TUNDU LISSU AFICHUA SIRI NZITO KUHUSU NAPE NA JANUARY MAKAMBA | WANATUMIA MAJINA YA BABA ZAO "KUIBA"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA bara Tundu Lissu amesema Nape Nauye na January Makamba waliondolewa kwenye Uwaziri hivi karibuni hawana nguvu CCM na kwamba wanaishi kwa majina ya Baba zao.
    Amesema hayo leo tarehe 26 Julai 2024 alipozungumza na Waandishi wa Habari baada ya kutua uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar-es-Salaam akitokea Nchini Ubelgiji

Комментарии • 45

  • @PiusKimaro
    @PiusKimaro Месяц назад +6

    Samia hawez kumwacha nape.nikujikosha kusave kashfa.nape anamadudu yote ya ccm

  • @mabondolawrence1812
    @mabondolawrence1812 Месяц назад +2

    Kwakweli wanaenziwa wazazi wao

  • @OmarAmran-t7k
    @OmarAmran-t7k Месяц назад +1

    Samia sjui kama atatoboa dah why kila mtu yuko against mama aisee muachieni na yeye . Nyinyi kuna muda wenu

  • @murswadmussa1986
    @murswadmussa1986 Месяц назад

    Ongea tundu lissu

  • @ramadhanmahongole9293
    @ramadhanmahongole9293 Месяц назад +3

    Msigwa ni mchumia tumbo

  • @RAMNEinvestmentsltd-sl9qk
    @RAMNEinvestmentsltd-sl9qk Месяц назад +1

    Lissu unamuogopa sana Mbowe

    • @allyramadhani5320
      @allyramadhani5320 Месяц назад

      Kweli

    • @Kwelihukuwekahuru
      @Kwelihukuwekahuru Месяц назад

      ​@@allyramadhani5320mnataka wakosane ili CDM ife Mungu amewaumbua sasa mnasema anamwogopa Mbowe hivi hakumwogopa JPM itakuwa huyu Mbowe

    • @leahmgunda4154
      @leahmgunda4154 Месяц назад

      Unataka wagombane?

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 Месяц назад

      @@leahmgunda4154
      Hapana ila amwambie ukweli.

  • @amaniamani6391
    @amaniamani6391 Месяц назад

    Msigwa ajielewi time will tell

  • @benedictmrisho1800
    @benedictmrisho1800 23 дня назад

    Kila mwanasiasa ajitahidi awaache wanae na wake zake kama RIP Mwl Nyerere na RIP Dr Magufuli walivyoacha familia zao. Kuwasogeza sogeza mbelembele ktk siasa ni kuja kuleta siasa za kimbari nchini. Waachwe wapambane kivyao kama wanataka siasa. Vimemo vitauwa siasa za nchi.

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 Месяц назад +2

    Majibu ya lisu ni Mzigo tani laki tisaaa😅😅😅😅😅

  • @barakaemmanuel8871
    @barakaemmanuel8871 Месяц назад

    Hawana nguvu zozote kiongozi

  • @zabronmwaipungu2212
    @zabronmwaipungu2212 Месяц назад

    Na kinana je nalo waseme

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 Месяц назад +1

    Ni kweli kwa majina ya baba zao

  • @issakazi2758
    @issakazi2758 Месяц назад +2

    Ni genge la wahuni

  • @muharamiesther5908
    @muharamiesther5908 Месяц назад +1

    😅😅😅

  • @PiusKimaro
    @PiusKimaro Месяц назад +1

    Msigwa akawashtue wahehe wenzake,cyo kina mboye.akae mbali na chadema.tulojua ananjaa

    • @allyramadhani5320
      @allyramadhani5320 Месяц назад +2

      Hamna noma tutastuka tu naukabila wenu je mnataka uchaga ndio utawale nchi hii?

  • @hajirashidAmani
    @hajirashidAmani Месяц назад

    C C M sasa Kwa kuwa nafasi zipo wazi zamu hii mpeni mchungaji msigwa democracy sasa kaipata ndani ya C C M

  • @frankmtei3017
    @frankmtei3017 Месяц назад

    Msigwa hana maajabu

  • @deohank5995
    @deohank5995 Месяц назад

    Mh?

  • @HalphaniAlbano
    @HalphaniAlbano Месяц назад

    Lisu nimsema kweri ccm wooote wezi bola hayati magifuli angetifikisha mchi ya ahadi

    • @Emily_Puijin
      @Emily_Puijin Месяц назад

      Na huy magu alitaka kumuua lissu unaona,, Dunia achana nayo kabsa

  • @muharamiesther5908
    @muharamiesther5908 Месяц назад

    Backing on genes 😅😅😅

  • @FrancisChale-ks7gg
    @FrancisChale-ks7gg Месяц назад

    Huyu ndio yule mteule tuliokuwa tunamtaka na kumsubili...huu ni mwamba

  • @mohammedmdangwe2056
    @mohammedmdangwe2056 Месяц назад +1

    nape na makamba ni wezi majambazi wameitia kashifa ccm

  • @PiusKimaro
    @PiusKimaro Месяц назад

    Na kura za uwiz wa ccm,mbeba dhambi miaka yote.kwa hiyo nape ni lusufa wa ccm.siyo rahis juachwa.kuna njia mbadala wanatumia

  • @froma3732
    @froma3732 Месяц назад

    Kwa hivo Magufuli Alimuweka Makamba kwa Sababu ya Mzazi

  • @Vike333-l8o
    @Vike333-l8o Месяц назад

    Wewe Nape ulimtukana Mh.Lisu wewe una Laana yaShetani Mungu anakuangaza hapa hapa nguruwe wewe Ulimtukana Mh.Rais Hata Adabu huna sijjui utakuwa mgeni wa Shetani Mwizi mkubwa mdomo mchafu kama Choo cha Stand

  • @sonnyr1899
    @sonnyr1899 Месяц назад +3

    Ebu ukiwa unaongea Magufuli mtowe mdomoni mwako.
    Maana hilo jina lina uzito mkubwa kama ulikuwa haujuwi.

    • @zawadimbwambo1091
      @zawadimbwambo1091 Месяц назад

      Ujinga unakutesa wewe magu alikua ni msenge tu. Labda kama wewe ni msenge zaidi yake. Kama alikua ana uzito ndio huo.

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 Месяц назад

      @@zawadimbwambo1091
      Hekima ni dawa

    • @FrancisChale-ks7gg
      @FrancisChale-ks7gg Месяц назад

      Acha kuongea ujinga ... magufuli ni mtu wa kawaida tu

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 Месяц назад

      @@zawadimbwambo1091
      Ukweli upo nao moyoni ila chuki zikikuongoza lazima uongee hivi

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 Месяц назад

      @@FrancisChale-ks7gg
      Ila kazi zake sio vipofu tunaziona

  • @mkude
    @mkude Месяц назад

    Wewe siku zote utakuwa mpingaji tuu hata jema atakalo fanya rais bado utapinga,hiyo ndo siasa.

    • @PiusKimaro
      @PiusKimaro Месяц назад

      Fala wewe njaa wa ccm.

  • @DaudMtafya-pg4fc
    @DaudMtafya-pg4fc Месяц назад

    😂😂

  • @clemencemkondya8561
    @clemencemkondya8561 Месяц назад

    Tundulisu kiongozi mkubwa unakuwa mnafiki hizo ndiyo Sera za mgombea ursis .

  • @user-yd3cj5xs1z
    @user-yd3cj5xs1z Месяц назад

    Wezi wa kuku wanachomwa moto... wezi wa kuibia serikali na wananchi wanapongezwa...
    Hiyo ndio TZ