MKUTANO WAWAKA MOTO BAADA YA KAULI NZITO KUTOKA CHADEMA MANENO MAKALI YASIYOVUMILIKA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 июл 2024
  • MKUTANO WAWAKA MOTO BAADA YA KAULI NZITO KUTOKA CHADEMA MANENO MAKALI YASIYOVUMILIKA

Комментарии • 34

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 10 дней назад +4

    Waambieni hao waamke wafunge macho Watanzania tuamke usingizini.

  • @isayamwashibanda5819
    @isayamwashibanda5819 5 дней назад

    🎉🎉🎉

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 10 дней назад +1

    ukisema wachaga ukisema wakristo ni sawa Tu

  • @odoieriasmonga6591
    @odoieriasmonga6591 9 дней назад +1

    wape vidonge vyao kadogooo ingawa kuna wapuuzi wanaokubeza lakini usiogope

  • @emmanuelymganga5737
    @emmanuelymganga5737 10 дней назад

    ✌️

  • @danielphilipo9088
    @danielphilipo9088 10 дней назад

    Mimi napita tu

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 10 дней назад

    UNAKATA VIUNO BARABARA MBOVU 😢

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 10 дней назад

    Huna lolote! Njaa tu hiyo!😅😅😅

  • @user-gx9jr5le2f
    @user-gx9jr5le2f 10 дней назад

    Kwani uongo ona sasa mlivyo na akili mbovu nyie ndio mmechoka

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 11 дней назад

    Nyumba watu wanajijengea wenyewe sasa unataka ccm iwajengee hata kipindi cha Nwalimu Nyerere hakuwajengea watu nyumb

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 10 дней назад

      Majibu yako yanaonyesha ukosaji wa elimu ulionao .

    • @yosephatMasanyiwa-oh1rl
      @yosephatMasanyiwa-oh1rl 9 дней назад

      Huna akili tu tafakari nyoko wewe. Ccm imewafanya wasiweze kuinuka

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 9 дней назад

      @@margarethpolepole7438 Usifananishe kipindi cha Mwalimu na hizi nyakati za wabinafsi wachumia matumbo hawajali maendeleo ya nchi wanajijali wenyewe na kujilimbikizia mimali ya ufisadi.Kipindi cha Baba wa Taifa Viongozi walikuwa na Uzalendo waliipenda Tanzania kulikuwa na upendo umoja mshikamano. Hakukuwa na ubinafsi maisha yalikuwa ya furaha sana. Baada ya vita na Uganda ndio nchi iliterereka sana na pale alipoanza Siasa ya Ujamaa na kubinafsisha makampuni viwanda na mahospitali tukalegalega ndio ikawa mara hivi mara vile mpaka leo ndio tumedidimia tumerudi nyuma mno viwanda hakuna Mashamba ya ngano basutu yamekufa ya mkonge Tanga kwisha Alizeti kwisha viwanda vya sukari vinahemea uzalishaji mdogo yaani tafrani tu .

  • @Gelenya-ne2ip
    @Gelenya-ne2ip 10 дней назад

    Huna lolote wewe!

  • @dorothmsuya1686
    @dorothmsuya1686 10 дней назад

    Kwa hiyo nyie mnaahidi kuwajengea watanzania wote nyumba bora kwa hela zako au kwa kodi zetu? Akili za kuambiwa changanya na za kwako!😂😂😂😂😂

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 10 дней назад +1

      Umasikini uliyoko tanzania watu tunaishi maisha magumu Kodi juu tozo zinaongezwa kimyakimya vitu vyote vimepanda Bei miundombinu mibovu maji na umeme shida hayo yote yamesababishwa na ccm . Rasilimali zetu ziko mikononi mwa wageni kwa mikataba ya hovyo ndio maana kila kukicha wanakopa maana hawawezi kutumia rasilimali za nchi kwa kuwa wamewapa wageni na wao wananufaika na familia zao wanaishi nyumba nzuri waktoto zao wanasoma shule za gharama wanatembelea v8 halafu ww unaleta hoja mrenda hapa

    • @LamsonMalenga
      @LamsonMalenga 9 дней назад

      Pumbu we iv umepita ata standard one

  • @youssefsanje8743
    @youssefsanje8743 11 дней назад +1

    Chama cha mbowe na mke wake

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 10 дней назад +1

      Kwa hiyo wanachama ni watoto wao tumia akili wewe

    • @rogersiddy
      @rogersiddy 10 дней назад +1

      ​@@leokamil6284Akili yake box kbs hajielewi kbs hana hoja msajili asingesajili Chama cha familia Chadema Chama cha wananchi

    • @edsonkahesi8603
      @edsonkahesi8603 10 дней назад

      Nawewe anzisha chako ukisambaze nchi nzima.

    • @georgesteven5185
      @georgesteven5185 10 дней назад +1

      Shoga ww Huna akili

    • @user-bx3ko9ft5t
      @user-bx3ko9ft5t 10 дней назад +1

      Acha upumbavu Mimi mnyakyusa Mimi sio mchaga lakini naipenda chadema sugu mchaga heche mchaga pambalu mchaga pumbavu wewe

  • @AmanaHassan-cy4fi
    @AmanaHassan-cy4fi 9 дней назад

    Ndg yangu hicho ni Chama cha Wachaga Wewe na Uislam wako wanakucholaa tuuu.

    • @justardzelphine6526
      @justardzelphine6526 9 дней назад +1

      Wewe chawa acha akili za ukoloni!

    • @gaagwasaugustino2584
      @gaagwasaugustino2584 8 дней назад

      Wewe chawa,uchawa na udini vimekujaa kichwani! N

    • @user-lt1nr4tk9r
      @user-lt1nr4tk9r 8 дней назад

      Mim n mbondei lakin nakupenda chadema acha uwongo

    • @mwllughanosanga960
      @mwllughanosanga960 8 дней назад

      Wachaga wana chama kumbe! kwa mujibu wa sheria za nchi gani?

    • @AthumanDauda
      @AthumanDauda 8 дней назад

      Wangelikua wachaga wanachama Chao nais kasikazin nzima chadema ingerikua ishachukua viti vyote Hivyo kumbk chadema nichama Cha siasa