#LIVE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 авг 2024
  • Fuatilia Mwanzo TV Plus
    SUBSCRIBE RUclips Channel yetu
    Follow us on X, Facebook and Instagram

Комментарии • 31

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 Месяц назад

    Kidogo kidogo tutafika I stand with you guys 👦 ❤️

  • @shukuruphanuel1729
    @shukuruphanuel1729 Месяц назад +4

    Safi kabisa, wasilisho zuri sana

  • @kamandaraster7899
    @kamandaraster7899 Месяц назад

    Mnatukanwa.bado..mnanyenyekea...sababu.za.ziki.zenu..awo.ccm.hajali..watu..wala.wanyonge..mtalalamika.mpka..acheni.ujinga...G..ez..mtaani.salute

  • @oscarwasenga1333
    @oscarwasenga1333 Месяц назад +4

    Nyinyi wenyewe mnawatia kiburi mlimtuza nakuosha gari yake. Ndio mkome kujikomba

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 Месяц назад +4

    Tusipochukua hatua kama GEN Z wa Kenya niwahakikishie tutaendelea kulalamika na hakuna hatua zinazochukuliwa.
    Hawa CCM walishalewq madaraka kwa kuwa wanapewa nafasi na sio kupigiwa kura.
    Jiandaeni uchaguzi ujao watu muamue kufanya kweli sivyo mtaendelea kulialia na kuomba mama mama!!!

  • @RamaHRIzmaelov
    @RamaHRIzmaelov Месяц назад +2

    Kumtuza na kuosha gari yake,,Hapo mlikosea sana

  • @oscarwasenga1333
    @oscarwasenga1333 Месяц назад

    Good we unajua kujieleza safi sana

  • @IsmailKidongo
    @IsmailKidongo Месяц назад +1

    Tatizo watanzania hatuna maamuzi magum ndiomana wanawazalau kiongozi was Kenya awezi Seema ilo

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 Месяц назад +1

    Acheni ngonjera fanyeni maamuzi.
    Huyo ni Chalamila mnamwomba asirudie whaaat!!

  • @GervasMighayo
    @GervasMighayo Месяц назад +4

    alliikosea inchi nzima kauli hizo hata watoto wako huwez watusi hivyo

  • @jakobongwara3038
    @jakobongwara3038 Месяц назад +2

    Mpaka sasa ccm niwakolofi kirakona

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Месяц назад

      Wanajua watashinda tutake tusitake Mh mwenyewe alisema hata mkishinda mpinzani hautotangazwa

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 Месяц назад +2

    Ninyi ameshawaona ni wapumbavu ,SAWA nikuizika CCM vinginevyo ache I mpaka maskini wote wawazike kwenye jabuti moja na kwasikumoja

  • @othmanali5362
    @othmanali5362 Месяц назад +2

    Viongozi wengi wao wana viburi

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo Месяц назад +1

    Eti mnasafisha garil loo

  • @amos878
    @amos878 Месяц назад +4

    Siku nyingine huyu chalamila akirudi kuongea nanyi kipumbavu nanyi amjifunze kumuacha aongee peke yake na ufupi wake wa akili mtakuwa mmefanya jambo la busara sana

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Месяц назад

      Sana watu wanatakiwa wajifunze kususa wakivunjiwa heshima maana watu wazima wanafokewa kama watoto wadogo. Hiyo sio nidhamu na maadili ya uongozi

  • @ibrahimkibira9943
    @ibrahimkibira9943 Месяц назад

    Achen uoga mabango yanashida gani ..msiogope mtu hii nchi yetu sote

  • @juliuskitaluka1206
    @juliuskitaluka1206 Месяц назад +1

    Usiku umeendelea Sana asubuhi imekaribia sana

    • @neemageorge7082
      @neemageorge7082 Месяц назад

      Chalamila sio kiongoz Bora bala ni mkandamizaji wa haki za watu na pia kajisahau Sana na kuona kafika kwenye uongoz wake sisi tumechoka na matus yake ahamishwe mara moja aende akaongoze Ngombe na sio watu

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 Месяц назад

    Mna serekali ninyi?

  • @sainatv2688
    @sainatv2688 Месяц назад

    Huyo anatakiwa afanywe kama tramp ndo watajua watanzania wamejilewa sasa

  • @sylvestercameo6263
    @sylvestercameo6263 Месяц назад

    Kiongozi mwenyewe kajaa uchawa, hajitambi! Unahamasisha wafanyabiashara wenzako mmchangie Mkuu wa mkoa vijisenti na kumuoshea gari.Ofisini kwake wameajuriwa watu na serikali wa kuosha magari yake, halafu akiwaita manafiki mnakuja juu. Hadi hapo mtakapojitambua na kuacha uchawa, kujidhalilisha, kujidunisha na kulamba viongozi ya miguu mezeeni matusi, acha kulialia!

  • @eunho9529
    @eunho9529 Месяц назад

    Yaani chalamila ni mtu asiye na hadhi hata ya kuongoza mtu zaidi ya mmoja yaani ajiongoze peke yake na si kuongoza mtu yeyote katika dunia hii. Kwa bahati mbaya watu wa namna hiyo Tanzania ndiyo wanaopewa nafasi za kuwaongoza wengine.

  • @user-kr9xx8br4o
    @user-kr9xx8br4o Месяц назад

    Jambo kubwa la kushughulikia kwa sasa siyo kauli, bali ni hatima yenu kibiashara.

  • @user-kb6pz9dk8n
    @user-kb6pz9dk8n Месяц назад

    Mimi nadhani mgekiwasha kumbe mnajieleza

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Месяц назад

    Hahahahahahahahahaaa.ngoja niongeze siku za kuishi,Tanzania nchi yangu sihami,kuna vituko chungu nzima.muda mwingine unaweza kulia,muda mwingine unaweza kuhuzunika,muda mwingine unaweza kuumizwa na muda meingine unaweza kucheka.