Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

#kivumbi

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 июл 2024
  • LEMA AANGUA KILIO WANAICHI WAMEWACHOSHA BOLA WAHAMIE CCM WOTE HAYO AMEYASEMA AKIWA KATIKA MKUTANO ALIPOKUA AKIZUNGUMZA NA WANA NCHI AKIYASEMA KWA UCHUNGU MKUBWA

Комментарии • 164

  • @MichaelMatiku-v7o
    @MichaelMatiku-v7o 13 дней назад +1

    Rema ni mwanasiasa wa karine yetu ni mwanasiasa ambae kila mtz mwenye akiri timamu anapaswa kujivunia yeye hana tamaa wala uchu wa madaraka ni mkweli binafs najivunia yeye mwenyez mungu akuongoze kaka watanzania tunatambua mchango wako katika taifa hili

  • @mackrankagenzi5236
    @mackrankagenzi5236 Месяц назад +26

    Mwenyezi Mungu Tunakuomba Ibariki CHADEMA na Mwenyekiti Mbowe kwa jinsi anavyojitolea kwa hali na mali kuwezesha viongozi wake kuelimisha wananchi kuhusu mambo mengi ya Nchi hii ,Hakika najifunza mengi kupitia siasa za CHADEMA .#M4C #CDM .❤

    • @ndogoroedson199
      @ndogoroedson199 Месяц назад

      Mungu hawezi kukibariki chama cha wahuni

    • @graysonpastory1918
      @graysonpastory1918 Месяц назад

      Wapenda uhuru wa ushoga hawa, labda sera zao wazibadili upya ,uhuru uwe na mipaka,.​@@ndogoroedson199

    • @nyerere1259
      @nyerere1259 Месяц назад

      Anajitolea vp na chama ni mali ya familiar

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu Месяц назад +4

      ​@@ndogoroedson199Wahuni ni Ccm wanao hujum wananchi wao nakufundisha watoto wetu idadi ya miguu ya panzi wakati Hio idadi ya miguu ya Panzi haiwasaidii ktk maisha

    • @damianmcba9525
      @damianmcba9525 Месяц назад

      Ccm au walimu wanaofundisha miguu ya panzi?​@@TegemeaFutemakatifu

  • @allyalijai7143
    @allyalijai7143 23 дня назад +2

    Hamna kitu hapoo, utawadanganya wasiojitambuaa.

  • @shikuhata
    @shikuhata Месяц назад +1

    Nakukubali tuu kwa kuishauri ccm kuboresha huduma kwa njia tofauti tofauti

  • @HamisMghuna-fj3vz
    @HamisMghuna-fj3vz Месяц назад +7

    Mashaaalah lema,huna baya,

  • @abdalahgunda1319
    @abdalahgunda1319 Месяц назад +10

    Point god bless lema

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf Месяц назад +5

    #TUNAIMANI NA SAMIA MITANO TENA,MAMA SAMIA OYEE, MAKONDA OYEEE, PITER MSIGWA OYEEE, BASHE OYEEE, CCM OYEEE.

    • @olivermwakikuti
      @olivermwakikuti Месяц назад

      Oyeeeeeeeeeeeeeeee

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 Месяц назад

      Oyeeeee CCM oyeee Msigwa oyeeee mama Samia oyeee Makonda oyeee ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-kc6hg1se7b
    @user-kc6hg1se7b Месяц назад

    Mungu atusaidie WA Tanzania ambao hatuna uelewa, pipooooosss

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb Месяц назад +7

    Nabii wa Mungu piga kazi Ikulu safari hii ni yenu

  • @MnyamaTolu-kd5ct
    @MnyamaTolu-kd5ct Месяц назад +8

    Nakukubali Mwamba

  • @JeremiaholendikaMakeseni
    @JeremiaholendikaMakeseni Месяц назад +3

    Hogera sana kiongozi makini

  • @estachengula3902
    @estachengula3902 13 дней назад

    Msingwa kuhamia ccmu kama anaroho wa mungu atajihikumu mwenyewe ametukosea watanzania sanaaa tulimpenda Sasa mmmmm

  • @JamesMatondo-fk4bh
    @JamesMatondo-fk4bh Месяц назад +4

    Hongera kwa mawazo mazur

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 Месяц назад +9

    Nenda ccm lema,chadema utafulia sana

    • @ramadhanchenga4606
      @ramadhanchenga4606 Месяц назад +1

      Hakuzaliwa hivo

    • @usembiphonedar5632
      @usembiphonedar5632 Месяц назад

      Akili zako na kufikiri kwako ndiyo kumeishia hapo! Lema siyo type yako kununuliwa kwa tamaa kama mnavyonunua wengine! Hovyoooo kabisa!

    • @stanastana3199
      @stanastana3199 Месяц назад

      @@usembiphonedar5632 hii komment naitunza,ni swala la mda tu

    • @halimamasai2234
      @halimamasai2234 Месяц назад

      Anakaribishwa hata Msigwa mlisema hataenda CCM yako wapi na Lema ajee tu chadema wamekwisha ki siyasa wanaimba taarbu tu sasa 🤣🤣🤣🤣

  • @foibennjeje7730
    @foibennjeje7730 Месяц назад +2

    Mbalikiwe Mungu ndugu zangu

  • @user-od1pl6ox5m
    @user-od1pl6ox5m Месяц назад

    Mungu awenawe mwambaaa 🙏🙏

  • @Anordgration
    @Anordgration Месяц назад +3

    Mzee democrasia ipi mnaongelea jamanii? Tengeneza kwanza democrasia ya chama chenu ndo muongelee hiyo democrasia

  • @carloschikawe3244
    @carloschikawe3244 Месяц назад +1

    Aisee Mungu atusaidie

  • @thomasrobert-bf1mf
    @thomasrobert-bf1mf Месяц назад +3

    mbona kipindi ukiwa ukiwa mubunge mbona hujawai kusikika

  • @user-vb8ki3jo9t
    @user-vb8ki3jo9t Месяц назад +2

    Ulipo kuwa mbunge ulishindwaje kufanya hayo muzeeee acha uongo watanzania wanaakili

  • @godhelpmassam3480
    @godhelpmassam3480 Месяц назад +1

    Ee Mwenyenzi Mungu tusaidie.

  • @sammykateregga6238
    @sammykateregga6238 Месяц назад +6

    Hoaja zako zinaeleweka Mhe Lema nadhani Mungu ni mwaminifu naye atafanya kwa wakati wake. Watanganyika kama hatuelewi tupo tu kufikiria betting na michezo ya timu za nje tunazojua majina ya wachezaji wote ambayo haina faida kabisa katika ustawi wetu, lakni hatuna habari na jinsi gani mali zetu zinavyotumiwa. Laiti watu wangejifunza kutoka kwa Gen Z ya jirani. Mungu atuhurumie

  • @abubakarimchani8362
    @abubakarimchani8362 Месяц назад

    Iko sawa mkuu wangu

  • @sarahdeograthias9097
    @sarahdeograthias9097 Месяц назад +3

    Mungu mbariki Makonda

    • @TegemeaFutemakatifu
      @TegemeaFutemakatifu Месяц назад

      Makonda Kwa nafasi yake si haba Lakini Hawa jamaa wanafanya Kazi kubwa sana kutufungua faham zetu, vinginevo Ccm watatuumiza sana

  • @user-qh5lq7gx2b
    @user-qh5lq7gx2b Месяц назад

    Hongera sana kamanda lema

  • @rehemakarafuu-xi1py
    @rehemakarafuu-xi1py Месяц назад +2

    kichwa san mwamba

  • @barakamanga5502
    @barakamanga5502 Месяц назад +1

    Upo sawa

  • @Flaviosafari
    @Flaviosafari Месяц назад +10

    Wanataka Mungu ashuke labda aongee mwenyewe ? Wakati unakuja.

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 Месяц назад +5

    Lema hebu acha story njooni kwenye Mada ya chaguzi zijazo na jinsi gani tunaleta mabadiliko.!!

    • @ShamteMaganga
      @ShamteMaganga Месяц назад

      Subiri kampeni zianze

    • @karolikisaka8991
      @karolikisaka8991 Месяц назад

      Hii ndiyo hoja ndugu ambayo itakutia wewe uchungu uiondoe ccm Kisha ndo tuje tutengeneze katiba.
      Ccm hawataki kabisa kusikia hiyo kitu

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb Месяц назад +17

    Kama Lema ni mwongo basi mkweli atashuka kutoka juu

  • @MageAwe-hl5zb
    @MageAwe-hl5zb Месяц назад +4

    Leo wanasema Tanzania ya viwanda

  • @mwaramimbuya5443
    @mwaramimbuya5443 28 дней назад

    amina ccm mwamba

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 Месяц назад +2

    Mungu akubariki Lema. Kweli tupuu unayoiongea.

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Месяц назад +13

    Lema umeongea jambo sahihi sana

  • @heriethmsambili5711
    @heriethmsambili5711 Месяц назад

    😂😂😂hapo kwenye tunaongozwa na machiziiiii😅😅😅

  • @edsonmoris
    @edsonmoris Месяц назад +1

    Nimekuelewa lema

  • @MohamedHamsini
    @MohamedHamsini Месяц назад +2

    LEMA MUONGO SANA WEWE ULIKUWA MBUNGE ULIFANYA NINI?

    • @ericlowasa3097
      @ericlowasa3097 Месяц назад

      Ulitegemea atafanya nini na bajeti ya utekelezaji wa maendeleo kwenye majimbo wanatoa ccm kunachakufanya happ

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Месяц назад +10

    ila hawa wapinzani wameteseka kweli

  • @azizimangara9024
    @azizimangara9024 Месяц назад +4

    Watanzania wapo Timamu. Tofauti na mnavyo wafikiria., Bora kibaya ulichonacho, kuliko kibaya zaidi, ambacho Aupo nacho. Wa Tz tunawafahamu vizuri saana, walio madarakani na nyinyi msio kuwa madarakani. Toa sera safisha Kwanza kwako ndo umwambie jirani uchafu wake, unamsema mwenzio ajaoga siku mbili wakati wewe mwenyewe ujaoga mwezi!!!!

    • @user-lw3tg3yg5b
      @user-lw3tg3yg5b Месяц назад

      Viongozi

    • @noelyhaule5695
      @noelyhaule5695 Месяц назад +2

      wew n hasara kwa taifa

    • @erickmsigala138
      @erickmsigala138 Месяц назад +1

      Ulipatikana Guest akili mgando ndiyo maana mnajiita Chawa wachafu wakubwa nyie miccm

    • @pennymahombo9528
      @pennymahombo9528 Месяц назад

      Huwezi misquote ukimya,bora ukae kimya kuliko kuzungumza ujinga wenye akili watakudharau,

  • @UmmyDaud
    @UmmyDaud Месяц назад

    Sema lema inatakiwa tushikamane hakuna kujali kitu😂

  • @TarimoMangi
    @TarimoMangi Месяц назад +10

    Nabii ikulu ni yenu #CHADEMA# WANAMAPINDUZI.

    • @MilloWamilonga-ft8ir
      @MilloWamilonga-ft8ir Месяц назад +3

      Thubutuu kwa huyo mkimbizi wa saccos ya mfalme mbowe makengeza?

  • @pennymahombo9528
    @pennymahombo9528 Месяц назад +4

    Great visionary

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526 Месяц назад +7

    Kapunga wameiua wenyewe, halafu wanaagiza mchele kutoka

    • @adelinelyaruu3036
      @adelinelyaruu3036 Месяц назад

      Na mashamba ya Basuto enzi hizi😮😮

    • @MnubiMm
      @MnubiMm Месяц назад

      Lema mnalipwa pesa za Wabunge Wabunge VT Maalum mmelipa pesa za Ruzuku ya chama zaidi ya bilioni 2 useme na hayo Kama kweli wewe na chama chako ni wakweli chama chenu lema sio chama Cha kutawala nchi ni kwa sbb sio chama Maamuzi yote yako kwa Mtu mmoja ni hatali hataki kupingwa ww lema na ubabe wako wote ww unamuogopa Mbowe kazi yenu kudumisha fikra za MWENYEKITI hayo unayosema aliyasema Ruto siku mia moja Leo kafeli Kila kitu Kodi mmpaka kwenye mkate kusema kitu kingine kutenda kingine lema nchi sio Jimbo usirahisishe Kila kitu wenye Akili wanaelewa hiyo katiba mpya tume huru ndio iliyomuweka Dr Ruto Madarakani Kama ndio hoja Leo Kenya ingekuwa Paradiso lakini Kenya hapakaliki kisa Kodi Matunda ya katiba mpya na tume huru katiba mpya tume huru sio dawa Dawa Nani Mtawala ingekuwa dawa tungeona Kenya

  • @kaaakwakutuliaa5179
    @kaaakwakutuliaa5179 Месяц назад +1

    kweli chadema mnazidiwa na mwamposa

  • @samwelsimon7392
    @samwelsimon7392 Месяц назад +1

    umesahau na kesi ya mkeo

  • @user-rc1dp6ux3k
    @user-rc1dp6ux3k Месяц назад +3

    Kweli tunaongozwa na watu wasio na uwezo

  • @sadicksingogo260
    @sadicksingogo260 Месяц назад +1

    Unasikika mwanaume

  • @thomasrobert-bf1mf
    @thomasrobert-bf1mf Месяц назад +1

    mbona ujawai kuongelea bungeni

  • @emmanuelkyandochali990
    @emmanuelkyandochali990 Месяц назад +1

    Mnatoa wap pesa

  • @MeshackKaboja
    @MeshackKaboja Месяц назад +2

    Hamna lolote mjingatuu ndo atakuerewa

  • @ngwandukadama4229
    @ngwandukadama4229 Месяц назад +2

    Kwa hiyo

  • @epifaniamilinga2848
    @epifaniamilinga2848 Месяц назад +2

    Kwa hiyo tukudaidie.nini

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa8043 Месяц назад +1

    Hamna mtu hapo lema ni hewa nenda machame

  • @ProsperMsemwa-g8n
    @ProsperMsemwa-g8n 14 дней назад

    Chadema ndio chama sahihi kinaonekana

  • @emmanuelmashishanga7141
    @emmanuelmashishanga7141 Месяц назад +3

    Nisuala la muda tu

  • @molenicharles9107
    @molenicharles9107 Месяц назад +1

    Napita tu...ila njaa mbaya

  • @user-px1tc1nj1w
    @user-px1tc1nj1w Месяц назад +2

    Unachongea tu

  • @davidmalisa8043
    @davidmalisa8043 Месяц назад

    Wazazi wako walitoka machame au

  • @AbdallahBabu-jl8ld
    @AbdallahBabu-jl8ld Месяц назад +1

    Mngefanya hata moja lamaana sio kusambaza maneno hata kwenye kanga yapo

  • @user-rk9gr9yf3i
    @user-rk9gr9yf3i Месяц назад +1

    Huna mpango kilichobaki kakojoe ukalale unataka siasa ndo hiyo

  • @edgeredson9691
    @edgeredson9691 Месяц назад +1

    Chama hiki kinazungumzia wabunge kukamatwa mara lema kuwa na kesi mara risasi,, sasa hik chama kitazungumzia matatzo ya wananchi? Hiki chama kila mtu ni selfish

  • @user-bj9nb1yh3o
    @user-bj9nb1yh3o Месяц назад

    Luzuku mnapeleka wapi wacheni usani

  • @eliasnshashi3196
    @eliasnshashi3196 Месяц назад

    Upon sawa

  • @reginaldmapunda6702
    @reginaldmapunda6702 18 дней назад

    Water table yake ni maji.

  • @AnaniaBulaya-rc3jv
    @AnaniaBulaya-rc3jv Месяц назад +2

    Kama hampati Hela yoyote.Hela ya ruzuku imetoka juzi imeenda wapi?

  • @RwegoshoraPatt-os2ik
    @RwegoshoraPatt-os2ik Месяц назад +1

    Lema zuri gani umewafanyia watanzani?

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 Месяц назад +3

    Fisiyemu ni korona ya taifa la tanganyika

    • @samwelsimon7392
      @samwelsimon7392 Месяц назад +1

      chadema bado sana nyie pigeni kelele tu mtimize wajibu wenu wa kupayuka mchoke mpate usingizi vizuri

  • @daudibukuku6490
    @daudibukuku6490 Месяц назад +4

    Hao watu au mchanga???? People's!!!!!!!!!!!!!!!

  • @HashimuAbubakar-ej8gc
    @HashimuAbubakar-ej8gc Месяц назад +2

    Wananchi siku wakiweelewa hoja zenu amtatumia nguvu kushawshi watu

  • @abuuawalina2625
    @abuuawalina2625 Месяц назад +2

    Chama ni CCM tu. Nchi hii, tunajuwa baadhi ya makabila yenye ukabila. Tunajuwa watu wa kaskazini asili yao wanaukabila sana, huo ndio ukweli. Haito tokea nchi kuchukuwa Chadema, labda chama kingine

    • @olivermwakikuti
      @olivermwakikuti Месяц назад

      Hakika ccm ni chama dume chama imara kigum kutoka madarakan

  • @davidchihimba9489
    @davidchihimba9489 Месяц назад

    Asee mungu anaona yote haya hao mambwa wachache kwa nini tusiwauwe tu mizoga hao wanatesa watu kwa faida gani

  • @sarikielimbise447
    @sarikielimbise447 Месяц назад +1

    Peleka huko,wewe hata familia inakulalamikia, licha ya Nchi,mkimbizi

  • @YusufSwaibu
    @YusufSwaibu 6 дней назад

    Mpumbavu mkubwa weee

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Месяц назад

    Kenya demokrasia sasa inawatesa.

  • @mbikamtanganaki
    @mbikamtanganaki Месяц назад +1

    Tulikupa ubunge ukaenda bungen kupinga kilsa kitu tuambie kipindi chako ulifanya nini

  • @NusraMwalyawa
    @NusraMwalyawa Месяц назад

    Wachane hao

  • @ombenipenieli1432
    @ombenipenieli1432 Месяц назад

    Hakuna anaelipwa mshahara ila nyie mnapiga hela milioni hizo mnatoa wapi?acheni kutudanganya lema hiyo hela mngefanyia maendeleo madarasa zahanati mimi ningewaelewa acheni porojo

    • @ZakayoYohana
      @ZakayoYohana Месяц назад

      Yani Kodi akusanye mwigulu harafu zahanati ajenge lema huna Akiri

  • @dunstankihaa2383
    @dunstankihaa2383 Месяц назад

    Majitu ya Tanzania hayaelew kabsa

  • @user-md7sd3hk6l
    @user-md7sd3hk6l Месяц назад

    nai penda chadema sana wa sema kweli siyo wale uki sema ukweli una tolewa bungeni muongo ana pigiwa makofi

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Месяц назад +3

    Sasa wewe unawatetea wanyonge yajaze hayo maji acha ngonjera zako

  • @MusaOgwoko
    @MusaOgwoko Месяц назад

    Chadema mna Kura nyingi

  • @athumanmtunguja4412
    @athumanmtunguja4412 Месяц назад

    tatizo hapo kunawapiga hela kila mtu anatetea tumbo lake

  • @nabimanyafesto5014
    @nabimanyafesto5014 Месяц назад

    Tunawaomba Karagwe jamani

  • @dianamakyara4210
    @dianamakyara4210 Месяц назад

    ✌️✌️✌️

  • @MajaliwaTalali
    @MajaliwaTalali Месяц назад

    ❤⁹ooo😊

  • @karolikisaka8991
    @karolikisaka8991 Месяц назад

    Kateshi ulikuwa na ngano saafi,wengi hamjui lkn sisi tunaona ulikuwa ni kama ulaya

  • @samsongazika8908
    @samsongazika8908 Месяц назад

    Unatembea faida yako nn

  • @DanielManumbo
    @DanielManumbo Месяц назад

    😅😅

  • @jumashimba9620
    @jumashimba9620 Месяц назад +1

    Lema wewe ni mzalendo

    • @kiyabolnjemu9646
      @kiyabolnjemu9646 Месяц назад +2

      Mzalendo kwenye nn? Halopwi mshahara na hayo matumizi anapata wapi?

    • @YassinRajabu
      @YassinRajabu Месяц назад

      😂😂😂😂😂​@@kiyabolnjemu9646

  • @TonyTrans-xw3bb
    @TonyTrans-xw3bb Месяц назад

    Hapa wapi?

  • @hamiltonmzee6120
    @hamiltonmzee6120 Месяц назад

    😢😢😢😢😢😢😢

  • @lorubaadvocates
    @lorubaadvocates Месяц назад +1

    Business

  • @KudraWanguvu-em1xw
    @KudraWanguvu-em1xw Месяц назад +1

    Huyu huwa hamna kitu ungekuwa mkweli mngelekebisha chama cha cdm

  • @MichaelEliasmwampamba
    @MichaelEliasmwampamba Месяц назад

    Wakati wewe ni mbunge mbona hayo haukufanya nakwenye jimbo lako ulifanya nini wewe

  • @nasibuabasi4701
    @nasibuabasi4701 Месяц назад

    Ruzuku ya chama inatumika kwenye nini?

  • @ibrahimgwasma1223
    @ibrahimgwasma1223 Месяц назад

    Lema lkn ulikuwa Mbunge hapa Arusha miaka 10 je huduma inayopatikana Arusha ni tofauti na majimbo ambayo ni ccm ?.
    Au ndo kusema mpaka serikali

  • @hamzaabdallah8637
    @hamzaabdallah8637 Месяц назад +1

    Eti hamna pesa?? Ruzuku mnaxipewa na Serikali mnaxiweka wapi?? Nchi zinawapa pesa mnaxiweka wapi?? Mnatafuta huruma Kwa watu?? Wezi kama wengine .
    Majambazi kama majambazi wengine
    M

  • @user-px1tc1nj1w
    @user-px1tc1nj1w Месяц назад +1

    Sasa hapo kuna sera gani

  • @justardzelphine6526
    @justardzelphine6526 Месяц назад

    Yeye amepata wapi?

  • @ShamteMohmed-ed2kk
    @ShamteMohmed-ed2kk Месяц назад +1

    Ruzuku kazi yake nini?