WAFANYABIASHARA SOKO SIMU 2000 WAMKAANGA VIKALI RC CHALAMILA WADAI AWEWADHALILISHA KWA KAULI ZAKE.
HTML-код
- Опубликовано: 13 сен 2024
- #JAMBOTV
...........
Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
►RUclips: / @jambotv908
►INSTAGRAM: / jambotv
►TWITTER: / jambotv_
►FACEBOOK: / jambotv
►WEBSITE: jambo.tz/
Huyu jamaa Mungu ambariki. Kazungumza Jambo kwa uchungu Sana. Safi sana
Duuuh ,watanzania washaanza kuelewa kuwa wamewaajili watawala ,soon mambo 🔥🔥🔥🔥
Uyo charamila ana rana ya mungu kwanza mnafiki sana kipindi Cha magu magumagu Leo mama anajivuta kwake kaliakoo alijibiwa
Chacha uko vzr,sema mamlaka iliyomteuwa ndio tatizo.
Hongera sana kaka,
Kijana umeongea vizuri sana yaani maneno yanamaana kabisa
Mimi nashangaa mheshimiwa raisi bado anamuacha huyu chalamila anamuhalibia hafai kuwa kiongozi
Hongera utakuwa wazir wa habari baada ya jerry slaa
tuandamane kama kenya jamani hakuna cha rais hapo wote mafisadi tu twende tuandamane tu
Bravo bravo !!!!Chalamila Aende Nyumbani HATUMTAKI HAFAI KUA KIONGOZI.
Akumbuke watanzania ndio Mabosi wake .HUWEZI KUMTUKANA BOSS WAKE.
Kwani tanzania hakuna gen z
Huyo na nape sijui mama anawaachaje mpka jioni hii ya leo ipo siku
Nape alionge ukweli acheni kufananisha ujinga na maneno ya nape
Sijawahi kumwona Mwanasimba mvivu kuongea, jamaa yupo bomba mbaya Sana 😂😂
Chalamila nenda vzuri na wananchi usije pewa sumu familia inakupenda
kwel kabsa Ajitokeze Aombe Radhi
mimi naamini kilichotokea kenya muda si mrefu kitatokea Tanzania najua Tanzania kupigwa risasi ni kitu cha kawaida lakini hawawezi kutuua wote ipo siku kitawaka nchi hii kwasababu watanzania tumeanza kujielewa na uoga umeshaanza kupotea
Daa adi mnamtamani makonda Mungu amlinde makonda na ampe afya njema ni mtu mwenye kujali na kusaidia wanyonge love you mkuu wetu.
Mungu akubarik cna kwa ujasir wako
Ata Mimi natamani kuwa mkuu wa mkoa namuomba charamira astaafu nichukue nafasi yake
Mshukuru Allah kwaalichokujaalia.
Mungu ibariki Tanzania mungu wape ustaarabu viongozi wetu
Chalamila hana sifa za kuwa kiogonzi.
Chalamila mi simuelewagi ni kama hamnazo kichwani 😢
Kama bijana wanakaa kwenye media kumkosoa mkuu wa mkoa sasa tunaelekea kwengine..viongozi jitahminini kauli zenu ni hatar kwa taifa kuweni viongozi msiwe watawala..kwahi Rc umewakosea wananvhiko kuwa mpole waombe radhi na ubadilishe maamuzi..Mkubwa akivuliwa nguo huchutama...!!
Chalamila hana sifa ya kuwa kiongozi, hasa kuongoza mkoa mkubwa kama Dar, Mh. Rais ikimpendeza ni bora amuhamishie mkoa wa Pwani akaendeleze mikwara yake!
Wew ni kenge because Hili jiji la dar linahitaji viongoz kama Hawa ,si unaona amosi makala jiji lilimshinda
Mungu akubariki💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯💯
Mlilieni Mungu tu
Chalamila, Nape Nnauye na 3 others are favorites main ingredients of CCM, there is no way mama can let them go. They cause a huge damage but Tz are easy to forgive, forget and let it go.
Huyu chalamila ajifunze kupitia nyao za makonda yy hajui kuhudumia wananchi
Uko sahihi kijana, ni ujinga tu umemjaa!
Hivi kati ya huyu kiongozi na mkuu wa mkoa mjinga ni nani?
@@sylvestercameo6263Huyu jamaa ni kiongozi kweli, anajua Nini anaongea sio yule Mhehe mwenzangu Cheo kimempa kiburi anatishia tu wananchi
@@sylvestercameo6263mjinga ni ww usimjua mjinga
Tuna viongozi wa wili Nape nauye na Albart hawa uongozi bado sana wanaongoza kwa kauli tata chukueni mauwa yenu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wangekua wanachaguliwa wangeeshimu wananchi
Wew mwenyekiti wa wamachinga ndiye unayefaa kuwa mkuu wa mkoa kuliko hiyo takataka chalamila a.k.a andunje mla mbwa
Andunje😅😅😅mgomvi wew
Kidogokidgo mtabadirika kma Kenya.
Tatizo mkuu wa mkoa anaongea sana mpk anakosea hana hekima wala busara wallah
Makonda aludi kuiongoa saa chalamila hafaii
Brother musa izya mandaa koku?! Nakumanya brother wew uwa UKumwitu kuli sumbawanga 👏👏
Hawa viongozi wanajisahau kuna siku tutawatoa
Chalamila equal to nothing toa uyoo RC.
❤🙌💪
Chalamila hafai kua kiongozi
Sio kiongozi Bora yule mlevi tu
Chalamila so kiogoz wa busara hajui chochote
Salute
INASIKITISHA NDUGU ZANGU YEYE MUNGU KAMJALIA NDO MANA ANASEMA MNAZEEKEA UMACHINGA DAA!! TUSIMUOMBEE MABAYA ILA TUMSHUKURU TU KWANI MUNGU ANAWEZA KUMFUNDISHA MTU ANGALI BADO YUKO DUNIANI HAPA HAPA INSHALLAH.
Safi sanaa
Viongozi jamani msijisahau kumbukeni Taifa hili limetokea wapi.Jitihada ni kubwa sana anazofanya Mweshimiwa Rais kwa ajili ya Watanzania Hawa wanyonge msaidieni kwa Tija ya hali ya juu ili malengo ya serikali yetu pendwa tufikie.Kumbukeni cheo ni dhamana.Tendeni haki.
Fact
Utatekwa upotee kwaaji.yakusema ukweli
Sema wenye uwezo zaidi ya yeye
Allah awaongoze viongoz katika busara
Kifupi ni hiv nchi hii haitaendelezwa kama kila pahala pakiguswa tunapiga makelele maendeleo hayana budi kuja hata kama tukijifanya tunaleta ubishi.
Maendeleo ni wananchi wako kuwa na furaha
Kwani hao Ndio wenye nchi yao..
Huyo Chalamila mtamzoea hapo bssfae nendeni nae syawaelewa huyo mwamwindi mkimjua wala hatowapa shida
Hana kauli nzuri huyu mzee chalamila
Slaa namkubali sana
kuna watu wao wanadhani ni miungu watu bila kujari kuwa alowaweka hapo ni mungu anaweza fanya chochote juu ya kauli zao theni wakazijutia
Hangera kiongozi wee acha tu ipo siku mkoa wa Dar utaongozwa na sisi wamachinga
Daaaaaaaaa
Fanyeni maamuzi hawa viongozi sio wa maneno.. tena... hata polisi wamechoka mbaya .... huyo mteule na alitemteua ...hawapo sawa kwetu
Zama za uwazi naukweli .Mama amesikia
lakini huyu chalamila aliwanyanyasa mbeya wazeee
Yani nduguyangu unaemzungumzia inshi yamkuu wamkoa nakupa big up sana kwani mbona hatoi mitaji kwahaowatu anaewaambia wastaafu baada miaka miwili ameshalewa madaraka huyo
Watz tuamkeeeeeeeeee Hawa kuepukana nao ni kupga kula la kuikataaa ccm tofaut na hapooooo tutalia na kusaga menooooooooo
Hujamsikia maneno ya nape kumbe
Mama amka mapema kuhusu haya
Kweli kabisa hafai kabisa kupewa
✌️🙏👍
Must go...😅
Aliyeshiba hamjui mwenye njaa,ni ulevi wa madaraka na kukosa hekima na busara
We kijana mungu akuweke hapo😢 amelewa madaraka huyu rc
Wewe broo ulikuwa ndio wa kupewa nafasi ya huy chalamila maana unajuwa kuongea
Huyu dawa akija hamna kumpa ushirikiano, mzomeeni na mfukuzeni tusimtambue
Kibri cha madaraka..
Huyu Mkuu wa mkoa hafai ni mjinga na roporopo.. mama timua huyu mtu
Niwakati wa kuikataa ccm
Mungu akupaliki umeongea sana
Chalamila n tahira huyo na domo lake kubwa rahana zinamzonga hizo ndio maana anaropoka ropoka ajitambui huyo
Rip jpm
Huyo anaondoka kama nape
Huyo mkuu wa mkowa huwa hana adabu sana hafai kuwa kiongozi hata kidogo tena mjinga sana ni mpuuuzi namuomba mama samia amtoe huyo ndie anaalibu kaz yake
Kwenye wakuu wa mkoooa, mataahra huyu wa d...ni mmoja wao😢
Utapata Tu brother
Jamani jamani jamani !!!! Nyie SI mlimtunza hela baada kumkataa Mkuu wa wilaya???? Wa Tz Bado Sanaa kwy nyanja za kusaka haki🙆🙆
Yani kama anawazo la kuwasaidia wajasiliamali mjasiliaamali yoyote akimalijamiaka mitatu wamwangalie na mtaji alio jiwekeza nakumpa sapoti nakuangalia wapi anakwama alafu wawasapoti wafike mbali kibiashara
Kazeni wamachinga,hawa mafisadi wa awamu ya sita hawana huruma na wananchi, Rip JPM
Hawana haja na wananchi kwasababu wanajua kwenye uchazi hamkuwachagua ila walijichagua
Huyu chalamila hafai kuwa kiongozi analuga chafuu sana alafu nimkali suraake na rohoyake ziko sawa sawa aondolewe tuuu
Mwamba huyu hapa live
Chalamila Hafai kuwa mkuu wa mkoa
Wakuu wa mikoa na wilaya wawe wanachaguliwa sio kuteuliwa watakuwa na heshima chalamila anatumia mabavu kwenye uongozi wake hana heshima kabisa mh.rahisi muangalie huyu atakuchafua
Nini milkuwa mnalia
Pumbavu nyinyi
Hamna shukrani
Mkuu yuko sawa
Kuwakaripia
Wewe hujielewi wewe
Chalamila sio kiongozi ni mropokaji kama nape kiongozi ni makonda na Jerry slaa
Huu ni unyanyasaji wa hari ya juu
Kwakweli
Kweli kaka mkubwa
Mda sio merefu watajuta tuoendele kuomba Mungu
Chalamila wangempiga chini bado anaushamba mwingi
Tutabaki na labda
Bado si mnamuona alikuwa dikteta na mtu akitaja jina lake anaonekana ni mchochezi aliahidi mtamkumbuka kwa mazuru na bado mpaka mtamkumbuka kweli
Bora wewe broo unaushaur na cofdens ya kuongea
Tususieni uchaguzi halafu tuone hizo kauli zao inaonekana chama cha mapinduzi hawakemei kauli za viongozi kama hawa maana nape mbauye nae katoa kauli yake halafu anajifanya kuomba mm samaha awamu ya tano tuliambiwa kunagoli la mkono awamu ya sita kuna mpiga kura na muhesabu kura sasa nipange foleni ya nini wakati kura yangu haina thamani? napa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Na yy sio kwa mama yake hapo..
Hajitambui huyo nikigeu geu nahastaili kabisa kuwa kiongoz