Это видео недоступно.
Сожалеем об этом.

MWAMPOSA AFUNGUKA YOTE, NAPENDWA NA WAMAMA, MUUJIZA MKUBWA ALIOFANYA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 июл 2024

Комментарии • 906

  • @endeshyamat6773
    @endeshyamat6773 Месяц назад +25

    Huyu ni mtumishi wa Mungu kabisaaaaaa Mungu ambariki sanaaaaaaa🎉

  • @irenemwanry121
    @irenemwanry121 Месяц назад +36

    Mtume tumekufahamu toka unahubiri nyumba kwa nyumba Moshi kijijini kwetu, hakiki ni Mungu alikuandaa kwa kizazi chetu ❤❤❤

  • @beatriceminja2148
    @beatriceminja2148 Месяц назад +197

    Akiwa Kilimanjaro nilikuwa nafanya kazi stationary flan na mtumishi alikuwa anafanyia shughuli zake za matangazo, na vipeperushi Hapo. Kwa mwamposa hunichomoi, baba yangu kapona na hamjui mwamposa na hajui hata kanisa lake liko wapi.. Mwamposa chapa injili BABA🙌🙌

    • @Rogathe-Rogathe
      @Rogathe-Rogathe Месяц назад +8

      Aminaaa

    • @msafirimaulidi5054
      @msafirimaulidi5054 Месяц назад +38

      Ss mwamposa si mganga km waganga wengine wa jadi,huduma za mwamposa ni za kishilikina km ni MUNGU ata ww unawez kuomba ukaskika, pia ukisema yy katumwa na MUNGU ndo tyl ww ni mfuas wa mganga😂

    • @benjaminalfa3098
      @benjaminalfa3098 Месяц назад +3

      Ameen

    • @Japanese-lz1or
      @Japanese-lz1or Месяц назад

      ​@@msafirimaulidi5054Kuma ww acha makasiriko

    • @suzanalucasemanuel7006
      @suzanalucasemanuel7006 Месяц назад +2

      Amen

  • @humphreyonlinetv2739
    @humphreyonlinetv2739 Месяц назад +28

    MWAMPOSA IS ATRUE MAN OF GOD HIGHLY ANOINTED

  • @eusebiusthilia7908
    @eusebiusthilia7908 28 дней назад +5

    Namkubali sana MWAMPOSA hakika kaletwa Mungu mwenyewe kwa ajili ya kizazi hiki!Mungu aendelee kumjalia Baraka na Neema Tele

  • @florabuzoya3948
    @florabuzoya3948 Месяц назад +9

    Mwenyezi Mungu azidi kukubaliki sana sana True Man of God ,Very Humble, mwenyezi Mungu anakutumia sana na Umeokoa Wengi sana sana,Tuna ushuhuda Juu yako na Tunakupenda sana sana,Mwenyezi Mungu azidi kukuinua Sana sana.Ndani na Nje ya Nchi umeokoa wengi,Mungu atankutumia sana mpaka wachawi na Waganga wamesalender wamekuja kujikabidhi kwa Yesu Kristo.May God Keep on blessings you

  • @nairakiboko
    @nairakiboko Месяц назад +35

    Mwamposa bado ni kijana
    Tunao shirikiana kumuombea miaka mingi duniani awaponye na wale waso amini gonga likes apo❤❤❤ love mwamposa

  • @monicaisuja8917
    @monicaisuja8917 Месяц назад +26

    Mwamposa ni kweli mtumish WA Mungu maneno ya watumishi wenzako ni mengi Mimi mwenyewe ni mengi Mungu amenitendea we peleka watu Kwa yesu usiogope❤

    • @ujenziimaratv1192
      @ujenziimaratv1192 Месяц назад

      Wewe ndio umelitaja jina la Yesu uyo mtumishi wako aja litaja
      Akili kichwani

    • @fumotv7914
      @fumotv7914 Месяц назад

      ​@@ujenziimaratv1192unauhakika

    • @Salesiamalekela-i2h
      @Salesiamalekela-i2h Месяц назад

      Kwakweli tunakuxhuru sana mtumixhi wa mungu kwakutusaida mungu akulinde uixhi miaka mingo sana

  • @gratusvlogs
    @gratusvlogs Месяц назад +117

    Sema mwamposa kama Kijanakama unakubaliana na mm nipe LIKES apaaaaaa

    • @Rogathe-Rogathe
      @Rogathe-Rogathe Месяц назад +2

      Kijana kbs

    • @bakariomary5781
      @bakariomary5781 Месяц назад

      Pesa ndugu inatakatishwa haujui😂😂

    • @florabuzoya3948
      @florabuzoya3948 Месяц назад +2

      Anazidi kuwa kijana kwa sababu ya kufunga na kusali sana

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 Месяц назад


      HHHH NDIOOO_🤦🏿‍♀️

    • @user-eu5ly2sk8w
      @user-eu5ly2sk8w 23 дня назад

      Nakukubali sana nimetoka ziro Sasa Niko yuro haijalishi watakuitaje mungu akutunze na akufunike kwa damu yake iliyo kuu

  • @user-ex1cn3bc2h
    @user-ex1cn3bc2h Месяц назад +12

    Nakupenda xan mtumixh wa Mungu Mwamposa Mungu akuzidixhie miaka ya kuixhi uzidi kutuudumia

  • @LATIFAMUSSANAMANORO
    @LATIFAMUSSANAMANORO 17 дней назад +2

    Nakuaamini baba nakukubali sana mwenyezimungu aendelee kukuweka zaidi na maisha marefu milele amina

  • @StelaMwambemba-qd3tr
    @StelaMwambemba-qd3tr Месяц назад +10

    Nabarikiwe. Na mtumishi mwamposa libalikiwe tumbo lilimzaa Mungu amtunze miaka mingi sana

  • @ElizabethKazimoto-uc8zo
    @ElizabethKazimoto-uc8zo Месяц назад +21

    Man of GOD ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ mungu akutunze our prophet

  • @perpetuakicheleri-zk5ly
    @perpetuakicheleri-zk5ly Месяц назад +19

    Mungu akuweke mpk yesu Atakaporudi baba umefanya makubwa 🙏🙏

  • @user-hm2oc6en9s
    @user-hm2oc6en9s Месяц назад +26

    Mungu akuweke miaka mingi sana Mtume. Umefanyika baraka sana katika maisha yangu na familia yangu. Ukipatwa na matatizo ndiyo utajua umuhimu wa huyu Mtume.

    • @FurahaCosmas
      @FurahaCosmas 24 дня назад

      Haswa,ndo ile cmulia sana omba yasikukute beb

  • @Leeeeeeee-96
    @Leeeeeeee-96 Месяц назад +32

    mtu wa maana kabisa mwamposa ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @jackycharles6419
    @jackycharles6419 Месяц назад +47

    Jaribu kumsoma mtuu anapojibu maswalii hakuna maharii amejiinua sa unataka fananiasha mwamposa na uyo kiboko wa wachawii kutwa Zima nikujisifu na madharau ata yesu nae alikuwa na umatii wa watu na alipigwaa kula siii masiihii Ila mda ulipofika waliona cheche yake am proud to this man of God

    • @user-is6np5vf6b
      @user-is6np5vf6b Месяц назад +1

      Umeona eeh 🎉🎉🎉

    • @florabuzoya3948
      @florabuzoya3948 Месяц назад +1

      Hajawahi kujiinua kwa kweli huyu mtumishi wa Mungu wa Kweli kabisa.Mungu ambariki sana

    • @heavenlightmalisa1112
      @heavenlightmalisa1112 Месяц назад

      Huyu ameitwa na Mungu barikiwa baba

    • @Apox_eric
      @Apox_eric Месяц назад

      Exactly, ningekuwa na uwezo ningekuzawadia.
      Umejibu just like ne ningejibu kumsoma mtu muongo ....
      The nan is humble,
      No show offs, proudness.
      He only says It si the hand of Almighty
      God.
      Text me on whatsApp
      +255753694154

  • @sylviadanford9138
    @sylviadanford9138 Месяц назад +7

    Nakupenda sana Apostle, huropoki n ni mtumishi wa kwanza Tanzania nzima mwenye akili,hekima sana kanisani sio mtukanaji wala mropokaji ni mtulivu unashibishwa neno mpka unamuona Yesu live.keep moving n our prayer will protect you.❤❤❤bless you man of God

  • @veronicapatrice436
    @veronicapatrice436 Месяц назад +11

    Hongera sana classmate pascal Mungu amtunze mtumishi wa Mungu..kichaa anachekesha kam hatokei kwako huwez jua umubimu wa maombi kam hujapata matatizo❤

  • @AUGENSYLIVAND-rq7hz
    @AUGENSYLIVAND-rq7hz Месяц назад +40

    Kwakweli Ayo Tv habari mnazitafuta hebu gonga like

  • @joshuajustustz
    @joshuajustustz Месяц назад +13

    Naipenda sana injili ya mtume Mwamposa. Anahubiri ukweli na ukichukua dondoo za mahubiri yake ukazifanyia kazi utapiga hatua. Mambo mengine SI mpaka kuombewa na kuwekewa mikono... Mafanikio Yana kanuni zake. Mtume amekuwa daraja Bora kuwavusha watu kutoka katika hali duni na kuinuka... Lakini haya yote SI yeye Bali Mungu aliye ndani yake. ❤❤❤. Piga injili baba 🎉🎉🎉🎉

  • @IsaackPaulo
    @IsaackPaulo Месяц назад +8

    Mtume Mwamposa amekuwa baraka sana kwa taifa letu na familia zetu mimi niliyefunguliwa kwa upako wa madhabahu hii namwona na Nabii Eliya mtishbii yuko Tanzania ❤❤❤❤❤

    • @saleemsuleiman2220
      @saleemsuleiman2220 Месяц назад +1

      Mtume feki😂

    • @IsaackPaulo
      @IsaackPaulo Месяц назад

      @@saleemsuleiman2220 wewe ndo feki

    • @saleemsuleiman2220
      @saleemsuleiman2220 Месяц назад

      @@IsaackPaulo mtume kutoka KUZIMU SIO KWA MUNGU WA MBINGUNI SISI SIO WAJINGA

    • @saleemsuleiman2220
      @saleemsuleiman2220 Месяц назад

      @@IsaackPaulo Tatizo hamna maarifa yale Mafuta anayouza ametolea wapii

    • @IsaackPaulo
      @IsaackPaulo Месяц назад

      @@saleemsuleiman2220 kwanimafuta yanatakiwa yatoke wapi na hayo mnayopikia mnajiwa yanakotoka?hujui agizo la mafuta kibiblia wewe ni mgeni na maandiko matakatifu tulia sisi tuanaojua rufaidi ahadi za Mungu

  • @nicaswaziri
    @nicaswaziri Месяц назад +2

    Mungu akulinde na akupe uweza zaidi niliteseka sana kiuchumi lkn leo namiliki kupitia wewe nimeinuka kiuchumi. Asante mtumish wa Mungu siku moja ntakuja kawe Mungu amenitendea Mengi mnoo.🙏🙏🙏

  • @GodfreyMwamaso
    @GodfreyMwamaso Месяц назад +2

    Amen Amen mtumishi wa Mungu ubarikiwe Babaangu wa kiimani Mungu anajua uliko nitoa nimepitia changamoto nyingi nikakata tamaa ya kuishi nilipofika kawe chini ya mafundisho ya mafundisho ya Mwamposa kila kitu kimekuwa historia nimepokea uponyaji Namshukuru sana Mungu wa Mwamposa

  • @user-qb3cb2zl5l
    @user-qb3cb2zl5l Месяц назад +16

    Huyu ndio mganga maarufu na mwenye mafanikio kuliko waganga wote africa mashariki

  • @ngowidyness3464
    @ngowidyness3464 Месяц назад +12

    Tenda kazi uliyoagizwa na Mungu mwanaadam hatuishiwi kauli❤❤itoshe kusema tunakuelewa na kukuamini na shuhuda ni kuu mno

  • @BabaD-fu9io
    @BabaD-fu9io 17 дней назад +1

    Mwamposa Mungu akulinde sana akupe miaka mingi, umenifanya kuwa jasir maisha yangu siogopi chochote, siogopi waganga,siogopi wachawi natembea kifua mbele

  • @VailethBarnabas
    @VailethBarnabas 2 дня назад +1

    ❤❤❤❤may God bless your days on earth and protect you for us amennnnnnn!!!!

  • @beyondmediatz1607
    @beyondmediatz1607 Месяц назад +18

    Nimependa alivyomuwai muandishi kusema anayetenda ni Mungu yaani hajataka kupokea utukufu yeye, kibinadamu ni ngumu kumuelewa mtu akifanikiwa kiwango hiki "utasema kweli ni mahubiri tu au kuna kitu nyuma?" kuna muda tukubali kumuacha Mungu ajuaye na ndio atahukumu kwa haki tusiwaseme vibaya hawa watu wa Mungu, kwani sisi tunaokosoa tunafanya maovu mangapi? Nani anainuka kukuhukumu? Mana ni Siri yako, aliyeelewa nasema nini naomba like

    • @RoseOdilo
      @RoseOdilo Месяц назад +1

      Kabisa❤❤❤

    • @joelbtz8277
      @joelbtz8277 Месяц назад +2

      Umenena vyema mno🎉

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l Месяц назад +8

    Nakupenda mwamposa mtumishi wa bwana Mungu akuweke daima

  • @AngelBoniface-oe8ug
    @AngelBoniface-oe8ug Месяц назад +29

    Huyu baba ameanza Mbali sana mwacheni tu Mungu akubariki

    • @user-sp8zu7oh2n
      @user-sp8zu7oh2n Месяц назад

      ❤❤❤

    • @eusebiusthilia7908
      @eusebiusthilia7908 28 дней назад

      Aswaaa!mwacheni Mwamposa afanye kazi ya MUNGU,AMEBARIKIWA SANA!

    • @PaulineMajengo
      @PaulineMajengo 24 дня назад

      Kabisaa,alikuwa anatangaza matangazo yake mosh akiwa na kirikuu kidogo ,na spika 3

  • @heavenlightmalisa1112
    @heavenlightmalisa1112 Месяц назад +2

    Mtumishi wa Mungj nimetoka nae mbali sana akiwa anaanza kilimanjaro karibu na Tanesco Mungu akubariki baba miaka mingi kwako

  • @emmanueldaudi3797
    @emmanueldaudi3797 Месяц назад +39

    Muujiza Mkubwa ni mtu kumwamini Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wa maisha yake.

  • @PhyinaElias-mu4wf
    @PhyinaElias-mu4wf Месяц назад +5

    Hallelujah mungu n mwema sambaza injili apostle🎉wenye chuki watajijua wenyewe

  • @glorygadielmshana1070
    @glorygadielmshana1070 Месяц назад +3

    Hakika mungu yupo ndani yako mtume,nimepokea na kutendewa mengi kupitia tv tuu ♥️♥️♥️♥️

  • @user-eh5il7pw2f
    @user-eh5il7pw2f Месяц назад +14

    Nipo Babati Manyara nampenda sana huyu baba yetu wa kiroho

  • @norfenvgeraldo9493
    @norfenvgeraldo9493 Месяц назад +16

    Ninamshukuru sana Mungu kupitia huyu mtumishi nimefunguliwa vitu vingi sana kwa kweli mungu azidi kumtumia kwa viwango vya juu zaidi .🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @barutiabuu9492
      @barutiabuu9492 Месяц назад +1

      Wewe akili zako zimefirisika kiukweli bola hata ya mnyama kuliko wewe sijajua alie waloga amekufaa au yuko wapi mnalaana hakiamungu asee nyie binadam nyie du

    • @PhyinaElias-mu4wf
      @PhyinaElias-mu4wf Месяц назад +1

      Amen

    • @MaurenEmmanuely-nc9id
      @MaurenEmmanuely-nc9id Месяц назад

      Laana unayo ww​@@barutiabuu9492

    • @user-nm1re5kp7m
      @user-nm1re5kp7m Месяц назад

      Wew endelea kutuona wajinga one-day utajua umuhim wawatumishi wa mungu na hata siku Moja usipoteze mda wako kuhukumu watumishi wangu subiri mung awahukumu wenyewe kama wanafanya kinyume ​@@barutiabuu9492

  • @user-wl7xj6dy4u
    @user-wl7xj6dy4u Месяц назад +5

    Arise and shine🎉 mtatutafuta mpate habari kwetu hatuna mdaa wa kuwatafuta❤

  • @benardbonephace4896
    @benardbonephace4896 Месяц назад +25

    Anayeita watu ni Mungu,na sidhani kama ninawito wa kumnyooshea mtu kidole kujua ni wa kweli au sio wa kweli,kikubwa Mungu na injili inahubiriwa,watu wanaokoka na kuacha uganga,so kumwamini au kutokumwamini ni uchaguzi binafsi,endelea na kazi ya Mungu mtume Mwamposa,tupo nyuma yako

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo Месяц назад +11

    Ninachoamini ni Imani tu. Ukiwa na imani kuwa kupitia Mwampsa utapona au utafanikiwa naye pia akawa na imani ya kuponya kwa maombi basi Mungu atatenda. Hata wana wa Islael hakujitokeza Mungu bali alimtuma Mussa.

  • @HappyChalamila-wd2wl
    @HappyChalamila-wd2wl 21 день назад +3

    nayapenda afundisho yako yaani mimi nakupenda kweye uchambuzi wa neno la mungu

  • @husseinjosephitocho6754
    @husseinjosephitocho6754 Месяц назад +6

    mazuzu ni mengi sana mwamposa piga pesa fanya maisha hii nchi ina watu wasio na elimu na majinga mengi sana tumia iyo fusa wakisha janjaruka unakuwa umeishajipata na mazuzu mengi ni kina mama kwa sababu ni mepesi kushawishika

  • @amanmalima940
    @amanmalima940 Месяц назад +3

    Yesu Ndiye njia ya kweli na uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini Yesu na UOKOKE na Ulithi uzima WA MILELE na uende MBINGUNI.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).

  • @modestamshana1279
    @modestamshana1279 Месяц назад +14

    Mtume ni handsome🥰

  • @NestoryMhagama-ci5pq
    @NestoryMhagama-ci5pq Месяц назад +5

    Be blessed man of God

  • @Alphonce-em2xi
    @Alphonce-em2xi Месяц назад +16

    Amen Apostle Mwamposa

    • @whatisthetruth.8793
      @whatisthetruth.8793 Месяц назад

      Apostle gani alimiliki mali . Watu wa Mungu wa kweli hat pesa kuishika walikataa , hata kibanda nyasib hawaku miliki

  • @ianbryse1417
    @ianbryse1417 Месяц назад +16

    Buldozer Mwamposa ❤️ Nimekuverify ☑️

  • @petermadata7803
    @petermadata7803 Месяц назад +5

    Kila mmoja ni mtenda miujiza,kikubwa ni Imani kwa Mungu. Kazi isiyo ya Mungu muda ukifika,Mambo yote huwekwa hadharani

  • @julyethiema1220
    @julyethiema1220 Месяц назад +15

    Nampenda sana mwamposa kamtoa mdogo wangu ugumba wa miaka 40 na yeye alikuwa hamwamini ni freemason sasa anaitwa mama miracle ana miezi 4

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 Месяц назад +40

    Sitii neno lolote !! Mungu ndiye anayejua yaliyo sirini !!

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 Месяц назад +6

      usiende baki unapoona pana mungu msije wengi tukakosa nafasi 😂

    • @malkiarosemuhando3310
      @malkiarosemuhando3310 Месяц назад +1

      Haja❤!!

    • @africanbeez3644
      @africanbeez3644 Месяц назад +2

      @@Leeeeeeee-96 mkiwa mnachomwa moto uwe una wahi viti hvy hvyo sw 😂😂

    • @rerisamba
      @rerisamba Месяц назад +1

      🤣🤣🤣🤣nimecheka yangu yote

    • @milanozanzibar
      @milanozanzibar 23 дня назад

      ni kweli

  • @user-sc9zl2hx1c
    @user-sc9zl2hx1c Месяц назад +2

    Mungu amuwekee mtumishi sana aishi miika mingi kama mitume wa Zaman aendelee kuwabaliki wengi ❤❤

  • @MariamuMkonge
    @MariamuMkonge Месяц назад +1

    Mungu akubariki mtumishi kwa kuifanya kazi yake na azidi kukutumia zaidi maana unefanyika baraka kwenye maisha yetu usivunjike moyo baba mti wenye matunda ndio unao pigwa mawe

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Месяц назад +13

    Hivi watu wanafikiri mtu mpaka aache kila kitu atumie fedha ya nauli kuja kwenye ibada unafikiria ni mchezo. Kubadili roho za watu siyo kazi ndogo.
    Kama watu wanafikiri ni uchawi na wenyewe wafanye uchawi waone kama wataweza.
    Sasa Mungu acha aonyeshe power zake maana ilifikia mahali watu wanaamini shetani kuliko mungu

    • @user-wi8og3sv4j
      @user-wi8og3sv4j Месяц назад

      @@user-sj3wf5vz7l kabishane na mtu anajiona ana akili yeye pekee kuwazad watu milioni kwakichwa chakekimoja atakupa uchizi bure

    • @ciscojr2277
      @ciscojr2277 Месяц назад +1

      Huyu jamaa anafanya miujiza na yupo kimiujiza zaidi kuvuta watu kama nyie...mtu kama Mwakasege mbona nae anazungukaga nchi nzima lakini hana mambo ya kuuza hadi magazeti na ukienda kwake unatoka na neno kweli sio huyu jamaa yenu

    • @zachariamakoba8368
      @zachariamakoba8368 Месяц назад +1

      ​@@ciscojr2277kaka una akili kubwa kama mimi shetani nikama malaika Ila huyu jamaa mchunguzeni injiri yake haina kuokoa ni mtu wa miujiza na upako tu, na hajui kuhusu kukataza zambi, Ila Mungu atupe akiri kubwa kuyajua haya hizi ni siku za mwisho

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Месяц назад +18

    Mwamposa hata usipomwamini ni sawa tu hata yesu mpaka anakufa na anafufuka walikuwepo ambao hawakumwamini.
    Sisi wacha tufaidi baraka za mwamposa. Baba chapa kazi tunakufahamu tangu ukiwa kilimanjaro . Wewe una Mungu.

    • @ciscojr2277
      @ciscojr2277 Месяц назад +2

      Unamfananishaje Yesu na binadamu we mpumbavu

    • @StelaMwambemba-qd3tr
      @StelaMwambemba-qd3tr Месяц назад

      Good point acha wabeze tunafaidi tunaoelewa

  • @user-li1ux1xh4m
    @user-li1ux1xh4m Месяц назад +1

    Mwamposa anafungungua kila lililofungwa jmn❤mungu akulinde sana.

  • @mycrown3567
    @mycrown3567 Месяц назад +5

    I like the way he is humbling himself…mahusiano yangu na Mungu yameimarika kwasababu ya huyu baba🙌🏼

  • @user-ng6yt2od7l
    @user-ng6yt2od7l Месяц назад +3

    Mungu naomba nipate nyumba kama ya mtume Mwamposa

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 Месяц назад +10

    Hakika mtaji ni Watu Mzee hongera sana Kwa kuwakamata

    • @Dianamwansasu
      @Dianamwansasu Месяц назад

      Na wewe si uanze kuwakamata

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 Месяц назад

      Hata shetani anaweza kufanya Kazi ndani ya mtu Miujiza hiyo Ni lazima itokee Kwa sababu yeye ana mipepo mikubwa Kwa hiyo Ni lazima anayazima mapepo madogo nanhaliamuki Tena sababu mkubwa WA mapepo kasema lakini biblia hayo nasema watatokea manabii weeengi na watafanya.miujiza mingi.nawatu watu wataamini jamani tusome biblia tusitegemee watumishi tu watuoombee Bila Sisi kusomba Kwa bidii

    • @jacobnyosole1774
      @jacobnyosole1774 Месяц назад

      Wewe shida yako ni udini tu , nguruwe wewe😂😂

    • @Dianamwansasu
      @Dianamwansasu Месяц назад

      @@tinnahagustinolyelu4247 shida si kuomba tu.mengine ya Mungu unafanya.sawa umesimaama kwa miguu yako unatii sauti ya Mungu?mwisho wa yote kuhukumu si kazi yetu maana hata wewe hujui kama unaenda au lah!Mungu atufadhili

  • @mrjulius5840
    @mrjulius5840 Месяц назад +2

    Mathayo 7:21-23
    [21]Si kila mtu aniambiaye, Bwana, Bwana, atakayeingia katika ufalme wa mbinguni; bali ni yeye afanyaye mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni.
    [22]Wengi wataniambia siku ile, Bwana, Bwana, hatukufanya unabii kwa jina lako, na kwa jina lako kutoa pepo, na kwa jina lako kufanya miujiza mingi?
    [23]Ndipo nitawaambia dhahiri, Sikuwajua ninyi kamwe; ondokeni kwangu, ninyi mtendao maovu.

  • @ConfusedBloomingFlower-wv1gf
    @ConfusedBloomingFlower-wv1gf Месяц назад +1

    Nampena sana mwamposa mungu akupe maisha marefu mutimishi wa mungu

  • @pceodhc
    @pceodhc Месяц назад +4

    Hallelujah!

  • @TedyEmanuel
    @TedyEmanuel Месяц назад +5

    Uumwamini usimwamini hayo ni yako,huyo ndo baba yetu wa kiroho,asante mungu kwa zawadi hii ya pekee

  • @ANNADANDA-eq7dy
    @ANNADANDA-eq7dy 2 дня назад

    Poleni sana kwa kweli kwa kupata yesu ambazo hakuteswa ujinga mtupu

  • @noelmosha2597
    @noelmosha2597 7 дней назад

    Gud saying baba mungu aendelee kukulinda

  • @NoelMwita
    @NoelMwita Месяц назад +9

    MUNGU AKUBARIKI SANA MTU WA MUNGU .
    KWA NEEMA YA MUNGU YOUR TO🎉

  • @user-wp2ww7mf7r
    @user-wp2ww7mf7r Месяц назад +9

    Arise and sheni

  • @Mcsceo
    @Mcsceo Месяц назад

    I love venye APOSTLE Analitaja jina la Ndugu yangu Mc Pascal mwakyoma inaonyesha mtumishi hajikwezi analitaja jina lake unajua bwana pascal aisee MUNGU azidi kumuinua mtumishi wa Mungu ,pia hongera kwa Mc pascal mwakyoma uko very humble japo interview ni fupi umeuliza maswali muhimu karibu yote MUNGU akuinue kaka..

  • @BahaaBundala
    @BahaaBundala Месяц назад +1

    Neno la mungu linaxema mm nanyumba yang tutamtumikia mungu wambinguni❤xaxa ww kama hauamni mungu anaetenda miujiza bas una mungu wako

  • @estambuya3901
    @estambuya3901 Месяц назад +3

    Hakuna mtumishi wa mungu,aliyeumba mbingu na nchi hapo, kumbukeni kuna miungu wengi, mwamposa ni mfanya biashara tu, watu.wanafuata miujiza.

  • @geeoutfitdesgner
    @geeoutfitdesgner Месяц назад +9

    tunakupenda baba etu wa kiroho binafsi ni muumini wako kindakindaki kwasbb najua mungu alipo nitoa mimi na familia yangu,,baba kaacha pombe kwasbb ya arise and shine,mama ameinuliwa kiuchumi kwasabb ya yesu ,mdogo wngu Luca amefaulu vzur sasa yupo chuo cha livestock tengeru ,mm mwenyew ndo nabarikiwa had nashangaa...halafu kuna dada alikuwa kichaa alifikia kwetu tukampeleka akapona..mungu akutunze wewe mtumishi wa mungu kupitia maombi yako kwa jesu kristo...

  • @josephmtoro9606
    @josephmtoro9606 28 дней назад +2

    Ulikua na mungu kweli sema tamaa imekuzidi na hiyo ndo kazi ya shetani, anakupa mafanikio na raha za dunia ila uzima wa milele sahau. (MATHAYO 10:8) ila kwa sababu umenunua huna budi kuuza.

  • @pendomushi9319
    @pendomushi9319 26 дней назад +1

    Baba angu nakupenda hadi natamani kukubeba.

  • @Japanese-lz1or
    @Japanese-lz1or Месяц назад +5

    Wote mnaomtukana mtumishi wa mungu nyie mnashida huyo hata kama ni mganga , au shetani ss tunaenda pale kumwabudu mungu tu sio yy acheni makasiriko

  • @reytn2494
    @reytn2494 Месяц назад +2

    Ni neema ya Mungu imekushukia mtumishi nami nimetendewa mengi , malaika wa Mungu wakuzingile.

  • @eclinemaro7677
    @eclinemaro7677 Месяц назад +1

    Tunakupenda sana mtume , Mungu azidi kukutunza sana

  • @vero57
    @vero57 Месяц назад +2

    KESI ZANGU ZOTE ZIMEKWISHA, ASANTE YESU🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾💐💐💐

  • @dismasmariananga4776
    @dismasmariananga4776 Месяц назад +9

    Amini mtumishi na wewe wapende na kuwasaidia mungu yupo Kwa ajili yetu

  • @innocentpius8083
    @innocentpius8083 Месяц назад +9

    Sina imani na huyu kila mtu anamaono yake ila umasikin ni mbaya sna 😢..watu wangu wanaangamia kwakukosa maarifa.

    • @Leeeeeeee-96
      @Leeeeeeee-96 Месяц назад

      we mwenye maarifa umetengeneza ndege ngap😂😂😂

    • @user-wv9wc6yr1u
      @user-wv9wc6yr1u Месяц назад +2

      Maarifa sio lazima utengeneze ndege , biblia imesema na alie sema katika biblia alitengeneza ndege, na wewe umemjibu hivyo kwasababu umekosea maarifa ndiyo maana umemjibu hivyo

  • @user-wy1or9fm2s
    @user-wy1or9fm2s Месяц назад +2

    Jee mwaposa kalala kwenye ukrisito someni Wakorintho 15 :18 na duniani hakuna mtumishi hata umoja wa mungu

  • @festomandari3773
    @festomandari3773 22 дня назад

    Might God enich you with more wisdom Apostle

  • @renatustinsimile5410
    @renatustinsimile5410 Месяц назад +7

    Mwamposa wewe ni Mtumishi wa mungu,nitakuamini mpaka kufa kwangu

  • @hamidabarraball3162
    @hamidabarraball3162 Месяц назад +3

    Mwaminifu mungu tu
    Yeye ni kama wewe tu naomba mungu

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse1510 Месяц назад +2

    Ameni mtumishi wa mungu na mungu Azidi kukuinua tunakupenda waumini wako🎉

  • @priscadaniel6459
    @priscadaniel6459 Месяц назад +2

    Asante mungu baba unahekima sana mungu azid kukupa neema zaid hakika tumeona mkono wako kupitia wewe

  • @Chrizabizzy1
    @Chrizabizzy1 Месяц назад +9

    Eee Yesu wakumbuke watu wako muokoe na mwamposa akawe ushuuda atoke aliko.

  • @innocentjoseph805
    @innocentjoseph805 Месяц назад +45

    Kiufupi me sijawahi kumwamini huyu ndug yenu iwe Leo au kesho, mdaa utaongea

    • @REHEMACONERIOCOSTANCE
      @REHEMACONERIOCOSTANCE Месяц назад +9

      Ujalazimishwa kumwamini kaa kwa kutulia

    • @NoelMwita
      @NoelMwita Месяц назад +3

      HUJALAZIMISHWA KUNYWA POMBE ULALE .

    • @anastahiliutawala3879
      @anastahiliutawala3879 Месяц назад +7

      Ni kweli mimi mwenyewe namwonaga muhuni muhuni tu

    • @user-wi8og3sv4j
      @user-wi8og3sv4j Месяц назад +2

      Ndomana dini zipo nyingi we unataka watu waamini unavyoamini wewe watu woote wakati wengine ni mbrgu ya ibilis itawezekana

    • @RoseOdilo
      @RoseOdilo Месяц назад +5

      Ukiona humwamini tafuta unaye mwamini songa mbele hujalazimishwa

  • @JohnOkwom
    @JohnOkwom Месяц назад +1

    Mungu akuzidishie Maisha marefu Mwamposa mtumishi wa Mungu

  • @martinamahenge4476
    @martinamahenge4476 Месяц назад +1

    Mungu aendelee kukuweka mtumishi wake umeponya wengi nikiwa mm mmoja wapo kama hujawahi pata masaibu ya maisha ukaponywa huwezi elewa Mungu akuweke miaka 10000999999🎉🎉🎉

  • @steven.munisi
    @steven.munisi Месяц назад +8

    Hakika Bwana amekuinua man of God

  • @JudyUrio-zy7ri
    @JudyUrio-zy7ri Месяц назад +7

    Hakuna kanisa lenye wababa kama kawe

  • @nancykaseko
    @nancykaseko 15 дней назад

    Yesu akutunze man of God...

  • @user-nn7dq9pu2s
    @user-nn7dq9pu2s 22 дня назад

    Nakupend sana mtumishi ,pale kwa baba yangu kuna mbwa wetu akawa hazai akawa na miaka miwili nilipo kuja hapo kanisani kuchua mafuta na maji ya upako nilipo enda kumwagia akabeba mimba sasa anawatoto 5

  • @migstranger8142
    @migstranger8142 Месяц назад +3

    Shida na umasikini ndio zinafanya umuamini mtu kama huyu . Ila shida zote mtatuzi ni Mungu mwenyewe.
    Imani ya kwei ipo kwa Mungu sio mtu.

    • @craymanmjeda3055
      @craymanmjeda3055 Месяц назад +1

      Hata Kwa SHETANI watu wanaenda Kwa Mganga kwanza, then wanakutana na shetan

    • @AGM19697
      @AGM19697 Месяц назад

      Mungu hutumia watu kujitambulisha. Hutumia watumishi wake aliowaita mwenyewe na kama hajakuita fanya shuhuli nyingine

  • @mpefu_4936
    @mpefu_4936 Месяц назад +5

    Bilionea ongeraaaa

  • @user-pr8jo1cq2c
    @user-pr8jo1cq2c Месяц назад +2

    Ulijaza watu kwakweli duh ❤😂

  • @shavasjohnkay-cw8lg
    @shavasjohnkay-cw8lg Месяц назад

    Apostle Mwamposa Mungu aendelee kukutumia kwa matendo makuu. Watu wasichojua kila kitu na kila mtu ni mtumishi wa Mungu,kwa uzuri ama kwa ubaya. So kumkosoa mtu au kitu unamkosoa Mungu. God bless you so much Apostle.

  • @Bashitetako
    @Bashitetako Месяц назад +4

    Huwa mnaitwa saa ngapi

  • @japhetlinus3891
    @japhetlinus3891 Месяц назад +9

    Mi najua dini kwasasa ni biashara .hakuna nabii wala mchungaji wa kweli..ni akili fup tu zawanaoamin huo upuuz

    • @janethmwihumbo1289
      @janethmwihumbo1289 Месяц назад +2

      Wewe ni Muongo umeongea kwaakili za kufikirika ukiona fek ipo jua orgino ipo

    • @japhetlinus3891
      @japhetlinus3891 Месяц назад

      @@janethmwihumbo1289 ..hii ya mwamposa Ni Original au Ni feki

    • @NoelMwita
      @NoelMwita Месяц назад +3

      WEWE NI MUISILAMU KAA MBALI NA WATUMISHI WA MUNGU UTAKUFA VIBAYA.

    • @japhetlinus3891
      @japhetlinus3891 Месяц назад

      @@NoelMwita ....mi nimkiristo soma jina la account apo ...alaf uniambie umetumia mda gan kuisom biblia

    • @hamisimkoma7380
      @hamisimkoma7380 Месяц назад

      ​@@NoelMwitawatumishi wa shetan sio wa Mungu

  • @user-wy4yn2xi3n
    @user-wy4yn2xi3n Месяц назад

    Tunakushukuru sana mtume MUNGU Akubariki sana akuzidishie maisha marefu Ameen.

  • @user-sn6dc9gh8k
    @user-sn6dc9gh8k Месяц назад +1

    Ungeuliza kuhus mke na watt na familia yake🙌🙌au ulikuwa unaogopa muuliza maswali🤷‍♀️

    • @user-sn6dc9gh8k
      @user-sn6dc9gh8k Месяц назад +1

      Na kuhusu hzo shutuma za kudai anatembea na baadhi ya wasanii