WAFANYABIASHARA SOKO SIMU 2000 WAMKAANGA VIKALI RC CHALAMILA WADAI AWEWADHALILISHA KWA KAULI ZAKE.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024
  • #JAMBOTV
    ...........
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►RUclips: / @jambotv908
    ►INSTAGRAM: / jambotv
    ►TWITTER: / jambotv_
    ►FACEBOOK: / jambotv
    ►WEBSITE: jambo.tz/

Комментарии • 191

  • @paitomsuva3817
    @paitomsuva3817 Месяц назад +9

    Huyu jamaa Mungu ambariki. Kazungumza Jambo kwa uchungu Sana. Safi sana

  • @japhethcharles5791
    @japhethcharles5791 Месяц назад +7

    Duuuh ,watanzania washaanza kuelewa kuwa wamewaajili watawala ,soon mambo 🔥🔥🔥🔥

  • @user-ot9zb6eg7f
    @user-ot9zb6eg7f Месяц назад +2

    Uyo charamila ana rana ya mungu kwanza mnafiki sana kipindi Cha magu magumagu Leo mama anajivuta kwake kaliakoo alijibiwa

  • @robertedward1992
    @robertedward1992 Месяц назад +2

    Chacha uko vzr,sema mamlaka iliyomteuwa ndio tatizo.

  • @MalindiSumuni
    @MalindiSumuni Месяц назад +1

    Hongera sana kaka,

  • @Jal210
    @Jal210 Месяц назад +4

    Kijana umeongea vizuri sana yaani maneno yanamaana kabisa

  • @HamisiAbdallah-vu7fz
    @HamisiAbdallah-vu7fz Месяц назад +4

    Mimi nashangaa mheshimiwa raisi bado anamuacha huyu chalamila anamuhalibia hafai kuwa kiongozi

  • @LazaroELucas
    @LazaroELucas Месяц назад +3

    Hongera utakuwa wazir wa habari baada ya jerry slaa

  • @LinuslusianLinuslusian
    @LinuslusianLinuslusian Месяц назад +2

    tuandamane kama kenya jamani hakuna cha rais hapo wote mafisadi tu twende tuandamane tu

  • @felixmsale9244
    @felixmsale9244 Месяц назад +4

    Bravo bravo !!!!Chalamila Aende Nyumbani HATUMTAKI HAFAI KUA KIONGOZI.
    Akumbuke watanzania ndio Mabosi wake .HUWEZI KUMTUKANA BOSS WAKE.

  • @msetikebwasi7270
    @msetikebwasi7270 Месяц назад +2

    Kwani tanzania hakuna gen z

  • @NixonJohnson-r4m
    @NixonJohnson-r4m Месяц назад +8

    Huyo na nape sijui mama anawaachaje mpka jioni hii ya leo ipo siku

    • @peacejunne5037
      @peacejunne5037 Месяц назад

      Nape alionge ukweli acheni kufananisha ujinga na maneno ya nape

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 Месяц назад +5

    Sijawahi kumwona Mwanasimba mvivu kuongea, jamaa yupo bomba mbaya Sana 😂😂

  • @songeza
    @songeza Месяц назад

    Chalamila nenda vzuri na wananchi usije pewa sumu familia inakupenda

  • @majidimussa8678
    @majidimussa8678 Месяц назад +4

    kwel kabsa Ajitokeze Aombe Radhi

  • @issakikwazi-jm5rq
    @issakikwazi-jm5rq Месяц назад

    mimi naamini kilichotokea kenya muda si mrefu kitatokea Tanzania najua Tanzania kupigwa risasi ni kitu cha kawaida lakini hawawezi kutuua wote ipo siku kitawaka nchi hii kwasababu watanzania tumeanza kujielewa na uoga umeshaanza kupotea

  • @MariamAnafi-bf9gy
    @MariamAnafi-bf9gy Месяц назад +2

    Daa adi mnamtamani makonda Mungu amlinde makonda na ampe afya njema ni mtu mwenye kujali na kusaidia wanyonge love you mkuu wetu.

  • @TwahaShehe
    @TwahaShehe Месяц назад +1

    Mungu akubarik cna kwa ujasir wako

  • @REUBENIMWAMBUJULE
    @REUBENIMWAMBUJULE Месяц назад +5

    Ata Mimi natamani kuwa mkuu wa mkoa namuomba charamira astaafu nichukue nafasi yake

  • @user-il5pk2dr5n
    @user-il5pk2dr5n Месяц назад +1

    Mshukuru Allah kwaalichokujaalia.

  • @azizimatahuka2012
    @azizimatahuka2012 Месяц назад

    Mungu ibariki Tanzania mungu wape ustaarabu viongozi wetu

  • @MalindiSumuni
    @MalindiSumuni Месяц назад

    Chalamila hana sifa za kuwa kiogonzi.

  • @ashuramhandoashuramhando6798
    @ashuramhandoashuramhando6798 Месяц назад

    Chalamila mi simuelewagi ni kama hamnazo kichwani 😢

  • @MWINYIKADHI
    @MWINYIKADHI 23 дня назад

    Kama bijana wanakaa kwenye media kumkosoa mkuu wa mkoa sasa tunaelekea kwengine..viongozi jitahminini kauli zenu ni hatar kwa taifa kuweni viongozi msiwe watawala..kwahi Rc umewakosea wananvhiko kuwa mpole waombe radhi na ubadilishe maamuzi..Mkubwa akivuliwa nguo huchutama...!!

  • @abdallahkungulilo7939
    @abdallahkungulilo7939 Месяц назад +2

    Chalamila hana sifa ya kuwa kiongozi, hasa kuongoza mkoa mkubwa kama Dar, Mh. Rais ikimpendeza ni bora amuhamishie mkoa wa Pwani akaendeleze mikwara yake!

    • @EveryTendega
      @EveryTendega Месяц назад

      Wew ni kenge because Hili jiji la dar linahitaji viongoz kama Hawa ,si unaona amosi makala jiji lilimshinda

  • @KwangaMbaigwa
    @KwangaMbaigwa Месяц назад

    Mungu akubariki💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯

  • @user-ze9vz7up8g
    @user-ze9vz7up8g Месяц назад +1

    Mlilieni Mungu tu

  • @evaemil856
    @evaemil856 Месяц назад

    Chalamila, Nape Nnauye na 3 others are favorites main ingredients of CCM, there is no way mama can let them go. They cause a huge damage but Tz are easy to forgive, forget and let it go.

  • @user-sd5zf6fz4v
    @user-sd5zf6fz4v Месяц назад

    Huyu chalamila ajifunze kupitia nyao za makonda yy hajui kuhudumia wananchi

  • @BonifaceHassan-j5m
    @BonifaceHassan-j5m Месяц назад +7

    Uko sahihi kijana, ni ujinga tu umemjaa!

    • @sylvestercameo6263
      @sylvestercameo6263 Месяц назад

      Hivi kati ya huyu kiongozi na mkuu wa mkoa mjinga ni nani?

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu Месяц назад

      ​@@sylvestercameo6263Huyu jamaa ni kiongozi kweli, anajua Nini anaongea sio yule Mhehe mwenzangu Cheo kimempa kiburi anatishia tu wananchi

    • @MWINYIKADHI
      @MWINYIKADHI 23 дня назад

      ​@@sylvestercameo6263mjinga ni ww usimjua mjinga

  • @MariaCassian-e2i
    @MariaCassian-e2i Месяц назад

    Tuna viongozi wa wili Nape nauye na Albart hawa uongozi bado sana wanaongoza kwa kauli tata chukueni mauwa yenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @obadiajuma436
    @obadiajuma436 Месяц назад +2

    Wangekua wanachaguliwa wangeeshimu wananchi

  • @SylvesterMakenzie
    @SylvesterMakenzie Месяц назад +2

    Wew mwenyekiti wa wamachinga ndiye unayefaa kuwa mkuu wa mkoa kuliko hiyo takataka chalamila a.k.a andunje mla mbwa

  • @robertedward1992
    @robertedward1992 Месяц назад

    Kidogokidgo mtabadirika kma Kenya.

  • @RamadhaniKitala-gx6wc
    @RamadhaniKitala-gx6wc 16 дней назад

    Tatizo mkuu wa mkoa anaongea sana mpk anakosea hana hekima wala busara wallah

  • @SabatoMusa
    @SabatoMusa 28 дней назад

    Makonda aludi kuiongoa saa chalamila hafaii

  • @Mkk-qm3jx
    @Mkk-qm3jx Месяц назад

    Brother musa izya mandaa koku?! Nakumanya brother wew uwa UKumwitu kuli sumbawanga 👏👏

  • @babawawiltegamaso4367
    @babawawiltegamaso4367 Месяц назад +2

    Hawa viongozi wanajisahau kuna siku tutawatoa

  • @MalindiSumuni
    @MalindiSumuni Месяц назад

    Chalamila equal to nothing toa uyoo RC.

  • @mansoorkazibaba522
    @mansoorkazibaba522 Месяц назад

    ❤🙌💪

  • @edwardlukumay2698
    @edwardlukumay2698 Месяц назад +1

    Chalamila hafai kua kiongozi

  • @NasawaTono
    @NasawaTono Месяц назад

    Sio kiongozi Bora yule mlevi tu

  • @mwitamalwa2773
    @mwitamalwa2773 Месяц назад +1

    Chalamila so kiogoz wa busara hajui chochote

  • @babukije268
    @babukije268 Месяц назад

    Salute

  • @abdulisike
    @abdulisike Месяц назад

    INASIKITISHA NDUGU ZANGU YEYE MUNGU KAMJALIA NDO MANA ANASEMA MNAZEEKEA UMACHINGA DAA!! TUSIMUOMBEE MABAYA ILA TUMSHUKURU TU KWANI MUNGU ANAWEZA KUMFUNDISHA MTU ANGALI BADO YUKO DUNIANI HAPA HAPA INSHALLAH.

  • @fikencharles9993
    @fikencharles9993 Месяц назад

    Safi sanaa

    • @user-ps6wm2qm4f
      @user-ps6wm2qm4f Месяц назад

      Viongozi jamani msijisahau kumbukeni Taifa hili limetokea wapi.Jitihada ni kubwa sana anazofanya Mweshimiwa Rais kwa ajili ya Watanzania Hawa wanyonge msaidieni kwa Tija ya hali ya juu ili malengo ya serikali yetu pendwa tufikie.Kumbukeni cheo ni dhamana.Tendeni haki.

  • @vinbraya6492
    @vinbraya6492 Месяц назад

    Fact

  • @user-zz1sj6sp8z
    @user-zz1sj6sp8z 22 дня назад

    Utatekwa upotee kwaaji.yakusema ukweli

  • @husseinmlimati
    @husseinmlimati Месяц назад

    Sema wenye uwezo zaidi ya yeye

  • @sufianijuma5568
    @sufianijuma5568 Месяц назад

    Allah awaongoze viongoz katika busara

  • @davidkiswaga4453
    @davidkiswaga4453 Месяц назад

    Kifupi ni hiv nchi hii haitaendelezwa kama kila pahala pakiguswa tunapiga makelele maendeleo hayana budi kuja hata kama tukijifanya tunaleta ubishi.

    • @mwin980
      @mwin980 Месяц назад

      Maendeleo ni wananchi wako kuwa na furaha

    • @mwin980
      @mwin980 Месяц назад

      Kwani hao Ndio wenye nchi yao..

  • @songeza
    @songeza Месяц назад

    Huyo Chalamila mtamzoea hapo bssfae nendeni nae syawaelewa huyo mwamwindi mkimjua wala hatowapa shida

  • @user-sd5zf6fz4v
    @user-sd5zf6fz4v Месяц назад

    Hana kauli nzuri huyu mzee chalamila

  • @silahimumsuya9664
    @silahimumsuya9664 Месяц назад

    Slaa namkubali sana

  • @user-jj3tq1rh4p
    @user-jj3tq1rh4p Месяц назад

    kuna watu wao wanadhani ni miungu watu bila kujari kuwa alowaweka hapo ni mungu anaweza fanya chochote juu ya kauli zao theni wakazijutia

  • @user-pl4ju8du7j
    @user-pl4ju8du7j Месяц назад +1

    Hangera kiongozi wee acha tu ipo siku mkoa wa Dar utaongozwa na sisi wamachinga

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb Месяц назад

    Daaaaaaaaa

  • @NixonJohnson-r4m
    @NixonJohnson-r4m Месяц назад +1

    Fanyeni maamuzi hawa viongozi sio wa maneno.. tena... hata polisi wamechoka mbaya .... huyo mteule na alitemteua ...hawapo sawa kwetu

  • @PascasMathew
    @PascasMathew Месяц назад +1

    Zama za uwazi naukweli .Mama amesikia

  • @SandraJackson-b6u
    @SandraJackson-b6u Месяц назад

    lakini huyu chalamila aliwanyanyasa mbeya wazeee

  • @SaidMkwabi-ho8yy
    @SaidMkwabi-ho8yy Месяц назад

    Yani nduguyangu unaemzungumzia inshi yamkuu wamkoa nakupa big up sana kwani mbona hatoi mitaji kwahaowatu anaewaambia wastaafu baada miaka miwili ameshalewa madaraka huyo

  • @user-hb8er6dq2q
    @user-hb8er6dq2q Месяц назад +1

    Watz tuamkeeeeeeeeee Hawa kuepukana nao ni kupga kula la kuikataaa ccm tofaut na hapooooo tutalia na kusaga menooooooooo

  • @NasawaTono
    @NasawaTono Месяц назад

    Mama amka mapema kuhusu haya

  • @saidabdalla8996
    @saidabdalla8996 Месяц назад

    Kweli kabisa hafai kabisa kupewa

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything Месяц назад

    ✌️🙏👍

  • @cheekszebedayo9340
    @cheekszebedayo9340 Месяц назад

    Must go...😅

  • @ElizabethPeter-cu8bg
    @ElizabethPeter-cu8bg Месяц назад +3

    Aliyeshiba hamjui mwenye njaa,ni ulevi wa madaraka na kukosa hekima na busara

  • @romanshirima5883
    @romanshirima5883 Месяц назад

    We kijana mungu akuweke hapo😢 amelewa madaraka huyu rc

  • @user-sd5zf6fz4v
    @user-sd5zf6fz4v Месяц назад

    Wewe broo ulikuwa ndio wa kupewa nafasi ya huy chalamila maana unajuwa kuongea

  • @akramissa3393
    @akramissa3393 Месяц назад +1

    Huyu dawa akija hamna kumpa ushirikiano, mzomeeni na mfukuzeni tusimtambue

  • @user-il5pk2dr5n
    @user-il5pk2dr5n Месяц назад +2

    Kibri cha madaraka..

  • @rasheedmbaraka7199
    @rasheedmbaraka7199 Месяц назад +1

    Huyu Mkuu wa mkoa hafai ni mjinga na roporopo.. mama timua huyu mtu

  • @EmanuelElphas
    @EmanuelElphas Месяц назад +1

    Niwakati wa kuikataa ccm

  • @KwangaMbaigwa
    @KwangaMbaigwa Месяц назад

    Mungu akupaliki umeongea sana

  • @zaydamos874
    @zaydamos874 Месяц назад

    Chalamila n tahira huyo na domo lake kubwa rahana zinamzonga hizo ndio maana anaropoka ropoka ajitambui huyo

  • @KlugarNguvila
    @KlugarNguvila Месяц назад

    Rip jpm

  • @Omarjumanne-zm9zh
    @Omarjumanne-zm9zh Месяц назад +1

    Huyo anaondoka kama nape

  • @samirsaidi8386
    @samirsaidi8386 Месяц назад

    Huyo mkuu wa mkowa huwa hana adabu sana hafai kuwa kiongozi hata kidogo tena mjinga sana ni mpuuuzi namuomba mama samia amtoe huyo ndie anaalibu kaz yake

  • @user-pj9lq5oh6i
    @user-pj9lq5oh6i Месяц назад +1

    Kwenye wakuu wa mkoooa, mataahra huyu wa d...ni mmoja wao😢

  • @user-ze9vz7up8g
    @user-ze9vz7up8g Месяц назад

    Utapata Tu brother

  • @scholarmawala1403
    @scholarmawala1403 Месяц назад

    Jamani jamani jamani !!!! Nyie SI mlimtunza hela baada kumkataa Mkuu wa wilaya???? Wa Tz Bado Sanaa kwy nyanja za kusaka haki🙆🙆

  • @Lidyaanthony-bl1nt
    @Lidyaanthony-bl1nt Месяц назад

    Yani kama anawazo la kuwasaidia wajasiliamali mjasiliaamali yoyote akimalijamiaka mitatu wamwangalie na mtaji alio jiwekeza nakumpa sapoti nakuangalia wapi anakwama alafu wawasapoti wafike mbali kibiashara

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s Месяц назад

    Kazeni wamachinga,hawa mafisadi wa awamu ya sita hawana huruma na wananchi, Rip JPM

  • @veronicanabina3380
    @veronicanabina3380 Месяц назад

    Hawana haja na wananchi kwasababu wanajua kwenye uchazi hamkuwachagua ila walijichagua

  • @isamony58
    @isamony58 Месяц назад

    Huyu chalamila hafai kuwa kiongozi analuga chafuu sana alafu nimkali suraake na rohoyake ziko sawa sawa aondolewe tuuu

  • @Hassanbaoma
    @Hassanbaoma Месяц назад

    Mwamba huyu hapa live

  • @Ambwene
    @Ambwene Месяц назад

    Chalamila Hafai kuwa mkuu wa mkoa

  • @MohamedFundikila
    @MohamedFundikila Месяц назад

    Wakuu wa mikoa na wilaya wawe wanachaguliwa sio kuteuliwa watakuwa na heshima chalamila anatumia mabavu kwenye uongozi wake hana heshima kabisa mh.rahisi muangalie huyu atakuchafua

  • @athumanbalozi9748
    @athumanbalozi9748 Месяц назад

    Nini milkuwa mnalia
    Pumbavu nyinyi
    Hamna shukrani
    Mkuu yuko sawa
    Kuwakaripia

  • @JohnJoseph-qq7ow
    @JohnJoseph-qq7ow Месяц назад

    Chalamila sio kiongozi ni mropokaji kama nape kiongozi ni makonda na Jerry slaa

  • @ednaJF1028
    @ednaJF1028 Месяц назад

    Huu ni unyanyasaji wa hari ya juu
    Kwakweli

  • @JosefuSwai
    @JosefuSwai Месяц назад

    Kweli kaka mkubwa

  • @mjimtakatifu4300
    @mjimtakatifu4300 Месяц назад

    Mda sio merefu watajuta tuoendele kuomba Mungu

  • @akramissa3393
    @akramissa3393 Месяц назад

    Chalamila wangempiga chini bado anaushamba mwingi

  • @NgunoSangano
    @NgunoSangano Месяц назад

    Tutabaki na labda

  • @shabanipanya1033
    @shabanipanya1033 Месяц назад

    Bado si mnamuona alikuwa dikteta na mtu akitaja jina lake anaonekana ni mchochezi aliahidi mtamkumbuka kwa mazuru na bado mpaka mtamkumbuka kweli

  • @user-sd5zf6fz4v
    @user-sd5zf6fz4v Месяц назад

    Bora wewe broo unaushaur na cofdens ya kuongea

  • @MariaCassian-e2i
    @MariaCassian-e2i Месяц назад

    Tususieni uchaguzi halafu tuone hizo kauli zao inaonekana chama cha mapinduzi hawakemei kauli za viongozi kama hawa maana nape mbauye nae katoa kauli yake halafu anajifanya kuomba mm samaha awamu ya tano tuliambiwa kunagoli la mkono awamu ya sita kuna mpiga kura na muhesabu kura sasa nipange foleni ya nini wakati kura yangu haina thamani? napa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @NixonJohnson-r4m
    @NixonJohnson-r4m Месяц назад +1

    Na yy sio kwa mama yake hapo..

  • @NgunoSangano
    @NgunoSangano Месяц назад

    Hajitambui huyo nikigeu geu nahastaili kabisa kuwa kiongoz