LEMA AANGUA KILIO WANAICHI WAMEWACHOSHA BOLA WAHAMIE CCM WOTE HAYO AMEYASEMA AKIWA KATIKA MKUTANO ALIPOKUA AKIZUNGUMZA NA WANA NCHI AKIYASEMA KWA UCHUNGU MKUBWA
Rema ni mwanasiasa wa karine yetu ni mwanasiasa ambae kila mtz mwenye akiri timamu anapaswa kujivunia yeye hana tamaa wala uchu wa madaraka ni mkweli binafs najivunia yeye mwenyez mungu akuongoze kaka watanzania tunatambua mchango wako katika taifa hili
Mwenyezi Mungu Tunakuomba Ibariki CHADEMA na Mwenyekiti Mbowe kwa jinsi anavyojitolea kwa hali na mali kuwezesha viongozi wake kuelimisha wananchi kuhusu mambo mengi ya Nchi hii ,Hakika najifunza mengi kupitia siasa za CHADEMA .#M4C #CDM .❤
@@ndogoroedson199Wahuni ni Ccm wanao hujum wananchi wao nakufundisha watoto wetu idadi ya miguu ya panzi wakati Hio idadi ya miguu ya Panzi haiwasaidii ktk maisha
Hoaja zako zinaeleweka Mhe Lema nadhani Mungu ni mwaminifu naye atafanya kwa wakati wake. Watanganyika kama hatuelewi tupo tu kufikiria betting na michezo ya timu za nje tunazojua majina ya wachezaji wote ambayo haina faida kabisa katika ustawi wetu, lakni hatuna habari na jinsi gani mali zetu zinavyotumiwa. Laiti watu wangejifunza kutoka kwa Gen Z ya jirani. Mungu atuhurumie
Watanzania wapo Timamu. Tofauti na mnavyo wafikiria., Bora kibaya ulichonacho, kuliko kibaya zaidi, ambacho Aupo nacho. Wa Tz tunawafahamu vizuri saana, walio madarakani na nyinyi msio kuwa madarakani. Toa sera safisha Kwanza kwako ndo umwambie jirani uchafu wake, unamsema mwenzio ajaoga siku mbili wakati wewe mwenyewe ujaoga mwezi!!!!
Lema mnalipwa pesa za Wabunge Wabunge VT Maalum mmelipa pesa za Ruzuku ya chama zaidi ya bilioni 2 useme na hayo Kama kweli wewe na chama chako ni wakweli chama chenu lema sio chama Cha kutawala nchi ni kwa sbb sio chama Maamuzi yote yako kwa Mtu mmoja ni hatali hataki kupingwa ww lema na ubabe wako wote ww unamuogopa Mbowe kazi yenu kudumisha fikra za MWENYEKITI hayo unayosema aliyasema Ruto siku mia moja Leo kafeli Kila kitu Kodi mmpaka kwenye mkate kusema kitu kingine kutenda kingine lema nchi sio Jimbo usirahisishe Kila kitu wenye Akili wanaelewa hiyo katiba mpya tume huru ndio iliyomuweka Dr Ruto Madarakani Kama ndio hoja Leo Kenya ingekuwa Paradiso lakini Kenya hapakaliki kisa Kodi Matunda ya katiba mpya na tume huru katiba mpya tume huru sio dawa Dawa Nani Mtawala ingekuwa dawa tungeona Kenya
Chama hiki kinazungumzia wabunge kukamatwa mara lema kuwa na kesi mara risasi,, sasa hik chama kitazungumzia matatzo ya wananchi? Hiki chama kila mtu ni selfish
Chama ni CCM tu. Nchi hii, tunajuwa baadhi ya makabila yenye ukabila. Tunajuwa watu wa kaskazini asili yao wanaukabila sana, huo ndio ukweli. Haito tokea nchi kuchukuwa Chadema, labda chama kingine
Hakuna anaelipwa mshahara ila nyie mnapiga hela milioni hizo mnatoa wapi?acheni kutudanganya lema hiyo hela mngefanyia maendeleo madarasa zahanati mimi ningewaelewa acheni porojo
Eti hamna pesa?? Ruzuku mnaxipewa na Serikali mnaxiweka wapi?? Nchi zinawapa pesa mnaxiweka wapi?? Mnatafuta huruma Kwa watu?? Wezi kama wengine . Majambazi kama majambazi wengine M
Rema ni mwanasiasa wa karine yetu ni mwanasiasa ambae kila mtz mwenye akiri timamu anapaswa kujivunia yeye hana tamaa wala uchu wa madaraka ni mkweli binafs najivunia yeye mwenyez mungu akuongoze kaka watanzania tunatambua mchango wako katika taifa hili
Mwenyezi Mungu Tunakuomba Ibariki CHADEMA na Mwenyekiti Mbowe kwa jinsi anavyojitolea kwa hali na mali kuwezesha viongozi wake kuelimisha wananchi kuhusu mambo mengi ya Nchi hii ,Hakika najifunza mengi kupitia siasa za CHADEMA .#M4C #CDM .❤
Mungu hawezi kukibariki chama cha wahuni
Wapenda uhuru wa ushoga hawa, labda sera zao wazibadili upya ,uhuru uwe na mipaka,.@@ndogoroedson199
Anajitolea vp na chama ni mali ya familiar
@@ndogoroedson199Wahuni ni Ccm wanao hujum wananchi wao nakufundisha watoto wetu idadi ya miguu ya panzi wakati Hio idadi ya miguu ya Panzi haiwasaidii ktk maisha
Ccm au walimu wanaofundisha miguu ya panzi?@@TegemeaFutemakatifu
Hamna kitu hapoo, utawadanganya wasiojitambuaa.
Nakukubali tuu kwa kuishauri ccm kuboresha huduma kwa njia tofauti tofauti
Mashaaalah lema,huna baya,
Point god bless lema
#TUNAIMANI NA SAMIA MITANO TENA,MAMA SAMIA OYEE, MAKONDA OYEEE, PITER MSIGWA OYEEE, BASHE OYEEE, CCM OYEEE.
Oyeeeeeeeeeeeeeeee
Oyeeeee CCM oyeee Msigwa oyeeee mama Samia oyeee Makonda oyeee ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu atusaidie WA Tanzania ambao hatuna uelewa, pipooooosss
Nabii wa Mungu piga kazi Ikulu safari hii ni yenu
Kaka ikilu ipi ,kwa katiba gani?
Nakukubali Mwamba
Hogera sana kiongozi makini
Msingwa kuhamia ccmu kama anaroho wa mungu atajihikumu mwenyewe ametukosea watanzania sanaaa tulimpenda Sasa mmmmm
Hongera kwa mawazo mazur
Nenda ccm lema,chadema utafulia sana
Hakuzaliwa hivo
Akili zako na kufikiri kwako ndiyo kumeishia hapo! Lema siyo type yako kununuliwa kwa tamaa kama mnavyonunua wengine! Hovyoooo kabisa!
@@usembiphonedar5632 hii komment naitunza,ni swala la mda tu
Anakaribishwa hata Msigwa mlisema hataenda CCM yako wapi na Lema ajee tu chadema wamekwisha ki siyasa wanaimba taarbu tu sasa 🤣🤣🤣🤣
Mbalikiwe Mungu ndugu zangu
Mungu awenawe mwambaaa 🙏🙏
Mzee democrasia ipi mnaongelea jamanii? Tengeneza kwanza democrasia ya chama chenu ndo muongelee hiyo democrasia
Aisee Mungu atusaidie
mbona kipindi ukiwa ukiwa mubunge mbona hujawai kusikika
Unamfaham vzr alipokuwa bungeni
Ulipo kuwa mbunge ulishindwaje kufanya hayo muzeeee acha uongo watanzania wanaakili
Mh
Mbunge kazi yake ni kuishauri serikali wewe
Ee Mwenyenzi Mungu tusaidie.
Hoaja zako zinaeleweka Mhe Lema nadhani Mungu ni mwaminifu naye atafanya kwa wakati wake. Watanganyika kama hatuelewi tupo tu kufikiria betting na michezo ya timu za nje tunazojua majina ya wachezaji wote ambayo haina faida kabisa katika ustawi wetu, lakni hatuna habari na jinsi gani mali zetu zinavyotumiwa. Laiti watu wangejifunza kutoka kwa Gen Z ya jirani. Mungu atuhurumie
Salute bro
Iko sawa mkuu wangu
Mungu mbariki Makonda
Makonda Kwa nafasi yake si haba Lakini Hawa jamaa wanafanya Kazi kubwa sana kutufungua faham zetu, vinginevo Ccm watatuumiza sana
Hongera sana kamanda lema
kichwa san mwamba
Upo sawa
Wanataka Mungu ashuke labda aongee mwenyewe ? Wakati unakuja.
Lema hebu acha story njooni kwenye Mada ya chaguzi zijazo na jinsi gani tunaleta mabadiliko.!!
Subiri kampeni zianze
Hii ndiyo hoja ndugu ambayo itakutia wewe uchungu uiondoe ccm Kisha ndo tuje tutengeneze katiba.
Ccm hawataki kabisa kusikia hiyo kitu
Kama Lema ni mwongo basi mkweli atashuka kutoka juu
Leo wanasema Tanzania ya viwanda
amina ccm mwamba
Mungu akubariki Lema. Kweli tupuu unayoiongea.
Lema umeongea jambo sahihi sana
😂😂😂hapo kwenye tunaongozwa na machiziiiii😅😅😅
Nimekuelewa lema
LEMA MUONGO SANA WEWE ULIKUWA MBUNGE ULIFANYA NINI?
Ulitegemea atafanya nini na bajeti ya utekelezaji wa maendeleo kwenye majimbo wanatoa ccm kunachakufanya happ
ila hawa wapinzani wameteseka kweli
Watanzania wapo Timamu. Tofauti na mnavyo wafikiria., Bora kibaya ulichonacho, kuliko kibaya zaidi, ambacho Aupo nacho. Wa Tz tunawafahamu vizuri saana, walio madarakani na nyinyi msio kuwa madarakani. Toa sera safisha Kwanza kwako ndo umwambie jirani uchafu wake, unamsema mwenzio ajaoga siku mbili wakati wewe mwenyewe ujaoga mwezi!!!!
Viongozi
wew n hasara kwa taifa
Ulipatikana Guest akili mgando ndiyo maana mnajiita Chawa wachafu wakubwa nyie miccm
Huwezi misquote ukimya,bora ukae kimya kuliko kuzungumza ujinga wenye akili watakudharau,
Sema lema inatakiwa tushikamane hakuna kujali kitu😂
Nabii ikulu ni yenu #CHADEMA# WANAMAPINDUZI.
Thubutuu kwa huyo mkimbizi wa saccos ya mfalme mbowe makengeza?
Great visionary
Kapunga wameiua wenyewe, halafu wanaagiza mchele kutoka
Na mashamba ya Basuto enzi hizi😮😮
Lema mnalipwa pesa za Wabunge Wabunge VT Maalum mmelipa pesa za Ruzuku ya chama zaidi ya bilioni 2 useme na hayo Kama kweli wewe na chama chako ni wakweli chama chenu lema sio chama Cha kutawala nchi ni kwa sbb sio chama Maamuzi yote yako kwa Mtu mmoja ni hatali hataki kupingwa ww lema na ubabe wako wote ww unamuogopa Mbowe kazi yenu kudumisha fikra za MWENYEKITI hayo unayosema aliyasema Ruto siku mia moja Leo kafeli Kila kitu Kodi mmpaka kwenye mkate kusema kitu kingine kutenda kingine lema nchi sio Jimbo usirahisishe Kila kitu wenye Akili wanaelewa hiyo katiba mpya tume huru ndio iliyomuweka Dr Ruto Madarakani Kama ndio hoja Leo Kenya ingekuwa Paradiso lakini Kenya hapakaliki kisa Kodi Matunda ya katiba mpya na tume huru katiba mpya tume huru sio dawa Dawa Nani Mtawala ingekuwa dawa tungeona Kenya
kweli chadema mnazidiwa na mwamposa
umesahau na kesi ya mkeo
Kweli tunaongozwa na watu wasio na uwezo
Unasikika mwanaume
mbona ujawai kuongelea bungeni
Mnatoa wap pesa
Hamna lolote mjingatuu ndo atakuerewa
Zero brain ww
Kuwa na hakili kidog
Kwa hiyo
Kwa hiyo tukudaidie.nini
Hamna mtu hapo lema ni hewa nenda machame
Chadema ndio chama sahihi kinaonekana
Nisuala la muda tu
Napita tu...ila njaa mbaya
Unachongea tu
Wazazi wako walitoka machame au
Mngefanya hata moja lamaana sio kusambaza maneno hata kwenye kanga yapo
Huna mpango kilichobaki kakojoe ukalale unataka siasa ndo hiyo
Chama hiki kinazungumzia wabunge kukamatwa mara lema kuwa na kesi mara risasi,, sasa hik chama kitazungumzia matatzo ya wananchi? Hiki chama kila mtu ni selfish
Luzuku mnapeleka wapi wacheni usani
Upon sawa
Water table yake ni maji.
Kama hampati Hela yoyote.Hela ya ruzuku imetoka juzi imeenda wapi?
We ni mpuuzi tu
Lema zuri gani umewafanyia watanzani?
Fisiyemu ni korona ya taifa la tanganyika
chadema bado sana nyie pigeni kelele tu mtimize wajibu wenu wa kupayuka mchoke mpate usingizi vizuri
Hao watu au mchanga???? People's!!!!!!!!!!!!!!!
PAMBANENI. KARIBU KUNAKUCHA
Cha msingi watu wajiandikishe tukutane kw sanduku la a kura
Wananchi siku wakiweelewa hoja zenu amtatumia nguvu kushawshi watu
Chama ni CCM tu. Nchi hii, tunajuwa baadhi ya makabila yenye ukabila. Tunajuwa watu wa kaskazini asili yao wanaukabila sana, huo ndio ukweli. Haito tokea nchi kuchukuwa Chadema, labda chama kingine
Hakika ccm ni chama dume chama imara kigum kutoka madarakan
Asee mungu anaona yote haya hao mambwa wachache kwa nini tusiwauwe tu mizoga hao wanatesa watu kwa faida gani
Peleka huko,wewe hata familia inakulalamikia, licha ya Nchi,mkimbizi
Mpumbavu mkubwa weee
Kenya demokrasia sasa inawatesa.
Tulikupa ubunge ukaenda bungen kupinga kilsa kitu tuambie kipindi chako ulifanya nini
Wachane hao
Hakuna anaelipwa mshahara ila nyie mnapiga hela milioni hizo mnatoa wapi?acheni kutudanganya lema hiyo hela mngefanyia maendeleo madarasa zahanati mimi ningewaelewa acheni porojo
Yani Kodi akusanye mwigulu harafu zahanati ajenge lema huna Akiri
Majitu ya Tanzania hayaelew kabsa
nai penda chadema sana wa sema kweli siyo wale uki sema ukweli una tolewa bungeni muongo ana pigiwa makofi
Sasa wewe unawatetea wanyonge yajaze hayo maji acha ngonjera zako
Chadema mna Kura nyingi
tatizo hapo kunawapiga hela kila mtu anatetea tumbo lake
Tunawaomba Karagwe jamani
✌️✌️✌️
❤⁹ooo😊
Kateshi ulikuwa na ngano saafi,wengi hamjui lkn sisi tunaona ulikuwa ni kama ulaya
Unatembea faida yako nn
😅😅
Lema wewe ni mzalendo
Mzalendo kwenye nn? Halopwi mshahara na hayo matumizi anapata wapi?
😂😂😂😂😂@@kiyabolnjemu9646
Hapa wapi?
😢😢😢😢😢😢😢
Business
Huyu huwa hamna kitu ungekuwa mkweli mngelekebisha chama cha cdm
We ndo hamna k2
@@KudraWanguvu-em1xw wewe ndio zaidi
Wakati wewe ni mbunge mbona hayo haukufanya nakwenye jimbo lako ulifanya nini wewe
Ruzuku ya chama inatumika kwenye nini?
Lema lkn ulikuwa Mbunge hapa Arusha miaka 10 je huduma inayopatikana Arusha ni tofauti na majimbo ambayo ni ccm ?.
Au ndo kusema mpaka serikali
Eti hamna pesa?? Ruzuku mnaxipewa na Serikali mnaxiweka wapi?? Nchi zinawapa pesa mnaxiweka wapi?? Mnatafuta huruma Kwa watu?? Wezi kama wengine .
Majambazi kama majambazi wengine
M
Wanakutomba
Sasa hapo kuna sera gani
Yeye amepata wapi?
Ruzuku kazi yake nini?
Haitoshi ndugu