watu hawakuelewi. Hapo ndipo nasema watanzania "nani aliyeturoga"? Ukweli unabakia kuwa ukweli. Mimi sioni maana na faida ya Muungano. Na hii ni dharau kubwa kwa watanzania wa bara. Nawapenda watu wa aina ya Tundu Lisu wanajitambua
sisi wazanzibar tunajitambua sana na kiukweli tunaelewa kuwa watanzania ni wale famalia milion 1 wanaomiliki ccm ambao wamejimilikisha tanganyika na kwa juhud zote wanataka wajimilikishe na zanzibar
Hata hiyo passport pia kunasehem inasema imetokea Zanzibar but hiyo hiyo passport hakuna sehem inasema kama inatokea Tanganyika 😂😂 so Zanzibar soon inakuja juu time will tell insha Allah watagombana wenyew kwa wenyewe Watanganyika sisi tuligombana sna kutaka Tanganyika irudi kila mtu awe n mamlaka kamili
Enderea Ndg. kutuabarisha habari ni Darasa tosha kujifunza na kuelewa,wale tuliosoma habari za Safari ya Bulicheka, tukubariane na Mabadiriko kwa Habari na Safari Uria tufike kwenye Ukweri na Mwanga.Tumchangie tochi Babu ya kale si Ndwere tugange mapya na yajayo.Naililia Tanganyika yetu irudi tu..
huyu wasira wala hashangazi kuzungumza maneno hayo, inaonesha alikua kashalewa na pia anazungumza kwa chuki ila mungu atamjalia atakufa na chuki zake na ataiwacha zanzibar
Tuseme sawa mzanzibar,tuseme sawa Zanzibar inchi na Tanganyika ni nchi kwahiyo tuseme waropokaji hawajui Nini maana ya muuungano?Samia ni raisi wa jamuhuri ya muuungano wa tanzania akitokea Zanzibar full stop
Mi nashangaa kwani km wazanzibari hatutaki muungano munatulazimishaje? Si tugawane tu kila mmoja na chake. Mumeng'ang'ania zanzibar sio nchi hamjishtukii? 😂
Ukimuondoa warioba sisiem tuna hasara tupu ya wazee wanaomiliki mvi kama mapambo tu 😅
Jamani huyu mzee Wasira amekaa na hoja zake utadhani kama si msomi ingawaje ni msomi kwa kiasi chake. Mimi napenda nimtaarifu kua sasa tuna paspoti za Afrika Mashariki na watu wanazitumia kusafiria. Je hakuna Watanzania, Walenya, nk. Hivyo hivyo kuna paspoti za umoja wa ulaya E U Pasport. Je hizo nazo zimefuta untaifa na uraia wa nchi husika?
CCM I mchoka wazee wapumzike Tanganyika inakwenda kufilisika naomba kuuliza kwa nini mbuga za Ngorongorio haionyeshwi kwenye safari chalnel??????
Tundu lissu yuko vizuri sana zaidi ya sana.
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Stay blessed Mkuu Ngurumo
Uchambuzi Makini sana
Mimi mmoja siku zote nasema Im from Zanzibar. WaZanzibari tutabaki kua wazanzibari watake wasitake
Kabisa sure wewe kama mimi pia
Inamaana Zanzibar inajulikana kuliko tanzania
Nani mjinga rais anajitambulisha mimi ni mzanzibari wasila anamubatiza rais kuwa ni mtanzania wasila acha kaa chini wazee kama sisi tumesitafu achia vijana siyasa. Utazarawulika.
uyo mzee hajielewi amekuwa chawa wa Samia pumbavu
Ni zaidi ya chawa ni kunguni
Sio kupe kweli ?
Vema sana mheshimiwa rais Samia Suluhu Hassan kwa kuwasaidia hawa mzee wetu. " Mzee Wasira katiba sio ilani ya chama!
Isaidie HAKI itande, itapakae kila upande. (Qur'an 4:135)
Ccm ndio wauwaji wakubwa watanganyika ila marahii kitaeleweka
Aaaaa mara hii kitaweleka
Watu wanalinda maslahi yacham sana hata mama akimsikia wasira😂😂😂😂😂 anajuwa tuu kuwa wasira moyoni hazungumz ivo mwongo hakuna chawa mzanzibar😂😂😂😂 wabongotu
Juzi nimesikia neno " barakala". Sijui ni sawasawa na " Chawa"?
Hiyo imeisha Mzee Wasira, unaeyemtetea kasema yeye ni MZANZIBARI
Nyie Watanganyika munashangaza Sana!yaani munamjadili Wasira?Kwanza angalieni historia yake ya kisiasa!alipoenguliwa kugombea Bunge Tu akajiunga ktk upinzani(NCCR-mageuzi)na baada ya kukosa tena maslahi akarudi CCM!sasa huyu ni WA kukuumizeni vichwa!
Mzee yuko Sahihi' Acheni, Ushabiki,,,,
Sawa kabisa Samia ni Mzanzibar!je ni Nani Mtanzania?
Hawa watu wanaojiita maccem wasitusumbue bhana!!..
Mzee Wasira kadili unavyozeeka ndiyo fikra zake zinavyo SINYAA tena kwa kasi. Kumbuka alivyo kuwa Bungeni 80% ya muda alikuwa akisinzia, hadi watu wa Bunda wakampiga chini. Hakika anawaaibisha wazee wote (vijana watauogopa uzee kwa kudhani uzee ni kufilisika KIAKILI)
Sidhani ni uzee bali ni uongo wa kijinga. Mzee wa OVYO sana
Mbona Mzee Warioba mtu wa ukweli .hili zee halitosheki
Mzee sikuiz kajichubua 😂😂😂😂alikuaga uson kama kajipaka matope😂😂😂
😂😂anapakaga kalolaiti😢😂
😅😅😅😅😅YEMWEE MBAVUU ETI KAJIPAKA KAROLIGHT 😂😂😂😂😂
Mbavu zangu mie 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂anarudia ujana😂😂😂😂😂😂
Mzee Wassira mbona mwenyewe kataja Canada, Zanzibar na Tanzania bara kana kwamba nchi 3?😅😅😅
Zanzibar inajulikana kuliko tanzania bro Zanizbar is very cool.
Wazanzibali ni wamoja hata uwaone mmoja anavaa kijani na mwengine zambalau
Kweli ubishi kwisha anayesemwa kajisemea.
Kwani yeye ndo nani ana nini ataishia kama wenzake
Kama uzee ni huu wa Wasira, kuna haja ya kuufikia kweliiiii?
Hahahahahahahah bora tu ufe mapema manake pamoja na nafasi zote za uongozi, hakuna legacy.
Wasira watanzani Ni wacheche wajinga usisiemu usikuponze ukaoneka mjinga nenda kweye ukweli acha kupotosha watu tunataka katiba Mpya kuondoa utata akuna nchi moja yenye maraisi wawili oliona wapi wewe mkrito wadini ngani unamjua mungu kweli??
Wasira utakumbukwa lipi mzee??
Wasira tulikuwa naye NCCR Mageuzi kbl hajarudi CCM Hana jipya washauri wake wanshauri apumzike tu Anajidhalilisha Akili imechoka
Hana akili uzee ushamchukua
Kila mtu anajua Wasira hana hoja ni maslahi yake ndio kipaumbele yake na si vinginevyo. Huyu mzee anazeeka vibaya anataka kutuaminisha kuwa Zanzibar sio nchi na wakati katiba yake inasema hivyo. Jumuisho unaweza sema “ NJAAA”.
Kila MTU ana asili yake
Uchawa imekua ajira kwa wazee silla mungu ucnpe uzee wa uyu mzeee😎🖐
Tunakuelewa mwamba. Na vielelezo unavyo. Safi Sana.
Wahasira 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Uongo unaweza kufichwa kwa muda tu. Tatizo la Wasira bado anaamini wstanzania wa leo ni sawa na wale wa 1960 na anajisadifu kwenye propaganda mfu, si mtu wa haki huyu ni mamluki kwetu Watanganyika
Kaka Mungu akubarik kwa ukweli na ustarab wa kutuelimishaaaa
HILI ZEE JINGA SANA HOVYO KABISA KICHWA HASARA
Ukimya wa Hawa vijana anapowauliza maana yake hawamuelewi.
Mzee Wasira kachemka 😂😂😂😂😂
A. C. H. E😅
Mzee huyu kapitiliza kutokuelewa au anajifanya kuwa sisi siyo waelewa kabisa? "Udanganyifu huwa unaeneza chuki".
Kwa Hiyo Ukitoka Tz Ukaenda Zanzibar, Unatakiwa Uwe Na Passport, Ukitoka Zanzibar Ukija Tz Hakuna Haja Ya Passport.🤔Hii Nchi Ni Ngumu Sana.
Ni kweli, Wazanzibar walishatuona Watanganyika sisi kama watoto
Yani hii comnti yako iweke sawa umeifanya kama zanzibr nimpangaji hakuna tz bila ya zazibar kwaiyo ukitolea mfano sema tanganyika na zanzibar usiseme tz nazanzibar😅
@@user-cz9zu7ur1h Tatizo liko pale pale 😂 watanganyika mpaka leo hawajui kama kuna Tanganyika na Zanzibari wanajua kuna Tanzania na Zanzibari 😂😂😂
Nadhani watu wengi hasa kutoka Tanganyika hawafahamu msingi hasa wa huu Muungano unaolalamikiwa!wanashangaa kauli ya Mbunge ya kutaka watu wasio Wazanzibari kuingia Kwa passport!hili sio geni warudie historia Tu wakati wa hao waasisi wake je Watanganyika na Wazanzibari wakiingia vipi hizo nchi mbili zilizoungana?kama ilikuwa ni ubaguzi Nyerere na Karume hawakuuona?Tanganyika ni nchi kubwa Sana ukilinganisha na Zanzibar!na hata tamaduni zetu ni tofauti hivyo si kuviacha visiwa vya Zanzibar watu waingie kiholela bila ya utaratibu inakuwa ni kuharibu Mila, silka na Utamaduni wake!na si hayo Tu Mbunge kenda mbali zaidi kuhusu bajeti ya Zanzibar ya kila mwaka unawezaje kudhibiti huduma za kijamii Kwa hivyo wanavyotaka wenzetu wasioliona hili na kupachika jina la "UBAGUZI"Mimi nadhani hawana Nia njema na Zanzibar!na kuhusu kauli za Lissu na Mbowe kuwa Rais Samia ni. Mzanzibari anayeongoza Tanganyika hii sio Sahihi! Maana kwasasa hakuna kitu kinachoitwa Tanganyika ni hadithi Tu za kusadikika ingawa Sisi Wazanzibar tumewaambia miaka Mingi hili na kutuona pia ni ubaguzi Lin sasa tunaona wameanza kuzinduka kutoka ktk usingizi mzito juu ya godoro la "QFL MAGODORO DODOMA"
Ww sema ukitoka tanga nyika kwenda zanzibar so ktoka tz kwenda zanzibar
Sasa na nyinyi watanganyika jitambueni ss tunajitambua km wazanzibari na tunajua km zanzibar ni nchi na inatabulika dunia mzima
Hili lizee kumbe ndo mana lilinyang'anywa ubunge na Ester Bulaya.Hawa ndo walitutungia katiba mbovu inayotuumiza uongo uongo mwingi
Ukiwa na mzee Kama wasila j jua una baba
Linaitwa Mzee hovyooooo
Hili lijamaa linajua kufafanua. Limetulia kweli, limefanya utafiti wa kutosha. Big up bro
Namuhelewa uyo jamaa wa pili kuzungumza
Mzee wasira 😈😈😈😈
Lisuu safii hongela lisuuu
Mzee Wasira hajui Sheria
Jku,na Zanzibar Kuna urais mbona
Mzee Wasira naomba nikuulize una mvua ngapi hadi leo hii...nadhan inatosha sasa katiba ya Zanzibar ipo haipo na ipo unaielewa??
Huyu wasira amepitwa na wakati. Kukaa kimya nako ni busara vinginevyo unatuabisha
Huyo Mzee mpotoshaji
Watanzania wengi hawajui hili na hata kama wanajua tayari wanarubuniwa kwa visenti
PIA KUNA NCHI YA ZANZIBAR NA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA KIKATIBA. KULIKO KUIKATA TANZANIA. NILIVOSOMESHWA INAANZA NA NENO JAMHURI....
Zanzibar zanzibar zanzibar
Tundu lisu Nia kweli ✌️✌️✌️
Mkweli ni lisu
Mulizeni Mzee warioba awasaidie kuhusu hili.
Wasira ana potosha
Mzee hyo ni nchi. Ndiomaana ina katiba yake.
Muungano sio vibaya watu kuungana lkn huu muungano haukuwashirikisha wananchi
Naenda Kilimanjaro
Wasira ni chizi.
Waambiee aooi machogoolo
Lizee Lina upara kama uwanja wa ndege wa chato. Akili ni nywele . Sasa Mzee Hana nywele.
😂😂😂😂 tundu lisu hoyeeeeeee jembe wasila ni mwizi
Hansibeti nimekuelewa vizuri sana
Anaepinga kuw Zanzibar sio nchi huenda huyo ana macho lkn haon
Kuwa Chawa umri huu shida sana. Katiba ya Zanzibar imetamka "Zanzibar"ni nchi. Hajaisoma, au hajui hiyo katiba ipo?
MWENYE KUJITAMBUA URAIA WAKE NDIO MKWELI...PERIOD
Hata katika hili kuna watu hawakuelewi. Hapo ndipo nasema watanzania "nani aliyeturoga"? Ukweli unabakia kuwa ukweli. Mimi sioni maana na faida ya Muungano. Na hii ni dharau kubwa kwa watanzania wa bara. Nawapenda watu wa aina ya Tundu Lisu wanajitambua
Hamwezi kuishi bila chokochoko na ujinga maneno maneno tu kuwaza upumbavu mwingi mnatumia mda mwingi kuropoka ropoka kwanini msiutumie shambani tukavuna
Wazanzibari tumeungana, watanganyika wanagombana.
Kwa mawazo yangu wasira anaumwa akili na lissu ako sawa
😂😂😂😂😂😂😂😂 wasira
Kama Mama Samia Sio Mzanzibar Na Sio Mbara,Ni Nani Basi Mzee Wetu Wasira?
Stand up with Justice being witnesses for GOD. And then even if it is against your own people. (Qur'an 4:135)
Hawa wakina wasira ndio wanao ivuruga Nchi muda wao ulishapita waachieni Mama na team yake wapambane
Msilitukane sana li wasira zamani lilikuwa li nyani
Sasa kila nchi ina Katiba yake sasa kelele za nini Wasira unazeheka vibaya
sisi wazanzibar tunajitambua sana na kiukweli tunaelewa kuwa watanzania ni wale famalia milion 1 wanaomiliki ccm ambao wamejimilikisha tanganyika na kwa juhud zote wanataka wajimilikishe na zanzibar
😂😂😊😊
Mengine hayapo kwenye mungano yapo kwenye nini
Wasra hajui Zanzibar ipo tokea kuumbwa dunia
ZANZIBAR ipo na itaendelea kuwepo hofu Tanzania kuwepo miaka 60 ijayo naona kama itakuwa imefutika katika ramani ya dunia
Hata hiyo passport pia kunasehem inasema imetokea Zanzibar but hiyo hiyo passport hakuna sehem inasema kama inatokea Tanganyika 😂😂 so Zanzibar soon inakuja juu time will tell insha Allah watagombana wenyew kwa wenyewe Watanganyika sisi tuligombana sna kutaka Tanganyika irudi kila mtu awe n mamlaka kamili
Blaablaa nyingi acha kelele mzee
Awaa wazeee tunao wategemea wamesha kuwa machawaa sasaa hu uchawa umesha tuaribia hi nnchinii
Enderea Ndg. kutuabarisha habari ni Darasa tosha kujifunza na kuelewa,wale tuliosoma habari za Safari ya Bulicheka, tukubariane na Mabadiriko kwa Habari na Safari Uria tufike kwenye Ukweri na Mwanga.Tumchangie tochi Babu ya kale si Ndwere tugange mapya na yajayo.Naililia Tanganyika yetu irudi tu..
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Tundunlisu huwa anatumia madhaifu ya wapinzani wake
Zanzibar kuna rais wake
Wasira changa la macho mchana kweupe
Hiyo nchi Vilaza ni wengi Sanaa
Ni kweli hata huku bara tunashuhudia hata maduka yao wanaandika zanzibar shop
Sasa kama ni hivyo serikali ya Zanzibar ya nini,rais wa Zanzibar wa nini.
Nadhani ni context mbili,NATIONALITY na ETHNICITY, kila moja ni sahihi kutegemea unazungumzia kwenye muktadha gani.
Stupid! Wewe limbo umesoma wapi ATI NATIONALITY NA ETHNICITY! Mjinga!!
mzee huyu hamna kitu
hili lizee.liwadsira Nini likoje nilawapi linawapotosha watanganyika
Wasira kama uraia ni watanzania kwann Kuna katiba ya Zanzibar
Hii katiba ya Zanzibar nikatiba yawatu wa nchi gani
Wasila ni zaidi mkundu hata sijamuelewa anasemaje
Hiyo ni nadharia na siyo uhalisia
huyu wasira wala hashangazi kuzungumza maneno hayo, inaonesha alikua kashalewa na pia anazungumza kwa chuki ila mungu atamjalia atakufa na chuki zake na ataiwacha zanzibar
Huyu WASIRA mbona ukimtazama hapo anapoongea anafanana na mgonjwa ambaye yuko WODINI hospital anasuburi daktari amletee dawa .
Tuseme sawa mzanzibar,tuseme sawa Zanzibar inchi na Tanganyika ni nchi kwahiyo tuseme waropokaji hawajui Nini maana ya muuungano?Samia ni raisi wa jamuhuri ya muuungano wa tanzania akitokea Zanzibar full stop
Mzee Wasira unaongea nadharia na siyo Uhalisia
Hv mbona Mimi hata spendi muungano 😂
👍👊✌️.
Mi nashangaa kwani km wazanzibari hatutaki muungano munatulazimishaje? Si tugawane tu kila mmoja na chake. Mumeng'ang'ania zanzibar sio nchi hamjishtukii? 😂