KUMEKUCHA TUNDU LISSU ANAMJIBU NAPE NNAUYE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 26 сен 2024

Комментарии • 113

  • @adorchmassimba4413
    @adorchmassimba4413 4 месяца назад +4

    Ee mwenyezi Mungu mwenye haki zote simama na wapenda haki wote wanaoitakia mema nchi hii ya Tz walinde na kuwatetea kwa jina la Yesu Amin

  • @GoldDolan
    @GoldDolan 4 месяца назад +13

    Kumpata lisu chukua CCM wote+ wanasheria uchwara wa ccm wote 😂😂😂

  • @husseinkonz5192
    @husseinkonz5192 5 месяцев назад +9

    Hoja zijibiwe kwa hoja sio matus

  • @SamweliDaudi-sc1mj
    @SamweliDaudi-sc1mj 4 месяца назад +5

    Shujaa lisu mwalimu wa siasa nape kasome usibishane namjomba Ako mjomba ni mama

  • @abdullahalkindi9673
    @abdullahalkindi9673 4 месяца назад +4

    Hapo Lisu Kisha piga gongo lake hana hoja mbona Kuna MA RPC Zanzibar kutoka Bara?

  • @AyoubMsonga-ch5xg
    @AyoubMsonga-ch5xg 4 месяца назад +5

    Kama weweni mtanganyika na unamkosowa lisu huna hakili kabisa

  • @EliusPonde-i3u
    @EliusPonde-i3u 4 месяца назад +2

    Ani kichwa kimoja kinawachanganya ccm wote .tundu lissu juu

  • @GoldDolan
    @GoldDolan 4 месяца назад +9

    Lisu ni mtu na nusu

  • @ElihurumaThomas-kz8nq
    @ElihurumaThomas-kz8nq 4 месяца назад +2

    LISU NI SHUJAA WA TAIFA LETU

  • @mariamumechara3398
    @mariamumechara3398 4 месяца назад +7

    Uko sawa lisu

  • @JumaMgeri-fb2qs
    @JumaMgeri-fb2qs 4 месяца назад +2

    Ukweli lazima usemwe

  • @ShaibuYahaya-v4b
    @ShaibuYahaya-v4b 2 месяца назад

    Mzee achana na uyo boya eti anajua mbingu za uchaguz acha kuchochea moto ww unatangaza aman alafu unaivunja tunaomba nape unyamaze

  • @leonardsebunga7187
    @leonardsebunga7187 4 месяца назад

    Hoja haiakisi tukio na wakati wa tukio na sababu ya kuwepo kwa Sheria hiyo na siyo ubaguzi

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab 5 месяцев назад +6

    Wewe ni Shujaa kwa Wazanzibari kama Zanzibar ipo Tanganyika iwepo na kila mtu afanye mambo yake mwenyewe bila ya kuathiri mahusiano ya nchi husika Tanganyika na Zanzibar

    • @martinsimkoko4729
      @martinsimkoko4729 4 месяца назад

      Ongera

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 4 месяца назад

      Ingefanyika hivyo hizo kero za Muungano zisingekuwepo kwa kiasi kikubwa lakini ukikaa chini utagundua kuwa watu hawana dhamira nzuri katika kuzitatua wanasimama majukwaani wakiwa sio wakweli katika kuzitatua.

    • @R10_Rajab
      @R10_Rajab 4 месяца назад

      @@jumamohamed3168 hakuna kero za Muungano ndugu yangu huo Muungano wenyewe ndio kero

  • @EmmaMwaituka
    @EmmaMwaituka 2 месяца назад

    Majitu ya ccm akili hayana kabisa yanapinga hata ukweli

  • @thomasanthony7338
    @thomasanthony7338 5 месяцев назад +4

    Very true

  • @MbarakNahdi-l9s
    @MbarakNahdi-l9s 4 месяца назад +1

    Wewe huna shukrani Wala sera

    • @alphaexaud5279
      @alphaexaud5279 4 месяца назад

      Wewe unashindwa je kumuelewa Lissu

  • @kinkybanjukome217
    @kinkybanjukome217 4 месяца назад

    Nyinyi wabara mumejaa zanzibar na mnapiga kura kuiweka ccm madarakani kule zanzibar kwa sababu mzanzibar hawaitaki ccm wala muungano ila ni nyinyi ndio mnalazimisha kama kweli wewe lissu na huyo mbowe wako ni vidume kweli washawishi watanganyika muvunje muungano huu mbovu hatuutaki

  • @elipidhugotesha1909
    @elipidhugotesha1909 4 месяца назад

    Suala la.muungano.waulizwe wananxhi haswa waliounganishwa pande zote mbili kuwe na referundum
    Kukusanywr maoni ili yapitiwe na kuona kama kuna mapungufu na kama wananxhi wanatakaje kuhusu muungano muungano.mzuri ni ule unaokubalika na wananchi kwa100%

  • @chaganageorge7388
    @chaganageorge7388 4 месяца назад

    Ili mawazo yasiyo ya kibaguzi yasiwepo ni pale tu tutakapokuwa na katiba moja. Huwezi ruhusu upande mmoja kuwa na mawazo ya kibinafsi juu ya upande wao na kisha ukafanikiwa kuzuia mawazo hayo upande mwingine yasiwepo na upande wenye watu wengi.
    Ili kuondoa mawazo haya ya utanganyika na uzanzibar ni kuwa na katiba moja kwenye nchi moja.
    Mengine yabaki kwenye his5oria

  • @Kajunakabyemela
    @Kajunakabyemela 4 месяца назад

    lisu yuko sahii asimia 100, ccm ndo wabaguzi namba 1, nchi imekuwa ya watu wachache!

  • @MjuniLaulian
    @MjuniLaulian 4 месяца назад

    Ccm nawaomba mtoke mkamjibu lissu na chadema kwa uja kwani ccm atuna wanasheria? Wabobezi wa katiba nao waje sio kabudi uyo nae anachanganya mafaili kwa ukweli lissu ana oja na anatumia katiba zote mbili tz znzbr nanyi twambie kwamba lidsu apa ni mwongo kwa ili sio nape ajui chochote wasila ajui chochote walioba jaji na wazili mkuu anaungana na lisu sasa kwanini tusimwamini?

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh 4 месяца назад +1

    Nape usimjibu.huyo.siriziki achana nae mjinga umeongea bungeni tumekusikia.achahuyo.aongee.maporini

    • @JosephuSwai
      @JosephuSwai 4 месяца назад

      Hujielewi wewe ndio sio riziki lisu wewe ndio mchungaji wa kweli kemea hao watu sio riziki

    • @issahdady608
      @issahdady608 4 месяца назад

      Kaongea porini pia tumemsikia

  • @josephsisa8139
    @josephsisa8139 4 месяца назад

    Ndugu wananchi

  • @ChristopherSteven-oe1dd
    @ChristopherSteven-oe1dd 4 месяца назад

    Shida ipo

  • @evelina9621
    @evelina9621 4 месяца назад +3

    Kwelika.kabisa.unasema.hongerA

  • @AthumanDauda
    @AthumanDauda 4 месяца назад

    Ccm awanadata ispokua wanadata yakutumia lisas nguvu nk awana sifa nambaya zaid kufa magur sisi wanyonge tumewaona hawa ccm nihatar kwa afya zetu

  • @Man-w4o
    @Man-w4o 4 месяца назад +1

    We tundu lisu Acha kuwadangany watu

    • @MansourKabuhaya
      @MansourKabuhaya 4 месяца назад

      Anawadanganya nini, unajua kusoma kweli wewe?? Kasome katiba anayoisema ndo utajua

  • @josephsisa8139
    @josephsisa8139 4 месяца назад +1

    Ndugu wananchi tumpuuze mtu huyu jukumu lakumlinda Rais niletu sote kwahiyo kumsema vibaya Rais nikumuongezea maadui kwahiyo mtu huyu achukuliwe hatua

    • @richardmwandanji65
      @richardmwandanji65 4 месяца назад

      Hakuna anae msema vibaya rais wetubali ameshindwa kutusikiliza tunataka bandali yetu tunataka KATIBA MPYA hiyo nihaki yetu lasivyo atasemwa tu

    • @pedri-nc5in
      @pedri-nc5in 4 месяца назад

      Tundu lissu anaongea point usituchanganye ww baki na mawazo yako usituchanganye sisi

  • @salvatoryboniface1089
    @salvatoryboniface1089 4 месяца назад

    Wakala wa ubergiji

  • @josephsisa8139
    @josephsisa8139 4 месяца назад +1

    Katina ina sema ili uweze kugombea urais lazima utokee chama chochote cha siasa lakini ukisha shinda una kuwa Rais wanchi naima bila kujali vyema sasa mtu huyu unaongea nn?

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 4 месяца назад

      Hujui kitu nyamaza sikiliza mambo ili ujifunze kwanza juu ya jambo hilo na ,akisema katiba kifungu fulani kinasema hivi au vile nenda ukachukue katiba uiangalie aliyoyasema ni kweli au sio kweli ,kama sio ya kweli basi njoo uandike komenti yako kumkanusha maneno yake kuwa sio ya kweli anadanganya watu.

  • @twincetwicetv6031
    @twincetwicetv6031 4 месяца назад

    Umechanganyikiwa

  • @MussaMussa-v4x
    @MussaMussa-v4x 4 месяца назад +1

    Alafu tambueni watanganyika.MAMAHatawali Tanganyika Anatawala Tanzania uyo lisu mwanasheri gani asie lijua hilo.

  • @JosephLushinge-uy3tc
    @JosephLushinge-uy3tc 4 месяца назад

    Ni kweli mwizi

  • @magilafranco681
    @magilafranco681 4 месяца назад

    Hii imeenda

  • @LeodegardRutakyamirwa-hg9hu
    @LeodegardRutakyamirwa-hg9hu 4 месяца назад

    NI KWELI LAKINI MIMI NILIMKATALIA AFANDE WANGU

  • @IssaAbdallah-rt2sh
    @IssaAbdallah-rt2sh 4 месяца назад +1

    Ndio maana alinyooshwa dem huyo

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo 4 месяца назад

    Goli la mkono hana lake ni msaka Tonge tu axikukatixhe tamaa kamanda wetu

  • @R10_Rajab
    @R10_Rajab 4 месяца назад

    Ila kwa nchi za Kiafrica Nyinyi wenyewe mnataka madaraka mambo yenu binafsi yawe poa tu

  • @RashidThabite
    @RashidThabite 4 месяца назад

    Ww nimsenge tunajua ivi watanzania hatuna akili kiasihiki uyu ndoanakubali mashoga unampaje uwongoz uyu nifalaaa

  • @JumaMkiji
    @JumaMkiji 4 месяца назад

    CCM wameishiwa Awana oja

  • @burhanisaidi9811
    @burhanisaidi9811 4 месяца назад

    Mw Nyerere angerudi duniani Jambo la Kwanza angempiga risasi huyu jamaa😂😂

    • @PhilipoMwita-b2x
      @PhilipoMwita-b2x 2 месяца назад

      Nafikiri Kuna kazi kubwa ya kuhakikisha watanzania tunaelewa

  • @chaganageorge7388
    @chaganageorge7388 4 месяца назад

    Hivi mtanganyika akiwaza kama mzanzibari juu ya ardhi yake ni vibaya?

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb 4 месяца назад +1

    fukuzeni tundu lissu mumpeleke kwao Congo RDC mkimwacha tundu lissu Tanzania basi mtajuta badae nyinyi watz nchi yenu itavamia na magaidi tundu lissu ataharibu Amani na umija wataifa la tz

  • @AnoliasiKope
    @AnoliasiKope 4 месяца назад

    Sasa uwongo uko wapi

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 4 месяца назад +1

    Siku haya majamaa yakipata nchi itakua ndio mwisho wa amani ya Tanzania yanawaza ubaguzi2 ndio Magufuli hakuyapenda kumbe alimanisha.

  • @AhmedHassan-vl5zf
    @AhmedHassan-vl5zf 4 месяца назад +2

    Kila ujinga mnaongea SASA umejichora mzanzibar kwani Hana kuwa rais NI haram hata ufanye nini heshima yako imeshuka

  • @AyoubKhatib-p4k
    @AyoubKhatib-p4k 4 месяца назад +1

    Ndo maana ukapigwa risasi kwa uchonganishi wako akili zako zimechanganyikiwa bandari sio ya Tanganyika ni ya Zanzibar Tanganyika haina bahari ina maziwa mkuu iyo ufahamu

    • @meryshekoloa961
      @meryshekoloa961 4 месяца назад

      😮😮

    • @madenge731
      @madenge731 4 месяца назад

      We kuma kweli

    • @rashidyusuphwewenimtotowam1761
      @rashidyusuphwewenimtotowam1761 4 месяца назад

      Kwan wew ambaye hujachanganyikiwa unaona haki ni sawa kwa kipi kati ya maendèleo ya tz na zanz au na wew ni chawa wa mama

    • @YunisRichard
      @YunisRichard 4 месяца назад

      Kichwa mchungwa

    • @HamidaSeif-c8u
      @HamidaSeif-c8u 4 месяца назад

      Hawa wazanzibari wanakuja kufanya kazi/biashara na hata wakimiriki ardhi, wanaume hawaruhisi kuoa bara hayo sio maneno yangu waosema no vijana WA kizanzibar kariakoo kwenye maduka ya nguo "kama sio ubaguzi ni nini"?

  • @piusprospa8832
    @piusprospa8832 4 месяца назад

    RISU POKEA MAUA YAKO

  • @Brandina-ub9uo
    @Brandina-ub9uo 4 месяца назад

    Waliotaka roho yake wametangulia wao

  • @HawaSwaleheh
    @HawaSwaleheh 4 месяца назад

    Hata hyu lisau anabwabqaja bure akipewa madaraka anaangalia maslahi yake nyie mnaomuunga lisu mkono yeye ana maisha yake ubelgiji akiharibu anakimbilia huko nyie maboya umbwa nyie mnapakwenda ama mmebebewa akili na huyo mpumbavu mwenzenu

  • @othumanomari1589
    @othumanomari1589 4 месяца назад

    Ccm typing 😂😂

  • @thomasraiton7760
    @thomasraiton7760 4 месяца назад

    Siku mtu wa bara akitawala kama rais kule Zanzibar ndio nitaukubali muungano, lakini sio hii changu changu chako changu

  • @TwikaleDldm
    @TwikaleDldm 4 месяца назад

    Kifungu gani Cha katiba Sasa kinasema hayo maneno

    • @elizariatsere7701
      @elizariatsere7701 4 месяца назад

      Haki yake kijieleza acha upuzi

    • @TwikaleDldm
      @TwikaleDldm 4 месяца назад

      @@elizariatsere7701 matusi ya nn. Kama haki yake kujieleza nami haki yangu kuuliza... Sa upuuzi wa nn. alafu ilikuwa si lazima ujibu Kama ukuwa na Cha kujibu

    • @EdwardAlphonce-xe1yi
      @EdwardAlphonce-xe1yi 4 месяца назад

      Waulize waliopita chuo

  • @EliaHiluka-uz3ty
    @EliaHiluka-uz3ty 4 месяца назад

    Chadema wako vizuri sana hawa ndio wana sifa ya kuwatetea watanzania kwa dhati

  • @omarybakunda2554
    @omarybakunda2554 4 месяца назад

    Hili jamaa haliko sawa kiakili

    • @abeidnalino8584
      @abeidnalino8584 4 месяца назад

      Wewe ndio mgonjwa wa akili

    • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
      @SmilingFlowerBouquet-hs2hv 4 месяца назад

      Huna hata aibu kumuita LISSU Hana akili muombe msamaha nyumbu wwe inaonekana umeishia memukwa

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz 4 месяца назад

    yaani kama kuna ubaguzi na wewe unataka kuwa m,baguzi

  • @TwikaleDldm
    @TwikaleDldm 4 месяца назад

    Itume hyo clip aliyosema hayo maeneo hayati Nyerere...

    • @allonjoseph5467
      @allonjoseph5467 4 месяца назад

      unamatatizo ww akutumie crp tafta mwenyewe

    • @TwikaleDldm
      @TwikaleDldm 4 месяца назад

      @@allonjoseph5467 nchi yangu Tanzania Naipenda Sana...watu wanataka hoja ukihoji hawatoi hoja...nitafte wakati msemaji yupo

    • @rashidyusuphwewenimtotowam1761
      @rashidyusuphwewenimtotowam1761 4 месяца назад

      Lisu ni mkwer sio hadi kripc kwa sas watanzania tuna anza kujielewa. Mim maoni yangu mama akubali meza ya mazungumzo watunge katiba mpya ili kuepusha vulugu kama hizi. Kwani asiogope kama tunampenda tutamchaguà katiba mpyaaaa . Kama unaumia na mamneno ya lisu

  • @jumanneratili9829
    @jumanneratili9829 4 месяца назад

    Wewe ulikuwa wapi acha waanzilishi wewe ulikimbia nchi amekurudisha unaleta ndabi mshukuru magufuri amekufa usingerudi tz ole wako hakutaki

    • @HawaSwaleheh
      @HawaSwaleheh 4 месяца назад

      Tena mpumbavu huyu hana shukurani bora wangeliachilia mbali hata lingerie huko umbwa hiiii

  • @Brandina-ub9uo
    @Brandina-ub9uo 4 месяца назад

    Kufa wewe lisu yupo sana

  • @Brandina-ub9uo
    @Brandina-ub9uo 4 месяца назад

    Utakufa wewe lisu hafi

  • @salmaabdu5011
    @salmaabdu5011 5 месяцев назад

    Acha uhanisi wewe mmetunyonya miaka 60 na kutuuwa kila uchaguzi ujayaona na yule mwinyi kula katuuziya bandari yetu mchukuweni hatumtaki hameni zanzibar na ss tutahama tanganyika muungano tupa baharini

    • @obinasimbeye1750
      @obinasimbeye1750 4 месяца назад

      Acha uhanisi ndio Nini, hata huelewi . Toa hoja

  • @AbdallahOmar-t9v
    @AbdallahOmar-t9v 4 месяца назад

    Kwanza ww muongo bora wange kuwa kabisa mbwa ww

    • @rashidyusuphwewenimtotowam1761
      @rashidyusuphwewenimtotowam1761 4 месяца назад

      Unahasira sanà kaka kwani na wew ni mzanzibali anayosema lisu ni kwer kabisa tumuunge mkono lisu ili tupate katiba ya haki sawa.

    • @jakobongwara3038
      @jakobongwara3038 4 месяца назад

      Aaaaaa wewe naukoo wako mtalaniwa kwaujinga unao mwombea lisu

  • @claudiussilas
    @claudiussilas 4 месяца назад

    Umeongea ukweli kabisa,wafungue macho watu waone.wanaopiga kelele ni kwa sababu ya ulaji

  • @KabwikaIbrahim-ld8vf
    @KabwikaIbrahim-ld8vf 4 месяца назад +1

    Nonsense!

  • @Brandina-ub9uo
    @Brandina-ub9uo 4 месяца назад

    Mbwa ni wewe huna akili

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si 4 месяца назад +1

    Umewasaidia sana ccm kupata kura znz , maana wale walioko znz sio majuha kama wewe! Ubaguzi sio mzuri

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si 4 месяца назад +1

    Umewasaidia sana ccm kupata kura znz , maana wale walioko znz sio majuha kama wewe! Ubaguzi sio mzuri

  • @AbdallahOmar-t9v
    @AbdallahOmar-t9v 4 месяца назад

    Katiba ya tanzani kwani kaitunga mzanziri

  • @MussaMussa-v4x
    @MussaMussa-v4x 4 месяца назад +1

    Zanzibar ni visiwa hatuwezi kuwapa mamlaka ya kupiliki kila kitu halafu sisi tukashindwa nipakukaa nakuzikana.