🔴

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 14 окт 2024
  • 🔴#Live: MAZITO! JANUARI MAKAMBA -NAPE NNAUYE WATEMWA -RIDHIWANI KAPANDA -KAULI ya MSIGWA -FRONT PAGE...
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    Karibu kutazama na kusikiliza na kutazama Kipindi cha FRONT PAGE kila siku kuanzia JUMATATU hadi IJUMAA kuanzia Saa 2:30 Asubuhi...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 657 693 210), ( +255 739 750 910)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Комментарии • 18

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  2 месяца назад +1

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @AlphaxardMRusweka-jr1wi
    @AlphaxardMRusweka-jr1wi 2 месяца назад +1

    Hata huyo Ridhiwani,angetupwa tu,sana sana kubebana lakini utendaji sifuri

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 2 месяца назад

      huyu Kikwete amepewa kitengo nyeti sana kwa upande wa w/nchi..anatakiwa akunje mashati mikononi aende field...vijana hawana kazi, anzishe vikao na vijana achakate kutengeneza ajira na kuandaa mazingira ya uvumbuzi kwa maslahi ya nchi..kodi itakusanywa kubwa kutokana na wizara yake..akae vizuri na waziri wa elimu na pia wa biashara..aende singapore, india na hongkong kuangalia vijana vitu wanavofanya..Ridhiwani anauwezo wakufanya mambo makubwa kwa wizara yake..vilevile kwa walemavu...sasa sijui

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 2 месяца назад +1

    Nyie watangazaji tumieni akili kidogo, huyo naibu waziri amejiuzulu jana, na kesho January makamba atumbuliwa, inaonekana alikua anabugudhiwa na makamba kwani ndie alikuwa ni boss wake

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 2 месяца назад +1

    Kwanini police wasivae body camera kama nchi za ulaya, kurikodi kila tukio? Rushwa ingepungua sana

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman 2 месяца назад

    Jerry slaa alikuwa mahiri sana kweye wizara ya ardhi hakuna aliyefanya vyema toka uhuru zaid ya jerry slaa nimtetezi wawanyonge na hatujui Rais analengo gani kumuodosha

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman 2 месяца назад

    Global mnamuogopa makamba hamsemi madhaifu yake kiutendaji

  • @joezeno8
    @joezeno8 2 месяца назад

    MAKAMBA na NAPE NI WAHUNI tena MAJIZI TU! Hawa Washenzi nimefurahi wametumbuliwa 😂😂😂😂

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman 2 месяца назад

    Wenczetu wanavyo fanya camera ikikupiga police hausiki tena na hana uwezo wakumalizana na driver automatically inaingia kwenye system kwamba fulan anepigwa faini nchi nzima system inasoma trafic kama umeweka

  • @ZaidSeifSuleiman
    @ZaidSeifSuleiman 2 месяца назад

    Nape kosa lake ametoa siri ya chama chake tena nzito

  • @geofreychitamu366
    @geofreychitamu366 2 месяца назад

    Kuhusu rushwa traffic wasikatae ni vitu viko wazi,hakuna anayeshangaa kwani ni kimekuwa kawaida.

  • @nurdinkassim
    @nurdinkassim 2 месяца назад

    Hujasema Bado tatizo lipo hivi huo mfumo siosawa dawani gari mbovu kamata peleka gereji na litolewe kwa idhini ya veko pia dereva mlevi au kukiuka alama za barabarabani ndio wapigwe faini kama kazidisha mzigo basi uliozidi shusha utaifishwe na serikali ndio matatizo yataisha ajali nyingi zinnasababishwa na mifumo mibovu chukueni mawazo hayo

  • @geofreychitamu366
    @geofreychitamu366 2 месяца назад

    Nakwambia hao jamaa watarudishwa kama hamuamini wekeni kumb,

  • @sa3dasa3da87
    @sa3dasa3da87 2 месяца назад

    Washauri wa Rais hawamtakii mema,kama washauri wa Ruto,waziri wa Ardhi alikua anatatua migogoro ilioshindikana toka miaka 50,sasa mnamtoa ili m baki na hiyo migogoro iwasaidie nini??

  • @umyazinkath167
    @umyazinkath167 2 месяца назад

    Apana kunachochote nyuma ya pazzia

  • @juliasmtundu442
    @juliasmtundu442 2 месяца назад

    HUYU MSINGWA AMEPOTEZA MVUTO CCM HAITEGEMEI UMBEA WASINGWA HUYU HATA AKIPEWA UWAZIRI ATATOA SILI

  • @abuumuhammad7133
    @abuumuhammad7133 2 месяца назад

    Rais anamakusudi yake kabisa kumpeleka Slaa Wizara ya Habari baadhi yetu tunatumi Mitando Vibaya

  • @umyazinkath167
    @umyazinkath167 2 месяца назад

    Apana